Huko vizuri mchungaji, Mungu akubariki kwa mafundisho.
@user-nz6xy1vs5i4 ай бұрын
Saaafi sana Mungu akupe maisha marefu
@renatusmtakyawa5945 ай бұрын
Barikiwa sana upo sahii kabisa tuna utapiamlo wa Neno la Mungu
@asiajoseph314Ай бұрын
DAMU ya YESU nitakase😭😭😭
@user-jw8pw2pd9l5 ай бұрын
Kipimo cha kutuonesha kama tuko sawa mbele za mungu peke yake tu ndio naona kama umepungukiwa jitahidi kutambua kazi ya sheria katika maisha yetu sheria ni tabia ya mungu halisi
@user-uu8bd4vi9s5 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@vickylupemba60555 ай бұрын
Mchungaji Hananja nakuelewa na kila unapoongea ni hekima tupu. Barikiwa sana maelezo yako nitayafuata 💯🙏🏾
@wigeasanyerere64515 ай бұрын
Kweli binafsi natamani hata nikuone,maana unapigana vita ya kweli na haki.asiye kuelewa kweli ana mauza uza kichwani,unataka watu washike neno la Mungu na sio mathehebu na mifumo yao
@michaelseka68905 ай бұрын
Nakuelewa sana mzee wangu Kwa maana unatufungua akili zaidi
@user-rk8em3me9p4 ай бұрын
Hongera ww ni PRO.wa zuoni ( PRo.BIBBLE)
@gabrielpott33255 ай бұрын
Mzee uko saawa saana mw MUNGU azidi kukupa neema zake yani we people kwako iko wazi saana
@joycemkeka37695 ай бұрын
Nakuelewa sana mtumishi wa mungu unatufundisha vema
@aminamacha55945 ай бұрын
Na ss tuouthuria ibada zote ijumaa na jumapili mapadri wanahuburi kuhusu toba kuacha dhambi uzinifu kuiba kuuwa usengenyaji kusaidia asiye kuwa nacho mapadri wanahuburi ila niakili zetu waumini tunahangaika na dunia😅😅😅😅 Amina 🙏
@Kuminamoja19955 ай бұрын
💯
@libetztanzania-kiswahilina28455 ай бұрын
Media na sio mendia wakenyaaa
@jorgitolucasbaluth89035 ай бұрын
UTAONDOKA MWENEWE KWENHE UKRISTO SISI ATUMWACHI YESU
@adkajisi45364 ай бұрын
Umeelewa?
@deathrow80045 ай бұрын
MNAFANYA TOBA GANI WAKATI YESU KAMA KWA DHAMBI ZENU???
@thomasmallya29725 ай бұрын
Nnachoona apa uyu HANANJA LUSEKELO MGOGO ni mnatafta kiki kwa kuchafuana tuu akuna kionhoz makini anakua msengenyaaji fundisha neno achana na ya watu nanyi waandishi acheni kuwachafua watumishi na maswali yenu ya mitego
@sultantz76355 ай бұрын
Kamsengenya nani?
@wanguwangu345 ай бұрын
Story hizi hazibariki watu wa Mungu, Naomba tumhubili Cristo tu tuachane na mambo ya Imani za wasiotuhusu.
@user-lt1bi5nr1x5 ай бұрын
Jifunze kujua ukweli sio unaendaenda kama umejiumba
@sultantz76355 ай бұрын
Unamuhubiri vipi kwa uongo???
@amirymdee42595 ай бұрын
***Max mindia ni kitu gani?***
@MaksMedia15 ай бұрын
Maks Media
@kennedyngusulu94115 ай бұрын
@@MaksMedia1hiyo kengele mnaweka kwenye videos zinaudhi sana kelel ni kubwa mnapoteza audience sana taften namna nyingine
Mkristo haukatazwi kujuwa nn uislam wala mwislam hukatazwi kujuwa nn ukristo so ukisoma kwa umakini utajuwa wapi njia sahihi kazi kwako
@charlesmakuri7925 ай бұрын
Uislam wao kufunga/toba ni kuonyesha watu na kujidai na kuona ufahari kula futari ,kula usiku mchana unaacha/kubadilisha muda wa kula, hananja umeongea vema
@NgengeMkeni-uo5hq5 ай бұрын
Ukristo wetu unatutosha. Hatuhitaji kujua chochote kuhusu Uislamu
@titokwareh18525 ай бұрын
Huyu mzee always Yuko negative, we hubiri neno la Mungu Kama wenzako why kuponda matendo ya wakristo kila siku.? Jikite kwenye Bible acha comedy
@wigeasanyerere64515 ай бұрын
Ndg samahan binafsi me naelewa anacho maanisha n tushike neno la biblia
@titokwareh18525 ай бұрын
@@wigeasanyerere6451hakuna siku anaongea bila kuponda wachungaji wenzake mara sijui wezi, waongo. Nani asiyejua hapa duniani kuna waongo na wezi? But yy kila akiongea anaponda ukristo kwann asijikite kuhubiri Bible. Ukishasema majivu ni ishara ya toba hyo inatosha why ulete tena comedy mara wengine wanajipaka sijui kama nn. Ttzo anajifanyaga kuongea sana comedy mpaka ana bore. Afundishe neno la Mungu inatosha comedy za nn
@johnmwanja44765 ай бұрын
Namuelewa ssna mchungaji juu ya ukweli ktk Injili....Tuache kuburuzwa na sheria za dini/ dhehebu bali tujifunze nini neno la Mungu( Injili) linasema. Barikiwa saana mchungaji.
@EuphrasiaNtawatawa5 ай бұрын
Amesema tusome neno,tujifunze neno,tulijue neno tuliishi neno,bila neno la Mungu turaburuzwa tu
@NgengeMkeni-uo5hq5 ай бұрын
Kama anakukera basi ujumbe umekuingia vilivyo😂.. safi sana