MCHUNGAJI HANANJA AMVAA MFALME ZUMARIDI NA NABII GEORDAVIE KUSEMA WANAONGEA NA MUNGU

  Рет қаралды 289,757

SIMULIZI ZONE

SIMULIZI ZONE

Жыл бұрын

HUYU HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AKIWAJIA JUU MFALME ZUMARIDI NA NABII GEORDAVIE KWAMBA WANATAFUTA PESA

Пікірлер: 439
@spendjulius-qz9mt
@spendjulius-qz9mt Жыл бұрын
Nimekuelewa “ hapo wewe ni nuru ya kweli 💪🏿🙏🏻🙏🏻👍🏿
@NuruMbongo
@NuruMbongo 8 ай бұрын
Unajua na una hofu ya Mungu nimekupenda bule unajua kubariki moyo wangu ❤
@dastanfuraha2244
@dastanfuraha2244 Жыл бұрын
Mchungaji nakubali fact zako, maisha marefu nakutakia
@jennyalex4542
@jennyalex4542 Жыл бұрын
Jamani Mimi Nataman sana siku moja nimuone huyu mchungaji mungu nisaidie
@kosherasengasu5093
@kosherasengasu5093 Жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi wa MUNGU.Umejibu maswali ya mwandishi Kwa hekima Sana.
@kambiyusufu2776
@kambiyusufu2776 Жыл бұрын
Dah mzee nimekuelewa sana mungu akubaliki sana ameni
@stanleybulla
@stanleybulla 6 ай бұрын
Katika wachungaji wote nlowahi kuwasikiliza hapa dunia we ni namba moja hakuna anaekufikia uwezo ulokuwa nao you are a genius i ever see, God bless you forever and ever
@aloycemisigalo3983
@aloycemisigalo3983 Жыл бұрын
Mchungaji nimetokea kukuelewa bure kabisa, umeongea ukweli kabisa.
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 Жыл бұрын
Kiukweli mchuuungaji hananja uko sahihi kabisa 🙏🏼 Na kama ingekuwa Bure isiyo na malengo basi waumini wake wote wangepewa Ist 🤗👍💪🏽🤝
@patrickfanuel
@patrickfanuel 6 ай бұрын
❤❤Mchungaji nakukubali sana Mungu akupe maisha malefu hapa Duniani❤❤
@sarafinamlomo8132
@sarafinamlomo8132 Жыл бұрын
Amen!!! Ubarikiwe mchungaji!!! Yaani roho inaniuma sana kuhusu shusho Yaani kapigwa upofu kwa fedha kilichonichosha zaidi akampigia magoti Geordavi
@glaury9938
@glaury9938 Жыл бұрын
Wewe hela ni muhimu na pia elia alihudumiwa na kunguru na kupiga magoti sio kusujudu acha kuhukumu napenda uendelee kumpenda kristina by glory france
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Mch.Hananja cku zote anasema ukweli❤❤❤❤
@stanleybulla
@stanleybulla 6 ай бұрын
Wewe ni pastor unaejua jinsi Mungu anavyotenda kazi, unajua kutenganisha Mungu anasimama wapi na Mambo ya kawaida yanatakiwa yaweje Hakuna muumin wako atakuwa mbumbumbu maana una madini ya kutosha. Nakukubali 💯
@valeriamtenga3384
@valeriamtenga3384 Жыл бұрын
Nimejifunza sana juu ya huyu baba! Baba una kitu cha Mungu ambapo mtu hawezi kukuelewa, Asante kwa maneno ya hekima Barikiwa
@sadatamal3655
@sadatamal3655 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@magrethmbaga1089
@magrethmbaga1089 Жыл бұрын
Kweli kabisa baba
@wanyooshetv9987
@wanyooshetv9987 6 ай бұрын
Sasa umemuelewaje na haeleweki?😁😏
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 6 ай бұрын
​@@wanyooshetv9987 Wenzako tunamuelewa
@1961nungwi
@1961nungwi 5 ай бұрын
Mbona unasema mtu hawezi kumuelewa wakati ameele weka vizuri?😂
@user-vm2fq7ve1q
@user-vm2fq7ve1q 11 ай бұрын
Nampenda huyu mchungaji, MUNGU azidi kukubariki.
@priencedamdoek508
@priencedamdoek508 Жыл бұрын
Nakukubali sana mchungaji, Mungu akupe miaka mingi na Afya njema. Uendelee kutuelimisha Baba.
