Kasimu majaliwa ange chukua mikoba yake hiv sasa tungekuwa mbali sana
@sulle1870Күн бұрын
Nyerere na Magufuli ni mtu mmojaa watanzania❤❤❤
@saidndimbo2738 Жыл бұрын
A true leader of Africa, Rest in peace
@user-rt7rl6ki1r5 ай бұрын
GOOD
@samidohsam-fj1lo Жыл бұрын
He was a man a man with mercy wisdom
@tajiriadamu41 Жыл бұрын
You still alive my president kutoka South Africa 🙏🏿
@Abneruwezaeliyaad211 ай бұрын
Sifa heshma na utukufu tunakurejeshea MUNGU BABA kwa kutupa kiumbe wko aliye na roho kma yako....asante MUNGU uliyemkuu....emeeeeeeen
@ndiiyolazaro11255 ай бұрын
Nakukumbuka sana RAIS wangu wa Kila siku 🕊️🕊️ 2024
@husseinnkuna6401 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba utakumbukwa daima 😭
@faza4023 Жыл бұрын
Eh MUNGU Baba asante ulitupa Raisi huyu🙏🏾🙏🏾🙏🏾 tumejifunza mengi..narudia tena ASANTE SANA MUNGU MUUMBAJI. Tusije tukasahau kukushukuru,hatukutegemea kama kuna mtu kama huyu.
@yohanaamon5182 Жыл бұрын
Kweli Mungu Asante kwa kutupa JPM. Ni maombi yangu umuweke katika ufalme wako. Maana aliyoyatenda yaliwapa tumaini masikini wa roho na mwili na wenye njaa. Amen.
@Stanley.kapumbira Жыл бұрын
Baba yetu jaman 😭😭😭nchi ishakua yakisenge sana hii jaman
@shaffihsiraji31416 ай бұрын
Kabisa
@mwingadulle74005 ай бұрын
Mnoooo
@faizatmfaume9051 Жыл бұрын
Jaman siyo siri nimekumbuka hotuba za mwisho wa mwezi hasa za magufuli mungu azid kumpa pumziko la milele
@thomaskubini8116 Жыл бұрын
Hatatokea raise kama wewe baba lala salama raise wa wanyonge nilkupenda sana
@rashdiyange7758 Жыл бұрын
chuma kama chuma mtu bad uyooo kuna kama ww mzeee
@adedesam91987 күн бұрын
From Kenya 🇰🇪🇰🇪 more love
@dr.djshigongo4927 Жыл бұрын
Mtu aliwatukana hadi hao mabeberu na kugomea masharti yao mengi lakini leo mtu anasema alikopa sanaaa, najiuliza sana Inawezekanaje mtu umtukane na ugomee masharti yake hadharani halafu akukopeshe sanaaa?daaaah haya bhana ndo keshaondoka hawezi kujibu karma itamjibia....R.I.P Mzee baba🥺
@lubangompyalimi8922 Жыл бұрын
Maaduwi zake wa ndani ndio wanajitahidi kuchafua jina lake hasa kwa mbinu mbalimbali , et alikopa saana. hasa baadhi ya waadishi wa habari.walibanwa na jpm .sasa wanalipiza kwa kuchafua jina lake. Ukweli utabaki kuwa JPM was an excellent leader .
@faza4023 Жыл бұрын
Usiwaze..hawawezi kumchafua, chuma
@nawandafamito500 Жыл бұрын
Hawatoweza maana mungu ni moto ni moto ulao hata wawe wawe wengi vp ukweli utazidi kua na nguvu
@charlesjohn5792 Жыл бұрын
Ni huzuni kwakweli
@newadibalozi8773 Жыл бұрын
umeongea hoja kubwa sana na mm nilijiuliza kama ww hivo hivo
@omaryramadhani290 Жыл бұрын
Dah hatutapata rais mwenyemachungu na tanzania kama magufuli haitaweza tokea
@christophermontelo2518 Жыл бұрын
Una uhakika gani?
