MCHUNGAJI HANANJA ampa onyo PAPA FRANCIS dini yetu hairuhusu ushoga ,watu wenyewe hela ndio chanzo

  Рет қаралды 221,019

Bongo Touch

Bongo Touch

7 ай бұрын

Пікірлер: 833
@halemmmbarak16
@halemmmbarak16 7 ай бұрын
Intelligent Hananja ur no 1 in a million nobody should make u feel otherwise. Keep going Hanaja ur the best.
@AdelinaMethod
@AdelinaMethod 2 ай бұрын
🎉😢🎉🎉😢🎉🎉😢f
@patrickmathiasnsalanga3401
@patrickmathiasnsalanga3401 7 ай бұрын
Wewe ni shujaa, Asante sana baba mchungaji, umesimama katika haki ya Mungu. Sema ukweli ili watu wa Mungu waokolewe, kwa kauli yako maelfu ya watu wataokolewa, na mimi nakuhakikishia kwamba lazima Mungu akulipe kwasababu ya wema huu mkubwa. Mchungaji hongera,. Mungu aendelee kutupa nguvu ili tuendelee kulifukuza giza katika maisha ya watu wake ili siku moja tuvikwe ile taji ya uzima wa milele. Wewe ni kiongozi wa watu wa Mungu.
@monicamollel2899
@monicamollel2899 7 ай бұрын
Kwa kweli Ni shujaa!. Mungu akutunze akupe Manisha marefu ili uendelee kunisaidia jamii yetu ya kiafrika ijitambue na kujikwamua ktk janga hili la aibu, fedheha na uvunjifu wa maadili yetu!. Kupitia mafundisho yako wengi watazinduka na kumgeukia Mungu kwa kufuata maagizo yake!.Thanks slot, be blessed Mchng. Hananja!.
@user-ml6lz4no9p
@user-ml6lz4no9p 7 ай бұрын
Assante sana Mchungaj vipige vile vita vizr vya Iman
@tinapius1865
@tinapius1865 7 ай бұрын
hakika baba umesema ukweli mtupu mungu azidi kukuinua zaidi
@mildredachimpota5877
@mildredachimpota5877 7 ай бұрын
Barikiwa baba na Mungu akutunze Kwa kusimamia ukweli
@saidimnyani3330
@saidimnyani3330 7 ай бұрын
Uchafu
@user-ml8rd7vm5o
@user-ml8rd7vm5o 7 ай бұрын
Napenda tu kukusikiliza baba mchungaji, Mungu akutunze sana.
@YusufMsumi-gx4ih
@YusufMsumi-gx4ih 7 ай бұрын
Mmimi ni muislamu nkupongeza sana mzee wangu mungu na atuongoze sote somo ni zuri sana na linaendana na mafundisho yoote ya mungu na maumbile ya mwanadamu
@hijazhija316
@hijazhija316 7 ай бұрын
Acha kujikomba
@micahlucky5613
@micahlucky5613 7 ай бұрын
Nimependa point yako....kuliko wale wanaodai watu wahamie uislam....cjui ikitokea shehe maarufu akajitambulisha kuwa ni shoga au ikafahamika kuwa ni shoga sasa cjui hapo napo ashauri watu wahame uislam.....maana dhambi haina dhehebu wa dini....uzinzi unafanywa na dini zote...ushoga pia wanafanya kwenye dini ukristo na uislam maana watu wanakuwa wameamua kumwasi Mungu....mfano pwani michezo hii ya kufira ippo sana
@YusufMsumi-gx4ih
@YusufMsumi-gx4ih 7 ай бұрын
Kasome tena uislamu utanielewa nilichoongea na sio dhana unayonijengea ان بعض الظن اثم hivo ndivo Allah anavosema
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 7 ай бұрын
Wewe una roho chafffu mno jitakasae na jik😂😂​@@hijazhija316
@betrackjasson6698
@betrackjasson6698 7 ай бұрын
Kweli kaka
@jacksonkatana5152
@jacksonkatana5152 7 ай бұрын
Mchungaji Hananja mungu akuzidishie miaka ya kuishi ili ulimwengu uelimike kupitia wewe,,i appreciate you daddy
@user-cn1od2mm6c
@user-cn1od2mm6c 7 ай бұрын