@SephaniaSanga
@SephaniaSanga 4 күн бұрын
Yes Alistair Walton language nawajua Rv anaongea maneno ya kuwasaidia watu mazuma watabaki manyumbu hongera sana Rv hananja
@suzandavd5213
@suzandavd5213 6 ай бұрын
❤ barikiwa mchungaji chukua maua yako baba
@sebastianharun800
@sebastianharun800 Жыл бұрын
Mchungaji nimekukubari kwa hii interview Mungu akubariki Sana ninakuombea
@ladymzana4511
@ladymzana4511 Жыл бұрын
Umejibu vizuri, nyumba sio kanisa, muislamu unampangisha, na mkristo unampangisha. Muislamu akiwa na pesa nyingi unampangisha huchagui, binaadamu wote ni sawa, wewe ni mtu muhimu sana kwenye dini zetu, muislamu akiwa na hela nyingi unampangisha, hata maduka huchagui hili la mkristo ndio ununue hili la muislamu usinunue, maduka yote tunanunua bidhaa.
@PendoSilvester-gx3je
@PendoSilvester-gx3je 7 ай бұрын
Baba Mungu akubark San upo sawasaw na neno.. Mungu azid kukupa upeo wa kuzibua akili za watu zilizo fungwa.. Amen
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 6 ай бұрын
Mzee wangu mungu akupe maisha marefu xana, Tunduma border tunakukibali xana fyeka
@barakarichOfficial1
@barakarichOfficial1 6 ай бұрын
Alafu Usiandike mungu apana sema Mungu elufi yakwanza kubwa mungu siyo mkuu ila Mungu ndio Mkuu
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 Ай бұрын
Safi Sana mch.hananja.yaaa Allah tunakuomba MTU huyu usiichukue roho yake mpaka asilimu.akutambue Wewe na akuabudu Wewe yaa Rabby.tunampenda Hekma na busara zake.yaa Rabby tunaomba aslimu huyu.aijue dini ya kweli.mtu WA mana Sana hananja
@dancanasenaobondo189
@dancanasenaobondo189 Жыл бұрын
Swali hili limenisumbua kwa mda mrefu, Sasa nimejibiwa hongera sana mchungaji.
@charlescharles6375
@charlescharles6375 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 5 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@user-lx6hx2wb8g
@user-lx6hx2wb8g 5 ай бұрын
Wachungaji kama hawa hua hawadumu pia hua na maisha magumu kwa sababu hua wanahubir kweli wengi wanawachukia..mungu akutie nguvu
@NakembetwaKitundu-tn7xx
@NakembetwaKitundu-tn7xx 6 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi maana nguvu ya MUNGU haiuzwi.
@glaury9938
@glaury9938 Жыл бұрын
Nakupenda sana paster wewe ni mkweli kabisa asante yesu kwa huyu paster
@francisjohn2876
@francisjohn2876 Жыл бұрын
Mchungaji ni muwazi sana ni msema kweli mungu akujaalie katika harakati zako Amin
@westmanmoses541
@westmanmoses541 Жыл бұрын
Hananja anamuunga mkono lema
@jolemerci2155
@jolemerci2155 Жыл бұрын
@@westmanmoses541 uyu mutumishi Wa mungu ni mu kweli mtupu ila naomba akumbuke kusema kuhusu kesi la muchungaji mbarikiwa Mwa kipesile mbona Tanzania ni kimya kuhusu kesi la mbalikiwa hâta vyombo vya habari kimya kabisa inamaana mbarikiwa ni mtu wa mbinguni kabisa kabisa sababu watu Wa hapa duniani hawaongelei ikiwa kwa wema ao kwa ubaya mbona kimya ?
@davidmembedalamethepsalmis2885
@davidmembedalamethepsalmis2885 Жыл бұрын
Well answered my pastor
@johnsonkonyonyi2559
@johnsonkonyonyi2559 Жыл бұрын
Nimekulewa mchungaji uko vizuri unafafanua kuptia bibilia unaielewa bibilia vizuri sana mungu akubariki
@shebemsala26
@shebemsala26 Жыл бұрын
Watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa ..yaani wanatoa sadaka wengine wanafanya show up..barikiwa mchungaji umesema point.. mwenye sikio na asikie
@mariakisinda-pe7us
@mariakisinda-pe7us 6 ай бұрын
Hongera mchungaji
@dorcasmasinde7349
@dorcasmasinde7349 4 ай бұрын
Tungekuwa na watumishi wa Mungu watatu wenye hekima kama Huyu ulimwenguni hatungelikuwa na dini nyingi duniani.mungu na amuzidishie huyu mtumishi hii hekima ya kipekee.
