MTOTO WA MIAKA 9 ANAMUUGUZA BIBI YAKE KWA UJASIRI, HAJAWAHI KUMUONA BABA "NILIMFUATA NIKAPIGWA KOFI"

  Рет қаралды 589,137

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

#millardayoMWANZA #mtotoJasiri
Shamsa Ramadhani ni mtoto wa miaka 9 kwa umri wa mtoto huyu ndie mwenye jukumu la kumuuguza Bibi yake kwa zaidi ya miaka mitatu akimpatia huduma zote ikiwa ni pamoja na kumsafisha Bibi anapopata haja
Mtoto huyu anasilimua baada ya kifo cha Mama yake hajawahi kumuona tena Baba yake licha ya kuwa yupo hai lakini hiyo haijamfanya Shamsa kupunguza mapenzi kwa Bibi yake na hata wanapoishi wamehifadhiwa kwa muda tu na msamalia mwema

Пікірлер: 1 000
@robsondalink6206
@robsondalink6206 2 жыл бұрын
Heri kijana masikini mwenye hekima kuliko Mfalme mzee mpumbavu🤝Mungu akuinue na akusaidie katika njia zako zote
@michaelstephen3743
@michaelstephen3743 2 жыл бұрын
TUBAKIE hapo tuu
@dicksonnoel1004
@dicksonnoel1004 2 жыл бұрын
Amina
@elizayanga9756
@elizayanga9756 2 жыл бұрын
AMEN
@elividamtaki2760
@elividamtaki2760 2 жыл бұрын
Amen
@fransisigulu9761
@fransisigulu9761 2 жыл бұрын
Sana
@barekesteve8679
@barekesteve8679 2 жыл бұрын
This is what we call maturity the way she's answering the questions Kam mtu mkubwa ujasir wake MashaAllah Emung musaidie Mototo huuu
@aminaramdan3283
@aminaramdan3283 2 жыл бұрын
😭😭😢😢Allahu Akbar, Imeniliza MWENYEZI mungu Atakusimamia Mwanangu mtt Mzuri Jamani
@yahyamkone5601
@yahyamkone5601 2 жыл бұрын
Kiukweli huyu mtoto ametuliza wengi inatia huzuni Sana hii story ya hupi mtoto na bibiyake
@husnaally6776
@husnaally6776 2 жыл бұрын
Natamani ningekuwa jirani yake nimsaidie tu kaz maan pesa sina ..tungekula nnachopata ...am so sad 😭😭😭😭😭😭😭😭
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
@@husnaally6776 😭😭😭😭😭😭😭😭
@tatumluv6054
@tatumluv6054 2 жыл бұрын
Mtoto mzuri alafu anamajibu ya kiutu uzima mashallah 😘😘
@ummuchumwashebby3752
@ummuchumwashebby3752 2 жыл бұрын
Yan anawashinda had mastaa wasojielewa kwa kujielezeaa,,,,,,
@annanyoni1981
@annanyoni1981 2 жыл бұрын
Mtoto tena wakike analilia kwa ndani Mungu akupe maisha marefu yenye neema na baraka Mungu teremsha baraka zako juu ya shamsa
@user-ij5ig4uu1y
@user-ij5ig4uu1y 2 жыл бұрын
Can't hold my tears she's too young to do all those duties 😭😭
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 2 жыл бұрын
Na ana ujasiri MashaAllah🙏🙏🙏🙏🙏mungu amjalie Huyu mtoto..Mungu mkubwa,milango itafunguka tu,inshaAllah
@aishaukuthymwanachahaya4511
@aishaukuthymwanachahaya4511 2 жыл бұрын
Sn Inshaallah ameen yarrby
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
Ameeen mungu ni mwema sana
@latifaali5874
@latifaali5874 2 жыл бұрын
Aaamyn
@asha.mwambamwamba1774
@asha.mwambamwamba1774 2 жыл бұрын
Wanaume nyiee atariii
@aishaukuthymwanachahaya4511
@aishaukuthymwanachahaya4511 2 жыл бұрын
@@asha.mwambamwamba1774 somo Sn yn
@anithaapolinary6391
@anithaapolinary6391 2 жыл бұрын
Shukrani sana Frola Nitetee Mungu wa mbinguni azidi kukuweka zaidi uwaone hata wale ambao bado hawajaonekana
@irenemodesty
@irenemodesty 2 жыл бұрын
Omg😭😭😭😭I’m literally crying how they treat this babe I swear🥺🥺she is too young
@iddimoshi8459
@iddimoshi8459 2 жыл бұрын
I am getting quite emotional watching this video.