Nimebarikiwa na hekima zako umenena ukweli kabisa mafundisho ni muhimu kuliko sadaka zaidi sadaka zinanguvu lakini mafundisho kwanza watu wamjue Mungu washike imani kweli kweli, baba mchungaji barikiwa kwa ushauri mzuri 🙌
@TimotheoBulimwengu
@TimotheoBulimwengu 6 ай бұрын
Aminaaaaaaaah Aminaaaaaaah Aminaaaaah na Ubarikiwe sana na hakika Mungu akuongezee maarifa na uwepo wa nguvu na uweza wake maradufu ,kwajili ya ushujaa mkubwa huo
@nyansilujoseph-pm8im
@nyansilujoseph-pm8im 7 ай бұрын
Kama umesikia vizuri dakika ya 7:52 gonga like 😂😂😂
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 7 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu baba yangu Hananja Mungu akubariki na akuongeze maarifa na na maisha marefu ya kuishi ili Mungu azidi kupokewa mioyoni mwetu Mungu akutie nguvu
@kennix6457
@kennix6457 7 ай бұрын
Siku izi ni kutoa to kanisani ndo Cha muhimu watu wanatoa na Bado wanaendelea kuwa maskini mpaka mwisho maana hamfuzwi mambo ya maisha ,kazi mapenzi .watu wataendelea kuteseka .Asante sana mchungaji
@bekabakari7394
@bekabakari7394 7 ай бұрын
Ubarikiwe Hananja Wapo watu hata kama Kuna jambo la haki Lakini kwa sababu ya imani yake Anageuza haki kua batil
@EliyaJames-fn3dz
@EliyaJames-fn3dz 7 ай бұрын
Safi sana mchungaji Hananja wewe ni baraka sana katika kizazi hiki.Wewe ni sauti ya Mngu katika kizazi hiki
@user-mo6uv5ew9h
@user-mo6uv5ew9h 7 ай бұрын
"Tupate wapi tena mtu kama huyu, ambaye Mungu anakaa ndani yake! Mungu akutunze Mchungaji Hananja.
@beatricejoseph2347
@beatricejoseph2347 7 ай бұрын
Mungu akuinue mtumishi wa Mungu ,kweli cha Mungu kibaki kuwa cha Mungu na cha binadamu kibaki kuwa cha binadamu ,mm pia sikubaliani na suala la ndoa ya jinsia moja.
@denisoruru-yv3fk
@denisoruru-yv3fk 7 ай бұрын
I like the fact that he quotes scriptures to support his arguments. It's our responsibility to speak against any practice that goes against the word of God and our values as a community.
@BM_Smart2-6
@BM_Smart2-6 7 ай бұрын
Umenena vyema ukweli wote hongera sana Mchungaji. Hii dunia imeporomoka vibaya sana. Hata kama amesema nani mbona nature tu haipo hivyo, hapo ndipo ule ukweli wa imani utakapokuja kubaki suala la mtu binafsi na Mungu. Dunia inaenda wapi kutetea ushoga live!!
@bravesilubonde4350
@bravesilubonde4350 7 ай бұрын
Shusha namba pasteri sadaka inakuhusu
@endrewmwasomola6506
@endrewmwasomola6506 7 ай бұрын
Mungu akulinde pastor wangu
@cyprianmgogo7625
@cyprianmgogo7625 7 ай бұрын
UBARIKIWE SANA BABA MCHUNGANI UMEKEMEA KWELI KWELI ,UPO SAHIHI KOMALIA KAULI ZAKO,HULE MZEE AMEZEEKA VIBAYA HATA AMESAHAU KAMA SIKU SI NYINGI ITABIDI ATOE MAHESABU, KATIKA HILI MZEE AMEFULIA CHOONI.
@Bitlontravels555
@Bitlontravels555 7 ай бұрын
Asante Mtumishi. Ubarikiwe sana
@yusuphwella9651
@yusuphwella9651 7 ай бұрын
Mi ni muislam ila haya ni maneno ambayo hata mungu mwenyewe anafurahi kuyasikia... mungu ni mmoja tuu na wote tumetokana na adam na hawa au adam wapili Nuhu.
@abdallahmtula9467
@abdallahmtula9467 7 ай бұрын
Tunashukuru sana kwa maneno yako mazuri na yenye baraka tele ndani yake.
