MWAMPOSA ATAJA VIGEZO UKITAKA AKUOMBEE PRIVATE "NAUZA MAFUTA YA UPAKO, MAJI, JAMBO NYETI NJOO"

  Рет қаралды 129,869

Millard Ayo

Millard Ayo

26 күн бұрын

Пікірлер: 698
@GraceKazi-z8d
@GraceKazi-z8d 23 күн бұрын
Huyu baba ni habari ya Dunia ! Mungu akuongezee hekima Mtume,kupitia ww Mungu amenitendea vingi sana. Amen
@dorahwillson1807
@dorahwillson1807 21 күн бұрын
Tupo wengi yaan abarikiwe saana
@anevelymkambi5389
@anevelymkambi5389 20 күн бұрын
Kwa nini hufundishi masomo ya uzima wa milele? Kwa maana Hao watu hata wakipata miujiza, lakini ipo siku watakufa. Lingine washirika wako mbona wanashika watu uchawi. Nisaidie sielewi hapo!!!!!
@trophywilson7211
@trophywilson7211 17 күн бұрын
siyo habari ya Mbingu ni ya Dunia
@user-ez9qc2jo1x
@user-ez9qc2jo1x 15 күн бұрын
@@anevelymkambi5389 hata hao wanaosifia ni watu wake maandiko yanasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
@regnaldkessy8793
@regnaldkessy8793 14 күн бұрын
@glorymanga3650
@glorymanga3650 24 күн бұрын
Kamaa hujawahi kupata matatizo ukasaidika na huyu baba kamwe huwezi kumwelewa.... Nakupenda sana Apostle na Mungu akutunze zaidi❤❤❤
@user-yb3kx5gw7f
@user-yb3kx5gw7f 20 күн бұрын
Kama hujawahi kupata matatizo ukasaidika na Mungu kupitia watumishi wake huwezui kuwa kuwaelewa sio wao wanaoponya bali ni Mungu
@Thisisgrace979
@Thisisgrace979 14 күн бұрын
​@@user-yb3kx5gw7f upo sahihi sana, ni Mungu ty, ila unamkuta mtu anamuabudu mtumishi wa Mungu kuliko Mungu mwenyewe
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 11 күн бұрын
​@@Thisisgrace979😂😂😂😂😂hatar
@user-cp2do9pd5k
@user-cp2do9pd5k 24 күн бұрын
Mimi sisalali kwako lakini sisubutu kumtukana mtumishi wa Mungu kama anadanganya hayanihusu mimi ninachojua anaponya kwa jina la yesu ole wako unesubutu kumtukana mtumishi wa Mungu
@iamnick8547
@iamnick8547 22 күн бұрын
Nilikuwa namsema vibaya sana huyu mtumishii ila kuna siku Mungu alisema na mm kupitia mtu juu ya huyu mtumishii aisee niliomba tobaa kwa machozi nikasema sitarudia kuongea jambo lolote kwa mtumishi yoyote wa Mungu
@evalineemmanuel8178
@evalineemmanuel8178 21 күн бұрын
kwakweli ujui mtu anapatano ghn na mungu tusihukumu wacha mungu aonae sirin ndio ajuwaye yupi aliemuit nayupi aliejiita mwenyewe
@happyalexander9580
@happyalexander9580 22 күн бұрын
Sikuzote wachawi ndo wanaowapinga watumishi wa Mungu coz wanaharibiwa mambo yao kwa upako Amen 😂😂
@pheymack6682
@pheymack6682 24 күн бұрын
Mwamposa una hekima sana kwenye kujibu maswali mungu aendeleee kukupa hekima zaidiiiii❤
@NMY-UInternationalMinistry
@NMY-UInternationalMinistry 23 күн бұрын
Amina
@iamnick8547
@iamnick8547 22 күн бұрын
Sanaaa this man he is so wise watu kumuelewa wanajizima data tu
@MariamKileo-mu8rv
@MariamKileo-mu8rv 22 күн бұрын
Vibaya mno kuna mmoja akihojiwa kwanza anaangalia kwa dharau na pia anaongea huku kaweka mikono mfukon
@eliadahmhina4125
@eliadahmhina4125 25 күн бұрын
Mm Mungu amenitendea mambo mengi sana makubwa,kupitia madhabahuu hii ,nasonga mbele
@fredykanju8811
@fredykanju8811 24 күн бұрын
Hivi ashawahi kuhubiri habari ya wokovu kweli au anatangaza tu miujiza.
@NMY-UInternationalMinistry
@NMY-UInternationalMinistry 23 күн бұрын
Amina
@NMY-UInternationalMinistry
@NMY-UInternationalMinistry 23 күн бұрын
​@@fredykanju8811uatilia mahubiri yake ni Moja ya watu wanafafanua Neno kinaga ubaga
@trophywilson7211
@trophywilson7211 17 күн бұрын
wewe songa ila Mbinguni utapasikia
@paulMlela
@paulMlela 14 күн бұрын
​@@fredykanju8811 Miujiza sio Habari za wokovu? Unamjua Simioni Mchawi wa kwenye kitabu cha Matendo ya Mitume aliokoka kwa sababu ya kuona miujiza, watu Wana matatizo una hubiri wokovu unamwacha bado karogwa huyo ni Yesu kweli? Yesu alikuwa anahubiri na kuwaweka watu huru.
@JonathanNtauta
@JonathanNtauta 25 күн бұрын
Injili ya kweli ni ile inayoanza kuziponya Roho zinazoangamia wala si kuuponya mwili tu kwa kuudanganya kwa vitu vizuri vya muda hapa iko siri Ajuwae Mungu wala tusihukumu tukaja kuhukumiwa.
