No video

MCHANGO WA SHILOLE KATIKA KANISA LA MASANJA (Feel Free Church)

  Рет қаралды 78,266

FEEL FREE CHURCH Dar es salaam

FEEL FREE CHURCH Dar es salaam

3 жыл бұрын

MCHANGO WA SHILOLE KATIKA KANISA LA MASANJA (Feel Free Church)

Пікірлер: 215
@elizabethmuia9839
@elizabethmuia9839 Жыл бұрын
Asante, dada yetu shishi mbiguni hakuna Ndini 🙏
@frolencejovenary667
@frolencejovenary667 3 жыл бұрын
Shilole uko kwenye maombi yangu, You are the best woman, Masanja nakuombea kwa MUNGU akuongoze uendelee kumtumikia, kumpenda and na kumjua zaid
@bernardmkuffya5171
@bernardmkuffya5171 2 жыл бұрын
Dada shilole ni mtu ambae anajali watu sana.kitu alichokifanya hakuna mtu alikwishawahi kufikiria kufanya especially ktk anniversary nyingi tu za kanisa nilizowahi ona na kushuhudia.Shilole ubarikiwe sana na mungu alie hi.amen
@johannes4127
@johannes4127 3 жыл бұрын
Mungu ni wawote weny mwili
@saraphinasalila9202
@saraphinasalila9202 2 жыл бұрын
Aimee
@PazzahTz9090
@PazzahTz9090 3 жыл бұрын
Barikiwa sana Pastor Masanja na Shilole mweee jamaan nmevutiwa na hii hakika MUNGU ni baba wa wote Amen.
@augustinondabeda7730
@augustinondabeda7730 3 жыл бұрын
Pastor masanja for what you done to invite all your friends without discrimination. Your the first pastor to do this,. I know that some may criticize you but remain with this principle LOVE YOUR NEIGHBORS.
@barakablessing5366
@barakablessing5366 3 жыл бұрын
Huyu jamaa hupingwa sana but yeye yuko sawa hajali
@work24onme
@work24onme 3 жыл бұрын
Eee Mwenyezi Mungu, Shishi ubarikiwe, na uwongezewe palipo punguwa! 🙏 Kaka Masanja, hongera Kwa majukumu na hatua ulio fikia. Hakika Mwenyezi Mungu ni mkuu 🙏 NYINYI NI MIFANO YA KUIGWA ❤️
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Shishi huyo ni upendo Mungu akubaliki na kukuongezea zaidi kwenye biashala yako
@sifamtasha4291
@sifamtasha4291 3 жыл бұрын
Ubarikiwe shishi, na Mungu akupe neema ya wokovu
@vero57
@vero57 3 жыл бұрын
Mungu ni mmoja tuu, well done 👏 ✔ 👍 👌 shishi baby
@NaitwaChongx
@NaitwaChongx 3 жыл бұрын
Nimesoma comment nyingi! Nimegundua kuwa kunawatu bado imani haijawaokoa ila imewaweka vifungoni! Mungu pekee ndiye anajua kamwe usije hisi upo sahih sana Na ukamuhukumu mwingine! Kumbuka pia unaweza ukahisi unamtetea Mungu kumbe Mungu kashakuacha mda kwasababu huna UPENDO kama yeye alivyo!! Pastor People will not understand you early but i tell you keep going this is private revalations and Gods loves all of us!
@mhubiritv1621
@mhubiritv1621 3 жыл бұрын
Mungu akusaidie sana
@simonkitoy7304
@simonkitoy7304 3 жыл бұрын
Hongera shilole na Masanja kweli tunaona kwa vitendo what it means by feel free Church ...