@immarimoy2039
@immarimoy2039 2 жыл бұрын
daha jamani. mtoto anamajukumu mengi
@mwanahamis5487
@mwanahamis5487 2 жыл бұрын
Hii story inaumiza saaan... Flora nitetee alipo mungu ambarikii saan
@aishachambo8663
@aishachambo8663 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@ShebbyChipeta
@ShebbyChipeta Ай бұрын
Jamani mahisha aya simuliasana yasikukute yanaumiza
@sarhkimboi9085
@sarhkimboi9085 2 жыл бұрын
Huyu, ni mke wa mtu mwenye ajili timamu kwa bdae, Mungu akutumie mdogo wangu
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 2 жыл бұрын
Sanaaaaa....yaani huyu ni future wife wa maana sana. Tatizo atakuja kuolewa na myu haoni faida yake. Maslay queen wanapata husband material😥
@gloryguren6887
@gloryguren6887 2 жыл бұрын
Kuna vitu vinaumiza sanaa kwenye hii dunia mtoto ameniliza huyu daah😢😢😢Mungu wa mbinguni akusaidie ufikie malengo yako,Hongera sana dada Flora Mungu akubariki sanaa.
@rayaahamad5502
@rayaahamad5502 2 жыл бұрын
😢😢😢😢😢
@rayaahamad5502
@rayaahamad5502 2 жыл бұрын
😢😢😢😢😢
@bashirkaitaba7465
@bashirkaitaba7465 2 жыл бұрын
2muombee kwa mung
@ridhwanfaki9738
@ridhwanfaki9738 2 жыл бұрын
Na mashaallah mtt anaoneshea anaakili sana ,mola atakuongoza mtt wangu ,atakupa kila unachostahiki inshaallah kwani yy ndio kila kitu hapa duniani na kesho akhera .ammin ammin
@kiri5807
@kiri5807 2 жыл бұрын
kashapata mawazo mengine sasa mwanxo alikuwa na mawazo. aje awe jeshi km babaake sasa anayaka afanye lazi za jamii mashaallah.
@queenbhanji4152
@queenbhanji4152 2 жыл бұрын
she is humble,,smat girl wth brain
@faineschisunga7421
@faineschisunga7421 2 жыл бұрын
Nijikuta nalia mwenyewe jamani mungu akutuze binti
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 2 жыл бұрын
Duh Mungu amuimarishe Huyu mtoto!!!Mungu amnusuru bibi yake...maisha ndo yalivyo🙏🙏🙏🙏
@stellaprince4871
@stellaprince4871 2 жыл бұрын
Oooooh Mwenyewi Mungu gusa moyo wa Baba wa toto Huyu daaah 😭😭😭
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 2 жыл бұрын
@@stellaprince4871 Ameen Ameen Mungu amguse Huyu baba..jamani..Huyu mtoto kaniliza..ila Mungu mwema..labda hatuna uwezo ila maombi yetu yanaskika na kupokelewa inshaAllah
@babittoevance4415
@babittoevance4415 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭 mungu amnusuru huyu mtoto ila huyo baba inamaana hata hashtuki kwenda kumwangalia mwanae duuuh mungu atamjaalia tu
@abdulkhamis1170
@abdulkhamis1170 2 жыл бұрын
Nimelia kwa uchungu jisi mtoto mdogo havyoweza kusaidia bibi yake kunawatu wengi hawana huluma na familia zao tumsaidie huyu mtoto
@salhanassor5201
@salhanassor5201 2 жыл бұрын
Inaliza kwakweli na hao watoto wake hawajiskii ata aibu kuona mzazi wao anatunzwa namtoto ilhali wao wapo! dah dunia hii Allah atupe mwisho mwema kwakweli
@boazjoseph6372
@boazjoseph6372 2 жыл бұрын
Huyo mke wa mjomba atafutwe maana kama anachukua pesa za bure shenzi type. I love you baby girl ❣️❣️❣️❣️❣️❣️
@annapeter6065
@annapeter6065 2 жыл бұрын
Jaman mtoto nijasiri kumzidi mtu mzima, mungu ampe subra na mwongozo... Wanaoweza jaman Mungu awatumie kumsaidia ...
