No video

NOMA!! KIJANA WA KITANZANIA AMETENGENEZA PAMPU YA MAJI INAYOTUMIA KADI

  Рет қаралды 37,156

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Wahenga wanasema 'Maisha ni Kutafuta na si Kutafuta', Gibson Kawago ni kijana wa Kitanzania aliyehamua kutafuta maisha kwa kufanya ubunifu wa vitu mbalimbali ikiwemo kutumia kadi kwa ajili ya kuchota Maji bombani.

Пікірлер: 67
@matingo-bk1248
@matingo-bk1248 5 жыл бұрын
Kazi mzuri ayo tv kutangaza vipaji na ubunifu unaopatikana Tanzania, Ionesheni dunia kuwa hata Tanzania tuna magenous
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 5 жыл бұрын
Kweli we chamsingi usisubili Serikari, itakuchelewesha itakwambia uende Veta. naomba anzisha kampuni yako itakuwa kubwa sana kwasabu watu tunahitaji sana big up na Hongera sana bonyeza picha kujifunza vitu vingi subscribe like Share na rafiki zako
@bushiyadotto5266
@bushiyadotto5266 4 жыл бұрын
hongera kk gibson kawago mungu akutangulie kipaji chako kitaonekana
@Deboracharles-pw6wg
@Deboracharles-pw6wg 9 ай бұрын
Hongera sana kumbe umetoka mbali
@christiantariq7263
@christiantariq7263 5 жыл бұрын
Hahaha dgo nimesoma nae o-level nilimtangulia darasa moja pale don bosco seminary....alikuwa mbunifu kwel...he is gifted for real
@bakariluhala7332
@bakariluhala7332 5 жыл бұрын
GiB carter upo fresh kaka Iringa wanakutegemea kwaajili ya ubunifu Na ugunduzi zaidi
@franceslenis4512
@franceslenis4512 5 жыл бұрын
Brilliant Mr mseminari make a company
@sharifaabdullah6825
@sharifaabdullah6825 5 жыл бұрын
Masha allah
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 5 жыл бұрын
Here you are.....
@manyandatimoth7
@manyandatimoth7 5 жыл бұрын
Hongera sana Millard hii ni kazi nzuri sana
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 5 жыл бұрын
Sasa hapa ndio tunataka,
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 5 жыл бұрын
Safi sana gipson
@aginiweyessayakyando9855
@aginiweyessayakyando9855 4 жыл бұрын
Safi sana nimependa kazi yake lkn ni mtu confidence sana anajua sana anachokifanya
@alonesamson8508
@alonesamson8508 5 жыл бұрын
Nice
@jescaswai2343
@jescaswai2343 Жыл бұрын
Serikali isipouona mkono wa mzungu kwenye jambo lolote wanafunga macho roho za kwann na mipango ya kutaka mtukati kwenye kila kitu tunawavunja moyo watu kama hawa,inaumiza SANA
@deokalonga127
@deokalonga127 5 жыл бұрын
Ombi la sim namba yake nijue bei yake, Kasoro niliyoona kaongeza kadi haifai kwa wanavijiji hatubagui mtumiaji. Nabii wa milenia hii ya sayansi na teknologia. Mkulima Puge Tbr Tanzania.
@snetiengineering_hub
@snetiengineering_hub 5 жыл бұрын
Tuma msg kupitia number hii 0715 106 973 hii ni yangu kisha niaangalia u serious wako ili nikupeleke moja kwa moja kwa mtaalam
@osmanmustafa2925
@osmanmustafa2925 5 жыл бұрын
Dogo mjanja nimekuelewa hatabkujieleza unajiamin Zaid that's good
@belamicheal3353
@belamicheal3353 5 жыл бұрын
Jaribu kuongezea uzuri hiyo systems uifunike isiwe inaonyesha hizo waya waya sana utafika mbali
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 5 жыл бұрын
Haha haha
@lunyatheprodigy
@lunyatheprodigy 5 жыл бұрын
mngempa na muda wa kuonesha ufanyaj kazi wa pump hiyo.....ingekua poa sana
@MISHIONARYSHUKURU
@MISHIONARYSHUKURU 6 ай бұрын
Naomba namba za kijana huyo
@fazobean2487
@fazobean2487 5 жыл бұрын
noma kwel
@emmanuelmasali8449
@emmanuelmasali8449 3 жыл бұрын
Naomba namba yako ya simu
@chefsbakingshop3130
@chefsbakingshop3130 5 жыл бұрын
Uko wapi nikotiari uje uniunganishie nyumbani kwangu
@minhokid604
@minhokid604 5 жыл бұрын
Ebwaaaaana ehhhh HIKI NI KICHWA NO MATTER WOT, AFU KIPO NA ROHO NZURI
@philiposhemaiya6607
@philiposhemaiya6607 5 жыл бұрын
Safi san bro tz inahitaji san wat kama nyie
@jumabusabi4081
@jumabusabi4081 4 жыл бұрын
Dogo nifollow inbox nimeispire your work
@saidmosh2550
@saidmosh2550 5 жыл бұрын
Good
@saidmosh2550
@saidmosh2550 5 жыл бұрын
Vizur Umelifanyia kaz wazo lako
