No video

MZEE ASIMULIA YALIYOJIFICHA ENZI ZA NYERERE "NILIMPOKEA, AKANIWEKA 'KIZUIZINI', ALILALA KWANGU"

  Рет қаралды 138,372

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 370
@SulemanKhan-lr1mu
@SulemanKhan-lr1mu 3 жыл бұрын
Mr Bilali is the real history of Tanzania. What a shame he has been forgotten for so long.
@luckyshumeofficial
@luckyshumeofficial 3 жыл бұрын
This man deserves a lot, honor and respect, Tanzania yote huyu mzee ashikwe mkono jamani #kenya watching
@profharuni8353
@profharuni8353 3 жыл бұрын
Kumbuka kuwa huku ni afrika kijana tena Tanzania
@saidabeid8249
@saidabeid8249 2 жыл бұрын
Mzee bilal hajatendewa haki maana wengine wote wako na majina ya barabara na madaraja hadi kina makamba...sio haki
@juliusraphael600
@juliusraphael600 3 жыл бұрын
Kazi nzuri kaka millard, huyo mzee anachosema ni kweli wamtunze huyo mzee anaweza waambia mambo mengi maana ya kale ni dhahabu. Butiama kwetu🙏🙏🙏
@kelvinmwakalikamo9387
@kelvinmwakalikamo9387 3 жыл бұрын
Nchii za wenzetu huyu mzee angetunzwa angeishii vizuriii sana lakinii daaah kasha telekezwaa
@sameramwajdu9029
@sameramwajdu9029 3 жыл бұрын
Uyu mzee siwakuishi maisha haya lakini ccm mh
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 3 жыл бұрын
Very interesting story huyu mzee afanyiwe kitu hata kama miaka imeenda USHUHUDA tosha Be Blessed my Grandfather 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@jumayusuph8471
@jumayusuph8471 3 жыл бұрын
Yani mim nikionaga hivi huwa machozi yananitoka kwasababu nafahamu vizur historia ya nchi hii 😭😭😭😭😭😭😭 acha tu maisha yasonge tufe basi lakin mengi yanafanyika daaah haya bhana.
@bamasultan2092
@bamasultan2092 3 жыл бұрын
Mzee wangu leo kaonekana kwa Dunia
@benderarulenge7092
@benderarulenge7092 3 жыл бұрын
Yuko vizuri huyu mzee,pole mzee kwa kufungwa.
@selemankishema5780
@selemankishema5780 3 жыл бұрын
Nikweli kabisa huyu mzee anasema mzee wa zamani saaana manshallah
@eddimalon6051
@eddimalon6051 3 жыл бұрын
Sio mzee wa zamani ni kijana wa zamani.
@faridsalehmohamed1230
@faridsalehmohamed1230 Жыл бұрын
Nyerere pia alikua dikteta hasa kwa waislamu
@kenedykatarama3966
@kenedykatarama3966 3 жыл бұрын
Mzee pamoja na kuwa umri umesogea ila kumbukumbu bado yuko vizuri sana Mungu atuwezeshe kuyatunza madini haya
@Shammy-rn3tn
@Shammy-rn3tn 3 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza nimesikia asili ya jina la Tanganyika. Niliwahi kumsikia Mwalimu Nyerere akisema alishindwa kabisa kujua jina la Tanganyika lilitokea wapi licha ya kutafiti chanzo chake lakini hakufanikiwa. Mzee leo ametoa asili ya jina la Tanganyika. A remarkable piece of history of Tanganyika.
@minaeli5989
@minaeli5989 3 жыл бұрын
Manshallah Allah amuweke mzee wetu yaani 97yrs anakumbuka vizuri hawa Wazee wamejitunza vizuri ombi langu serikali imtunze Hutu babu yetu
@tmanderson1371
@tmanderson1371 3 жыл бұрын
My God, this man deserves to be honoured, he has lived this long to tell Tanzanians untold stories.
@HassanHassan-fq5mf
@HassanHassan-fq5mf 3 жыл бұрын
Lahaula walakuwata illah billah lialiyu liadhim ndio faida za vyama vya shetan zulmaa tuu munaiyona faida ya zulma watajikosha wanataka kura
@theteacherchance6750
@theteacherchance6750 3 жыл бұрын
In TV Iman youtube channel, this veteran has gone deep in explaining Tanzania's history. Go there u'll ENJOY.
