Brilliant...huyu angepewa support angeendeleza fani yake na ingesaidia kukuza uchumi wetu wa viwanda.Dogo yuko vizuri mno
@yohanalaiser26674 жыл бұрын
Ukiangalia impact ya kiuchumi na kimazingira ambayo hii project itakua nayo, huyu brother anahitaji pongezi na support ya hali ya juu. Asante AYO TV kwa kuchimbua madini
@oswardwagaya93335 жыл бұрын
hahaha wakati bunge linatoa support kwa piere linasahau vitu vya msing hahaha love u tz
@majosamalundi40165 жыл бұрын
Piere niwakatiwake usihofu
@ahmadsimba21435 жыл бұрын
kwelii MWANANG Osward wapuuz xn yan!
@devidpanja1155 жыл бұрын
piere ni muhimu sana kwa nafas yake
@SafeHaven_TV5 жыл бұрын
Wabunge wengi si wasanii tu,wewe hujui bro??
@mymussept36624 жыл бұрын
Eee bwana
@swahiliupdates30515 жыл бұрын
Safi Sana amejieleza vizuri Sana Rfu kila kitu ameweka wazi . AMAZING .....
@fathermore97725 жыл бұрын
ivi kuliko serikali kuendelea kuruhusu pikipiki kutoka China kuingia nchini kwanini wasiwape hawa vijana mtaji na vifaaa watanzania tukaendesha vyakwetu ...ingeokoa sana pesa ,kuepusha uchafuzi wa mazingira na pia ingeokoa maisha ya watanzania wengi dhidi yaa ajali ...
@gabrielaniseti15374 жыл бұрын
AFRICA NA TZ INAWEZA KABISA KUJITEGEMEA, SERA YA MWL.NYERERE ELIMU YA KUJITEGEMEA, EDUCATION FOR SELF RELIANCE. HONGERA SANA KIJANA
@ipyanamtafya5567 Жыл бұрын
Safi sana kaka Ombi letu serikali wawezeshe wazalendo wabunifu Pia nakupongeza mwalimu kwa kuheshimu mawazo ya kijana ambayo ni lulu kwa nchi yetu.
@doryjeremy98495 жыл бұрын
Ongera sana my brother kaz nzuriiii sanaaaa
@stephenwairegi49694 жыл бұрын
Hongera kaka .mimi mkenya nakutakia mafanikio
@godwin63254 жыл бұрын
Weka bei boss, hii huhitaji kusaidiwa mtaji au kusoma zaidi hapo hapo umetengeneza Kitu kimoja amazing... Weka bei mtu anaetaka atalipa ndiyo gari itengenezwe
@naybakari34905 жыл бұрын
Tanzania ni nchi pekee inayovipaji ila sasa serikali yetu aijali inawekeza kwa wasanii tu 😆😆😆 big up sana bro
@rahmakimario46405 жыл бұрын
serekali haihusiki
@naybakari34905 жыл бұрын
Sasa kama aiusiku iyo serikali mbona inawasaidi wasanii waimbaji na wacheza movie au auoni ?
@naybakari34905 жыл бұрын
Serikali inapoteza pesa nyingi sana kuwa saidia wasanii wacheza movie kuliko watu kama ao wenye vipaji vyakuingiza pesa Tanzania
@sabinaonline65755 жыл бұрын
@@naybakari3490 kweli kabisa sijui kwanini hii serikari haiangalii na vipaji vingine kama hivi
@naybakari34905 жыл бұрын
@sabina online yaani ndio tunapokesea apo watu wanashindwa kuwasaidia watu kama awa jmn
@yahayatemu18584 жыл бұрын
Hongera kwa ubunifu wako, kwakua nzuri garihiyo kama hueki mafuta na baadae inawezaikawa inajichaji yenyewe, ukovizuri. Hongera kijana.
@qualiamaxwell63054 жыл бұрын
congrats broooo much support ...from ARUSHA TECHNICAL COLLAGE....
@jamesnteleva70735 жыл бұрын
Hongera sana mdau...!!! Kongole sana kwako, na wote waliotoa support kwa ubunifu wako. Natumai serikali haitapuuza kazi yako. Bravo...!!! 👏🏽👏🏽👏🏽
@josephkivuyo57122 жыл бұрын
Huyu alifanya vizuri. Kabla ya Masud kipanya, Lakini kwakuwa haikuendelezwa angalia Masud kipanya anaenda mbali zaidi. Na huyu anaelezea vizuri sana, kitaalam hatua kwa hatua.