@teresiaraurent3803
@teresiaraurent3803 3 жыл бұрын
Kwel kabisa
@noelambondeka6942
@noelambondeka6942 3 жыл бұрын
amina sana mungu akutunze shishi
@chitec4394
@chitec4394 3 жыл бұрын
Mafanikio nj Mungu Hakika Shihsi unajua kumtafuta Mungu Ubarikiwe
@FRANSKALITUSI4937
@FRANSKALITUSI4937 3 жыл бұрын
Very good mtumish wa MUNGU
@hamishamis9905
@hamishamis9905 3 жыл бұрын
Shishi humpati mtu zaidi ya nafsi yako elewa dunia tunapita tu😌😌😌
@wangonamuhange8218
@wangonamuhange8218 3 жыл бұрын
Ndo nn
@dottokulwa9145
@dottokulwa9145 3 жыл бұрын
Asante dada
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 Ай бұрын
Ameeeen.
@veronicamnico4773
@veronicamnico4773 3 жыл бұрын
Masanja ubarikiwe mtumishi 🙏 endelea kuwavuta wote, hesabu huyo kaisha fika hapo kwa jina la YESU
@adimmpole9439
@adimmpole9439 3 жыл бұрын
We Dada unachekesha huduma ya mwamposa uliiponda na kushabikia afugwe alafu ya masanja unaishabikia San tu na kwa mbwembwe huo ni unafiki Dada angu badilika kwa kwel
@adimmpole9439
@adimmpole9439 3 жыл бұрын
We Dada unachekesha huduma ya mwamposa uliiponda na kushabikia afugwe alafu ya masanja unaishabikia San tu na kwa mbwembwe huo ni unafiki Dada angu badilika kwa kwel
@tinkudey5928
@tinkudey5928 3 жыл бұрын
Emen
@agnesmanimba8548
@agnesmanimba8548 3 жыл бұрын
Mungu akubark dada
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 3 жыл бұрын
Welldone Shishi.
@Marylimo
@Marylimo 3 жыл бұрын
Wooow barikiwa shsh
@williamwiston450
@williamwiston450 3 жыл бұрын
Mungu awenawe
@mzalendowaasili1727
@mzalendowaasili1727 3 жыл бұрын
Nimegundua shilole anarafiki wengi wa kiume ndo maana anafanikiwa kuliko wanawake , wengi ni ma snitch
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 3 жыл бұрын
Umeonaa
@judicasayale3353
@judicasayale3353 3 жыл бұрын
Umesema ukweli
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 жыл бұрын
Safi Sana shishi
@daycareconsultant870
@daycareconsultant870 3 жыл бұрын
Good✔
@evaristamos4537
@evaristamos4537 3 жыл бұрын
Umepata shemasi !!!
@drelpmacsinc7786
@drelpmacsinc7786 3 жыл бұрын
blessed shishi
@zurfapahenge8802
@zurfapahenge8802 3 жыл бұрын
mchungaji 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@ab3ab313
@ab3ab313 3 жыл бұрын
Amen nakupend bure Shishi bebi❤❤❤
@servantjosiahtv3129
@servantjosiahtv3129 3 жыл бұрын
INJIRI KWANZA.. BALIKIWA SANA MASANJA..