@abelmbata37
@abelmbata37 25 күн бұрын
@@JonathanNtauta anaeumwa mwili ni ngumu kupona roho. Mwenye njaa anahitaji chakula ndipo umpe neno la Mungu. Asiposhiba hata uongee vp hakusikilizi hata Mungu anajua hilo ndo maana Yesu alifanya kazi kubwa ya kuponya miili ya watu
@RobertsonNandime-eo9fp
@RobertsonNandime-eo9fp 25 күн бұрын
Umeongea ukweli mimi nilikuwa mtu wa Dunia nikafatilia mtumishi aneitwa Bishop elibariki sumbe nikwa na hofu na Mungu kwanza ndio nikaacha tibia mbaa unalolisema upo sahihi
@DativaMbowe
@DativaMbowe 25 күн бұрын
​@@RobertsonNandime-eo9fp sijaelewa kwa sumbe ulivuna nini?? Kwamini kwa sumbe nilivuna kikubwa mnoo namshukuru mungu sana
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 25 күн бұрын
​​@@abelmbata37kakwamia nani ni ngumu😂 muujiza yesu alifanya kwa wakati wake ila the news was Ufalme wa Mungu
@abelmbata37
@abelmbata37 25 күн бұрын
@@richardcastromzena5136 kama rahisi nenda kawaambie wale walio hospitali watoke waende kuhubiriwa injili maana wanatakiwa kupona roho. Uponyaji wa roho unaanza na utayari wa anayeponywa nani aliye tayari kuhubiriwa injili akiwa ana maumivu? Mwenye uwezo huo ni yule aliye na roho wa Mungu ndani yake. Hata Yesu alipoletewa wagonjwa hakuwahubiria kwanza bali aliwaponya ndipo alipohubir habar za ufalme. Hata wachungaji tulio nao wakiumwa wanaenda hospitali hata kama ni siku ya ibada huo ndio ukweli. Waru wengi hatufaham uponyaji ni sawa na kuhubir maana wapo wanaomwamin Mungu kupitia watu walioponywa. Hata watu walijaa kumsikiliza Yesu na kumwamini kwa miujiza aliyoifanya.
@geitandelwa299
@geitandelwa299 25 күн бұрын
Mafutaaaa majii haaaa mbunguni ni mbali tutubu dhambi na kuacha baada ya kifo ni hukumu. Mmhhh MUNGU AIKUMBUKE TZ
@user-gu3ol1rv8g
@user-gu3ol1rv8g 24 күн бұрын
Umeongea kitu cha maana mpedwa
@tiffanykerubo5327
@tiffanykerubo5327 17 күн бұрын
Thank you so much apostal My God bless you ,through your ministry i and my family we are nolonger the same the Jesus you have has changed our life for good we love you
@florabuzoya3948
@florabuzoya3948 24 күн бұрын
May God Keep on blessing you true Man of God🙏🏿Huna baya Baba yetu mpendwa ,umeokoa Wengi mno ndani na nje ya Nchi,Mwenyezi Mungu azidi kukuinua na kukubariki sana sana.
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 22 күн бұрын
Mtumishi anasaidia wengi sana sababu huwezi kusema kwamba watu elfu tano wote wakose akili kumfata mtumishi ukiona una akili za hivo ujue hujakutana na matatizo barikiwa sana mtumishi 🙏🙏
@manswetitsuut
@manswetitsuut 22 күн бұрын
Soma biblia Mathayo 24:15-30
@lawrence-xk1km
@lawrence-xk1km 19 күн бұрын
@@manswetitsuut sasa mbona ulichojibu hakiendani na andiko ulilosema wasome?
@manswetitsuut
@manswetitsuut 19 күн бұрын
Sorry nime note vibaya
@AishaThabit-yr4mn
@AishaThabit-yr4mn 13 күн бұрын
Hunabaya mwamposa wet tunazidi kukuombea mungu akupe maisha marefu uzidi kutufungua
@GraceMwazembe-fu8js
@GraceMwazembe-fu8js 21 күн бұрын
Mtumishi mungu akuongezee siku za ishi hapa duniani unaokoa wengi na unaponya roho za watu kwa kupitia jina la yesu
@dorahwillson1807
@dorahwillson1807 21 күн бұрын
Abarikiwe saana
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 20 күн бұрын
Asante Yesu kwaajili ya mtumishi ulietupa ninatembea kifua mbele chini ya Upako wa Mungu alie hai,glory to God🙏
@Ushashi26
@Ushashi26 18 күн бұрын
Duh hahahahahah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ooooh hah😂😂 haha aahhaah 😂😂😂oouuhuuuhahaa wajinga ndiyo wakowao haah😂😂huuuu
@user-ez9qc2jo1x
@user-ez9qc2jo1x 15 күн бұрын
unaushaidi gani Yesu kakupa huyu?
@noahchepe8036
@noahchepe8036 23 күн бұрын
Siandiki kitu😮 maana watu wanafoka tukikosoa miujiza ya. Maji na mafuta😂
@vero57
@vero57 6 күн бұрын
MUNGU akupe maisha marefu mtumishi mwamposa, asante sana baba kwa kutukomboa 🙏🏾🙏🏾
@amanmalima940
@amanmalima940 24 күн бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana<a href="#" class="seekto" data-time="846">14:6</a>, Warumi<a href="#" class="seekto" data-time="609">10:9</a>-10).