@adkajisi45362 жыл бұрын
TESLA IN TZ BRAVO BRO
@charleswaraka8212 жыл бұрын
Hongera sana kamanda
@bilalbisama37265 жыл бұрын
HONGERA SANA KAKA ........ALLAH BARIKI TANZANIA NCHI YANGU
@emmarouben40025 жыл бұрын
Hongera sana kijana mwenzetu nimejifunza kujiamini na kuthubutu katika wazo na kushirikisha watu sahihi hadi kufikia hatua hiiii.
@simonpadon64584 жыл бұрын
Hongera sana bro!! Tatizo umezaliwa bongo!! Ungekuwa mbele ungeendelezwa
@andrewwoiso55595 жыл бұрын
Big up saaana woote kwa kazi nzuri
@stevebupamba50094 жыл бұрын
Tanzania ...bora itajengwa na wasomi, Hongera kwa kuthubutu na kufanikiwa# Nakupongeza sana brother...elimu yako imeonekana ktk uhalisia.Hiki ndicho kinachotakiwa.
@fredkayanda11515 жыл бұрын
Kazi nzuri sana Ndugu yangu Gab.naamini utafika mbali
@aliyahya78854 жыл бұрын
Mm nakupa zaid ya hongera
@nashonpeter18815 жыл бұрын
pamoja saana classmate Mtatiro Boniface hongereni saana kwa hatua hii mungu awatangulie hakika taifa linawategemea saana
@funnyVids_0013 жыл бұрын
Tafadhal naomba unisaidie namba ya huyu kijana.. 🙏
@ritchiexanti95875 жыл бұрын
Nice... Haya weka electronic speed controller kisha build app ili uweke tablet hapo mbele badala ya hzo manual switches na hcho kidisplay, gearbox muhim na pia tafuta namna ya kufabricate body kwa material nyepesi na mwonekano mzuri utakaoendana na aerodynamics.... Otherwise good idea and good luck...
@st99ngeni355 жыл бұрын
Mpe mawazo afanyeje. Nashauri tatuta namba yake mzungumze umpe mchango wako maana nakuona una mawazo mazuri
@yohanalaiser26674 жыл бұрын
Ritchie Xanti nakuelewa sana upogo honest....huyu brother amejitahidi sana. Elon Musk alipewa mkopo wa mabilioni ya dola na serikali yake ya marekani kwaajili ya mradi wa magari ya umeme kama haya (TESLA). Mi nampa big up ! Anahitaji support.
@ibrahimkambi92885 жыл бұрын
Big up your so great. Halafu ndugu zangu hicho chuo ni cha serikali so fungu lilotumika hadi hapo ilipofika hiyo gari limetoka serikalini ni bora kupongeza WIZARA na Wakuu wa chuo husika kwa kutambua uwezo wa kijana mwenzetu na kumwezesha kuonesha uwezo wake wa kufanya jambo kubwa kama hilo kwa vitendo. BIG UP
@belovedson75015 жыл бұрын
Sio kweli raia hua wanatoa pesa zao za mfukoni bhana! Kama umefika chuo utakua unaelewa kama wamepewa na serikali au ni pesa zao binafsi zimetumika!
@chiefnorbertkangalu14035 жыл бұрын
Daa we noma sana big up
@boniphacebelius15444 жыл бұрын
bro nakubali sana hongera sana omba hili jambo lako lifike kwa uncle magu naamini utafanikiwa
@tatoorashedi1787 Жыл бұрын
Hongera sana kijana hiyo ndio Afrika
@raphaellissu71175 жыл бұрын
Big up sana brother ww ni mtaalam umeiva kabsa
@amnemkubwa73535 жыл бұрын
Masha Allah👌
@babadnyota7404 Жыл бұрын
Kipaji hicho is good man
@mezani7825 жыл бұрын
Idea nzuri sana. Inanikumbusha gari la kwanza la Mercedes Benz, Walianza hivi hivi..Look how far they are now
@fathermore97725 жыл бұрын
Millard ayo TV pia muwasaidie kufikisha ujumbe huu kwa mh.rais nyie uwezo wakupenyeza taarifa izi ikulu mnao tafadhalini sana fanye ivyo kwamanufaaa ya taifa hili mungu atawabariki
@alanusrespicius17965 жыл бұрын
Naamini wa ikuru wanaona yote sema wanapotezea tu. Kama walisema walikuwa wanamuonaona Baraka Magufuri mtandaoni. Hawajui kuwa technologia hiyo yaweza punguza changamoto ya usafiri hususani vijijini. Wao wanabenz sisi tunaenda kwa miguu.