@hawakibambe8678
@hawakibambe8678 3 жыл бұрын
Eti oyoooo! Nmependa huyu pastor haki kweli hiii free
@joycemanase2418
@joycemanase2418 2 жыл бұрын
😄😄😄
@arthurmapunda3652
@arthurmapunda3652 3 жыл бұрын
Saaafi
@shirazmdimu7615
@shirazmdimu7615 3 жыл бұрын
Ukitoka hapo kanisani utamke shade tena
@danielmwasi5450
@danielmwasi5450 3 жыл бұрын
Mungu tusaidie ,Sana'a zimezidi Mungu amekimbia,,,,usilete mshahara was mbwa nyumbani mwa bwana
@rosemuhando709
@rosemuhando709 3 жыл бұрын
Mbwa hapo ni nani,? Tambua kuwa vyote alivyovitakasa mungu usiviite najisi, kwa maana cornelio nadiya aliyeupendeza moyo wa mungu kwa sadaka zake akakumbukwa japo ilikuwa mpagani,,mbwa kama wewe unavyomwita shilole,, basi kama wewe, hujaona umuhimu wa mungu kumtolea sadaka shilole ameuona!!!••••••
@danielmwasi5450
@danielmwasi5450 3 жыл бұрын
@@rosemuhando709 dada rozi sisi tuliookoka hatutakiwi kuyafanya yasio ya Mungu, huwezi kusema salamaleku kanisani hiyo ni michanganyo ,halafu kuleta chakula kanisani hiyo siyo sherehe, Yesu anasema mtu hawezi kuishi kwa mkate tu, bali kwa kila neno litokalo kwa bwana ,watu wa Mungu mmepotoka
@bjzee1981
@bjzee1981 3 жыл бұрын
Asalaam alaykum kanisani
@danielmwasi5450
@danielmwasi5450 3 жыл бұрын
Wanaleta usanii
@josephinajosephu6859
@josephinajosephu6859 2 жыл бұрын
Kachapia😅😅
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 2 жыл бұрын
Kawaida sana kama unatambua kuwa kuna ubinadamu na kiila mtu ana haki ya kuabudu anavyopenda
@tamaraseff.9707
@tamaraseff.9707 3 жыл бұрын
Shish baby.congrats sanaaaaa
@s0phialwassa574
@s0phialwassa574 3 жыл бұрын
Safi sana shilole
@ramadhanimtetu7246
@ramadhanimtetu7246 3 жыл бұрын
Shashi Food juu Kwa Juu Maisha ni Safari Wacha tusafiri iLa kila Mtu Anafika kwa Muda wake.
@dotnathalazaro8078
@dotnathalazaro8078 3 жыл бұрын
Penda sana shilole
@nt44media7
@nt44media7 2 жыл бұрын
Kansani asalam aleikum
@PazzahTz9090
@PazzahTz9090 3 жыл бұрын
Daaahhh Jambo jema hili nahisi wengi watatakiwa kukaa mbali na udinii....
@bjzee1981
@bjzee1981 3 жыл бұрын
Dini yenu. Ila yetu hairuhusu kuingia katika sehem ambazo si za ibada ya dini yetu. Na misikiti haingiliwi na watu ambao si waislam
@ramadhanimahongole8764
@ramadhanimahongole8764 3 жыл бұрын
@@bjzee1981 tatizo din ya kislam ina mashariti mengi kama mganga wa kienyeji
@bjzee1981
@bjzee1981 3 жыл бұрын
@@ramadhanimahongole8764 . Masharti ya Mwenyezi Mungu. Ndio mana tumekatazwa ushenzi
@ramadhanimahongole8764
@ramadhanimahongole8764 3 жыл бұрын
@@bjzee1981 mmungu hana masharit yasiyokuwa na mbele wala nyuma, anachotaka yeye kutoka kwako ni moyo safi tu basi.hayo masharti yoote mnayopangiwa siyo amri zake ni wanadamu waanzilishi wa imani hiyo waliamua kuwa madikteta kwa waumini wao ndo wakalisisha vizazi na vizazi hadi wewe kuamin
@mohdali2408
@mohdali2408 3 жыл бұрын
Umepotea
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 3 жыл бұрын
Utabaki ulivyo.
@markodaniel2662
@markodaniel2662 3 жыл бұрын
Wakristo wenzangu, hapo sio kanisani kwa masanja, bali ni kanisani kwa Yesu Kristo. Tujuwe kiuongea .
@abelnjiku5381
@abelnjiku5381 3 жыл бұрын
Safi sana
@hoseamligula8092
@hoseamligula8092 3 жыл бұрын
Khaaa jamani
@tumboabdallah7178
@tumboabdallah7178 3 жыл бұрын
Dada umepotea sana kiki u nazotafuta zimepitiza
@jumjumanderson9715
@jumjumanderson9715 3 жыл бұрын
Ok hongera kwa kushirikiana kwa njia yoyote bila kuzingatia dini. Ila pengine mahali pagumu kuelewa ni hapo pa kuleta wageni ambao si Wakristo (hawaamin Kufa kwa Yesu Msalabani) katika altar, that is my major concern. Would anyone politely enlightened me on this, ni sawa??
