MCHANGO WA SHILOLE KATIKA KANISA LA MASANJA (Feel Free Church)
Пікірлер: 215
@elizabethmuia9839 Жыл бұрын
Asante, dada yetu shishi mbiguni hakuna Ndini 🙏
@frolencejovenary6673 жыл бұрын
Shilole uko kwenye maombi yangu, You are the best woman, Masanja nakuombea kwa MUNGU akuongoze uendelee kumtumikia, kumpenda and na kumjua zaid
@bernardmkuffya51712 жыл бұрын
Dada shilole ni mtu ambae anajali watu sana.kitu alichokifanya hakuna mtu alikwishawahi kufikiria kufanya especially ktk anniversary nyingi tu za kanisa nilizowahi ona na kushuhudia.Shilole ubarikiwe sana na mungu alie hi.amen
@johannes41273 жыл бұрын
Mungu ni wawote weny mwili
@saraphinasalila92022 жыл бұрын
Aimee
@PazzahTz90903 жыл бұрын
Barikiwa sana Pastor Masanja na Shilole mweee jamaan nmevutiwa na hii hakika MUNGU ni baba wa wote Amen.
@augustinondabeda77303 жыл бұрын
Pastor masanja for what you done to invite all your friends without discrimination. Your the first pastor to do this,. I know that some may criticize you but remain with this principle LOVE YOUR NEIGHBORS.
@barakablessing53663 жыл бұрын
Huyu jamaa hupingwa sana but yeye yuko sawa hajali
@work24onme3 жыл бұрын
Eee Mwenyezi Mungu, Shishi ubarikiwe, na uwongezewe palipo punguwa! 🙏 Kaka Masanja, hongera Kwa majukumu na hatua ulio fikia. Hakika Mwenyezi Mungu ni mkuu 🙏 NYINYI NI MIFANO YA KUIGWA ❤️
@sweetluc26603 жыл бұрын
Shishi huyo ni upendo Mungu akubaliki na kukuongezea zaidi kwenye biashala yako
@sifamtasha42913 жыл бұрын
Ubarikiwe shishi, na Mungu akupe neema ya wokovu
@vero573 жыл бұрын
Mungu ni mmoja tuu, well done 👏 ✔ 👍 👌 shishi baby
@NaitwaChongx3 жыл бұрын
Nimesoma comment nyingi! Nimegundua kuwa kunawatu bado imani haijawaokoa ila imewaweka vifungoni! Mungu pekee ndiye anajua kamwe usije hisi upo sahih sana Na ukamuhukumu mwingine! Kumbuka pia unaweza ukahisi unamtetea Mungu kumbe Mungu kashakuacha mda kwasababu huna UPENDO kama yeye alivyo!! Pastor People will not understand you early but i tell you keep going this is private revalations and Gods loves all of us!
@mhubiritv16213 жыл бұрын
Mungu akusaidie sana
@simonkitoy73043 жыл бұрын
Hongera shilole na Masanja kweli tunaona kwa vitendo what it means by feel free Church ...
@teresiaraurent38033 жыл бұрын
Kwel kabisa
@noelambondeka69423 жыл бұрын
amina sana mungu akutunze shishi
@chitec43943 жыл бұрын
Mafanikio nj Mungu Hakika Shihsi unajua kumtafuta Mungu Ubarikiwe
@FRANSKALITUSI49373 жыл бұрын
Very good mtumish wa MUNGU
@hamishamis99053 жыл бұрын
Shishi humpati mtu zaidi ya nafsi yako elewa dunia tunapita tu😌😌😌
@wangonamuhange82183 жыл бұрын
Ndo nn
@dottokulwa91453 жыл бұрын
Asante dada
@eliasthomas1547Ай бұрын
Ameeeen.
@veronicamnico47733 жыл бұрын
Masanja ubarikiwe mtumishi 🙏 endelea kuwavuta wote, hesabu huyo kaisha fika hapo kwa jina la YESU
@adimmpole94393 жыл бұрын
We Dada unachekesha huduma ya mwamposa uliiponda na kushabikia afugwe alafu ya masanja unaishabikia San tu na kwa mbwembwe huo ni unafiki Dada angu badilika kwa kwel
@adimmpole94393 жыл бұрын
We Dada unachekesha huduma ya mwamposa uliiponda na kushabikia afugwe alafu ya masanja unaishabikia San tu na kwa mbwembwe huo ni unafiki Dada angu badilika kwa kwel
@tinkudey59283 жыл бұрын
Emen
@agnesmanimba85483 жыл бұрын
Mungu akubark dada
@aliyageorge67943 жыл бұрын
Welldone Shishi.
