HUYU HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AKIWAJIA JUU MFALME ZUMARIDI NA NABII GEORDAVIE KWAMBA WANATAFUTA PESA
Пікірлер: 439
@spendjulius-qz9mt Жыл бұрын
Nimekuelewa “ hapo wewe ni nuru ya kweli 💪🏿🙏🏻🙏🏻👍🏿
@NuruMbongo8 ай бұрын
Unajua na una hofu ya Mungu nimekupenda bule unajua kubariki moyo wangu ❤
@dastanfuraha2244 Жыл бұрын
Mchungaji nakubali fact zako, maisha marefu nakutakia
@jennyalex4542 Жыл бұрын
Jamani Mimi Nataman sana siku moja nimuone huyu mchungaji mungu nisaidie
@kosherasengasu5093 Жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi wa MUNGU.Umejibu maswali ya mwandishi Kwa hekima Sana.
@kambiyusufu2776 Жыл бұрын
Dah mzee nimekuelewa sana mungu akubaliki sana ameni
@stanleybulla6 ай бұрын
Katika wachungaji wote nlowahi kuwasikiliza hapa dunia we ni namba moja hakuna anaekufikia uwezo ulokuwa nao you are a genius i ever see, God bless you forever and ever
Kiukweli mchuuungaji hananja uko sahihi kabisa 🙏🏼 Na kama ingekuwa Bure isiyo na malengo basi waumini wake wote wangepewa Ist 🤗👍💪🏽🤝
@patrickfanuel6 ай бұрын
❤❤Mchungaji nakukubali sana Mungu akupe maisha malefu hapa Duniani❤❤
@sarafinamlomo8132 Жыл бұрын
Amen!!! Ubarikiwe mchungaji!!! Yaani roho inaniuma sana kuhusu shusho Yaani kapigwa upofu kwa fedha kilichonichosha zaidi akampigia magoti Geordavi
@glaury9938 Жыл бұрын
Wewe hela ni muhimu na pia elia alihudumiwa na kunguru na kupiga magoti sio kusujudu acha kuhukumu napenda uendelee kumpenda kristina by glory france
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Mch.Hananja cku zote anasema ukweli❤❤❤❤
@stanleybulla6 ай бұрын
Wewe ni pastor unaejua jinsi Mungu anavyotenda kazi, unajua kutenganisha Mungu anasimama wapi na Mambo ya kawaida yanatakiwa yaweje Hakuna muumin wako atakuwa mbumbumbu maana una madini ya kutosha. Nakukubali 💯
@valeriamtenga3384 Жыл бұрын
Nimejifunza sana juu ya huyu baba! Baba una kitu cha Mungu ambapo mtu hawezi kukuelewa, Asante kwa maneno ya hekima Barikiwa
@sadatamal3655 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@magrethmbaga1089 Жыл бұрын
Kweli kabisa baba
@wanyooshetv99876 ай бұрын
Sasa umemuelewaje na haeleweki?😁😏
@gabrielmoses68606 ай бұрын
@@wanyooshetv9987 Wenzako tunamuelewa
@1961nungwi5 ай бұрын
Mbona unasema mtu hawezi kumuelewa wakati ameele weka vizuri?😂
@user-vm2fq7ve1q11 ай бұрын
Nampenda huyu mchungaji, MUNGU azidi kukubariki.
@priencedamdoek508 Жыл бұрын
Nakukubali sana mchungaji, Mungu akupe miaka mingi na Afya njema. Uendelee kutuelimisha Baba.
@SephaniaSanga4 күн бұрын
Yes Alistair Walton language nawajua Rv anaongea maneno ya kuwasaidia watu mazuma watabaki manyumbu hongera sana Rv hananja
@suzandavd52136 ай бұрын
❤ barikiwa mchungaji chukua maua yako baba
@sebastianharun800 Жыл бұрын
Mchungaji nimekukubari kwa hii interview Mungu akubariki Sana ninakuombea
@ladymzana4511 Жыл бұрын
Umejibu vizuri, nyumba sio kanisa, muislamu unampangisha, na mkristo unampangisha. Muislamu akiwa na pesa nyingi unampangisha huchagui, binaadamu wote ni sawa, wewe ni mtu muhimu sana kwenye dini zetu, muislamu akiwa na hela nyingi unampangisha, hata maduka huchagui hili la mkristo ndio ununue hili la muislamu usinunue, maduka yote tunanunua bidhaa.
