MTOTO MDOGO MWENYE MAAJABU KWENYE PIKIPIKI AFUNGUKA, ANAIRUSHA JUU BILA WOGA

  Рет қаралды 243,560

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Пікірлер: 200
@nampyon2829
@nampyon2829 Жыл бұрын
😭😭😭 namkumbuka mdogo wangu JUNIOR BIKE 😭... pumzika kwa amani uko ulipo mdogo wng JUNIOR
@ashamwanganzi6400
@ashamwanganzi6400 Жыл бұрын
Kikubwa n dua n risk san huo mchezo mungu awapiganie kwa kila hatua🇰🇪
@isackmayala1761
@isackmayala1761 Жыл бұрын
Kikubwa Dua, hiyo ni risk kubwa Sana ya maisha ✌️🤝
@harymo-by8gh
@harymo-by8gh 2 жыл бұрын
Muganda wange well done, for sure hawa watoto wapo amazing nilishiliki mashindano live ug 2018 East Africa motorbikes champion duuu kwa kweli niliogopa sana vile watoto wadogo wanarusha piki piki yaan nilibaki mdogo wazi.. Hey East Africa champion please we need more since covid we didn't see any champion in Uganda.. Well done ayooo pongezi pia
@bensonrweikiza4117
@bensonrweikiza4117 2 жыл бұрын
Kalembalemba kazi nzuri kwa tafasiri ya kiganda kuja kwa kiswahili 🤝
@hoteldaressalaam5322
@hoteldaressalaam5322 Жыл бұрын
This Kid is too talented with much confidence! I like the way he handled an interview!! These are the typical African talents we need to push
@jessykadaraja2691
@jessykadaraja2691 2 жыл бұрын
The kid has so many pontentialitiies at his age...talent, the native language, confidence and english too.
@mchungajiabel6663
@mchungajiabel6663 2 жыл бұрын
Mimi ni mwandishi WA VITABU VYA neno la Mungu nimesoma Hadi dalasa la 5 elim ya msingi
@chesterbrand6723
@chesterbrand6723 2 жыл бұрын
Tunaomba kwa heshima mtuletee hii rally Arusha Chuga hii NI asili huku jamani tunaomba Sana wapoloo tuko tayari any time just come #kaskazinian baik #miami baik #chugga baik...
@hillyminajtv1257
@hillyminajtv1257 2 жыл бұрын
Arusha hii n kawaida asee kisa ni waganda wanampromoti wake waone Wala shada wanavyokitupa
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 2 жыл бұрын
Mimi ningekuwa mama ako, nisngekuja kuhudhuria aisee maana kizazi kinaniuma
@marymartin197
@marymartin197 2 жыл бұрын
Hahahahaaa, aise inahitaji moyo mim hadi mshipa wa moyo umeruka juu
@mwanaimaabdallah7825
@mwanaimaabdallah7825 2 жыл бұрын
Halafu ukipata ajali ni ww na wazaz wako
@mimikimanga3126
@mimikimanga3126 2 жыл бұрын
We hata mimi hapo tu nataman asiendelee naogopa
@shaurimtanda8285
@shaurimtanda8285 2 жыл бұрын
Kizazi tungekifunga kamba
@fainajaffary4070
@fainajaffary4070 2 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@rozina2161
@rozina2161 Жыл бұрын
Kwakweli huyu mtt ni mdogo sana istoshe mwamchanganya kiakili shule na mchezo vitu vi2 tofauti na akiendelea hivi atakuwa shule hayuko vizuri mwamuharibu kisaikolojia mwishoe atakuja kuwacha shule afatwe huu mchezo talent zengine kwa watoto sizakuzisapoti acheni mtt asome bhana
@kavisheonline2418
@kavisheonline2418 Жыл бұрын
Bado upo na dhana ya education is better than money?? 🤣
@majaliwa_tz5004
@majaliwa_tz5004 2 жыл бұрын
Inye Ndi Tanzania Lakini Ogu Mwanamukubali🤝💪
@user-vq1qx1dr4e
@user-vq1qx1dr4e Жыл бұрын
Ikija kumuua utasikia hakuwasikiawa wazazi hawakupa malezi bola kumbe wazazi wenyewe ndio hao vilaza hapo vifo vingine vyakujitafutia tu michezo Iko mingi lakini mh bola salaamaaa
@festomatewa3638
@festomatewa3638 2 жыл бұрын
mhhhh hongera saaana dogo
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Mimi napenda maendeleo na pesa pia napenda ila mimi Mwanangu simruhusu kwakweli, moyo unatetemeka 🙈😀
@auntdorah9141
@auntdorah9141 2 жыл бұрын
Mimi kama mama, haijalishi pesa ajira au cjui nini! Naipenda sana pesa, lkn hapana. Inatetemesha moyo
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Kwakweli ndugu, mimi siwezi.