@softrock7155
@softrock7155 3 жыл бұрын
Sio waifanye mnara, nyumba ifanywe kuwa makumbusho (museum).
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 3 жыл бұрын
Asante kwa hili,msiishie kuhoji tu,mpelekeni, kwa bitiku,(kigoda cha mwl,nyerere)historia yake iandikwe naamini wapo wengi,hawa ndo wafia nchi,ombi lake lifanyiwe kazi,magufuli Kama utapita waite wazee hawa wa karne,utabarikiwa
@amigodossantos4129
@amigodossantos4129 3 жыл бұрын
Magufuli should talk with him :))
@bybytata7456
@bybytata7456 3 жыл бұрын
Duuh kweli dunia ainasir Allah ndie mjuzi zaidi allah akulipe baba yaan naumia mpaka basi Allah akupe mwisho mwema baba fimbo ya mnyonge dua zetu dua.
@mitanotena5149
@mitanotena5149 3 жыл бұрын
Historia haifutiki mzee mungu akupe miaka kizazi hiki cha wapenda mberigiji wajue tanzania ilipotokea na inakoelekea !
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 3 жыл бұрын
We zwazwa, serikali yenu ndo imewasahau hawa wazee
@kadritonser2412
@kadritonser2412 3 жыл бұрын
Watu ht huruma hawan pumbav sana rangi ya mboga mnamuacha vip mtu namna hii ..c huyu tu wako wengi kama haw ...leo eti kina polepole wanachonga sana pumbav...
@djumakadege659
@djumakadege659 3 ай бұрын
INNALILLAHI WAINNAHI RAJIUUN. Huu ni msiba mkubwa sana kwa taifa. MwenyeziMungu amlaze mzee waikela mahali anapostahili Aamin.
@kasarambajuma270
@kasarambajuma270 3 жыл бұрын
Mimi binafisi nampa hongera mzee Wetu pia namshuku mwenyezi mungu kwakumpa kumbukumbu mungu amlindi.
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 3 жыл бұрын
Nimependa Tanga= mambo ya baharini Nyika= mambo ya nchi kavu
@user-je1id1tx1u
@user-je1id1tx1u 3 жыл бұрын
Akifa selikali ndo itatoa histolia na kuonyesha imeumia sana kumpoteza mtu muhimi tanzagiza
@timbukwa9771
@timbukwa9771 3 жыл бұрын
Wewe ulimjua huyu mzee?au unajuaje kama aliuchuna tuu miaka yote,kumbuka mambo mengi yameanza kujitokeza kuanzi aMagufuri aliposhika nchi,unakumbuka hata yule mzee wa Nembo ya taifa alivyosaidiwa?hakukuwa na mtu aliyemjua, kuna mambo mengi hatuyajui bila ya mwenye jambo kujitokeza atakufa tuu bila ya kujulikana mchango wake
@mwanzomwisho1217
@mwanzomwisho1217 3 жыл бұрын
@@timbukwa9771 labda wewe ni mgeni wa mambo ya historia ya tanganyika, huyu mzee amehojiwa muda mrefu na hata video zake zipo humu usitake kumpa mtu sifa isiyo yake.
@user-wr4zu4un4s
@user-wr4zu4un4s 3 күн бұрын
Mungu akutuze baba yangu wewe ni mtu wa nguvu Sana🍁🌺💐☘️🥀🌻🥦
@thomaslaurent4679
@thomaslaurent4679 3 жыл бұрын
Historia ya kweli ya nchi iko hapa hakika.
@sulutanjumajr5854
@sulutanjumajr5854 3 жыл бұрын
Historia imefchwa Sana Kama mzee anavyosema ukiifukua sana utajifunza roho zakikatili zaviongoz wetu walio tangulia natoa pole Sana kwamzee wetu pia namshauli akaushe tu Mambo yasiwe mengi
@tareqhilal6750
@tareqhilal6750 3 жыл бұрын
Kuna mengi Sana lakin uzuri na ushujaa ndio tunaambiwa
@timbukwa9771
@timbukwa9771 3 жыл бұрын
Hakuna nchi iliyoanza bila ya makosa mkuu.tena bora sisi kuliko nchi nyingine
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 3 жыл бұрын
Hususan mwalimu alikuwa na roho ya ajabu halafu leo anatangaza mwenyeheri kweli
@annasolomon9855
@annasolomon9855 11 ай бұрын
​@@hassanmfaume4522peleka Kule,, Hawa walifungwa kwa sababu waliendekeza udini na kutaka kulifanya Taifa kuwa la dini Moja.. Nyerere alitaka usawa kwa Kila mtu bila kujali dini ua ukabila
@salumumkugwa825
@salumumkugwa825 3 жыл бұрын
Dah! Huyu mzee alikuwa tajiri Sana miaka hiyo.
