MCHUNGAJI KIMARO ASAMEHEWA, ABUBUJIKWA MACHOZI KANISANI "UMESAMEHEWA ENDELEA KUTAFAKARI"

  Рет қаралды 201,888

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

‪@millardayoTZA‬

Пікірлер: 599
@lydiahbhoke2284
@lydiahbhoke2284 Жыл бұрын
Mchungaji Kimaro wewe ni wa juu wewe ni wa juu nasema wewe ni wa juu subiri Mungu atakupandisha viwango vingine vikubwa sana wewe ni dhahabu wewe ni Lulu you are of another level
@meshackshirima6047
@meshackshirima6047 Жыл бұрын
Mi binafsi ni mroma lakini nampeda bure huyu baba🙏
@joycemollel7698
@joycemollel7698 Жыл бұрын
Kumcha bwana ni chanzo Cha maarifa,ubarikiwe sana mchungaji kimaro, Mungu yu nawe siku zote.
@joycesanga4378
@joycesanga4378 Жыл бұрын
Huyu ndo mchungaji sasa anayekubali majaribu maana alijuwa haya ni mapito yatapita tu siyo wale kanisa likitikiswa kidogo tu wanahama kanisa hongera mtumishi wa Mungu napendaga sana mahubiri yako
@janethjohnmrsjoseph2171
@janethjohnmrsjoseph2171 Жыл бұрын
Ahsante bwana yesu kwa kusikia sala na maombi yetu juu ya mchungaji wetu 🙏🙏😭😭😭😭
@Mapishinatibatv
@Mapishinatibatv Жыл бұрын
Watu wa Mungu kweli wanaongozwa na Roho wa Mungu 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@jardinemwasi8123
@jardinemwasi8123 Жыл бұрын
From Kenya. Hakika wacheni Mungu aitwe Mungu. Mungu anasikia maombi ya watu wake. Asante kwa unyenyekevu wa mtumishi kimaro. Na pia asante kwa watumishi wote wa kkkt kwa kumsamehea mchungaji,kweli hii ni ishara ya upendo mbarikiwe nyote pamoja na kanisa lote.
@maryemanuel6122
@maryemanuel6122 Жыл бұрын
kwani alikosea nini jmn😳
@jacklineminja2022
@jacklineminja2022 Жыл бұрын
Nimelia nimelia Yesu nashukuru kwa upendo
@euphrasiantawatawa1510
@euphrasiantawatawa1510 Жыл бұрын
Haleluyaa,shujaa umerudi karibu sasa ",Let be light",Glory to God.
@christamanyalla264
@christamanyalla264 Жыл бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah mwanakondoo ameshinda Hallelujah! Tunamshukuru Mungu kwa ajili yako Mchungaji Kimaro, kwa mara nyingine tena kwa vitendo umetufundisha unyenyekevu, Mungu azidi kukuinua.
@eliashagai7920
@eliashagai7920 Жыл бұрын
Nakushukuru kwa mtumishi wako mchungaji Eliona kurudi kazini,Mungu umwema Sana.Wskati Askofu anaongea nimejikuta machozi yananibubujika.Asante Mungu wetu wa mbinguni
@tumainikaluwa8133
@tumainikaluwa8133 Жыл бұрын
Namwona Mungu anamwandaa Mchungaji Kimaro, kutokea KKT kuwa mtumishi mkubwa Tanzania na kwa mataifa
@pastorcarolicarlostokunmbo826
@pastorcarolicarlostokunmbo826 Жыл бұрын
Umemwonaje Mungu
@barakamachard1944
@barakamachard1944 Жыл бұрын
Kwan saiv sio mtumishi mkubwa Tanzania
@mwajumamohd7930
@mwajumamohd7930 Жыл бұрын
Wacha uongo hawezi tokea KKKT,hapo tu wameshampiga stop,kama atahuburi kwa spidi ile Tena,Niko paleeee nimekaa nakunywa Pepsi ya baridi
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 Жыл бұрын
Tuendelee kumuombea!