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 25 күн бұрын
Bwana Yesu alitumia neno kumponya mgojwa wa yule akida, katika kitabu cha Mathayo <a href="#" class="seekto" data-time="485">8:5</a>-13. Alimwambia yule akida, enenda zako, iwe hivo kama ulivyoamini. Yule mgojwa alipona. Petro na Yohana walitumia neno la Mungu kumponya yule kiwete ambaye alikuwa anakaa mlangoni mwa hekalu, alisema nilichonacho ndicho nikupacho, simama uende zako, katika jina la Yesu Kristo, . Yule kiwete alianza kutembea vizuri. Matendo ya Mitume<a href="#" class="seekto" data-time="181">3:1</a>-9. Sasa mwamposa hii mafuta ya upako umetoa wapi? Watumishi wa Mungu hawatumii mafuta ya upako. Wanatumia jina la Bwana Yesu Kristo. Haleluyaaaa.
@ASANTEMAMAHERBAL
@ASANTEMAMAHERBAL 25 күн бұрын
Katika Marko 6:13, wanafunzi wanawapaka mafuta wagonjwa na kuwaponya. Katika Luka 7:46, Maria anatia mafuta miguu ya Yesu kama ibada. Katika Yakobo 5:14, wazee wa kanisa wanatia wagonjwa mafuta ya uponyaji. Katika Waebrania 1: 8-9, Mungu anasema kwa Kristo Anaporudi kwa ushindi mbinguni, "Kiti chako cha enzi, Ee Mungu, kitakaa milele na milele ..." na Mungu anamtia mafuta Yesu "kwa mafuta ya furaha".
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 25 күн бұрын
@@ASANTEMAMAHERBALhawezi kurudi huyu umempa nyundo kwelikweli
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 25 күн бұрын
@@Leeeeeeee-96 nisirudi? Acha ushamba
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 25 күн бұрын
@@ASANTEMAMAHERBAL mafuta inayozungumzwa hapa sio hiyo mafuta kama mafuta. Ni swala la uelewa tu. Ww bado ni kiongozi kipofu.
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 25 күн бұрын
@@ASANTEMAMAHERBAL Yakobo 5:14, inasema hivi, mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa, nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. Hapo hamaanishi mafuta kama mafuta, ila jina la Bwana ndio mafuta. Afu tafsiri nyingine ya mafuta bac ujue ni neno la Mungu. Oky? Kwanini umepotoka kiasi hiki? Yesu Kristo akusaidie. Amen.
@user-zx4zr3hc7y
@user-zx4zr3hc7y 17 күн бұрын
Huyu ni mtumishi wa Mungu kweli hakuna wakupinga na hata anayepingq anajua moyoni mwake
@JaneMwaipopo-i3s
@JaneMwaipopo-i3s Күн бұрын
Mungu azidi kukuinua baba ubalikiwe
@GodfridMbele-sb1ks
@GodfridMbele-sb1ks 25 күн бұрын
Maji, mafuta ndio nini uchawi, au unaagua, hakuna mungu hapo, hapo unapotosha watu
@johnsyonetz8323
@johnsyonetz8323 24 күн бұрын
Hivi kwanini watu wanaenda kuhijj macca na kwanini wanachukua maji ya zamu zam?
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k 24 күн бұрын
​@@johnsyonetz8323 have respect don't insult other people religion mind your business
@saleemsuleiman2220
@saleemsuleiman2220 24 күн бұрын
Bora wewe ni Mkristo lakini unae akili ningeandika mimi muslim wangesema sana😂😂😂🎉🎉
@GilgariMinistryTanzania
@GilgariMinistryTanzania 24 күн бұрын
@@GodfridMbele-sb1ks umelazimishwa kuangalia au kwenda mshamba ww
@jamesjoseph6825
@jamesjoseph6825 24 күн бұрын
Vipi kuhusu ndugu zetu na maji ya zam zam? Vipi yesu alivyomponya yule kipovu kwa tope alilolitengeneza kwa mate? Vipi kuhusu kwenda kunawa mtoni mara 7?
@dorahwillson1807
@dorahwillson1807 21 күн бұрын
❤❤❤naomba Mungu aendelee kukuweka kwa ajili yetu ubarikiwe saana baba yaan ❤❤❤❤
@user-kp7em6zt1g
@user-kp7em6zt1g 22 күн бұрын
Kweli apostle barikiwa baba tunafuraha kwa hajili yko tunapona na kufunguliwa 🙏🙏🙏
@GabrielMwamlima
@GabrielMwamlima 3 күн бұрын
Mungu amubariki sana mtumishi
@tuzakavera534
@tuzakavera534 21 күн бұрын
Huyu mtumishi ni wa kweli kabisa,ni mtumishi wa kweli wa Mungu
@stephenjoseph1322
@stephenjoseph1322 25 күн бұрын
Amazing how the whole message not a single mention of Jesus.
@bernardmushi4869
@bernardmushi4869 24 күн бұрын
JESUS IS HARMFUL TO HIS ALTAR.YOUR OBSERVATION IS VERY SPIRITUAL.THE BLIND DON'T SEE THIS!
@rockygappi1018
@rockygappi1018 24 күн бұрын
He was not preaching..but interviewed
@rockygappi1018
@rockygappi1018 24 күн бұрын
​@@bernardmushi4869...shame on you being a fake witnessed 😅😅speaking without evidence...he has been mentioning Jesus Christ in his altar a thousands times
@iamnick8547
@iamnick8547 22 күн бұрын
​@@bernardmushi4869usilitaje bure Jina La Bwana Munguu wako😂😂😂
@deograciakashaigili5973
@deograciakashaigili5973 22 күн бұрын
Ni hapo sasa!
