PETER MSECHU AUPONDA MJENGO WA MWIJAKU, ADAI HAUNA THAMANI YA BILIONI ATOBOA SIRI "ANGENITAFUTA"

  Рет қаралды 139,205

Millard Ayo

Millard Ayo

7 ай бұрын

Пікірлер: 316
@enockmlyuka6475
@enockmlyuka6475 7 ай бұрын
Peter umeongea point na Kwa busara. Ni miongoni mwa vijana wachache ambao ni mfano wa kuigwa! Inaonesha kuwa una nidhamu na umelelewa vizuri! Hongera Kwa kumjali mkeo na kuthamini mchango wake ktk mafanikio yenu!
@odiramwamba-fb2el
@odiramwamba-fb2el 6 ай бұрын
Big up !
@boniphacejohn2981
@boniphacejohn2981 6 ай бұрын
Safi sana Peter, point sana na busara nyingi mnoo kichwani
@KUPASteven
@KUPASteven 6 ай бұрын
Safiii Sanaa msechu
@user-bk6ue5zl5t
@user-bk6ue5zl5t 7 ай бұрын
Kaka hongeraaa sanaaa umeongea point sanaaaa hongeraaa mungu akubariki ushushe mjengo mwingineee
@shafiimwehemba4549
@shafiimwehemba4549 7 ай бұрын
Awali sikuwa namfahamu Msechu, kumbe ni mtu mwenye busara zake! 👏👏👏
@jelasnkoma4240
@jelasnkoma4240 6 ай бұрын
Alafu ni Msomi pia
@user-qo5vn9xl8v
@user-qo5vn9xl8v 6 ай бұрын
Msechu nimsanii mwenye akiri nahofu yamungu big up msechuumewaelimisha vizuri vijana
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 7 ай бұрын
Peter ameongea fact sana huweZ pata interview nzur yenye ukweli kama hii amini hivo😅😅😅😅😂😂
@eppiemodest
@eppiemodest 6 ай бұрын
Sikieni. Mwijaku nyumba siyo yake. Mnapoteza mda kuzungumzia. Ya nini kulinganisha nyumba ya owner na mwingine mpangaji tu. 😂😂😂😂.. Mwijaku ni mpangaji tu. Sifieni ya Peter ambaye ni nguvu zake mwenyewe. Hongera brother Peter na mkeo.👏👏👏👏👏👏😇
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 7 ай бұрын
Yaaaan nilikuwa nakusubilia hii interview ya Peter msechu maaana walikuwa wanakutag Sana na nyumba yako Ila umeongea kwa utulivu Sana
@mwakwelisaid3152
@mwakwelisaid3152 7 ай бұрын
Congratulations mr msechu for ur advise
@selestinokazumba
@selestinokazumba 6 ай бұрын
Haya ndo maneno yakuongea mtu mwenye akili Big up msechuu
@user-zh2ko6nj5g
@user-zh2ko6nj5g 6 ай бұрын
msechu unajitambua, upo unique...last time tulikutana ktk tukio la mradi wa mwalimu Nyerere....kwel nilipenda style ya music wako ambao upo ktk promo
@amaniluhambire5080
@amaniluhambire5080 7 ай бұрын
Big love from Canada. Naomba namba ya Peter Msechu.
@laukhanpaulo4996
@laukhanpaulo4996 6 ай бұрын
Daah Msechu kiukweli umejenga mwanangu kwanza hapo ndani kwako ni 🔥🔥🔥 tunavionaga kwenye TV
@alecheconradninje6183
@alecheconradninje6183 6 ай бұрын
Kaka Msechu weka wazi ndo taaluma ya mkeo kasoma Ardhi university ana degree kali mnooo😂
@user-qy4vz9tr5n
@user-qy4vz9tr5n 6 ай бұрын
Big up Msechu , you were focused . From +254
@felistersanga4207
@felistersanga4207 7 ай бұрын
Mjengo wako naukubali Sana msechu big up mama Lolo
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 6 ай бұрын
Binafsi nimevutiwa sana na nyumba ya msechu ingawa mwijaku nae katu nyoosha🙌
@dicksonmutabazi1966
@dicksonmutabazi1966 7 ай бұрын
Msechu kaongea vyema sana, sisi wataalamu wa ujenzi tumemuelewa.