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 Жыл бұрын
@@mwajumamohd7930 Kama nimemuelewa ni kua atakua mkubwa akiondoka KKKT, hapo kweli amepigwa speed gavana
@margaretnamubi4565
@margaretnamubi4565 Жыл бұрын
Mchungaji komaro God is preparing you to high ranks .b come God is on your side Am bless6 with ir preachings
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Asante baba Malasusa kwa hekima zako. Pia Kimaro Mungu akujaze siku kwa ajili ya kondoo wa Mungu na hekima uliyonayo na unyenyekevu mkuu sana. We real miss you 😭😭😭. My heart hunger
@janethmalaika5241
@janethmalaika5241 Жыл бұрын
@anthonychaula6362nyinyi ndo tatizo kubwa sana kama alivyosema askofu kuna waumini wa kweli na wasio hao kazi yao nikuleta tatizo tuepukane nao na kamuonya Kimaro kwa ajili ya hao waumini we mmoja wapo .Do not touch my annointed ones unapataje nguvu ya kuongea sentence kama hio instead ya kusema asante Mungu kwa hili unataka kuanza kebehi as a christians tujitafakari sana
@vero57
@vero57 Жыл бұрын
Haya sasa na sisi tuwasamehe wezutu, tuazie hapa, MUNGU ni mwema sana 🙏🏾🙏🏾
@salomekisanga560
@salomekisanga560 Жыл бұрын
Kwa kwel
@yacinthamarco7886
@yacinthamarco7886 Жыл бұрын
11
@chiwaligojoseph8529
@chiwaligojoseph8529 Жыл бұрын
Nimeshtuka nimetetemeka nimefurahi changanya hizo hali zote kwa pamoja, cjui hata ninajisikiaje nikiwa miongoni mwa watu wanaompenda sana mtumishi huyu wa bwana.
@deborahmuhanda5561
@deborahmuhanda5561 Жыл бұрын
Ameni
@benjaminsimiyu4420
@benjaminsimiyu4420 Жыл бұрын
All honor and glory belong to our good God.
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 Жыл бұрын
Watu wenye Mungu ,hujinyenyekeza na kujishusha ,hutii viongozi hata kipindi kigumu
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Yaani machozi yamenitoka + huo mvurugano ulioutaja. Yaani hata sijielewi. Huyu mtu wa Mungu amekua baraka sana kwa wengi. Pia mwingi wa hekima. Mungu tutunzie huyu kiumbe wako
@erickgeneration
@erickgeneration Жыл бұрын
Kwani alifanya kosa gani?
@sophiamumbe888
@sophiamumbe888 Жыл бұрын
Mimi ni muislamu ila nimependa sana mlivyo sameheyana amekukosea na yeye akajuwa.akakuomba msamaha na ukasamehe mbarikiwe nyote AMEEN
@nerryabel7512
@nerryabel7512 Жыл бұрын
Am happy for you Mch Kimaro,mahubiri yako ni mazuri na ya kisasa endelea mbele baba Mungu ni mwema sana🙏🙏
@lindakapongo8421
@lindakapongo8421 Жыл бұрын
hata mimi nimelia kwa ushindi yesu kashinda amani yabwana kwa asikofu mama kimaro kwa ushauri muzuri ubarikiwe mke mwema
@maryamconstantine2232
@maryamconstantine2232 Жыл бұрын
@@lindakapongo8421 sorry lkn km utojal Yesu na Bwana sio yesu
@gracevicent510
@gracevicent510 Жыл бұрын
Asante Yesu
@elitulizampangule2999
@elitulizampangule2999 Жыл бұрын
Mungu ni mwema🙏
@jamesraphaelmdima4729
@jamesraphaelmdima4729 Жыл бұрын
Mahubiri ya kisasa ndio maandiko yanasema siku za mwisho watu watapenda mafundisho lainilaini!