@Marylimo3 жыл бұрын
Wooow barikiwa shsh
@williamwiston4503 жыл бұрын
Mungu awenawe
@mzalendowaasili17273 жыл бұрын
Nimegundua shilole anarafiki wengi wa kiume ndo maana anafanikiwa kuliko wanawake , wengi ni ma snitch
@beautyibrahim84283 жыл бұрын
Umeonaa
@judicasayale33533 жыл бұрын
Umesema ukweli
@jenifajuma53953 жыл бұрын
Safi Sana shishi
@daycareconsultant8703 жыл бұрын
Good✔
@evaristamos45373 жыл бұрын
Umepata shemasi !!!
@drelpmacsinc77863 жыл бұрын
blessed shishi
@zurfapahenge88023 жыл бұрын
mchungaji 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@ab3ab3133 жыл бұрын
Amen nakupend bure Shishi bebi❤❤❤
@servantjosiahtv31293 жыл бұрын
INJIRI KWANZA.. BALIKIWA SANA MASANJA..
@hawakibambe86783 жыл бұрын
Eti oyoooo! Nmependa huyu pastor haki kweli hiii free
@joycemanase24182 жыл бұрын
😄😄😄
@arthurmapunda36523 жыл бұрын
Saaafi
@shirazmdimu76153 жыл бұрын
Ukitoka hapo kanisani utamke shade tena
@danielmwasi54503 жыл бұрын
Mungu tusaidie ,Sana'a zimezidi Mungu amekimbia,,,,usilete mshahara was mbwa nyumbani mwa bwana
@rosemuhando7093 жыл бұрын
Mbwa hapo ni nani,? Tambua kuwa vyote alivyovitakasa mungu usiviite najisi, kwa maana cornelio nadiya aliyeupendeza moyo wa mungu kwa sadaka zake akakumbukwa japo ilikuwa mpagani,,mbwa kama wewe unavyomwita shilole,, basi kama wewe, hujaona umuhimu wa mungu kumtolea sadaka shilole ameuona!!!••••••
@danielmwasi54503 жыл бұрын
@@rosemuhando709 dada rozi sisi tuliookoka hatutakiwi kuyafanya yasio ya Mungu, huwezi kusema salamaleku kanisani hiyo ni michanganyo ,halafu kuleta chakula kanisani hiyo siyo sherehe, Yesu anasema mtu hawezi kuishi kwa mkate tu, bali kwa kila neno litokalo kwa bwana ,watu wa Mungu mmepotoka
@bjzee19813 жыл бұрын
Asalaam alaykum kanisani
@danielmwasi54503 жыл бұрын
Wanaleta usanii
@josephinajosephu68592 жыл бұрын
Kachapia😅😅
@blandinamyinga94892 жыл бұрын
Kawaida sana kama unatambua kuwa kuna ubinadamu na kiila mtu ana haki ya kuabudu anavyopenda
@tamaraseff.97073 жыл бұрын
Shish baby.congrats sanaaaaa
@s0phialwassa5743 жыл бұрын
Safi sana shilole
@ramadhanimtetu72463 жыл бұрын
Shashi Food juu Kwa Juu Maisha ni Safari Wacha tusafiri iLa kila Mtu Anafika kwa Muda wake.
@dotnathalazaro80783 жыл бұрын
Penda sana shilole
@nt44media72 жыл бұрын
Kansani asalam aleikum
@PazzahTz90903 жыл бұрын
Daaahhh Jambo jema hili nahisi wengi watatakiwa kukaa mbali na udinii....
@bjzee19813 жыл бұрын
Dini yenu. Ila yetu hairuhusu kuingia katika sehem ambazo si za ibada ya dini yetu. Na misikiti haingiliwi na watu ambao si waislam
@ramadhanimahongole87643 жыл бұрын
@@bjzee1981 tatizo din ya kislam ina mashariti mengi kama mganga wa kienyeji
@bjzee19813 жыл бұрын
@@ramadhanimahongole8764 . Masharti ya Mwenyezi Mungu. Ndio mana tumekatazwa ushenzi
@ramadhanimahongole87643 жыл бұрын
@@bjzee1981 mmungu hana masharit yasiyokuwa na mbele wala nyuma, anachotaka yeye kutoka kwako ni moyo safi tu basi.hayo masharti yoote mnayopangiwa siyo amri zake ni wanadamu waanzilishi wa imani hiyo waliamua kuwa madikteta kwa waumini wao ndo wakalisisha vizazi na vizazi hadi wewe kuamin
@mohdali24083 жыл бұрын
Umepotea
@margarethsolomon98233 жыл бұрын
Utabaki ulivyo.