@mariuscyprian1235
@mariuscyprian1235 5 жыл бұрын
Dawasa wamchukue ili hawasaidie kwenye shuguli zao
@michaelipius2660
@michaelipius2660 5 жыл бұрын
👏🏽👏🏽👏🏽🔥🔥🔥
@mozzaninga2380
@mozzaninga2380 Жыл бұрын
Nianomba namba yako samahan
@issackjapan8510
@issackjapan8510 5 жыл бұрын
Great a man is to implement his dreams
@mtuwawatumtunamtu2520
@mtuwawatumtunamtu2520 5 жыл бұрын
Ongera kwa hilo. Lkn hata hivyo wametengeneza watu.
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 Жыл бұрын
Tuambieni uwezo wa pampu hiyo ni kumwagilia ekar ngapi kwa muda gani au inaweza kutembeza maji umbali gani pia weka namba ya mawasiliano
@maligisadotto8631
@maligisadotto8631 5 жыл бұрын
Naomba namba yako kijana Gibson tafadhali.
@wantedx3946
@wantedx3946 5 жыл бұрын
0752534795
@maligisadotto8631
@maligisadotto8631 5 жыл бұрын
@@wantedx3946 asante sana
@mahamedismail601
@mahamedismail601 5 жыл бұрын
Huyu msaidieni millard ayo serekalini anahitajika huyu
@iddymbuma5272
@iddymbuma5272 4 жыл бұрын
Anaehojiwa anaongea kama radio
@Commentsplus
@Commentsplus 3 жыл бұрын
Mimi sijaona kipaji apo nikupoteza muda tu
@tuphujekumuhkunonyiile3739
@tuphujekumuhkunonyiile3739 5 жыл бұрын
Mm mawazoyangu hawa wabunifu wote TANZANIA wangeandaliwa sehemu moja kilamwaka waonyeshe vipaji vyao iwe kama maonyesho ili wagunduzi wayambulike wapate mikopo
@snetiengineering_hub
@snetiengineering_hub 5 жыл бұрын
Kutengeneza mfumo hadi ukamilike kuna gharama kubwa sana broh
@emmanuelmkeba7901
@emmanuelmkeba7901 5 жыл бұрын
Serikali imtumie ili tuwe na vyetu ili hii iwe Tanzania ya viwanda anayotaka mheshimiwa Raisi wetu Magufuri
@ommy4k
@ommy4k 5 жыл бұрын
Alitengeneza pikipiki Tu kapigwa Chibi sembuse huyu mwanangu pambana Saudia familia yako Achana Na serikali
@rajabumasembe3366
@rajabumasembe3366 Жыл бұрын
No.yako ya whats up tafadhari.
@nehemiahbudi5753
@nehemiahbudi5753 5 жыл бұрын
,serikali na watu binafsi ni wadau wanaweza kukusaidia au lah hakuna uwakika, cha msingi atafute mtaji kwa kuwafanyia hiyo huduma watu wanaohitaji halafu anzishe kampuni na alipe kodi. Akitumia njia hii atafika anapotarajia.
@khatibalamin401
@khatibalamin401 5 жыл бұрын
Prototype 😅😅😃
@MajaxiFx
@MajaxiFx 5 жыл бұрын
Wizara ya maji kazi kwenu badilini mfumo kijana ameonesha kitu iwe chachu kwenu kuuweka mfumo mkubwa katika vyanzo vya maji adi majumbani
@ommy4k
@ommy4k 5 жыл бұрын
Vipaji vipooo
@bahatihassan
@bahatihassan 5 жыл бұрын
Kwel kijan hay nimatumiz druino
@fundi.505
@fundi.505 5 жыл бұрын
Huyo mtangazaji fake sana !!yani nasikiliza interview yote na sijaelewa nini huyo mvumbuzi kagundua
@famitoissanawanda7011
@famitoissanawanda7011 5 жыл бұрын
Mbona anaongea asicho ulizwa?!!!
@madlinemkanyika5608
@madlinemkanyika5608 5 жыл бұрын
Hahaha kweli kabsa
@mangulymanguly139
@mangulymanguly139 4 жыл бұрын
Ww umeulizwa
@imagepower3641
@imagepower3641 5 жыл бұрын
Dogo una akili
@tollesmbekwe1742
@tollesmbekwe1742 4 жыл бұрын
Kaka nakubali kazi yako ningependa kujifunza kutoka kwako 0620137541 naitwa Daudi
@jeanbonnet-michel4974
@jeanbonnet-michel4974 3 жыл бұрын
bin bin
@davidmassawe7615
@davidmassawe7615 2 жыл бұрын
Upo wap
@rajabumasembe3366
@rajabumasembe3366 Жыл бұрын
No.yako ya whats up tafadhari.
@minhokid604
@minhokid604 5 жыл бұрын
Nice
@rajabumasembe3366
@rajabumasembe3366 Жыл бұрын
No.yako ya whats up tafadhari.
Wakulima wa Loitoktok wameanza kutumia jenereta za gesi
2:41
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 9 М.
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 162 МЛН
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 28 МЛН
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 13 МЛН
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 19 МЛН
Why are Smoke Detectors Radioactive?  And How do Smoke Detectors Work?
18:59
Branch Education
Рет қаралды 1 МЛН
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 162 МЛН