@ammaherman3391
@ammaherman3391 7 ай бұрын
Kama uliskiliza vizuri kwenye dakika ya 7:52 gonga like😁😆😂🤣😄😃barikiwa sana Mch. Hananja.
@sofetybilali349
@sofetybilali349 7 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂
@nyansilujoseph-pm8im
@nyansilujoseph-pm8im 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@damiankilyenyi5367
@damiankilyenyi5367 7 ай бұрын
Yesu hakuleta dini alileta wokovu na hata waliomuua walikuwa ni viongozi wa dini ya kiyahudi. Kwa watu wengi kuabudu dini na kufuata mapokeo ya wanadamu dini zimekuwa magereza ya kufungia watu wasiujue ukweli wa neno la Mungu na wote watakwenda motoni.
@victoriamumwi1769
@victoriamumwi1769 7 ай бұрын
Unapotoa comment ufikirie mara mbili, uelewe zaidi mwenzako alikuwa anamaanisha Nini, nampenda sana kumsikiliza Ananja, lakini katika hili kakurupuka kumkashifu mwenzake, arudie kusoma au kumsikiliza mara mbili hakuna sehemu Papa amekubaliana na ushoga Wala usagaji, anakemea vyote na kanisa linakemea
@LovenesyMhame
@LovenesyMhame Ай бұрын
Amina mchungaji wew n kioo ch jamii unafaa kuingwa n jamii kwa mafundish yak n elim uliy nayo
@sarambise
@sarambise 7 ай бұрын
Thanks,it is fact.. tumrudie Mungu hakika
@kasigababa8596
@kasigababa8596 7 ай бұрын
Asante sana Mzee wangu, Mungu akutunze
@suratibrahim6417
@suratibrahim6417 7 ай бұрын
Pastor Hananja...naomba uheshimiwe🙏
@ZaycargoMovers-vx6lf
@ZaycargoMovers-vx6lf 7 ай бұрын
Mchungaji uko vizuri. Ubarikiwe
@mathiasjames
@mathiasjames 7 ай бұрын
Barikiwa sana
@user-zw6hk9rl8d
@user-zw6hk9rl8d 4 ай бұрын
Roho matakatifu na imani ndo muongozo wa mwanadamu katika ulimwenguu huu, ubarikiwe sana mchungaji Mungu akutie nguvu zaidi Ameni kwa hakika umenena sikuweza kuamini kama kiongozi mkubwa vile angeweza kusema kauli ya vile Kuna mikoa kama mara hatujui kabisa kama mambo hayo yapo kwa hakika MUNGU ATUONGEZEE IMANI,AMEN🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@gracenyangusi6230
@gracenyangusi6230 7 ай бұрын
Big up pastor
@MaryAmaiza-th2fo
@MaryAmaiza-th2fo 7 ай бұрын
Napenda huyu pastor,jasiri naungana na ww huo ni ushetani tu 🇰🇪🙏.
@nassorally8139
@nassorally8139 7 ай бұрын
Mchungaji nakukubali Sanaa japo mimi ni muislamu tena no Ustadh kabisaa lakini unauelewa mzuri na ufafanuzi mzuri wa mambo yenye kutatiza natamani wakristo wapate ufahamu na kujitambua kwa maneno yako ya hikma
@user-py9yl9bf5k
@user-py9yl9bf5k 7 ай бұрын
Tumia neno baadhi,usijumuishe wakristo wote
@rosendubi5207
@rosendubi5207 7 ай бұрын
Amina , Mungu akubariki sana kwa kusema ukweli, endelea kusambaza ujumbe kwa nchi yote.
