Ni tamasha lililomuachia kumbukumbu za kutosha kila aliyehudhuria au alietazama kwenye TV, Mr. Blue ni moja ya Mahodari wa bongofleva waliosimama na kuonyesha uwezo wao.
Пікірлер: 110
@peterkimwaga87256 жыл бұрын
Saloote brue hakuna kma ww amin gonga like 1000 hapa
@Elfuego2573 жыл бұрын
Byser ni Mchizi flan ambae hajawahi kuharibu kazi toka aanze mziki miaka io , mi ukiniuliza bongo nani anajua kama blue ntakwambia ni Blue mwenyewe🙌🏾🔥🙏🏾...respect nyingi sana man, this is 2020 na bado moto unauwasha ile ile💪🏾...mega love
@slimflows6 жыл бұрын
Blue tangu henzi za mapozi number one Kenyan fan
@user-lf6bm1wl3c14 күн бұрын
Oya mnao cheki mwaka huu 2024 gonga like kama mm
@vianeyminja5757 жыл бұрын
bongo nzima sijaona mtu anaeweza kukufunika jukwaan #blue, waue
@marselinakinyagha82845 жыл бұрын
Truth
@DominicNdege5 жыл бұрын
kIJANA HATARI SANA. its one thing to hit the radio waves and another to excel exceptionally on live performance. Nakukubali aisee
@billyzokah54107 жыл бұрын
huyu jamaa angepata management yenye kujua kusimamia mziki vizuri kama ya diamond aki angetisha sana dunia nzima cz ako na mafans wengi wanaopenda mziki wake.mimi namuita king of fiesta .fiest bila mr blue hau haina ladha kiukweli.
@gabriellafaith61287 жыл бұрын
kweli aiseeee
@mafoleb.85627 жыл бұрын
Billy Zokah yuko very tallented
@yusufjuma2647 жыл бұрын
tatizo hana manager
@mariamk14887 жыл бұрын
kiba love sana na kabaisa
@abdullmajengo2606 жыл бұрын
kwasha wahi kukuambia kuwa anashida na manegment au
@Lucy_ikupa7 жыл бұрын
blue hatari aisee 👏👏👏👏👏👏👏👏 kweli ndo alikuwa king wa fiesta
@ismailkushinda88303 жыл бұрын
Respect ninjaaa
@yohanalalusa9171 Жыл бұрын
Nimeinjoy balaaaaaa hii show
@Yegon2546 жыл бұрын
I love this man mr Blue
@Lucy_ikupa7 жыл бұрын
blue una energy aisee ya ku perform
@harounernest15165 жыл бұрын
Fiesta Man of the match all the time
@richarddizo9139 Жыл бұрын
I love that energy, Blue ni 🔥 🔥
@latifasebea49846 жыл бұрын
Am from Sudan. Like u Mr blue where to gether always
@alexemmanuelmasua33597 жыл бұрын
blue never die. keep hustling moving my nicca
@josephgicimu62897 жыл бұрын
Mr.blue itisha jina lako simba bro...
@feruzihassan83877 жыл бұрын
bluuu siku nzote katika show zake utafurai sana
@ibrakiongozi40967 жыл бұрын
nyani mzeee umetisha
@ramamambo40825 жыл бұрын
Mr Blue ndio umefanya nitumie image blue na kujiongeza na royal blue na kuipenda rangi ya blue. .ukweli ww hodar cabaixa
@emmanuelimaxxaka7545 жыл бұрын
B gap sana bay saaaa umetisha kinyamaaaa 👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊
@fahaddasilva90247 жыл бұрын
Yaani hii show ya huyu jamaa nashindwa kuicompare na ROMA na STAMINA wadau wadau hawa wote wamesepa na kijiji Sijasikia cha KIBA wala cha TEKNO kubaabake BLUE he is very tallented asee mlomuita KING OF FIESTA hamjakosea
@hashirwazirsalehe17905 жыл бұрын
noma
@mariodeblizzy25957 жыл бұрын
Darsalaam baki na sisiiii....Blu Mambo mbaya King mreal wa Fiesta..kijana mwenye energy taipu yake...Baisaa
@sululuzungu95872 жыл бұрын
Nimepnd allykiba kafny show yko kukuheshim dingi wke kwny game nimepnd mana nimoj ya watu umemfny kiba awe msanii
@victorbon96816 жыл бұрын
Huyu ndo mr.fiesta
@charleslazaro60444 жыл бұрын
Blue umetisha!
@hajimbujeje43215 жыл бұрын
Nakubali bloooo
@emanuelhomange55737 жыл бұрын
asante blue your a good entertainer
@zlatanzackovic77317 жыл бұрын
#Blu 🔝🔝🔝🔝🔝🔝🔝🔝🔝🔝🔝🔝🔝🔝
@latifasebea49846 жыл бұрын
I like u Mr blue. When u per form
@PatsonIkula6 жыл бұрын
this was massive. busy Babylon
@mikesancho3095 Жыл бұрын
Hii show aliuwa sana ila Chidi Benz pia ni kisanga.
@freddiemello7848 Жыл бұрын
Mr blue is the deal..come to Kenya once again and perform bro
@gerasiusjimmy30917 жыл бұрын
Big up bro..we mkali hatari saaaana.
@adinanichadadee5307 жыл бұрын
safi blue
@kulilyhassankulily5216 жыл бұрын
Kesho kitwa harus hamna tena zinaaaaaaaaaaa!!!! Bablony byserrrrrrrrrrrr
@geofreykadala6 жыл бұрын
Best of the best .....
