No video

“Nitawaburuza BASATA Mahakamani, nampongeza Rais Magufuli” -SUGU

  Рет қаралды 121,356

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi maarufu SUGU amelieleza Bunge kuwa tayari ameunda jopo la mawakili wake sita kwa ajili ya kuiburuza Mahakamani Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) baada ya kudaiwa kuufungia wimbo wake mpya kwa madai kwamba hauna maadili.

Пікірлер: 124
@alimussa2655
@alimussa2655 6 жыл бұрын
Kama unamkubali sugu gonga like tusambaze upendo 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️😁😁
@promramson80
@promramson80 6 жыл бұрын
Sugu anaishi uhalisia ambao amekua akiuongea kwa mda mrefu kwenye nyimbo zake,,,I really like this guy
@adolfmathew9698
@adolfmathew9698 6 жыл бұрын
Kutoka r Chuga. Sugu respect hiphop legend
@BedroomTvKe
@BedroomTvKe 6 жыл бұрын
😂😂😂😂 *Hahaaa aisee kama unamkubali Sugu gonga like hapa*
@faidhaally8311
@faidhaally8311 6 жыл бұрын
hahaha nakupnd sugu hujaenda kuzungusha mguu bungen lv u so much
@pendaelikilimba2434
@pendaelikilimba2434 6 жыл бұрын
You should be President of this country in the coming years.... Keep going Jongwe!
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 6 жыл бұрын
usichanganyikiwe kiasi hicho
@josejuma103
@josejuma103 6 жыл бұрын
Safiii 2 proud
@kahamatv5649
@kahamatv5649 6 жыл бұрын
good work,ayo tv
@shadrackmwelela6935
@shadrackmwelela6935 6 жыл бұрын
bigup kwako raisi wa Mbeya Sugu
@africanlempe8604
@africanlempe8604 6 жыл бұрын
Like kwa raisi wa Mbeya 😎
@nbfchisotta3749
@nbfchisotta3749 6 жыл бұрын
ai, yooooooo am saluted you Mr sugu
@mwinyi5270
@mwinyi5270 6 жыл бұрын
Aaah sugu 👍🏾
@ndarogamba191
@ndarogamba191 6 жыл бұрын
Big up Sugu,komaeni kwani mko na mburura tupu kutoka chama cha majambazi na nakuunga mkono kuwaburuza BASATA mahakamani ili kutofoa nafasi ya kuwanyanyasa wasanii hapa nchini!.
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@NewMan-ei9cf
@NewMan-ei9cf 6 жыл бұрын
Ahsante. Usimpige shonza.
@ewaldmrema909
@ewaldmrema909 6 жыл бұрын
Suguuuuuuuuu umenivunja mbavuuuuuuuuuuuu
@kennethmahenge7719
@kennethmahenge7719 4 жыл бұрын
daaaaaah sugu ww Nomaaaaa.......mbeya yako milele
@zainabualtz1455
@zainabualtz1455 6 жыл бұрын
Hakika hakuna wabunge ninao wakubali kama #Halima mdee na #Sugu na #Tindulisu💪💪💪 wapewape haoo ccm wanafiki sana 😆😀😀😀 hawampendi Rais wa Tanzanian 😩😩 majabu 😔safi sana sungu👌💪💪💪💪
@mauricejavan
@mauricejavan 4 жыл бұрын
Like em so much
@gretamaheri8437
@gretamaheri8437 6 жыл бұрын
Yani katika siku zote leo ndo nimekusikilaza sugu umenifurahisha sana
@Frankgamanuel
@Frankgamanuel 6 жыл бұрын
salute
@goodluckstepheny582
@goodluckstepheny582 6 жыл бұрын
My President suguuuuuuuuuuuu
@machedafederico572
@machedafederico572 6 жыл бұрын
Nko pamoja n wew jongwee
@zainabualtz1455
@zainabualtz1455 6 жыл бұрын
Wakwanza ku comment ✌✌✌💪
@robertmosha6801
@robertmosha6801 6 жыл бұрын