@RichardPhilipo1
@RichardPhilipo1 3 жыл бұрын
Biblia haitufundishi kuwatenga wasiomwamini YESU. Unadhani tukiwatenga wasiomwamini Yesu, watawezaje kumjua na kumwamini? Tulipoambiwa kuwapenda jirani zetu (Mark 12:31), hatukuambiwa tuwapende wanaomwamini YESU pekee bali ni WOTE. Kumbuka YESU ni wa Wote. Be blessed!
@jumjumanderson9715
@jumjumanderson9715 3 жыл бұрын
Nichek whatsup ndugu tuongee tu vizuri tuelimishian tu kwa upendo wa kazi ya Mungu... +254 712 982 711
@nenenelly7619
@nenenelly7619 3 жыл бұрын
@@RichardPhilipo1 asant kaka
@RichardPhilipo1
@RichardPhilipo1 3 жыл бұрын
@@jumjumanderson9715 sawasawa kaka
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 3 жыл бұрын
Kuna muda yafaa ujitambue umetoka wapi na waelekea wapi .Ni msiba mkubwa sana.
@dacruzfabrice6481
@dacruzfabrice6481 3 жыл бұрын
Baba levo Yupo wapiii😂😂😂😂
@kahema_steven
@kahema_steven 3 жыл бұрын
Huyo ataharibu
@winnieemmanuel8255
@winnieemmanuel8255 2 жыл бұрын
😁😁😁😁
@mwl.timothysangayoni2137
@mwl.timothysangayoni2137 3 жыл бұрын
😂😂😂🙆🙆😲😲
@joshuaadon5210
@joshuaadon5210 2 жыл бұрын
Mambo haya
@abdalahmohamedi1806
@abdalahmohamedi1806 3 жыл бұрын
Shilole amekuja kuchukua dili la kupika hapo
@bjzee1981
@bjzee1981 3 жыл бұрын
Umeonaeee 😂
@allymbaruku6930
@allymbaruku6930 Жыл бұрын
Wasaniiiiiiii
@batildamahundiofficial9400
@batildamahundiofficial9400 3 жыл бұрын
Ameren
@reaganlyimo6259
@reaganlyimo6259 3 жыл бұрын
Duh
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
Wewe shilole mhhhh
@selinaselin8928
@selinaselin8928 3 жыл бұрын
Tz watu kama hawa wangekuwepo udini usinge kuwepo mashallah
@hamisimfaumenamwewe193
@hamisimfaumenamwewe193 3 жыл бұрын
We unamuona amepatia kwasababu hujui Dini unajua kuimba kwaya.
@selinaselin8928
@selinaselin8928 3 жыл бұрын
Kwaiyo ww unamungu wako au
@hamisimfaumenamwewe193
@hamisimfaumenamwewe193 3 жыл бұрын
@@selinaselin8928 Allah ndo Mungu wa wote. Sasa nyie si hamumtaki.
@selinaselin8928
@selinaselin8928 3 жыл бұрын
@@hamisimfaumenamwewe193 ss mwenyewe tunaamini ivo kaka
@hamisimfaumenamwewe193
@hamisimfaumenamwewe193 3 жыл бұрын
@@selinaselin8928 Kuamini nini?
@abdulkareemseif1892
@abdulkareemseif1892 3 жыл бұрын
Yani uislam wa wasanii ni KAZI bure
@zalhathasaid2060
@zalhathasaid2060 3 жыл бұрын
Kwan muislam uyo mana sielew
@abdulkareemseif1892
@abdulkareemseif1892 3 жыл бұрын
@@zalhathasaid2060 anavodai ni muislam .kwani huoni maclip yao siku ya ramadhani
@florenciamwambalaswa3965
@florenciamwambalaswa3965 3 жыл бұрын
@@abdulkareemseif1892 mmmh waislam mnamambo au nae khafirii hamcherewi munguu huyuu aturehem kwakweli
@abdulkareemseif1892
@abdulkareemseif1892 3 жыл бұрын
@@florenciamwambalaswa3965 kuna mambo akitaka kuyafanya atakua Tu kafiri wala sio uongo,,,km akiamini ukristo ni Sawa na uislam amekufuru
@kahema_steven
@kahema_steven 3 жыл бұрын
Natamani siku moja nije niabudu mahari hapo
@josephatmtweve6534
@josephatmtweve6534 Жыл бұрын
Uko poa
@gastomwalyaje2048
@gastomwalyaje2048 2 жыл бұрын
Kwakweli Mungu ndiye ajuaye tu yote
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 3 жыл бұрын
Shishi atafika Mbali sana!
@lugendodaudi5510
@lugendodaudi5510 3 жыл бұрын
Kwani huyu bado co DC
@hamisimfaumenamwewe193
@hamisimfaumenamwewe193 3 жыл бұрын
Sifa za Allah anapewa kiumbe Yesu.
@zalhathasaid2060
@zalhathasaid2060 3 жыл бұрын
😀😀huu mtihani
@barakakidugutu944
@barakakidugutu944 3 жыл бұрын
Yan nyie wachungaji Freemason hlo kundi la Bwana Yesu mnakolipeleka mtakuja kujuta siku yaujio wa Bwana wetu Yesu Kristo,
@henrymatebe1492
@henrymatebe1492 3 жыл бұрын
Acha mawazo hayo wewe
@okorecharles3992
@okorecharles3992 3 жыл бұрын
Kama wewe ndiye Mungu ni sawa itakuwa hivyo.
@mosesjob4527
@mosesjob4527 3 жыл бұрын
Usihukumu usije ukahukumiwa
@wisperfect5320
@wisperfect5320 3 жыл бұрын
Uko freemason mpo wote?
@subilagamwakijengele505
@subilagamwakijengele505 3 жыл бұрын
Toa boriti lako kwanza ndipo utoe kibanzi Cha masanja,hakuna awezae muhukumu mwenzie
@wangonamuhange8218
@wangonamuhange8218 3 жыл бұрын
Shishi wewe ni mtu
@ndakozeramion5604
@ndakozeramion5604 3 жыл бұрын
Uko mjinga wew
@jerryjuma1339
@jerryjuma1339 3 жыл бұрын
asalamalekum kanisani wapi na wapi? wewe masanja na hilo kanisa lako???
@shau78
@shau78 3 жыл бұрын
asalamalekum maana yake ni amani iwe nanyi. simply
@habibahabiba7128
@habibahabiba7128 3 жыл бұрын
Ni lugha tu jaman
@emmiradorjunior3153
@emmiradorjunior3153 3 жыл бұрын
Hujui wewe.....salamu ni salamu tu.
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 3 жыл бұрын
@@shau78 wambie,hizo zote nisalamu hakiharibiki kitu
@omaryonga1776
@omaryonga1776 3 жыл бұрын
Hiyo ni Salamu dogo
@hafidhali3020
@hafidhali3020 3 жыл бұрын
Unalisha washiirikina ili wapate nguvu zaidi za kumkufuru Mungu?walati kuna mayatima hawajuwi wale nini .dhambi hii ulioitenda hapa utakwenda kuikuta kesho. Kwa Allah
@mwanaimaabdallah7825
@mwanaimaabdallah7825 3 жыл бұрын
Huu ni msiba wallah
@fatumaabdallah1064
@fatumaabdallah1064 3 жыл бұрын
Biashara iyo kalipwaa na masanjaa
@teresiaraurent3803
@teresiaraurent3803 3 жыл бұрын
Khaaa
@hadijasaidi7709
@hadijasaidi7709 3 жыл бұрын
Yeyote anaetenda dhambi anacheka ataingia motoni analia
@zalhathasaid2060
@zalhathasaid2060 3 жыл бұрын
Mbona asipeleke madrasa wakale wanafunz wanaosom Qur.an na mayatim hta maskini na mafukara
@ashrafbwana6392
@ashrafbwana6392 3 жыл бұрын
Surprise I thought shishi is a Muslim
@aureliaissack8309
@aureliaissack8309 3 жыл бұрын
She is Muslim
@selemankishema5780
@selemankishema5780 3 жыл бұрын
Dini za kidilidili tayari na wewe masanja una kakanisa kako kakusukumia maisha safi saana na wewe mjinga hiyo salam unaileta humu sijui hata unataka nini wewe kama unaenda kwa usanii wako nenda dini yetu ya uislam haina mahusiano na hiyo nenda kivyako
@bodernmejohn1210
@bodernmejohn1210 3 жыл бұрын
Kwan nyie mna mungu wenu
@AbdulAbdul-pr9qe