@catjnyang423
@catjnyang423 7 ай бұрын
You are one of my heroes
@pacsnomventures8016
@pacsnomventures8016 7 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 7 ай бұрын
Asante sana mchungaji
@SmilingJellyFish-vf6xy
@SmilingJellyFish-vf6xy 7 ай бұрын
Bwana yesu. asifiwe. Kuomba Mungunibidii yeye papa Anataka Kudupotez Sisitunaelewa mungu Haduhamgaliye papa Atoke hapo mujinga Bwana yesu Asifiwe
@AzAz-sy6zp
@AzAz-sy6zp 6 ай бұрын
Hongereni sana baba kwa uvumbuzi ulio na haki ubarikiwe san mtumishi
@nashonkibayayu3776
@nashonkibayayu3776 7 ай бұрын
Mungu akuzidishie ujasiri na kujiamini zaidi. Wachungaji wengi WAOGA. Ee Mungu inua na wengine waweze kujiamini. Siyo kila jambo ". OH! HESHIMUNI WENYE MAMLAKA, KILA MAMLA IMETOKANA KWA MUNGU"
@enoszaka-tx8qw
@enoszaka-tx8qw 7 ай бұрын
huwa nakuelewa sana mchungaji hananja mwenyezi mungu anakuona atatenda muujiza kwako ili sauti yako ikawaguse watu wote na waache
@masoudymichael
@masoudymichael 7 ай бұрын
Mwaka umeisha vizuri kwa kuwa na watu ambao wanaweza kumchallenge kiongozi wa dini❤
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 7 ай бұрын
Hongera mtumishi, ubarikiwe
@brilliant94tv31
@brilliant94tv31 7 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi kwa mafundisho dunia ishatekwa
@ustadhsaidi3801
@ustadhsaidi3801 9 күн бұрын
Vijana Wanaopandana wao kwa wao, Wanataraji Nini Baada ya Maisha ya DUNIANI? Ubarikiwe Mch. HANANJA
@user-zw6hk9rl8d
@user-zw6hk9rl8d 4 ай бұрын
Mimi ni mkatholic lakini kwa imani yake hiyo mimi nitabaki kuwa mkatholic kupitia imani yangu ya biblia Amen
@JaphetBigirimana-hp8ir
@JaphetBigirimana-hp8ir 7 ай бұрын
napenda huyu baba wetu hongera sana
@robertevarist1595
@robertevarist1595 7 ай бұрын
Baba mchungaji Hananja unasema ukweli Mwenyezi akubariki sana, japo si wakamilifu kwa kila kitu lkn kwa hili la ndoa za jinsia moja halijubariki kamwe.
@user-qt5uy9mt4y
@user-qt5uy9mt4y 7 ай бұрын
Nashukuru sana kwa kumea uchafuo kwakweli tuungane sote wenye kuelewa SoMo la mchungaji kukataa kwa maneno na kwa Sala atuondolee janga hili nashauri mtu atakayefanya ushoga ktk jamii atengwe Kila aina ya kijamii ya msingi maana mtu kama huyo ni shetani kabisa mchungaji mungu akitunze
@rahimajuma5306
@rahimajuma5306 7 ай бұрын
Upo sahihi Mungu akubariki
@leahdaniel1117
@leahdaniel1117 7 ай бұрын
Amen neno la Mungu lipo pale pale na kwa hilo tutahukumiwa kwalo
@user-nz4ff6dq4t
@user-nz4ff6dq4t 7 ай бұрын
Watanzania simameni kidete mkikuli tu kurusu ushoga huyi ngie Tanzania mumerusu lahana maana hiyo nilana kubwa, tangu lini mwanaume kwa mwanaume wakaowana, huo papa mjinga sana tena sana
@rosemwangi-yp9ol
@rosemwangi-yp9ol 7 ай бұрын
Nataka kuwaelezea ukweli kwamba watu wengi na media wamyongea vibaya lakini kama hujaelewa usiongee vitu usivyovijua. Utajikosea mwenye na wengine wasiolewa. Katika mafunzo ya katoliki yatuelezea vizuri Mungu kaumba mke na mume waishi pamoja kama familia yake Kikristu. Papa kasema hawa watu wapo kanisa mtu akija abarikiwe ili Mungu amusaidie kujielewa na kuishi maisha inayofaa kama kama
@user-jq1ny9lx4e
@user-jq1ny9lx4e 7 ай бұрын
We pia ni shoga
@donjb3178
@donjb3178 7 ай бұрын
Tatizo una udini mwingi ndio mana hata kama jambo la hovyoo likisemwa huwezi fanya maamuzi kwasababu akili yako ishachukuliwa mateka fata njia ya Yesu ndio uzima pekee uliobakia ulimwenguni mana dini zimekuwa njia za kuruhusu mambo ya hovyoo kuwa ya heshima kitu ambacho sio sawa
@veeJesus
@veeJesus 7 ай бұрын
Acha udini wewe papa atakupeleka kuzimu. Acha kumtetea shetani. Mfate Mungu Soma bible papa wenu hayupo na nyie tena
@foroforoy2554
@foroforoy2554 7 ай бұрын
Wanagapi wamebarikiwa wakaacha ushoga?