@PendoSilvester-gx3je7 ай бұрын
Baba Mungu akubark San upo sawasaw na neno.. Mungu azid kukupa upeo wa kuzibua akili za watu zilizo fungwa.. Amen
@amisamaurid18826 ай бұрын
Mzee wangu mungu akupe maisha marefu xana, Tunduma border tunakukibali xana fyeka
@barakarichOfficial16 ай бұрын
Alafu Usiandike mungu apana sema Mungu elufi yakwanza kubwa mungu siyo mkuu ila Mungu ndio Mkuu
@mwanaikaomar8628Ай бұрын
Safi Sana mch.hananja.yaaa Allah tunakuomba MTU huyu usiichukue roho yake mpaka asilimu.akutambue Wewe na akuabudu Wewe yaa Rabby.tunampenda Hekma na busara zake.yaa Rabby tunaomba aslimu huyu.aijue dini ya kweli.mtu WA mana Sana hananja
@dancanasenaobondo189 Жыл бұрын
Swali hili limenisumbua kwa mda mrefu, Sasa nimejibiwa hongera sana mchungaji.
@charlescharles63756 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@shaamemchauru13655 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@user-lx6hx2wb8g5 ай бұрын
Wachungaji kama hawa hua hawadumu pia hua na maisha magumu kwa sababu hua wanahubir kweli wengi wanawachukia..mungu akutie nguvu
@NakembetwaKitundu-tn7xx6 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi maana nguvu ya MUNGU haiuzwi.
@glaury9938 Жыл бұрын
Nakupenda sana paster wewe ni mkweli kabisa asante yesu kwa huyu paster
@francisjohn2876 Жыл бұрын
Mchungaji ni muwazi sana ni msema kweli mungu akujaalie katika harakati zako Amin
@westmanmoses541 Жыл бұрын
Hananja anamuunga mkono lema
@jolemerci2155 Жыл бұрын
@@westmanmoses541 uyu mutumishi Wa mungu ni mu kweli mtupu ila naomba akumbuke kusema kuhusu kesi la muchungaji mbarikiwa Mwa kipesile mbona Tanzania ni kimya kuhusu kesi la mbalikiwa hâta vyombo vya habari kimya kabisa inamaana mbarikiwa ni mtu wa mbinguni kabisa kabisa sababu watu Wa hapa duniani hawaongelei ikiwa kwa wema ao kwa ubaya mbona kimya ?
@davidmembedalamethepsalmis2885 Жыл бұрын
Well answered my pastor
@johnsonkonyonyi2559 Жыл бұрын
Nimekulewa mchungaji uko vizuri unafafanua kuptia bibilia unaielewa bibilia vizuri sana mungu akubariki
@shebemsala26 Жыл бұрын
Watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa ..yaani wanatoa sadaka wengine wanafanya show up..barikiwa mchungaji umesema point.. mwenye sikio na asikie
@mariakisinda-pe7us6 ай бұрын
Hongera mchungaji
@dorcasmasinde73494 ай бұрын
Tungekuwa na watumishi wa Mungu watatu wenye hekima kama Huyu ulimwenguni hatungelikuwa na dini nyingi duniani.mungu na amuzidishie huyu mtumishi hii hekima ya kipekee.
@SephaniaSanga4 күн бұрын
Kama keeling watu wanasikiliza mahubiri ya mchungaji huyu watatokana na umamuma na unyumbu hongera sana
@AnneSampegete Жыл бұрын
Tungekua na wachungaji kama hawa maelf naona watu tungelikua tunaishi maisha ya kiukweli big up mchungaji msema kweli mungu akuzidishie uendelee kuelimisha
@sekelakatitu94196 ай бұрын
Nakuelewa sanaaa na kukubali baba mchungaj
@JSStationary8 ай бұрын
Aminaaa ubarikiwe sana Mchungaji Hananja unasema ukweliii.
@florencemwanansao834 Жыл бұрын
Dah huyu nimemuelewa. Mungu akubariki sana
@mangasakahuza2466 Жыл бұрын
Love Sana mzee hananja unaongea fact
@user-zt3ug9wv7f5 ай бұрын
Huyu mchungaji yupo vizur sana napenda uchanganuzi wake Mungu akubariki zaid 🇰🇪
@burilohomestudio6783 Жыл бұрын
Jamani huyu jamaa n genius
@EddySimonmushi6 ай бұрын
Kweli we ni pastor wa kweli kabisa mungu akubariki sana
@babyakasha40026 ай бұрын
Daaaah kwa comments hizi za wachangiaji Bwana azidi kuwa pamoja nawe🙏 Umefunguka Live bila chenga.
