No video

MPINA AJIBU WABUNGE WALIOSEMA WATAKWENDA KUMSHTAKI KWENYE VIKAO NEC "CCM SIO PANGO LA WALANGUZI"

  Рет қаралды 36,859

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 305
@husseinbakary1969
@husseinbakary1969 Ай бұрын
Msukuma mmoja hivi mwenye akili nyingi sana
@kamandashupavu206
@kamandashupavu206 Ай бұрын
Wangapi tumeanza kupata mawazo ya Kenya? Gonga like twende sawa
@ce-08
@ce-08 Ай бұрын
😂😂😂😂
@janejoel2465
@janejoel2465 Ай бұрын
@Jimmywampinda
@Jimmywampinda Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@salimutwahiri3693
@salimutwahiri3693 Ай бұрын
Mawazo ya Kenya ya kipuuzi ingia barabarani uone
@yusufujemson9020
@yusufujemson9020 Ай бұрын
Daaaaaah bongo ni hatari sana
@user-eh5fw5gj4c
@user-eh5fw5gj4c Ай бұрын
Waongo waliungana kumuadhibu mkweli😢
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 Ай бұрын
Wanaosema Mh Mpina ni nuru ya waishio gizani tujuane hapa.
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya Ай бұрын
Mpina tunakukubalia sana mungu atakufanyia wepes
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya Ай бұрын
Pole sana lazima upigwe mawe kwasababu msema ukweli
@molenicharles9107
@molenicharles9107 Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@josenyalusi7390
@josenyalusi7390 Ай бұрын
Namkubari sana mpina
@user-ps6wm2qm4f
@user-ps6wm2qm4f Ай бұрын
Ukweli nilishangaa sana.Mimi ni MNEC nitakwenda nitasema hili.Wabunge Hawa ukweli walifanya vibaya sana.Na c utaratibu.Hawajui wajibu wao kama wabunge.Msitishe watu kusema ukweli
@nashonjoel20
@nashonjoel20 Ай бұрын
MPINA ni Mzalendo kweli kweli. Kila silaha itakayofanyika juu yako HAITAFANIKIWA. ISAYA 54:17, usiogope
@edwinkajuna7207
@edwinkajuna7207 Ай бұрын
Tuko pamoja Mh Mpina, Wabunge wengi ni vilaza hawajui ht wajibu wao Bungeni
@HeriDunia-i7m
@HeriDunia-i7m 4 күн бұрын
wabunge wengi awajasoma
@davidrweyemamu938
@davidrweyemamu938 Ай бұрын
Hongera sana Mpina wenye akili tunakuelewa!
@cleofasladislaus2177
@cleofasladislaus2177 Ай бұрын
CCM HAWATAKI MTU ANAYE ONGEA UKWELI 😂😂😂😂😂
@janejoel2465
@janejoel2465 Ай бұрын
Jaman jaman jaman. Eee MUNGU tusaidie, maana sisi wengine tunaishi kwa neema yako
@lindatogether
@lindatogether Ай бұрын
True
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 Ай бұрын
Wewe kama mwananchi unasemaje? Nchi inaibiwa watu wako bize kubishana simba na yanga
@MariagorethPetero
@MariagorethPetero Ай бұрын
Mwizi yeyote ukimnyooshea kidole kwa sababu ya wizi aliofanya lazima akasirike na kutafuta mbinu ya kukunyamazisha.
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 Ай бұрын
@@MariagorethPetero kwahiyo nyie watanzania mnashabikia wezi
@MPOYOLAFILMS
@MPOYOLAFILMS Ай бұрын
We love you Mpina...
@millandoinstructor8844
@millandoinstructor8844 Ай бұрын
Jamaa anahoja asikilizwe
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
MIMI NAWASHANGAA SANA KWA NINI MSIANZISHE CHAMA CHENU MTAPATAWATU WENGI SANA KUSHINDA CCM
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 Ай бұрын
Ukiona hivyo huyo BASHE hakufanya yeye kama waziri bali alipewa maagizo kutoka juu.
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh Ай бұрын
Kwel
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz Ай бұрын
Umeongea point sana ,nakupa hongera.
