SHABIBY AMWAMBIA SPIKA TULIA "SIKU UKITOKA KWENYE UBUNGE, WEWE LAZIMA UTAVAA KANDAMBILI"

  Рет қаралды 77,861

Millard Ayo

Millard Ayo

3 ай бұрын

Пікірлер: 226
@AlbertSabo-hp3ss
@AlbertSabo-hp3ss 3 ай бұрын
Wabunge anzeni kulipa kodi, tutapata Trillion 1.2 kwa mwaka
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 3 ай бұрын
Kumbeee 😂
@user-md7ug5dd9r
@user-md7ug5dd9r 3 ай бұрын
Hivi halipi kodi ? Kama ni hivyo itakuwa niuonevu mkubwa
@naturelle1097
@naturelle1097 3 ай бұрын
Pamoja na mabalozi
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 3 ай бұрын
Wallah mbunge una maono Bima ya Afya ni muhimu sana na Afya ni uchumi Tafuteni vyanzo kama tozo simu mafuta vinywaji nk Asante baba
@fatimahants1526
@fatimahants1526 3 ай бұрын
Bima ya afya imekuwa mateso kwa wananchi, hongera sana mheshimiwa shabiby kujuwa changamoto watu hali ya chini ni mtihani mkubwa
@Mpakele
@Mpakele 3 ай бұрын
Shabib umewatetea sana wananchi. Hongera kwa ushauri wa kina juu ya chanzo cha kudumu cha chanzo cha bima ya afya kwa wote
@burkardkayombo4608
@burkardkayombo4608 3 ай бұрын
Upo vizuri MH. Shabibi Bima kwa wote, isiwe njia ya kupruni Watanzania.
@jurdanforwardersltd1460
@jurdanforwardersltd1460 3 ай бұрын
SHABBY upo sahihi sana umetoa wazo zuri sana ambalo serikali walifanyie kazi itapatikana pesa nyingi sana.
@richardrugemalira6934
@richardrugemalira6934 3 ай бұрын
Mheshimiwa SHABIBY Mungu akubariki kwa hekima na uzalendo wako wa kweli. Inasikitisha kuwa na wizara isiyo na ufahamu wa hali halisi ya wananchi wetu
@godsonkilua7738
@godsonkilua7738 3 ай бұрын
Kweli Mbunge wangu umekomaa kisiasa , hongera Sana kwa mawazo mazuri bima ya afya Ni pasua kichwa Hali ya maisha Ni mbaya hakuna mtu anaependa kufa kwa kukosa bima. Mungu akubariki kwa kupeleka kilio chetu bungeni tutakuchagua Hadi useme po. Huo ndio utetezi wa wananchi siyo kupigapiga mameza Hadi mikono inakuwa na sugu kwa hoja za wenzio.
@jeremiahngoka4980
@jeremiahngoka4980 3 ай бұрын
Upumbavu mtupu.Wataiba pesa zetu
@kadokemarco9966
@kadokemarco9966 3 ай бұрын
Hapo nimekuelewa Shabby 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@mathiasmuhochi435
@mathiasmuhochi435 3 ай бұрын
Good idea....tulifanyie kazi wazo lake
@philemonmbalwowa5619
@philemonmbalwowa5619 3 ай бұрын
Asante Mh. Ubalikiwe.
@RosemaryPeter-hc6ts
@RosemaryPeter-hc6ts 3 ай бұрын
Umezunguza ukweli mtupu Mungu akubariki maana umezungumza kwa niaba ya watu wa hali ya chini Tunakushkuru
@innocentmleli1196
@innocentmleli1196 3 ай бұрын
You are very clever, May God protect you.
@SilasMollel-mp9ib
@SilasMollel-mp9ib 3 ай бұрын
Safi sana hawa ndo wabunge wa mfano..anaongea fact tupu..mungu akubariki kaka shabiby
@ce-08
@ce-08 3 ай бұрын
Sasa hapo c wamebadilisha mfumo kutoka kukutoza kwa cash kuja kukuchukulia kwenye layn sasa c waseme tuchukue kwenye migodi huko au utalii au wabunge waanze kulipza Kodi itumike kwenye bima
@prorwega
@prorwega 3 ай бұрын
Well said mbunge Shabib I am admiring you.