millard ..diamond katajwa ata ukimbanaia ..tutamskiaa..go to u túbe trendings.7 of top 10 list concerns to diamond..vgum sn kumshusha
@chibutvonline8710
@chibutvonline8710 6 жыл бұрын
hahahahahahah eti mimi sio diamond wala roma duh huyu kweli sugu
@wilbertcharles9129
@wilbertcharles9129 6 жыл бұрын
Tema madini mwanangu
@ibrahimsaid622
@ibrahimsaid622 6 жыл бұрын
mbeya stand up
@tatut3889
@tatut3889 6 жыл бұрын
Shikamoo sugu 😀😀😀😀😀😀wacha tumsubili mjomba hahaha
@charlesmdendela8949
@charlesmdendela8949 6 жыл бұрын
waburuze tu, walikurupuka kwa diamond akakurupuka nao wakanyooka, nawe buruza tu mahakaman
@lucytarimo1688
@lucytarimo1688 6 жыл бұрын
Unakua mpambe mpaka tajiri ananuna😂😂😂😂
@monicamwaisaka3484
@monicamwaisaka3484 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@omarymvano2535
@omarymvano2535 6 жыл бұрын
Lucy Tarimo 🤣🤣🤣🤣words
@praygodjonas1314
@praygodjonas1314 6 жыл бұрын
Lucy Tarimo ngja mi ntoke nduki🤣😂
@siwemaalphoncy2452
@siwemaalphoncy2452 4 жыл бұрын
Msigwa kacheka
@shukuruthelord7247
@shukuruthelord7247 6 жыл бұрын
kwa maslayi ya watanzania wote ladhima tujue nchi yetu ina kwenda wapi iliko toka wapi tunafanya nini kwa mslayi ya wa Tanzania wote
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 6 жыл бұрын
Hatariiiii mambo nimotooooo,basata mnaleta mchezo na kazi zawatu
@asedymbwilo6958
@asedymbwilo6958 3 жыл бұрын
Apo kwenye plesha
@Laajo1994
@Laajo1994 6 жыл бұрын
🔥
@mcharoun8483
@mcharoun8483 6 жыл бұрын
bunge
@dennismataula293
@dennismataula293 6 жыл бұрын
safi xana mh Sugu hy serikali inaendeshwa kibabe xana ila kila kitu kina mwanzo na misho
@lucasalfred2112
@lucasalfred2112 3 жыл бұрын
Duuu
@modestusndunguru4479
@modestusndunguru4479 6 жыл бұрын
We kafanye mziki.. tuuu.. huna jipya.... hão wapumbavu tuuu hawana jipya
@godlovemea363
@godlovemea363 6 жыл бұрын
yakizaz bandy
@levoommy831
@levoommy831 6 жыл бұрын
waburuzeeeee
@marryenock6595
@marryenock6595 6 жыл бұрын
219 nakukubareeee
@lucytarimo1688
@lucytarimo1688 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂presha bakini nazo wenyewe😂😂😂😂
@Basagamp4
@Basagamp4 6 жыл бұрын
..Tumsubiri Mjomba😁😁😁😁
@juxmwakabanje7134
@juxmwakabanje7134 6 жыл бұрын
jongwe brother
@samsonjoel4669
@samsonjoel4669 6 жыл бұрын
🙏🙏✌✌
@adamclassictz
@adamclassictz 3 жыл бұрын
Tutamiss haya mambo bungeni😀
@shadyarahma6385
@shadyarahma6385 6 жыл бұрын
nakukubar sana sugu
@modestusndunguru4479
@modestusndunguru4479 6 жыл бұрын
awamu hii lazima mnyookeeee
@rashidsuleiman2663
@rashidsuleiman2663 6 жыл бұрын
toka lini mnawakopesha wapinzani 😂😂😂
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 6 жыл бұрын
Wabunge WA ccm msaidieni Raid amani,
@kolomijeboda2983
@kolomijeboda2983 6 жыл бұрын
Buluzaaa xan haooo mabwege basata😅😅😅😅
@barakacafe1336
@barakacafe1336 5 жыл бұрын
Basata ni mbwa hawajielewi
@subirachuttar6490
@subirachuttar6490 6 жыл бұрын
Bunge limekuwa kama kilabu cha pombe za kienyeji aiseee!!!!
