Mkuu wa mkoa. Kwa hili. Nakupa kura yangu. Love you.tena mwaaahhhh. From Kenya mombasa
@garamabe68915 жыл бұрын
🤣🤣🤣 uko na kiu sana
@hababisamade72834 жыл бұрын
Safi sana Mkuu wa mkoa
@bethkamau60374 жыл бұрын
Aki huyu mku wa mkoa so akuje afunze wakwetu kusimama na ukweli
@aminasaleh61344 жыл бұрын
mkuu wa mkoa upo sw nakukubal mung akupe umri mrefu
@watuwawili51685 жыл бұрын
He was very smart. Mungu akubariki brother
@patrickfulano52822 жыл бұрын
Good , mkuu wa mkoa kazi Nzuri Sana big up
@idrisahussein38695 жыл бұрын
Hongera saña tunahitaji watu kama hawa kwa maslahi ya nchi,hili ni moja lakini yapo mengi sana dhulma nje nje kwa wanyonge wa nchi hii.Ubarikiwe Hapi,nakukubali.
@msomisongoma97155 жыл бұрын
mungu akutangulie kazi njema sana kwa wananchi
@francinesimirra42025 жыл бұрын
WOW wow Amazing Mungu akuongezeye ekima kama ya sulemani wewe ni msaada kwa taifa lako 👏👏👏👏👏👏👏👍
@sajubwax93355 жыл бұрын
Francine Simirra ska
@anosisyemwaipopo4664 жыл бұрын
Watanzania wanafiki sana, wanachoshangilia nn sasa? Wanapoenda kukopa wapo radhi hata wahonge ila kuripa sasa chenga nyingi, mikopo wanahonga, wanapeleka kusiko malengo...tabu sana
@mbwanaomary75375 жыл бұрын
Wale wote wanaosema hawa vijana wanafanya kazi kwa mihemko ni wezi, hii hari ya kazi walionayo hawa vijana imewasaidia wengi sana hasa watu wa chini maana vipindi vilivyo tungempata wapi mkuu wa mkoa tungemuona wapi mkuu wa wilaya, wacha wafanye kazi
@fatumahirbotuke16634 жыл бұрын
Ma shaa Allah mkuu wa mkoa Allah akuzidishie kila la kheri..kweli wanyonge watapata haki kwa kazi yako nzuri may almighty Allah bless you from +254
@isayangonyani26782 жыл бұрын
Aise Alli Hapy. safi kazi nzuri sana
@taifocuscompany92465 жыл бұрын
Huyu RC anaugusa moyo wa MUNGU moja kwa moja.
@jozostationery1915 жыл бұрын
yes
@radhiasalum71565 жыл бұрын
Yunusi karika futi mia kuwa dhaman si nyumba😂😂😂
@teddygidamuhale94055 жыл бұрын
Radhia Salum habsri
@abdulmelele73224 жыл бұрын
Yunus konyo kwel😂😂😂😂😂
@aspaslove1135 жыл бұрын
Kama unaomba part2 kama Mimi gonga like tujuane hhhhh
@bjzee19815 жыл бұрын
Magufuli kachagua kweli. Yani hakuna mbabaishaji ktk uongozi wake. Big up Mr PC
@Ntambwe40404 жыл бұрын
☆☆☆ after Magufuli this guy need to take it over ☆☆☆ Tanzania itaendelea kusonga mbele. Love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@ifruitx20965 жыл бұрын
Sawa sawa mkuu wa mkoa hivi ndio kazi inafanywa bwana hata mungu anaona unachokifanya😁😁
@jacksonmathayo65104 жыл бұрын
Hakika
@paulbruno98175 жыл бұрын
I admire you Mr.Rc Happy I love your job!
@herculesthepower15442 жыл бұрын
Don't believe what you see and what you hear. This politicians are very clever. This is organised group of actors including Hapi himself. Once case is at the court it is not allowed to be discussed publicly and he Hapi himself knows that,but since there is no case at the court he knows he wouldn't be charged cos they are just acting. The mama Asian guy(I believe asian kinda forced into this matter)to act lawyer, bank, manager. If you noticed you will see the lawyer played dumb bank manager too. This act to raise his popularity and people to believe he is on their side. This is politic my friend.
@adammwakosya43255 жыл бұрын
Well done RC happy we need such kind of leadership.
@khamisseif6362 жыл бұрын
....