@SephaniaSanga
@SephaniaSanga 4 күн бұрын
Kama keeling watu wanasikiliza mahubiri ya mchungaji huyu watatokana na umamuma na unyumbu hongera sana
@AnneSampegete
@AnneSampegete Жыл бұрын
Tungekua na wachungaji kama hawa maelf naona watu tungelikua tunaishi maisha ya kiukweli big up mchungaji msema kweli mungu akuzidishie uendelee kuelimisha
@sekelakatitu9419
@sekelakatitu9419 6 ай бұрын
Nakuelewa sanaaa na kukubali baba mchungaj
@JSStationary
@JSStationary 8 ай бұрын
Aminaaa ubarikiwe sana Mchungaji Hananja unasema ukweliii.
@florencemwanansao834
@florencemwanansao834 Жыл бұрын
Dah huyu nimemuelewa. Mungu akubariki sana
@mangasakahuza2466
@mangasakahuza2466 Жыл бұрын
Love Sana mzee hananja unaongea fact
@user-zt3ug9wv7f
@user-zt3ug9wv7f 5 ай бұрын
Huyu mchungaji yupo vizur sana napenda uchanganuzi wake Mungu akubariki zaid 🇰🇪
@burilohomestudio6783
@burilohomestudio6783 Жыл бұрын
Jamani huyu jamaa n genius
@EddySimonmushi
@EddySimonmushi 6 ай бұрын
Kweli we ni pastor wa kweli kabisa mungu akubariki sana
@babyakasha4002
@babyakasha4002 6 ай бұрын
Daaaah kwa comments hizi za wachangiaji Bwana azidi kuwa pamoja nawe🙏 Umefunguka Live bila chenga.
@blaisemugisha7570
@blaisemugisha7570 Жыл бұрын
Mungu azidi kk bariki sana kwa ukweli unavyo ogeya napenda sana mafudisho yako pastor 🙏🙏
@tatuhamza4677
@tatuhamza4677 7 ай бұрын
Mm nashukuru Mungu nimezaliwa kwenye diniyahaki uislamu nidni yahaki❤❤❤
@lightnesselirehema1464
@lightnesselirehema1464 6 ай бұрын
Mungu akusaidie umjue Mungu
@valeriamtenga3384
@valeriamtenga3384 Жыл бұрын
Nuru haiwezi kuangaza nuru yenzake, bali nuru huangaza giza, ili giza likimbie,mana nuru ikiingia giza halikai Ameeeen
@user-tn7ic2ky3i
@user-tn7ic2ky3i 7 ай бұрын
Ubarikiwe Mchungaji kwa maneno ya busara
@user-un9qw8hv2h
@user-un9qw8hv2h 3 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji akupe maisha marefu.
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 Жыл бұрын
Super genius Mch Hananja nakukubali sanaaaaaaa
@blankedward9921
@blankedward9921 Жыл бұрын
U
@honestmsigwa920
@honestmsigwa920 Жыл бұрын
Nimekuelewa sana zaidi ya saaaana.
@abasingaruka1872
@abasingaruka1872 5 ай бұрын
Hongera mchungaji Hamanja mafundisho yako yanatosheleza na kueleweka, Fundisha zaidi,
@user-up6kc5xv4n
@user-up6kc5xv4n 6 ай бұрын
Heri anayesema ukweli maana huwaponya wengi,uishi maisha marefu baba
@devotajulius7572
@devotajulius7572 7 ай бұрын
Hongera sana mchungaji unaogea ukweli kabisa .
@user-un9qw8hv2h
@user-un9qw8hv2h 3 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji akupemaish malef
@burilohomestudio6783
@burilohomestudio6783 Жыл бұрын
Daaah ila huyu mzee❤❤❤❤❤
@daudinyello4033
@daudinyello4033 6 ай бұрын
SAFI PASTOR, Hata Mtume wetu MUHAMMAD(s.a.w) wakati akiwa na Maswahaba/Wanafunzi wake aliona Jeneza kwa mbali likipita akatoa ishara ya kuhuzunika ndipo mmoja kati ya Wanafunzi wake wakamuuliza kwanini unahuzunika wakati yule aliekufa ni Mkristo? Akawajibu; YULE PIA NI BINADAMU. MTUME MUHAMMAD ALIPENDA WATU WOTE.
