Utaishia jeraa hukuliona hilo mpk mnaenda, mahakamani? Uitwe nana nani? We nan?
@mlumendoigonza639814 сағат бұрын
Chixiii we mangoma kaombe radhi yangaa
@FreedomKasewe14 сағат бұрын
mmmm
@ramadhanimrungu580614 сағат бұрын
Mbona mpk sasa hv bado upo acha upumbavu ww njaa umeshayakanyaga pala kama boga
@Nasratyjb14 сағат бұрын
Wanaumee wana akili nyingi 😂😂😂🎉
@MahmouduNdegeza15 сағат бұрын
Daaah kumbe ndoa ndio zipo ivi
@majaliwabwitonde690015 сағат бұрын
Ulivyokuwa unasema wakuachie ofisi ulikuwa na maana gani?
@majaliwabwitonde690015 сағат бұрын
Subiri sheria hiyohiyo ifanye kazi, acha mazoea na njaa zako
@paschalsafari974715 сағат бұрын
Pambana aiseee jembe nakubali sana songs zako' mzee baba unatisha...
@fillomuhenga424015 сағат бұрын
Msamehe tu huyo dada anakupenda sana ni mambo yapo tu kumbuka hayo yametokea kabla ya ndoa yangetokea baada ya ndoa hapo sawa utanikumbuka kijana wangu
@AishamejaAisha15 сағат бұрын
Jibu unalo kaka huyo hakupendi achana nae uyo mwanamke anampenda mwanaume wa mwanzo asingeweza kwenda kumuaga mpenzi wake wakati anafunga ndoa na wewe
@AishamejaAisha15 сағат бұрын
Dada aseme kweli aliemuelewa ni yule wa mwanzo atoroke wakati ni harusi yake muongo uyo anamchezea uyu bwana harusi anaempenda ni wamwanzo