@eliasjoseph8830
@eliasjoseph8830 3 ай бұрын
Hongera sana mbunge shabibu uko sawa hicho serikari itafute chanzo Cha pesa ilikuwasaidia wananchi wake bima
@user-vc8cc2pt7n
@user-vc8cc2pt7n 3 ай бұрын
Shabby shabby shabby mungu akubaliki sana Kwa michango wako mzuli tunaitaji wabunge km wewe hongera sana ilitakiwa uwe wazili kbs
@Azikiwe-qi6jd
@Azikiwe-qi6jd 3 ай бұрын
Unazingua, kwa mafaoo yote ya spika hilo haliwezekani
@user-pm5hw8mf7s
@user-pm5hw8mf7s 3 ай бұрын
mheshimiwaa uko sahihiii kabsaaa,, inaonesha unayajua maishaaa halis ya waTz
@santinosabugo2114
@santinosabugo2114 3 ай бұрын
shabiby akili nyingi sana Wana gailo mna jembe hapo mjengoni wengine kazi zao kusinzia
@ce-08
@ce-08 3 ай бұрын
Angesema wabunge waanze kulipza Kodi ndyo tutapata pesa za maana
@ibraimnikolaus9702
@ibraimnikolaus9702 3 ай бұрын
Serikali ilifanyie kazi wazo hili ni nzuri
@DennisDidas
@DennisDidas 3 ай бұрын
Wazo zuri sana. Ukitaka kujua uzuri wa wazo hili angalia hali za watu kwenye vituo vya afya.
@femexpress7857
@femexpress7857 3 ай бұрын
Mh. anaongea vizuri sanaa. Mimi ningependa kuchangia kwa kusema kuwa, wananchi hali yao ya maisha ni ngumu sana. lakini pia watu wakuchangia hizi bima za afya wapo sana, maana watu wakitoa hizo hela kama kweli zitasimamiwa vizuri basi hata wale wasiokuwa na uwezo wanaweza kutibiwa kwa kutumia bima za afya hizo
@user-dh8gj1dt6x
@user-dh8gj1dt6x 3 ай бұрын
Safi sana kamanda,karibu mbarali utete anyone,pia bima ni nzuri ila tatizo ni dawa hazipo!
@elijuskikoto392
@elijuskikoto392 3 ай бұрын
Mwarabu wa Gailo huwa nakukubali Sana
@user-qr7kj3bf9q
@user-qr7kj3bf9q 3 ай бұрын
Hongera mshimuwa shabiby
@samwelikangambili4831
@samwelikangambili4831 3 ай бұрын
Hongera Sana mbunge kwa maono yako itakuwa mkombozi kwa wa Tanzania
@bulunjamalimikulwa4876
@bulunjamalimikulwa4876 3 ай бұрын
Safi mwenyewe nimemuelewa, changamoto kwetu sisi ni kupinga Kila kitu tukisikia pesa tu.
@user-rv2gb2gi7q
@user-rv2gb2gi7q 3 ай бұрын
Mbunge shabby Yuko sahihi mawazo yake yafanyiwe kazi hongera sana
@user-ey8bo5iw9y
@user-ey8bo5iw9y 3 ай бұрын
Tatizo uwo mfuko wabima serikali inaukopa mbaya zaidi hailipi na je tukianza kata 2000 kwa kila raia tunauhakika gani zitakuwa salama
@ahz6907
@ahz6907 3 ай бұрын
​@@user-ey8bo5iw9yni namna fulani ya kuufisadi mfuko.
@emazacharia4455
@emazacharia4455 3 ай бұрын
Yaan bima ya afyaa imekuwa n mateso mateso Kwa wananch ..Kwa utajir wa Mali zet watanzania bima ingelkuwa bure Kwa Kila mwananchi😢
@raphaelmkosamali1056
@raphaelmkosamali1056 3 ай бұрын
Je,wabunge mkilipa kodi tutapata sailingi ngapi?
@user-zu5ee3qe6u
@user-zu5ee3qe6u 3 ай бұрын
Hata uingereza ni mfumo huo huo again good thinking
@wilfredaxwesso7394
@wilfredaxwesso7394 3 ай бұрын
Si rahisi kuvaa kanda bili hata kama akitoka kwenye kiti kwani wako na stahiki nyingi baada ya kustaafu.
