Inatakiwa muachane na watafuta wachezaji kwanza hao ndio tatizo na mwiba mkuu
@user-ty5pm2nl3y15 күн бұрын
Ili simba ile iweze kurudi, inabidi kwanza viongoz (wajuu) waliopo wasafishwe wote na waanze Moja. La sivyo tusubiri hadi 2025/2026.
@user-lp4xk7qw3t14 күн бұрын
ila msimuache kapombe sifaya kapombe Simba anacheza nafasi mbili kwamda umoja anacheza kama winga piaana cheza kama beki
@dicksonnyamsana22619 күн бұрын
Sasa wa kupumzika hapo ni Try again mangungu si mlimchagua ninyi?
@jimonmwakalebela947015 күн бұрын
Nawewe umeanza mbwembwe maneno mengi
@user-xs1jq9xd9r14 күн бұрын
Duuuh, saido kang'are uendakooo❤
@user-sj8pe6hi9n10 күн бұрын
Sio maneno ya Amed kweri ?
@Franccoz14 күн бұрын
Simba inachojua ni kucheza mdomoni,uwanjanii tunawaachia azam na utopolo
@brownkihanga6889 күн бұрын
Ukweli unauma?
@beatricembunda61689 күн бұрын
Simba sio timu mbovu Kama mnavyofikiria,mpaka sasa tuna Mataji MAWILI Ngao ya Jamii na Muungano,mbona hayo hamuyasemi nyinyi waandishi wa habari hebu semeni ukweli
@boeihongoa143614 күн бұрын
😂😂😂 "wewe mbona umebieda"😂😂 haukubali?"
@silveryb13 күн бұрын
Kwni jamaa ni msukuma?😅😅😅
@boeihongoa143613 күн бұрын
@@silveryb hicho ni Kisukuma ee, sijui kubieda ni Nini😂, tuambie.
@silveryb12 күн бұрын
@@boeihongoa1436eeeh kubieda ni kam kudharau.. huyo dada amemdharau semaji baada ya kudanganywa 😅😅😅
@@boeihongoa1436 eeeh ndio maana kabieda 😆😆😆 kakataa kudanganywa
@eggysulle798812 күн бұрын
Mbona kubyeedaaa🤣🤣🤣umenikumbsha mbaal😄
@user-hv7pw6ih5v12 күн бұрын
Siyo kweli huo ni ubingwa wa mdomo siyo ubingwa wa uwanjani mbona watanzania tunapenda kucheza kwa kutumia mdomo tujaribu kuiga kutoka nchi za wenzetu, hivi unaweza kusema eti tarehe hii tutakuwa tunaongea tukiwa na ubingwa, hizo ni ndoto za kimweri
@user-bh4my7my3n12 күн бұрын
Kwa kauli hii saidoo ayupo msimu ujao
@davicekombe493213 күн бұрын
Ety watu wanatembelea school bus 😂😂😂😂😂
@user-hh4us7kb5q13 күн бұрын
Simba ikiendelea kuwaamin hawa jamaa wanaopga mdomo, ttashindwa kshrk kkombe chochote cha maana, timu haina kikombe ata kimoja arafu hyu jamaa anapga maneno utafkr mna klab bingwa
@petercostakisoka13 күн бұрын
Apo kwa kibu wamekomeshwa sana mpaka tu release player ndy wamchukuee
@ibrahamessiah36014 күн бұрын
Iyo ehehehehe,,,,,, inanipa raha Sana sijui aliitoa wapi ally jmn
@shaabanramadhan204514 күн бұрын
Tatizo pesa kaka, Simba sc tunayoifahamu cyo hiyo ya wachezaji wa mia mia kweli! Hapana tajiri aweke pesa aache longo longo.
@reinfridlipili566615 күн бұрын
Huyu msemaji kadri siku zinapoenda mbele anazidi kuchanganyikiwa aiseee.....Sijui timu🤣🤣
@touchonesavemany15 күн бұрын
Ulitaka ajibuje ili uone yuko sawa?
@musashija347114 күн бұрын
Si ungesema tu io school bus inamilikiwa na mzize 😊😂
@RamadhanNgoma12 күн бұрын
Mnatuchosha sasa. Vitendo sasa. Na viongozi wakae pembeni waje wengine
@ikulunimahalipatakatifu764214 күн бұрын
Hahahahaha Schoool bus, Mzee Ahmed Ally !!!!
@hassanmussa612914 күн бұрын
Vp viongozi ma CIO kujiuzulu kwa maslahi ya simba??
@Sidrasidra63613 күн бұрын
Leo ame kiri kuwa wachezaji wakiwa Simba ni kuwabania kipaji ila wakienda team nyingine wanafanya vizuri kuliko 😂
Kimsingi hata ww unapashwa kupisha,,,Huna uwezo wa kuwa msemaje wa simba,,,Uogo umekuwa mwingi sana kwako,,,hunatofauti na viogozi wako:::
@ifmknowledgepower733315 күн бұрын
😂😂😂😂😂kibu dengaaa
@JastinAlphonce14 күн бұрын
Acha wasajili afu tuone mwisho wa msimu 🤣🤣🤣
@emmanuelnkwabi861014 күн бұрын
Da balaa sana acha tujitafute
@selemanmcharazo15 күн бұрын
Aziz key na Aucho mbona mlimshindwaa , Mudathiri pia acha kuwapa moyo wenzako muimba tarabu
@muksinimbaruku123315 күн бұрын
Mdathiri tulimdharau japokuwa yupo kwenye kiwango sasa hv
@jitabojilala616214 күн бұрын
Unatafuta mme?
@basumaadam268613 күн бұрын
Sio tumewashindwa tatizo wamezowea school bus 😂😂😂😂😂
@selemanmcharazo13 күн бұрын
@@basumaadam2686 hamna hela njaa tupu
@anithawidambe754315 күн бұрын
HUWA MNASEMA HVYHVY MNASAJILI KWA MAJINA CY VITENDO
@anithawidambe754315 күн бұрын
WARUDIHENIPHILI NA BALEKE
@neemamasimba298114 күн бұрын
Kweli kabisa , Phiri aliathiriwa tu kisaikolojia, hata Miquisone ni bora sana ila alirudi wakati simba imepigwa mshale inachechemea, kelele zikawaathiri.
@HamisMghuna-fj3vz14 күн бұрын
Saido mbona anagoli kuliko kb
@HamisMghuna-fj3vz14 күн бұрын
Saido juz Dodoma Jiji ilikula chuma saido ucpime
@lyamcyjunior281215 күн бұрын
😂😂
@farajanasoni217614 күн бұрын
Noma sana 😂😂😂
@mubaraalichiku608915 күн бұрын
Anazungumza ujinga mtupu, pumbafu
@hamdunslimofficail415014 күн бұрын
😅😅😂😂😂😂mjinga ni wewe unaepoteza bando lako kwa ajiri yake kweli we mjinga😂😂😂
@SaidiKingwande14 күн бұрын
Sawa acha azungumze ujinga vipi wewe timu yAko inafanya vizuri?
@KokoloLambinguni10 күн бұрын
Saido ni mchezaji msumbufu anayechosha timu pinzani na anauwezo mkubwa msimguse