@neemacocorico2022
@neemacocorico2022 24 күн бұрын
Mungu bariki mtume Mwamposa.Wengine mafuta ni Gali Sana na kumuona ningali Sana.Ila yeye ni bure.
@kelvinpius-ne9rz
@kelvinpius-ne9rz 5 күн бұрын
sisi tutaangaikia ufalme wako ee YAHWEH,YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai na ikikupendeza Mungu wetu hayo mengine tutazidishiwa , Asante YESU maana ni MUNGU hakuna kama Wewe,ni mwema, mpole na wala umhukumu mtu ila asiye liamini jina lako
@user-kg8dn6qr8o
@user-kg8dn6qr8o 25 күн бұрын
Ngozi nyeusi Shida hatutumi Akili kabisa Dini watu Saizi ni biashala ibada Nzuli Ni kufanya yaliyo Mapenzi Ya Mungu Vinana saizi wamejua wa kinga wengi mmoo paka wana kela
@user-im7wv1dn
@user-im7wv1dn 25 күн бұрын
Akil mingi
@AndreaHango
@AndreaHango 14 күн бұрын
Nyie watu, hamkumbuki maneno ya Yesu? Manabii wengi(sio wachache) watatokea duniani na kudanganya wengi ( sio wachache) maneno ya Yesu lazima yatimie. Kwa hiyo ya mwamposa na wengine wengi wao ndiyo wanaojua kama wanamtukia au la, Sisi wengine hatuelewi siku moja itajulikana tu. Ila elewa mahali dunia iko ni hatari kuliko kawaida.
@tfelician
@tfelician 11 күн бұрын
Uponyaji na miujiza ni products sikuhz 😂😂😂
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 4 күн бұрын
Usichukue sadaka tokakwa masikini😢😢.Yesu hakuwa hivyo
@user-xc7qj7ze7m
@user-xc7qj7ze7m 25 күн бұрын
Swala la muda tu ngoja inyeshe tujue panapo vuja
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 25 күн бұрын
Word
@goodneighbour2638
@goodneighbour2638 24 күн бұрын
Naunga mkono pia kauli hii
@SymonJon-o3q
@SymonJon-o3q 22 күн бұрын
Unacbria anguko lamtu bado aujaawa mtu mzima bado unahtaji maziwa
@ufahamuoriginal4092
@ufahamuoriginal4092 21 күн бұрын
Hakika ni suala la muda tu
@shaffihsiraji3141
@shaffihsiraji3141 15 күн бұрын
Unachukulia historia ya Babu wa roliondo😂
@BettyMsongole
@BettyMsongole 17 күн бұрын
Mungu akuongezee baba yetu miaka mingi akuzishie
@ciscojr2277
@ciscojr2277 25 күн бұрын
Unafanya biashara kwa jina la Mungu...Yesu hakuwa mjinga kufukuza wale wafanyabiashara sinagogi
@kelvinpius-ne9rz
@kelvinpius-ne9rz 5 күн бұрын
kati ya vitu ulivyovifundisha ee YAHWEH, YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai -mwenyezi Mungu ni kuangaikia mwili
@thaddeojude7511
@thaddeojude7511 25 күн бұрын
Wapo wapi akina Kakobe?wapo wapi akina Mzee wa Upako mpaka leo?na huyu naye atapita....watu wetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa.karama za Mungu huwa aziuzwi.bali karama za muovu zinapangiwa bei.
@iamnick8547
@iamnick8547 22 күн бұрын
Elewa alichosema 😂😂 hizo kopo za kuwekea majii unampaga wewe!? Yeye na waumi wake walikubaliana kuchangia hela ya kopo sio maji wala mafuta asa unaumia nini
@iamnick8547
@iamnick8547 22 күн бұрын
Alfu kijana Mwamposa umeanza kumskia leo au 😂😂😂😂 usifananishe na kina mzee wa upako....
@trophywilson7211
@trophywilson7211 17 күн бұрын
​@@iamnick8547Mafuta ya nini??Amuombe Mungu asitumie Maji au Mafuta
@trophywilson7211
@trophywilson7211 17 күн бұрын
​@@iamnick8547mmh Ndugu
@kelvinpius-ne9rz
@kelvinpius-ne9rz 5 күн бұрын
Ni kweli YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai ndo Mwenyezi MUNGU
@goodluckkiget6359
@goodluckkiget6359 25 күн бұрын
“Ikabidi Mungu anipe hekima” kweli watu wanopotea kwakukosa maarifa.
@abelmbata37
@abelmbata37 25 күн бұрын
@@goodluckkiget6359 we maarifa unayo? Basi wasaidie hao wanaoenda kwa Mwamposa ili waje kwako
@apostlej.rministiryprophet2219
@apostlej.rministiryprophet2219 24 күн бұрын
Unajuwa bei ya kuandaa hayo mafuta?
@joycefrances4516
@joycefrances4516 24 күн бұрын
We mjinga,mafuta yachangiwa sadaka ili ipatikane garama yakuandaa mengine,we nenda dukani ukachukue bure,ukatumie nyumbani kwako,nyie ndio mashoga mnaotaka vya bure,loh aibu,kaa kimya Mungu atakudhalilisha na uzao wako,uwe kichekesho,
@victorvenantkaigarula6255
@victorvenantkaigarula6255 24 күн бұрын
@@joycefrances4516 mmmh!
