MGOMO wa KARIAKOO, WAFANYABIASHARA WAFUNGUKA "KODI IMEKUWA KUBWA SANA, BIDHAA ZIMEPANDA BEI"

  Рет қаралды 14,429

Wasafi Media

Wasafi Media

14 күн бұрын

Пікірлер: 46
@isamony58
@isamony58 13 күн бұрын
Chalamiya anajifanya mkali ajuwi kama wezake wanaumiya asilete ujingaa hapo mishavu ilee
@AbrahBuraheze
@AbrahBuraheze 5 күн бұрын
pameanza kuchangamka sasa baada ya muarabu kushika bandariii😂😂😂😂😂😂😂😂
@oyay2821
@oyay2821 13 күн бұрын
African winter is spreading in East Africa
@RamadhaniMadanga-ne7jk
@RamadhaniMadanga-ne7jk 13 күн бұрын
Yaani Tanzania hii bado sana
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 12 күн бұрын
Basi selikali iwe inatutafutia mitaji itupatie alafu kodi wanapandixhe wanavyo taka nyoko xana nyoooooooo😢😢😢😢
@user-vg7gh6df9w
@user-vg7gh6df9w 13 күн бұрын
Chalamila usitumie mabavu hayajengi, wasikilizeni wafanyabiashara wana hoja.
@noeljacob9644
@noeljacob9644 13 күн бұрын
Tuliwambia msiiuze bandari mkatuona wapuuza sasa pambaneni na hizo kodi
@kelvinsanga1517
@kelvinsanga1517 13 күн бұрын
Duuuuuuuuuu Aya maisha noma sana
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 13 күн бұрын
Yule mashavu analeta mzaha kwenye masuala sensitive
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 12 күн бұрын
Biashara ni ngumu chungu naniTamu wakati mwingine
@alitomitre4191
@alitomitre4191 12 күн бұрын
We legeza macho tu 😂😂😂
@DjamalDjazir
@DjamalDjazir 13 күн бұрын
Umeongea fact sana kaka
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 12 күн бұрын
Funga maduka uzieni inje basi sindio charamila amesema owote tuwe machinga tusilipe Kodi chalamila alifauluje kukali au
@AbsalumSanga
@AbsalumSanga 12 күн бұрын
Maisha magumu sana
@user-cd2np5by6g
@user-cd2np5by6g 12 күн бұрын
Ata ikinyesha mvua c mnasema anaupiga mwingi
@dismashaule1631
@dismashaule1631 13 күн бұрын
Aiseeee nchi ya kwetu lakin wanafaidika viongozi ndo mana kina Chalamila ni kupiga porojo tu
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 12 күн бұрын
🙏🏽🥺
@babuummary7723
@babuummary7723 12 күн бұрын
Serikali ijiangalie sana
@AbrahBuraheze
@AbrahBuraheze 5 күн бұрын
sasa kwa nin kachalamila kanakuwa kakali kasisikile wafanya biashara kakatatuwa hiyo changamoto baadala ya kufoka foka
@JonathanMatembo
@JonathanMatembo 12 күн бұрын
Mnaangaika kumtafuta mchawi,adui namba moja wa watanzania woote ni chama chakavu cha CCM na family zao,bola ukimwi kuliko CCM kuwepo Tanzania,bandari imeuzwa watanzania tutateseka sana.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 12 күн бұрын
Kazi ya chawa kusifia viongozi hawa angalii nani anae teswa na hawa viongoz
@joowzeyboyjoowzee4474
@joowzeyboyjoowzee4474 13 күн бұрын
So sad
@coolsinare8824
@coolsinare8824 12 күн бұрын
ila aisee serikali inabidi ifanye jambo kodi haziwezi kuwa hivi..nchi inaanguka hii nainaonekana viongozi hamjali kabisaaaa
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 13 күн бұрын
Mama amesema bandarini kunatakiwa kuongezeka kodi
@imallya6513
@imallya6513 12 күн бұрын
Vilevile wageni kuwa hutu kufungua maduka kila kama sisi wazawa na kufanya biashar kama sisi wazawa inatuondoa wazawa kweny mfumo kabisaa hakuna ushindan
@BarakerZeonlist
@BarakerZeonlist 13 күн бұрын