@testarguy8609 Жыл бұрын
Hatuwezi kupata tena kama mjomba magu ,R.I.P 😭
@geraldmakalala6091 Жыл бұрын
Itakuwa ngumu sana
@MACHOYATAI-jk6fu10 ай бұрын
Tumempata mwabukusi
@kingwatabata4230 Жыл бұрын
Tanzania wajanja wengi Rais kama uyu hawezi pendwa hataaaaaaa🙌
@magrethcolestine2880 Жыл бұрын
Pumuzika kwa amani
@mamboshepea8888 Жыл бұрын
King wa tabata kwako wahalifu na wezi ndo wajanja...haya bhanaaa!!
@charlesjohn5792 Жыл бұрын
Kweli KABISA
@johanesbagenzi248610 ай бұрын
Mungu akupe uzima wa milele.
@rajabmsinzia1715 Жыл бұрын
Hakuna tena Hutuba zenye hamu ya kuzisikiliza ,hutuba zilizojaa Hisia za Ukweli kutoka moyoni,,,,ALLAH AKUWEKE SEHEMU UNAYOSTAHILI MAGU
@davismakundi1700 Жыл бұрын
Eee mwenyez mungu mlaze mahali pema peponi bb yetu huyu
@user-xs6sh5wh4p13 күн бұрын
Dah nashindwa kuyazuia machozi yangu😢😢😢😢
@maryamjumah Жыл бұрын
Uchaguzi ujao naomba mungu apokee dua yangu tuongozwe na majaaliwa
@Mobmob2013 Жыл бұрын
Hujui unachoomba Marry Tuombe Mungu Kwa bidii yeye ndiye anayejua nchi hii na anayetujua. Kumbuka yeye ndo alituambia Jpm yupo ikulu anaendelea kuchapa kazi
@jnote9283 Жыл бұрын
Hujui kitu
@n_onlinetv91 Жыл бұрын
Kabisaaa dua yangu pia nikuona tunabahatika tunampata majaliwa
@faustinamahenge22509 ай бұрын
Amina tuko pamoja ajiuzuru uwaziri mkuu sasa ili achukue fomu ya kugombea urais
@charlesmihayo1275 Жыл бұрын
Mzee pumzika kwa amani ulikuwa unatenda bila kubahatisha uongoze na huko uliko bajba
@dbarrik41086 ай бұрын
Its now time for Africana as continent to be magulified for the better tomorrow of its people
@zenajsalehe53415 ай бұрын
Magufuli baba tunakukumbuka ,😢mungu akuremu kabisa tuliishi kwakujiamini sana aaa😭we gonna miss you magu
@lukindombuleti8174 Жыл бұрын
Huyu ndio raisi ww cc masikini na watu wa hali ya chini,tangulia mzee ila ipo siku utarudi tanzani
@bennie7239 Жыл бұрын
Taarifa za habari siku hizi hazina mvuto 😎. Enzi hizi taarifa za habari watu walikuwa wanalipia kama mpira...
@newadibalozi8773 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 umetisha
@kelvinbernard5453 Жыл бұрын
Yoooooo inuma inaumaaaa, r.I.p magu
@machaggechacha3422 Жыл бұрын
Magufuli hakufa na ugonjwa wa moyo.!!! Acha uongo.!!!!! Kikwete na Samia na daktari wao wanahusika.
@husseinbakari123 Жыл бұрын
Really
@doricemitanto7481 Жыл бұрын
KABISA .😭
@malcomg10045 ай бұрын
Hakika
@user-uu7mg3ff8l6 ай бұрын
m.mungu akuekee mahar pema peponi
@HamisiDalali16 күн бұрын
Baba mungu akuweke maharishi pema peponi mzee pumzika kwa amani Amina
@oscarkasalile3966 Жыл бұрын
Hakika mzee uniombee ipo siku nitagombea urais kwenye Taifa letu na watanzania wakiniamini basi baba nakuahidi sintakuangusha katika falsafa zako. Sintaleta urafiki kwenye kazi za wananchi. Kwa msimamo nitakaowaonyesha sio litakia Taifa hili mema. Badala kujali maslahi ya watanzania wao wanaangalia matumbo yao.