@abubakarmzee3374
@abubakarmzee3374 3 жыл бұрын
Izo ndo siasa mwisho wake unyonge
@oscarezekiel1826
@oscarezekiel1826 Жыл бұрын
Pole mzee M/Mungu akulaze mahala pema peponi, kwa kweli Nyere kawafanyia dhulma watu wengi sana na bado anaonekana kama nabii why????
@d.a.t3383
@d.a.t3383 3 жыл бұрын
Stories nzuri sana tumejifunza mawili.matatu Asante sana AYO fumua mengine ta Mlima Kilimanjaro
@zachaa_tz
@zachaa_tz 3 жыл бұрын
Ayo Mungu akuzidishie upate views Billion 2 nimeelewa sana..🙏
@mpokimwabukusi8783
@mpokimwabukusi8783 3 жыл бұрын
Hii interview ilihitaji more time na airtime nzuri. Ni muhimu sana watu tukawa tunajua tulipotokea.
@lwitikomwakasefula2648
@lwitikomwakasefula2648 3 жыл бұрын
Hongera zako mzee bilali,Mungu Skype afya njema sema viongozi wa ccm mkumbukeni huyo mzee
@hemedytengu5718
@hemedytengu5718 3 жыл бұрын
kila siku huwa namlaumu Sana nyerere, na nitaendelea kumlaumu, najua kuna wanaompenda ila mm namshukia Sana, duniani huwez kupendwa na wote , ila mm nnasababu zangu kwann namchukia nyerere
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 Жыл бұрын
Sa sisi zinatuhusu nini hayo niyako wewe na chuki zako binafsi
@alexnswila7900
@alexnswila7900 Жыл бұрын
Zipi izo
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 Жыл бұрын
Nyerere alibebwa kisha akawageuka wenzie
@annasolomon9855
@annasolomon9855 11 ай бұрын
​@@mohdmohd8428uongo!
@annasolomon9855
@annasolomon9855 11 ай бұрын
Hayo ni kwako.. hata uspompenda haisaidia anapendwa na mamilion ya watu na Bado wanamuenzi
@VMGAfrica
@VMGAfrica 3 жыл бұрын
Kali Sana #SmartSana Mzee 97 yearz halafu Yupo Sharp
@SulemanKhan-lr1mu
@SulemanKhan-lr1mu 3 жыл бұрын
I do not know why the true history of Tanganyika is not told. Why does no body remember Mzee Suleman Takadri. A man who struggled for the independence of Tanganyika, and at the end of his life he was awarded misery and poverty. Sad indeed sad. Also Mr Aly Sykes who was ahead for the independence not even mentioned now.
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 2 жыл бұрын
Even my Grandpa Felician Malunga Sendama (1924-2007), had done manything till he lost his sight when Arusha declaration started 1957. He was amoungst the Ujamaa/(socialist) activist.Due to the struggle he finally got an accident which caused by the boomb explotions which affects his sight, from that date He couldn't be able to view better till he ware his big lenses glasses. May He rest in eternal peace for fighting for independence of our Nation.That is untold story. God bless our strong leaders.Amin.
@user-pm7yo3xi3h
@user-pm7yo3xi3h Жыл бұрын
​@@phantyrhymes9536 wacha uongo 1957 azimio la arusha?
@Ahungu
@Ahungu 3 жыл бұрын
Tuirudishe historia ya nchi yetu sehemu yake, Tuache ushabiki wa imani zetu. Mwalimu alikaribishwa kwenye harakati za kuleta UHURU wa Tanganyika. Yeye sio mwanzilishi wa harakati za UHURU. Familia ya Sykes na wengine ndio waanzilishi wa harakati za uhuru. Soma kitabu cha Maisha ya Abdulwahid Sykes ndio utaona kuwa historia ya Tanganyika ilipotoshwa!