@jacksonnyange7012 жыл бұрын
Ùùùùuuùù
@muddah75592 жыл бұрын
Exactly! But, upumbafu, rushua, udjinga wa sisi wa Africa, huyu Kiongozi watamucukia na kumushusha. Thank u RC Happy angalao Mimi ni Mkongo(DRC). Nafirahi sana kwasababu Pombe Magufuli ameeee Yani Magufulification is still spreading.
@thegreatsource29532 жыл бұрын
Huyo RC ni hamnazo, anajifanya kujua wakati hajui kuwa hajui😏
@hashimbakari46702 жыл бұрын
@@khamisseif636 llllll
@albertmwinde4875 жыл бұрын
Hongera sana may Ally Happy New kazi nzuri God bless you
@skinnygypsy8629 Жыл бұрын
Yeah huyu sasa safi sana kama rais magufuli
@hawaabubakar26194 жыл бұрын
Swadakta safi naomba sehemu ya pili ln Sha Allah ilinione vpwali waclisha viyeti safi i salute u Bro from saudi
@fredytarimo91075 жыл бұрын
Hao jamaa bank wapumbavu kweli,hongera sana mkuu wa mkoa kumsaidia mwanamke mmoja ni sawa na kusaidia wanaume mia 100.
@oscartatrino17144 жыл бұрын
Magufuli rais wangu piga kazi baba piga kazi, unajua wakati mwingine binadamu unashindwa useme nini kwa kuwa pa kusemea unakuwa huna,ivi watanzania wenzangu tukiacha utawala baba yetu wa Taifa aliyeliongoza taifa hili kwa dhiki na shida pamoja na kuwa alikuwa na madini ya kila aina, lakini aliangalia mbele,ambae hii leo mimi namfananisha na baba mwenye familia kubwa aliyelima shamba akapata chakula akakiweka akiba ya baadae wakati wa njaa ili watoto wasije kufa na njaa,ambayo ndo leo madini aliyotutunzia baba yetu tunafaidi, ivi tukiacha utawala ule wa baba wa Taifa hapa katikati tawala zilizopita mpaka hii leo hapa kwa baba JPM, matukio kama haya tunayoyashuhudia watu kama hawa tena na wanasheria wakiwepo ni wangapi wamedhurumika haki zao kwa tawala zilizopita ukiacha kipindi cha mwalimu? Hatukuwahi kusikia habari njema kama hizi tunazoziona leo kwenye jeshi la magufuli, hata na kuna utawala wa wakati fulani ulitangaza mpaka kikosi cha mwavuli lakini hatukuyaona tunayoyaona hii leo, ebu watanzania wenzangu naomba niulize kaswali kangu kadogo tu, ivi kwa kazi hii aliyoifanya mdogo wangu Hapi kwa hawa watu yaani kwa meneja na ,mwanasheria wa benk NMB ni ya kujimwambafai mwambafai? Ivi unaweza ukasema Hapi amejimwambafai hapo? Hapi nae ametumia nafasi yake wala hajaiingilia mahakama,mahakama nayo ina nafasi yake, ebu cheki waangalie wapiga dili walivyobanwa maswali yaani dhahiri shahiri hata asiyejua kusoma ameng'amua kuwa issue nzima hapo kuanzia meneja mpaka mwanasjeria walipiga dili,na kumtishia huyo mama wa watu kumpeleka mahakamani,na wanajua watanzania tuliowengi tunashindwa kesi nyingi zikiwa mahakamani kwa kutojua sheria,au kwa kutishiwa kuwa kesi yako ni mpaka wakili ili ushindwe pesa za kumlipa, ndg Hapi kwa issue kama hiyo ivi mahakamani huyo mwanasheria alienda kufungua kesi gani? Ikiwa mkopaja kajikatalia kata kata kwamba yeye dhamana ya nyumba haitambui,yeye dhamana yake ni aseti zake,sasa huyo meneja na mwanasheria walipata wapi hati tena coppy? Tumwulize na huyo meneja alisomea wapi umeneja wake wa coppy kukopea mikopo? Na huyo mwanasheria achunguzwe vizuri uanasheria wake alisomea wapi? Huenda ndo wale wenye vyeti feki hao, kwanza mwanasheria gani wa benk tena benk kubwa kama NMB mwansheria wake unavaa tirshit tena ya round coler,halafu unathubutu kusimama mbele ya kadamnasi eti unajitutumua mimi ni mwanasheria wa NMB ivi hujaona aibu, ivi na nyie NMB mekosa kabisa watu wenye sifa za kufit hapo? Ona sasa mnavyoumbuka, watanzania ivi mnataka mniambie je kwa tawala zilizopita wababaishaji kama hawa wapiga dili hawakuwepo? Mbona hatukuwahi kuwasikia? Kama ndivyo ni wangapi kwa style hii wanyonge tumedhulumika haki zetu? Hapi kamata hao weka ndani hata wakisema na wewe unajimwambafai mwambafai poa tu.