@Bambagatz
@Bambagatz 24 күн бұрын
@@joycefrances4516 Hili jibu ni kama mtu aliyepotoka 😂
@irenebeddah6524
@irenebeddah6524 24 күн бұрын
Ubarikiwe sana baba. Nakuelewa
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 24 күн бұрын
business kam business zingine 😂😂😂
@aminamzawa5630
@aminamzawa5630 25 күн бұрын
Munguu akulindee mwaposaaa
@GabriellaWiseman
@GabriellaWiseman 24 күн бұрын
Ee Mungu utuokoe kwa njia ya msalaba wako mtakatifu amina
@DanielAllys
@DanielAllys 24 күн бұрын
Mungu ampe maisha marefu sana mwamposa
@FatnaMfinanga
@FatnaMfinanga 25 күн бұрын
Wetapeli hunalote majibu yatapatikana
@HamzaMbasha-xs2ky
@HamzaMbasha-xs2ky 24 күн бұрын
Jamaa anawapiga sana wamama hela
@MarmasMarah
@MarmasMarah 16 күн бұрын
Namkumbuka sana akiwa Moshi Machame mianzini 🎉🎉kwa mzee massawe 😊😊
@user-im7wv1dn
@user-im7wv1dn 25 күн бұрын
Mwamposaaaa moto unakusubl na mganga wanu tunamjua uko nigeria paschal cassian mtumishi na mwimbaj anajua sana suala hilo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 BUKOBA TZ
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 25 күн бұрын
Na ww nenda Nigeria Kwa huyo mganga
@user-im7wv1dn
@user-im7wv1dn 25 күн бұрын
Mambo ya walawi,waefeso na nyakati hizi mambo zinaisha na mwisho wake mbay yuk wap Tb joshua wa nigeria kuna mtu aliwahi kukusanya umati km ule njoo uganda yupo kakande pia mwamposa cha mtoto ila the ending of dis is🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@samehewaliokukoseya2605
@samehewaliokukoseya2605 25 күн бұрын
​@@user-im7wv1dnISUUKUMU USIJE UKAUKUMIWA
@AGM19697
@AGM19697 25 күн бұрын
@@user-im7wv1dn Ingekuwa hivyo basi waganga wooote wangekimbilia huko. Maana pake kawe Vipofu wanaona, viziwi wanasikia, wasiozaa wanazaa, mapepo yanafikuzwa na vidungu vyoote kufunguliwa. Jina la Bwana litukuzwe
@nuruosward8161
@nuruosward8161 25 күн бұрын
Kichaaa ww Ww ni mganga ndio anawachoma moto na maombi mnakuja huku mnaongea pumba😂
@emlongetcha88
@emlongetcha88 19 күн бұрын
MCHAWI ORIGINAL, Mwenda KUZIMU.... MTAALAMU WA KAFARA TANZANIA
@maprosokelly2986
@maprosokelly2986 23 сағат бұрын
Pongezi hubiri baba watasema San majbu yako kwa mungu siyo kwa watu, ikiuma chomoaa injili isonge mbele
@kelvinpius-ne9rz
@kelvinpius-ne9rz 5 күн бұрын
umezifupisha siku zetu,miaka yetu ni michache, BWANA hatutauhangaikia mwili unaokufa kesho ila ufalme wako na watu wote ni watumishi wako ila kuna mashetani wala kondoo kati yetu ambao sehemu yao ni kwenye ziwa la moto na wao wanajua hilo,wakakufulu kwa kulitumia jina lako wakadharau damu yako pale msalabani na YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai uwaondoe na watu wote waone
@richardmbasha1411
@richardmbasha1411 25 күн бұрын
Wewe ni mfanya biashara kupitia Jina la MUNGU.. hakuna tafsiri nyingine..endelea kula hela za wajinga kwani imeshaandikwa "watu wanaangamia kwa kukosa MAARIFA" ni wizi tu.
@user-hy4zb3eg1z
@user-hy4zb3eg1z 25 күн бұрын
Kwan biashara ni dhambi.....foolish mind
@richardmbasha1411
@richardmbasha1411 25 күн бұрын
@@user-hy4zb3eg1z you're as brainwashed as everyone else.... bogus mind...
@sylivanusbernard3325
@sylivanusbernard3325 24 күн бұрын
Kwanini na ww usiifanye hiyo biashara mkuu,kaifanye uone utaingiza pesa kiasi gan
@NeemaEmmanuel-yl7dp
@NeemaEmmanuel-yl7dp 24 күн бұрын
Si ni bora anatumia jina la Mungu kufanya biashara kuliko nyie mnaotumia waganga. You gotta be reasonable
@GraceKazi-z8d
@GraceKazi-z8d 23 күн бұрын
Kafanye na ww upate faida Muraaa
@chamaibra5966
@chamaibra5966 25 күн бұрын
Kweli tanzania ndio nchi yenye wapumbavu wengi duniani
@chrisshonga
@chrisshonga 24 күн бұрын
Ha ha ha ha ha ha ha! hakika
@kelvinpius-ne9rz
@kelvinpius-ne9rz 5 күн бұрын
kweli bro, lakini huyu jamaa ashaamua kumtukana YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai -mwenyezi Mungu,ni ka shetani ka motoni
@AuletaDausoni
@AuletaDausoni 23 күн бұрын
Mungu akupe maisha malefu sana❤
@jullymwaikenda564
@jullymwaikenda564 23 күн бұрын
Mganga wako mzuri mm napokea upako, tuwaache waangamie kwa kukosa maarifa, Mungu akubaliki Sana mtumishi
@JonathanNtauta
@JonathanNtauta 25 күн бұрын
Tatizo watu wanaamini miujiza wala siyo kuamini kuwa Yesu anaponya hapa kuna siri nzito
@abelmbata37
@abelmbata37 25 күн бұрын
@@JonathanNtauta umejuaje kama hawaamini uponyaji wa Yesu? Kwani yesu si anaponya kupitia watumishi wake? Kwa hiyo walioenda kwa mitume akina Petro na Paulo nao hawakuamini kuwa Yesu anaponya?