@rich-lr8tq
@rich-lr8tq 3 ай бұрын
wenye laini zaidi ya moja mtakoma, watumishi wa serikali pia watakatwa mara mbili au tatu na zaidi
@mcsukerpapaa8817
@mcsukerpapaa8817 3 ай бұрын
Wazi zuri, nasi tunaomba kila anayemiliki Mabasi na Malori, ktk kila route akatwe tsh elfu 10. Na wenye Madaladala wakatwe tsh elfu Tano kwa siku. Nawasilisha hoja Spika.
@geophureysamsoni5033
@geophureysamsoni5033 3 ай бұрын
Safi sana baba mngu akuone
@jahululamasunga
@jahululamasunga 3 ай бұрын
immaculate contribution MP Shabiby
@rashidhtibangayukatibangayuka
@rashidhtibangayukatibangayuka 3 ай бұрын
Hongera shaving
@godfredkimaro3292
@godfredkimaro3292 3 ай бұрын
Ukiacha kumtoza mwananyi pesa taskinu alafu ukamtoza kwenye simu c umebadilisha njia ya utozaji ila utozagi upon pale pale.minashauri hela itozwe kwa gesi madini utali nakazalika
@AloicemaikoNgakuro
@AloicemaikoNgakuro 3 ай бұрын
Hongera sana shabby iyo ndio ukweli
@KhatibTmk
@KhatibTmk 3 ай бұрын
Mhe Shabiby chukuwa 💐🌼🌺 yako
@emmanuellaizer4808
@emmanuellaizer4808 3 ай бұрын
Bunge mko vizuri bima lazima ila iwe inayotumika mikoa yote popote unapokutwa na homa
@AwardHakimu
@AwardHakimu 3 ай бұрын
Bima hizi hizi ambazo wanazichukia wahudumu wa afya au Kuna zingine
@devissyprian1526
@devissyprian1526 3 ай бұрын
naomba mawazo ya Shabiby yafanyiwe kazi plz naomba sana
@TheNichym
@TheNichym 3 ай бұрын
Kwa nini aseme tutumie mgodi mmoja wa dhahabu kwa ajili ya bima?! Au Tanzanite yote ya Arusha mapato yake yapelekwe kwenye bima na afya?! Ni ufinyu wa fikra kufikiria kuwakamua wananchi zaidi ya sasa, badala yake rasilimali za nchi hasa madini, mafufa na gesi vitumike vizuri, tutafanikiwa kwenda mbali, badala ya kuwaongezea ugumu wananchi na kuichukia serikali
@JonhYusuph
@JonhYusuph 3 ай бұрын
Nice
@user-dk8uf8ho9s
@user-dk8uf8ho9s 3 ай бұрын
Mbunge mahari sana. SAMIA mpe huyu Ahmed uwaziri wa biashara.jamaa ni smart sana
@lovemusicnoreen9185
@lovemusicnoreen9185 3 ай бұрын
SHABIBY WILL ALWAYS BE SHABIBY AKILI KUBWA
@yateramadavaathumanmmbaga7776
@yateramadavaathumanmmbaga7776 3 ай бұрын
Mswada walihangaika nao miaka 2 unaeakebishwa hauwekwi hadharani baadae wakaupitisha sasa hayo anayoyaongea ambayo ni mambo mazuri alitakiwa ayaongee kabla muswada hawajaupitisha ili ukipitishwa kila mtu anaufarahia. Anyway, mawazo hayo yafanyiwe kazi tena haraka maana tumechelewa sana
@ahz6907
@ahz6907 3 ай бұрын
Ilitakiwa waanze na wananchi kupata mawazo yao.ila kama kawaida wao wanajiona wana akili sana na wajuaji ndipo mambo mengi hugoma. Hata zile tozo za simu walifeli.
@richardrugemalira6934
@richardrugemalira6934 3 ай бұрын
True CHAMPION of the poor whom are the majority in TZ.
@user-rm8gp2kr9i
@user-rm8gp2kr9i 3 ай бұрын
Mwenye shibe ham jui mwenye njaa😂😂😂
@ziadakayoyo7310
@ziadakayoyo7310 3 ай бұрын
Umeongea suala la mbolea sana. Safi.
@harsoshelezi4658
@harsoshelezi4658 3 ай бұрын
ZIBAKI ZA RUFAA TU KWASABUBU NDIKO MNAKO KWENDA.
