Msukuma awavaa mawaziri aikataa taarifa ya Kunambi" hii ni aibu, madudu mengi"

  Рет қаралды 117,823

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Жыл бұрын

Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Msukuma akichangia maoni yake kwenye taarifa ya kamati kuhusu ripoti za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali, bungeni jijini Dodoma, Novemba 2, 2022

Пікірлер: 66
@frankilunga1447
@frankilunga1447 Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu ipo siku utaongoza Tanzania kwa uwezo wa Mungu kwa mbalii namuona mwendazake anafurai kumuona kijana wake anavyosema ukweli
@madattarcharles1114
@madattarcharles1114 Жыл бұрын
Comrade unajua kweli kabisa,huwa nafatilia speeches zako yaani unaongelea Ukweli, nakupenda Sana Msukuma%%%%%%%......
@sifathyunusu871
@sifathyunusu871 Жыл бұрын
Msukuma sisi watanzania ndugu zako kaka zako TUNAKUPENDA kwa sababu ubunge unautendea haki sio kama wabunge wengine wanakaa bungeni bila kututetea lolote hii sio dili unafaa KTK nafasi hiyo mimi natoka KAGERA Muleba usiogope na usirudi nyuma unapokua unatenda haki ya kututetea Asante sana Mungu akubariki
@kabulukimati
@kabulukimati Жыл бұрын
Wabadilishe. Wote.unda.baraza.jipya
@deusmtewele1599
@deusmtewele1599 Жыл бұрын
C A G mwizi anakagua wezi Msukuma hiyo nimeipenda
@IpyanaMwangonda
@IpyanaMwangonda Ай бұрын
Mzee nakuelewa sana ila msaidieni ata ally mlagila mbuge wa kyela Yani atetei ata wilaya yake mungu akubaliki
@fellisianholle9431
@fellisianholle9431 Жыл бұрын
Uko sawa sana mbuge msukuma kwa kulishauli bunge
@AbrahamSekuza
@AbrahamSekuza Жыл бұрын
Msukuma angalia sana CCM itakukolimba angalia sana wenye nchi yao toka awamu ya kwanza wanakuona
@davidchungu6598
@davidchungu6598 Жыл бұрын
KWA SERIKALI HII YA AWAMU YA 6 NA KWA LICHAMA HILI LA CCM MAJIZI MATUPU MSITUPIGIE MAKELELE HAPO
@user-ge6fi8dk2g
@user-ge6fi8dk2g Жыл бұрын
Upo vizuri sana Msukuma
@RehemaNchimbi-ji9jq
@RehemaNchimbi-ji9jq 2 ай бұрын
Namkubali sana msukuma👍👍👍
@benjaminbatano698
@benjaminbatano698 Жыл бұрын
Mama yupo China anatafuta pesa hakuna shida ataziba mapengo ya pesa zilizoibiwa na mafisadi.
@majurandaro1408
@majurandaro1408 Жыл бұрын
wabunge wote wangekuwa kama msukuma bunge lingewa safi nawananchi wasinge kuwa na shida
@adam-saffi211
@adam-saffi211 Жыл бұрын
Musukuma hajui kitu, talk talk talk hajui hata katiba ya nchi!
@allymukhsin2962
@allymukhsin2962 5 ай бұрын
Bro kama haujui siasa nyamaza
@DaudiMwanyombole-tm6hm
@DaudiMwanyombole-tm6hm Жыл бұрын
Musukuma unayo yaongea nikweli kabisa wasomi wanatuangusha sana ukiangalia kazi zingine unakuta yamefanyika madudu tupu
@VumiliaMwakamisa
@VumiliaMwakamisa 10 ай бұрын
Huyu anaeitwa hasunga yupo bungeni kweli? Inamaana huku ,kwenyejimbo lake hakuna matatizo🙆???¿ Hiiiiii jaman
@barnaba3037
@barnaba3037 Жыл бұрын
Dah kwahiyo watu wa cag wanawazunguka wabunge na wabunge wanawazunguka dah Mungu tuokoe
@judithgeorge1756
@judithgeorge1756 Жыл бұрын
Tunakupenda msukuma MUNGU azidi kukutunza
@kenosman4780
@kenosman4780 Жыл бұрын
Hongera sn bro we n Kat ya wazalendo wa Nchi hii.