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Mungu ni mwema, asante Yesu maombi yetu yamejibiwa. I can't wait. 🙏
@fredrickonchokanimrods9631
@fredrickonchokanimrods9631 Жыл бұрын
from Kenya,kwa kweli Mungu n mwema,we love you Mr Kimaro
@highlighttz3321
@highlighttz3321 Жыл бұрын
Hongera sana baba askofu kwa kuachilia msamaha kusamehe sio kitu rahisi hongera mchungaji kimaro
@abeidsabuni5026
@abeidsabuni5026 Жыл бұрын
Mchungaji kimaro anaongea point sana..... Hakuna mkamilifu ila Mungu atazidi kukupigania na kutupigania sote Amen
@msechutimotheo4830
@msechutimotheo4830 Жыл бұрын
Am very happy for you father Pastor Kimaro till crying 😢
@sophiandumbaro1709
@sophiandumbaro1709 Жыл бұрын
Pastor Kimaro wewe ni bonge la mtumishi wa Mungu,umeonyesha unyenyekevu mkuu,huku jiinua na MUNGU akujalie neema.
@christianlutego1288
@christianlutego1288 Жыл бұрын
Mchungaji Kimaro MUNGU amekuinua zaidiii, pito hilo lilikuwa la kukuinua, hata tusio walutheri sasa tumekujua sasa wewe ni mchungaji sahihi wa nyakati hizi
@ahuriladaniel9849
@ahuriladaniel9849 Жыл бұрын
Hakika
@arubalydia224
@arubalydia224 Жыл бұрын
Kilicho cha Mungu bila Shaka kina lindwa na Mungu, Yesu anakupenda baba 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️
@obadiansato1898
@obadiansato1898 Жыл бұрын
Nimefurahi sana mch Kimaro kurudi hakika nimebubujikwa na machozi
@eliamanmollel5085
@eliamanmollel5085 Жыл бұрын
Amen, Glory to God Almighty 🙏
@maryr4033
@maryr4033 Жыл бұрын
Heri wapatanishi Kwa maana hao wataitwa waana wa Mungu! Pole sana baba Kimaro Jesus loves You. Roho mtakatifu akufundishe zaidi ktk njia zake. Nawapenda Baba na Mama Kimaro!
@florabuzoya3948
@florabuzoya3948 Жыл бұрын
We love you rev Kimaro welcome back
@gracekunambi7438
@gracekunambi7438 Жыл бұрын
Haki hadi nimebubujikwa na machozi, tumuache Mungu aitwe Mungu🙏🙏
@solsimaniakanam7843
@solsimaniakanam7843 Жыл бұрын
Ameen yesu ni mwema tumeshukuru na.musamaha mubarikiwe watumishi wahusikawote thanks
@niceayuma7256
@niceayuma7256 Жыл бұрын
Amen Baba askofu Kwa hekima uliyotumie
@niceayuma7256
@niceayuma7256 Жыл бұрын
Amen
@landiismollel4075
@landiismollel4075 Жыл бұрын
Acha umaandazi wewe, yaani ulie wewe kisa mwingine 😂😂🚮🚮
@devothatraziasmshumbus
@devothatraziasmshumbus Жыл бұрын
Mungu akuinue zaid....pole sn Rev Kimaro napenda sn mahubir yako
@annamachaki3644
@annamachaki3644 Жыл бұрын
Mungu ww ni Ebenezer asante kwa mtoto wko Eliona kama lilivo jina lake Eliona maana yake Mungu Angalia na akaangalia Asante Mungu usiesinzia ukampa mwanao kutokutetereka kwa yaliyotokea ukamshikilia hakutangtang kutamani kulihama kanisa🙏🙏 hadi leo tunaendelea nae pole sana Kimaro asanteni watumishi wa Mungu🙏🙏🥰
@rehemamusa8199
@rehemamusa8199 Жыл бұрын
Mtumishi.songa.mbele.usiangarie.kulia.wala.kushoto.asante.kushuka.na.kuyeyekea.bazikiwe.sana
@marygorethkazungu7739
@marygorethkazungu7739 Жыл бұрын
