Peter umeongea point na Kwa busara. Ni miongoni mwa vijana wachache ambao ni mfano wa kuigwa! Inaonesha kuwa una nidhamu na umelelewa vizuri! Hongera Kwa kumjali mkeo na kuthamini mchango wake ktk mafanikio yenu!
@odiramwamba-fb2el6 ай бұрын
Big up !
@boniphacejohn29816 ай бұрын
Safi sana Peter, point sana na busara nyingi mnoo kichwani
@KUPASteven6 ай бұрын
Safiii Sanaa msechu
@user-bk6ue5zl5t7 ай бұрын
Kaka hongeraaa sanaaa umeongea point sanaaaa hongeraaa mungu akubariki ushushe mjengo mwingineee
@shafiimwehemba45497 ай бұрын
Awali sikuwa namfahamu Msechu, kumbe ni mtu mwenye busara zake! 👏👏👏
@jelasnkoma42406 ай бұрын
Alafu ni Msomi pia
@user-qo5vn9xl8v6 ай бұрын
Msechu nimsanii mwenye akiri nahofu yamungu big up msechuumewaelimisha vizuri vijana
@vincentauxerbius75547 ай бұрын
Peter ameongea fact sana huweZ pata interview nzur yenye ukweli kama hii amini hivo😅😅😅😅😂😂
@eppiemodest6 ай бұрын
Sikieni. Mwijaku nyumba siyo yake. Mnapoteza mda kuzungumzia. Ya nini kulinganisha nyumba ya owner na mwingine mpangaji tu. 😂😂😂😂.. Mwijaku ni mpangaji tu. Sifieni ya Peter ambaye ni nguvu zake mwenyewe. Hongera brother Peter na mkeo.👏👏👏👏👏👏😇
@ukhutfatumah11547 ай бұрын
Yaaaan nilikuwa nakusubilia hii interview ya Peter msechu maaana walikuwa wanakutag Sana na nyumba yako Ila umeongea kwa utulivu Sana
@mwakwelisaid31527 ай бұрын
Congratulations mr msechu for ur advise
@selestinokazumba6 ай бұрын
Haya ndo maneno yakuongea mtu mwenye akili Big up msechuu
@user-zh2ko6nj5g6 ай бұрын
msechu unajitambua, upo unique...last time tulikutana ktk tukio la mradi wa mwalimu Nyerere....kwel nilipenda style ya music wako ambao upo ktk promo
@amaniluhambire50807 ай бұрын
Big love from Canada. Naomba namba ya Peter Msechu.
@laukhanpaulo49966 ай бұрын
Daah Msechu kiukweli umejenga mwanangu kwanza hapo ndani kwako ni 🔥🔥🔥 tunavionaga kwenye TV
@alecheconradninje61836 ай бұрын
Kaka Msechu weka wazi ndo taaluma ya mkeo kasoma Ardhi university ana degree kali mnooo😂
@user-qy4vz9tr5n6 ай бұрын
Big up Msechu , you were focused . From +254
@felistersanga42077 ай бұрын
Mjengo wako naukubali Sana msechu big up mama Lolo
@iddimngazija19576 ай бұрын
Binafsi nimevutiwa sana na nyumba ya msechu ingawa mwijaku nae katu nyoosha🙌
@dicksonmutabazi19667 ай бұрын
Msechu kaongea vyema sana, sisi wataalamu wa ujenzi tumemuelewa.
@hawamsangi55906 ай бұрын
Huyu mwijaku nilimbukeni kubali nyumba ya Msechu ina mvuto Hilo ghorofa lake sio standard . Hiyo bathroom tiles za mchina alafu the bathroom is big for nothing kaweka SINK jeusi choo cheupe daah. Peter Msechu is also interior designer tena international designer hiyo ni talent yake. Big up Msechu that is a good house and classic.
@lightnesselirehema14646 ай бұрын
Hongera sana Msechu nyumba yako nzuri sana nimeona kwa nje tu hiyo garden na garbions zimepandisha thamqnivhiyo nyumba sana
@rerisamba7 ай бұрын
Lakini. Nyumba ya Msechu imekaa na msingi mzuri
@ritapiusnicolaus70687 ай бұрын
Nimeuchukua ushauli wako🙏Hongera sana msechu
@leaherasto9296 ай бұрын
Nikweli nyumba nifinishing. Msechu nyumba yako nzuri sana Finishing nigharama sana pia Mwijaku honger kwakujenga utakuja kukarabati miaka ijayo
@deusntobi66827 ай бұрын
Busara zimefunika ufaham wa msechu. Hongera kwake kwa kujitambua kiasi hicho
@abedysteven49307 ай бұрын
Af pia nyumba ya mzechu Ina gharama kubwa kuliko ya mwijaku!