@blaisemugisha7570 Жыл бұрын
Mungu azidi kk bariki sana kwa ukweli unavyo ogeya napenda sana mafudisho yako pastor 🙏🙏
@tatuhamza46777 ай бұрын
Mm nashukuru Mungu nimezaliwa kwenye diniyahaki uislamu nidni yahaki❤❤❤
@lightnesselirehema14646 ай бұрын
Mungu akusaidie umjue Mungu
@valeriamtenga3384 Жыл бұрын
Nuru haiwezi kuangaza nuru yenzake, bali nuru huangaza giza, ili giza likimbie,mana nuru ikiingia giza halikai Ameeeen
@user-tn7ic2ky3i7 ай бұрын
Ubarikiwe Mchungaji kwa maneno ya busara
@user-un9qw8hv2h3 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji akupe maisha marefu.
@emmanuelmayunga1518 Жыл бұрын
Super genius Mch Hananja nakukubali sanaaaaaaa
@blankedward9921 Жыл бұрын
U
@honestmsigwa920 Жыл бұрын
Nimekuelewa sana zaidi ya saaaana.
@abasingaruka18725 ай бұрын
Hongera mchungaji Hamanja mafundisho yako yanatosheleza na kueleweka, Fundisha zaidi,
@user-up6kc5xv4n6 ай бұрын
Heri anayesema ukweli maana huwaponya wengi,uishi maisha marefu baba
@devotajulius75727 ай бұрын
Hongera sana mchungaji unaogea ukweli kabisa .
@user-un9qw8hv2h3 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji akupemaish malef
@burilohomestudio6783 Жыл бұрын
Daaah ila huyu mzee❤❤❤❤❤
@daudinyello40336 ай бұрын
SAFI PASTOR, Hata Mtume wetu MUHAMMAD(s.a.w) wakati akiwa na Maswahaba/Wanafunzi wake aliona Jeneza kwa mbali likipita akatoa ishara ya kuhuzunika ndipo mmoja kati ya Wanafunzi wake wakamuuliza kwanini unahuzunika wakati yule aliekufa ni Mkristo? Akawajibu; YULE PIA NI BINADAMU. MTUME MUHAMMAD ALIPENDA WATU WOTE.
@MohammedAwadh-gq9si7 ай бұрын
Ni ukweli kabisa ! ALLAH akuongoze !
@jamessonjoro76506 ай бұрын
Mungu akubaliki sana unajua sana kusema kweli ubalikiwe
@mulebyamatoke3493 Жыл бұрын
Isee dingi noma, nimekuelewa sana ubarikiwe!
@faustinejoseph7702 Жыл бұрын
Bonge ya mtumishi! Angejengewa mnaraaa
@loveme6056 Жыл бұрын
Aliyenisikitisha zaidi ni Christina Shusho,,,Mungu akupe macho ya Rohoni we mama
@ceciliahezron8794 Жыл бұрын
Amefanyaje?
@mohsixtus70487 ай бұрын
Ameipenda Sana Dunia
@sunnynicks8440 Жыл бұрын
Pastor may Almighty God strengthen you🙏🙏
@user-ve7gj5my7o7 ай бұрын
Kwa kwelii mm nakuelewa xana mungu akubariki xana
@peaceappolinarygahene9646 Жыл бұрын
Mungu akulinde uzidi kutuelewesha.
@ZAMYLFILM Жыл бұрын
Allah akujaalie uwe muislam nakupenda sana pastor unaongea ukweli, inshaallah Allah akufanyie wepesi uwe muislam.
@mohsixtus70487 ай бұрын
😂
@amosmasele13987 ай бұрын
Uislam Tena!
@anajohn81326 ай бұрын
Kwa nn wewe usiwe mkristo😂
@user-cz7kz7cj9v5 ай бұрын
Mungu akubariki Mtumishi.
@agnessima50327 ай бұрын
..hatusemi matukio yetu mabaya watu watakung'ang'ania😂😂😂😂❤hatusemi.
