Yaani nacheka sana Ila mzee yuko vizuri sana . Mungu aendelee kukutunza uishi miaka mingi
@alinotiwampe74207 ай бұрын
Msichoke wahandishi kwenda pastor Hananja maneno yake yana tuhelimisha mungu wetu yesuchristo atulinde
@ikenylivingstone99666 ай бұрын
Nakupenda sana Baba Kwa ukweli unayosungumsa ❤❤❤❤hapa nimecheka tayari wah😂😂😂Mungu akubariki uishi miaka mingine mingi mbele
@allymugenzi466 ай бұрын
Mimi ni muislamu lakini nimevutiwz mawaidha ya Pastor Nahanja. Mungu ambariki.
@joycehefsiba27506 ай бұрын
Wow mchungaji Ananja, ni mwalimu mzuri kweli. Wow asante sana baba.Kama Kuna mchungaji anafaa kua mchungaji ni wewe, kwa ukweli Mungu akubari sana sana sana.uzidishiwe hekima na Mungu.❤
@user-tn7ic2ky3i7 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji Mungu akupe wepesi ili uwe unatufundisha neno lake amen
@user-ls3nb8lt3j7 ай бұрын
Mchungaji nakukubali sana tena unaongea uhalisia natamani sana siku moja nikutane nae ana kwa ana pia niabudu kanisani kwake,mungu akubariki sana na akupe maisha marefu,hufanani na hawa wachungaji mihemuko ya unyonyaji
@MTANGACOMEDYTZ7 ай бұрын
SIJAWAI KUACHA KUSIKILIZA MAHOJIANO YAKO ,IMANI NA UHALISIA ,SAFI SANA ,MUNGU AKUWEKE
@jacksonmagola18247 ай бұрын
Huyu mzee ananifanya nione siku nzuri....
@GladysMbulla-qj3fi7 ай бұрын
Uishi miaka 1000 nakupenda sana pastor mungu akutunze mafundisho yako mazuri
@user-wy4yn2xi3n2 ай бұрын
Upo vizuri Mchungaji Ameen
@mishigwan65987 ай бұрын
Mm sikuowa Nabii Nimeowa Mke Aiseeee Neno Dogo Ila Linamaana kubwa Sana Ahsante Baba Henanja Upo Kwenye Moyo Wangu❤
@fawziyahassan57147 ай бұрын
MSULI UNACHEZEA GWARIDE 😅😅HUYU MZEE KIBOKO NAMPENDA SANA ❤
@BekamEmmanuel-i6b10 күн бұрын
Mungu akubariki saaana na akulinde saaana. Unagusa maisha ya wqtu nami nikiwemo.
@saumusulaiman47426 ай бұрын
Ubarikiwe sana pastor 🙏 ❤🎉
@mutindamuthama41246 ай бұрын
Mimi nimejifunza udhaifu wetu kama mkristo but kupitia kwa mchungaji ni mejifunza kuishi kwa ukweli God bless you pastor 🙏🙏🙏
@user-wy4yn2xi3n2 ай бұрын
❤Upo vizuri sana mahubiri yako mi sahihi Mungu akubariki Ameeen
@sharifahabsi50047 ай бұрын
Safi sanaa wapeukweli hao mzee unajua sanaa😂😂🎉
@albertkamwela69726 ай бұрын
Napenda sana mahubiri ya mchungaji hananja abarikiwe
@user-zp1mc7kb8u7 ай бұрын
I really like the pastor he's educating en entertaining at the same time❤😂
@juliusamasi52587 ай бұрын
❤ Mch Hananja waambie ukweli wakuelewe
@vickystellah31947 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
@ismailyaru6792 ай бұрын
Mzee mungu Akupenguvu kwa ukweli unaotupa uendelee kuwepo hapa duniani wewe na mzee waupako
@mussakimaro55887 ай бұрын
Mchungaji alonyooka
@mako3317 ай бұрын
Mzee tusaidie ukristo siku hizi umeingiliwa na ujinga sana, mtu anaibuka tu mara nimeenga mbinguni mara nimeongea na Yesu live na watu wanaamini, upuzi mtupu
@jacksonkahima45897 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@mmaryben8447 ай бұрын
Mungu akutunze mchungaji
@paschaljoseph24127 ай бұрын
Nakupenda sana mchungaji Hanaja
@WmareteMarete6 ай бұрын
Mzee mchungaji, unapendeza sana! WEWE NAONA Ni geneous tangu kuzaliwa kwako, Nakuomba utusaidie kuwa na vipindi vya kukosoa mapungufu mengi hasa kwenye dhehebu katoliki.