@deusdedithjoseph75886 ай бұрын
Safi Sana brother una akili sana msechu nafurahi muno kutupa moyo
@othumanomari15897 ай бұрын
Congratulations bro kimfaacho mtu nicheke nahakuna kitukibaya urichokitafuta kwa jashorako💪💪
@Sidrasidra6367 ай бұрын
Kusema kweli mi mwenyewe nyumba ya mwijaku siku yielewa japo nami sina 🫠 bora ange jenga nyumba ya chini ya maana
@RaymondNjengo-bq1zc7 ай бұрын
Kiwanja kidogo cha Mwijaku kujenga nyumba ya chini,ndio maana kajenga ya juu ili apate nafasi
@user-tt1nm9xs4n6 ай бұрын
😅😅😅😅
@alexsuleiman37957 ай бұрын
Safi sana msechu umeongea kama mwanaume
@piterfedrick46473 ай бұрын
Hongera sana peter na asante kwa kutufundisha vijana
@hajjiomary23836 ай бұрын
Big nimekupata umejielewa sana
@fredrickmichael23176 ай бұрын
Huyu chagga Ana uelewa naongea ukweli si kupata sifa..nyumba ya msechu ina kiwango ina dhamani zaidi
@1stladyafrica4026 ай бұрын
Msechu ni Mpare sio mchaga
@jaymapepefatma59367 ай бұрын
Yani wa Bongo kila kitu munacho fanya lazima mukipost kwenye media😢😅😭 this is love from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@dorahmushi-we6ts4 ай бұрын
Wanahamasishana, Kwa hili litawakumbusha vijana kushindana ki maendeleo na sio kujirusha wapi na nani, mrembo yupi au kapangisha nyumba ya gharama Gani na maeneo Gani! Vijana shindaneni kumiliki vitu kama hivi.. Hongera sana Msechu, Hilo umeitoa hapo ni darasa kubwa.
peter msechu umeongea ukweli kabisa ata me najenga naona ela jinsi nnavotumia ela mwijaku muongo peter yupo saii
@RodriguezOdhiambo6 ай бұрын
Akili kubwa SANA mwanangu...hongra Petermsechu
@ismailjuma61856 ай бұрын
Kaka ww ndo muanzilishi wa hili battle la ujenz wa nyumba big up umetu inspire sanaaa kaka asant saaanaaa
@odoieriasmonga65917 ай бұрын
Msechu umeongea pointi safi sana
@cymioncassian48466 ай бұрын
Msechuu nmekuelewa sana tena mno,maneno Unayosema yamenif undisha sana,mimi mwenyewe kibanda changu nmeanza kujenga 2019 mpka leo sijamaliza na sio nyumba ni kibanda cha kuepuka kugombana na wenye nyumba mjini hpo,tuache sifa mnatakiwa mseme Ukweli ili sisi tujifunze kutoka kwenu,
@jacquelinemwakasala95637 ай бұрын
Peter umeongea point sana yaan hubabaishi
@gidixgillogillo33594 ай бұрын
umeniinspire sana brother msechu sana yan sjawai kua inspired namna hii. nami ntajenga zaidi ya hii
@KSACTV6 ай бұрын
FROM KENYA NYUMBA YA MSECHU NI KALI SANA KWA WASANI WA TZ VERY DETAILED
@Allyabdalah-oj2wc7 ай бұрын
Very matured
@AbuubakarMfinanga3 ай бұрын
Dah kwel yupo vizur mashalah
@saadarashid81746 ай бұрын
So so true 👍 nyumba hujengi siku moja
@zawadichalale40477 ай бұрын
Nyumba kujenga taratibu ndio inakuwa nzuri coz unadisaign taratibu na kwa uwakika na kupata material yauhakika unakuwa na mda mzuri wa kuchagua
@ScopionScopion-zj9cd7 ай бұрын
nyumba ya mwijaku haizid mlion 500 iyo bi,1.3 akawambie wamasai
@tingathebest6 ай бұрын
Asante peter msechu umetufundisha sana❤❤❤❤❤
@user-yq4sn6cq1l7 ай бұрын
Wewe unabusala saana kaka msecu safi sana
@sabokoMAILA7 ай бұрын
Point sana msechu
@aluneanthony34686 ай бұрын
Dah meschu big up
@righitkileo7 ай бұрын
❤❤point .❤❤ila hiyo nyumba ya Mwijaku ni ya kawaida sana. Hiyo qarama anayoisema hamna.kama.kiki labda sawa.kawaida sana
@rynerlinuma84847 ай бұрын
Gharama aloitaja Mwijaku ni kikombelezo tu
@mussaally14997 ай бұрын
Very positive
@MohammedMohammed-uo5sk7 ай бұрын
Msechu anaongea facts
@aishatest44516 ай бұрын
Asante Sana kaka
@floramwakyosi92986 ай бұрын
big up sana Msechu
@yusuphkanyuza19746 ай бұрын
Safi sana kaka kwa ushauri wako mzr
@user-hl9xu4vo1q6 ай бұрын
Msechu yupo sahihi sana, nyumba yangu ilikua naijenga haraka sana, inabidi niturie ili nifanye kitu kizur zaidi
@naimasbuguza23957 ай бұрын
Msechu yko real sannnah.
@MohammedMohammed-uo5sk7 ай бұрын
Msechu kwa kweli Mwaka mmoja kujenga nyumba na hela ipo... unaweza jenga nyumba hata mwaka ni mwingii sana .