@japhydejerry29083 жыл бұрын
Fredy Tarimo nakuona boss wanguu😆😆😆 kahama tuko pamoja
@neema-ee6qm5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@dandeenndandeen30475 жыл бұрын
Yaa Allah 🙌🙌🙌🙆
@janethjustin52565 жыл бұрын
wanyooshe baba safiiiii👏👏👏👏👏👏👏well done Happi.
@mcyudasicqo96105 жыл бұрын
Nakukubari kijana Hapy, Kazi njemaaa mungu akuinue zaidi hiii ndio tz ninayo hitaji, magu hakufanya makosaaa, nakuombea upate uwaziriii wa nje hiii ndi tim work
@lugayilajohn62695 жыл бұрын
Ninoooma Mbaba hapa kazi tuu kaka Upo sawa
@lugayilajohn62695 жыл бұрын
Jaman magufuli mwangalie kwa macho mawili hapy anafaaa tena Sana uwe unamhamisha hamisha ili aendeleee kunyoosha hawa wapuuzi wanaodhulumu wananchi da iringa mnamtu mhimu sana hapy Upo poooa sana tena Sana ingekuwa inawezekana mikoa yote ungezunguka kuinyoosha inchi
@quentinsylvia38772 жыл бұрын
Hongera sana Kwa kazi na msimamo uliouonyesha hapo .m.mungu akusimamie inshallah
@jkjonathanlabel44985 жыл бұрын
Hivi ndivyo mungu atakavyo hukumu siku za mwisho tena itakuwa zaidi ya hapo
@elishamdack74495 жыл бұрын
JK JONATHAN J Ic
@sadickwalker27954 жыл бұрын
Kabisaaaa.
@eliamugini61604 жыл бұрын
Huwezi kulinganisha hukumu za mwenyezi MUNGU na za hapi
@johndismas25622 жыл бұрын
Very good,,I appreciate RC Mungu akubariki sana
@husseinsalimmaula42545 жыл бұрын
Long long life ally happy maisha marefu.
@ashapearubart26245 жыл бұрын
Asante sana awamu ya5. Hingekua zamani wanyoge wanazulumiwa.
@aishaail44555 жыл бұрын
Watu wa bank ,wezi wanapotoa mikopo huwa hawalengi kumsaidia mkopaji bali ni kumkandamiza na kujinufaisha wao.
@margarethsaramaki11005 жыл бұрын
Hao tia ndani waongo wanamuonea huyo mama. Mimi yalishanikuta nilipata nyumba yangu.dill hilo lina watu nyuma yake.
@fatmazenafzena9175 жыл бұрын
Daaa wanyonge wengi masikini ....Alhamdulillah tumepata watetezi... Allah awalinde zaidi na zaidi
@kadogoomushadi54095 жыл бұрын
Muheshimiwa hao.niwaizi hao.mungu akupe afya njemaa mkuu wamkoa
@christinetimothy58055 жыл бұрын
Nimegundua Tanzania tunaibiwa sana haki zetu kwakutojua sheria.jamani kusomea kitu siompaka uje ukifanyie kazi vingine kwajili yakutusaidia wenyewe.
@sabinashabani97425 жыл бұрын
Benki sikuhizi wanaibia sana watu na huu yamekuwa mchezo wao mkuu tusaidie kwahilo
@FausitnePonera-fq9pj5 ай бұрын
Magufuri ana vijana wazuri sana ukimwangalia happy kama makonda
@user-ok9mi5uq6y4 жыл бұрын
Hongera kwa kazi mzuri. Mkuu wa mkoa
@wahidawahida66755 жыл бұрын
Wanyemakosa hao maafisa ata sis tumevunjwa nyumba mpk leo wazazi wangu wanahangaika na hatuna msaada
@ibrahimmawazo71655 жыл бұрын
Nampenda sana mkuu huyu wa mkoa.. yaani ana hoji FACT tupu.. Mungu akulinde na kila shari...
@clintonaward75802 жыл бұрын
Imeniuma sana 😭😭😭yani tunatoa viongozi Bora kwa visa na visasi vya wapumbavu wachache ila kuna Siku hawa wanaojiona ni wenye giningi Watakuja kusaga meno!!!!! Kaka hapi kuwa na amani wewe ni reserve wa mfumo ujao, si wao wamekukataah usikate tamaa, wao Wanataka viongozi wa kuteteah uovu na si viongozi wa kuteteah haki za wananchii
@marieconnect63892 жыл бұрын
Inauma sana.