@user-fx3sk9kh1s
@user-fx3sk9kh1s 4 ай бұрын
Mama mpe uwaziri wa nishati mh msukuma
@josephsengule3039
@josephsengule3039 Жыл бұрын
Uko vizuri
@IpyanaMwangonda
@IpyanaMwangonda Ай бұрын
🎉🎉❤❤
@stevumgaya6543
@stevumgaya6543 Жыл бұрын
Tanzania tunajuwa kusema lakini hatuchukui hatua
@anosiata8242
@anosiata8242 Жыл бұрын
Kwa Tanzania tulipofika tunaka kiongozi kama magufuli. Magufuli alikuwa haangalia mtu. Usoni. Uwe kiongozi wa kigogo alikuwa anasumbuliwa. Tumechoka na wizi serikari
@mikesalii8568
@mikesalii8568 16 күн бұрын
Katiba mpya ndiyo itungwe
@BarakaNestol-qw4bn
@BarakaNestol-qw4bn Жыл бұрын
Kazi endlee
@fabianshibai3623
@fabianshibai3623 Жыл бұрын
Good akiri kubwa
@mdemualphonce1559
@mdemualphonce1559 Жыл бұрын
Tunaeishi mbagala msukuma umetukosea chaurembo mbunge huyo msukuma analala na ng'ombe mbona Yuko bungeni?
@paulmhelwa8403
@paulmhelwa8403 Жыл бұрын
Uko sasa mbele ya mawaziri
@severinaseverinanyoni707
@severinaseverinanyoni707 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂msukuma nakupenda
@deusmtewele1599
@deusmtewele1599 Жыл бұрын
Msukuma CAG aanzie ukaguzi bungeni humo ataona jinsi Covid 19 wanavyo kula hela zetu bila chama na nyinyi mmefumba macho
@naomijoram4622
@naomijoram4622 Жыл бұрын
Safi sana Boniphase kapongezwa harafu akapewa yake mazingira machafu hahahaha wewe kama Mheshimiwa onyesha mfano usafi Boniphase
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Жыл бұрын
msukuma kwa nn usiwe rais tu aaah
@tekelosangala2278
@tekelosangala2278 Жыл бұрын
Sema bwana nimekuelewa
@rajabumalupu4184
@rajabumalupu4184 Жыл бұрын
Safi king
@petermboje5839
@petermboje5839 Жыл бұрын
Ewe msukuma nakuamini hata msomi hawezi kukupinga uko sawa
@mabugamussa2860
@mabugamussa2860 Жыл бұрын
Katiba mpya muhimu
@KuruthumMichael-gh1vv
@KuruthumMichael-gh1vv Жыл бұрын
Kenya
@salehehussein5560
@salehehussein5560 Жыл бұрын
Msukuma baba mwaka 2025 njo ugombee pangani Mana atuna mbunge wa kuisemea pangani tuna mbunge kapata bahat akapewa nafasi awe wazili wa maji lkini pangani bado tunashida ya mji
@jasonkalekezi1191
@jasonkalekezi1191 Жыл бұрын
Achieni madaraka amuwezi kuongoza nchi ao wanaokura hela za watanzania wametokana na sera zenu ccm na wabunge hamna haki ya kukemea ubadhilifu huu ikiwa wengi wenu mko bungeni Kwa wizi wa kura me binafsi naona munajikosha tu wote ni wezi mumetengeneza mifumo ya wizi wenyewe,na wanaoiba hela za watanzania ndo wale wale mnawatumiaga kuiba kura .ndani ya ccm akuna msafi wote hati zenu ni chafu mno.