@hawamsangi5590
@hawamsangi5590 6 ай бұрын
Huyu mwijaku nilimbukeni kubali nyumba ya Msechu ina mvuto Hilo ghorofa lake sio standard . Hiyo bathroom tiles za mchina alafu the bathroom is big for nothing kaweka SINK jeusi choo cheupe daah. Peter Msechu is also interior designer tena international designer hiyo ni talent yake. Big up Msechu that is a good house and classic.
@lightnesselirehema1464
@lightnesselirehema1464 6 ай бұрын
Hongera sana Msechu nyumba yako nzuri sana nimeona kwa nje tu hiyo garden na garbions zimepandisha thamqnivhiyo nyumba sana
@rerisamba
@rerisamba 7 ай бұрын
Lakini. Nyumba ya Msechu imekaa na msingi mzuri
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 7 ай бұрын
Nimeuchukua ushauli wako🙏Hongera sana msechu
@leaherasto929
@leaherasto929 6 ай бұрын
Nikweli nyumba nifinishing. Msechu nyumba yako nzuri sana Finishing nigharama sana pia Mwijaku honger kwakujenga utakuja kukarabati miaka ijayo
@deusntobi6682
@deusntobi6682 7 ай бұрын
Busara zimefunika ufaham wa msechu. Hongera kwake kwa kujitambua kiasi hicho
@abedysteven4930
@abedysteven4930 7 ай бұрын
Af pia nyumba ya mzechu Ina gharama kubwa kuliko ya mwijaku!
@deusdedithjoseph7588
@deusdedithjoseph7588 6 ай бұрын
Safi Sana brother una akili sana msechu nafurahi muno kutupa moyo
@othumanomari1589
@othumanomari1589 7 ай бұрын
Congratulations bro kimfaacho mtu nicheke nahakuna kitukibaya urichokitafuta kwa jashorako💪💪
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 7 ай бұрын
Kusema kweli mi mwenyewe nyumba ya mwijaku siku yielewa japo nami sina 🫠 bora ange jenga nyumba ya chini ya maana
@RaymondNjengo-bq1zc
@RaymondNjengo-bq1zc 7 ай бұрын
Kiwanja kidogo cha Mwijaku kujenga nyumba ya chini,ndio maana kajenga ya juu ili apate nafasi
@user-tt1nm9xs4n
@user-tt1nm9xs4n 6 ай бұрын
😅😅😅😅
@alexsuleiman3795
@alexsuleiman3795 7 ай бұрын
Safi sana msechu umeongea kama mwanaume
@piterfedrick4647
@piterfedrick4647 3 ай бұрын
Hongera sana peter na asante kwa kutufundisha vijana
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 6 ай бұрын
Big nimekupata umejielewa sana
@fredrickmichael2317
@fredrickmichael2317 6 ай бұрын
Huyu chagga Ana uelewa naongea ukweli si kupata sifa..nyumba ya msechu ina kiwango ina dhamani zaidi
@1stladyafrica402
@1stladyafrica402 6 ай бұрын
Msechu ni Mpare sio mchaga
@jaymapepefatma5936
@jaymapepefatma5936 7 ай бұрын
Yani wa Bongo kila kitu munacho fanya lazima mukipost kwenye media😢😅😭 this is love from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 4 ай бұрын
Wanahamasishana, Kwa hili litawakumbusha vijana kushindana ki maendeleo na sio kujirusha wapi na nani, mrembo yupi au kapangisha nyumba ya gharama Gani na maeneo Gani! Vijana shindaneni kumiliki vitu kama hivi.. Hongera sana Msechu, Hilo umeitoa hapo ni darasa kubwa.