@e.j.starelia56724 жыл бұрын
Enzi za magu si za kuleta ujinga ujinga!!!!! Congratulation RC Hapy
@janerosempeta56622 жыл бұрын
Woooooh I salute u ! Good work
@sistimasawe59365 жыл бұрын
Kama na wew umegundua benk wanatoa mkopo kwa hati ya photocop gonga like twende zetu
@goldendaisy1875 жыл бұрын
Mbona Tanzania kutamu jameni,I love this mkuu wa mkoa
@f.a60432 жыл бұрын
Tumeimiss sana hii mikutano big up Ali hapi!
@charlesmzugy15384 жыл бұрын
kazi nzuri sana
@akilikarama33315 жыл бұрын
Safi sana
@ellyemily42345 жыл бұрын
Kaka hapii Mungu akubarikii
@kasimpongwa51785 жыл бұрын
kaka HAPI ongera kwa kutenda haki mwenyezi mungu akubaliki sana katika kazi yako ,
@marthamasue400921 күн бұрын
Ally Happy hoyeeeeeee. Mungu akulinde kabisaaaa
@richardmsumari40515 жыл бұрын
Kati ya viongozi ninaowakubali awamu hii wewe uko kwenye akili yangu , mkuu , piga kazi
@johnyusuph32215 жыл бұрын
Ally Appi wew ni zaid upo vizuri safi san
@reachthegoal76245 жыл бұрын
Hapi Hapi Hapi well done! Wakati mwingine mambo hadharani inasaidia kila mtu kubeba msalaba wake. Msaidizi wa ishu hapa lazima aimbe yarabi nafsi yangu, zama lwako, mimi simo! Hapa hakuna kuchukuliana misalaba. Safi ukweli unajulikana.
@hellenj2704 жыл бұрын
Tungekuwa na viongozi kama Hawa Tanzania ingenyooka 😍😍😍
@winfridawilliam94845 жыл бұрын
Kudadeki unaweza ukaskia mtu amekufa kwa pressure
@ashamecky77725 жыл бұрын
Kweli
@comfortfurniture27195 жыл бұрын
Duh
@khalekichambo11315 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@dandeenndandeen30475 жыл бұрын
😀😀😀
@omarymbalala62245 жыл бұрын
😁😁😁
@enoshmhemakapaya4 жыл бұрын
Wakuu wamikoa wakiwahiv wote dahhhhh!!!!
@mosesotieno98934 жыл бұрын
Watching from Kenya
@jeremymakokha47974 жыл бұрын
Mugufuli generation leaders are serious...natamani tuwe nao Kenya
@fatemafatema4780Ай бұрын
Ahsante muheshimiwa kura yangu kwako haina mjadala..hongera sana
@nehemiambughi67314 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa we noma sana!
@tegemeareuben76185 жыл бұрын
Mafuli's generation hapa sio mchezo MUNGU acha atumie viongozi hawa vizuri
@jumamgema33565 жыл бұрын
Happy nakuelewa kaka
@EK-kp2np5 жыл бұрын
Anaomba time ya kutengeneza nyaraka za kughushi 😁. Eti benki imefungwa, na yeye ndo meneja, awamu hii watabadilika tuu, mama alindwe jamani watu wa jinsi hiyo hawakawii kupoteza ushahidi
@zaiiomary89705 жыл бұрын
Makondo angekuwa kam huyu ingekuwa bomba
@mossymtwana64225 жыл бұрын
Wengi walidhulimiwa majumba na bank wakishirikiana na wahindi au na watu majizi wasio na hofu ya Mungu wakinunua haki kuanzia polisi mpaka mahakamani kweli sijui kesho kwa Munyu watajibu nini
@edwardbusweru6635 жыл бұрын
Ally hapi ni kiongozi mzalendo .Namheshimu saaaana popote alipo na molla amrehemu
@phayphay84715 жыл бұрын
Kwa hivyo mkubwa nakuaminia sana Mungu akupe miaka mingi tunahitaji watu kwema wewe wengi katika tz yetu
@salmaobed27085 жыл бұрын
👏👏👏👏👏safiiiii 👍👍
@raymondkaswaga83345 жыл бұрын
Kuna legal procedures hazikufuatwa ktk Banking laws lakini bado Administrative and constutional laws must be respected.Ila wakili ulikuwa na haja gani kudanganya jina ndani ya letter of offer au/na collateral iliyotumika mpaka utofautiane na meneja.....????