Mungu akutunze, ana makusudi na wewe, majaribu yasikurudishe nyuma, hata mwanae Mungu aliyapitia na akayashinda, usilie , mtumikie Mungu mpaka mwisho wa dahari. Amina
@marthanyamburasamuel5706
@marthanyamburasamuel5706 Жыл бұрын
Am really grateful to God almighty 🙌 let your Holy name be uplift Lord for the humbleness that uve put upon your servant more blessings protection provision as you do the work of God,,I love you man of God am greatful to God almighty 🙏
@jescarlema8098
@jescarlema8098 Жыл бұрын
Sijui hata kwa nini machozi yananitoka nimefurahi sana kwa ajili ya mchungaji Kimaro Mungu azidi kumuinua
@sayunimunuo2429
@sayunimunuo2429 Жыл бұрын
Mungu ni mwema Mchungaji zidi kumuomba Sana na kuvunja Mipango yote ya Ibilisi, Kwani Juzi nilikua kwenye dalala Kuna watu walikuwa wakikukandamiza na kuongea maneno mabaya Mungu akutane nao Kwa Jina la Yesu, Siku zote Dhahabu ili ing'ae lazima ipite kwenye moto Songa Mbele mtazame Mungu Pekee🙏 Askofu Mungu Akulinde Asante Kwa hekima aliyokupa Mungu, awalinde Watumishi Wote🙏
@gracemusa31
@gracemusa31 Жыл бұрын
Huyu mchungaji kimaro anaonekana ni mnyenyekevu Sana Mungu atazidi kumuinua viwango vya juu sana
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 Жыл бұрын
Glory to God....lipo la kujifunza hapo👏🤝
@willahalinga9053
@willahalinga9053 Жыл бұрын
Nimefurahii kumuona tena baba yetu,. Mungu aendelee kukupigania ktk yotee
@maryyohana4586
@maryyohana4586 Жыл бұрын
Amen Asante kwa Hekima kubwa Baba Nuru na giza vinapingana mimi namshukuru Mungu kwa Hekima Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu.
@tumsifumballaga824
@tumsifumballaga824 Жыл бұрын
MUNGU ni mwema hakika nimependa hekima za baba askofu malasusa huo ndio ukristo kusameheana he is such a man of GOD am happy too kwa kimaro mafundisho yake huwa yananibariki sana.
@catherinegimbika1545
@catherinegimbika1545 Жыл бұрын
Mungu akuinue zaidi mch Dk Eliona, uishi maisha marefu sana umtumikie yeye , na mwisho tufike mbinguni.
@monicamtenga
@monicamtenga Жыл бұрын
Mchungaji kimaro Mungu akulinde kwenye huduma yako utafika mbali Sana
@lucythomonja7302
@lucythomonja7302 Жыл бұрын
Glory to God
@janengaga2928
@janengaga2928 Жыл бұрын
Afadhali alivyojishusha kweli analipenda sana kanisa lake kkkt.Mungu ambariki mchg Kimaro😍.Kasameheana ni vizuri sana Agizo la KRISTO YESU ❤️
@MtuSafi
@MtuSafi Жыл бұрын
Sio tu kulipenda kanisa lake bali ndo sehem yake ya biashara yake angekula wap sasa...
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 Жыл бұрын
Watu wenye roho ya Mungu ,siku zote ni wanyenyekevu. Hongera baba Kimaro kwa unyenyekevu wako. Hii ndio kweli ndani yako
@janengaga2928
@janengaga2928 Жыл бұрын
@@MtuSafi 😃🤣🙋
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 Жыл бұрын
@@MtuSafi 😂😂😂 Halafu kweli
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 Жыл бұрын
@@MtuSafi unawaza kula tu, kazi ya Mungu mi zaidi ya kula na kunywa.
@josephvenus3259
@josephvenus3259 Жыл бұрын
😭😭🙏🙏🙏🙏🤝🤝 Am so happy for this moment! Welcome our father in Christ!