@edsonDR_906 ай бұрын
Nyumba nzuri hata kama una pesa ya kutosha atleast kuanzia mwaka
@beatricemrisho84317 ай бұрын
Big up msechu
@peternyambui74927 ай бұрын
Safi sana!!
@Truly_Afrikan6 ай бұрын
The big brain talking points
@duncanwanjeri65007 ай бұрын
Oyaaa nairobi
@robertevarist15956 ай бұрын
Wasanii wote wangeishi ktk ukweli km Msechu, Jamii ingeelimika sana kupitia Muziki wao na Maisha yao binafsi
@ChiefKisensiOnline6 ай бұрын
Fact ☝🏾👍🏿💪🏿
@moseskulola69137 ай бұрын
Sijawahi kumusikiliza uyu jama peter .ina ni mtu anaakilizake timamu .anaogeha jambo lamahana sana ku usumaisha .kwanza nyumba yake kalisana tena sana Mimi naishi cape town .kuishi kwenye nyumba ya chini dio utajiri gorofa ni style zakimaskini sikuizi matajiri wote wanaishi kwenye nyumba as chini kama nyumba ya peter msechu ...kaka peter usiwe najibu kama ule mwijaku chizi ule .sio muzima ..
@user-yw1rq3xj1q7 ай бұрын
Umenene hapo kakaa🎉
@starjay30527 ай бұрын
ata mimi mtani kwangu watu wamejenga magolafa ila me yachini na boma tu ahabali wanayo ✌️💯💯 ipo ivo mwijaku kaongea uwongo me boma mbaka nimekamilika na ni bola la viumba vi 4 ila nimetumia milioni 6 mbaka leo mwijaku muongo
@user-yj5sz9tl2b6 ай бұрын
salute kaka uko wazi bro
@kekiplus1andonly6 ай бұрын
Ooooh kumbe maneno alianza mwijaku 😂😂😂😂😂peter msechu achana na mambo ya mabishano,sio style yako. bora mtu una nyumba jamani ...kwani ni mashindano😮😢🙄🙄🙄
@user-bi3fw7li3p6 ай бұрын
Well said
@clarencendyetabula30806 ай бұрын
Msechu big up umeiongea ukweli mzee ila wale wa makele tunajua wanachikilenga.
@hawamsangi55906 ай бұрын
Nyumba ya Msechu ni nzuri na thamani.na very stand very organized tiles zake ni za Spain sio mchina garden nzuri .ghorofa ya mwijaku ni wingi wa matofali sir nzuri
@johnmalembo64646 ай бұрын
Bro uko sawa kabisa ..busara
@ruu65926 ай бұрын
Msechu nyumba yako nzuri sana
@Muuzambuzi7 ай бұрын
Safii msechu
@musamalabeja36706 ай бұрын
Umetisha mkuu, umeongea Kwa data
@benedictinelusambo0697 ай бұрын
Kaongea point sana
@zerochanneltanzania37976 ай бұрын
Hapa ndo utajua kuwa #mwijaku sio mpenda naendeleo kwa wenzake…na elimu yake haijamsaidia chochote. Uwezi kaa mbele ya chombo cha habari ukazungumza shiti… 1.3 billion. “Unaijua ??????” Peter msechu anaongea ukweli..na utainspire vizazi na vizazi. #mwijaku ropo ropo tu…
@raimajimoto11227 ай бұрын
Point
@AhimidiweMchau2 ай бұрын
Kweli kabisa brother
@robertmsigalla92596 ай бұрын
Msechu unaongea kikubwa sana kaka❤
@user-ib7kn6fs4x7 ай бұрын
Hata boss wa doto magar ilisifu nyumba ya peter
@DM_156 ай бұрын
Kweli kabisa finishing yake ni beirahis sana mimi kama mjenzi nina experience hio
@annasalum47006 ай бұрын
Anaongea vizuri sana msechu haropoki yani .
@lucienkalombo85016 ай бұрын
Nakubali kaka
@user-ks9ic7ss5x6 ай бұрын
Big up mwijaku
@Kissarop7 ай бұрын
Mwijaku.I think is crazy person
@babanadia32017 ай бұрын
Mtu ambae hajawahi jenga ndio anaweza kukubali hiyo garama ya 1.3bl lakin ukweli huo mjengo hauwezi zidi 300ml
@Dianamwansasu7 ай бұрын
Wewe ujenzi gharama zake unajua wewe
@najmasalim-rg6ow7 ай бұрын
@@Dianamwansasuhaizid ml 350
@jwisetv48337 ай бұрын
Co kweli mzee nawewe hujajenga 300 ni ndogo sana kwenye ile nyumba
@elizampayo40577 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@rikekikonyo22657 ай бұрын
@@DianamwansasuNyumba ya bil 1 unaijua wewe?
@GilgariMinistryTanzania7 ай бұрын
Nice
@rahelmasamu34906 ай бұрын
Hongera msechu unamaneno mazuri
@elbaricktv16327 ай бұрын
Afu nikweli nyumba ya mwijaku ni vyumba vilivyobebana TU sio gorofa😂😂😂