@faza4023 Жыл бұрын
Ufanikiwe ufanikiwe sanaa kuibeba nchi yetu
@eriminahmshai Жыл бұрын
Baba wawanyonge alinuwa watu walio finyiliwa Africa Africa line sisi tutakuwa na umoja tuwache kudhumiwa na watu weupe lini masomo tunayo ila tunaishi kaa sokwe hadi lini tutatumia elimu yetu kujiendeleza sisi wenyewe jamani nauzuka sana kuona walio soma badala yakutetea inchi zawo ndio wananyanyasa inchi na wanainchi kuwafaidisha watu weupe na family zao hadi huko wafrica ndio tunawalisha tuwaeka maisha mazuri sisi kwetu tunakufa maskini wafrica tusimame na inchi zetu
@boazjohn558 Жыл бұрын
Mbona mimi naangalia hapa lakini machozi yananitoka kunakitu namic eee
@casmirymusic Жыл бұрын
R.i.p baba
@jeremiamuro7670 Жыл бұрын
Huyu Raisi alikuwa kweli Raisi ndio alifanya nikapenda kufatilia siasa maana kulikuwa na hari. Yakusikiliza hotuba zake,Mungu akupokea kwakweli
@hawamjungu3396 Жыл бұрын
Mzee mzee jpm kwakweli ulisema tutakukumbuka na kweli tunakukumbuka sana
@leahsamson9354 Жыл бұрын
WALIOMCHUKIA MAGUFULI WOOOTE MAFISADI , LEO HII WANASHANGILIA MUNGU ANAWAONA
@mr.qareembrown4473 Жыл бұрын
Sijui kuhusu wengn lkn mm i will always cherish what u have done and i will always try to do my best be like u
@mwananjesafari2547 Жыл бұрын
Tumchague Majaliwa ni Magufuli mwengine
@charlesjohn5792 Жыл бұрын
Never
@VenanceEphraim-hr2cc6 ай бұрын
l'Afrique à perdu un homme en tout cas 😢😢😢
@stephanokigosi656 Жыл бұрын
Rest in power Ngosha
@onionpeeling58224 ай бұрын
AISEE - R.I.P KIONGOZI- aliyafinya Majizi. Watanzania wajanja janja sana ! Huyu mwamba ulikua hutoboi kwa ujinga ujinga
@Joseph-lu4yj15 күн бұрын
Jpm alikuwa akihutubia taifa lina tulia kwanza mpaka vindege vinaacha kupiga kelele
@hamisimzungu6823 Жыл бұрын
Mr president cku Hz wanafiki wanakukumbuk pia TUISHI Tu hvyo hvyo coz tushazaliw Tz tyr nchi aiend bila unafik Sasa hv
@godfreyndole4706 Жыл бұрын
Tutakukumbu sanaa😭
@nyamwekomatoke9951 Жыл бұрын
Pumzka kwa Amani Jembe la Tanzania na Africa
@lukandaomary6347 Жыл бұрын
Magufuli chuma chetu,,,dah
@ElishaDaBestPrince5 ай бұрын
We miss you daddy of nation 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@adelaudarutagwela5070 Жыл бұрын
Jembe utabaki kuwa jembe JPM
@chidodoozkid1122 Жыл бұрын
Maraa paap mwamba akufa alikua anawatega😎😎😎
@malcomg10045 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@nollyboy8438 Жыл бұрын
He was good leader, tutakukumbuka daima ,, r.i.p JPM
@kulwamathias7680Ай бұрын
nakupenda sana raisi wangu nitazaa mtoto na nitamuita magufuli pia nitamtengeneza kuwa magufuli
@raymondalfred8540 Жыл бұрын
We love you for ever 😥😥
@yusuphmarcelmasinde72636 ай бұрын
Mungu amlinde Kiongozi wetu huyo. Hayati Rais JPM Mungu mlinde ka uzima wa milele na umpe Ufalme milele.