@afropatriot7769
@afropatriot7769 2 жыл бұрын
Alafu Kuna mjinga asipotumiwa buku ya vocha anaona ameonewa duniani hapa,
@mwazaninalapa8852
@mwazaninalapa8852 2 жыл бұрын
Dah mungu anipe maisha marefu nimlee bint yangu na mama yangu 😢😢😢😢
@sukariyao6537
@sukariyao6537 2 жыл бұрын
Amina lnshallah 🙏😢😢🤲
@aishaomari944
@aishaomari944 2 жыл бұрын
Amina
@mohamedally5672
@mohamedally5672 2 жыл бұрын
Amiinnn🙏🙏🙏
@khadijeegundumu4651
@khadijeegundumu4651 2 жыл бұрын
Amiin yarrab 😢
@anethwilson1884
@anethwilson1884 2 жыл бұрын
Jaman Mungu naomba umri mrefu nimlee binti yangu nakusihi Mungu
@chuwafamily496
@chuwafamily496 2 жыл бұрын
😢😢😢😢Imeniuma sana kama mzazi,Mungu awanusuru familia hii
@ramayasly4584
@ramayasly4584 2 жыл бұрын
Nawasalim sana ndugu zangu. Watu wengi tumekua wanyama. Hatuna upendo ona mtoto mdogo Mungu atatuchapa kiboko kwa haya tunayo yafanya
@wizanakitvonline6190
@wizanakitvonline6190 2 жыл бұрын
Jamani , unapokula ukashiba ukavaa na kunywa bia ukajiona mjanja , Nakumbushatu Mungu anakuona endapo jirani yako unampita huku ukimcheka wakati unajua kinacho msibu , Mungu wasaidie hii familia , Huyo aliyekuwa mlinzi wa Magufuri , Mungu anakuona wewe jamaa , mwisho upo tu , Aiseee 😭😭 so sad
@carolinemariki4029
@carolinemariki4029 2 жыл бұрын
yaani hiyo bia umeweka kuogeza msisitizo? hahahahaah
@maryamsemaganga328
@maryamsemaganga328 2 жыл бұрын
Yarrab tunusuru waja wako
@augustinojob939
@augustinojob939 2 жыл бұрын
Huyu mtoto amesema babaake alikuja sikia moja na msafara wa magufuli na anasema alipomwona alikimbilia lakini kina mtu akampiga kofi. Lakini baadaye anasema walikutana na babake na wakalala hotel. Kwanini serikali ulisifanye mpango wa kumtafuta?
@veerdhaheer7288
@veerdhaheer7288 2 жыл бұрын
Mtoto anajua kujieleza mashAllah, Mungu awafanyie wepes
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 2 жыл бұрын
Tena kwa kueleweka kupita maelezo,ee Allah mja wako huyu una lengo nae kibianadamu tunakuomba umponye huyu Bibi na mfungulie huyu kiumbe mdogo kabisa
@kiri5807
@kiri5807 2 жыл бұрын
Mungu ni mkubwa . kaka kafariki umebaki wewe for reason . uje umsaidiye bibi . Alhamdulillah
@ridhwanfaki9738
@ridhwanfaki9738 2 жыл бұрын
Daaaa imenitowa machozi hii habari ya huyu mtt ,ewe bb Mzazi wa mtt huyu muogope mola wako hebu mwangalie mtt wako ,mtt yatima wa mama ww bb upo hai kweli unamwacha mtt anasumbuka namna hii na bibi yake kweli?muogope mungu ww mzazi .mola akuoongoze ww Dd unaemsaidia huyo yatima mola atakufanyia wepesi kila penye uzito inshaallah ,
@mutheuphilip4360
@mutheuphilip4360 2 жыл бұрын
Very strong kid may God of peace and grace akulinde siku zote tayari Bibi ashakupa baraka zote n zako
@felisterandrew8741
@felisterandrew8741 2 жыл бұрын
Mungu Amtunze Mtoto Awe na umri mrefu wenye Amani Amponye na Bibi Waishi na mjukuu wake kwa furaha😭😭
@hujatswai5798
@hujatswai5798 2 жыл бұрын
Hakika Mwenyezi Mungu yuko pamoja na wenye kusubiri, mtoto mdogo anaupitia mtihani wake bila ya kuwa na hisia kali za huzuni juu ya kuachiwa jukumu la watu wazima, alikosa nafasi ya kumuuguza mama yake na sasa anamuuguza mama wa mama yake, SubhaanAllah, ShifaakAllah bibi, Mwenyezi Mungu amlipe mtoto Shamsa kila la kheri. Naitambua kazi nzuri ya marehemu Nellyson (video shot).