@veeJesus
@veeJesus 7 ай бұрын
@@foroforoy2554 swali zuri
@ziakaitala2221
@ziakaitala2221 7 ай бұрын
Mungu amtunze sana mchungaji Hananja
@yusuphsitta2400
@yusuphsitta2400 7 ай бұрын
Isa 58:1-4 SUV Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao. Walakini wanitafuta kila siku; hupenda kujua njia zangu; kama vile taifa waliotenda haki, wasioacha sheria ya Mungu wao
@alsam4881
@alsam4881 7 ай бұрын
Kuna baadhi ya binaadam ni viumbe wakorofi sana japo wamepewa akili ya kufikiri na kutafakari na kujuwa kipi kizuri na kipi kibaya, lakini bado wanafanya mambo ya kijinga na ya hovyo kabisa yasiyompendeza Mungu, Na ukiwangalia wanyama hayawani hawana akili kama ya binaadam lakini hatuoni dume akampanda dume mwenzake, au jike akampanda jike mwenzake.
@ananiaszinns7324
@ananiaszinns7324 7 ай бұрын
Hapo Papa hamnazo
@Zakayo-px3sh
@Zakayo-px3sh 7 ай бұрын
Taarifa hi ni sahihi na wale maaskofu waliokua against kama Bishop Joseph Strickland wa huko texas amewafuta kazi mwezi uliopita(November). Na moja kati ya agenda za majadiliano kwenye synod; 1. Abortion 2. Blessing same sex marriage 3. Ordination of women etc Kweli tue makin na hawa viongozi wetu
@kingsolomoni-xp3dv
@kingsolomoni-xp3dv 7 ай бұрын
esu ndie bwana na ndie binadamu aliyekuwa amefunga ufahamu wote kwenye kiganja chake yani siri yote na ndio mwenye ile ishara ya sita kiganjani yani ukikunja kiganja ukanyanyua dole gumba unapata herufi 6 ambayo ni yeye aliye umbwa siku ya 6ndio mana hamuezi kuacha kumuita mungu mkuu mmeenda mbali zaidi mkamuita yeye ni chanzo cha uhai wenu siwashangai kwasababu ndio kusudi lake au kusudi la neno nandio maana kila anae soma biblia akiongozwa na roho mnaemuita mtakatifu lazima umuone yesu nichanzo cha uhai wako (REHEMA SEMFUKWE)
@ajgasharia1247
@ajgasharia1247 7 ай бұрын
Muongo ukristo kajanao Paulo yesu hakuwahi kuingia kanisani hata siku moja
@Ngongongalimedia
@Ngongongalimedia 7 ай бұрын
​@@ajgasharia1247 Unaangaika na Paul na kristo badala ya kuelewa maana
@IsaacLameck-nz8yr
@IsaacLameck-nz8yr 7 ай бұрын
Umetisha sanaa
@kitonkamanase2529
@kitonkamanase2529 7 ай бұрын
Mungu yupo kazini Wote mnaunga mkono mambo ya ovyo ambayo biblia imeshasema ni dhambi Mungu anawaona sana ipo siku mtamjua tu Mungu baba wape nguvu watu wako wote wanaokuamini na kukutumikia kwa roho na kweli Mchungaji uliyefukuzwa kazi simamia haki ya neno la Mungu. Mungu yupo upande wako usihofu Kaza macho yako kwa Bwana atakupigania !!
@WeyaniTvonline
@WeyaniTvonline 7 ай бұрын
Ukweli usemwe. Hongera kiongozi kwa kuielimisha jamii na kukataa mabaya.
@ConfusedDaisies-rb5
@ConfusedDaisies-rb5 6 ай бұрын
Binafsi napenda sana mahubiri ya mchungaji R. Hananja, Mungu akubariki sana mtumishi
@wemamanikana9791
@wemamanikana9791 7 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi, hawa maajent tuwapinge kabisa
@saadathassan4434
@saadathassan4434 7 ай бұрын
Mungu akubariki xna mtu bingwa kbisa ww
@salehothman6144
@salehothman6144 7 ай бұрын
Wenye Dini yao washaamua ndugu zanguni ,kila mwenye akili sasa atajua wapi pa kuelekea!