kashauza bandari
@geofreykasinda1895
@geofreykasinda1895 12 күн бұрын
Wanainchi wanalipa Kodi alafu majizi yanaiba mabilioni ya walipa Kodi, na serikari inabariki wezi na inawalinda , Kodi itumike ipasavyo kumechoka na lipoti za CIG Kila siku wizi na serikari haipiki atua
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 12 күн бұрын
Kwaza huyu mama nchi hii imemshinda SI ajiuzulu apate heshima kuliko kung,Ang,Ania vtu ambavyo haviwez
@user-oh8ig2cy9q
@user-oh8ig2cy9q 13 күн бұрын
Watu wanachoka
@oswardmsigwa5728
@oswardmsigwa5728 12 күн бұрын
Hii ndo serikali mnayosema ya mitano tena
@mussakasela1937
@mussakasela1937 13 күн бұрын
😂😂😂 mtanyoka nyoko nyie,
@nomoboy152
@nomoboy152 12 күн бұрын
Ety chanzo Cha mgomo ni vyama vya siasa 😂😂😂 ila Tanzania
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 13 күн бұрын
Mbona wakat wa makonda sjaskia wafanya biashara kugoma
@user-lc3xd4vt2u
@user-lc3xd4vt2u 13 күн бұрын
Bunge la mchongo Kila sku maamuzi wanayo amua yanakuwa sum Kwa raia
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 13 күн бұрын
Kura zenu hoooooeee
@coolsinare8824
@coolsinare8824 12 күн бұрын
sina maana yakupigia chama chochote kifua ila CCM aisee mnaharibu mbayaaaa huo mgomo ni jambo dogo sana kulinganisha na kero nyingiiiii zilizo kwa wananchi..acheni kudharau wa Tanzania kwani watawafanya nini..ishini kwenye ilani yenu ya chama..
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 12 күн бұрын
Chawa huyo mama achane na machawa aongeye na vijana jeshishi wasomi wafutwe machinga na jina Hilo lisisikike unapangaje watu balala? Wajengeye masolo siyo kuweka chini
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 13 күн бұрын
Hili Jiji aje makonda huyu mlevi chalamila haliwezi kelele nyingi
@mussakasela1937
@mussakasela1937 13 күн бұрын
👏👏
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 13 күн бұрын
Exact
@JonathanMatembo
@JonathanMatembo 12 күн бұрын
Bandari imeuzwa mtakoma
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 13 күн бұрын
Waarabu wameongeza kodi bandarini mara mia tujitahid tuwaondoe. Vinginevyo watataliza
@zully756
@zully756 12 күн бұрын
Tatizo jamaa zako wananunua magari ya kifahari kwa kodi zetu
@RenatusMatungwa
@RenatusMatungwa 12 күн бұрын
Wakati watu wanapiga kelele kuhusu kubinafsishwa hiyo bandari mliwaita wachochezi tulieni dawa iwaingie
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 97 МЛН
ROCK PAPER SCISSOR! (55 MLN SUBS!) feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
OMG😳 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:58
Potapova_blog
Рет қаралды 4,4 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 3,7 МЛН
MFANYA BIASHARA AJILIPUA KUMTAJA MWIGULU SAKATA LA KARIAKOO
9:31
MGOMO WA KARIAKOO, MFANYA BIASHARA AFUNGUKA KUPOKEA VITISHO
11:55
Magician turns his Hair into Animal 😳
0:37
Xavier Mortimer
Рет қаралды 21 МЛН
😆 @SantiOficialll @SantiFansshort @CAMILOAGUILLONN
0:15
Santi
Рет қаралды 6 МЛН
КАКОЙ ЛОГОТИП ЛУЧШЕ? #Shorts #Глент
0:32
ГЛЕНТ
Рет қаралды 2,7 МЛН
Какая погода у тебя за окном? У нас вчера был ураган!
0:40
She saved others
0:20
V.A. show / Магика
Рет қаралды 5 МЛН
ПРИДУМАЛ ВЫХОД (@inaciomundoafora - Instagram)
0:21
В ТРЕНДЕ
Рет қаралды 14 МЛН