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Ай бұрын
Umeongea akili ya wenye akili na huyu angenyamaza KUSUBIRI muda useme ,asijitose kwenye bahari isiyo na nanga 😢
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Ай бұрын
Fact KABISA...waazishe chama sisi tutawapa kura Makonda Mpina Kaliman Lukuv Gwajima Tunawapa kura chap
@MATIKO9640
@MATIKO9640 Ай бұрын
Kabisaaa
@amosmwampamba
@amosmwampamba Ай бұрын
Bashe kalindwa Kwa nguvu saana
@juliusdonard933
@juliusdonard933 Ай бұрын
Watu weng hawajui sheria , mpina upo sawaaa
@denisipaulo7785
@denisipaulo7785 Ай бұрын
Tatizo mpina umesema ukweli kwani ujui kama ccm wanapenda uhongoo ila usijali wakikufukuza njoo chadema kwani nini
@user-hd5bg8qw1b
@user-hd5bg8qw1b Ай бұрын
BORA AANZISHE CHAMA CHAKE HAO CDM NDIO WALEWALE TU NGOJA WAPATE NAFAC UONE TENA BORA NA CCM
@FridayMwassa
@FridayMwassa Ай бұрын
​@@user-hd5bg8qw1bZito ameanzisha chake mkamtelekeza
@emanuelgavile3503
@emanuelgavile3503 Ай бұрын
Aje chadema sisi tunamchkua msigwa usajili kama wa mutale simba
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 Ай бұрын
Aje chadema??!! Wao ndo kabisaaa!!! Ukisema ukweli unaitwa msaliti dah!!
@stevenkatani3047
@stevenkatani3047 Ай бұрын
Na awezi kwenda chadema yeye xo mjinga Bora haunde chama chake.
@ludanishirima5102
@ludanishirima5102 Ай бұрын
kaka pina umenifanya nianze kufikiri kutafuta mbadala wa chama changu. hongera sana wewe ni Kwa uwajibikaji mzuri wa Afya ya taifa letu😊
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
WATANZANIA HAWA WABUNGE WASIRUDI TENA
@kungulesh
@kungulesh Ай бұрын
One Man Army (OMA).
@jamesmhangwa9672
@jamesmhangwa9672 3 күн бұрын
Good to go for Presidency
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu Ай бұрын
Tulia anajipendekeza kwà samia sana badala aisimamie serekali kwào hamna hata barabara ana KAZI ya kumfungia mpina
@lawrence-xk1km
@lawrence-xk1km Ай бұрын
Tena toka pale round about hadi kwao pale vumbi kokoto tupu yaani hadi atamaliza muda hakumbuki kwao.sifa zote kakimbilia kugawa boda boda tu Mbeya mjin jimboni kwake hakuna kitu,hata sifa wanazompa sijui ni ipi
@gabapentin8070
@gabapentin8070 Ай бұрын
Msema kweli hii nnchi anachafuliwa sana Mpina tupambanie
@Afrikan-ol8qn
@Afrikan-ol8qn Ай бұрын
I'm grateful to hea that....keep going sir.
@user-nn7uf1mr7x
@user-nn7uf1mr7x Ай бұрын
❤❤❤❤mungu akulinde
@dilludillu2747
@dilludillu2747 Ай бұрын
Mpina stand firm
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u Ай бұрын
VIVA KOMREDI MPINA....HILO NI GENGE LA WABUNGE WALA RUSHWA NA UFISADI....TUNAWAAMBIA....WATANZANIA SIO WAJINGA!