@MohammedAwadh-gq9si
@MohammedAwadh-gq9si 7 ай бұрын
Ni ukweli kabisa ! ALLAH akuongoze !
@jamessonjoro7650
@jamessonjoro7650 6 ай бұрын
Mungu akubaliki sana unajua sana kusema kweli ubalikiwe
@mulebyamatoke3493
@mulebyamatoke3493 Жыл бұрын
Isee dingi noma, nimekuelewa sana ubarikiwe!
@faustinejoseph7702
@faustinejoseph7702 Жыл бұрын
Bonge ya mtumishi! Angejengewa mnaraaa
@loveme6056
@loveme6056 Жыл бұрын
Aliyenisikitisha zaidi ni Christina Shusho,,,Mungu akupe macho ya Rohoni we mama
@ceciliahezron8794
@ceciliahezron8794 Жыл бұрын
Amefanyaje?
@mohsixtus7048
@mohsixtus7048 7 ай бұрын
Ameipenda Sana Dunia
@sunnynicks8440
@sunnynicks8440 Жыл бұрын
Pastor may Almighty God strengthen you🙏🙏
@user-ve7gj5my7o
@user-ve7gj5my7o 7 ай бұрын
Kwa kwelii mm nakuelewa xana mungu akubariki xana
@peaceappolinarygahene9646
@peaceappolinarygahene9646 Жыл бұрын
Mungu akulinde uzidi kutuelewesha.
@ZAMYLFILM
@ZAMYLFILM Жыл бұрын
Allah akujaalie uwe muislam nakupenda sana pastor unaongea ukweli, inshaallah Allah akufanyie wepesi uwe muislam.
@mohsixtus7048
@mohsixtus7048 7 ай бұрын
😂
@amosmasele1398
@amosmasele1398 7 ай бұрын
Uislam Tena!
@anajohn8132
@anajohn8132 6 ай бұрын
Kwa nn wewe usiwe mkristo😂
@user-cz7kz7cj9v
@user-cz7kz7cj9v 5 ай бұрын
Mungu akubariki Mtumishi.
@agnessima5032
@agnessima5032 7 ай бұрын
..hatusemi matukio yetu mabaya watu watakung'ang'ania😂😂😂😂❤hatusemi.
@agnessima5032
@agnessima5032 7 ай бұрын
Wakristo wamevaa nguo utafikiri wamesahau umri wao...😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤
@user-up6kc5xv4n
@user-up6kc5xv4n 6 ай бұрын
Heri anayesema ukweli maana huwaponya wengi,,uishi miaka mingi,ukifa huozi❤❤
@juventjustinianaloyse6640
@juventjustinianaloyse6640 Жыл бұрын
duuuuu uyu mchungaji Kiboko nmekupenda bure alelleluyaaaaaa
@janepherprince3833
@janepherprince3833 6 ай бұрын
Amen Pastor nakuelewa sana
@hamadiselemani8665
@hamadiselemani8665 Жыл бұрын
aaaaahhhhhhh aaaaahhhhh Nimepata elimu na kucheka sana
@maryeer6392
@maryeer6392 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 napenda huyu mchungaji 🤣🤣🤣 si choki kumsikiza gai 🇰🇪🇰🇪🙏.
@jofuprince2294
@jofuprince2294 Жыл бұрын
Daaah aiseee nimecheka kinoma noma tena kwasauti kubwa, kwasababu umeongea ukweli mtupu
@kilianmalegea166
@kilianmalegea166 Жыл бұрын
Well said pastor !
@user-tn5gf5hz2e
@user-tn5gf5hz2e 5 ай бұрын
Asante mchungaji napendaga mafundisho yako ya ndoa sana
@andrewlkashusha135
@andrewlkashusha135 Жыл бұрын
Namkubali kiongoz huyu sana !