@markodaniel26623 жыл бұрын
Wakristo wenzangu, hapo sio kanisani kwa masanja, bali ni kanisani kwa Yesu Kristo. Tujuwe kiuongea .
@abelnjiku53813 жыл бұрын
Safi sana
@hoseamligula80923 жыл бұрын
Khaaa jamani
@tumboabdallah71783 жыл бұрын
Dada umepotea sana kiki u nazotafuta zimepitiza
@jumjumanderson97153 жыл бұрын
Ok hongera kwa kushirikiana kwa njia yoyote bila kuzingatia dini. Ila pengine mahali pagumu kuelewa ni hapo pa kuleta wageni ambao si Wakristo (hawaamin Kufa kwa Yesu Msalabani) katika altar, that is my major concern. Would anyone politely enlightened me on this, ni sawa??
@RichardPhilipo13 жыл бұрын
Biblia haitufundishi kuwatenga wasiomwamini YESU. Unadhani tukiwatenga wasiomwamini Yesu, watawezaje kumjua na kumwamini? Tulipoambiwa kuwapenda jirani zetu (Mark 12:31), hatukuambiwa tuwapende wanaomwamini YESU pekee bali ni WOTE. Kumbuka YESU ni wa Wote. Be blessed!
@jumjumanderson97153 жыл бұрын
Nichek whatsup ndugu tuongee tu vizuri tuelimishian tu kwa upendo wa kazi ya Mungu... +254 712 982 711
@nenenelly76193 жыл бұрын
@@RichardPhilipo1 asant kaka
@RichardPhilipo13 жыл бұрын
@@jumjumanderson9715 sawasawa kaka
@sikukuuchuo30933 жыл бұрын
Kuna muda yafaa ujitambue umetoka wapi na waelekea wapi .Ni msiba mkubwa sana.
@dacruzfabrice64813 жыл бұрын
Baba levo Yupo wapiii😂😂😂😂
@kahema_steven3 жыл бұрын
Huyo ataharibu
@winnieemmanuel82552 жыл бұрын
😁😁😁😁
@mwl.timothysangayoni21373 жыл бұрын
😂😂😂🙆🙆😲😲
@joshuaadon52102 жыл бұрын
Mambo haya
@abdalahmohamedi18063 жыл бұрын
Shilole amekuja kuchukua dili la kupika hapo
@bjzee19813 жыл бұрын
Umeonaeee 😂
@allymbaruku6930 Жыл бұрын
Wasaniiiiiiii
@batildamahundiofficial94003 жыл бұрын
Ameren
@reaganlyimo62593 жыл бұрын
Duh
@yahyahamad18023 жыл бұрын
Wewe shilole mhhhh
@selinaselin89283 жыл бұрын
Tz watu kama hawa wangekuwepo udini usinge kuwepo mashallah
@hamisimfaumenamwewe1933 жыл бұрын
We unamuona amepatia kwasababu hujui Dini unajua kuimba kwaya.
@selinaselin89283 жыл бұрын
Kwaiyo ww unamungu wako au
@hamisimfaumenamwewe1933 жыл бұрын
@@selinaselin8928 Allah ndo Mungu wa wote. Sasa nyie si hamumtaki.
@selinaselin89283 жыл бұрын
@@hamisimfaumenamwewe193 ss mwenyewe tunaamini ivo kaka
@hamisimfaumenamwewe1933 жыл бұрын
@@selinaselin8928 Kuamini nini?
@abdulkareemseif18923 жыл бұрын
Yani uislam wa wasanii ni KAZI bure
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
Kwan muislam uyo mana sielew
@abdulkareemseif18923 жыл бұрын
@@zalhathasaid2060 anavodai ni muislam .kwani huoni maclip yao siku ya ramadhani
@@florenciamwambalaswa3965 kuna mambo akitaka kuyafanya atakua Tu kafiri wala sio uongo,,,km akiamini ukristo ni Sawa na uislam amekufuru
@kahema_steven3 жыл бұрын
Natamani siku moja nije niabudu mahari hapo
@josephatmtweve6534 Жыл бұрын
Uko poa
@gastomwalyaje20482 жыл бұрын
Kwakweli Mungu ndiye ajuaye tu yote
@aliyageorge67943 жыл бұрын
Shishi atafika Mbali sana!