@NataliaKenny-vb6os
@NataliaKenny-vb6os 6 ай бұрын
Nyota na ing'ae kwako wee nakuombea🎉😊
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 7 ай бұрын
MSECHU NIMEKUPENDA HUWAVUNJI MOXO VIJANA BALI UNAWATIA MOYO NAO WAANZE TARATIIBU.
@starjay3052
@starjay3052 7 ай бұрын
peter msechu umeongea ukweli kabisa ata me najenga naona ela jinsi nnavotumia ela mwijaku muongo peter yupo saii
@RodriguezOdhiambo
@RodriguezOdhiambo 6 ай бұрын
Akili kubwa SANA mwanangu...hongra Petermsechu
@ismailjuma6185
@ismailjuma6185 6 ай бұрын
Kaka ww ndo muanzilishi wa hili battle la ujenz wa nyumba big up umetu inspire sanaaa kaka asant saaanaaa
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 7 ай бұрын
Msechu umeongea pointi safi sana
@cymioncassian4846
@cymioncassian4846 6 ай бұрын
Msechuu nmekuelewa sana tena mno,maneno Unayosema yamenif undisha sana,mimi mwenyewe kibanda changu nmeanza kujenga 2019 mpka leo sijamaliza na sio nyumba ni kibanda cha kuepuka kugombana na wenye nyumba mjini hpo,tuache sifa mnatakiwa mseme Ukweli ili sisi tujifunze kutoka kwenu,
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 7 ай бұрын
Peter umeongea point sana yaan hubabaishi
@gidixgillogillo3359
@gidixgillogillo3359 4 ай бұрын
umeniinspire sana brother msechu sana yan sjawai kua inspired namna hii. nami ntajenga zaidi ya hii
@KSACTV
@KSACTV 6 ай бұрын
FROM KENYA NYUMBA YA MSECHU NI KALI SANA KWA WASANI WA TZ VERY DETAILED
@Allyabdalah-oj2wc
@Allyabdalah-oj2wc 7 ай бұрын
Very matured
@AbuubakarMfinanga
@AbuubakarMfinanga 3 ай бұрын
Dah kwel yupo vizur mashalah
@saadarashid8174
@saadarashid8174 6 ай бұрын
So so true 👍 nyumba hujengi siku moja
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 7 ай бұрын
Nyumba kujenga taratibu ndio inakuwa nzuri coz unadisaign taratibu na kwa uwakika na kupata material yauhakika unakuwa na mda mzuri wa kuchagua
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 7 ай бұрын
nyumba ya mwijaku haizid mlion 500 iyo bi,1.3 akawambie wamasai
@tingathebest
@tingathebest 6 ай бұрын
Asante peter msechu umetufundisha sana❤❤❤❤❤
@user-yq4sn6cq1l
@user-yq4sn6cq1l 7 ай бұрын
Wewe unabusala saana kaka msecu safi sana
@sabokoMAILA
@sabokoMAILA 7 ай бұрын
Point sana msechu
@aluneanthony3468
@aluneanthony3468 6 ай бұрын
Dah meschu big up
@righitkileo
@righitkileo 7 ай бұрын
❤❤point .❤❤ila hiyo nyumba ya Mwijaku ni ya kawaida sana. Hiyo qarama anayoisema hamna.kama.kiki labda sawa.kawaida sana
@rynerlinuma8484
@rynerlinuma8484 7 ай бұрын
Gharama aloitaja Mwijaku ni kikombelezo tu
@mussaally1499
@mussaally1499 7 ай бұрын
Very positive
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk 7 ай бұрын
Msechu anaongea facts
@aishatest4451
@aishatest4451 6 ай бұрын
Asante Sana kaka
@floramwakyosi9298
@floramwakyosi9298 6 ай бұрын
big up sana Msechu
@yusuphkanyuza1974
@yusuphkanyuza1974 6 ай бұрын
Safi sana kaka kwa ushauri wako mzr
@user-hl9xu4vo1q
@user-hl9xu4vo1q 6 ай бұрын
Msechu yupo sahihi sana, nyumba yangu ilikua naijenga haraka sana, inabidi niturie ili nifanye kitu kizur zaidi
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 7 ай бұрын
Msechu yko real sannnah.