@OnlyRuky
@OnlyRuky 6 жыл бұрын
Safi saaana
@anthonymlelwa3783
@anthonymlelwa3783 6 жыл бұрын
onlymeruky mmh
@mickskillstechnology7511
@mickskillstechnology7511 6 жыл бұрын
Tatizo hii nchi sahv, serikal imekuwa inafanya vitu kwa mihemko, chuki, wivu na visasi mno, na kumkomoa mwananchi kwa makusudi kabisa,,,
@samwelraphael4611
@samwelraphael4611 6 жыл бұрын
Mick Skills TV
@samwelraphael4611
@samwelraphael4611 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@jenniferjonh6284
@jenniferjonh6284 6 жыл бұрын
Umechemka nyimbo inachonganisha hiyo
@semanasitv8303
@semanasitv8303 6 жыл бұрын
2020 atanyooka mtu
@TeophilBuilding
@TeophilBuilding 9 ай бұрын
Sjawai kujua kua hii nchi inawanawake mataira km shonza mweny akil atanielew
@saidimakala233
@saidimakala233 6 жыл бұрын
nyie c mtambui rais xaxa hyo rais gani
@shukuruthelord7247
@shukuruthelord7247 6 жыл бұрын
undo uwalisia au
@richardkobero6988
@richardkobero6988 6 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 tutafute rula ya kupimia dagaa..
@hassanmbonde4391
@hassanmbonde4391 6 жыл бұрын
sugu unatishaa
@emmaxcaris5530
@emmaxcaris5530 6 жыл бұрын
dawa ya xhonza ni Cmba...@
@edwardchimote329
@edwardchimote329 6 жыл бұрын
nimekuelewa kamanda
@bellam.vyampi5528
@bellam.vyampi5528 4 жыл бұрын
Wambieni labda mwisho masikio yao yatasikia dawa
@wilsonwizzo2483
@wilsonwizzo2483 6 жыл бұрын
huyo demu mbona kapaniki
@jamesngundateresia2600
@jamesngundateresia2600 6 жыл бұрын
Duu full poovu
@mickykaserendei3123
@mickykaserendei3123 6 жыл бұрын
Sinto kuandikia yoote ila watu Kama mbilinyi watafute kazi zakufanya majimbo yanarudi kwawalio tayari kutumikia wanachi
@nassorabdulkarim1390
@nassorabdulkarim1390 6 жыл бұрын
we uko mbwinde unatupangia sisi tuliomchagua kwa kura zetu huyu ndio mbunge wetu utaki baki hivo hivo
@mathiasissa7138
@mathiasissa7138 4 жыл бұрын
kwel ww ndo mbunge
@alexlutengano687
@alexlutengano687 6 жыл бұрын
Babu kubwa jembeeeee
@EphraimKibiki-ik5kt
@EphraimKibiki-ik5kt 4 ай бұрын
Tumewamiss chadema
@godfreymbwambo4460
@godfreymbwambo4460 6 жыл бұрын
JIANDAYE KWENDA KUTUNGA HIP HOP 2020!!!!!
@everlastthebad4441
@everlastthebad4441 6 жыл бұрын
This niga bwana hahahhaa
@faidhaally8311
@faidhaally8311 6 жыл бұрын
hahaha upambe adi tajir ananuna hahaha
@ngombealivyomvuamtunguojon2601
@ngombealivyomvuamtunguojon2601 5 жыл бұрын
wabungegan hawachangi hoja tunawanyima kula tutawapa upinzan wakatutete
@mohammedsalim6398
@mohammedsalim6398 6 жыл бұрын
Sugu hauko juu ya sheria Kama wimbo haukufata sheria? Utafungiwa tu hadi ufuate utaratibu wa kutoa wimbo. Mawakili hawana kazi? Mawakili 6 kwA HIKi kikesi? Ok yetu macho
@goodluckstepheny582
@goodluckstepheny582 6 жыл бұрын
Fala ww
@Lituli_jr.
@Lituli_jr. 6 жыл бұрын
mwenye hii clip naomba anitumie Wasap 0714565324
@wechemakambo2182
@wechemakambo2182 6 жыл бұрын
Sugu ni Mwehu asiyejitambua pumbavvvvvv
@fredieelienea3190
@fredieelienea3190 6 жыл бұрын
weche makambo ahahaaaaa ila wewe ni mwendawazimu unaejielewa
@doreenkissia6566
@doreenkissia6566 6 жыл бұрын
hawampendi kweli.rais fanya kazi.