@kiletepokela43017 ай бұрын
Achana na hayo mavichwa ya habari ya eti FREEMASON hananja sisi tunamsikikiza tu
@user-cb7op2rd9h7 ай бұрын
😂😂😂😂 ukweli sana❤❤❤❤❤❤
@sixberthcostantini92907 ай бұрын
😂😂mchungaji Mungu akubarik sana kwakuongea ukweli
@ummahmed33546 ай бұрын
I love this man.. Allah guide you to Islam my brother... one of the truthful
@stephanomaduhu54266 ай бұрын
turn to Jesus Christ, Allah have no heaven to give you
@ummahmed33546 ай бұрын
@@stephanomaduhu5426 did Jesus A.S created any heaven?... show me a proof if you're truthful...
@joycepatofondo6 ай бұрын
Allah it means God bt in Arabic languages bt JESUS is the only way to enter in the kingdom of heaven cause he is the one who carry all of our burdens on the cross
@fredanunda77196 ай бұрын
That's where u go wrong now!!😂😂😂to Islam to do what??listen to what he says about Christianity and the everlasting life. No life without Jesus Christ, He is the way, the truth and the life,no one goes to the Father God unless through Jesus,- John 14:6,so what will he go for in Islam???😂😂😂😂U r joking, accept Christ Jesus for eternal life my friend.
@ummahmed33546 ай бұрын
@@fredanunda7719 the Christians in the Palestine and Egypt they identify God as Allah... thats where the Christianity you claim to follow came from... Allah is the name is the one and only God that Jesus himself prayed to. ..
@eben_ezer88537 ай бұрын
Daaah yaan anachekesha lakini anasema ukweli mtupu😂😂😂😂
@user-fo1mj6ct9b7 ай бұрын
Uko vizuri sana na unauwezo mkubwa mno Mzee wangu
@Tygermnyama7 ай бұрын
Huyu mzee noma 😂😂😂
@maishaforreal77986 ай бұрын
Tungeli mtafuta mchungaji afungue channel youtube ya masomo ya maisha
@tinnahagustinolyelu42477 ай бұрын
We baba Mungu akutunze mtumishi
@user-fd6tu3gx5q6 ай бұрын
Nakubari Mzee mungu akuweke miaka 1000
@DamasKavishe-vo3nq7 ай бұрын
Daaah sema pastor nakukubali sana
@alinependo-bk4jj7 ай бұрын
😅😅😅😅 unanifulaisha sana 🫰
@CleverGalaton-tz7 ай бұрын
mchungaji yuko straight sana
@rosehaule67657 ай бұрын
Yupo mwokozi wa ukrito wa kweli tupe someone maana tumevamiwaaa ❤
@sosom147 ай бұрын
Uyu baba yani asante
@saulikinahi67036 ай бұрын
🤣🤣🤣Huyu mzee kiboko, Barikiwa sanaa😂
@rosehaule67657 ай бұрын
😂😂😂❤ nakupenda sana babaa😂😂😂😂
@japhetnathaniel98216 ай бұрын
MUNGU mbaraki mwanao pr ananja
@abdallahhamisiiddi45137 ай бұрын
Karibu katika uislamu kiongozi
@Kuminamoja19957 ай бұрын
Points 👉 👈 sana
@rosetreffert41796 ай бұрын
Yaan huyu i mchungaji anatakent kubwa ❤❤😂😂😂
@InspireTheSoul-fo4vb7 ай бұрын
ukweli , japo kwa ucheshi wa aina yake 😂😂
@user-kk9jn8dp9m7 ай бұрын
Hatr kweli wana enda kwa kupitia maono na mafunuo
@saradavirginia-kd7tn7 ай бұрын
Barikiwa sana 🇲🇿
@juliusrwebugisa83857 ай бұрын
Mchungaji hongera kwa utume wako
@aishaomary2307 ай бұрын
Ungekua kiongoz wa wakristo wote wakristo wangekuwa kwenye mstar
@user-mr3lr6ox1k7 ай бұрын
Eti mwili wa kubeba kifusi😅
@user-qd7ld6fd1i6 ай бұрын
Namkubali sana, amefanya biashara Brack market Tunduma na kununua Bonsoo Itaka huyu anastahili kumuelemisha Mtu kweli
@subirajohn7287 ай бұрын
Ukweli mtupu
@shaamemchauru13656 ай бұрын
AMEEN MCHUNGAJI...
