Tafsiri halusi ya msanii haipo tena😢😢, wamejiunga na wezi kuwasifu wezi wa kodi zetu😢, youth for change, youth for development of our country we don't want someone who's there for his own benefit, we want changes in our country
@Official8364027 күн бұрын
Uchaguzi huoooooooo tutaona mengi mbona chezea kupelekwa Korea wee😂😂😂😂
@user-bi7gk7im4f26 күн бұрын
Tutaona rangi za aina zote😊
@najmathiney6527 күн бұрын
Hapo ndipo tunapofeli... Nimemaliza wasanii wote ccm hhhh😂😂
@ibramayno844727 күн бұрын
Vijana wa hii nnchi wengi wao ni majuha hawajui watendalo... hii ni ujinga uwanja mzima wamejazwa watoto under 18 na wasiojua hata wazazi wao yanayowakabili ktk maisha... hakika hii ni ujinga
Najiuliza ccm ikikosa madaraka tutawaona wapambe wakija chadema na kusema Tindu lissu anaupiga mwingi😂😂😂 ndio nitajua hakuna mwenye wema dunia hii
@Legends_Interviews27 күн бұрын
Nandy😂❤🎉
@dostovan514218 күн бұрын
Gen z ya Tz hamna kitu, mnapoteza mashabiki afu kuna mjianga mmoja anaomba raisi amnunulie gari😂😂
@erestizacharia475827 күн бұрын
Mnahitaji maombi mungu awape akili.
@user-yg8yo3ul8h27 күн бұрын
Ccm chama vijana viva vijana viva mama Samia mitano Tena nani kama mama
@user-mi7cd8ch1b26 күн бұрын
Vijana wa tz tungekuwa kama vijana wa Kenya tungenderea?
@dorothmsuya168625 күн бұрын
Kwa hiyo kuuana ndio maendeleo! Jamani ombeeni amani! Vita ni vibaya!
@SalamaRama-sr2um26 күн бұрын
Nan anapenda yanayotokea Kenya ccm hoye
@dostovan514218 күн бұрын
Gen z ya tz 0
@lazaromwambene451626 күн бұрын
❤❤❤
@Juli-ep9dn27 күн бұрын
Tutaona mengi kipindi hiki 2024/25
@kwejimisobi449127 күн бұрын
Tx dulla Subaru oyee😂😂😂
@AngelMoses-pd3bo27 күн бұрын
Kumbe nandy nae ni bint 😂😂
@user-hm4or9sf8y26 күн бұрын
Wanafunga lao wenzetu afu sis wanatupang t kwa maneno fyuuu😂
@user-hc6yy8yn9i27 күн бұрын
Mmmmh ngoja ninyamaze 🤐
@erestizacharia475827 күн бұрын
Njaa mbaya Sana.
@teddygabriel566226 күн бұрын
Sasa mtu kama nandy ana njaa gan?
@themasimbi226 күн бұрын
Duh huuu ni msiba😭😭 vijana Wamenunuliwa bei rahis
@user-bi7gk7im4f26 күн бұрын
Kweli kbs
@rebbywealth986927 күн бұрын
Cheka tu wapumbavu sana.... silipii tena subscription ya app yao Wameona wakifanya kazi bila kujikomba hawafiki?
@HamisJuma-bh8uy27 күн бұрын
Steven kaua
@Zenny8927 күн бұрын
SIKU CCM ITAKAPOKOSA MADARAKA..TUTAONA MENGI😂
@gracendumbaro519627 күн бұрын
Zenny cheka 2
@user-sv6ud9ps3j23 күн бұрын
Haitakaa itokee endelea kuota ndoto za alinacha
@user-mi7cd8ch1b26 күн бұрын
Kwakua wa tz wajinga ndio wanatumiwa wasani kushawishi wananchi iri tuzid kuibiwa hatuna misimamo kama wakenya washamba wengine wapo Korea wanacheka tu hawana uchungu na vizazi vijao?
@dizzosukariyaoSukariyao26 күн бұрын
Haha watu wamefuata burudani wasinge waleta wasaniiii ungeona