@TimotheoBulimwengu
@TimotheoBulimwengu 5 ай бұрын
Aminaaaaah Aminaaaah Aminaaaaah Baba fumbuwa wa kristo macho kabisa
@mucochanella1672
@mucochanella1672 Жыл бұрын
Mungu akubaliki pasta
@DanielJackson-vd2jw
@DanielJackson-vd2jw 6 ай бұрын
Be blessed, Fact is spoken
@frankmwakalinga7455
@frankmwakalinga7455 Жыл бұрын
Ameen 🙏 kweli watu hawasomi Bible kama waumini wa kibwetele alichoma zaidi ya watu700 kwa kutokusoma biblia
@jumafish233
@jumafish233 Жыл бұрын
😂😂😂aisee huyu mchungaji nakubali sana anahekma sana😂😂😂
@rosehaule6765
@rosehaule6765 7 ай бұрын
😂😂😂nakupendaga sana ahahahaaa wamekubaliqna kununa mafuta kwa mwamposa 😅😅ndio nakupenda sana umejibu vema wakasime biblia❤
@herriethabdallah598
@herriethabdallah598 Жыл бұрын
Nampenda San jamani uyu baba
@saidishineni7966
@saidishineni7966 7 ай бұрын
Hananja big UP BROTHER kwenye macho haambiwi tizama
@juliusmshana7187
@juliusmshana7187 Жыл бұрын
Nakukubali Sana mtimishi
@user-es4jv6pb8x
@user-es4jv6pb8x Ай бұрын
Mtumishi Hongera sana kwa kweli
@repsphrs5051
@repsphrs5051 Жыл бұрын
Kila cku nilikuwa najiuliza why wasanii kila siku wanakimbilia kule? Magari kila siku? Now swali langu limejibiwa! Mchungaji kuanzia leo mi ni shabiki wako namba moja
@christianleonard8308
@christianleonard8308 Жыл бұрын
Well say Pastor 🙌🙌🙌🙌
@tunsumemwajumba7149
@tunsumemwajumba7149 Жыл бұрын
Nakukubali sana mchungaji wangu
@KhamisFundi-rb9zp
@KhamisFundi-rb9zp Жыл бұрын
Ahsanteee sana mzee
@mwanabucheyeki226
@mwanabucheyeki226 Жыл бұрын
Kwa Maelezo mazuri hivyo, napendekeza uwe NABII MKUU TANZANIA. Sijawahi ona mwingine wa Imani za Kiroho aliye Mkweli kama wewe!
@yesunialamayakiama.9013
@yesunialamayakiama.9013 6 ай бұрын
Wapo ila hawajioneshagi mitandaoni. Hata mimi mbali na kuwa Mwl. wa Biblia ninamkubali sana. ❤
@JanuaryNicholas-im7ee
@JanuaryNicholas-im7ee Жыл бұрын
Ubarkiw mchungaji
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 Жыл бұрын
MWAMPOSA KAJENGA HOTEL KUBWA SANA, WAJINGA NDIO WALIWAO, WATU WALIBEBA MAJI WAKASAFIRI NAYO MPAKA MWANZA, TOKA DAR, MAKATUNI NA MAKATUNI.
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 Жыл бұрын
Eeeh 😂😂😂 na tutaenda kunyanduana humohumo hotelini
@DANIELMZAVA
@DANIELMZAVA Жыл бұрын
Kiukwel much huyu apewe ulinzi Mungu amulinde
@abdremaneali7818
@abdremaneali7818 Жыл бұрын
Nankubali huyu mzee.
@user-sy8dc6yx4h
@user-sy8dc6yx4h 6 ай бұрын
Yaani umeongea ukweli baba🎉🎉🎉🎉,Na mwenyesikio asikieeee
@monicamsile2284
@monicamsile2284 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@user-qq6cc1kc5r
@user-qq6cc1kc5r Жыл бұрын
Mchungaji nimekuerewa SoMo rako mungu abariki kazi yako ya kutufundisha na kupata ujumbe mwema 13:56
@amanidicksoni3945
@amanidicksoni3945 7 ай бұрын
Mchungaji ww ni nooma uko vizuri 🎉
@JulianaMisangu
@JulianaMisangu 7 ай бұрын
Amen pastor
@Filopolazalo
@Filopolazalo Жыл бұрын
safi sans baba yangu wa kiroho
@elimishanyamoga6797
@elimishanyamoga6797 7 ай бұрын
Genius Sana uyu❤
@robertsongola6034
@robertsongola6034 5 ай бұрын
Huyu ni mchungaji aliye kamilika na nimsema kweli ya Mungu sio muumini wa kusema kila kila neno la bibilia ni fumbo
Incredible magic 🤯✨
00:53
America's Got Talent
Рет қаралды 62 МЛН
Hizi hapa dakika 15 tu! za Kufurahi na Mch. Hananja. UDSM CCT.
15:29
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 885 М.
MCHUNGAJI HANANJA ATOA SIRI ILIYO FANYA  KUACHA UCHUNGAJI.
7:36
KAGOZI PRO TV
Рет қаралды 4,6 М.
CHE CHE ZA MCH HANANJA KWA WACHUNGAJI WANAO GAWA PESA
13:16
Mbengo Tv
Рет қаралды 50 М.