@jumaruhinda4109
@jumaruhinda4109 3 ай бұрын
Uko sawa sana
@VarerianRichardi
@VarerianRichardi 3 ай бұрын
Baba hongera
@YusufSwaibu
@YusufSwaibu 3 ай бұрын
Mheshimiwa uko vzr Sana ila tatizo mfumo ila ingekuwa Jambo jema uwajibikaji itaongezeka
@jumamhando3992
@jumamhando3992 3 ай бұрын
Mm nilijua atashaur matajir wote wa Mabas wakatwe lak Kwa Kila mwez na wabunge walipe kodi Tena wawe mfano wakatwe asilimia 25 ingesaidia bima vzr
@gideonmwaweza8177
@gideonmwaweza8177 3 ай бұрын
Baba ongera kwa wazo nzuri
@gladyssembojas5308
@gladyssembojas5308 3 ай бұрын
Huyo ni muheshimiwa kama muheshimiwa Shabiby
@farajiissa8747
@farajiissa8747 3 ай бұрын
Akika imekaa vizur ifanyiwe tu kazi nafikri fraha itakuwa kwa hawa watu
@BotulphusAugustine
@BotulphusAugustine Ай бұрын
Uko sawa
@user-dh8gj1dt6x
@user-dh8gj1dt6x 3 ай бұрын
Mungu awe nawe,hiyo ndio sera halisi ya ccm, chapa kazi wanyonge wote tz wapo nyuma yako!
@jacksonsilaa415
@jacksonsilaa415 3 ай бұрын
Mr Shabby mawazo yako hebu andika andiko ili na wengine wausome kwa manufaa zaidi kongole sana kiongozi.
@wenseslausjoseph1749
@wenseslausjoseph1749 3 ай бұрын
Chanzo cha pesa ni jambo moja na matumizi sahihi ya hizo pesa ni jambo nyingine
@Ushauri235
@Ushauri235 3 ай бұрын
Daaaa maoni mazuri sana mbunge
@inocentkaiza7962
@inocentkaiza7962 3 ай бұрын
Hawez akavaa kandambili kwasababu uwakika wakuishi kwagharama ya serikali mpaka anazeeka upo namsharahara juu
@user-nk4yl7bw2h
@user-nk4yl7bw2h 3 ай бұрын
Tunaitaji wabunge kamahawa wanaishauli selikali vituvya maana wengi bungeni wanarara tu nimzingo kwa selikali
@rashidhtibangayukatibangayuka
@rashidhtibangayukatibangayuka 3 ай бұрын
Nakupongeza SHABIB UKO VIZURI
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 3 ай бұрын
Nikweli kabisa huna hera ustumie simuu
@linogracephord9785
@linogracephord9785 3 ай бұрын
Unaongea vizuri sana, ila kuna maeneo mndewa ukuchanganya!
@user-yz1xq8xo8s
@user-yz1xq8xo8s 3 ай бұрын
Ni kweli mwanike wa ukaya Ila wasitubague sisi maskini
@Goofyplayz-fj3ce
@Goofyplayz-fj3ce 3 ай бұрын
Msiseme 'WanaNchi wetu',:semeni 'WanaNchi wenzetu'!
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 3 ай бұрын
Trioniii ehee😂😂😂😂😂 basi haya😂😂😂 jamani wanaichi hawa hawa au wengine hahahahaha kumbe kadi za simu zina pesa iv ehee
@premierevents9537
@premierevents9537 3 ай бұрын
Safi sana
@msevenfokoro94
@msevenfokoro94 3 ай бұрын
Mh..umeongea point sana lakin litatendewa kazi???😢
@user-dm3vh4br5f
@user-dm3vh4br5f 3 ай бұрын
Na biashara za watu binafsi zifutwe,mabasi imiliki serikali,maduka n.k.Hoja haijakaa vzr,vituo binafsi vinasaidia Sana.Serikali haiwezi pekee yake.
@barakaalfred1491
@barakaalfred1491 3 ай бұрын
Hakuna lisilowezekana, kuna vitu vingi serikali inavigharamia wakati havina impact kwa wananchi mfano ni vikao vingi kujadiri issues halafu matokeo yanabakia kuwa hasi kumbe ulikua mchongo wa posho.😃😄
@AmusedForestBridge-zo6ox
@AmusedForestBridge-zo6ox 3 ай бұрын
huyu mbunge anasema ukweli mtupu isipingwe kitu yoyote !!!