@mamyrahima69135 жыл бұрын
Wow utafika mbaliii brooo😘
@ahmadsimba21435 жыл бұрын
Saf San! Allah Awatanguliee Aisee! bora Kujarib Kushndw kulik Kuach Kabixaa
@erastoselemani54435 жыл бұрын
Dah safi sana bro
@maarifaonline4995 жыл бұрын
Una uwezo mzuri wa kujieleza kwa maneno na vitendo kaka. Mungu akusimamie, na niwaombe Viongozi wa taifa letu muupe kipaumbele huu uvumbuzi ili dunia ifaidike nao kupitia sisi Tanzania. Ni akili kubwa. Big up mvumbuzi, NIT na wote tulio support!
@stevenmkisi9244 жыл бұрын
Umenibariki sana bro MUNGU akusimamie.... Mafanikio mema 🙏🙏🙏
@stevenjohn22384 жыл бұрын
Did you make the motor too!!?
@kimmtorobo38705 жыл бұрын
Good! Inatumia muda gani charge kuwa full?
@shabanikiwesi85882 жыл бұрын
Hongera sana
@zakamorash92103 жыл бұрын
Hongera sanaaa
@zuberimkuba23242 жыл бұрын
Hongera
@BONGOINMOTION5 жыл бұрын
Big up my bro
@kennedygurusya7525 жыл бұрын
Hongera sana bro.
@georgecharles31445 жыл бұрын
Safi saana 🇹🇿tunaweza saana
@valentinamussa42125 жыл бұрын
Hongera kijana
@TALLUBOY5 жыл бұрын
We jamaa upo vzl sana abal zako munaenda kiusomi sana
@geographyteacher.29615 жыл бұрын
Saafi sana..! Umeonesha utofauti sn ktk mfumo wa gear no engine nk hongera mno sema viongoz wenye madaraka hawana habar na hayo na wakiona utaitwa hoteli kubwa na kuzawadiwa jambo juice.
@fredrickmiyeye97853 жыл бұрын
we have ge geneous people
@gadielpaulo89255 жыл бұрын
safi sana pacha ushirikiano mzuri na ubunifu wa kutosha
@balyeemkalitz2924 жыл бұрын
SAFI Sana. Tanzania. Juu. Zaidi👏👏
@othumanmaulid74065 жыл бұрын
Good boy. Utafika mbali
@ismailmpenja43275 жыл бұрын
Bless man upo vzur
@Alkaburu2 жыл бұрын
Kama masudi kacopy na kupest hivi. Hongera Sana
@mutuachris5 жыл бұрын
Awesome
@ggmaths96364 жыл бұрын
Hiyo ni nzuri sana kwa ishu ya mazingira, hasa kwa vile haitumii mafuta ambayo hutoa moshi na kuchafua mazingira
@fathermore97725 жыл бұрын
niwashauri kitu nyie vijana tafadhalini sana fanyeni kila njia kushirikiana na wahadhiri wenu mkamuone mh. rais magufuli naamini kwa moyo wa rais wetu naanavyo penda maebdeleo atawapa surport nataifa litanufaika ...
@jumamkanjima26705 жыл бұрын
Safi sana kijana wangu mangu akuzidishie
@gwasaonlinetv87635 жыл бұрын
Safi sana ubunifu huu na vijana KAMA hawa waendelezwe
@godfreyelias81724 жыл бұрын
Very intelligent 🧠 bravo
@cantonaiddy92915 жыл бұрын
Big up dogo
@johnvenus75074 жыл бұрын
Hajatengeneza gari ameunganisha vyuma vya wazungu
@dullybrown36355 жыл бұрын
i love you guy
@raymrash5 жыл бұрын
Dah Mungu Asante sana kwa vipaji hivi
@jaysally13795 жыл бұрын
co kipaji mkubwa, just better education from National Institute of Transport
@raymrash5 жыл бұрын
@@jaysally1379 wako vizuri kiasi hiko!!???
@jaysally13795 жыл бұрын
Fanya ziara NIT siku moja uje ujione vijana wanavyo create vitu kw kutumia elimu pmj na ujuz wanaofundishiwa
@isakajunior48735 жыл бұрын
@@jaysally1379 hivyo vyuo serikali inatakiwa iwekeze hela ya kutosha, mm nimesoma technical schools, nimegundua elimu ya kujifunza kwa vtendo ndo yenye faida kwa dunia ya sasa iv, ya makaratasi kuna wazee wameng'ang'ania ofisi na hawataki kuwapisha vjana ila ukiwa na ujuzi wako mkononi unaweza kujiajiri na life likasonga
@aizaamsuya99665 жыл бұрын
hongera sana kaka
@robinsonmaserele23703 жыл бұрын
Safi sana
@kaismwambona98603 жыл бұрын
Wabunifu Tz wasiwe kama yatima.serikali iifuatiliye China iko mbaali kwa ajili ya hawa wenye vipaji bunifu,si kwa usanii tu ndo Ubunifu.kwakuwa hao wanashiriki siasa za uchaguzi.