@phadminkeadminkenia6192
@phadminkeadminkenia6192 Жыл бұрын
Nafurahia sana kutoka Kenya kkkt kinyelezi nikanisa langu Mungu yupo na anatupenda sana
@qngodmary3714
@qngodmary3714 Жыл бұрын
Asante Mungu wa Utatu Mtakatifu,wewe ni Mungu usiyeshindwa na hakika hutenda kwa wakati huchelewi wala huwahi.Maandalizi mema ya kipindi cha Kwaresma.
@romanafrancis265
@romanafrancis265 Жыл бұрын
Mungu ni mwema , mchungaji kimaro hongera endelea kumtumikia Mungu kwa nguvu zote barikiwa sana
@mwajumamohd7930
@mwajumamohd7930 Жыл бұрын
Hawezi tumikia kivile tena
@naomigodwinmagenge6342
@naomigodwinmagenge6342 Жыл бұрын
Ashikuliwe Mungu wa mbinguni, nimelia sana Kwa furaha Kwa kuona mchungaji huyu kasemahewa na aendelee na kazi ya kituelimisha. Nimemuona mkono wa bwana ni kweli bwana hutenda Kwa wakati wake.
@leahmzundu9374
@leahmzundu9374 Жыл бұрын
Mungu ni mwema kila wakati. Karibu Mtumishi Injili isonge mbele
@esterkiyongo2316
@esterkiyongo2316 Жыл бұрын
Pr Kimaro Pole kwa Pito hili
@asteriashios1852
@asteriashios1852 Жыл бұрын
Ni kweli mungu ni mkuu hakuna kilichoshindikana kwake Asante baba wa mbinguni wote tuu wakosaji ndo maana baba alisema tuombe Toba Kila tuombapo asb mchana na jioni tuombe tuu yamkini umekosea mtu na hujitambui km ni dhambi
@marianajoseph1892
@marianajoseph1892 Жыл бұрын
Tu samehewe kama tunavyowasamehee wengine waliotukosea,. Asante Baba Askofu kwa hekima yako kwa kizazi hiki.Heri wenye moyo safi maana watamuona Mungu. 🙏🏻🙏🏻
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 Жыл бұрын
Amina,,, 🙏🏽🙏🏽
@subiramussa1428
@subiramussa1428 Жыл бұрын
Amen
@emmanuelminja6307
@emmanuelminja6307 Жыл бұрын
@@subiramussa1428 Amen
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 Жыл бұрын
Hallelujah Hallelujah ASANTE MUNGU kwa kujibu maombi yetu🙏🙏🙏🙏😭😭
@lucymussaabinego1753
@lucymussaabinego1753 Жыл бұрын
Kwani slifanya nini? Shetani alimpitia wakafanyaje? Tujuzwe hatukujua kama alifanya makosa tulikuwa ni likizo tu
@justinmnkeni7691
@justinmnkeni7691 Жыл бұрын
Kama kuna waliosifiwa kuwa na tabia nzuri ni kwa utukufu wa bwana na waendeleze tabia nzuri na wanaojitambua kuwa na mapungu tumo tumuombe mungu atubadilìshe kwa damu ya yesu.mchungaji hakutaja jina la mtu na yeye si msemaji wa KKkT na kila mtumishi anatumiwa na roho kwa namna tofauti kufikisha ujumbe .Tumshukuru MUNGU kwa nguvu ya msamaha.Tusiende kwa kukosoana bali kuelekezana na kuchukuliana mizìgo.