@chiefmajai9345
@chiefmajai9345 3 ай бұрын
Ni yaleyale ya mzigo wa tozo nchi itajengwa na walala hoi italiwa na wenye meno
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 3 ай бұрын
Tunateseka saana
@user-wl8ej9qy5d
@user-wl8ej9qy5d 3 ай бұрын
Bip up bunge
@user-ri1yr8ks7y
@user-ri1yr8ks7y 3 ай бұрын
What's problem
@stevengeorgetibenda1647
@stevengeorgetibenda1647 20 күн бұрын
Mawazo yetu katika kupata mapato ya kuendesha nchi ni kuendelea kubuni kitu cha kumkata kodi mwananchi yuleyule licha ya kuwa anakatwa kodi nyingi kuliko inavyotakiwa ye anajua wafanyakazi wanalipwa mishahara mikubwa kama wao wabunge mpaka aseme wanakatwe 10,000 au zaidi?
@2003hintay
@2003hintay 3 ай бұрын
Hii bima wanaifanya kama bima ya magari watoto bima yao wanataka ipitie mashuleni na huko shule lazima watoto wafikie idadi ya 100 ndo ndio wasajiliwe. Kitu kigumu wengine hawataki na ni ngumu sana kufikia idadi hiyo mwisho wake watoto hawaangaliwi. Huko nyuma mtoto alikatiwa bima ya sh 54000/ ni kuwadhulumu kwa kweli. Hii wangeirudisha kwa kujali afya ya mtoto.
@yateramadavaathumanmmbaga7776
@yateramadavaathumanmmbaga7776 3 ай бұрын
Ni waheshimiwa wachache wenye moyo kama wako Ahmed Shabiby, Dr. Tulia bila kumsahau mbunge wangu Tony P. Mavunde, mhe. Wa makete, wazir wa fedha, mb. Wa igunga na wengine wachache, ndio maana Mungu anawabariki zaidi mnawajali sana wananchi wenu lakini wengi ni maneno mengiii lakini wanawakimbia wapiga kura wakiingia tu kwenye maeneo yao wanaweka tinted vioo vyote sijui wameshajua hawarudi au wanatumia ndumba kuingia mjengoni ila ndumba zina mwisho. Nawaomba tutafute muarobaini wa matibabu sawa kwa wananchi wote kama tulivyofanya kwenye elimu, likifanyika hili vizuri haki ya nani 95% ya wabunge mtarejea mjengoni
@yateramadavaathumanmmbaga7776
@yateramadavaathumanmmbaga7776 3 ай бұрын
Jamani hali ni mbaya sana kwa wananchi wa chini hata wenye uwezo kidogo wakifikwa na tatizo kubwa la ugonjwa uwezo unaisha mgonjwa akipona na familia imefilisika. Kuna bint alijifungua kwa upasuaji miezi 2 ilopita kigoma mjini akapata tatizo haja ndogo haitoki vizuri na inatoka na uchafu akawa anaishiwa damu baada ya siku 5 hali ilikuwa mbaya akapewa rufaa aende bugando. Kumsafirisha kwenye bus haiwezekani wakaambiwa watoe 1m gharama za mafuta, nesi na dereva ili ambulance impekeke bugando hali ngumu sana wakapunguziwa watoe laki 7 hawana lakini walijitokeza wasamaria ikapatikana kufika bugango wakapokelewa wakaambiwa watoe 1m ya kuanza matibabu hawana hata cent wakaambiwa wamuone afs ustawi jamii akawaambia watoe laki 7 tiba ianze kaki 3 itafutwe raratibu watu wakakamatana zikapatikana tiba ikaanza kagunduliwa figo inashida kubwa afanyiwe dialysis @ laki3 ilitakiwa afanyiwe mfululizo siku 3 then x2 kwa wiki kutokana na kukosa pesa wanafanta x1 kisha wakasake msaada ikipatikana ndo afanyiwe. Ni bora hospital wangemfanyia inavyotakiwa halafu pesa ije kwa kadri wanavyopambana matokeo yake sasa inakaribia miezi 3 mgonjwa bado hali mbaya na katoto hakajawahi kunyonya mama hata tone la maziwa hana yananunuliwa ya kopo na wasamaria wema. Nimeeleza kwa kirefu na kwa uchungu ili watanzania hasa wakubwa juu wajue hali ilivyo ili tutafute muarobani haraka NHIF tuokoe maisha na kutaabika wananchi. Mgonjwa aitwa Aziza miezi 3 bugando watu wamechanga ndg wameuza hadi mashamba hali bado tete.