@aminakassim82725 жыл бұрын
Anachanganyikiwa jamani
@nyambelewinfrida90745 жыл бұрын
Hapi omba asikuguse nampenda kwa sababu hashoboki na kunadi siasa kwa maneno anatete na kusaidia raia wake kwa haki na vitendo Mungu akupe maisha marefu nataman kukuona kwa wema.
@hamadiathumani50184 жыл бұрын
Safi sanaaa baba kweli wananchi wanaumia sana.
@jamessitati73965 жыл бұрын
Kwani huyo muhindi sio mtanzania, mbona hamutumi jina lake, sisi wafrika tunabangua watu sana, sio vizuri, lazima tuishi kama familia moja.
@nnalido24075 жыл бұрын
James Sitati wao wanavyotubagua huko kwao huon au
@tonykisogole67105 жыл бұрын
Kuwa sio raia hakuzuii mtu kununua bidhaa
@nasskamwaya87455 жыл бұрын
uje huku kwao uone wabavyotubagua tena anamuita vzr aseme hata kitumbo
@bockernyarusahi36555 жыл бұрын
James Sitati huyo fala kamtaja Mhndi,Mhindi ana kosa gani,kama siyo undina
@louisnyoni41395 жыл бұрын
Big up RC Happv
@farajakigullah85714 жыл бұрын
Nakupenda sanaaa mkuu wa mkoa wetu oyeeeeeee
@Hancy_barrowАй бұрын
Hiiii ndo Tanzania 🇹🇿 yetu hatari sana 😂😂
@nyamwekomatoke99512 жыл бұрын
Wazurumaji Wa Aina hii niwengi sanaaa wanatapeli Sana wamama wajane Hongera Sana Happi Watu walikupenda sanaa
@khamisseif98705 жыл бұрын
gud sana Rc happy👍
@dianadominic7015 жыл бұрын
Ally Salum Hapi tumekua wote kambini nzega ulikua msafi na mtanashati ila haukua muongeaji, aseee nakukubali sana
@maxmaizer46315 жыл бұрын
Umeonaa jembe ilo saiv tuna vichwa viwili bashe na ally
@roubmaywilly92314 жыл бұрын
Sukuma ndani
@marieconnect63892 жыл бұрын
Ee Mungu utusaidie. Viongozi kama hawa wanagusa moja kwa moja mioyo ya watu. Wanaitenda kazi ya mungu kwa vitendo nina imani Mungu amefurahishwa na kazi za aina hii na lazima atapenda mijuiza yake kwenye nchi yetu. Mungu wetu utusaidie waja wako
@janetjackson95864 жыл бұрын
Safi sana mkuu ...from china
@gm70455 жыл бұрын
Magufuri kachagua safi yaani baba na mtoto photo copy👍 Hio ni unyanyasaji kwa mama huo..usiwapatie time hao wizi wanataka kuenda kutapeli hizo karatasi.. Mkuu wa Mkoa Mungu akubariki👏👏👏👏
@stewartmagiri4725 жыл бұрын
Ally hapy wewe ni mwanaume👏👏👏👏👏
@ibrahimkibona7785 жыл бұрын
huyu ndiye kiongozi anaye hitajika ..kama suleimani mwana wa Daudi
@saidyahmad39852 жыл бұрын
Hongera Sana mkuu wa Mkoa uko vzr Sana Kwa utetezi mungu akulipe
@rojakijana11625 жыл бұрын
Safi sana Happy !
@joellongidare82802 жыл бұрын
Mkuu wa mko Hana lolote ni msani tu
@susananyasani65264 ай бұрын
Super Mkuu wa Mkoa maamusi ya Kibinadamu hongera sana katika haki unazotumia kwa Wananchi
@jeremiahmolell6655 жыл бұрын
mkuu upo vizuri watete wanao nyanyaswa mungu akulinde mkuu miaka mingi uzidi kutetea wanyonge.
@bertinkimati26745 жыл бұрын
Mhe. Hapi kwa hatua kama hizi nakuunga mkono 100 kwa 100. Kwa uomgozi wa kutatua mambo kama hayo na mengime basi ndio kuijengea heshima serikali na ccm kwa ujumla. Msikubali kutumia mbinu chafu kuwafanya watanzania waikubali serikali. Watanzania wataikubali serikali kwa kutekeleza vyema majukumu mliyopewa sio vingimevyo. Kwa mpangilio huo mkiendelea hivyo hamna haja ya kutumia mbimu chafu kushinda uchaguzi. Fikisha ujumbe huu kwa watendaji na viomgozi wote wa ccm