@fabiolashirima7278
@fabiolashirima7278 Жыл бұрын
Glory be to God 🙏♥️
@saadamartin8866
@saadamartin8866 Жыл бұрын
Utukufu wote ni wako Mungu, mchungaji umeonesha mfano mzuri Sana kwa Jamii, kweli wewe ni mchungaji, Mungu akubariki
@neemaloy889
@neemaloy889 Жыл бұрын
Asante yesu kwa kumtetea kimaro,japo naomba viongozi wa kkkt muwe na hekima na HOFU ya Mungu mnapofanya maamuzi,Kimaro mlitaka tu kumshika miguu lakn Yesu amemtetea,huduma ni ngumu sana mnapoona mwenzeni anainuka mshikeni mkono
@stephanokanyika6321
@stephanokanyika6321 Жыл бұрын
Mungu ni mwema siku zote na tumeomba na Mungu huwa achelewi siku zote yeye ni mwanzo na mwisho na yeye afananishwi na mtu huduma ya Mch.kimaro iendelee mbele watu wa Mungu tuendelee kumuombea mtumishi wa Mungu amen
@rodamasanja6601
@rodamasanja6601 Жыл бұрын
Mungu ni mwema baba endelea na kazi mtumishi wa Mungu
@matildah2080
@matildah2080 Жыл бұрын
So,so happy to hear that Mungu ni Mungu tu hata maadui wakupangie nini atabaki kuwa Mungu,🙏🙏
@janetsemahimbo8083
@janetsemahimbo8083 Жыл бұрын
Ahsante mchungaji Kimaro Kwa kujishusha pia Kwa kukaa kimya Kwa kipindi chote hiki bila kujitoa kwenye media kuongelea haya yaliyotokea. Ubarikiwe sana Mchungaji Kimaro. Pia nakupongeza askofu Malasusa Kwa kutoa msamaha Kwa Mtumishi wako hiyo inaonyesha jinsi gani ulivyokuwa na upendo. Mbarikiwe wote
@georgenorasco1705
@georgenorasco1705 Жыл бұрын
Chanzo n nn et
@gwamakangwala6468
@gwamakangwala6468 Жыл бұрын
He really practiced what he preaches.
@issayashesha9403
@issayashesha9403 Жыл бұрын
Good say.AMEJISHUSHA SANA ASUBIRI MUNGU MWENYEWE ATAMPANDISHA Binadamu NI Nani ? akuyangazie MSAMAHA wa kutengenezewa
@janetsemahimbo8083
@janetsemahimbo8083 Жыл бұрын
@@issayashesha9403 Hiyo ni kukubali yaishe Issaya. Duniani hakuna haki, haki IPO mbinguni
@jescamwakipesile5339
@jescamwakipesile5339 Жыл бұрын
Mungu ni mwema na mwaminifu sana, mwingi wa Rehema. Msamaha ni muhimu. MUNGU wabariki Watumishi wako wote, asante kwa hekima iliyotumika.
@mwajumamohd7930
@mwajumamohd7930 Жыл бұрын
Msamaha kwa kosa lipi?? Na kama Kuna kosa inamaana washirika walikuwa wanaandamana huku wakijua makosa ya mchungaji wao??? Hii ni funika kombe mwanaharamu apite
@gladyelia8630
@gladyelia8630 Жыл бұрын
Amen
@sophiankwera9020
@sophiankwera9020 Жыл бұрын
Jamani nimetokwa na machoz Hakika Mungu anawafaham walio wake pole baba futa machoz songa mbele😭😭😭
@janechengula2833
@janechengula2833 Жыл бұрын
Asante Mungu wetu 😭🙏🙏🙏🙏🙏
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
In God.I trust.Amen
@beatricejoseph2347
@beatricejoseph2347 Жыл бұрын
Mungu atabaki kuwa Mungu hakuna wa kufananishwa na yeye na ,Mungu yupo anatenda ,kusudi lake lazima litimie.🙏🙏🙏
@mariamlugula136
@mariamlugula136 Жыл бұрын
Binafsi Nampenda sana Mchungaji Kimaro, Mungu Akusimamie katika neno na kweli Barikiwa mnoo
@neemamaganga9774
@neemamaganga9774 Жыл бұрын
Amina nimefurahi sana kuweka tofauti pembeni. Huo ndio ukomavu ktk imani. Mungu awabariki sana
@nerryabel7512
@nerryabel7512 Жыл бұрын
Wameona waumini na wamechachamaa mno,wakaona wamsamehe tu arudi kazini
@agustinocharles2650
@agustinocharles2650 Жыл бұрын
Wow GOD is good 👏👏👏👏👏👏
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 Жыл бұрын
Tunamshukuru sana Mungu wangu kwa Hekima iliyofanyika kumsamehe Mchangaji Kimaro Mungu akubariki sana Malasusa
@leahmollel6589
@leahmollel6589 Жыл бұрын
Utabaki kuwa Mungu ! Umewajibu watoto wako! Hakika Bwana Mungu nashangaa kabisa nikitazama jinsi ulivyo😭🙏🙏🙏
@beatusmchau1556
@beatusmchau1556 Жыл бұрын
Hongera nyingi kwa Askofu mtarajiwa wa KKKT imedhihirisha wazi hilo halina mjadala ila muda utaongea Amen
@raulentlishoni898
@raulentlishoni898 Жыл бұрын
Ameni
@cosmasissackmatata9186
@cosmasissackmatata9186 Жыл бұрын
Asante baba askofu hakika hii imenibariki mno.