@ColinMhema-ne3lz
@ColinMhema-ne3lz 3 ай бұрын
Linaweza kuwa wazo nzuri tatzo pesa zikichangwatu tayari zinaingia kwenye makoti yenu
@DaheerK
@DaheerK 3 ай бұрын
Hakuna matusi apa hongera mkuu
@AmusedForestBridge-zo6ox
@AmusedForestBridge-zo6ox 3 ай бұрын
jamani watu wanatezeka sana kijijini madaktari wanaringa utadhani hospitali ni yao na madaktari hawana ukarimu na watu kabisa!
@rafikkarimomar8202
@rafikkarimomar8202 3 ай бұрын
Hi bima ya afya anaye taka naakate asiye na uwezo aendelee kama kawaida akalipe cash anapo kwenda kutibiwa
@kilimoufugajipesatv5751
@kilimoufugajipesatv5751 3 ай бұрын
Kweliìiiiiìi
@josiacharles2778
@josiacharles2778 3 ай бұрын
Mhmm kumbe umeongeea unamaliza kwa kutudanganya yani spika tembelee kandambili kachumbali apo mimi ntakua natembea uchi sasa😮
@kaidiSaid-ot9nl
@kaidiSaid-ot9nl 3 ай бұрын
Bima ni mpango wa kuwaibia wanachi ukweli bima haina nafuu kwa wagonjwa waulizeni wananchi waliopatwa na shida na wana bima. Kweli mbunge .
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 3 ай бұрын
Sio kweli hospitali binafsi mil 2 ni laki 7 muhimbili laki 5
@JamalMshenga-ex5ui
@JamalMshenga-ex5ui 3 ай бұрын
Lipeni nyie mnojiongezea maposho kila mara- bac hata sie pangu pakavu mtukomoe. Mnachukua pesa kwenye vocha kisha mnatak kuongeza. Hy bn
@damsonwilson5202
@damsonwilson5202 3 ай бұрын
Hawa ndo watu wanafaaa kuwa Marais wa nchi hiiii point z uhakika
@harsoshelezi4658
@harsoshelezi4658 3 ай бұрын
BIMA kiasili ni kamari ya afya ambayo haijawahi kuwa suluhisho. Ni tabia ya Ubepari kukosa huruma kwa raia. Pesa ni nyingi ikiwemo zile anazoona CAG zikiibwa, zikirejeshwa zinatosha na ziada kwa matibabu. Pesa za malipo kwa wabunge zishushwe hadi 55% na 45% iingie BIMA.
@saimonwantango9569
@saimonwantango9569 3 ай бұрын
Tozo za majengo tozo za mazao ya biashara yaendayo nje kama ufuta na korosho hela hizi ni nyingi sana ila hatujuiga zinaenda wapi kama mkulima
@willylwiza6665
@willylwiza6665 3 ай бұрын
NI wazo zuri ila .Huyo maskini nae kaesabika katika hizo line .2000 anapita wapi simu simu yenyewe Hana anamiliki line
@siamuchunguzi
@siamuchunguzi 3 ай бұрын
Wabunge na mawaziri nyie mnakatwa kiasi gani cha kodi ya maendeleo tafadhali, maana Tanzania ni ya ajabu sana. Watu wanapambana kuingia bungeni maana huko ndiko kwenye green pastures. Mngekuwa mnapewa mishahara kama wafanyakazi wengine hii nchi isingekuwa na matrilion ya maden, inauma sana napambana kijijini kulipa kodi kwa kila ninachonunua halafu anaenda kufaidi mbunge.
@ConfusedClogShoes-jq2tt
@ConfusedClogShoes-jq2tt 3 ай бұрын
Katika siku zote mheshimiwa leo ndo umeongea mambo ya msingi ninaimani umeenda kuwatembelea uko vijijini umewaona watu wanavyoteseka
@azizakiswili9063
@azizakiswili9063 3 ай бұрын
Ukweli usemwe akili nyingi mbunge makini
@Hashimomary
@Hashimomary 3 ай бұрын
Anataka kuwakamua wananchi,mbona ajasema wenye mabasi wachsngie?
@user-kz1rx3rk1b
@user-kz1rx3rk1b 3 ай бұрын
Wabunge mkikatwa milioni moja kwa mwezi je
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,6 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН
MBUNGE WA MBULU VIJIJINI ARUKA SARAKASI BUNGENI, AKIDAI BUNGENI.
10:48
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22