Chalamiya anajifanya mkali ajuwi kama wezake wanaumiya asilete ujingaa hapo mishavu ilee
@AbrahBuraheze5 күн бұрын
pameanza kuchangamka sasa baada ya muarabu kushika bandariii😂😂😂😂😂😂😂😂
@oyay282113 күн бұрын
African winter is spreading in East Africa
@RamadhaniMadanga-ne7jk13 күн бұрын
Yaani Tanzania hii bado sana
@remidusmwanandenje-yy5gs12 күн бұрын
Basi selikali iwe inatutafutia mitaji itupatie alafu kodi wanapandixhe wanavyo taka nyoko xana nyoooooooo😢😢😢😢
@user-vg7gh6df9w13 күн бұрын
Chalamila usitumie mabavu hayajengi, wasikilizeni wafanyabiashara wana hoja.
@noeljacob964413 күн бұрын
Tuliwambia msiiuze bandari mkatuona wapuuza sasa pambaneni na hizo kodi
@kelvinsanga151713 күн бұрын
Duuuuuuuuuu Aya maisha noma sana
@rebekakulwa615913 күн бұрын
Yule mashavu analeta mzaha kwenye masuala sensitive
@fauzishabani262212 күн бұрын
Biashara ni ngumu chungu naniTamu wakati mwingine
@alitomitre419112 күн бұрын
We legeza macho tu 😂😂😂
@DjamalDjazir13 күн бұрын
Umeongea fact sana kaka
@user-sw7tf1ob1b12 күн бұрын
Funga maduka uzieni inje basi sindio charamila amesema owote tuwe machinga tusilipe Kodi chalamila alifauluje kukali au
@AbsalumSanga12 күн бұрын
Maisha magumu sana
@user-cd2np5by6g12 күн бұрын
Ata ikinyesha mvua c mnasema anaupiga mwingi
@dismashaule163113 күн бұрын
Aiseeee nchi ya kwetu lakin wanafaidika viongozi ndo mana kina Chalamila ni kupiga porojo tu
@fardoshnassor784712 күн бұрын
🙏🏽🥺
@babuummary772312 күн бұрын
Serikali ijiangalie sana
@AbrahBuraheze5 күн бұрын
sasa kwa nin kachalamila kanakuwa kakali kasisikile wafanya biashara kakatatuwa hiyo changamoto baadala ya kufoka foka
@JonathanMatembo12 күн бұрын
Mnaangaika kumtafuta mchawi,adui namba moja wa watanzania woote ni chama chakavu cha CCM na family zao,bola ukimwi kuliko CCM kuwepo Tanzania,bandari imeuzwa watanzania tutateseka sana.
@ilynpayne749112 күн бұрын
Kazi ya chawa kusifia viongozi hawa angalii nani anae teswa na hawa viongoz
@joowzeyboyjoowzee447413 күн бұрын
So sad
@coolsinare882412 күн бұрын
ila aisee serikali inabidi ifanye jambo kodi haziwezi kuwa hivi..nchi inaanguka hii nainaonekana viongozi hamjali kabisaaaa
@abdull_hafidh13 күн бұрын
Mama amesema bandarini kunatakiwa kuongezeka kodi
@imallya651312 күн бұрын
Vilevile wageni kuwa hutu kufungua maduka kila kama sisi wazawa na kufanya biashar kama sisi wazawa inatuondoa wazawa kweny mfumo kabisaa hakuna ushindan
@BarakerZeonlist13 күн бұрын
kashauza bandari
@geofreykasinda189512 күн бұрын
Wanainchi wanalipa Kodi alafu majizi yanaiba mabilioni ya walipa Kodi, na serikari inabariki wezi na inawalinda , Kodi itumike ipasavyo kumechoka na lipoti za CIG Kila siku wizi na serikari haipiki atua
@ponsianomnyaru914012 күн бұрын
Kwaza huyu mama nchi hii imemshinda SI ajiuzulu apate heshima kuliko kung,Ang,Ania vtu ambavyo haviwez
@user-oh8ig2cy9q13 күн бұрын
Watu wanachoka
@oswardmsigwa572812 күн бұрын
Hii ndo serikali mnayosema ya mitano tena
@mussakasela193713 күн бұрын
😂😂😂 mtanyoka nyoko nyie,
@nomoboy15212 күн бұрын
Ety chanzo Cha mgomo ni vyama vya siasa 😂😂😂 ila Tanzania
@abdull_hafidh13 күн бұрын
Mbona wakat wa makonda sjaskia wafanya biashara kugoma
@user-lc3xd4vt2u13 күн бұрын
Bunge la mchongo Kila sku maamuzi wanayo amua yanakuwa sum Kwa raia
@MusaOgwoko13 күн бұрын
Kura zenu hoooooeee
@coolsinare882412 күн бұрын
sina maana yakupigia chama chochote kifua ila CCM aisee mnaharibu mbayaaaa huo mgomo ni jambo dogo sana kulinganisha na kero nyingiiiii zilizo kwa wananchi..acheni kudharau wa Tanzania kwani watawafanya nini..ishini kwenye ilani yenu ya chama..
@user-sw7tf1ob1b12 күн бұрын
Chawa huyo mama achane na machawa aongeye na vijana jeshishi wasomi wafutwe machinga na jina Hilo lisisikike unapangaje watu balala? Wajengeye masolo siyo kuweka chini
@shijandobehe495313 күн бұрын
Hili Jiji aje makonda huyu mlevi chalamila haliwezi kelele nyingi
@mussakasela193713 күн бұрын
👏👏
@abdull_hafidh13 күн бұрын
Exact
@JonathanMatembo12 күн бұрын
Bandari imeuzwa mtakoma
@rebekakulwa615913 күн бұрын
Waarabu wameongeza kodi bandarini mara mia tujitahid tuwaondoe. Vinginevyo watataliza
@zully75612 күн бұрын
Tatizo jamaa zako wananunua magari ya kifahari kwa kodi zetu
@RenatusMatungwa12 күн бұрын
Wakati watu wanapiga kelele kuhusu kubinafsishwa hiyo bandari mliwaita wachochezi tulieni dawa iwaingie