@benedictmwakabungu6946
@benedictmwakabungu6946 2 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu wa mbinguni akuzidishie baraka zake wewe mamii kama ambavyo mtoto uliyemsaidia anavyokuita. Umetenda lililo jema. Asante sana Mwenyezi Mungu ambaye umekuwa ukiwa siku zote ni kimbilio la wahitaji. Watoto wasio na walezi, wanaoonewa, wafungwa, wagonjwa na wahitaji wengine wengi. Baba umjalie mtoto huyu na bibi yake kuona tumaini kuu kwako
@godfreysizya3711
@godfreysizya3711 2 жыл бұрын
Babaake alikua bodgurd wa magufuli,tukumbuke family zetu tunapokua na uwezo🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@nuryatmussa9966
@nuryatmussa9966 2 жыл бұрын
Jamani kumbe baba yupo ananguvu zake, anamoyo gan 😭😭😭
@marthageorge559
@marthageorge559 2 жыл бұрын
Nyie wababa mungu anawaona
@nuryatmussa9966
@nuryatmussa9966 2 жыл бұрын
@@marthageorge559 😭😭😭😭😭
@marthageorge559
@marthageorge559 2 жыл бұрын
@@nuryatmussa9966 unajuwa awa wababa kunamisukosuko wanapata lakini awajui wanaipata kwa sababu gani,damu yako ikitoa machozi sijui kama mambo yako yanaenda vizuri,mungu atamsimamia uyo mtoto na atakuwa mtu mkubwa sana
@nuryatmussa9966
@nuryatmussa9966 2 жыл бұрын
@@marthageorge559kabisa watu hawajui tu baba unakula unalala sehemu nzur mtoto wako hujui anaishi vp😭😭mtoto anamajukumu makubwa
@bekatv1009
@bekatv1009 2 жыл бұрын
Smart and hardworking gal i do salute her she's ma hero....thumb it
@emmanueljoseph2576
@emmanueljoseph2576 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭mtoto umeniliza moyo wangu unauma nikiangalia sina uwezo ningekuchukua wewe na bibi wote mngeishi kwa furaha lakini ndo hivyo nimejaliwa kidogo toeni namba nichangie hata kidogo nilichojaaliwa nimekupenda mno umri wa mwanangu wa kwanza Ee mwenyezi Mungu ninyime Mimi huyu mtoto apate 😭😭😭😭😭😭😭
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana,Mamii unayemsaidia huyu mtoto na bibi yake! Mungu yuko nawe , mtoto mzuri.
@adoniasamike2124
@adoniasamike2124 2 жыл бұрын
Huyo mumy ni frola nitetee kama huwa unafatilia crp zake anasaidia sana watu
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 2 жыл бұрын
Eeeh ni yeye
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 2 жыл бұрын
@@adoniasamike2124 Mungu ambariki yy na uzao wake!
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 2 жыл бұрын
Inshaa Allah mungu atasimama na huyu mtoto na bibi yake halafu kana akili sana kwa kujieleza vizuri mungu awasimamie wapate msaada
@doramkolo1745
@doramkolo1745 2 жыл бұрын
I cant hold my tears😭😭😭😭 miaka tisa ni mtoto wa kucheza rede na kwenda shule...uwii huyu kawa hadi kama mtu mzima Mungu muonekanie binti huyu
@pendomariki6562
@pendomariki6562 2 жыл бұрын
Ee Mungu wa mbingun msimamie huyu mtoto mpe haja ya moyo wake usimwache hata hatua moja inauma sana mtoto wa miaka 9 kuwa na majukumu😭
@charlesobinya
@charlesobinya 2 жыл бұрын
Kwanza pole mtoto. mungu atatenda miujiza na baba atajileta mwenyewe kupitia hii vdo , kama ni kweli kunawatu wanapokea pesa kutoka kwa babako wakizani wakoright now mungu kawaumbua mungu akulinde AMEN
@halimamimarich3799
@halimamimarich3799 2 жыл бұрын
ya Allah amjalie shufh bibi🙏🙏mungu akukze mtoto mzuri😍😘ya Allah msaidie uyu bibi🙏🙏
@miselemanchimvuno5978
@miselemanchimvuno5978 2 жыл бұрын
Maskini😭😭😭😭😭
@annat8509
@annat8509 2 жыл бұрын