@ivanniyeha4229
@ivanniyeha4229 3 жыл бұрын
hayo ni yako
@christophermahawi4920
@christophermahawi4920 3 жыл бұрын
Ramadhan A Ahungu ni kweli upotoshaji na uongo umetawa hadi sasa na hii imesababisha tuchukiane, inasemekana hata historia ya dini zipo sehem amebadili, maana nabii Suleiman inasadikika alikua mtu mweusi.
@christophermahawi4920
@christophermahawi4920 3 жыл бұрын
Ramadhan A Ahungu Lakini Nyerere hakuwa na makosa kuwafunga baadhi ya waloshiriki uhuru, maana Nkruma,Lumumba,Sankara,Samora,Karume, Gadafi,Hailleselasie nk walichelea kuchukua hatua kama za Nyerere ndio maana waliuwawa.
@MhinaKulewa
@MhinaKulewa 25 күн бұрын
The untold history for the struggle of independence
@plujorilugano9489
@plujorilugano9489 3 жыл бұрын
Kweli kbsa Seikali ilitazame hili, wazo hili ni jema mno kujenga ama kumjengea nyumba si nyumba tu lkn pia mnara ujengwe. Kwa kumbukumbu za nchi hii na pia kumuenzi Mwl. Jk. Nyerere na mzee huu. Lakini kwa sasa nendeni mkatafute history kwa huyu mzee, msije mkamsifu baada ya kifo chake, huu ndio wkt wa kumpongeza mzee huu
@yusufrajabu8425
@yusufrajabu8425 3 жыл бұрын
Sante mzee nimeelewa maana ya tanganyika
@shabanimbilu9079
@shabanimbilu9079 3 жыл бұрын
Mmmh such a huge history mzee kaongea mengi mno still bado tuko na history
@NaomiCharles-bb8md
@NaomiCharles-bb8md 2 ай бұрын
Uyo Mzee angetunzwa na viongoz wa tz Sasa mama Samia Ina bidi uchukue jukum la kuakikisha ana pewa matunzo bola 🙏
@joevang4685
@joevang4685 3 жыл бұрын
ela za kuwapa wasanii chepusheni hata kidogo mzee mmstili apate kajumba
@exoduspaul3382
@exoduspaul3382 3 жыл бұрын
Daaaah ingekua ndo enz hiz Land rover inauzwa 45000 nazan ata nafas ya kupak ixingekuepo😀
@mussaabdiel9797
@mussaabdiel9797 3 жыл бұрын
Sasa uyu mzee tunamsaidiaje kwa mfano tu labda ? Au tunamuhoji tu
@eventelias3566
@eventelias3566 3 жыл бұрын
namba zake zinapita hapo kwenye screen unaweza kumpigia kuongea nae au kumtumia hela lkn kingine kikubwa ni kutambua uwepo wake na mchango wake kwa taifa letu.
@ibrahimharuna9821
@ibrahimharuna9821 3 жыл бұрын
Unajua shida ni pale ambapo WAANDISHI wa historia ya nchi hii nahisi walipotosha Sana,maana wazee Kama Hawa hawaandikwi na Wala serikali wakati zinasherkea miaka kadhaa ya Uhuru wa nchi Mara nyingi hutajwa mmoja tu kumbe Kuna wazee Kama Hawa amabao wameipigania nchi yetu.NAAMINI KABISA TABORA,TANGA,MZIZIMA,ZANZIBAR PANA HISTORIA NZR SANA ILA BADO WAANDISHI HAWAJAFANYA WAJIBU WAO Vzr
@yousuphnzira3209
@yousuphnzira3209 3 жыл бұрын
Nakushauri milad ayo uendelee kuchukua historia ya nchi hii kwa mzee huyu ana mambo mengi Sana. Na huenda ikawa sababu ya yeye kutambulika hapa nchini na akapata matunzo hata kwa uchache kwa kipindi kilichobakia.
@shaabanbindawood6538
@shaabanbindawood6538 Жыл бұрын
Mimi daima nyerere simpemdi Kabisaa
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 3 жыл бұрын
Nchi hii ina historia kubwa na kuna watu wengi sana walihusika kuitengeneza lkn haikuandikwa wala haiandikwi hadi leo,wazee Kama hawa walistahili kuwa vizuri wamepitia mengi sana magumu wakati mwingine hadi sisi kuikuta Tanzania hivi ilivyo.
