.................. Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii Instagram, Twitter na Facebook
Пікірлер: 17
@user-jz1or4mb7q2 күн бұрын
Kazi tunayo watanzania!
@ngelellageorge857115 күн бұрын
Wewe Mpina ni chuma cha pua na ni mtanzania aka Mtanganyika safiiiiii
@user-jz1or4mb7q2 күн бұрын
😮
@aminiyohana212915 күн бұрын
Huyo JAMA anabishana na boss wake
@MussaLwaho15 күн бұрын
Mpina kinachokukosti ni taarifa zako za ukweli unazowambia watanzania
@Machibula-dy5oe5 күн бұрын
Uhakika mpina
@ngelellageorge857115 күн бұрын
Nay wa Mitego aliimba-Amkeni ninyi...............
@umranim585415 күн бұрын
😂😂😂 sasa wewe ndio unamfundisha spika 😅 iko kazi
@kissjoe953015 күн бұрын
Kakojoe ukalale wewe hujui lolote uchawa tu
@umranim585415 күн бұрын
@@kissjoe9530 wewe kanye na ujipake ameandika jamaa yenu 😂😂😂😏
@hajikatanje596115 күн бұрын
Spika ameonyesha udhaifu mkubwa nikweli mwanamke hawezi kuwa mwihimili wa inchi huu ulikuwa mpango madhubuti kabisa wa kukufukuza spika ana chuki binafsi hoja binafsi ulio mtuhumu waziri wa kilimo ipo sahihi
@JohnManyilizu-rl5bm15 күн бұрын
Mpina toka huko ccm wanyonyaji
@user-vg9bu6zv8v15 күн бұрын
Kinyonge hakiingiimbinguni
@JumaAllyhussein15 күн бұрын
Ki2 kimoja nimekielewa hakuna wa kukutetea aliye juu mbona Kuna waziri alisema kama mnaona mafuta yamepanda bei akasema tuhamie Burundi lakini yupo2
@DeusPaschal-g5q15 күн бұрын
Patamu wanasheria twambieni
@DeoMulimila15 күн бұрын
Wewe wahi tu ukapambane na Tundu Lissu kama uongozi ndio lengo lako. 2025 wajumbe watakunyoa.