@agnessima50327 ай бұрын
Wakristo wamevaa nguo utafikiri wamesahau umri wao...😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤
@user-up6kc5xv4n6 ай бұрын
Heri anayesema ukweli maana huwaponya wengi,,uishi miaka mingi,ukifa huozi❤❤
Asante mchungaji napendaga mafundisho yako ya ndoa sana
@andrewlkashusha135 Жыл бұрын
Namkubali kiongoz huyu sana !
@TimotheoBulimwengu5 ай бұрын
Aminaaaaah Aminaaaah Aminaaaaah Baba fumbuwa wa kristo macho kabisa
@mucochanella1672 Жыл бұрын
Mungu akubaliki pasta
@DanielJackson-vd2jw6 ай бұрын
Be blessed, Fact is spoken
@frankmwakalinga7455 Жыл бұрын
Ameen 🙏 kweli watu hawasomi Bible kama waumini wa kibwetele alichoma zaidi ya watu700 kwa kutokusoma biblia
@jumafish233 Жыл бұрын
😂😂😂aisee huyu mchungaji nakubali sana anahekma sana😂😂😂
@rosehaule67657 ай бұрын
😂😂😂nakupendaga sana ahahahaaa wamekubaliqna kununa mafuta kwa mwamposa 😅😅ndio nakupenda sana umejibu vema wakasime biblia❤
@herriethabdallah598 Жыл бұрын
Nampenda San jamani uyu baba
@saidishineni79667 ай бұрын
Hananja big UP BROTHER kwenye macho haambiwi tizama
@juliusmshana7187 Жыл бұрын
Nakukubali Sana mtimishi
@user-es4jv6pb8xАй бұрын
Mtumishi Hongera sana kwa kweli
@repsphrs5051 Жыл бұрын
Kila cku nilikuwa najiuliza why wasanii kila siku wanakimbilia kule? Magari kila siku? Now swali langu limejibiwa! Mchungaji kuanzia leo mi ni shabiki wako namba moja
@christianleonard8308 Жыл бұрын
Well say Pastor 🙌🙌🙌🙌
@tunsumemwajumba7149 Жыл бұрын
Nakukubali sana mchungaji wangu
@KhamisFundi-rb9zp Жыл бұрын
Ahsanteee sana mzee
@mwanabucheyeki226 Жыл бұрын
Kwa Maelezo mazuri hivyo, napendekeza uwe NABII MKUU TANZANIA. Sijawahi ona mwingine wa Imani za Kiroho aliye Mkweli kama wewe!
@yesunialamayakiama.90136 ай бұрын
Wapo ila hawajioneshagi mitandaoni. Hata mimi mbali na kuwa Mwl. wa Biblia ninamkubali sana. ❤
@JanuaryNicholas-im7ee Жыл бұрын
Ubarkiw mchungaji
@oliviaseth4652 Жыл бұрын
MWAMPOSA KAJENGA HOTEL KUBWA SANA, WAJINGA NDIO WALIWAO, WATU WALIBEBA MAJI WAKASAFIRI NAYO MPAKA MWANZA, TOKA DAR, MAKATUNI NA MAKATUNI.
@nantaembanusurupia5674 Жыл бұрын
Eeeh 😂😂😂 na tutaenda kunyanduana humohumo hotelini
@DANIELMZAVA Жыл бұрын
Kiukwel much huyu apewe ulinzi Mungu amulinde
@abdremaneali7818 Жыл бұрын
Nankubali huyu mzee.
@user-sy8dc6yx4h6 ай бұрын
Yaani umeongea ukweli baba🎉🎉🎉🎉,Na mwenyesikio asikieeee
@monicamsile2284 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@user-qq6cc1kc5r Жыл бұрын
Mchungaji nimekuerewa SoMo rako mungu abariki kazi yako ya kutufundisha na kupata ujumbe mwema 13:56
@amanidicksoni39457 ай бұрын
Mchungaji ww ni nooma uko vizuri 🎉
@JulianaMisangu7 ай бұрын
Amen pastor
@Filopolazalo Жыл бұрын
safi sans baba yangu wa kiroho
@elimishanyamoga67977 ай бұрын
Genius Sana uyu❤
@robertsongola60345 ай бұрын
Huyu ni mchungaji aliye kamilika na nimsema kweli ya Mungu sio muumini wa kusema kila kila neno la bibilia ni fumbo