@ramazubery2641
@ramazubery2641 3 жыл бұрын
Wanajua vizuri ila nahic majina yao yakewaponza maana nilifatilia nikakuta wakina mzee saksi, tapaza, takadiry, kirashti wengi nawalifungwa nawengine kufukuzwa kusaidiwa huyo mzee tusahau. Aliegundua tanzanaity tu kaambulia ml 💯.hataile filam anayoomba Ally kiba sidhani kama itafanikiwa labda iigizwe baada yauhuru. Maana watu wanajua historia yataifa vizuri tu ila hatutaki kuelezea maana italeta machafuko nasiokitu kizuri. Chamsingi tuwaenzi kimyakimya itakua vizuri.
@NaseebLugusha
@NaseebLugusha 3 жыл бұрын
FISIEM badala ya kuwathamini wazee kama hawa wao wako bize kuwalipa wasanii kwenye kampeni dah wenye nchi yao hata historia tu haiwataji wakati shukeni tulitakiwa tufundishwe kuhusu wazee hawa wazalendo. TANGA-Mambo ya baharini NYIKA-Mambo ya nchi kavu TANGANYIKA OUR COUNTRY
@ayubukivi2833
@ayubukivi2833 3 жыл бұрын
Jamani mjengeeni huyo mzee nyumba
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 жыл бұрын
Nyerere nae Mwenyezi Mungu amlipe kwa matendo yake
@batulialmass8914
@batulialmass8914 4 ай бұрын
Analipwa huko alipo
@SKY-fk3fz
@SKY-fk3fz 2 ай бұрын
Nyerere aliwageuka wapiganaji wa kweli wa uhuru wa bara na visiwani
@ernestmbwana6282
@ernestmbwana6282 3 жыл бұрын
Yaani Maisha Ya siasa ..unamsaidia mtu ambae sio ndungu yako anakuwa juu alafu anakuja kukufunga.. Pole Dunia tunapita
@castrojuma982
@castrojuma982 3 жыл бұрын
Dah noma 😢 inasikitisha sana, história halisi imefichwa
@silvanmassawe1422
@silvanmassawe1422 3 жыл бұрын
Mzee anajitaid kuongea kwelii daaah mungu akuweke
@kelvinokelo7992
@kelvinokelo7992 3 жыл бұрын
Huyu mzee ni muhimu sana kwa Taifa.
@Ab113tech
@Ab113tech 3 жыл бұрын
Legendary 🙌🏽🇹🇿
@alisele5299
@alisele5299 3 жыл бұрын
Babu alikuwa tundulisu enzi zake labda au ccm sio watu wazuri jama
@ErastoKadole
@ErastoKadole 2 күн бұрын
Mzee bilali ,mungu akutunze
@armaanmaryam4645
@armaanmaryam4645 3 жыл бұрын
Tunataka more of this please
@plujoncylugano4611
@plujoncylugano4611 5 ай бұрын
Wakuu,viongozi/Serikali mmemsikia mzee huyu??Hapo mlipo huyu mzee ni mmoja wa aliyesaidia Chama na Serikali hii kuwepo na kunemeka,naomba sana mama Samia Rais wa Tanzania, mama msikivu mtupie jicho la huruma mzee huyu. Mama leo hii unaweza kufanya kitu/wema kwa mzee huyu aliyeisaidia Tanzania kuwa huru mama nakuomba mjengee nyumba huyu mzee,mfute machozi alifanikisha kwa nguvu zake na mali zake kuhakikisha waasisi wetu wa Taifa wanapata uhuru,mama Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakuomba nakupigia magoti mvalishe nguo baba/mzee huyu,mkumbuke angalau kwa kujengewa nyumbani na moyo wake utaburudika na atakuombea na utabarikiwa Rais wangu.