@aggraypeter.5008
@aggraypeter.5008 6 жыл бұрын
weche makambo Wewe ni Ndezi
@exaudmwakila2651
@exaudmwakila2651 4 жыл бұрын
Wew ndie mpumbavu usiejitambua
@trgphonegeorge3832
@trgphonegeorge3832 6 жыл бұрын
Kumbe kuna sheria ya kijinga mpaka basata mpitie mashairi yote kabla msanii atoe? Duhhh!!!!
@mickykaserendei3123
@mickykaserendei3123 6 жыл бұрын
Kweli upinzani umeisha tumebaki nawapinga maendeleo
@hassankaluta8864
@hassankaluta8864 6 жыл бұрын
Micky Kaserendei maendeleo yapi unayoyaona
@imanimedaa4760
@imanimedaa4760 6 жыл бұрын
dadeq
@haliphsemwal8701
@haliphsemwal8701 6 жыл бұрын
Jembe hiro narikubari
@leonardmgaya3970
@leonardmgaya3970 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@saidzaar9557
@saidzaar9557 6 жыл бұрын
😂😂😂😂 mbona hajazungumza hoja za Kiuchumi ktk bajeti.
@georgeshija911
@georgeshija911 6 жыл бұрын
kwani ukilekebisha kiwanda kilicho lala na kikafanya kazi nikosa mpaka ujenge jengo jipya ndo kiwanda kionekane jengo jipya?
@mathiasissa7138
@mathiasissa7138 5 жыл бұрын
ww nijembe kwel
@kapingageorge7635
@kapingageorge7635 6 жыл бұрын
hahaha haha
@mamantilie3125
@mamantilie3125 6 жыл бұрын
hahaahaaa duh
@godfreymbwambo4460
@godfreymbwambo4460 6 жыл бұрын
KAMA MLIPOWASALITI WANANCHI KWA KUMWITA LOWASSA FISADI, AMBAVYO NI KWELI, NA KULIPOKEA KULIPA UGOMBEA WA RAISI. NA MPAKA SASA HAMJASEMA KWA NINI MLIBADILI GEAR ANGANI KWA WANANCHI.
@mathiasissa7138
@mathiasissa7138 4 жыл бұрын
godfrey mbwambo hongera sugu
@BarakaWaya
@BarakaWaya 6 жыл бұрын
Mbunge wangu
@lucaslinus7658
@lucaslinus7658 6 жыл бұрын
Mh, Sugu big up, kwa Sera zako umenikonga! Natamani nihamie Mbeya niwe Mwanchi wako , yote unayaongea katika vikao vyote Saluti kamanda! Mungu akujalie maisha marefu
@doreenkissia6566
@doreenkissia6566 6 жыл бұрын
maisha ya wabongo wengi tunaungaunga jamani tusikomoane.madaraka leo kesho raia.sometimes mshauri msanii sio kufanya maamuzi yaw kufungia tuu.kwa nini basi basata msianzishe kitengo cha kutunga mashairi muwauzie wasanii? tujue tunaimba.nyimbo za basata.toeni mashairi yenu waimbe.
@atupyekyando9010
@atupyekyando9010 6 жыл бұрын
Baraka Waya
@chibutvonline8710
@chibutvonline8710 6 жыл бұрын
hahahahahahah eti mimi sio diamond wala roma duh huyu kweli sugu
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 40 МЛН
Matching Picture Challenge with Alfredo Larin's family! 👍
00:37
BigSchool
Рет қаралды 49 МЛН
HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
10:40
Global TV Online
Рет қаралды 465 М.
SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"
11:24
Global TV Online
Рет қаралды 467 М.
MBUNGE BWEGE ALIVYOZUA BALAA BUNGENI LEO
13:38
Millard Ayo
Рет қаралды 734 М.
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Global TV Online
Рет қаралды 554 М.
Joho DAZZLES CROWD in Homabay, AFFIRMS support for Ruto come 2027
18:09
Azimio TV(Official)
Рет қаралды 40 М.
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
Prof Kabudi awarudisha wabunge shuleni kwa muda
25:42
Mwananchi Digital
Рет қаралды 297 М.
JOSEPH MBILINYI (MB)  NUSURA KUSHIKANA NA JENISTA MUHAGAMA BUNGENI
16:04
Chadema Media TV
Рет қаралды 48 М.
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 40 МЛН