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
AWA WABUNGE WAMEJISAHAU KAMA WALIFANYIWA KAMPENI NA JPM KWA UTAMU WA MADARAKA WASIRUDI TENA BUNGENI
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 Ай бұрын
Usiwe na wasi wasi tuko na wewe na wapiga Kula wako tutakikisha unarudi bungeni Kwa kishindo na bado siku unarudi bungeni tutakusindikiza
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur Ай бұрын
Ukiongea ukweli hapa kwa baadhi ya mafala walio wengi Tanzania hawataki matokeo yake ni kujaribu kumzuia msema mkweli
@emmanuelmwanzalima8337
@emmanuelmwanzalima8337 Ай бұрын
Nawakumbusha tu chama anachotoka huyu mwamba badiliahen maamuz mapema sana itawaghalim mno ushauri lakin SPIKA pia bashe jitafakari kaka
@FridayMwassa
@FridayMwassa Ай бұрын
Mtafanya nini,vyombo vya ulinzi vipo imara
@GmakaYusuph
@GmakaYusuph 25 күн бұрын
Daaaah tunako elekea ni kenya kabisaa, kuna hatua tutafika tutachokaa , hongera kwa kupambana kamanda
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
WATANZANIA TUAMKE HAWA WABUNGE TULIWACHAGUA KWA SABABU YA JPM TUAKIKISHE AWALUDI TENA BUNGENI AWA MAKUMA
@sundaystanley5322
@sundaystanley5322 Ай бұрын
Nimekulewa sana broo,kwa kweli walibebwa na jina la jpm
@marcynhumbi3534
@marcynhumbi3534 Ай бұрын
😢khaaaaa eti makuma tusilingine ulikosa
@talents7934
@talents7934 Ай бұрын
​@@marcynhumbi3534Muazime kama utakuwa nalo😂
@philipombwambo1980
@philipombwambo1980 Ай бұрын
Hawafai
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Ай бұрын
Nani alikwambia kura zako zilihesabiwa ? Hahaha haya
@user-yv1nw2sq6t
@user-yv1nw2sq6t Ай бұрын
Namuona chuma kwa mbaliiiii mzalendo Mungu akulinde
@dancerboy2686
@dancerboy2686 Ай бұрын
ipo cku atakuja magufuli mwingne watakuja kunyea debe
@levinareuben
@levinareuben Ай бұрын
Uko sawa mh.mpina the message sent and the delivery.
@masanjajohn-qs7mq
@masanjajohn-qs7mq Ай бұрын
Mpina kiboko!!!!Ngosha getegete!!!
@karimjuma4019
@karimjuma4019 Ай бұрын
Bashe ni hamna kitu nikiongea hivi Nina sababu za msingi kwenye vyama vya msingi Kuna wizi sio kidgo na yuko kimya
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
KINAMAKONDA KINABASHILU ALI KINA SABAYA KINA MPINA MNAFANYA NINI HUKO CCM TOKENI AZISHENI CHAMA AU KIPENI NGUVU CHAMA KIMOJA KIWE NA USHINDANI MKUBWA TUITOE CCM
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Ай бұрын
Kama niwazavyo
@SarahRajah
@SarahRajah Ай бұрын
Duu hili wazo nililiwaza tangia asubuhi kamq ulikuwepo
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
@@SarahRajah kweli ndugu yangu CCM awanamvuto WATANZANIA wanamvuto na watu awa
@user-zk9ox3di4b
@user-zk9ox3di4b Ай бұрын
asante sana mpina wabunge ni. Wanguzi sio wabunge wa wananchi masikini ni wabunge wa. Wenu ni simba sauti ya wanyonge
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
WABUNGE WAMAGUFULI AWATORUDI TENA
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt Ай бұрын
Nakukubari Sana Mpina Mungu akulinde
@bonifasmashingia
@bonifasmashingia Ай бұрын
Usikubali kujiuzilu mzee wangu yaani mpaka wasemeee!!Bashe ni muongo sana hata ukimwangalia materials and formally