@mdachiog5211
@mdachiog5211 Жыл бұрын
Msukuma kichwa kweli hoteli ile inahitai eneo
@akidahamad142
@akidahamad142 Жыл бұрын
Sasa munaelekea kwenye sera za chadema mutajenga nchi kila mtu ana cheyo et aah achen ujinga magavana ndyo kila kitu
@SiwemaSelemani-iq9oh
@SiwemaSelemani-iq9oh Жыл бұрын
Mung akulide
@mussasadick770
@mussasadick770 Жыл бұрын
Kila mfanyakazi kwenye anakiwa kuwajibika Ili kutimiza malengo ya serikali
@hamismabula9934
@hamismabula9934 Жыл бұрын
Tunaupiga mwingi jamani, sifa kila cku zinamiminwa! Mie nadhan tusilaumu! Tuendeleeni tu kusifia!
@mnolamanyendi4956
@mnolamanyendi4956 Жыл бұрын
Ccm mnatakiwa muwe pembeni mmeshinda kutuongoza
@andrew29468
@andrew29468 Жыл бұрын
Msukuma una hoja nimependa,ile hotel ilijengwa bila akili nyingi hata eneo la parking lilipatikana bdae,ni kutokufikiria
@NaaminiNgwatu
@NaaminiNgwatu Жыл бұрын
Unaongea ukweli baba lakini haupat sapot
@chrislwali5660
@chrislwali5660 Жыл бұрын
Yani hii Tz cjui kwa nn nimekuja huku Bola ningebk hukohko
@joachimgolola1086
@joachimgolola1086 Жыл бұрын
SEMA msukima
@SaidSiria
@SaidSiria 3 ай бұрын
😂😂😂😂
@JumaMnana-bf6bf
@JumaMnana-bf6bf 10 ай бұрын
No
@jumanassoro1552
@jumanassoro1552 Жыл бұрын
Musukuma unaupiga mwingi
@shabirumsagati9369
@shabirumsagati9369 Жыл бұрын
Msukuma cyo tu mbunge ni mbunge pekee!!
@richardnganya2311
@richardnganya2311 Жыл бұрын
sasa wote wa mama mmoja hakuna kudhuriana ! Hakuna jipya hapo !!
@mayaally2512
@mayaally2512 Жыл бұрын
Kwan wakiwepo wapinzani wanaongeza nn sasa ?
@jacksonsawe2301
@jacksonsawe2301 Жыл бұрын
Ukweli kuvunja Paradaiz Cinema Jengo alama ya mji mkongwe wenzetumajengo yanakuwa kumbukumbu sisi tunabomoa
@kongatulia6231
@kongatulia6231 Жыл бұрын
Wapinzani walikuwa wanasaidia ila sasa mmm
@janenzilano632
@janenzilano632 Жыл бұрын
Juuu
@adam-saffi211
@adam-saffi211 Жыл бұрын
Wote wezi nyie acheni kutudanganya nyinyi wajinga!
@deusmtewele1599
@deusmtewele1599 Жыл бұрын
Msukuma wasukume wajinga hao
@IpyanaMwangonda
@IpyanaMwangonda Ай бұрын
🎉🎉❤❤
@IpyanaMwangonda
@IpyanaMwangonda Ай бұрын
🎉🎉❤❤
MUSUKUMA -  "TUKIWAITA VILAZA MNATUZOMEA, HECHE UNAKIMBIA UNAENDA WAPI"
12:11
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 34 МЛН
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 40 МЛН
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 4,3 МЛН
ROBOTI KUBWA LILIVYOMPELEKEA RAIS SAMIA KIFURUSHI CHA 5G
9:54
Wasafi Media
Рет қаралды 388 М.
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 568 М.
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 34 МЛН