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 жыл бұрын
Kweli itamuua subiri tu
@official_phay1174
@official_phay1174 Жыл бұрын
Mt0t0angu hatakaaa afanye huuu upuuuzi f0rever
@abduljuma4944
@abduljuma4944 Жыл бұрын
Alafu mwanao akitaka kijiunga na jeshi unafurahia mbona jeshi pia ni risk
@official_phay1174
@official_phay1174 Жыл бұрын
@@abduljuma4944 yes risk but si0 kw hiii
@dinahnyagosaima1259
@dinahnyagosaima1259 2 жыл бұрын
Hatari sana tunacheka tu
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 2 жыл бұрын
Doqo akadeal na masomo Ayo mambo ya bike sio mda wake.
@muttae2
@muttae2 2 жыл бұрын
Best wishes to him
@renatusmahombwe3093
@renatusmahombwe3093 2 жыл бұрын
Good
@tumaintarra9960
@tumaintarra9960 2 жыл бұрын
Bravo
@salasala9114
@salasala9114 Жыл бұрын
Mi mtto wangu apana kwakweli
@omaryteddy62
@omaryteddy62 2 жыл бұрын
Good good 👍
@mwigakatumpula5695
@mwigakatumpula5695 2 жыл бұрын
Niiitieni zari akuje amuone Mdogo ake akifanya maajabu 👏👏👏👏😂😂
@peteradioyona5919
@peteradioyona5919 Жыл бұрын
Dogo acha michezo ambayo haiwez kukufikisha miaka mingi soma shule mdogo Wangu
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 2 жыл бұрын
Good job home Africa message from USA 🇺🇸
@mkadayotv2128
@mkadayotv2128 2 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/etddldWqmdSsc4U.html
@musason1680
@musason1680 2 жыл бұрын
Kijana anajiamin hongera sana ✊🏿
@cbegram6161
@cbegram6161 2 жыл бұрын
Aise millard ayo media yenu iko Makini balaa, mnaleta story adimu sana
@deusdedit789
@deusdedit789 2 жыл бұрын
I salute you Dogo junior Mmmm👀🚶‍♀️🚶‍♀️
@yohanagbb
@yohanagbb Жыл бұрын
mm simsurport uyo dog kaz zpo nying lakin xio iyo
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 2 жыл бұрын
Nice
@jittamannicko9139
@jittamannicko9139 Жыл бұрын
Napenda xana mchezo wa pikipiki komaa xana mdogo wangu.
@sarafiamakilika9975
@sarafiamakilika9975 2 жыл бұрын
Hapana, hii Ni hatari kwa maisha yake. Apewe ushauri tu ili atumie kipaji kingine alichonacho, siamini km mama yake Yuko happy na hii kitu,hatari kwa future yake pia
@wisperfect5320
@wisperfect5320 2 жыл бұрын
Kwa kweli😂😂
@luperbukuku2659
@luperbukuku2659 2 жыл бұрын
Acha dhana hzo ....kuumia kupo ,kufa kupo hcho ndo kipaji chake
@pendobaharia7227
@pendobaharia7227 2 жыл бұрын
Mungu akulinde bby boy ❤️🥰
@nabankemajustine1032
@nabankemajustine1032 2 жыл бұрын
Wow
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 Жыл бұрын
Ipo siku tutamzika kwa ajali ya hiyo pikipiki acheni masihara nyie na hivyo vyombo
@asiaoman3040
@asiaoman3040 2 жыл бұрын
Yaani mpk nimesisimuk mwili mxm Duuuh Allah akulinde bby boy
@valenakomba9218
@valenakomba9218 2 жыл бұрын
BRAVOOOOOO. 👍 boy.