@panchovalentino3576
@panchovalentino3576 Жыл бұрын
Mchungaji Kimaro Yuko vzur Sana 💯🔥
@naisaitoti644
@naisaitoti644 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa Baba Askofu Wakristo linavyotokea jambo ndani ya Kanisa tusiwe mashabiki bali tuwe mstari wa mbele kusawazisha ilo Kanisa lisipate doa maana ndani ya Kanisa wapo washabiki wa Imani
@jennytugara9470
@jennytugara9470 Жыл бұрын
Huu ndio ukristo wa kweli. Sometimes inabidi tujishushe na tunyenyekee alafu tuache mkono wa Mungu ukatende. Yeye ndio muamuzi wa kweli. God bless you our Brother in Jesus Dr Kimaro🙏🏾🙏🏾🙏🏾🇺🇸
@asnathbusongo3773
@asnathbusongo3773 Жыл бұрын
Amen
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Maaskofu waliona kimeumana, mtu kawekwa kwa bango, inabidi tumsamee.
@magrethminja1309
@magrethminja1309 Жыл бұрын
Dunia ilitambua na mbingu zikadhibitisha,Mungu mwema,naamin Kuna nguvu ya ziada imeobgezeka Kwa Pastor kimaro embe emagine wachungaji waliompiga mawe n kumpaka mavi kesho Yao bado hawJaijua(/¯◡ ‿ ◡)/¯ ~ ┻━┻
@teddymagori3779
@teddymagori3779 Жыл бұрын
Asanteee yesu kiristo we wa haki mbele za wanadam na mbel za wanym pia jina lko litukuzwe
@wilfredaxwesso7394
@wilfredaxwesso7394 Жыл бұрын
GLORY TO GOD .Hili ndilo nililotarajia kuwa Mch Eliona atashinda hii vita kwa kutambua kuwa maneno yake hayakuwa afya kwa wakristo na ukristo pia japo hakuwa na lengo baya.Washarika tusiwe mashabiki hasa waliokuwa wakiandamana,kiukweli walikuwa hawajui kuandamana kwao ni kumtukuza shetani.Mahubiri mbele kwa mbele Dr eliona.Ameen.
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 Жыл бұрын
Kwa kweli
@janelunanilo162
@janelunanilo162 Жыл бұрын
Asante Yesu
@elizatete1452
@elizatete1452 Жыл бұрын
Ahsante Mungu kwaajili ya mchungaji wetu kimaro
@ntulibupe1832
@ntulibupe1832 Жыл бұрын
Glory to Jesus
@genovevakilawe3018
@genovevakilawe3018 Жыл бұрын
Siku zote mwenye akili hujishusha ili Mungu awakweze. Asante Mungu
@isaacnyongesa4690
@isaacnyongesa4690 Жыл бұрын
Na jina la Mungu ainuliwe siku zote....mitokapo kenya 🇰🇪 Mwenyeenzi Mungu anisamehe!! Forgive me Lord ...
@sundaystanley5322
@sundaystanley5322 Жыл бұрын
Mungu ni mkuu sana,makanisa mengine yaige mfano kwa kkkt,nimeipenda sana hii.Baba askofu nakupongeza sana
@abuuazhar3738
@abuuazhar3738 Жыл бұрын
Hii ni shirki kubwa sana, yani msamaha wa mtu unakua na nguvu kama msamaha wa Allah. Islam will always be my Way of life.