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 25 күн бұрын
​@@abelmbata37anaponya bila watumishi
@imeldaalbert5328
@imeldaalbert5328 25 күн бұрын
Sasa yesu akikuponya hiyo SI ndo miujiza
@PrudencePaul-mr1ge
@PrudencePaul-mr1ge 25 күн бұрын
Changanoto ya Hawa watu hawajui miujiza ni nini
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 25 күн бұрын
Wakristo mtatuonyesha mambo kwani anaeponya ni mungu au yesu??​@@abelmbata37
@user-dn8ok2io4l
@user-dn8ok2io4l 24 күн бұрын
Tunao kuelewa tupo Mtumishi wa Mungu, sio lazima kila mtu akuelewe. Ndomana kuna imani tofauti dunian, ukristu wenyew umegawanyika -walokole,waingrikan,wakatolik,wasabato, mashahid wa yehova nakazalika...... Wanaoelewz na waelewe wasio elewa ba waacheee..
@japhetbukuru5300
@japhetbukuru5300 24 күн бұрын
Hata Yesu alifanya miujiza mingi zaidi ya hii ya Leo. Tatizo hujawahi pata shida wewe!. Siku utamtafuta TU mwamposa
@chrisshonga
@chrisshonga 24 күн бұрын
Aliyeandika NENO kuwa AMELAANIWA AMTUMAINIAE MWANADAMU ni nani mjomba wako?????
@charlietz7125
@charlietz7125 24 күн бұрын
We nae ni zuzu... so tukipata shida kimbilio letu ni Mwamposa na sio kupiga magoti ku muomba Mungu?
@user-cd9nd9wd5q
@user-cd9nd9wd5q 24 күн бұрын
@@chrisshongaYesu anaaminiwa ila watumishi wake kama huwaamin Yesu utamuamini 😂😂😂 ulitaka Yesu aje umuone
@kelvinpius-ne9rz
@kelvinpius-ne9rz 5 күн бұрын
​@@user-cd9nd9wd5q kila kitu kinamtumikia YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai-mwenyezi Mungu jamani sisi ametuonesha kwenye roho na mwili kuwa haka ni kapepo ka kuzimu
@TellaaxisTz
@TellaaxisTz 25 күн бұрын
The world icon🌍
@user-rb9pe8ip1e
@user-rb9pe8ip1e 25 күн бұрын
Kuna njia nyingi za uponyaji, tuwe makini sana kwenye kuwatuhumu watumishi wa MUNGU, Nabii Mtumishi wa MUNGU wa kweli Boniface Mwamposa ametusaidia wengi, Chondechonde muacheni msimvunje moyo
@fredykanju8811
@fredykanju8811 24 күн бұрын
Anasaidia au anawapoteza
@user-tc7lp2fb9d
@user-tc7lp2fb9d 24 күн бұрын
@@fredykanju8811 amekupoteza wewe na ukoo wenu 😏
@soothingnaturesounds1209
@soothingnaturesounds1209 24 күн бұрын
Imani huja kwa kusikia, kusikia neno la Mungu, mara nyingi watu wanaocomment vibaya, walisikia jambo kuhusu yeye ambalo si zuri, na bila kufuatilia wakasema ni kweli na kuendeleza sumu waliyoipata kwa wengine, Maana Chuki siku zote hupandikizwa, na wanaocomment vizuri walisikia, kuhusu yeye habari njema, wako hapa. wanaoamini na wanaopinga Amani iwe nanyi.
@moshially2543
@moshially2543 20 күн бұрын
Namshukuru mungu ameniponya kupitia huduma hii ya madhabahu yainuka uangaze
@SARAKAMBARAGE
@SARAKAMBARAGE 23 күн бұрын
Yupo smart kichwani.