@benjamindenice53
@benjamindenice53 2 жыл бұрын
Safi sana junior ochikozeko
@kingyeskingyes2263
@kingyeskingyes2263 2 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/i591dcR02a3Ofmw.html Ty u
@muttae2
@muttae2 2 жыл бұрын
I love this game so much...
@mangaloexpeditions
@mangaloexpeditions 2 жыл бұрын
lkkkk
@enocksilungwepondajr9707
@enocksilungwepondajr9707 2 жыл бұрын
Eeee sebo bulunji...
@allyiddy4542
@allyiddy4542 2 жыл бұрын
Uganda hawajui kiswahili ? Loh!
@thetrends472
@thetrends472 2 жыл бұрын
aaah kudadeki mi naendesha tu kwa adabu mana naijua iyooo
@christercheru8328
@christercheru8328 2 жыл бұрын
Kawaida hii ni mazoezi tu
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Mhh, 😭. Mtangazaji wa Ayo Tv yupo makini kusikiliza lungha🤣
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 2 жыл бұрын
Mungu azidi kumpa njia
@kingyeskingyes2263
@kingyeskingyes2263 2 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/i591dcR02a3Ofmw.html hi i
@eastafricabrokerkiller8028
@eastafricabrokerkiller8028 2 жыл бұрын
power of i am
@nuuringoogle4104
@nuuringoogle4104 2 жыл бұрын
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🥰🥰🥰
@SwahiliTheTraveller
@SwahiliTheTraveller 2 жыл бұрын
👊
@Sharifarajabudebe
@Sharifarajabudebe 2 жыл бұрын
ayo kaleta lugha ya bala😁😁
@dottodottovales4138
@dottodottovales4138 Жыл бұрын
😂😂😂😁😁
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 жыл бұрын
sio maajabu kawaida2 njoo Znz uone vipaji
@christaoman8890
@christaoman8890 Жыл бұрын
Kifo chake kitamkuta kwenye hiyo pikipiki anayoichezea
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 2 жыл бұрын
Duuu uyu dogo simchezo
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Жыл бұрын
Hii siyo michezo ya kurisisha watoto kabisa…
@janetmallya3242
@janetmallya3242 Жыл бұрын
ningekuwa mamakoo nisingekubali
@qaltumsaid3095
@qaltumsaid3095 Жыл бұрын
duh mchezo hatari wallah....
@evanccast6228
@evanccast6228 9 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🤝🤝👏👏👏
@jacobshao1260
@jacobshao1260 2 жыл бұрын
Mh,nyie furahini sekunde moja tu inakukolimba,
@bakarially4336
@bakarially4336 2 жыл бұрын
Duh dogo nomaa
@saidyasini8692
@saidyasini8692 2 жыл бұрын
Ninomaaaaa
@kaumatv
@kaumatv 2 жыл бұрын
Pityenii nahy channel jaman nawqomba
@Gody360
@Gody360 2 жыл бұрын
Chakuv miaka 4
@dorisuronu3183
@dorisuronu3183 Жыл бұрын
Unaona sifa cyo hicho cyo kipaji Bali Ni ushetani
@officialnalapa1527
@officialnalapa1527 Жыл бұрын
Utumbo wa uzazi unanicheza mm uku🤔🤔
@ferouzmasoud4870
@ferouzmasoud4870 2 жыл бұрын
Mbona wapo weng hata huku kwetu Kuna madogo Wana miaka 4 wanaendesha gari Lkn zile gari za udogo c mnazijuwa
@aminamnyaruge8574
@aminamnyaruge8574 2 жыл бұрын
😂😂😂😜😜Watanzania kwa wivu hatujambo 😂😂😜😜😜
@radhiaomary5591
@radhiaomary5591 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@allexandarbaybe3893
@allexandarbaybe3893 2 жыл бұрын
😅😅😅😅
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 2 жыл бұрын
Khaaa 🤣🤣🤣🤣
@princesdidak1063
@princesdidak1063 2 жыл бұрын
Z😂😂😂😂😂😂😂
@ommygraphics4355
@ommygraphics4355 2 жыл бұрын
Sema waganda wa lugha nzuri 😁 kama wa zulu tu nafurahi wanavoongea inapendeza
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Kwakweli
@demicratia4071
@demicratia4071 Жыл бұрын
pelekeeni ARUSHA CHUGAA Wakomeshane
@muungujaunguja8609
@muungujaunguja8609 2 жыл бұрын
Ndugu yake zari
@maxgerad5083
@maxgerad5083 2 жыл бұрын
Huku kwetu alionekana dogo anaendesha trekta mzazi kafatiliwa mpaka Mzee wawatu kaomba msamaha cjui vipaji kama hivi unavipataje, tz kuhama no.
