Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma amemshukia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina alipokuwa akichangia taarifa ya kamati ya bunge ya kilimo, mifugo na maji iliyowasilishwa bungeni, mjini Dodoma leo.
Пікірлер: 87
@st99ngeni356 жыл бұрын
Msukuma na kukubali sana ntu wangu. Ki ukweli wewe sio darasa la 7, wewe una digirii 7. Big up sana. Ujielewa wewe ni nani, nini maana ya kuwa mbunge - yaanu muwakilishi wa watu. Uko vzr. Piga kazi na 2020 tunakupa kura zetu japo mimi sikai geita lakin habar ndy hiyo.
@pauletamakinga50406 жыл бұрын
Big up msukuma,hilo ndio jembe analolitaka JPM......muunge mkono JPM baba tunakuombea...
Msukuma wewe ni kiongozi mwenye PHD. Nakukubali sana. Mungu akuzidishie moyo wa kuwatumikia wananchi.
@donaldsamwel6836 жыл бұрын
Mh.msukuma unachokisema ni kweli tupu hongera sana.
@khadijamanzi6705 жыл бұрын
Uko vizuri mheshimiwa
@ngassaphilipo4456 жыл бұрын
hongera sana musukumaaaaaaaaaa
@abuumohamed70902 ай бұрын
Genius
@emanuelligijr2614 жыл бұрын
Natamani sana msukum ungekua mbunge wa geita mjini
@madamcolethaa6415 жыл бұрын
Jamani msukuma mpaka raha
@joshuasamson41746 жыл бұрын
msukuma halijasoma sana la saba anajua kujitetea hongera msukuma unajua kuwakilisha mwanachi
@raphaeljuma68436 жыл бұрын
Huwa msukuma nakupendaga Sana ,,😁😁😁katika kumbukumbu zangu sizani Kama ushawahi kuulizwa swali ukashindwa ((kujibu)).
@ayoubissa9773 жыл бұрын
Kwakweli msukuma yuko vizuri san good job
@paulinarobert11816 жыл бұрын
kwa kweli kama ni ivo kumbe ukoloni upo ndo tunarudi kwenye mashairi ya form six shairi linaitwa "eat more " duh mungu saidia Tanzania
@tellassekemneke59886 жыл бұрын
pmj sana msukuma nakuelewa sana Teras wa tbr.
@eversmilek6 жыл бұрын
huyo Mpina hana lolote, arudishe mashamba yetu aliyo pora kijiji cha Kilengezi Mvuha. haya ni maisha tu, leo yeye Waziri kesho hicho hicho kiti atakalia mwingine
@user-rl5gf6tj4n Жыл бұрын
God bless you brother 🙏
@muhsinsalum23055 жыл бұрын
Wallahi mimi ninachokiona katika Serikali yetu hizo sheria wamezoziweka sio kwamba nikututaka Raiya tubadilike bali nimfumo Rasmi wa kutafta hela za Serikali na mishahara ya viongozi kupitia migongo ya walala hoi. Maana maskini wa Mungu wengi wetu hatusomi sheria za NCHI nahata tukisoma ukitaka kujitetea tu unaonekana nimkorofi muhalifu unataka kupingana na Serikali mwisho wa yote unapelekwa kituoni mpaka mahakamani unapelekwa hivi mara vile. Mwisho wa yote unahukumiwa miaka 2 Gerezani uende ukapasue mawe. Ukitoka huko ushakua muoga siku nyingine ukikutwa unatetemeka. Napenda kusema tu kua: "maadam alietuumba yupo hii hukumu ya duniani nikitu cha muda, ila malipo yapo mbele za mwenyezimungu. Unadhulumu watu miaka hata ikizidi saana ni 50, ila unaenda kuchomwa moto na Mungu milele. Fikiriaa!!!!
@abuassadalamri.16754 жыл бұрын
Well done Msukuma,,wape ukweli 👍
@fridambezi60674 жыл бұрын
Msukuma uko sahii kabisa mpina mungu anamwona watu wamefirika
@mankomwita86926 жыл бұрын
msukuma oyeeee mpina anatafuta kiki kwa mkuu ila anatuuwa sisi tunao tegemea dagaa na samaki kama biashara
@johnsonfrodianus62375 жыл бұрын
Asante msukuma
@sayraleigh00955 жыл бұрын
Msukuma piga kazi uko vizuri
@ZAKAYOMASOTA3 ай бұрын
Hongera jembe
@margarethsolomon6936 жыл бұрын
Izumacheli hahahaaaaaa jamaa yangu wewe huwaachagi salama hawa mawaziri wasiofuatilia kazi zao vizuri, hawajitambui sijui wana shida gani.
@vituszacharia6355 Жыл бұрын
umeiva sana
@stephenmassawe2186 жыл бұрын
Musukuma weeeee nakukubali kwa namna unavyojielekeza kwenye hoja.
@joycecharles29346 жыл бұрын
nakukubari sana Msukuma
@estheryangayanga66375 жыл бұрын
safisana
@josephatalphonce44745 жыл бұрын
Hahaha umetisha kama umesikia neno kiki twende sawa
@abdulrahmanally14124 ай бұрын
Msukuma nakukubali, ww ni mkweli, muwazi mpe za uso huyo mtaka kiki kwa gharama ya wananchi
@mariamshija18006 жыл бұрын
Safi sana musukuma
@SalumuHerman2 ай бұрын
Mimi nashauli msukuma uje uwe mbunge wa chalinze na makonda awe mkuu wa mkoa wa pwani mwaka elfumbili na ishirini natano
@brownyjayden33122 жыл бұрын
👌👌👌
@brownyjayden33122 жыл бұрын
Sawah
@yohanabundala91625 жыл бұрын
Asee Msukuma We mashine, nikweli ziwani hakuna Beria...Yote unayoongea ni ukweli hongera sana, Lakini Usimlaum sana Mpina ni jambo la kumueleza ajirekebishe2 Binadamu hatujakamilika.
