Acheni siasa .. Waliogoma sio wapuuzi Lazima tukae mezani tukutane kwenye kurasa moja
@gweahshoo51209 күн бұрын
Sasa kugoma ndio suluhisho bro...akati uongoz wa wafanya biashara hawajui chochote,,hawajakaa kujadiliana from no where unagoma
@dulasele-ud8cw10 күн бұрын
Uyu mkuu afai kuwa mkuu nipo msumbiji nilikuja kaliakoo kufuata mzigo ilinibidi nipite njia za uchocholo na mzigo ili kuwakwepa tiara ei ndugu yangu alikamwata n tr ei wakamnyang'anya mzigo adi leo ajaupata bola niende sauzi africa kufuata mzigo tz by
@hawakiza606710 күн бұрын
Inasikitisha sana
@user-nb6yh2bn9y9 күн бұрын
MiMi nachukua bidhaa south Africa dragon city nauzia kasumbalesa nyumbani DSM niliwakimbia Hao jamaa 😢
Baba Zima nafki kwa masirahi yake Acha usenge waliogoma wanamantik
@kiatu10 күн бұрын
Duh kamati haijamaliza tatizo toka mwaka jana halafu chini ya waziri mkuu hajajiuru tu!
@fatumahassanduale470110 күн бұрын
Nyie hamlipi Kodi ndiyo mana mnaunha mkono,machinga haiwahusu kauzeni mtumba.
@NolaskoMhagama-ib2ub9 күн бұрын
Nendeni kwenye Jengo lenu, Machinga Complex hapo mnang'ang'ana nini? Toka ,pumbavu,.
@mussakimaro558810 күн бұрын
mnazungukana wenyewe kwa wenyewe
@astonchiba50379 күн бұрын
Ndiyo umri wa kuwa kiongozi wa machinga au zodoa zodoa
@user-sl3hm1gi9m9 күн бұрын
Khaa,,watu wanataka kupunguziwa kodiiiiiii jamn
@Alexismadimo10 күн бұрын
Mhhh haki ake awe machinga
@user-ej5ir5pu7r10 күн бұрын
Lipeni kodi mbona sisi mitaani tunalipa
@MtegekiKaijage9 күн бұрын
Huo uwenyekiti uliupataje?
@mufaddalmoawalla85229 күн бұрын
Mwenyekiti we Huna akili unachoongea
@gloriamsola60679 күн бұрын
Umwnena vyema bro
@mufaddalmoawalla85229 күн бұрын
Mnazibia maduka na mimvuli,
@PaschalGerad-xq4lw9 күн бұрын
Uyu Ana lolote analudia maneno ya mkuu wamkoa Ana chakuongea viongozi kama hawa ambao Hawana msimamo watoeni
@lincolnkimambo374410 күн бұрын
Mnatumika sana machinga
@jeunajuatv8179 күн бұрын
Viongozi wa Afrika wananunuliw wote lao moja
@paschalm98499 күн бұрын
Senge
@mufaddalmoawalla85229 күн бұрын
Nyie ndo wakwqnza mniibia kodi serekali
@Bmsecret10 күн бұрын
Wamakonde wanafiki sana
@user-nb6yh2bn9y9 күн бұрын
Wakaanza kutumiwa esimuesi 😂😂😂
@yahayamohamed682210 күн бұрын
Ww sy mfanyabiashara ww ni mmachinga unapiga debe biashara yako unwaga chin unapiga debe kwanza hutoi lisiti ww
@mufaddalmoawalla85229 күн бұрын
Tunataka mwondoke,mnaziba mafremu za wafanyabiashara
@user-sw7tf1ob1b10 күн бұрын
Wewe machinga chukua nchi wamachinga ndio nini wewe uwawe una hamasisha vijana wewetu kuvamia Barabara na masolo na Miata ccm mungu anawaona huyu mjinga eti mwenyeti wa machinga huyo chawa tu wawajinga viongozi wakuvamia maeneo ya watu na selikali inakubali
@SaidOmary-fd3bj9 күн бұрын
TATIZO LIPO KTK KUSEMA BILA KUFIKIRIA NDIO TATIZO
@majaliwamsigwa62069 күн бұрын
Nchi jirani ndio kimbilio,maana vimitaji kama kwisha vimeshaisha
@user-nb6yh2bn9y9 күн бұрын
Kalibuni Zambia mwezi mmoja unaona matokeo nachukua bidhaa south Africa nauzia Zambia 👍🇿🇦🇿🇲
@mufaddalmoawalla85229 күн бұрын
Nyiee kwanza ne weziii mnaibia serekali za kodi mlipeni kodi mnaibia serekali.ma trillion kwa seconds,halafu hamlipi kodi yoyote,mate Gemma maduka ambayo inawalusha watanzania wote ,nyie maibia halafu mnaongea kitu hamjui
@mufaddalmoawalla85229 күн бұрын
Achakujichongea mwenyewe
@user-zu8ou2oe4c9 күн бұрын
Yani wenye vit nyia hahahha hii nchi tutaburuzwa sana na wana siasa na watatupangia kila kitu had mwsho mana njaa zinasumbua na uoga mwingi huogop na miwani yako na mishavu imekujaa unaongea uongo
@babuummary77239 күн бұрын
Viongozi wengine ni wakijinga sana
@mufaddalmoawalla85229 күн бұрын
Kwani nyie mnatoa risiti na mnanunua bila risiti
@SalmaAthuman-hp3en9 күн бұрын
Wewe ni mla rushwa shezy kabisa wamegoma sababu ya unyonyaji wenu
@namsifubwana215210 күн бұрын
Kama sio kada wa chama fulani ni bahati
@PaschalGerad-xq4lw9 күн бұрын
Shida siyo machinga shida nikodi kupanda kuwamkweli mla lushwa mkubwa wewe kwaiyo atamwanza wamegoma kwaajili ya machinga et
@patrickmunishi227710 күн бұрын
mwenyekiti wa machinga 😢 unafiki mtupu
@LusekeloAdam9 күн бұрын
Wanapo goma madereva wanapambana na yanayo wahusu. Acha wafanya Biashara wagome kwa yanayo wahusu. Kila mtu apambane na hari yake.