@christinakomba689
@christinakomba689 Ай бұрын
Tanzania tunashabikia ujinga
@FelicianSimon
@FelicianSimon Ай бұрын
​@christinakomba689 haya ww shabikia ujanja
@bonifasmashingia
@bonifasmashingia Ай бұрын
1:13 ​@@christinakomba689
@bonifasmashingia
@bonifasmashingia Ай бұрын
Bashe ni muongo !!Mpina kasema ukweli Ila ni kawaida waovu kuteteana🤮🤮🤮🤮
@hassnsalim5156
@hassnsalim5156 Ай бұрын
MPINA UPO VZR SANA BUNGE LETU UCHAWA MWINGI ENDELEA KUIPAMBANIA NCHI NA WANANCHI WENYE AKILI TUNAKUELEWA SIKU ZOTE UKWELI HUWA UNAUMA
@godsson5954
@godsson5954 Ай бұрын
MILLARD BONGE LA MNAFKI
@machujamathias7165
@machujamathias7165 Ай бұрын
My role model
@PeterMaonga
@PeterMaonga Ай бұрын
Huyu jamaa ni kichwa tunao wachache sana wengine waliobaki wote ni ndio mzee
@maulidimuhani
@maulidimuhani Ай бұрын
Nilidhani kuwa MPINA YUPO 100% Correct ila Sasa naanza kuelewa kumbe there is something behind we have to be careful
@BahatiLogondisha-vq7gg
@BahatiLogondisha-vq7gg Ай бұрын
Ok sawa asilimia zote 100/ kwahoja zako mh Pina tunaka wazalendo kamama wewe sio wapiga diri 2025 tunawasubiri watukute
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Ай бұрын
USIOGOPE kuachwa na CHAMA ,Ogopa kuachwa na MUNGU
@saidaliomar
@saidaliomar Ай бұрын
Nenda Chadema tu ukaungane Lissu huna ishu
@eliakazilo6078
@eliakazilo6078 Ай бұрын
Vita ya sukari bado mbichi..wabunge wa ccm wote ni wa ndioo inatokana na kwamba ,huu Ni mwishoo.wapo ambao wanaogopa hawatarudi..Sasa wanajikomba ili kwenye gwaride la u haguzi wasiachwe..Mpina nakuunga Mkono saana .Kuna kitu kimejificha nyuma ya uagizaji sukari
@abednego3876
@abednego3876 Ай бұрын
Huyu inatakiwa kila mahali awe anakundi la watu wanamshangilia, ila mambwa wamelala tu usingizini.
@user-sk2xn4qm3k
@user-sk2xn4qm3k Ай бұрын
Spika na bunge hawakumtendea haki Mpina, kaka simama na ukweli watanzania tunakuelewa sana
@ellsonmkonyi1319
@ellsonmkonyi1319 Ай бұрын
Haya maoni 2 yanamajibu mh mpina uko juu
@kulwamikwanga3112
@kulwamikwanga3112 Ай бұрын
Mpina piga kazi kama msema kweri ni mtenda zambi basi hata waendao kanisani kumutukuza mungu kwa haki na kweri na wao hawataenda mbinguni ira kama msema ukweri na haki kama mpina basi hawa wabunge wajitasimini sana majimboni kwao 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
@NasilichandeChandenasili
@NasilichandeChandenasili Ай бұрын
Ccm watokee madarakanii watatuonea mnoo,mafisadi na wala rushwa na upendeleoo MUNGUU WA hakii yupoo atawpa mshangaoo na duniaa haitoo aminii
@DamasiMushi-bf6tf
@DamasiMushi-bf6tf Ай бұрын
Pole sana Mungu akutangulie ndio Tanzania yetu ukisema ukweli unachukiwa
@WilbertChambilo-yl1kc
@WilbertChambilo-yl1kc Ай бұрын
Mtu ukikaa kimya huwezi kupungukiwa na zaidi utabarikiwa tu.
@user-to6cg8uf3f
@user-to6cg8uf3f Ай бұрын
Acha nidhamu ya uoga kukaa kimya afu muendelee kupiga sio
@martineopapa7383
@martineopapa7383 Ай бұрын
Kwani wananchi walikuchagua ili uwe bubu bungeni?
@NescharlesMalando-xm6lg
@NescharlesMalando-xm6lg Ай бұрын
Dah nuru itang'aa hv punde mungu yuko pamoja nawe na mamilion ya watz nko pamoja!!