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 7 ай бұрын
SISI hatuendi kokote alieanguka kiimani ni YEYE mwenyewe UKRISTO ni sahihi
@user-kx7ob5rx4p
@user-kx7ob5rx4p 7 ай бұрын
Waroma sio wakristo
@abdullahmasakata170
@abdullahmasakata170 7 ай бұрын
@@user-kx7ob5rx4p Hata biblia ipo mikononi mwao na wao ndio waandishi wa mwanzo, na wamarekani, Wagiriki na Kiingereza Waingereza, Sasa ukristo umetokana na wao na hata Paul mwenyewe alikuwa Mroma au hujui yeye ndio chimbuko la ukristo Wa mataifa? Tena Paul yeye hakuwa na maono au wahai zaidi yeye alikuwa na barua na waraka, Sasa unategemea barua au waraka wa Paul kwa wagaratia iwe neno lake MUNGU? Yeye ndie mtume Wa kwanza mzungu tena Mroma
@gabrielsaelie8091
@gabrielsaelie8091 7 ай бұрын
​@@josephwilliam5813Ameshaukana ukatoliki maana ukatoliki ni lazma uwe MTII KWA PAPA. Kulila na na imani ya kikatoliki Papa hakosei na wakili wa Kristo hapa dunia ni.
@Secondborn_
@Secondborn_ 7 ай бұрын
Dini zote zina wenyewe mzee 😂...
@ASALABOY
@ASALABOY 7 ай бұрын
Bongo Touch umefanya Jambo lamana sana kutuletea mchungaji kutupa Helimi mzuli asante.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇲🇿
@baoussenesombair8007
@baoussenesombair8007 7 ай бұрын
🇲🇿🍎
@petsmore9955
@petsmore9955 7 ай бұрын
Misinterpretation! Kubaruki alikozungumzia papa siotafsiri Hiyo.! Alisema waombewe kwa maana hiyo! Haujamwelewa papa. Acha povu!!!
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 7 ай бұрын
@@petsmore9955 kuwabari ni kuwatambua,wewe ni mbumbumbu,utakwenda jehanamu
@petsmore9955
@petsmore9955 7 ай бұрын
@@odilomwemeziernest646 wewe na chungaji wako wapumbavu sana. Kwa akili na elimu yenu ndogo mnafikiri Mungu ni babu yenu na tayari mko mbinguni na mnapanga was kuingia mbinguni na wale was jehenamu. Pumbavu tena wanafiki wakubwa! Kile kisa cha mwanamke aliyefumaniwa kwa uzinzi Yesu alimfanyaje Kama hakumbariki? Someni biblia vizuri na muombe kueleweshwa pale ambapo mnapelea hamna kitu mnachoelewa nyie! The Catholic church is not a mushroom church like that of the pastor you claim to have spoken sensibly. In fact he is just speaking emotionally out of his little biblical knowledge.
@lordorcas9344
@lordorcas9344 7 ай бұрын
acsente Mutu wa Mugu Ubarikiwe Kamwe 🙏🙏🙏
@zenahussein2242
@zenahussein2242 7 ай бұрын
Dah ukaipokea milioni kabisaa kwa utulivu huku ukiuacha ujinga wao lakin sio pesa 😂😂😂 Ahsante.
@kazinzangonda230
@kazinzangonda230 7 ай бұрын
Safi sana mchungaji aisee ninakukubali sana
@lilymwashumbe4890
@lilymwashumbe4890 7 ай бұрын
Mungu akubariki kwa kusema ukweli
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 7 ай бұрын
Barikiwa sana mchungaji uko bright sana
@evangelicalmiraclesfellowship
@evangelicalmiraclesfellowship 7 ай бұрын
Ur 100% collect ,
@hilarybenedicto3621
@hilarybenedicto3621 7 ай бұрын
Nzuri sana huyu papa ni mtu atakufa tu.... Biblia haisapoti ushoga na usagaji kabisa papa kachanganyikiwaaaa anakwenda kupata pigo kutoka kwa MUNGU.
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 7 ай бұрын
Hivi lini wokovu iko kwenye kanisa la katoliki!! Kule hamna wokovu.
