MCHUNGAJI HANANJA ,SIRI YA KIFO FREEMASON ,UCHAWI MKUBWA KUZIKA MGOMBA BAADA YA MAREHEMU

  Рет қаралды 51,369

HABARI JAMII DIGITAL

HABARI JAMII DIGITAL

7 ай бұрын

Пікірлер: 114
@johnluyego9353
@johnluyego9353 7 ай бұрын
Yaani nacheka sana Ila mzee yuko vizuri sana . Mungu aendelee kukutunza uishi miaka mingi
@alinotiwampe7420
@alinotiwampe7420 7 ай бұрын
Msichoke wahandishi kwenda pastor Hananja maneno yake yana tuhelimisha mungu wetu yesuchristo atulinde
@ikenylivingstone9966
@ikenylivingstone9966 6 ай бұрын
Nakupenda sana Baba Kwa ukweli unayosungumsa ❤❤❤❤hapa nimecheka tayari wah😂😂😂Mungu akubariki uishi miaka mingine mingi mbele
@allymugenzi46
@allymugenzi46 6 ай бұрын
Mimi ni muislamu lakini nimevutiwz mawaidha ya Pastor Nahanja. Mungu ambariki.
@joycehefsiba2750
@joycehefsiba2750 6 ай бұрын
Wow mchungaji Ananja, ni mwalimu mzuri kweli. Wow asante sana baba.Kama Kuna mchungaji anafaa kua mchungaji ni wewe, kwa ukweli Mungu akubari sana sana sana.uzidishiwe hekima na Mungu.❤
@user-tn7ic2ky3i
@user-tn7ic2ky3i 7 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji Mungu akupe wepesi ili uwe unatufundisha neno lake amen
@user-ls3nb8lt3j
@user-ls3nb8lt3j 7 ай бұрын
Mchungaji nakukubali sana tena unaongea uhalisia natamani sana siku moja nikutane nae ana kwa ana pia niabudu kanisani kwake,mungu akubariki sana na akupe maisha marefu,hufanani na hawa wachungaji mihemuko ya unyonyaji
@MTANGACOMEDYTZ
@MTANGACOMEDYTZ 7 ай бұрын
SIJAWAI KUACHA KUSIKILIZA MAHOJIANO YAKO ,IMANI NA UHALISIA ,SAFI SANA ,MUNGU AKUWEKE
@jacksonmagola1824
@jacksonmagola1824 7 ай бұрын
Huyu mzee ananifanya nione siku nzuri....
@GladysMbulla-qj3fi
@GladysMbulla-qj3fi 7 ай бұрын
Uishi miaka 1000 nakupenda sana pastor mungu akutunze mafundisho yako mazuri
@user-wy4yn2xi3n
@user-wy4yn2xi3n 2 ай бұрын
Upo vizuri Mchungaji Ameen
@mishigwan6598
@mishigwan6598 7 ай бұрын
Mm sikuowa Nabii Nimeowa Mke Aiseeee Neno Dogo Ila Linamaana kubwa Sana Ahsante Baba Henanja Upo Kwenye Moyo Wangu❤
@fawziyahassan5714
@fawziyahassan5714 7 ай бұрын
MSULI UNACHEZEA GWARIDE 😅😅HUYU MZEE KIBOKO NAMPENDA SANA ❤
@BekamEmmanuel-i6b
@BekamEmmanuel-i6b 10 күн бұрын
Mungu akubariki saaana na akulinde saaana. Unagusa maisha ya wqtu nami nikiwemo.