@edisonvedastus30576 жыл бұрын
been bizzy noma
@edisonvedastus30576 жыл бұрын
noma
@ramoolavichunare6 жыл бұрын
SALUTE YOU BYSER
@maulidmayala34536 жыл бұрын
Original kitadum fek hakitadu blue we noma
@nassorohamadi33656 жыл бұрын
Mr Bongo flever
@esthernyokabikimiti85847 жыл бұрын
anapendwa waaah the energy is real. he can also make a good pastor he's voice is commanding😂😂😂😂😂😂
@movieromanticscenetv5755 жыл бұрын
Blue umeuza kinoma noma
@crxtsyliver27457 жыл бұрын
hahaha mr fiesta.Tisha mbaya
@paulsantanatzee83017 жыл бұрын
hajawai kuaribu show bluu
@bensonfrank95787 жыл бұрын
Huyu jamaa Noma
@emmanuelaggery68777 жыл бұрын
uyu kawaida yke
@mariamk14887 жыл бұрын
kabaisa Nakupenda sana..
@jumakapora26916 жыл бұрын
Ongela bruu """""
@nassrohamadi35614 жыл бұрын
Mwenye Bongo flever
@jumanahodha13982 жыл бұрын
Man of the match
@PeterJohnRukiko7 жыл бұрын
#RESPECT
@bashiriiddy28637 жыл бұрын
Blue wewe noma
@abumalik6857 жыл бұрын
laiti blue xhaw hii ingelifanyika huku Zanzibr ndani ya Ngome kongwe .mji mkongwe watu majumbani waxingeli lala kwa zogo dah! ww nyani mzee kwelii acha na hilo jina waliibe .
@shadyasaid20306 жыл бұрын
Nice
@khansclarityinternational41197 жыл бұрын
Ka byser mwenyewe
@mussatendeli69094 жыл бұрын
Show kama hiz ndo zinatakiwa sasa
@fredmathubejr35477 жыл бұрын
best perfomer i have seen sooo far...but daah wale akina chura na chilole hapana milard hahahahhahahahhaa
@nadimuch81787 жыл бұрын
Fred Mathube jr hello
@tonmavocha27566 жыл бұрын
BG UP MR BRUE
@emanueladamayubu99407 жыл бұрын
noma sanaaaa
@hashamrash4974 Жыл бұрын
Mikonoo juu dar salaam
@aronjacob49534 жыл бұрын
Umetish%
@nwntz7 жыл бұрын
thumbs down roho mbaya tu mamae zenu blue kaza
@slimsan38597 жыл бұрын
hUYU jAMAAA nI nUXIIIIIII....>!!!! baki na sisi
@charleskenzo25335 жыл бұрын
Team kabaisa iko wapi
@timotheokileo43356 жыл бұрын
Kwangu huyu ndo kasepa na kijiji
@samsoncharles89885 жыл бұрын
Shikamoo baba
@hashirwazirsalehe17905 жыл бұрын
huyu ndo simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhh
@lenjeevara34077 жыл бұрын
pwaaaaaaaaaaaaa
@msofelighitrider57486 жыл бұрын
Haaaa mi nilijua ya 2017 kumbe ya 2016
@paulojoseph93456 жыл бұрын
Huja wai niangusha babilon
@samsoncharles89885 жыл бұрын
wanaotoa tunzo niwasengeeeee huyu jamaaa balaa lake sio la kitoto
@rashidkamata15877 жыл бұрын
Blue ni home yajiji kaamsha malaiya kinyama yani adi raha
@rashardpodo8851 Жыл бұрын
Hii show huwa sichoki kuitizama
@aleemabesh46356 жыл бұрын
hujawah kutuangusha wadau wako
@hamisosman96883 жыл бұрын
Somebody call bluuuuuuuuuuuuuuuuuuuue
@lilianwilliam51536 жыл бұрын
Jamani alikiba hajawahi kumwangusha mtu akishirikishwa
@sir.magere23967 жыл бұрын
Mr. alisababisha balaa kama hakua kiroba sijui
@tpanrag397611 ай бұрын
T-pan oya Korea okay nnnn
@richardmwita81047 жыл бұрын
mboga saba iliimbwa mara mbili au?
@gabriellafaith61287 жыл бұрын
Ivi hamna wa kumshauri alikiba jins ya kuvaa kama star
@billyzokah54107 жыл бұрын
kweli swali zuri .ustar hasa wakimziki unafaa uwe na identity and unique hasa mambo ya mavazi .siwote wanaokuja kwa show wanavutiwa na nyimbo hata pia muonekano wako hasa life sytle yako hasa mavazi ionekane kweli huyu ni msaani .ckua kama mtu wa kawaida unapoteza ladha ya show.kwanini wamarekani wanependa vitu vya dhahabu kama chain hiyo inazidi kumpa marks nakutambulika vyema kwa watu kama msanii.kwa kweli alikiba asijieke simple sana yeye ni star mkubwa uzingatie viegezo vya ustar la cvyo atamshusha hadhi yake.
@salamakadzo2407 жыл бұрын
Gabriella Faith 😂😂😂😂mbavu zangu
@yusufjuma2647 жыл бұрын
Byser
@gracejames64176 жыл бұрын
Sijui nani ambae akupendi yani kama a town tunakukubali kinyama