@anxious_swanny5133
@anxious_swanny5133 2 жыл бұрын
😂😂 Tanzania yetu
@lilyrose7983
@lilyrose7983 2 жыл бұрын
Kaomba msamaha wa nini Sasa?😳
@maxgerad5083
@maxgerad5083 2 жыл бұрын
Ni kosa kisheria mtoto chini ya umri wa miaka 18 kuendesha chombo cha moto.
@lilyrose7983
@lilyrose7983 2 жыл бұрын
@@maxgerad5083 Hapo sawa
@mcback4384
@mcback4384 2 жыл бұрын
@@maxgerad5083 sio kweli, leseni unapata kuanzia miaka 14 mimi nimepata leseni ya driving school nikiwa na miaka 16
@adeltusmurockozitvtangazab3732
@adeltusmurockozitvtangazab3732 2 жыл бұрын
Nimefrai kuskia ruga yangu
@witnessmwikalo3338
@witnessmwikalo3338 2 жыл бұрын
Bukoba!!!!!
@fadysadick5956
@fadysadick5956 2 жыл бұрын
Kalemba lemba 😅😅
@salamanauthar480
@salamanauthar480 2 жыл бұрын
Una hatari mwangu wewe!!!!
@allysalim9822
@allysalim9822 2 жыл бұрын
Wapo wengi sana tu Arusha..
@stevenclaud6648
@stevenclaud6648 2 жыл бұрын
Roho mbaya hiyo
@allysalim9822
@allysalim9822 2 жыл бұрын
@@stevenclaud6648 Yaani kusema Arusha wapo wengi ndio kosa 😂😂😂 khaaaa
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
@@stevenclaud6648 KWA HIYO KAMA WAPO ASISEME???? KUWA MUELEWA.
@samwelpaul4279
@samwelpaul4279 2 жыл бұрын
Acha uwongo Arusha hakuna bingwa kama huyo labda misifa tu ya hovyo
@fadhilindunguru7946
@fadhilindunguru7946 Жыл бұрын
Waambie nawapa hi
@wisperfect5320
@wisperfect5320 2 жыл бұрын
Mmh mimi wangu siwezi kumruhusi mchezo huo
@elicanageorge1319
@elicanageorge1319 Жыл бұрын
JE HUU MCHEZO UNALIPA?? JE UNA HELA NZURI?? KAMA HAUNA ACHANA NAO MAN KWA NN UFE BILA SABABU.
@officialmkerewe
@officialmkerewe 2 жыл бұрын
Changala bhona
@swagamaman2682
@swagamaman2682 2 жыл бұрын
🇺🇬🇺🇬🇺🇬uganda zahabu
@aminaally8475
@aminaally8475 2 жыл бұрын
Millard Ayo uko vizur napend kaz zko hao wengine wakasome tena
@ptElimu1234
@ptElimu1234 2 жыл бұрын
Ni kosa kwa watoto wa umri wake kuendesha vyombo kama hivi
@mdzainb3722
@mdzainb3722 2 жыл бұрын
Weee mmi utumbo unacheza uuuwi ila hongera
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 жыл бұрын
Mpaka atakapokufa ndipo atujuwa hajuwi
@issahamissiissahamissi7775
@issahamissiissahamissi7775 2 жыл бұрын
Ndambga nechilala😂😂😂
@swaumdodoma7591
@swaumdodoma7591 2 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@amosmahona433
@amosmahona433 2 жыл бұрын
Very talented
@mashakashobo2529
@mashakashobo2529 2 жыл бұрын
Anazidi miaka 10 huyo
@diti4899
@diti4899 2 жыл бұрын
Dogo anajiamini
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 2 жыл бұрын
Duuh noma
@patrickmsekwa4947
@patrickmsekwa4947 2 жыл бұрын
Dogo saaafiii sana. Badala ya kuwafundisha ufuska.
