Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Msukuma akichangia maoni yake kwenye taarifa ya kamati kuhusu ripoti za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali, bungeni jijini Dodoma, Novemba 2, 2022
Пікірлер: 66
@frankilunga1447 Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu ipo siku utaongoza Tanzania kwa uwezo wa Mungu kwa mbalii namuona mwendazake anafurai kumuona kijana wake anavyosema ukweli
@madattarcharles1114 Жыл бұрын
Comrade unajua kweli kabisa,huwa nafatilia speeches zako yaani unaongelea Ukweli, nakupenda Sana Msukuma%%%%%%%......
@sifathyunusu871 Жыл бұрын
Msukuma sisi watanzania ndugu zako kaka zako TUNAKUPENDA kwa sababu ubunge unautendea haki sio kama wabunge wengine wanakaa bungeni bila kututetea lolote hii sio dili unafaa KTK nafasi hiyo mimi natoka KAGERA Muleba usiogope na usirudi nyuma unapokua unatenda haki ya kututetea Asante sana Mungu akubariki
@deusmtewele1599 Жыл бұрын
C A G mwizi anakagua wezi Msukuma hiyo nimeipenda
@IpyanaMwangonda
Mzee nakuelewa sana ila msaidieni ata ally mlagila mbuge wa kyela Yani atetei ata wilaya yake mungu akubaliki
@fellisianholle9431 Жыл бұрын
Uko sawa sana mbuge msukuma kwa kulishauli bunge
@AbrahamSekuza Жыл бұрын
Msukuma angalia sana CCM itakukolimba angalia sana wenye nchi yao toka awamu ya kwanza wanakuona
@davidchungu6598 Жыл бұрын
KWA SERIKALI HII YA AWAMU YA 6 NA KWA LICHAMA HILI LA CCM MAJIZI MATUPU MSITUPIGIE MAKELELE HAPO
@user-ge6fi8dk2g Жыл бұрын
Upo vizuri sana Msukuma
@RehemaNchimbi-ji9jq
Namkubali sana msukuma👍👍👍
@benjaminbatano698 Жыл бұрын
Mama yupo China anatafuta pesa hakuna shida ataziba mapengo ya pesa zilizoibiwa na mafisadi.
@majurandaro1408 Жыл бұрын
wabunge wote wangekuwa kama msukuma bunge lingewa safi nawananchi wasinge kuwa na shida
@adam-saffi211 Жыл бұрын
Musukuma hajui kitu, talk talk talk hajui hata katiba ya nchi!
@DaudiMwanyombole-tm6hm Жыл бұрын
Musukuma unayo yaongea nikweli kabisa wasomi wanatuangusha sana ukiangalia kazi zingine unakuta yamefanyika madudu tupu
@VumiliaMwakamisa
Huyu anaeitwa hasunga yupo bungeni kweli? Inamaana huku ,kwenyejimbo lake hakuna matatizo🙆???¿ Hiiiiii jaman
@barnaba3037 Жыл бұрын
Dah kwahiyo watu wa cag wanawazunguka wabunge na wabunge wanawazunguka dah Mungu tuokoe