@ladybbby1247
@ladybbby1247 3 жыл бұрын
Nyerere alishindwa kulipa fadhila baada ya kufadhiliwa Inauma sana
@medystarter
@medystarter 3 жыл бұрын
True alibuwa mbinafsi
@ismailchongera9812
@ismailchongera9812 3 жыл бұрын
kwel mkuu
@smarty1064
@smarty1064 3 жыл бұрын
Ladyb Bby Nyerere hakuwa na hela aisee, hata nyumba yake alijengewa na Mzee Mwinyi
@alwattanchinga
@alwattanchinga 3 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/ht1_lNdeyMDTpY0.html
@gloriamichael3698
@gloriamichael3698 3 жыл бұрын
@@smarty1064 kweli mwinyi alijenga Kwa kutumia jeshi
@sarahmackenga3868
@sarahmackenga3868 3 жыл бұрын
Baba magu muone huyu zee
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 3 жыл бұрын
Tundu lisu nenda tabora kwa huyu mzee kamwambie Tanzania tunataka iongozwe na upinzani 🤣🤣mzee kashika nini vile??mapovu hayooo
@saidihamisi3652
@saidihamisi3652 3 жыл бұрын
Ww ndio hujui mzee huyu alifungwa kwa kukataa ukiritimba wa nyerere wa kulazimisha fikra za mtu mmoja ziwe kama sheria.
@tareqhilal6750
@tareqhilal6750 3 жыл бұрын
Mzee nyumbani kwake Kuna bendera ya cuf au chadema kama sikosei angalia vizuri acha maneno..
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 3 жыл бұрын
Tukijifunza kusoma na kutafsiri mtu alichokiandika itatusaidia zaidi kuliko kudandia kitu ambacho hujakielewa
@tekala8778
@tekala8778 3 жыл бұрын
@@tareqhilal6750 kzfaq.info/get/bejne/o7yqmdd-3a6mpps.html
@tekala8778
@tekala8778 3 жыл бұрын
8:08
@alimakaba6170
@alimakaba6170 3 жыл бұрын
Inakuwaje mtu muhimu kama huyu unamhoji kwa dakika 10tu? Huja tutendendea haki kbs, tunahitaj pat2 na 3
@eventelias3566
@eventelias3566 3 жыл бұрын
tena anaweza kujieleza vizuri
@theteacherchance6750
@theteacherchance6750 3 жыл бұрын
Nenda TV Iman ktk youtube ana pt 1, 2 na 3 Utampenda
@theteacherchance6750
@theteacherchance6750 3 жыл бұрын
TV Iman ktk KZfaq andika Bilal Rehani Waikela, utafurahi
@yassinhamza1969
@yassinhamza1969 4 ай бұрын
Nchi wamekuja kula mapimbi wengine kabisa huyu mzee ana history kubwa ya nchi hii
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 3 жыл бұрын
Aliesikia Yanga Africa chama la wana tujuane...gonga like
@ivanniyeha4229
@ivanniyeha4229 3 жыл бұрын
Ukiwa unaandika habari hizi tumia hekima na busara ,huwezi kulaumu upande mmoja bila kusikiliza upande mwengine so msikurupuke tu kuandika bila kujua impact
@halidhamaad177
@halidhamaad177 3 жыл бұрын
Ulikua una upeo ndio mana nyerere hakupenda akawabakisha wasio na akili
@juliusraphael600
@juliusraphael600 3 жыл бұрын
Kajieleza vizuri mzee Mungu akujaalie ufikishe miaka hata 200, sjui kama mimi nitaifikisha hiyo miaka 🇹🇿 🤔🤔
@khamissimai1477
@khamissimai1477 3 жыл бұрын
Kuishi miaka mingi ni adhabu unajua
@manungda9955
@manungda9955 3 жыл бұрын
Mzee mpaka sasa anamvua zake 97 bado tatu afikishe mvua 100
@clinton3168
@clinton3168 3 жыл бұрын
Nampendaa huyo Babu nipeni namba zake nimsalimie hata nimtembelee
@lawjoseph6590
@lawjoseph6590 3 жыл бұрын
Magufuli mkumbuke uyo mzee anamuchango mukubwa sana ktk taifa
@peninaancon1256
@peninaancon1256 3 жыл бұрын
Wekeni namba sahihi ya Mzee Bilali..
@hatibuathuman5011
@hatibuathuman5011 3 жыл бұрын
Selekali sikivu huyu mzee ashuudie mafajikio japo kidogo akiwa hai
@dominicofabian2245
@dominicofabian2245 3 жыл бұрын
Allah akuhifadh, nawaomba serikali wakutazame kwa jicho la huruma ni mchango mkubwa umetoa kwa taifa let.