@angelsulle7177
@angelsulle7177 7 ай бұрын
Wewe ni mbwa mbwekaji hakuna anaye kuhitaji Wakatoliki ni wengi mnooooo!!!! Ukabweke huko Barabarani
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 7 ай бұрын
@@angelsulle7177 sawa naweza kuwa mbwa!! Sina mbaya!! Sijazangumzia uwingi, hilo sio sababu. Nazungumzia wokovu. Haipo kwenye hili kanisa la katoliki. Endelea kunitukana, ila ukweli ndo hivohivo!! Cheki ulivyo, mtu wa Mungu hawezi kumtukana mtu!! Bado hujaokoka. Ww+katoliki hamna wokovu. Oky?
@JumaMnyonge-js7db
@JumaMnyonge-js7db 7 ай бұрын
Unadanganya yesu si mwaanzilishi wa ukristu muanzilishi uyu hapa Matendoe ya mtume 11:28 Wakorintho WA Kwanzaa 4:15 Mathayo 22:26 Paul ni Mrumi wakuzaliwa Usimsemeye Yesu uongo tafadhali
@SchubertMbakizao
@SchubertMbakizao 7 ай бұрын
Ukitaka kujua mashoga walivyoongezeka angalia comments za watu....hata hapa angalia tu, utajua huyu ni shoga huyu ni shoga kwelikweli
@user-nz6xy1vs5i
@user-nz6xy1vs5i 4 ай бұрын
Sema kweli baba na Mungu akubariki
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 7 ай бұрын
Hongera sana mchungaji hananja
@hawa6052
@hawa6052 7 ай бұрын
Hananja ukweli daima usihofu nani anasema nini hapa ukweli tu Hadi mwisho wa Dunia
@user-wq6er3ux5r
@user-wq6er3ux5r 7 ай бұрын
Ibada ya jumapili pia aliweka papa.
@user-qn1yq1pi7p
@user-qn1yq1pi7p 5 ай бұрын
Great job Hananja👏
@user-xl5xi1uq9z
@user-xl5xi1uq9z 5 ай бұрын
True ,waambie ukweli mchungaji,viongozi wengine wa dini wanaona aibu kukemea ,wamekaa kimya
@IsmailIsmail-ix1yd
@IsmailIsmail-ix1yd 7 ай бұрын
Safi sana
@JackobGalish-ky3no
@JackobGalish-ky3no 6 ай бұрын
Mzee yuko vizuri. Japo huwa anaongea kama masihara. Tunakataaa!'😂
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 7 ай бұрын
Mimi ni muislamu lakini kwa kweli mzee uménena maneno mazuri sana ndugu zangu wakristo msipende kufata maneno ya wachungaji ambayo hayako katika kitabu chenu cha biblia na pia ulizeni maswali kwa wachungaji hachani kuburuzwa kama mkokoteni hacheni ujinga Mungu atawachoma moto fateni dini ya yesu.ni dini ipi msifuate dini ambazo Mungu haja ilita zindukeni hacheni hujinga someni biblia hacha kuimba sana mnapenda kuimba kuliko kupenfa Mungu
@micahlucky5613
@micahlucky5613 7 ай бұрын
Mungu akubariki ww jamaa umenena vyema hujataka kupalilia udini kama wengine....maana dhambi ni dhambi tu haina dini nq inapaswa kukemewa
@kennethjunior6071
@kennethjunior6071 7 ай бұрын
Pastor weka namba tuwe tunakuchangia sadaka, maana unafundisha ukweli
@saidmasoud2200
@saidmasoud2200 7 ай бұрын
Asante saana
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 7 ай бұрын
Shukran sana mchungaji hananja
@bravesilubonde4350
@bravesilubonde4350 7 ай бұрын
Nice
@zuberkasim7150
@zuberkasim7150 7 ай бұрын
Unashindwa kujiuliza makaomakuu ya yesu ulikua Israeli kwanini sasaivi makaomakuu iwe vatikan dini ya nabii Musa nuhu daudi yesu muhammadi ilikua dini mojatu ukitambua Hilo huwezi kupata ttabu
@SAM_163
@SAM_163 7 ай бұрын
HUNA SHULE TULIA .
@andreamayengo966
@andreamayengo966 7 ай бұрын
Mungu aendelee kukupatia maisha marefu uzidi kutoa na kufundisha elimu na neno la Mungu Biblia Iko wazi na tunashukuru kwa kuelezea baadhi ya vifungu,,,maana alichokiongea huyu mtu ni ushetani.