@AzizSultan-fc7rn24 күн бұрын
Nani twend ssw 2024
@user-rl3ou5rg4p5 ай бұрын
2024 nafatilia❤
@ms123ru Жыл бұрын
Daah mzee anatuliza wengii sanaa
@user-mx7ur9hf9q6 ай бұрын
A true legend
@msafiriomary893 Жыл бұрын
Marazi ya moyo waaaapiiiii weweeeeeeee
@swaggzhighlights527 Жыл бұрын
kam siyo Marazi y moyo ni nini ss kak ?
@karibubongo-tv636 Жыл бұрын
Exactly
@ramdanmbara8500 Жыл бұрын
Umesahau Uamuzi wa kuanzisha Nyerere Hydro Power(Stieglers Gorge) na kuhamishia Makao Makuu Dodoma
@EmanuelMalkiadi-qt5yeАй бұрын
Sema kwel baba yetu na upumzike Kwa aman😢😢😢😢😢
@maulidibrahim96655 ай бұрын
Mutu ya watu lala salama kwamaana toka uondoke nchi ipo gizani
@vincentauxerbius7554 Жыл бұрын
Hii nchi ilikua bado inamuhitaj sana rais huyu ila hatuwez kupinga lililopangwa na mungu r.i.p jpm
@ezekielmabwai482 Жыл бұрын
Angefanya mazuri upande wa pili wa shilingi, ningemwelewa. Kwa nini alikufa ghafla pamoja na kufanya maajabu kwenye utawala wake. Aliwajeruhi sana CCM WENYEWE. Watafiti tujuzeni, alikufa natural death kweli?
@angelomfilinge86626 ай бұрын
Fikra zake Hayati Rais Magufuli bado zinaishi. Tutaendeleza fikra zako. Pumzika kwa amani.
@mgazaabeid58739 ай бұрын
Mzee wetu Bado upo mioyoni mwetu! Pumzika kwa amani legendary
@JacksonProsper18 күн бұрын
Tutakukumbuka sana kamanda
@scorasticaclement63083 күн бұрын
Chuma Hiki R.I.P JPM Watching July 2024
@mudymudy6410 Жыл бұрын
Mwamba huyoo
@georgemtipa6424 Жыл бұрын
Hakuna zaid yako na hata kuja kutokea kamwe
@danielgerevas3837 Жыл бұрын
Da mungu akutangulie
@MsigalaAman-qb7vu Жыл бұрын
Mungu yupo pamoja nawew
@izackimrema136910 ай бұрын
Ivi saiv Tanzania kunara hisi ama kutawahi tokea kuwa narahis kama huyu
@shabanimungazija7272 Жыл бұрын
Sasa ivi baba unga tu sh elfu na mia tano
@pilisonje8944 Жыл бұрын
Jembe
@mastaplan17 күн бұрын
2024 huyu Rais alikuwa na maamuzi magumu Kweli Kweli.
@nestoryhaule6600 Жыл бұрын
Naipenda sana hiyo!
@naimanmsawe13824 ай бұрын
ulifanya kazi za ukweli baba, ukaishi milele.
@ElizabethJoseph-vj7zr11 ай бұрын
Kweli ilikuwa na maamuzi makali mungu akuweke mahalo pema peponi
@michaelangelbert8352 Жыл бұрын
Had leo nkimwangalia Rais Maguful naumia mno. Ataish moyon mwangu had leo
@willibroadwilliam6798 Жыл бұрын
Viongozi wa Tanzania igeni mfano kama wa rais Magufu. Tanzania itakua kama Japanes
@thomaswilbert643111 ай бұрын
Nimelia sanaaaaaaaaaa leo mbona mapema nchi ilikuwa inaenda kuwa nchi kubwa sana kati Ya nchi kubwa duniani na tanzania alikuwa inaelekea huko😢😢😢😢😢😢😢😭😭
@josephigogomsemakweli8711 Жыл бұрын
Mungu akulaze mahala pema Amina
@edmundphilemon3054 Жыл бұрын
Pumzika Kwa amani JPM one day tutampata mtu kawewe
@barakawisdom9326 Жыл бұрын
R i p mwamba hakika utakaa kwny mioyon mwetu milel