@AbdulAbdul-pr9qe 3 жыл бұрын
@@bodernmejohn1210 yes of course
@johnzacharia2308
@johnzacharia2308 3 жыл бұрын
Umesema Kweli ndugu, hamna mahusiano Kati ya waabudu majini na wanaomwabudu MUNGU aliye hai, yaani YESU KRISTO, kwahiyo upo sahihi ila shishi nimwungwana na neema ya wokovu itamfuata haijalishi usanii wake lakini kamtolea MUNGU aliye mwumba atabarikiwa
@selemankishema5780
@selemankishema5780 3 жыл бұрын
@@johnzacharia2308 do!!! Hii kali labda nikujulishe sie tunamuabudu aliewaumba yesu, majini na kila kitu tunavyovijua na tusivyovijua sasa kama wewe unamuabudu elieumbwa au kilichoumbwa na mungu basi jiandae na kuishi motoni milele
@AbdulAbdul-pr9qe
@AbdulAbdul-pr9qe 3 жыл бұрын
@@johnzacharia2308 😂😂😂😂 mbona hata mie nipo hai kwahiyo naweza nikawa Mungu wenu? Yesu dume na mie dume, yesu katahiliwa na mie nimetahiliwa, yesu kazaliwa na mie nimezaliwa yani tumetofautiana machache sana
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Mh! dini hizi,,,,,,,,huyu ndio TB Joshua wa Tanzania!!
@loycemkasanga5971
@loycemkasanga5971 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 3 жыл бұрын
kinachokuuma n nn ww
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
@@Churchofecclesia acha unafiki!
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 3 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 unafki gan,
@abelialsen5383
@abelialsen5383 3 жыл бұрын
Mbarikiwe sana! Ila hiyo salam kanisani sio mahala pake, hata kama inamaana nzuri
@deograciakashaigili5973
@deograciakashaigili5973 3 жыл бұрын
Angebarikiwa saa ngapi sasa na waumini kama.asingesema mbèle ya madhabahu.. Hiyo ni sadaka. Sadaka inatangazwa madhabahuni pa Bwana na ndio maana Masanja anawaambia waumini wanyoshe mkono wambariki. Kwa Imani MUNGU amembariki sana pale.
@habibahabiba7128
@habibahabiba7128 3 жыл бұрын
Ulitaka iweje nae ni muislam, alaf ni swala LA lugha tu, ni Arabic, kwani kusema glory to God mbna ni kidhungu lakini tu naona ni Sawa inapotamkwa
@abelialsen5383
@abelialsen5383 3 жыл бұрын
Ni kweli ni luga tu! Ila inatumiwa na waislam ni sawa na kusema bwana yesu asifiwe msikitini utaeleweka kweli
@wisperfect5320
@wisperfect5320 3 жыл бұрын
Siyo mahali pake vipi kwanin yeye kamuita kanisan wakat ni muislam au hujui kilichompeleka maana hajaenda kusali
@teresiaraurent3803
@teresiaraurent3803 3 жыл бұрын
Ile ni salam tu wala haina shida
@angelmunduli3391
@angelmunduli3391 3 жыл бұрын
Kuanzia leo nakula kwa shishi tuu
@gwakisanoah2538
@gwakisanoah2538 3 жыл бұрын
Ama kizazi hiki kinapenda kulakula, yaani mithili ya nguruwe! Chakula kanisani? Na ibada mnafanya saa ngapi? Mara keki, wali, bigijii, biskuti na sasa biriani heeee! Kwa mizaha hii tabu hazitakoma. Fanyeni ibada nyie binadamu.