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk 7 ай бұрын
Msechu kwa kweli Mwaka mmoja kujenga nyumba na hela ipo... unaweza jenga nyumba hata mwaka ni mwingii sana .
@edsonDR_90
@edsonDR_90 6 ай бұрын
Nyumba nzuri hata kama una pesa ya kutosha atleast kuanzia mwaka
@beatricemrisho8431
@beatricemrisho8431 7 ай бұрын
Big up msechu
@peternyambui7492
@peternyambui7492 7 ай бұрын
Safi sana!!
@Truly_Afrikan
@Truly_Afrikan 6 ай бұрын
The big brain talking points
@duncanwanjeri6500
@duncanwanjeri6500 7 ай бұрын
Oyaaa nairobi
@robertevarist1595
@robertevarist1595 6 ай бұрын
Wasanii wote wangeishi ktk ukweli km Msechu, Jamii ingeelimika sana kupitia Muziki wao na Maisha yao binafsi
@ChiefKisensiOnline
@ChiefKisensiOnline 6 ай бұрын
Fact ☝🏾👍🏿💪🏿
@moseskulola6913
@moseskulola6913 7 ай бұрын
Sijawahi kumusikiliza uyu jama peter .ina ni mtu anaakilizake timamu .anaogeha jambo lamahana sana ku usumaisha .kwanza nyumba yake kalisana tena sana Mimi naishi cape town .kuishi kwenye nyumba ya chini dio utajiri gorofa ni style zakimaskini sikuizi matajiri wote wanaishi kwenye nyumba as chini kama nyumba ya peter msechu ...kaka peter usiwe najibu kama ule mwijaku chizi ule .sio muzima ..
@user-yw1rq3xj1q
@user-yw1rq3xj1q 7 ай бұрын
Umenene hapo kakaa🎉
@starjay3052
@starjay3052 7 ай бұрын
ata mimi mtani kwangu watu wamejenga magolafa ila me yachini na boma tu ahabali wanayo ✌️💯💯 ipo ivo mwijaku kaongea uwongo me boma mbaka nimekamilika na ni bola la viumba vi 4 ila nimetumia milioni 6 mbaka leo mwijaku muongo
@user-yj5sz9tl2b
@user-yj5sz9tl2b 6 ай бұрын
salute kaka uko wazi bro
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 6 ай бұрын
Ooooh kumbe maneno alianza mwijaku 😂😂😂😂😂peter msechu achana na mambo ya mabishano,sio style yako. bora mtu una nyumba jamani ...kwani ni mashindano😮😢🙄🙄🙄
@user-bi3fw7li3p
@user-bi3fw7li3p 6 ай бұрын
Well said
@clarencendyetabula3080
@clarencendyetabula3080 6 ай бұрын
Msechu big up umeiongea ukweli mzee ila wale wa makele tunajua wanachikilenga.