@saumusulaiman4742
@saumusulaiman4742 6 ай бұрын
Ubarikiwe sana pastor 🙏 ❤🎉
@mutindamuthama4124
@mutindamuthama4124 6 ай бұрын
Mimi nimejifunza udhaifu wetu kama mkristo but kupitia kwa mchungaji ni mejifunza kuishi kwa ukweli God bless you pastor 🙏🙏🙏
@user-wy4yn2xi3n
@user-wy4yn2xi3n 2 ай бұрын
❤Upo vizuri sana mahubiri yako mi sahihi Mungu akubariki Ameeen
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 7 ай бұрын
Safi sanaa wapeukweli hao mzee unajua sanaa😂😂🎉
@albertkamwela6972
@albertkamwela6972 6 ай бұрын
Napenda sana mahubiri ya mchungaji hananja abarikiwe
@user-zp1mc7kb8u
@user-zp1mc7kb8u 7 ай бұрын
I really like the pastor he's educating en entertaining at the same time❤😂
@juliusamasi5258
@juliusamasi5258 7 ай бұрын
❤ Mch Hananja waambie ukweli wakuelewe
@vickystellah3194
@vickystellah3194 7 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
@ismailyaru679
@ismailyaru679 2 ай бұрын
Mzee mungu Akupenguvu kwa ukweli unaotupa uendelee kuwepo hapa duniani wewe na mzee waupako
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 7 ай бұрын
Mchungaji alonyooka
@mako331
@mako331 7 ай бұрын
Mzee tusaidie ukristo siku hizi umeingiliwa na ujinga sana, mtu anaibuka tu mara nimeenga mbinguni mara nimeongea na Yesu live na watu wanaamini, upuzi mtupu
@jacksonkahima4589
@jacksonkahima4589 7 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@mmaryben844
@mmaryben844 7 ай бұрын
Mungu akutunze mchungaji
@paschaljoseph2412
@paschaljoseph2412 7 ай бұрын
Nakupenda sana mchungaji Hanaja
@WmareteMarete
@WmareteMarete 6 ай бұрын
Mzee mchungaji, unapendeza sana! WEWE NAONA Ni geneous tangu kuzaliwa kwako, Nakuomba utusaidie kuwa na vipindi vya kukosoa mapungufu mengi hasa kwenye dhehebu katoliki.
@kiletepokela4301
@kiletepokela4301 7 ай бұрын
Achana na hayo mavichwa ya habari ya eti FREEMASON hananja sisi tunamsikikiza tu
@user-cb7op2rd9h
@user-cb7op2rd9h 7 ай бұрын
😂😂😂😂 ukweli sana❤❤❤❤❤❤
@sixberthcostantini9290
@sixberthcostantini9290 7 ай бұрын
😂😂mchungaji Mungu akubarik sana kwakuongea ukweli
@ummahmed3354
@ummahmed3354 6 ай бұрын
I love this man.. Allah guide you to Islam my brother... one of the truthful
@stephanomaduhu5426
@stephanomaduhu5426 6 ай бұрын
turn to Jesus Christ, Allah have no heaven to give you
@ummahmed3354
@ummahmed3354 6 ай бұрын
@@stephanomaduhu5426 did Jesus A.S created any heaven?... show me a proof if you're truthful...
@joycepatofondo
@joycepatofondo 6 ай бұрын
Allah it means God bt in Arabic languages bt JESUS is the only way to enter in the kingdom of heaven cause he is the one who carry all of our burdens on the cross
@fredanunda7719
@fredanunda7719 6 ай бұрын
That's where u go wrong now!!😂😂😂to Islam to do what??listen to what he says about Christianity and the everlasting life. No life without Jesus Christ, He is the way, the truth and the life,no one goes to the Father God unless through Jesus,- John 14:6,so what will he go for in Islam???😂😂😂😂U r joking, accept Christ Jesus for eternal life my friend.
@ummahmed3354
@ummahmed3354 6 ай бұрын
@@fredanunda7719 the Christians in the Palestine and Egypt they identify God as Allah... thats where the Christianity you claim to follow came from... Allah is the name is the one and only God that Jesus himself prayed to. ..
@eben_ezer8853
@eben_ezer8853 7 ай бұрын
Daaah yaan anachekesha lakini anasema ukweli mtupu😂😂😂😂
@user-fo1mj6ct9b
@user-fo1mj6ct9b 7 ай бұрын
Uko vizuri sana na unauwezo mkubwa mno Mzee wangu
@Tygermnyama
@Tygermnyama 7 ай бұрын
Huyu mzee noma 😂😂😂
@maishaforreal7798
@maishaforreal7798 6 ай бұрын
Tungeli mtafuta mchungaji afungue channel youtube ya masomo ya maisha
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 7 ай бұрын
We baba Mungu akutunze mtumishi
@user-fd6tu3gx5q
@user-fd6tu3gx5q 6 ай бұрын
Nakubari Mzee mungu akuweke miaka 1000
@DamasKavishe-vo3nq
@DamasKavishe-vo3nq 7 ай бұрын
Daaah sema pastor nakukubali sana
@alinependo-bk4jj
@alinependo-bk4jj 7 ай бұрын
😅😅😅😅 unanifulaisha sana 🫰
@CleverGalaton-tz
@CleverGalaton-tz 7 ай бұрын
mchungaji yuko straight sana
@rosehaule6765
@rosehaule6765 7 ай бұрын
Yupo mwokozi wa ukrito wa kweli tupe someone maana tumevamiwaaa ❤
@sosom14
@sosom14 7 ай бұрын
Uyu baba yani asante
@saulikinahi6703
@saulikinahi6703 6 ай бұрын
🤣🤣🤣Huyu mzee kiboko, Barikiwa sanaa😂
@rosehaule6765
@rosehaule6765 7 ай бұрын
😂😂😂❤ nakupenda sana babaa😂😂😂😂
@japhetnathaniel9821
@japhetnathaniel9821 6 ай бұрын
MUNGU mbaraki mwanao pr ananja
@abdallahhamisiiddi4513
@abdallahhamisiiddi4513 7 ай бұрын
Karibu katika uislamu kiongozi
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 7 ай бұрын
Points 👉 👈 sana
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 6 ай бұрын
Yaan huyu i mchungaji anatakent kubwa ❤❤😂😂😂
@InspireTheSoul-fo4vb
@InspireTheSoul-fo4vb 7 ай бұрын
ukweli , japo kwa ucheshi wa aina yake 😂😂
@user-kk9jn8dp9m
@user-kk9jn8dp9m 7 ай бұрын
Hatr kweli wana enda kwa kupitia maono na mafunuo
@saradavirginia-kd7tn
@saradavirginia-kd7tn 7 ай бұрын
Barikiwa sana 🇲🇿
@juliusrwebugisa8385
@juliusrwebugisa8385 7 ай бұрын
Mchungaji hongera kwa utume wako
@aishaomary230
@aishaomary230 7 ай бұрын
Ungekua kiongoz wa wakristo wote wakristo wangekuwa kwenye mstar
@user-mr3lr6ox1k
@user-mr3lr6ox1k 7 ай бұрын
Eti mwili wa kubeba kifusi😅
@user-qd7ld6fd1i
@user-qd7ld6fd1i 6 ай бұрын
Namkubali sana, amefanya biashara Brack market Tunduma na kununua Bonsoo Itaka huyu anastahili kumuelemisha Mtu kweli
@subirajohn728
@subirajohn728 7 ай бұрын
Ukweli mtupu
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 6 ай бұрын
AMEEN MCHUNGAJI...
@oscarmario466
@oscarmario466 7 ай бұрын
Hananja kama hananja
@hagaimwambingu4324
@hagaimwambingu4324 6 ай бұрын
🙏
@omarsima2763
@omarsima2763 7 ай бұрын
Mchungaji mahubiri yako yana uhalisia.
@user-tx2lu2ps9b
@user-tx2lu2ps9b 6 ай бұрын
Unaongea ukweli sana mtumishi, Mungu akutunze wewe ni hazina ya Mungu
@msilangasiraji4061
@msilangasiraji4061 7 ай бұрын
Mchungaji unajua mpaka unaharibu
@donaldmwahalende4841
@donaldmwahalende4841 6 ай бұрын
Pastor unaongea vzur bblia waijua
@user-yz6xx4nd5d
@user-yz6xx4nd5d 7 ай бұрын
mi mkatokiki, ila nakubali mahubiri yako.
@josephmathias8341
@josephmathias8341 7 ай бұрын
Mchungaji ubalikiwe
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 7 ай бұрын
😂😂😂😂 kweli kweli 😂😂😂😂
@bosssyedmund8785
@bosssyedmund8785 6 ай бұрын
Unakunywa soup ya pweza😂😂😂
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 7 ай бұрын
Mbona Gwajima anawatoa Sana tu hao misukule au naye Ni mganga wa kienyeji? Au ni muongo?
@Shuu.A
@Shuu.A 7 ай бұрын
Huyo ngwajima ndio nani muongo mkubwa bora hata huyu
@hansondaniel-nb2jn
@hansondaniel-nb2jn 6 ай бұрын
Hananja hana baya
@JosephRegardla
@JosephRegardla 7 ай бұрын
Nikweli wanawake wana watharau waume zao wana kimbilio watumishi yuko bz
@mishigwan6598
@mishigwan6598 7 ай бұрын
Eti Amekausha Sauti Makusudi🤣🤣🤣Baba
@handenitakuru6696
@handenitakuru6696 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@CyprianMartin
@CyprianMartin 7 ай бұрын
Kwakweli Mchungaji Upo Vizur, Maana Nimewai kwanda kwa Mchungaji mmoja kumuona tu anataka pesa kama hiyo. Je Uyu yupo kiuchungaji au !?
@alimzee
@alimzee 7 ай бұрын
😅😅😅
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nakukubalia apo kbs kufufuka uongo
@calvinsotieno5880
@calvinsotieno5880 6 ай бұрын
Kwahio unamaanisha bibilia ni uwongo kwa sababu hata Paulo Ali fufua yutiku?
@matatamwaipopo-rp4vz
@matatamwaipopo-rp4vz 7 ай бұрын
Humetisha nakupenda sana huishi miaka 10000000000000
@amisibilly5084
@amisibilly5084 7 ай бұрын
Mzee uko poa saaana
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂❤❤
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@huseynmaitaya9002
@huseynmaitaya9002 7 ай бұрын
Na Muomba Allaah amuongeze huyu mzee asilimu maana azungumza yalio nyooka
@user-wc5qb7tu1j
@user-wc5qb7tu1j 7 ай бұрын
Asilimia nini sasa
@joycepatofondo
@joycepatofondo 6 ай бұрын
​@@user-wc5qb7tu1j😂😂😂😂 muulize tena
@ABDIKASIM-qe4lc
@ABDIKASIM-qe4lc 7 ай бұрын
Dah
@aminahassanali1190
@aminahassanali1190 7 ай бұрын
😂😂😂
@fatmaathman5851
@fatmaathman5851 7 ай бұрын
Uko sawa mchungaji lakini jaribu kujifunza uislamu Ninathani utasilimu kwani ndio dini pekee ilio kubalika .
@titojb4703
@titojb4703 7 ай бұрын
Mche MUNGU kwa roho na kweli udini weka pembeni...tengeneza moyo safi hiyo ndio dini safi.
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 7 ай бұрын
Wewe usijidanganye mche Mungu ktk roho na kweli Dini Ni njia ya kumtafuta Mungu
@martinmkoba361
@martinmkoba361 7 ай бұрын
Imekubalika na nani??😢
@kilimbapeter8900
@kilimbapeter8900 6 ай бұрын
Uislam au ukristo haukupeleki mbinguni ila mahusiano yako binafsi na Mungu
@joycepatofondo
@joycepatofondo 6 ай бұрын
Dini haitakupeleka mbinguni Ila utakatifu wako ndio utakupeleka
@calvinsotieno5880
@calvinsotieno5880 6 ай бұрын
Yesu alisema fufueni wafu takaseni wakoma mme pewa Bure toeni Bure.
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 7 ай бұрын
Kama mtu akifa hafufuki mbona mnasema Yesu alikufa akafufuka? Au yeye sio mtu?
@Shuu.A
@Shuu.A 7 ай бұрын
Apo sasa
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 5 ай бұрын
Jitahidi sana kufahamu yanayo fundiswa toka katika bibilia ndipo utakapo jua ya kuwa Yesu alifanana na binadamu binadamu 28:15 28:18 28:19 28:21
@RichardStephen-xc7yc
@RichardStephen-xc7yc 7 ай бұрын
Sana mimi sipendi haya majitu yanayojiita manabii na mitume ni wajinga sana,hawatk kufundisha neno la Mungu zaidi nabii za kijinga
@GloryShao-qs6rp
@GloryShao-qs6rp Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 7 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-jb3zp9uo7o
@user-jb3zp9uo7o 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mouldykomba1852
@mouldykomba1852 7 ай бұрын
😂😂😂😂
@Tygermnyama
@Tygermnyama 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 43 МЛН
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 33 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 28 МЛН
PAT5)FREE MASON WANACHUKUWA WENYE SIFA HIZI TU BILA HIZO HAWAWEZI EV PASCHAL CASSIAN
26:49
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 415 М.
ZANZIBAR ,MKASA WA KUSIKITISA MVUVI ALIYEKUTANA MCHAWI MZITO BAHARINI.
21:36
HABARI JAMII DIGITAL
Рет қаралды 148 М.
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 43 МЛН