TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID. #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Пікірлер: 32
@MahirwazanzibarАй бұрын
Let's be like Kenyans 😢 tutabak hiv mpak lini
@saidabdillahi8107Ай бұрын
Mchafuvi wa lugha Chama hiko, chama hiko, chama hiko,nilifikiri ulitamka kwa bahati mbaya kumbe unajaribu kutusilimisha
@salyali7807Ай бұрын
Inasikitisha fedha zinavofujwa 😢😢😢
@lusakaone7782Ай бұрын
Taarifa nzuri ila lugha ya mtangazaji haipo Sawa
@kassidpandu866Ай бұрын
yaguju
@SaydyShaabaniАй бұрын
waambie
@rajabrajab3525Ай бұрын
Mtangazaji ajifunze kiswahili cha znz
@user-ll8fv2xt9nАй бұрын
naam sahihi kabisa..ati "CHAMA HIKO" ni aibu kwa kweli
@DuuSaidАй бұрын
Sasaivi ndio pazuri kusema bendera inamruhusu usimlaumu 😂😂😂
@MwigaAdamАй бұрын
Ndugu mtangazaji sio chama hiko kiswahili sanifu ni chama hicho
@omarmohammed5157Ай бұрын
Jambo lilouwa zanzibar ni dhulma ya wana ccm wa Zanzibar na Tanganyika
@Jal210Ай бұрын
Wazanzibar simtoke Tanganyika ya nini maneno kila siku hatuna faida na Zanzibar yenu nyie wapumbavu sana
@omarmohammed5157Ай бұрын
@@Jal210 siku zote hata mwendawazim hujiona ana akili na kuona watu hawana akiili sikulaumu
@user-qz2cs5wm5uАй бұрын
Awajamaa kweli wamejipanga kuchukua nje namungu atawajalia
@user-et9vf2ro2kАй бұрын
Ujinga ujinga sasa basi
@nassorseif7907Ай бұрын
Aaamiin Allah awape nchi yao
@hafidhhemed1514Ай бұрын
Amen
@Rashidmohammed03Ай бұрын
Amiin ya rabby
@febby8308Ай бұрын
Mwamba yuko sahihi
@hakiyanguАй бұрын
Hata sisi Tanganyika tunataka mamlaka kamili, na ss tuwe na rais wetu kama nyinyi.
@ALIKHAMIS-un4fvАй бұрын
Cha hicho dada sio chama hiko
@user-kv9lq7yy8lАй бұрын
ndugu muandishi chama hiko ndio nn
@salyali7807Ай бұрын
Chama hiko au chama hicho?
@kassim1262Ай бұрын
Mbona ccm hwtki hili neno znzbr yenye mamlaka wao wnachokitaka barabara namasoko ty😂😂😂😂
@hashimchaoga9566Ай бұрын
Hapa ndio unaona serikali tatu hazikwepeki
@AbdallahSalim-is3dbАй бұрын
Labda mtangazaji ni mchina
@muhidinimohd1470Ай бұрын
Yani masiara mbali uyu jamaa anaongea vitu muhim
@hajihassan5433Ай бұрын
Mhe. OMO ulikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa karibu miaka 10 naoina ilikuwa "plate form" nzuri kusema hayo na ulikuwa ni wajibu wako. Hasa. Mamlaka kamili kwenye Muungano yapo je? Naomba anaeelewa anieleweshe. Hivi sasa tunadai Katiba Mpya lakini iliyopo haijatekelezwa wala kuheshimiwa ipasavyo. Mfano Ibara ya 131 - 144 kuhusu fedha ikiwemo akaunti ya pamoja. Je Katiba Mpya itafaa nini ikiwa haitatekelezwa wala kuheshimiwa.
@jumamohamed3168Ай бұрын
Haji mbona unakuwa kama mtu ambae huna uelewa wa mambo kwanini,mimi naamini unajifanya tu,kwanza ungechukizwa na huu udanganyifu unaofanyika katika Muungano juu ya Zanzibar inavyofanyiwa.mambo yapo wazi hata wewe kama unafanya ushirika na mtu juu ya biashara yenu ya ushirika usingekubali kuendelea na huo ushirika ingemwambia kila mtu afanye biashara kivyake kwa sababu ilishamuona mwenzako dhamira yake ni mbaya.tunapotaka kushabikia mambo tuangalie ukweli zaidi ulivyo.
@AbdallahSalim-is3dbАй бұрын
Jaribu kupinga uwa bado umo kundini mwa wachawi uone watakavo kula nyamnyam
@user-pm7yo3xi3hАй бұрын
Ulikuwepo wapi alipofukuzwa na Shein hakuna au
@Jal210Ай бұрын
Wewe mjinga huna adabu leo ndiyo unataka nchi yenu wakati vizazi na vizazi vimeshazaliwa mjinga kabisa wewe