@lyrics_forum
@lyrics_forum 3 жыл бұрын
Pesa Inatafutwa guys, Huyu Binti yupo hapo Kimaslahi ya Brand, Kaona Matanzania ni Madishi ayazugie kidogo😂😂
@geremyshadrack9170
@geremyshadrack9170 3 жыл бұрын
Hamna namna ..
@elizabethhonere2931
@elizabethhonere2931 3 жыл бұрын
Kigogo unajua kuzurura🤣🤣🤣🤣
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 3 жыл бұрын
Umeingiaje huku wewe?. Ulijualo ndilo. Kweni weye unachaguaga pa kula?
@magesamoses9114
@magesamoses9114 3 жыл бұрын
hakuna kanisa hapo
@barakablessing5366
@barakablessing5366 3 жыл бұрын
Fungua yako nonsense
@husseinchea5524
@husseinchea5524 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@Alihamdulil
@Alihamdulil 3 жыл бұрын
Wallah Uko mjinga sana falaaaaa mjinga weee huna hata haya mjinga fala wewe mjinga hunatahaya huna wislimu wowote na Allah akunusuru kwakweli ila natambuwa hujakwenda Skool ni Quran ni normal éducation huna , hujawahi hata sikumjaa kwenda kupeleka masjid mjinga
@fanueliemanueli4026
@fanueliemanueli4026 3 жыл бұрын
Acha matusi wewe! Ujui kitu
@hamisimfaumenamwewe193
@hamisimfaumenamwewe193 3 жыл бұрын
Huna Dini wewe. Muhuni tu. Bwana Yesu asifiwe mmeipata wapi?
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 3 жыл бұрын
kwan wewe kinachokuuma nn, YESU hakuja kwa ajili ya wenye haki n bali alikuja kwa ajili ya wenye dhambi kama hao
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 3 жыл бұрын
Kwaiyo anamaanisha shishi Zambi zimemjaa
@mankamrema72
@mankamrema72 3 жыл бұрын
Huna hat haya bora shishi sio ww shetan mweny mguu mmoj hat maji ya bure hujawai toa
@hamisimfaumenamwewe193
@hamisimfaumenamwewe193 3 жыл бұрын
@@mankamrema72 Ubora wake nn?
@nilansaid2927
@nilansaid2927 3 жыл бұрын
Sasa unataka kuwafundisha wakristo kuhusu dini yao? Wakristo wana Mungu wao na imani yao tofauti na dini nyingine na miungu mingine
@nhobolasilasi1871
@nhobolasilasi1871 3 жыл бұрын
Ujinga ulio kisili saana
@paulheavyrain9584
@paulheavyrain9584 3 жыл бұрын
Sijui n mungu gani anayeabudiwa hapo. MUNGU sio wa michanganyo. Acha utani. Mungu haziakiwi. Go and invest in something else
@halimaleila2323
@halimaleila2323 3 жыл бұрын
Marikiwa.san
Pastor EMMANUEL MGAYA: Ujumbe wa leo ( VITA YAKO KWANI SHIING NGAPI?)
42:45
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 14 М.
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 12 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 26 МЛН
TAMBUA UWANJA WAKO WA KUSHINDA VITA  | BISHOP.MASANJA MKANDAMIZAJI | FEEL FREE CHURCH
57:24
HUU NDIO WOSIA WA MBARIKIWA KWA WATOTO WAKE.
14:15
Devotha Sanga
Рет қаралды 9 М.
MAMBO MANNE YA KUFANYA KILA ASUBUHI UAMKAPO Sehemu ya Kwanza - Innocent Morris
42:19
MASANJA ASIMULIA ALIVYOMPATA MKEWE
2:25
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 100 М.
MASANJA UNAOWATEGEMEA NDIO WATAKUANGUSHA #FREECHURCH #MASANJA #MKANDAMIZAJI
10:24
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 33 М.
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 12 МЛН