@hawamsangi5590
@hawamsangi5590 6 ай бұрын
Nyumba ya Msechu ni nzuri na thamani.na very stand very organized tiles zake ni za Spain sio mchina garden nzuri .ghorofa ya mwijaku ni wingi wa matofali sir nzuri
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 6 ай бұрын
Bro uko sawa kabisa ..busara
@ruu6592
@ruu6592 6 ай бұрын
Msechu nyumba yako nzuri sana
@Muuzambuzi
@Muuzambuzi 7 ай бұрын
Safii msechu
@musamalabeja3670
@musamalabeja3670 6 ай бұрын
Umetisha mkuu, umeongea Kwa data
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 7 ай бұрын
Kaongea point sana
@zerochanneltanzania3797
@zerochanneltanzania3797 6 ай бұрын
Hapa ndo utajua kuwa #mwijaku sio mpenda naendeleo kwa wenzake…na elimu yake haijamsaidia chochote. Uwezi kaa mbele ya chombo cha habari ukazungumza shiti… 1.3 billion. “Unaijua ??????” Peter msechu anaongea ukweli..na utainspire vizazi na vizazi. #mwijaku ropo ropo tu…
@raimajimoto1122
@raimajimoto1122 7 ай бұрын
Point
@AhimidiweMchau
@AhimidiweMchau 2 ай бұрын
Kweli kabisa brother
@robertmsigalla9259
@robertmsigalla9259 6 ай бұрын
Msechu unaongea kikubwa sana kaka❤
@user-ib7kn6fs4x
@user-ib7kn6fs4x 7 ай бұрын
Hata boss wa doto magar ilisifu nyumba ya peter
@DM_15
@DM_15 6 ай бұрын
Kweli kabisa finishing yake ni beirahis sana mimi kama mjenzi nina experience hio
@annasalum4700
@annasalum4700 6 ай бұрын
Anaongea vizuri sana msechu haropoki yani .
@lucienkalombo8501
@lucienkalombo8501 6 ай бұрын
Nakubali kaka
@user-ks9ic7ss5x
@user-ks9ic7ss5x 6 ай бұрын
Big up mwijaku
@Kissarop
@Kissarop 7 ай бұрын
Mwijaku.I think is crazy person
@babanadia3201
@babanadia3201 7 ай бұрын
Mtu ambae hajawahi jenga ndio anaweza kukubali hiyo garama ya 1.3bl lakin ukweli huo mjengo hauwezi zidi 300ml
@Dianamwansasu
@Dianamwansasu 7 ай бұрын
Wewe ujenzi gharama zake unajua wewe
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 7 ай бұрын
​@@Dianamwansasuhaizid ml 350
@jwisetv4833
@jwisetv4833 7 ай бұрын
Co kweli mzee nawewe hujajenga 300 ni ndogo sana kwenye ile nyumba
@elizampayo4057
@elizampayo4057 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@rikekikonyo2265
@rikekikonyo2265 7 ай бұрын
​@@DianamwansasuNyumba ya bil 1 unaijua wewe?
@GilgariMinistryTanzania
@GilgariMinistryTanzania 7 ай бұрын
Nice
@rahelmasamu3490
@rahelmasamu3490 6 ай бұрын
Hongera msechu unamaneno mazuri
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 7 ай бұрын
Afu nikweli nyumba ya mwijaku ni vyumba vilivyobebana TU sio gorofa😂😂😂
@saulimmbaga.safisana9556
@saulimmbaga.safisana9556 6 ай бұрын
Upo sahihi sana msechu
@paul1985ization
@paul1985ization 7 ай бұрын
Good
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 7 ай бұрын
Matured brain
@jumamohamedi4280
@jumamohamedi4280 6 ай бұрын
Uko gud Sana broh
@imanuelnguya9277
@imanuelnguya9277 7 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏👏
@AhadiMkuyu
@AhadiMkuyu 6 ай бұрын
We ndoumeongea point sio mwijaku mpenda masifa
@BoniphaceNzumbe
@BoniphaceNzumbe 6 ай бұрын
Kongore sana braza
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 7 МЛН
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 107 МЛН
MWIJAKU AMLIPUA HAMISA MOBETTO, KUTEMBEA NA AZIZI K NI UPUUZI
11:42
MWIJAKU NA BABA LEVO HAWAISHI VITUKO
8:37
Wasafi Media
Рет қаралды 44 М.
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН