MSHTAKIWA MWENZAKE SABAYA ACHOMOA BETRI, AOMBA ULINZI KWAKE, ASEMA ALIKUWA MATEKA WA SABAYA..

  Рет қаралды 63,052

Global TV  Online

Global TV Online

2 жыл бұрын

MSHTAKIWA MWENZAKE SABAYA ACHOMOA BETRI, AOMBA ULINZI KWAKE, ASEMA ALIKUWA MATEKA WA SABAYA..
MshitakiwA wa Tatu katika kesi ya Uhujumu Uchumi Watson Mahumange amieleza mahakama kuwa anamfahamu vizuri Lengai Ole Sabaya na siku ya Tukio la Kuchukuliwa Kwa Milioni 90 .......
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 186
@saidhassan7779
@saidhassan7779 2 жыл бұрын
Kaka Mashaallah Iko siku nitafika arusha na nitakutafuta kaka Inshaallah ,mm Niko kisiwa Cha pemba Karibu sna kaka kwetu Inshaallah,
@nellymmbando6971
@nellymmbando6971 2 жыл бұрын
Aisee kwel. Wee ni msomi storry yotee. Umepiga. Kwa kichwaa duuuh🙌🙌 salute broh
@allyjzayumbajuma1405
@allyjzayumbajuma1405 2 жыл бұрын
Huyu jamaa is more than genius hapaswi hutangaza kwny viji block kama hivi anatakiwa apate kazi BBC
@mpirabure7822
@mpirabure7822 2 жыл бұрын
Wewe jamaa ni hatari sana maongezi yote hayo ulikariri hahaha smart and genius presenter
@felistersmejumaa5188
@felistersmejumaa5188 2 жыл бұрын
Mashallah big up muandishi msomi🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@beatricepallangyo2821
@beatricepallangyo2821 2 жыл бұрын
Hongera sana Mwandishi Msomi.., Matumaini yangu siku moja nikuone BBC
@jumamohamed7720
@jumamohamed7720 2 жыл бұрын
We jamaa ni hatari 🔥🔥
@junuferjinu1444
@junuferjinu1444 2 жыл бұрын
Kweli ww muandishi msomi🙌🙌🙌
@petersulle1937
@petersulle1937 2 жыл бұрын
Kweli uko vizuri, unatiririka utadhani wewe ndiye Watson, hongera sana
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
Tunaomba musimuweke gereza moja na hao wengine watamnyonga
@westmanmoses541
@westmanmoses541 Жыл бұрын
Alikosa nini kwani
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 2 жыл бұрын
Mwandishi wa habari msomi wa Tanzania nzima
@barakakings
@barakakings 2 жыл бұрын
Mfalme Suleiman aliomba Hekima,viongozi na watawala wengi siku hizi Wana jisahau Sana na kutumia akili zao,hayo ndio matokeo take.
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Kiloba skole baba Maashallah Allah mkubwa umekaliliyote hayokichani daa hichokipaji kabisa unacho unampizani wenginewataiga ila hapo kwako stop❤️❤️
@whimsymaverick3057
@whimsymaverick3057 2 жыл бұрын
Huyu kijana ni hatari hamna mfano. Hiki kipaji Cha kushika mambo si cha kawaida
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
@@whimsymaverick3057 Sana yani sijawahi onawalakusikia Mungu mkubwa Sana
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 2 жыл бұрын
Iyo mutu imesoma.iko byeee
@israeleliah7163
@israeleliah7163 2 жыл бұрын
Anasema alipo kua peke ake kwenye gari aka kimbia na kuliacha kundi la sabaya,still anasema akawasiliana na sabaya akiwa dar baada ya kitenguliwa inakuaje watafutane tena wakati mwanzo alimkimbia,huyu jamaa anajaribu kulipiza kisasi kwa sabaya Ila kwenye maelezo ana jichanganya Sana
@oslojob5688
@oslojob5688 2 жыл бұрын
Umetisha Dana kurumbwa uko vizuri
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 2 жыл бұрын
Kupitia kwaresma hii BABA wa mbinguni ukatende jambo juu ya wanao
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 жыл бұрын
huyu jmaaaa amekalili au anasoma hapo mbele mbona km anakalili mambo mengi sana
@abdullahwaziri5499
@abdullahwaziri5499 2 жыл бұрын
Hicho kichwa kweli sio masihara
@natashaschlegel3238
@natashaschlegel3238 2 жыл бұрын
Mtangazaji makini sana. Keep it up 👏🏼
@leylahleylah4599
@leylahleylah4599 2 жыл бұрын
Mwandishi msomi🔥🔥🔥
@philipombwambo6345
@philipombwambo6345 2 жыл бұрын
Uko vizuri kijana
@agriparose3942
@agriparose3942 2 жыл бұрын
BBC swahili hamumuoni huyu mwandishi jamani huyu sio wa kua muandishi wa viji TV online ni kumkosea
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
Kijana atakuwa ameshauliwa sana au amejishauli sana ameona kupambana Serikali ni hatari sana akaamua kusema ukweli safi sana
@stevenjogoo4196
@stevenjogoo4196 2 жыл бұрын
Yaani hata kama hatuna akili.hawa wote ni majambazi
@rhamlaally6930
@rhamlaally6930 2 жыл бұрын
Takataka haoo majambazi
@bettywatongo5471
@bettywatongo5471 2 жыл бұрын
Mungu akutunze mtangazaji
@avitusmichael5
@avitusmichael5 2 жыл бұрын
Mtangazaji nimekukubali sana una kipaji
@deviskaliare5420
@deviskaliare5420 2 жыл бұрын
Ahsante sana mwandishi msomi
@bahatikarume3203
@bahatikarume3203 2 жыл бұрын
Mtangazaji safiiii!
@prophetjoeAngel24
@prophetjoeAngel24 2 жыл бұрын
Very smart and passionate presenter.
@felixhaule7071
@felixhaule7071 2 жыл бұрын
Watetezi wa Sabaya mnasemaje hapo??😂😂😂
@careenmsuva5648
@careenmsuva5648 2 жыл бұрын
sabaya kichwa kimekuwa kama cha kuku😅😅😅😅😅😅
@suleimankhamis8298
@suleimankhamis8298 2 жыл бұрын
huyu jamaa ni professional kuyakumbuka yote hayo
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
Serekali imlinde huyo kijana asijeuawa
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Inauma Sabaya unateseka Sana ni basitu Mungu afanye wepesi yaishe utoke
@maxmilianjoseph8065
@maxmilianjoseph8065 2 жыл бұрын
Hajafikia hata robo ya mateso alowafanyia watu na Bado
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
Hanifa hivi husikii au unajifanya kiziwi
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
@@leokamil6284 HILO NDIO TATIZO LA WATU KASIKIA LAKINI ANA COMENT UTUMBO.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
MUNGU GANI ATAMPA UWEPESI HUYO MBWA SABAYA?? MUNGU ATAMPA WEPESI WATSON KWA KUSEMA UKWELI SIO HUYO MBWA SABAYA 50 + 30 = 80 DADEKI.
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
@@salimmalaka256 Mi nadhani hawa sijui walikua wakipewa kula na huyo jamaa,yaani hawataki kuona ukweli ambao upo wazi hao ni sawa na jongoo yaani
@Immamachengo
@Immamachengo 2 жыл бұрын
Mungu wa Danielle Yuko kazini sabaya mungu atafanya muujiza amen
@mofatv5565
@mofatv5565 2 жыл бұрын
Mnamtetea muuaji mnajua nyie huyu acha Avenue alichokipanda
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
@@mofatv5565 KWELI BROO
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
MIUJIZA NDIO HIYO KESHAPIGWA 30 ANGOJE MINGINE 50 IWE 80.
@felixhaule7071
@felixhaule7071 2 жыл бұрын
Mungu wa Daniel hatetei Majambazi kama Sabaya acha ujinga
@joycemfuru4752
@joycemfuru4752 2 жыл бұрын
Muujiza wa nini?kuua watu au?
@dechardavid2555
@dechardavid2555 2 жыл бұрын
Sabaya anakula uzee wake akiwa kijana baada ya kuchezea ujana wake
@saidindaro3680
@saidindaro3680 2 жыл бұрын
HAPA HUYU MWANDISHI ANASOMA MAHALA
@esthernakawule7009
@esthernakawule7009 2 жыл бұрын
Thx 4 da show 🙏
@InfinixTechnology
@InfinixTechnology Жыл бұрын
Asili.haipotei.hats.baba.take.alitesa.watu.uzuri.anayashuhudia
@stevenjogoo4196
@stevenjogoo4196 2 жыл бұрын
Sabaya utakoma kudhulumu watu
@InfinixTechnology
@InfinixTechnology Жыл бұрын
Sabaya.asulubiwe.
@Nyanda506
@Nyanda506 2 жыл бұрын
👏
@stellanchagwa5297
@stellanchagwa5297 2 жыл бұрын
Napenda unavyotoa taarifa
@faustinemalilo1513
@faustinemalilo1513 2 жыл бұрын
Jamaa anajua kuwasilisha sana
@peteryukunda9239
@peteryukunda9239 2 жыл бұрын
Unakula ulichovuna! Km ulithulumu
@venstonvedasto
@venstonvedasto 2 жыл бұрын
nilijua unasoma ila nimegundua kwamba umeelewa unachokisema
@Joseph-sf7xl
@Joseph-sf7xl 2 жыл бұрын
Pole dana sabay
@Joseph-sf7xl
@Joseph-sf7xl 2 жыл бұрын
Pole sana,sabay
@fikedyngulwa9320
@fikedyngulwa9320 2 жыл бұрын
Huyu muandishi mzuri sana
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 жыл бұрын
dunia ina mambo meng sana
@davidpaschal5363
@davidpaschal5363 2 жыл бұрын
Mi wa 2
@rahimchilumba9708
@rahimchilumba9708 2 жыл бұрын
muandishi noma sana
@judaspantaleo9779
@judaspantaleo9779 2 жыл бұрын
Duh kwakweli ni mambo mengi ya kipuuzi yalikuwa yanafanyika aisee
@tatalyzer382
@tatalyzer382 2 жыл бұрын
Dahh..kwa maelezo hayo ya Watson Sasa napata picha kwann wakili alimkataa..sababu sio maslahi sababu Ni kuogopa kuchomoa betri
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 2 жыл бұрын
YASITOKEE YA MTWARA, KUUA ILI ILI USHAHIDI USITOLEWE WOTE, MLINDENI HUYU KIJANA ATOE USHAHIDI NA UKWELI HUU HADI MWISHO,
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 2 жыл бұрын
Ndo kitu nimewaza
@ednambata9503
@ednambata9503 2 жыл бұрын
Mchongo tu mbowe yuko nje atafanya kila kitu
@sudyslaa8278
@sudyslaa8278 2 жыл бұрын
Huyu kijana kama alichosema ni kweli inaonekana alikuwa anatumwa tu bila yeye kujua anatumwa kutimiza uhalifu.
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 жыл бұрын
sasa hapo uhalifu upi aliiufanya wakupeleka pampu garage ama kupelekwa garage ili kupata ukweli wa bai ya pampu ?
@stevenjogoo4196
@stevenjogoo4196 2 жыл бұрын
Sialimtoroka jamani
@agriparose3942
@agriparose3942 2 жыл бұрын
Mkisikia waandishi wenye taaluma yake ni huyu sasa... sio juma lokole na libabalevo
@houseofbeatytv9682
@houseofbeatytv9682 2 жыл бұрын
Upo vizur kaka wewe ni mwandishi
@manjaruu1575
@manjaruu1575 2 жыл бұрын
Ili swala mbona lipo wazi uyu mjomba alikuwa mpigaji
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
Alikuwa mtu hatari sana sio kdg
@firdausqutty2067
@firdausqutty2067 2 жыл бұрын
Acha kuhukumu mtoaji hukumu ni Mungu pekee, sisi sote tu wadhambi.
@manjaruu1575
@manjaruu1575 2 жыл бұрын
@@firdausqutty2067 uelewa wako mdogo wapi nimehukumu?
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
@@firdausqutty2067 Linaeleweka kila mwanadam anamapungufu yake mdau ila huyu jamaa sio upigaji wa mali na pesa tu alikuwa anaumiza watu kukata maskio watu bila hofu ya Mungu huyu ndie aliefyeka shamba aliojitolea Mbowe akawalimia bustan ya mboga mboga kila aina ya mboga mboga akawapa kina mama wa Hai ili wajipate kipato chao yeye akaja na kikundi chake akafyekelea mbali kbs alitumia cheo chake kufanya yote hayo upo?
@firdausqutty2067
@firdausqutty2067 2 жыл бұрын
@@manjaruu1575 kama wakwako ulivyokua mfinyu, na kama unauhakika alikua mpigaji basi mlikuanae pamona
@neemaloy889
@neemaloy889 2 жыл бұрын
Mungu mwema atamsaidia Sabaya hilo tu
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
Mungu atamtendea aliyotendea wengine
@asiabakari2768
@asiabakari2768 2 жыл бұрын
Nimajambaz hasa huyo mdg mweusi alinipokonya pesa na kofia akaitipa mtoni
@neemaloy889
@neemaloy889 2 жыл бұрын
@@asiabakari2768 sasa jambazi anapokonya kofia na kutupa mmmmh!!!!!!Asaia Bakari msangi
@asiabakari2768
@asiabakari2768 2 жыл бұрын
@@neemaloy889 unajua alikuwa anasifa sana tulikutan club
@asiabakari2768
@asiabakari2768 2 жыл бұрын
@@neemaloy889 nilivaa kofia Kali nzur San si msingizii huyo kijan kwakwel 😀nilimuogopa sana
@juliethgervas3194
@juliethgervas3194 2 жыл бұрын
Kweli mwandishi msomi👮🏾
@lordsmenas3267
@lordsmenas3267 2 жыл бұрын
MUNGU amsaidie SABAYA
@yudaaraphati9673
@yudaaraphati9673 2 жыл бұрын
Haki anazofanyiwa sabaya wangefanyiwa watuwote hakuna mtuu angekuwa jela
@gracegrace6200
@gracegrace6200 2 жыл бұрын
Mbowe kaachiwa yuko kazini kumumaliza Sabaya
@joycemfuru4752
@joycemfuru4752 2 жыл бұрын
Acha wafu wazike wafu wao mbowe ametokea wapi hapo
@noelbryson7840
@noelbryson7840 2 жыл бұрын
Mbowe anahusika vipi hapa we Mwehu??
@noelbryson7840
@noelbryson7840 2 жыл бұрын
Aliyemfunga Sabaya ni Serikali au ni Mbowe?? tumia akili.
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
Kichaa wew
@gracegrace6200
@gracegrace6200 2 жыл бұрын
@@stephanomoses7694 kichaa ni wewe usiyoyaona yanayoendelea kwa sasa. Mbowe anaimba tu hana visasi. Rohoni mwake madudu ya visasi yamejaa.
@jacksonmanyalu7036
@jacksonmanyalu7036 2 жыл бұрын
Mbona hasemi kila walipokuwa wanafika supermarket ninapofanyia kazi walilazimishwa kuimba nyimbo za dini wakati Sabaya akipiga gitaa na yy analazimisha watu msalimie huyu shikamoo mjeshimiwa hata kama ni mzee??
@mitchellshayo4801
@mitchellshayo4801 2 жыл бұрын
Hahahaaa hapo kwenye kuimba nyie jaman
@denisimaliyaweni9183
@denisimaliyaweni9183 2 жыл бұрын
Chamoto atakiona mbwa huyu katesa sana watu
@martinkredo7103
@martinkredo7103 2 жыл бұрын
Bro uwe unaandaa makala tuwe tunasikia sauti nasio unatusimulia Kaka Babu mkombe
@firdausqutty2067
@firdausqutty2067 2 жыл бұрын
Hakuna mkamilifu ktka dunia hii, kila mtu anadhambi, na mtoaji hukumu ni Mungu pekee, haya mengine yanafanywa kwa mamlaka na sheria za nchi, ila hata hao wanaohuku nao watahukumiwa mbinguni.
@shukranitv2971
@shukranitv2971 2 жыл бұрын
Hawa ndio waaandishi wa habari jamaa hasomi seehem kakaliii yotee UPO VIZURI sana
@paulzabron4377
@paulzabron4377 2 жыл бұрын
Kaka ya leo sijaona
@vanderjoe2551
@vanderjoe2551 2 жыл бұрын
Mmh
@dereva0
@dereva0 2 жыл бұрын
hiki sio kichwa ni kacompyuta ...tunajua mahkaman watu hawarecord umeyaweka kichwa...UNAJUA
@yusuphalexander7727
@yusuphalexander7727 2 жыл бұрын
daaaa siku ya kufa nyani miti yote huteleza jamanii
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
Mabingwa wa kukataa kuwa Sabaya hakutenda aliyetenda yupo wapi ?.Kuna watu waliokuwa wanasema Sabaya kaonewa na Serekali je kwa maelezo hayo mmesikia ushahidi huo?
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 2 жыл бұрын
Kwani yesu alipo uwawa huku pata KUSOMA alitolewa ushahidi? KAMA MTU KACHOKA KUSUMBULUWA KAMA PETRO LAZIMA ATASEMA NDIVYO SIVYO KWANI MAHAKAMA YA KIGOGO WANA FATA USHAHIDI AU HAKILI ZAO ZITAKAVYO? KUNA USHAHIDI WA SAMIA KUMTETEA STEVE NYERERE ASISUMBULIWE NA MADAWA YA KULEVYA MAHAKAMA IM EFANYA NN? KAMA UNA TAFUTA USHAHIDI WA HAKI? MBOWE ALISEMA HAZARANI KWANINI RAIS ANALINDWA NA LEO WASHA MUUA LKN WA EFANYA KIKI WAKA MUACHIA MBONA HUSEMI UNAINA USHAHIDI WA ADUI YAKO SABAYA
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
@@jenyyusuph4973 Acha kumfananisha Yesu na huyo muovu wewe .Sina la kukwambia kwani ndipo akili yako ilipokwamia imeganda.Umeandika maneno mengi ila hayana maana Nonsense.Hakili zao ndio nini Mahakama ya Vigogo ipo wapi?kweli wewe umebeba kichwa hewa ni hasara tupu unachanganya mavitu hata hayaeleweki hasara kwa Taifa 🙌
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
@@jenyyusuph4973 Tafadhali nenda shule kwanza hujui kuandika
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 2 жыл бұрын
@@leokamil6284 uzuri ume elewa
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 2 жыл бұрын
@@leokamil6284 ndio ni mahakama ya kigogo siyo ya wana nchi ni mahakama ya familia ya kigogo KIFUPI wa tz wamehoji tume HOJI tu nataka kujua ninani aliye muhakikishia lisssu maguful HAPONI kwakua mahakama sio ya wana nchi ni ya kigogo waka nyamaza jibu makosa ya sabaya no makubwa kuliko aliyekua anatoa siri za serkali kama sio unafiki? Makosa ya sabaya ni makubwa kuliko kosa la samia kuwa Linda VIJANA wanaojihusisha na madawa ya KULEVYA balaa MAKANISANI misikiti bara barani mateja wanatusumbua unafiki TU WA KUZUNGUSHA MANENO HANA KOSA SABAYA KUBWA KULIKO HAO WENGINE SANA ALISHIKA MAJVAZI YAO JAZIBA CHAFU WENZAO WAO ZAKUZOEA UOVU
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 жыл бұрын
serkal mnashindwa kudili na wahalifu wanaibia raiya na wanauwa kilasiku na madereva wanao sababisha ajali kwa uzembe mnashikilia vijana wasio na hatia
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 2 жыл бұрын
Kwelinwewe msomi unasikiliza na unaelewa
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 2 жыл бұрын
HAKI NA UKWELI VITAKUWEKA HURU DAIMA. BORA UMEMRUDIA MUNGU NA KUSIMAMIA UKWELI
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 2 жыл бұрын
ATAFUTIWE SEHEMU YAKE MAALUMU, UKWELI NI HAKI JAPO UNAUMA KWA WATENDA UBAYA NA WAONGO
@victoravelin575
@victoravelin575 2 жыл бұрын
Toa namba yako tukupe sadaka
@rhamlaally6930
@rhamlaally6930 2 жыл бұрын
🤣🤣huyo dogo aache uongo yn hapo arusha yeye ndo alikuwa chawa wa sabaya na kumtaftia mademu, anagombana na watu ovyo kisa n mtu wa sabaya
@sifatiiman
@sifatiiman 2 жыл бұрын
duuh kumbe 😃😃
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
Alaaa! Kumbe ni msaliti
@vadashadavis6104
@vadashadavis6104 Жыл бұрын
mhhh
@pauronatanaeri1961
@pauronatanaeri1961 2 жыл бұрын
Kweri nimeamini wario jera siwote wanakosa wengine wasingiziw
@donathasimon9292
@donathasimon9292 2 жыл бұрын
Duuh mpeni ulinzi huyo kijana
@zeldamlay4276
@zeldamlay4276 2 жыл бұрын
Sasa ilikuwaje alale kwny kota wakati alienda Dar kumuona baba mdogo? Kama aliagizwa apeleke begi si angelitoa na kuondoka? Kwanini alale hili jambo kwake litakuwa gumu kwake! Mungu akamuonekanie tuu jamani
@yusuphhugugu9759
@yusuphhugugu9759 2 жыл бұрын
Malipo nihapa hapa Duniani analipwa kwa alichokitenda
@christinanyoni937
@christinanyoni937 2 жыл бұрын
Mwisho wa ubaya ni aibu
@manasekabusha7180
@manasekabusha7180 2 жыл бұрын
walio uwa mtwara vp
@innocentpaul9105
@innocentpaul9105 2 жыл бұрын
Sasa kama alikimbia baada ya kutolewa wenge ilikuaje Tena ukakubali utumwe ulete begi dar mmhhh Kuna kitu hapo katikati sio bure
@neemaloy889
@neemaloy889 2 жыл бұрын
Kabisa
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 жыл бұрын
Kesi ni inamrorongo mrefu hii du🤔Allah arete wepesi palipokua pagum
@angiringalyimo365
@angiringalyimo365 2 жыл бұрын
jamaa aliota kiburi!
@stevenjogoo4196
@stevenjogoo4196 2 жыл бұрын
Hapotu ni maelezo ya kuthibitisha ukweli. Kwani sabaya hana hana wasaidizi
@majigedaud9790
@majigedaud9790 2 жыл бұрын
Michongo tu
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
NA BQDO ATACHONGWA MINGINE 50.
@sefaniakalinga3456
@sefaniakalinga3456 2 жыл бұрын
Atavuna Alichokipanda
@agnesdidas2790
@agnesdidas2790 2 жыл бұрын
Duuu
@abopicsissa2774
@abopicsissa2774 2 жыл бұрын
Nadhifu
@godwinmwakibibi274
@godwinmwakibibi274 2 жыл бұрын
Wababe wengi wamepita sio Huyo dogo tu sema limemkuta!
@deograsmbilinyi1214
@deograsmbilinyi1214 2 жыл бұрын
Yaani wewe umekuja kuona mgonjwa dar imekuwaje ukalale huko? Si angekabidhi begi na kuondoka?
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 жыл бұрын
Hii kesi hata haieleweki ina utata mwingi mno, kwa nini hana maslahi na Sabaya na anatumika hivyo? Amepewa pump wakati hata gereji ilipo haijuwi?
@asiamuhammad8718
@asiamuhammad8718 2 жыл бұрын
Mi nahisi huyu dogo tamaa imemponza
@emanuelpoul2972
@emanuelpoul2972 2 жыл бұрын
Wwx
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 жыл бұрын
hahahahahaaaa et n mtu hatar sana, kwan sabaya anataka kumfanyeje tena huko, itakuwa hyo watson anajua ukwl ndo maan anaomba ulinz sabay anajua anawez kumwaga ubuyu wote wa ukwel hahahahaaa
@jenniphermwakasita6830
@jenniphermwakasita6830 2 жыл бұрын
Huyu jamaa ni muongo anasema alifungwa pingu na baada yake alimtoloka inakuaje amletee begi dar vile vile haiombe makama urinzi kwamba Sabaya ni mbaya sijamwelewa kabisa
@elibarikkivuyo8428
@elibarikkivuyo8428 2 жыл бұрын
H I'm
@kimcash3079
@kimcash3079 2 жыл бұрын
Ajieleze vizuri alitoroka then akawa na sabaya tena kila kitu huwa kina mwisho
@challengechallenge856
@challengechallenge856 2 жыл бұрын
Huyu chalii Kuna siku alipigwa makofi kwa sababu ya kunuka miguu na sabaya pamoja na walinzi wake
@jamesjoseph6825
@jamesjoseph6825 2 жыл бұрын
Wasiomjua sabaya wanamtetea😆😆😆😆😆
@abopicsissa2774
@abopicsissa2774 2 жыл бұрын
Nadhifu
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 жыл бұрын
ila hapa kuna ukwel unafichwa, et akatoloka kutoka kwenye gari na wakat alikuwa kafngwa pingu, na baday akapgiwa cm achukue bag aende nalo dar, ina maan kwann walimfunga pingu na kumweka kwenye gari baday hawakufatilia lolot jmn hap kun cotradct kdgo
@neemaloy889
@neemaloy889 2 жыл бұрын
Umeona ee yaaani Mungu yupo kazin
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 жыл бұрын
@@neemaloy889 huyu dogo kuna kit anakijua ndo maan sabaya kaona anajitetea mwenyew kahic anaweza kuchomoa betri
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
@@martinmaryogo3676 hiyo ni gang ya kutenda uovu
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
Martin aliporudishwa kwenye gari alifunguliwa pingu sikiliza kwa makini.Inaonyesha walimfunga ili kumshtua yule mwenye gereji aone ni Polisi .Walitumia hiyo kama gea ya kumtisha mwenye gereji.Wewe husomi tu iyo game ukaunganisha story
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
@@neemaloy889 KIZIWI WEWE.
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 10 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 8 МЛН
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 718 М.
Historia ya  Rais 'THOMAS SANKARA'  Aliyeuliwa na Rafiki Yake IKULU
11:19
Global TV Online
Рет қаралды 780 М.
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Success Path Network
Рет қаралды 380 М.
Mtoto Yohana Tumpongeze Rais Magufuli wimbo wake mpya akiimba Mito ya Baraka Church
8:31
NAPE ATINGA IKULU/AMUOMBA MSAMAHA RAIS MAGUFULI.
2:58
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 75 М.