@LugomboMaKaNTa2 жыл бұрын
🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@remmymhalla33235 жыл бұрын
Good !!!!!
@kinyemkira56235 жыл бұрын
Tutafika mbali Serikali ikiwapa sapoti watu kama hawa. Hongera zako jamaa
@gervaskije43682 жыл бұрын
God bless
@twahaabdalla23045 жыл бұрын
Kazi nzur, hongera, mungeweka na namba y mawasiliano unaweza kutusaidia kama ss tunafikra za ubunifu ila tu nashindwa wapi PA kuanzia, kwa mfano wapi nitapata Mota inayotumia battery, vitu kama hivyo t ukipata mawasiliano wabunifu watakuja wengi, ahsante kutoka zanzibar
@iviejustified81095 жыл бұрын
Huyu akiachiwa anaenda kwa Elon Musk wa tesla USA... Jombaa ikiwezekana move around mtafute Elon Musk pia
@wilsonmichael11562 жыл бұрын
Inajichaji yenyewe duuuh! Hii gari ianze kuuzwa sokoni
@kiliantereba65022 жыл бұрын
Good
@salehemohamedi98659 ай бұрын
Genereta katengeneza maana si unajua umeme wa Tz 😂😂😂
@saidbabu91984 жыл бұрын
Well done.
@davycm97505 жыл бұрын
Welldone
@mukikibati35195 жыл бұрын
Good job keep going
@amonmhadisa61294 жыл бұрын
Ni mzuri but inatakiwa iwe na self energy ili iweze kutembea bila kucharge
@yamgrio38045 жыл бұрын
Safi Sana!
@mohamedhamdan49564 жыл бұрын
Nakubali mwanaaaA
@kasicorneli76454 жыл бұрын
Hongera sana kijana kutoka Wilaya Mbulu
@willybrown6415 жыл бұрын
Perfect!!
@jahshijaafari1505 жыл бұрын
Nyie endeleeni kumsifu yule mlevi liquid wakati wako wenye maarifa hamtaki kuwatambua
@khamisrajabu60824 жыл бұрын
Kweli kabisa
@venanceurasa74372 жыл бұрын
Namuona fadhli hapao nyuma
@fathermore97725 жыл бұрын
nakasirikaga sana pale ninapoona MTU mtanzania kabuni kitu alafu izo mmlaka zinasema hakijakidhi viwango ..alafu ukiangalia mifano ya viwango vyenyewe wanatolea kwenye vitu ambavyo vimeundwa na wazunguu yaani nayaonaga nimajitu majinga ulimwenguni hakina ..inashindikana nini kuwa na vyakwetu visivyo fanana viwango naivyo vyao mnavyo tolea mifano mpaka mnakwamisha watu nakuwakatisha tamaa ....nilini tutatengeza chetu natukaacha kutolea mifano ya viwango ivyo mnavyo tolea ....nani katuloga jamaniiiiiii...
@tarimetv66955 жыл бұрын
father more usalama kwanza kaka
@jaymbeo51555 жыл бұрын
father more moses kulola
@gloryswai25534 жыл бұрын
Safi sana,hii ndo nchi ya viwanda
@TheWorshipIntimacy_Joshua.O.R.5 жыл бұрын
Wow
@shahamtindo5 жыл бұрын
Tutafika tu... Inshallah
@eliamwalukisa41735 жыл бұрын
Iko vizurii
@damasmaleo48455 жыл бұрын
Weka na bei tutanunua haraka coz aihtaj mafuta inatufaa sana watu wa chni ya dial 5
@chinaomy1305 жыл бұрын
Huyu jamaa apelekwe ikulu akaonane na magu.
@kelvindavid42714 жыл бұрын
Kubalii sanaa
@calvinmorgan665 жыл бұрын
Hatimae nmeiona gari LA rodi lofa daaah
@wilsonmichael11562 жыл бұрын
Waungane na Masudi kipanya sasa
@issaomari72774 жыл бұрын
Daa kweli weka solar hapo kazi imeisha tuwaamini wanaweza Sana
@shabanimbenu21633 жыл бұрын
Kongore kijana kwa ubunifu naimani serekali inakuona na itakupa msaada wa hali na mali.