@LovenesyMhame
@LovenesyMhame Ай бұрын
Kwel mtumish yan saiz wap watumish mbk wanachangany mtu huelew lip l kwee n lip l uong kam hujui biblia bc watumish n kukosoan n kutukananan tu hawaelimishani kam mung wao wanao mwabudu n mmja❤❤❤❤
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 7 ай бұрын
ndo maana nchi ya uganda ilweka sheria kali saiv ukiche kwenye mpra wanavaa kabsa vtambaa vya ucapten vnavyo sapoti ushoga uko ulaya imeingia saiv ad kwenye din
@jasonbella7733
@jasonbella7733 6 ай бұрын
Ukiona mtu yeyote anampinga mch hananja kwenye hii mada ujue uyo ni shoga na anapenda kuingiliwa na wanaume wenzie.
@user-ys2gn1nd4q
@user-ys2gn1nd4q 7 ай бұрын
nakukubali sana hananja wekiboko mimwenyew mkatolk lkn sifat mamboyao ykjng watu waabudu watu naviongozwtu wataka waabudiwe wao nawaumin wajing wanafany mimwenyew awnipend kutokan naukwel nnaouongea kutokan kweny baibo awtak wtaka wanvyotaka wao
@sixberthcostantini9290
@sixberthcostantini9290 7 ай бұрын
Mchungaji tunakuombea Mungu akuwekee ulinzi katika maisha yako mimi niliroma lakn nimehama kwasababu kuna ushetan umejificha ndan yake Kilichonisikitisha zaid ni papa kuruhusu ndoa za jinsia moja inasikitisha sana kuwa maamuz ya aajabu sana kiongoz mkubwa wa din anaruhusu ushetan
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 7 ай бұрын
Roma hauna kama wewe
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 7 ай бұрын
Alikufungisha wewe hiyo ndoa
@micahlucky5613
@micahlucky5613 7 ай бұрын
Kimsingi wakristo na waumini wengi ni bendera fuata upepo...wengi huwa hatuchunguzi imani zetu tunabugia tu kisa tumezaliwa tukakuta wazazi au ndugu ni waumini...we don't take time to study the history behind....ikitokea mtu mmoja anajaribu kututoa matongotongo ya imani fake tunakuwa wakali na hata kutukana matusi...sasa huwa najiuliza kama kweli mtu unaufaham ukristo wa kweli unatoa wapi mashiko ya kuanza kumtukana mtu kisa kapingana na mtazamo wako au na kile unachokiamini...kwann usichukue muda kuchunguza madai yake.kwa roho ya upole na maombi ili Mungu akufunulie....tujifunze kunyenyekea...Ukristi na imani sio vita
@JohnmasesalutandaguraJohnmases
@JohnmasesalutandaguraJohnmases 4 ай бұрын
Kwer tuchane pastor kwer nimekubali
@trecygohy7847
@trecygohy7847 7 ай бұрын
Papa hajaluhusu ndoa ya jinsia 1 ila ameruhusu baraka zitolewe kwao bila ubaguzi na sio ndoa n sawasawa wewe mtenda dhambi unavyo kwenda kwa mchungaji wako kumuomba kuibariki nyumba n.k chako
@user-um2rx7or2k
@user-um2rx7or2k 5 ай бұрын
Watumishi wa Mungu wafundishe ukweli waache kueba kitabu cha mambo ya walawi 20:13 na hicho cha walawi 16:1-34,17:1-16,18:1-30,19:1-37&20:1-27
@BeullahBujah-lk3sx
@BeullahBujah-lk3sx 7 ай бұрын
Hallelujah hallelujah
@KandidoLuvanga
@KandidoLuvanga 3 ай бұрын
Ananja ukosawa munguakubariki sana
小宇宙竟然尿裤子!#小丑#家庭#搞笑
00:26
家庭搞笑日记
Рет қаралды 19 МЛН
ജൂതനെ അറിയുക | ABC MALAYALAM | ABC TALK | ISRAEL JEWS
21:46
MCH HANAJA APIGA NONDO NZITO KUHUSU KIBOKO YA WACHAWI
28:20
Mbengo Tv
Рет қаралды 52 М.