@teresiafrancis8549
@teresiafrancis8549 12 күн бұрын
Be bless servant of JESUS
@francessimilanzi4545
@francessimilanzi4545 24 күн бұрын
Mungu anakwelewa na anakweshim sana baba uzidi kuinuka
@hellenmwayole8715
@hellenmwayole8715 24 күн бұрын
Mungu azidi kukuinua Mtumishi wa Mungu
@salumjabir813
@salumjabir813 11 күн бұрын
Watu weusi wanaangamia kwa kukosa maarifa...yan huyu ndo mtume wa kwanza kumiliki lodge😂😂😂😂
@mucky_perfume_store
@mucky_perfume_store 25 күн бұрын
Kaja na akili tu mjini 😂
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 25 күн бұрын
We akili unayo na hela huna😂😂😂masikini wa kutupaaa
@kelvinpius-ne9rz
@kelvinpius-ne9rz 5 күн бұрын
huyu jamaa anatumia jina la MUNGU kuleta uharibifu kwenye roho za watu,nalichukia hili li shetani, Asante YESU KRISTO wa Nazareth uliye hai kwa kunifunulia la sivyo ningekuwa kama wao wajinga
@kelvinpius-ne9rz
@kelvinpius-ne9rz 5 күн бұрын
​@@magrethmbuma3045 maskini ni nini? maskini ni kuwa mbali na YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai,sisi wakristo wa kweli hatuhitaji chochote
@IsaacLameck-nz8yr
@IsaacLameck-nz8yr 23 күн бұрын
Tapeli aliejipata Anakula vichwa vya watu 😂😂😂
@user-ji5go2jf6h
@user-ji5go2jf6h 22 күн бұрын
Na watatapeliwa sanaaa😂 mpaka wakome
@kelvinpius-ne9rz
@kelvinpius-ne9rz 5 күн бұрын
YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai -mwenyezi Mungu ametuonesha haka ni kashetani tukiwa katika roho na mwili
@IreneLyimo-l8o
@IreneLyimo-l8o 13 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
@RenathaElias
@RenathaElias 15 күн бұрын
Mungu akuzidishie baraka umenitoa mbali
@rizikiquelcinerizikiquelci2492
@rizikiquelcinerizikiquelci2492 25 күн бұрын
Kwa kweli mim nimekuja tz nimekuona bure kabisa, mungu akubariki zaidi mtumishi wa mungu maana nimeona muujiza wa mungu
@imanimussalacky3078
@imanimussalacky3078 25 күн бұрын
Ulitoa kwa mtindo wa sadaka
@godiegodie1336
@godiegodie1336 25 күн бұрын
​@@imanimussalacky3078sasa sadaka si kila dini inatoa sadaka 😂
@imanimussalacky3078
@imanimussalacky3078 25 күн бұрын
@@godiegodie1336 ndipo anapowapasua hapo unadhan apartment zake pesa anatolea wp, biashara hiyo
@kelvinpius-ne9rz
@kelvinpius-ne9rz 5 күн бұрын
hata shetani hutenda kama hayo,soma Ayubu soma ufunuo,atafanya mpaka moto kushuka toka mbinguni
@rizikiquelcinerizikiquelci2492
@rizikiquelcinerizikiquelci2492 4 күн бұрын
@@kelvinpius-ne9rz kwani mungu atendi muujiza au mungu ni maskini ? maana akitokea mtumishi wa mungu yoyote mungu kamuinua wanadam amkosi kumuhukumu
@GraceKazi-z8d
@GraceKazi-z8d 23 күн бұрын
Mungu akutunze Mwamposa
@mzumbesda
@mzumbesda 19 күн бұрын
Na waenende kwa sheria na ushuhuda ikiwa hawasemi sawasawa na neno hilo, bila shaka kwao hapana asubuhi..! Waambie watu watubu dhambi yesu anarudi. Habari za maji na mafuta na kuhubiri mafanikio peke yake ni injili iliyokinyume kabisa na neno la Mungu. Sasa kama maandiko yanasema manabii wa uongo watatokea mnadhani ni akina nani kama sio hawa?! Wachache sana wanaiona njia ya kwenda uzimani.
@Aginha235
@Aginha235 19 күн бұрын
Mungu akubariki baba
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 25 күн бұрын
Mzee una hekima sana Ktk kujibu maswali
@machakuroger7068
@machakuroger7068 25 күн бұрын
Kabisa
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 23 күн бұрын
Hekima ya kipepo na kuzimu.
@shadraachshadinho
@shadraachshadinho 20 күн бұрын
Kubali kataa haijalishi umetendewa jambo gani kupitia huyu mtumishi lakin ukweli ni kwamba hajaitwanna mungu kwa vigezi vya kibibilia
@laninjeje8290
@laninjeje8290 24 күн бұрын
Paschal casian mbona nae ni shoga tu ni hao hao tu wa shetani
@DianaLyimo-be7yp
@DianaLyimo-be7yp 25 күн бұрын
Nyie endeleeni kubwabwaja wenzenu tunaona mkono wa bwana kupitia mtumishi huyuhyu mnachelewa shauri en😂😂😂
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 25 күн бұрын
Time, usifute hii comment
@estermathias8354
@estermathias8354 25 күн бұрын
​@@richardcastromzena5136😅😂😅😅
@marcelinebyamungu3463
@marcelinebyamungu3463 24 күн бұрын
😂😂😂😂
@pceodhc
@pceodhc 25 күн бұрын
Hallelujah!
@farajamkuchu8458
@farajamkuchu8458 23 күн бұрын
Nikwer kabisaa nilikuwepo vatkan Bei tulitaja wenyewe nabarikiwa sana nawewe baba yangu Mungu akubariki sana
@NehemiaThobias
@NehemiaThobias 9 күн бұрын
Nikweli hakuna huduma ya bure waache wanao hitaji au wanao shikilia maandiko ya umepewa bure toa bure.
@kelvinpius-ne9rz
@kelvinpius-ne9rz 5 күн бұрын
ajabu kuna watu hata hawajui maana ya YESU KRISTO na wanajidanganya kuwa wameokolewa
@zulfafengu3783
@zulfafengu3783 24 күн бұрын
Ubalikiwe mtumishi wa mungu
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 4 күн бұрын
Acha kuuza maji na nafuta,lipa kodi
@njelenjetv
@njelenjetv 9 күн бұрын
Mimi sijawahi kwemda kwa huyu baba ila nimepona kupotia youtube tu yaani huyu ananguvu za Mungu kabisa jamani tusimchukulie powa
@edisonemmanuel-
@edisonemmanuel- 22 күн бұрын
Upako unauzwa??? Kama ulipewa na Mungu kwa nini uwauzie??? Si ulipewa bure toeni bure haiwezekani unasema eti Mungu alikupa mamlaka ya kusaidia watu sasa kwa nini uwauzie wakati you given free, sijaelewa
@user-df7xo5nu9z
@user-df7xo5nu9z 22 күн бұрын
Yan binadamu wa dunia hiii wakion tu mtumishi mzr freemason kwakwel kama anawalipa bas mm pia ningelipwa
@mwilemwasenga7066
@mwilemwasenga7066 25 күн бұрын
Ok
@happinessmosala2217
@happinessmosala2217 25 күн бұрын
Nakukubali mtumishi shida yangu ni haya mambo ya mafuta na maji mmmh😏
@FrankDavid-en6on
@FrankDavid-en6on 25 күн бұрын
Ndo Nini unapenda nyama hutaki mchuzi wake?