@amanihamidu20955 жыл бұрын
🔥🔥🔥 king
@imanuelmahenge54616 жыл бұрын
Safi sana msukuma
@charlesmwita81936 жыл бұрын
Kuanzi Leo umetimiza wajibu kama chombo cha kuisimamia serikali, Mpina ni mshamba na ajitambui,
@mteswalutema62022 жыл бұрын
Msukuma noma namuoba awe lais
@stevekennedy46782 жыл бұрын
Ukweli usemwe tu
@allymfangavoo60655 жыл бұрын
#Musukuma unatishaa sana....
@ayadjuma24575 жыл бұрын
Nakukubali sana kaka msukuma💪
@anamgesi26343 жыл бұрын
Hongera Sana msukumaaaaa
@alhajichambo21885 жыл бұрын
msukuma nakubali maoni yko aisee
@masanjaalubert73462 жыл бұрын
Uko vizur mkuu
@jacksonjohn73786 жыл бұрын
Asnte msukuma
@thegrandpentahotel38564 жыл бұрын
safi sanaaa
@danieljohn60706 жыл бұрын
Nice
@kulwakashindye55465 жыл бұрын
Hivimtoatalifa naembungee maaana kongeavpumba
@user-jc8vt7ct9t4 ай бұрын
Mpina ni mzigo hafai kabsaaa
@hassanmwalle56282 ай бұрын
Mpina hajielewagi kabisa
@maluhismadila9593 Жыл бұрын
Huyu mpina hafai kabisa
@erodycostantin68665 жыл бұрын
mutoa tarifa huna. Akili
@shekydrake34844 жыл бұрын
Kwel kabix mxukuma
@dianamlindo5627 Жыл бұрын
Magufuli kaacha mtot
@josesizy13156 жыл бұрын
Kwa kweli hii operation ni kurudisha nyuma maendeleo ya wavuvi haikubaliki.
@denarddavid92026 жыл бұрын
Jose Sizy Hao WAVUVI wanachangia kiasi gani KWENYE uchumi WA nchi? ACHENI ubabaishaji na kusifia ujinga.
@hatimalnaamani8766 жыл бұрын
Denard David . Km hujui chochote bora yamaza tu ujui uvuvi unamchango gani. Pole
@khamisrashidy13485 жыл бұрын
Msukuma wabheja nkwingwa
@revocatusrwakagera37426 жыл бұрын
safi sana msukuma
@sifaelyjoshua15974 жыл бұрын
Nakukubali sana tetea wañyonge wa datasa lasaba tunalia wengi tuuu
@sifaelyjoshua15974 жыл бұрын
Nakukubali sana
@wankyosogorya81153 жыл бұрын
Nyavu 1 m27 fain
@emmanuelbonifas35174 жыл бұрын
Bahati yako ipo 2 hata kama inacheweshwa uko vzr sn mh msukuma na elimu yako ya darasa la 7
@neliommy36736 жыл бұрын
mskuma we jembe ndomaan nakkbal San na ninajua ungekuw na elim ya ktosha ungekuwa wazir mkuuuu
@wianomesso67925 жыл бұрын
Saf Sana Msukuma Unajua
@mbogomagembe63186 жыл бұрын
watanzania hamueleweki mnatetewa na msukuma ,wengine wanamkashifu
@jacobmariatabu36756 жыл бұрын
nakupa bigapu
@zabronkazimoto55456 жыл бұрын
wambie
@josephmagori61726 жыл бұрын
msukuma
@denarddavid92026 жыл бұрын
Kama na gari lako limekamatwa na samaki haramu, huna maana hata kama dereva ndo alihusika bila IDHINI YAKO, ungepaswa kukemea , hata msipprudi watarudi wengine.
@hatimalnaamani8766 жыл бұрын
Denard David. Ivi ata km si kiwango wanacho kiitaji samaki 3 tena mtu uenda kanunua kwa matumizi ya yumba ndio atue Miliono therathini. Ww si kanda ya ziwa laiti ungekuwa kanda ya ziwa ungejua watu ambavyo hawana amani na delightful
@zamdasaleh6917 Жыл бұрын
Mskuma aba degree ya heshima na akili sanaa huyu jmaa ni htriiii sana
@issackdauda52666 жыл бұрын
Msukuma wewe noma
@erickkihuru45296 жыл бұрын
Big up Msukuma
@msetimagesa62856 жыл бұрын
Haise lasaba tunajielewa sana
@sofiachilunzo71396 жыл бұрын
BP 7
@olivermusanvu20046 жыл бұрын
asante msukuma waelimishe
@speciozaalloyce88146 жыл бұрын
Msukuma kweli .kwao wanakula panki
@magrethmeela25194 жыл бұрын
Watu wengi wenye biashara hii ya samaki wamekufa wengine wamefilisika kwa kushindwa kulipa mikopo yao ktk mabenk walikokopa. Inauma sana.
@msilimnyeme8604 Жыл бұрын
𝒖𝒌𝒐 𝒗𝒊𝒛𝒖𝒓 𝒎𝒔𝒖𝒌𝒖𝒎𝒂 𝒎𝒘𝒆𝒛𝒂𝒏𝒈𝒖
@masungaezekieli34906 жыл бұрын
hongera sana musukuma
@mosesnsagali39126 жыл бұрын
Hahaha msukuma noma kwamba kule ziwan hakuna beria!