@MrJuniorwonder
@MrJuniorwonder 3 жыл бұрын
Interview imekuwa fupi Sana na hatujaona yooote anavyosema Mzee wetu. But ni vyema Ayo TV mnapoamua kufanya interview basi hakikisheni watu kama hawa wanapewa msaada. Natoa changamoto Tu Kwa Millard... Please Anzisha foundation ya Charity kusaidia watu unaowahoji ikiwa wapo katika Jambo Fulani gumu na kweli wanahitaji Msaada. Tunaweza kusaidiana watu kama hawa wakapewa heshima zao sio lazima serikali ifanye. Ahsante
@salamakombo3257
@salamakombo3257 3 жыл бұрын
Kweli kaka ila serekali itoe zaidi pesaa ipo
@abdallatimimi8443
@abdallatimimi8443 3 жыл бұрын
Emmanuel swallow. swadakta maneno yako ni kweli,huku kenya naona citizen na ktn wanajaribu sana
@hassanmataula7063
@hassanmataula7063 3 жыл бұрын
Dah! Mzee yupo sahihi sana yaan dah!
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 3 жыл бұрын
Huyo kuna wakati alihojiwa au ndio hii imerudiwa? Wapo wengi walio gombea uhuru uzuri wa Nyerere alikuwa makali. Nyerere alikuwa anaamini binadamu wote ni sawa kutoka moyoni ndio maana aliwakubali wahindi wazungu na wengine na ndio maana tumekuwa wamoja. Hawa wazee walikuwa wanampinga na wengine walitaka utawala wa majimbo. Wakati wa Nyerere ponda, Lisu na wengine wanao hatarisha usalama wa nchi wangekuwa jela. Huyu mzee nakumbuka alitaka kuingiza uislam kwenye serikali au waislam watambulike kwa namna fulani na nyerere msimamo wake wa kupinga udini na ukabila ndio wakagombana. Lakini kwasababu bado yupo hai wamsaidie. Lakini kwa dar es salaam mbona walioshiriki ni wengi waliokuwa wanachangia nauli na kwenda kumpokea Nyerere akitoka UNO na wanaishi maskini au wamekufa masikini ni wengi.
@salumkanju1732
@salumkanju1732 Жыл бұрын
Je wote walioshirikiana na nyerere walidai udini? Tukubaliane tu mzee nyerere kawadhulumu wenzie tu tusifichane, leo hii sherehe za uhuru hazinogi mana ukweli umefichwa sana
@annasolomon9855
@annasolomon9855 11 ай бұрын
​@@salumkanju1732udini ni adui wa Taifa.. Nyerere sio mjinga Kuna kitu usitudanganye
@josephatkiliko2546
@josephatkiliko2546 3 жыл бұрын
Mungu Akupe miaka mingine mingi mzee wangu
@user-jz8sj5us1h
@user-jz8sj5us1h 3 жыл бұрын
Masha allah babu
@ulayaz
@ulayaz Жыл бұрын
Kuna haja ya historia ya kweli ya Tanzania kuandikwa. Tuachane na historia ya uwongo tuliyoisoma
@hassansamata5995
@hassansamata5995 3 жыл бұрын
Huyu mzee icon..afanyiwe jambo
@fauzishma8033
@fauzishma8033 3 жыл бұрын
Hiyo ndo shida ya mwafirika akipata uongozi husahau kabisa aliokua nawao si Tanzania tu uganda pia ni vile vile kenya mambo ni hayo hayo na Kenyatta wako wazee mpaka sasa wanalia
@martinemaganga2546
@martinemaganga2546 3 жыл бұрын
Inategemea kwani waafrika wengi mkishafanikiwa hatua ya kwanza wanaanza hila za kutaka kukupindua hivyo mwl.Jk Nyerere hakuwa mjinga kiasi hicho
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 Жыл бұрын
Mzee yupo vizuri ila kama nyerere alikuwepo mzee huyu mbona yupo duni
@siasasiasa6238
@siasasiasa6238 2 жыл бұрын
malongo una mapungufu makubwa ktk kuboji ili kupata habari ilokamilika kabla hujamaliza usharukia Jambo jingine jaribu kuliangalia
@stanleymhozi7590
@stanleymhozi7590 2 ай бұрын
Ndiyo hivyo nchii hii walimterekeza tatizo mzanaki alikua mbinafsi😂😂😂😂
@joevang4685
@joevang4685 3 жыл бұрын
yanga na mashabiki zake mpo wapi jaman
@ibrahimharuna9821
@ibrahimharuna9821 3 жыл бұрын
KUNA HAJA YA WASIMAMIZI WA HISTORIA YA TANGANYIKA KUFANYA JUHUDI ZA MAKUSUDI SANA KUANDIKA UKWELI JUU UA HISTOROA NA WANAHISTORIA WA NCHI HII,SIO KUDANANYA WATU KWA HISTORIA FAKE AMBAZO ZINAPOTOSHA WATU.asante Sana ayo tv kupitia ninyi tutajua Yale amaboyo hayakuwekwa wazi.Keep it up.