@user-oo1vz3zi1t
@user-oo1vz3zi1t Ай бұрын
Jamani Mpina unaeleweka vizur mno yatawarudia wao watadhalilika
@Norrisnoriega
@Norrisnoriega Ай бұрын
Shida jamii imeshiba sana amapiano vichwani bro kiasi unajikuta unapambana pekeako jifikilie jamii iachana na wakina amapiano wakamsikiliza DIZASTA VINA nini kingetokea naamini tungesapoti unachokifanya sana
@foundationforcommunityhope7327
@foundationforcommunityhope7327 Ай бұрын
Daaaa pole Sana,lakini ubaki tu CCM.
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
MIMI NINAUAKIKA WATU HAWA SITA SABA WANAITOA CCM MADARAKANI
@daudisalum9574
@daudisalum9574 Ай бұрын
Namkubali sana luhaga mpina
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Ай бұрын
.MPINA BINGWA NAKUPENDA ENDELEA KUPATA DHAWABU TOKA KWA MUNGU
@maase2023
@maase2023 Ай бұрын
Mpina ulitakuwa uunge mkono kila jambo hata kama halifai maana tumekulia mazoea hayo mpina! Kawaida ya mbunge ni kupigia makofi kila jambo liwe zuri au baya lazima uunge mkono
@user-oy2gp3nq4j
@user-oy2gp3nq4j Ай бұрын
Ipo siku mawe yataongea kwa jina la Yesu
@ChristianMzena
@ChristianMzena Ай бұрын
Kwa maslai ya nchi arudi bungeni
@othumanrichard6138
@othumanrichard6138 Ай бұрын
Wakenya ni wanaume kiukwl Ila sisi hapa bongo wote ni wanawake tu
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 Ай бұрын
Ccm ni mavi tuu tena ya mwishoooo
@juliusdonard933
@juliusdonard933 Ай бұрын
Daaa ,
@MATIKO9640
@MATIKO9640 Ай бұрын
Hebu muwashauri hao wap..z wawe wanapita na mtandaoni kujua wananchi wao wanasema nini through comments afu wachukulie positively then wajitathimini kwa uongozi mbovu na maamuzi yao mabovu, wanatukwaza sana sisi wapenzi wa ccm. Mbunge kama mpima ni wa kuungwa mkono kabisa vinginevyo mnatufanya kuwa na mashaka na ccm ambayo tunaiamini kuwa ndiyo yenye viongozi bora wengi, kama vile Majariwa, Makonda, Mpina na wengi wengi. Kuna shida kubwa sio bure.
@user-xc7qj7ze7m
@user-xc7qj7ze7m Ай бұрын
Toka huko ccm watakumaliza blo
@Omarjumanne-zm9zh
@Omarjumanne-zm9zh Ай бұрын
Ccm hawataka kukosolewa na lkiwa mwanachama ccm anapokwenda mendoza wa magufuri hawapendi machawa
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz Ай бұрын
Mpina akili kubwa na mzalendo wa kweli
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 Ай бұрын
Nimeisikuliza hotuba yake huyu mwamba Ina saa moja na dakika kadhaa mwamba ana uwezo mkubwa Sana anatakiwa awe hata raisi ili twende speed kuyafikia MALENGO makubwa lakini tukiendelea kusifiana sifiana hatutafika mbali
@denisruvugo1764
@denisruvugo1764 Ай бұрын
Sasa usisome sana basi boss , hoja zote clean kabisa
@servantjosiahtv3129
@servantjosiahtv3129 Ай бұрын
MPINA CHADEMA, MSIGWA CCM.. ngoma draw
@ChristineElias-bn4dw
@ChristineElias-bn4dw Ай бұрын
Xnaaaa bro mpina simama imara shetani yuko kazini wanaleta stress zao ndani ya bunge wapeleke kule
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
MPNA WATANZANIA WANAKUPENDENI SANAA NYINYI . MKITOKA CCM WOTE WATAKUFUATENI NYINYI C CCM
@JonathanMatembo
@JonathanMatembo Ай бұрын
CCM ni janga kubwa sana la kitaifa, adui namba moja wa watanzania ni chama chakavu cha CCM na family zao, bola ukimwi kuliko CCM kuwepo Tanzania.