@augustinofifi
@augustinofifi 24 күн бұрын
Msikilize akifundisha na soma maandiko utamuelewa
@Stellastella-yi5vu
@Stellastella-yi5vu 25 күн бұрын
Shindwa kwa jina la Yesu, rikabato reee sikatelekaa, Ee Mungu tukomboe sis wanao tunaohangaishwa na matapeli wa injil
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 25 күн бұрын
Stella😂😂😂
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 25 күн бұрын
umeambiwa uende 😂
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 25 күн бұрын
😂😂😂😂Sawa Mungu
@laninjeje8290
@laninjeje8290 24 күн бұрын
Rikabato ree ndo Nini Kuma wewe, biblia imeandika walionena kwa lugha walikuwa wanaelewana na pia ukinena kwa lugha bila jamii kukuelewa ni Malaya tu😂
@Ushashi26
@Ushashi26 18 күн бұрын
Mtumish nisawa but upo nje ya agizo la YESU kristo,, anasem tumepata bure tutoe bule,, na nikisoma mitume na manabii sijaona mahali wameweka utalatibu, ktk kulipia ili waonane nao kisha kuombewa kwa pesa,,, jajmn jman ponyeni lohozenu,,, mbon tz kuna manyumbu wengi sana shida hayasomi neno lamungu
@user-lb6hk3kp8r
@user-lb6hk3kp8r 23 күн бұрын
Ndio maana cwezi kuamini mtu huyu,naona maandiko yanatimia sasa,inahitaji utulivu xana kujua kuwa haya yalixa tabiliwa mana wanadamu tunatamani mafanikio zaidi nasio kumtafuta Mungu katika roho na kweli
@ReubenMbanga
@ReubenMbanga 18 күн бұрын
Siku zote kipofu akiongozwa na kipofu mwenzie, wote huangukia shimoni, mtu aliyeokoka anazigundua mbinu Za shetani.
@laurencekamgisha-im5gc
@laurencekamgisha-im5gc 19 күн бұрын
Katika agano jipya miujiza au zana za upako hazijawahi kuuzwa pia Yesu ameagiza tupakwe mafuta ya Roho mtakatifu
@puregamers4215
@puregamers4215 25 күн бұрын
wajinga ndio waliwao😂😂
@geitandelwa299
@geitandelwa299 25 күн бұрын
Haaa nimecheka
@hamisimkoma7380
@hamisimkoma7380 25 күн бұрын
Kweli kabisa.wacha tapeli ajinufaishe maana wajinga ni wengi mnoo
@gidionkadaraja1403
@gidionkadaraja1403 25 күн бұрын
Mjinga ni wew usiyekubal ATA kujifunzaa kila mtu aliefanikiwa kwenye Jambo flan anahitaj pongez sio rahs Kama unavyozan
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 25 күн бұрын
Wewe mjanja unanini mpaka sasa😂😂😂
@shabankitinga141
@shabankitinga141 25 күн бұрын
Akili huna ww
@neemangowo1453
@neemangowo1453 25 күн бұрын
Kwahiyo Nguvu za Mungu zinauzwa?
@halimahassaniiyami3485
@halimahassaniiyami3485 25 күн бұрын
Bulldozer Mungu akupe umri mrefu anaejua ww n mtumish wa shetan ni Mungu pekee waache waongee wakichoka watakaa kimy huna baya
@thefinalstand2022
@thefinalstand2022 24 күн бұрын
Mimi na Wengi tunaokupinga, tunasimamia kwamba "Siku za Mwisho watakuwepo Manabii wa Uongo" na tunakataa kabisa kwamba "Mungu anatenda Miujiza" na tunakataa na kudai kwamba "Siku za mwisho Mungu hatamwaga Roho Wake na watu hawataponywa", mimi na wote tunaokupinga tunahekima sana, tunakataa kabisa na kusema "Mungu sio mwenye huruma na Upendo hata amtendee binadamu fadhila", Tunakataa na kusema kwamba "Mungu yuko ndani ya Madhehebu yetu tu na siyo nje ya madhehebu yetu", mimi na pumbavu wenzangu tuliologwa na kulogeka, tunaamini kwamba, "wanaoweza kutenda Miujiza ni mapdri na wachungaji wa madhehebu yetu kwa kuwa wamesoma sanaaaaa biblia!" Mimi na wenzangu, tuko vizuri sana ktk maandiko na werevu sana ktk maongezi, lakini, KAMA HATUWEZI KUFANYA MUUJIZA WOWOTE, NA TUNACHOWEZA KUFANYA NI KUONGEA TU , NA KAMA WATU HAWASOMI MAANDIKO NA KUJUWA NYAKATI ZA KUJILIWA KWAO, KWANINI MIMI NA WATU FULANI-FULANI TUSIENDELEDELEEE KUWAFUNGIA WATU HAO MILANGO YA NEEEMA YA DAMU YA KRISTO?
@fabianaudax963
@fabianaudax963 24 күн бұрын
Aminaaa
@johariyahaya8794
@johariyahaya8794 23 күн бұрын
amina ❤
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 10 МЛН
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 110 МЛН
KADANGANYA
10:21
Joti TV
Рет қаралды 125 М.
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 10 МЛН