Huyo baba kama katelekeza mtoto Mungu amfukuzishe kazi kabisa,inauma sana nimelia mpaka basi,flora Mungu akupandishe kiwango
@alexdukes5547
@alexdukes5547 2 жыл бұрын
Msikilizeni vizuri mtoto baba hajamtelekeza mwanae bwana hivi fikiria kama anaemia hapo bibi yake angesaidiwa na nani japo ni mdogo jamani upande wa wanae ndo ulaumiwe watoto wake baba yuko vizur kafanya imani yake
@sukariyao6537
@sukariyao6537 2 жыл бұрын
Huyu mtoto kajieleza vizuri sana baba yake anatoa pesa ila wanakula ndugu zake so yeye baba aelewi kma pesa anapata mtoto wake au laaaah naisi baba yake baada ya kuona interview hiii nazani ata kuja wasaidia pia mungu amsimamie yallab nimelia sana mtoto bado mdogo sana 😢😢
@sukariyao6537
@sukariyao6537 2 жыл бұрын
@@revocatusemmanuel162 kasema ndugu wa baba au ndugu wa baba yake Shangazi yake sijui au nimesikia vibaya ngoja nami niirudie tena ila baba yake wala ana shida kwa kutoa huduma yu atoa shida hawa ndugu njaa mbele mtihani 😔
@ricksonlyimo5594
@ricksonlyimo5594 2 жыл бұрын
Kwanza jaman mtanisamehe sana huyu mtoto nishamsikiliza historia ake kwa Dada frola lauo uyu mtoto yupo vzur kujieleza ila swala langu linarudi kwa baba mzazi wa huyu binti hiv hiyo kaz anayofanya anafanya kwa aman kabisa bila kuwaza chochote kabisa baba anakazi nzur alikuwa akimlinda Mh hayati Magufuri aisee hili swala hapana aisee mama etu Raisi wetu Samia Hassan Suluhu amuangalie huyu mtoto na uyo baba ake sizan kama baba unae jitambua unaweza kumtelekeza mwanao anamuudumia bibi ake ungal ukiangalia ata shule asomi huyu mtoto baba anashindwa kutafuta ata mtu wa kumlipa hela ili amuangalie uyo bibi anamuachia jukumu mtoto kwer jaman kiukwer baba ake anakosea sana namuachia Mungu pekee ndo muukumu wa yote
@alexdukes5547
@alexdukes5547 2 жыл бұрын
Baba yake inawezekana sio wakutuhumiwa kafanya jambo la imani kumwacha mwanae kwa bibi yake ili amusimamie
@ricksonlyimo5594
@ricksonlyimo5594 2 жыл бұрын
@@alexdukes5547 hapana broo c kwa umri huo mtoto anaitaji vitu vngi sana fatilia kwa frola lauo mtoto anaitaji apate Elimu ila mtoto asomi ndo madamu anaitaji ampeleke shule na hapo ni kwa msaada wa watu ungali ukiangalia mtoto ana baba ake kabisa ukiangalia ata kishelia hiyo aijakaa sawa broo sawa aitaji kuukumiwa je mtoto anapata msaada gan kwa baba ungali baba ake anakaz nzur na anapokea mshaara mzur tu je mtoto ananufaika na nn kwa baba
@juditheliud4857
@juditheliud4857 2 жыл бұрын
Huyu baba ndo wakumtafuta kwanza kabla ya yote, manake huenda anatuma pesa za watoto kuna mahali zinaishia
@ricksonlyimo5594
@ricksonlyimo5594 2 жыл бұрын
@@juditheliud4857 hapo umenena japo ukimsikiliza waziri wa afya Dorothy Gwajima alivyokuwa akiongea na mjomba wa mtoto anasema kabisa kuwa baba ake alimtelekeza mtoto alikuwa atumi pesa kwa mwanae ndo maana nimesema siwez kumuukumu mimi baba ake hapana namuachia Mungu pekee ndo anae jua pengine kuna vitu nyuma ya pazia tusivyovijua sisi kwaiyo tusiwe waongeaji sana ila nitoe shukrani zangu kwa madamu Flora Godwin Lauo mkurugenzi wa Nitete foundation na mkurugenz wa chair foundation kwa kumshika mtoto mkono na kumpeleka shule bila kumsahau mkurugenzi wa shule hiyo kuwapokea na kusema atawalea watoto kama wanae
@jayjay4313
@jayjay4313 2 жыл бұрын
Da, natamani huyo mlinzi wa Magu aliyekupiga kofi awe anaangalia habari hii ili imsute. Japo baba ake alimsakizia mwanae kwa Magu, labda mzee Magu angewafanyia maajabu.