@prospermsemwa143310 күн бұрын
Mnafanya kazi barabarani
@AbuuThabiti10 күн бұрын
Safisana umenena memasana mkuu
@gwantwamwalyaje85159 күн бұрын
Lipumbavu kabisa Wewe Ni Ng'ombe Kabisa
@BabyvoiceDaprincipal-dm6xu9 күн бұрын
Gomeni at mwaka Kwan nn mbaya😅
@namsifubwana215210 күн бұрын
GOMENI KABISA. WATANZANIA WAMENYONYWA MPAKA DAMU WAMEBAKI MIFUPA MITUPU
@onehouronlinetv189310 күн бұрын
We jamaa mpumbavu na mnafiki sana. Acha nidhamu ya uoga
@TinaZimba10 күн бұрын
Siyo vitisho tokeni nyinyi ni wasaliti
@mohamoudhussein457010 күн бұрын
Msenge Madebe wewe.Unabana pua hapo nye nye nye nye😊😅
@CheerfulCakeSlice-po2ht10 күн бұрын
Kibaraka hafai kuwa kiongozi mnafiki kwanza hana akili
@ajuayearon576010 күн бұрын
Acha ujinga .. HUYU SIO MWENYEKITI WETU
@PaschalGerad-xq4lw9 күн бұрын
Analudia ludiatu maneno ya chalamila mshamba huyu
@apolinarymboya323110 күн бұрын
Acha kumoma biashara za watu ankooo kumbuka una biashara ata ksma wamefanikiwa jitaidi kujuwa ata wewe utafanikiwa piya hamlipi kodi afu unaongeya utumbo
@JonathanMatembo10 күн бұрын
Mnafki mkubwa wewe,watu kama njie mlipaswa kuuwawa kabisa
YAN WABONGO BANA SAS WEW UNAAMBIWA UGOME WAKATI UNAMIKOPO KIBAO BENK SHENZI KABISA HIYO MIKOPO UTALIPAJE WAKAT UMEFUNGA DUKA
@dicksonkilupa225810 күн бұрын
WEWE UNAFANYIA WAPI BIASHARA? NI MPUMBAVU TU ATAKAE UMIA AKAACHA KUJITEGTEA?
@philimonmtweve452210 күн бұрын
Machinga hawalipi kodi hawa
@user-lq4yu5jj4i10 күн бұрын
Kwan na huyu ni mfanya biashara
@khamisjuma76169 күн бұрын
ndo mana watz hamfanikiwi siku tatu tu serikali hii ya samia ingetoa jibu sasa wewe kama wewe kama si mgomo unafanya nini au utashika bunduki jinga wewe
@sk-wj9or10 күн бұрын
Hiyo mistari una copy and paste. Foolish man Hufai kua kiongozi kabisaaa umenunuliwa chip
@daudimchileg3079 күн бұрын
Viongoz kama huyu, hawana maana.
@prospermsemwa143310 күн бұрын
Na serikari itaathirika pakubwa
@johncharles32310 күн бұрын
huyu fala kabisa yaani unaita wafanyi biashala wenzio wa puuzi pumbavu mjinga huyu ,
@user-fs6lp3op1x10 күн бұрын
Duuu hapana mtuu apo
@lugelosanga57989 күн бұрын
Fwafwa wewe jinga nenda uko ujui madai gani ulaaniweee na uzazi wenuuuuu falaaa wewe jinga weeee
@sk-wj9or10 күн бұрын
Hayo maneno kasema mkuu wa mkoa nauhakika gani wamesema wafanya biashara? Hilo la kutoa risiti ni kazi ya serekali. Kama serikalini wanaiba mamilioni mbona huyasrmi
@mufaddalmoawalla85229 күн бұрын
Ndio muondokee sio ubaguzi baba wewe mnawaibia
@dickisoniryoba398910 күн бұрын
Ndomana siku zote wa tz waendelei kwa sababu ya watu waina hii ..ko yeye ana akili kuliko watu zaid ya maelfu ya watu walio funga maduka ...narudia maneno ya chalamila ..😂😂 Ila tz ...kaz tunayo..?