@lugendodaudi55103 жыл бұрын
Kwani huyu bado co DC
@hamisimfaumenamwewe1933 жыл бұрын
Sifa za Allah anapewa kiumbe Yesu.
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
😀😀huu mtihani
@barakakidugutu9443 жыл бұрын
Yan nyie wachungaji Freemason hlo kundi la Bwana Yesu mnakolipeleka mtakuja kujuta siku yaujio wa Bwana wetu Yesu Kristo,
@henrymatebe14923 жыл бұрын
Acha mawazo hayo wewe
@okorecharles39923 жыл бұрын
Kama wewe ndiye Mungu ni sawa itakuwa hivyo.
@mosesjob45273 жыл бұрын
Usihukumu usije ukahukumiwa
@wisperfect53203 жыл бұрын
Uko freemason mpo wote?
@subilagamwakijengele5053 жыл бұрын
Toa boriti lako kwanza ndipo utoe kibanzi Cha masanja,hakuna awezae muhukumu mwenzie
@wangonamuhange82183 жыл бұрын
Shishi wewe ni mtu
@ndakozeramion56043 жыл бұрын
Uko mjinga wew
@jerryjuma13393 жыл бұрын
asalamalekum kanisani wapi na wapi? wewe masanja na hilo kanisa lako???
@shau783 жыл бұрын
asalamalekum maana yake ni amani iwe nanyi. simply
@habibahabiba71283 жыл бұрын
Ni lugha tu jaman
@emmiradorjunior31533 жыл бұрын
Hujui wewe.....salamu ni salamu tu.
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
@@shau78 wambie,hizo zote nisalamu hakiharibiki kitu
@omaryonga17763 жыл бұрын
Hiyo ni Salamu dogo
@hafidhali30203 жыл бұрын
Unalisha washiirikina ili wapate nguvu zaidi za kumkufuru Mungu?walati kuna mayatima hawajuwi wale nini .dhambi hii ulioitenda hapa utakwenda kuikuta kesho. Kwa Allah
Mbona asipeleke madrasa wakale wanafunz wanaosom Qur.an na mayatim hta maskini na mafukara
@ashrafbwana63923 жыл бұрын
Surprise I thought shishi is a Muslim
@aureliaissack83093 жыл бұрын
She is Muslim
@selemankishema57803 жыл бұрын
Dini za kidilidili tayari na wewe masanja una kakanisa kako kakusukumia maisha safi saana na wewe mjinga hiyo salam unaileta humu sijui hata unataka nini wewe kama unaenda kwa usanii wako nenda dini yetu ya uislam haina mahusiano na hiyo nenda kivyako
@bodernmejohn12103 жыл бұрын
Kwan nyie mna mungu wenu
@AbdulAbdul-pr9qe3 жыл бұрын
@@bodernmejohn1210 yes of course
@johnzacharia23083 жыл бұрын
Umesema Kweli ndugu, hamna mahusiano Kati ya waabudu majini na wanaomwabudu MUNGU aliye hai, yaani YESU KRISTO, kwahiyo upo sahihi ila shishi nimwungwana na neema ya wokovu itamfuata haijalishi usanii wake lakini kamtolea MUNGU aliye mwumba atabarikiwa
@selemankishema57803 жыл бұрын
@@johnzacharia2308 do!!! Hii kali labda nikujulishe sie tunamuabudu aliewaumba yesu, majini na kila kitu tunavyovijua na tusivyovijua sasa kama wewe unamuabudu elieumbwa au kilichoumbwa na mungu basi jiandae na kuishi motoni milele
@AbdulAbdul-pr9qe3 жыл бұрын
@@johnzacharia2308 😂😂😂😂 mbona hata mie nipo hai kwahiyo naweza nikawa Mungu wenu? Yesu dume na mie dume, yesu katahiliwa na mie nimetahiliwa, yesu kazaliwa na mie nimezaliwa yani tumetofautiana machache sana
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Mh! dini hizi,,,,,,,,huyu ndio TB Joshua wa Tanzania!!