@user-hd5bg8qw1b
@user-hd5bg8qw1b Ай бұрын
HATA CDM C CHAMA SAHIHI KUPEWA MADARAKA HAPO WALIPO MATE YANAWATOKA KAMA M"MBWA
@MATIKO9640
@MATIKO9640 Ай бұрын
Tumwombe tu MUNGU ila Tz hatuna vyama bora tuna bora vyama
@rendiman2878
@rendiman2878 Ай бұрын
Halafu tuna akina Msigwa humu wanajiunga na hili pango la majambazi
@mohamedabdallah4769
@mohamedabdallah4769 Ай бұрын
Sawa aliingiza bila sheria ila alitetea sisi walaji sababu viwanda vya sukari vinapandisha bei hovyo hovyo bora kilichofanyika sukari imepungua bei
@bonifasmashingia
@bonifasmashingia Ай бұрын
Boss Kuna role of government in economic !!price ceiling and floor!!hii ni deal tu ya mafisadi serikalini!!Mpina is mzalendo na Bashe alipiga deal na sio kututetea wanyongeee
@martineopapa7383
@martineopapa7383 Ай бұрын
Kama hujui matatizo yanatengenezwa maksudi ili kuyatatua kwa faida
@talents7934
@talents7934 Ай бұрын
Nimegundua kuwa hata mafisadi majambazi, na majizi yote yanalindwa 😢
@PastorMasasi-vg1qh
@PastorMasasi-vg1qh Ай бұрын
Mpina wewe unasitahili Sana Sana,kutusemea wananchi.wabunge wezako hamna kitu hao,tupambanie raia tuko na wewe mpina
@ipepeetube449
@ipepeetube449 Ай бұрын
Ila tulia bhana
@jacksonmboi2489
@jacksonmboi2489 Ай бұрын
Ww wakat n wazr ni yap makosa umewai kuyafanya....je umekili kwa makosa hayo kwanza
@mabulajoel1967
@mabulajoel1967 Ай бұрын
Unda chama chako nitakupa kura yangu achana na wasio kubali kukosolewa kwa mabaya watendayo kwa Wananchi kifupi wanajali matumbo yao sio hali ya Wananchi wa chini.
@JohnJoseph-su1xc
@JohnJoseph-su1xc Ай бұрын
Badala waboreshe viwanda vyetu za ndan
@davincidavi693
@davincidavi693 Ай бұрын
Huyu ni Moja ya vibaraka wa wanaofanya sukari owe hadimu. Kwahiyo tufuate Sheria tufe na njaa
@kilimanjarostarlounge
@kilimanjarostarlounge Ай бұрын
kwa mfano raisi awe MAKONDA makamu awe MPINA waziri mkuu mwambukusi pata picha 2025 hiyo serekali itakuaje please REPLY
@wilbertaerasto7584
@wilbertaerasto7584 Ай бұрын
Baadhi ya wabunge ni chawa tu, hawa maana kabisa, mh usiogope waeleze kabisa kwani ni wanafiki
@Nehe100Kilindu
@Nehe100Kilindu Ай бұрын
Akilinyingi sana
@lutegomakoyeluhahula361
@lutegomakoyeluhahula361 Ай бұрын
Achana na hao wabunge wapumbavu.
@othumanrichard6138
@othumanrichard6138 Ай бұрын
Ht wakigoma uhame chama chao kura zetu unazo tu tena wakija kwenye jimbo lako tutawapg mawe
@saidaliomar
@saidaliomar Ай бұрын
nenda mwenywewe kenya
@adeliusvedasto7214
@adeliusvedasto7214 Ай бұрын
Wamebaki makamanda wachache nchii hii.
@MinchandeManeno-te4zg
@MinchandeManeno-te4zg Ай бұрын
Safi sana mpina
@user-eg4sl4pf3x
@user-eg4sl4pf3x Ай бұрын
Sisi shida yetu ni sukari ya bei nafuu,habari ya nani kaileta haituhusu.Usitafute kiki brooh
RC MAKONDA KAMALIZA MGOGORO NGORONGORO KWISHA  MAANDAMANO
4:01
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 62 МЛН
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 85 МЛН
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 30 МЛН
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 70 МЛН
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 62 МЛН