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 2 жыл бұрын
@@patrickmsekwa4947 nkwambia yan mpk kanishtyua uko mbingun nabdo mdg t sna
@saidhamza5318
@saidhamza5318 Жыл бұрын
Achana na mchezo huo dogo.
@dadaagnes4483
@dadaagnes4483 2 жыл бұрын
Hata bodaboda ya kawaida mwanangu simruhusu
@njugubyser8460
@njugubyser8460 2 жыл бұрын
Nikajua mtazania basi kumbe dogo wa uganda
@hajimasoud1544
@hajimasoud1544 2 жыл бұрын
Kutoka Africa
@chalresmyamba1071
@chalresmyamba1071 2 жыл бұрын
Dog komaa maana wabongo wanaongelea.maswala yakufa nasio kukwambia utafika mbali
@enickosanga4921
@enickosanga4921 2 жыл бұрын
Dogo ananoma huyu
@alluminiumexperttz.12mview13
@alluminiumexperttz.12mview13 Жыл бұрын
R.I.P
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 жыл бұрын
tafuta hatari2 badae uanze kuomba msaada.wa matibabu
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 2 жыл бұрын
Fanyeni michezo mingine, acha kabisa kabisa huo mchezo wa kijinga, hasara yake Ni maisha
@salomeever689
@salomeever689 2 жыл бұрын
😊😊 mm o
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 жыл бұрын
mh! mzazi wa mtoto huyu una roho ngum kwel.hatar sana
@mamalandynangy52
@mamalandynangy52 2 жыл бұрын
Anafurahia mwanae kufa mapema! Huu hatari sana
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 жыл бұрын
@@mamalandynangy52 nimetafakari vikagoma
@mamalandynangy52
@mamalandynangy52 2 жыл бұрын
Tumezika mtoto wa dada angu!! Kwajili ya piki piki! Na mengi tumeona! Huruma sana
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 2 жыл бұрын
Apa hamna tena masomo akili ishatekwa na piki pik
@stanleyevanda797
@stanleyevanda797 2 жыл бұрын
Ndio maana tutaendelea kuwa maskini, mtoto kama anakipaji unataka shule gani tena? Na hayo masomo unaona yanamsaada gani zaid kwa waliosoma
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 2 жыл бұрын
@@stanleyevanda797 majibu ya maswali yako nmemuachia mkeo atakupa
@stanleyevanda797
@stanleyevanda797 2 жыл бұрын
@@hamidmweusiii35 asante
@personpeter2221
@personpeter2221 2 жыл бұрын
Uganda hawaongei kiswahili wakat Africa mashariki
@amanijampion3045
@amanijampion3045 2 жыл бұрын
Kwani afrika mashariki ni kiswahili tu?
@mdta8161
@mdta8161 2 жыл бұрын
Wanaongea ila wengine hawajuhi lakini wanaelewa
@lucylucy3678
@lucylucy3678 2 жыл бұрын
Uganda wanaongea kiswahili ila siyo wengi mm naish nao hapa kiswahil chao cha shida san .
@deusdedit789
@deusdedit789 2 жыл бұрын
Uganda ukiongea KISWAHILI wanasema wewe ni msomi tena wanaona unajiona😀😀
@personpeter2221
@personpeter2221 2 жыл бұрын
@@deusdedit789 acha bana😁
@magerechales9018
@magerechales9018 2 жыл бұрын
Endelea tu dogo utapata unachokitafta
@youthchanel8612
@youthchanel8612 Жыл бұрын
Usimnene mabaya wapo ambao hawajui hata honi ya pkpk iko wp na walipata ajali wakiwa abiria
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 жыл бұрын
kawaida sio hatari wala nn
@swaumdodoma7591
@swaumdodoma7591 2 жыл бұрын
Hapana kwakweli ingekua mwanangu nisungemruhusu
@abedysteven4930
@abedysteven4930 2 жыл бұрын
Yan hapo mwandixh wa habar haelewi
Box jumping challenge, who stepped on the trap? #FunnyFamily #PartyGames
00:31
Family Games Media
Рет қаралды 18 МЛН
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 9 МЛН
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 11 МЛН
Honda xlr250 Baja md22
2:31
Nippon Techno
Рет қаралды 41 М.
Box jumping challenge, who stepped on the trap? #FunnyFamily #PartyGames
00:31
Family Games Media
Рет қаралды 18 МЛН