@loycemkasanga59713 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@Churchofecclesia3 жыл бұрын
kinachokuuma n nn ww
@jumakapilima56743 жыл бұрын
@@Churchofecclesia acha unafiki!
@Churchofecclesia3 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 unafki gan,
@abelialsen53833 жыл бұрын
Mbarikiwe sana! Ila hiyo salam kanisani sio mahala pake, hata kama inamaana nzuri
@deograciakashaigili59733 жыл бұрын
Angebarikiwa saa ngapi sasa na waumini kama.asingesema mbèle ya madhabahu.. Hiyo ni sadaka. Sadaka inatangazwa madhabahuni pa Bwana na ndio maana Masanja anawaambia waumini wanyoshe mkono wambariki. Kwa Imani MUNGU amembariki sana pale.
@habibahabiba71283 жыл бұрын
Ulitaka iweje nae ni muislam, alaf ni swala LA lugha tu, ni Arabic, kwani kusema glory to God mbna ni kidhungu lakini tu naona ni Sawa inapotamkwa
@abelialsen53833 жыл бұрын
Ni kweli ni luga tu! Ila inatumiwa na waislam ni sawa na kusema bwana yesu asifiwe msikitini utaeleweka kweli
@wisperfect53203 жыл бұрын
Siyo mahali pake vipi kwanin yeye kamuita kanisan wakat ni muislam au hujui kilichompeleka maana hajaenda kusali
@teresiaraurent38033 жыл бұрын
Ile ni salam tu wala haina shida
@angelmunduli33913 жыл бұрын
Kuanzia leo nakula kwa shishi tuu
@gwakisanoah25383 жыл бұрын
Ama kizazi hiki kinapenda kulakula, yaani mithili ya nguruwe! Chakula kanisani? Na ibada mnafanya saa ngapi? Mara keki, wali, bigijii, biskuti na sasa biriani heeee! Kwa mizaha hii tabu hazitakoma. Fanyeni ibada nyie binadamu.
@lyrics_forum3 жыл бұрын
Pesa Inatafutwa guys, Huyu Binti yupo hapo Kimaslahi ya Brand, Kaona Matanzania ni Madishi ayazugie kidogo😂😂
@geremyshadrack91703 жыл бұрын
Hamna namna ..
@elizabethhonere29313 жыл бұрын
Kigogo unajua kuzurura🤣🤣🤣🤣
@margarethsolomon98233 жыл бұрын
Umeingiaje huku wewe?. Ulijualo ndilo. Kweni weye unachaguaga pa kula?
@magesamoses91143 жыл бұрын
hakuna kanisa hapo
@barakablessing53663 жыл бұрын
Fungua yako nonsense
@husseinchea55242 жыл бұрын
Kweli kabisa
@Alihamdulil3 жыл бұрын
Wallah Uko mjinga sana falaaaaa mjinga weee huna hata haya mjinga fala wewe mjinga hunatahaya huna wislimu wowote na Allah akunusuru kwakweli ila natambuwa hujakwenda Skool ni Quran ni normal éducation huna , hujawahi hata sikumjaa kwenda kupeleka masjid mjinga
@fanueliemanueli40263 жыл бұрын
Acha matusi wewe! Ujui kitu
@hamisimfaumenamwewe1933 жыл бұрын
Huna Dini wewe. Muhuni tu. Bwana Yesu asifiwe mmeipata wapi?
@Churchofecclesia3 жыл бұрын
kwan wewe kinachokuuma nn, YESU hakuja kwa ajili ya wenye haki n bali alikuja kwa ajili ya wenye dhambi kama hao
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Kwaiyo anamaanisha shishi Zambi zimemjaa
@mankamrema723 жыл бұрын
Huna hat haya bora shishi sio ww shetan mweny mguu mmoj hat maji ya bure hujawai toa
@hamisimfaumenamwewe1933 жыл бұрын
@@mankamrema72 Ubora wake nn?
@nilansaid29273 жыл бұрын
Sasa unataka kuwafundisha wakristo kuhusu dini yao? Wakristo wana Mungu wao na imani yao tofauti na dini nyingine na miungu mingine
@nhobolasilasi18713 жыл бұрын
Ujinga ulio kisili saana
@paulheavyrain95843 жыл бұрын
Sijui n mungu gani anayeabudiwa hapo. MUNGU sio wa michanganyo. Acha utani. Mungu haziakiwi. Go and invest in something else