@muemedealuco2987
@muemedealuco2987 2 жыл бұрын
Kweli maccm yana roho mbaya tangu miaka mingi!!
@serafinamalecela4728
@serafinamalecela4728 Жыл бұрын
Jamani alikua amejipata mwenyewe miaka hiyooo alikua tajiri mwenyeweee dhambiiiiiiiiiii maisha hayaaaaa dah😢
@geofreymtasingwa742
@geofreymtasingwa742 Жыл бұрын
Siasa zilificha ukweli watu wakweli tumewatupa tukakumbatia wanasiasa nawenye vyeo
@abdallahahmedmmary225
@abdallahahmedmmary225 3 жыл бұрын
Bilal mzee wangu Meenyez mungu atakujaalia kwani maumivuyako tunayajua kutokana na huo mfumo kandamiz () ( ) 😡😡😡😭
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 Жыл бұрын
Nyerere alikuwa mtu mjanja mjanja sana!! All credit to himself yani dah
@mahamudubakari5895
@mahamudubakari5895 3 жыл бұрын
Huyu mzee ajengewe yumba mzuri na selekari kwani ameshiriki kukombowa taifa letu kwa wa kolon.i
@queenpiscator6117
@queenpiscator6117 3 жыл бұрын
Hoja nzuri sanaaaaa tumuenzi babu yetu nice tunapenda
@simonmwandu2214
@simonmwandu2214 3 жыл бұрын
Mzee aliponzwa na uislam nyerere kakandamiza uislam
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 Жыл бұрын
Millard nyie hovyo sana. Kwanini hamjauliza zaidi kwanini aliingizwa detention?
@kakak1650
@kakak1650 3 жыл бұрын
Yani kiufupi mzee alikuwa chawa wa nyerere😂😂😂😂😂
@prospermlamwandike1197
@prospermlamwandike1197 3 жыл бұрын
Daah aisee kumbe bado kuna watu humu nchini ambao hawajafa ispokuwa tu hawaonekani.
@alimsemakweli1376
@alimsemakweli1376 3 жыл бұрын
Hata nyumba hakupewa zawadi
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 3 жыл бұрын
Jamani jamani 😩😩
@kimbwifimbo4803
@kimbwifimbo4803 Жыл бұрын
Serikali imeshindwa kupata baraka za mzee huyu mpaka amekufa, hi Ni laana tosha, sijui Kama MUNGU anatudhibu kwa makosa Haya ama la.
@jenipherpeter9490
@jenipherpeter9490 3 жыл бұрын
Hongera sana mzee wetu, serikali ikutazame kwa jicho la tatu.
@yusufkambale2825
@yusufkambale2825 3 жыл бұрын
Nawakubali saana kwakuwa munaupembuzi halisi na munajitahidi kufuata vyanzo halisi vua habali hongereni saani
@festuskahindiyaa3703
@festuskahindiyaa3703 3 жыл бұрын
Leo nimejua maana ya neno "Tanganyika"
KASHESHE: WATOTO WAMSHTAKI BABA YAO/ BABA KANUNUA LAND ROVER MIL 3
10:54
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,6 МЛН
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 4,8 МЛН
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 16 МЛН
Developmentalism & Welfarism - Dr Julius Nyerere
1:47
Africa Social Work & Development Network ASWDNet
Рет қаралды 2 М.
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
Mwalimu JK Nyerere Katiba 1
13:11
SIMU. Tv
Рет қаралды 91 М.