@heavensent2526
@heavensent2526 Жыл бұрын
Safi sana Baba Askofu na Mchg Kimaro hii ndo maana halisi ya upendo tuliofundishwa na BWANA YESU... Shetani kaaibika mchana kweupeee
@eliethmwanguya7118
@eliethmwanguya7118 Жыл бұрын
Jamani nampenda Mch.Kimaro mpaka Shetani anaona wivu, Mungu amsaidie katika yote, hakika nguvu ya Mungu imeshinda.
@rehemamwamundela2717
@rehemamwamundela2717 Жыл бұрын
Mungu awabariki sn watumishi wa Mungu baba Askofu Malasusa na mch Kimaro
@amanimapenzi571
@amanimapenzi571 Жыл бұрын
Gosh! Ile kulia nimelia jamani!!! Eeh napenda kuwa mkatoliki mimi!!! Tunaunganishwa na msamaha wa kristo
@leahdaniel1117
@leahdaniel1117 Жыл бұрын
Wewe ni MUNGU unaetenda Tena na Tena, lusifa umeanguaka lusifa umeaibika, Asante YESU kwa kuwa ulisema hutatuacha yatima Asante MWOKOZI wetu
@nellymsigwa6997
@nellymsigwa6997 Жыл бұрын
Asante YESU asante YESU🙏🙏
@colethachaula592
@colethachaula592 Жыл бұрын
Mmemuumiza saizi mnasema pole Sana, kimaro saizi najua Mungu atakuweka ktk viwango vingine usijar songa mbele
@samhadas788
@samhadas788 Жыл бұрын
Mungu akulinde Irua Ave naiwe nshungaji Aba ikuda inini la Irua
@rhodamwafongo6660
@rhodamwafongo6660 Жыл бұрын
Leo nimefurahi sana Mungu ametushangaza na kutufurahisha hallelujah
@jamalbakari6136
@jamalbakari6136 Жыл бұрын
Alikosea nn kwani
@janx8867
@janx8867 Жыл бұрын
@@jamalbakari6136 alisema kanisa la kweli ni Katoliki pekee haya madhehebu mengine ni ya kitapeli, na yeye yuko Lutheran😀
@marysona9999
@marysona9999 Жыл бұрын
Kikubwa mchungaji ni mnyenyekevu sana!!! Nimejifunza.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Ameomba msamaha Kwa kosa gani?
@monicamtenga
@monicamtenga Жыл бұрын
Asante Yesu nimefurahi sana,Mungu wetu ni mwema kila wakati.
@oscanyakunga
@oscanyakunga Жыл бұрын
UYO NDIE MUNGU MKUU KULIKO Miungu THANKS GOD YEHOVA
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 Жыл бұрын
Jinsi waumini wanavyolia pamoja naye!!! I'm speechless!!
@valentinovenant1568
@valentinovenant1568 Жыл бұрын
Katika kazi ya mungu vikwazo lazima viwepo....simama baba Piga injili kupitia Hilo imani yako imezidi kuimarika.
@euphrasiantawatawa1510
@euphrasiantawatawa1510 Жыл бұрын
Sahau ya nyuma baba,ganga yajayo,walete watu kwa YESU
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 11 МЛН
ОСКАР ИСПОРТИЛ ДЖОНИ ЖИЗНЬ 😢 @lenta_com
01:01
ROCK PAPER SCISSOR! (55 MLN SUBS!) feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
Mchungaji adai kuwasiliana na Kanumba, Mama yake atoa ushuhuda
16:38
USHUHUDA
14:45
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 132 М.
Why The SSPX Is Correct - SSPX Interview Series - Episode 7
2:41:13
SSPX News - English
Рет қаралды 283 М.
GEN Z SENDS A STERN WARNING TO OSAMA FOR HOSTING PRESIDENT ON X SPACE
8:54
REV. DR. ELIONA KIMARO: JIEPUSHE NA KIGEUGEU
1:02:03
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 14 М.