@oscarmario4667 ай бұрын
Hananja kama hananja
@hagaimwambingu43246 ай бұрын
🙏
@omarsima27637 ай бұрын
Mchungaji mahubiri yako yana uhalisia.
@user-tx2lu2ps9b6 ай бұрын
Unaongea ukweli sana mtumishi, Mungu akutunze wewe ni hazina ya Mungu
@msilangasiraji40617 ай бұрын
Mchungaji unajua mpaka unaharibu
@donaldmwahalende48416 ай бұрын
Pastor unaongea vzur bblia waijua
@user-yz6xx4nd5d7 ай бұрын
mi mkatokiki, ila nakubali mahubiri yako.
@josephmathias83417 ай бұрын
Mchungaji ubalikiwe
@Kuminamoja19957 ай бұрын
😂😂😂😂 kweli kweli 😂😂😂😂
@bosssyedmund87856 ай бұрын
Unakunywa soup ya pweza😂😂😂
@wazirisaid83267 ай бұрын
Mbona Gwajima anawatoa Sana tu hao misukule au naye Ni mganga wa kienyeji? Au ni muongo?
@Shuu.A7 ай бұрын
Huyo ngwajima ndio nani muongo mkubwa bora hata huyu
@hansondaniel-nb2jn6 ай бұрын
Hananja hana baya
@JosephRegardla7 ай бұрын
Nikweli wanawake wana watharau waume zao wana kimbilio watumishi yuko bz
@mishigwan65987 ай бұрын
Eti Amekausha Sauti Makusudi🤣🤣🤣Baba
@handenitakuru66967 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@CyprianMartin7 ай бұрын
Kwakweli Mchungaji Upo Vizur, Maana Nimewai kwanda kwa Mchungaji mmoja kumuona tu anataka pesa kama hiyo. Je Uyu yupo kiuchungaji au !?
@alimzee7 ай бұрын
😅😅😅
@festokivuyo71212 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nakukubalia apo kbs kufufuka uongo
@calvinsotieno58806 ай бұрын
Kwahio unamaanisha bibilia ni uwongo kwa sababu hata Paulo Ali fufua yutiku?
@matatamwaipopo-rp4vz7 ай бұрын
Humetisha nakupenda sana huishi miaka 10000000000000
@amisibilly50847 ай бұрын
Mzee uko poa saaana
@rosetreffert41796 ай бұрын
😂😂😂😂😂❤❤
@shaamemchauru13656 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@huseynmaitaya90027 ай бұрын
Na Muomba Allaah amuongeze huyu mzee asilimu maana azungumza yalio nyooka
@user-wc5qb7tu1j7 ай бұрын
Asilimia nini sasa
@joycepatofondo6 ай бұрын
@@user-wc5qb7tu1j😂😂😂😂 muulize tena
@ABDIKASIM-qe4lc7 ай бұрын
Dah
@aminahassanali11907 ай бұрын
😂😂😂
@fatmaathman58517 ай бұрын
Uko sawa mchungaji lakini jaribu kujifunza uislamu Ninathani utasilimu kwani ndio dini pekee ilio kubalika .
@titojb47037 ай бұрын
Mche MUNGU kwa roho na kweli udini weka pembeni...tengeneza moyo safi hiyo ndio dini safi.
@tinnahagustinolyelu42477 ай бұрын
Wewe usijidanganye mche Mungu ktk roho na kweli Dini Ni njia ya kumtafuta Mungu
@martinmkoba3617 ай бұрын
Imekubalika na nani??😢
@kilimbapeter89006 ай бұрын
Uislam au ukristo haukupeleki mbinguni ila mahusiano yako binafsi na Mungu
@joycepatofondo6 ай бұрын
Dini haitakupeleka mbinguni Ila utakatifu wako ndio utakupeleka