@tatumluv6054
@tatumluv6054 2 жыл бұрын
Nataka niwe kama mamy Flora Mungu akubariki 😭😭😭
@rachelmbeyu4385
@rachelmbeyu4385 2 жыл бұрын
Amewatoa pabaya mtoto anashukuru nakutaka kua kama yeye
@kulthumabdalla9035
@kulthumabdalla9035 2 жыл бұрын
Hadi machozi yananitoka ya allah mzidishie imani mtoto huyo azid kukuw na moyo huo pia azidi kumtia nguvu amina yaa rabbal alamiin
@snipershort6988
@snipershort6988 2 жыл бұрын
Ewe mwenyez mungu unipe moyo kama huu, hongera mtoto mungu ni wetu sote, sidhani kama anapenda uishi maisha haya, kwani uo ndo mlango wako wa kutokea, amini iyo ni ibada ya kweli
@ignassindabaha1813
@ignassindabaha1813 2 жыл бұрын
Mbali na majukumu ya huyu mtoto anaconfidence ni genius,wafanye jinsi ya kumsaidia tu.
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 2 жыл бұрын
Popote babake aliko alaaniwe mshenzi mkubwa 😭
@onexofficial95
@onexofficial95 2 жыл бұрын
Eee mwenyezi mungu utusaidie na uwasaidie wote wanaopitia magumu kama hayo 🙏🙏🙏🙏
@fatumasaleh8048
@fatumasaleh8048 2 жыл бұрын
Daah! Yani Kuna watu wanapitia magumu kiasi hiki.. hii stori imeniganya nilie wallah 😭😭😭 flora mungu akuzidishie moyo wa upendo dada yangu, na akulipe lililojema.
@omarykasongo6211
@omarykasongo6211 2 жыл бұрын
Du! Nimeisikiliza hii Story hadi machozi yamenilenga ,hakka huyu Mtoto Jasiri Sana niimani yangu atakuja kuwa na maisha mazuri sana sk za usoni.Kila mwenye Subra yupo karibu na mwenyezi Mungu.
@bellaki4392
@bellaki4392 2 жыл бұрын
This was Dr. floras story..of nitetee...she was the first one to air this story...
@mrambadiana9678
@mrambadiana9678 2 жыл бұрын
So what??
@abdulkheri7322
@abdulkheri7322 2 жыл бұрын
How does it concern with us...fool!
@bellaki4392
@bellaki4392 2 жыл бұрын
@@abdulkheri7322 Your English is funny....You need some classes dude....
@bellaki4392
@bellaki4392 2 жыл бұрын
@@mrambadiana9678 So other reporters are gaining mileage on her effort...That's why...anything else you wanna know???
@samkiria450
@samkiria450 2 жыл бұрын
She's so confident 🥰 Mungu amsaidie sana huyu mtoto. I'm just so speechless. My heart is bleeding 💔😢 sorry beautiful soul 😢
@aminasuliman2923
@aminasuliman2923 2 жыл бұрын
Nihodali kufuatilia mikasa ila huyu mtoto Mungu amempangia fungulake inshaalla uendelee kua na ujasili katika kufanya yalio mema nimetokwa machoz 😭😭😭
@sakinat2527
@sakinat2527 2 жыл бұрын
Wallah tena yahuzunisha 😭😭
@uwitekamimy3431
@uwitekamimy3431 2 жыл бұрын
Ooh my God,, Poleni Mungu awape Nusra 😢😢 Mtoto mzuri anajua kujieleza 🤗
@aishaukuthymwanachahaya4511
@aishaukuthymwanachahaya4511 2 жыл бұрын
Sn
@rehemaelisa4938
@rehemaelisa4938 2 жыл бұрын
Pole bibi, pole mtoto mzuri MUNGU AKUTIE Nguvu bibi apone haraka
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 2 жыл бұрын
Sana
@maryberege3093
@maryberege3093 2 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni msikie mwanao na maombi yake yakapate kibali mbele zako. Nimeumia haswa na inaumiza sana mungu tusaidie na vizazi vyetu.
@jameskileo955
@jameskileo955 2 жыл бұрын
Inauma sana jamaniii kwanini binaadamu tumekuwa wanyama hivi lkn
@faizaboubacar5064
@faizaboubacar5064 2 жыл бұрын
Pole sana Shamsa mungu amhurumie bibi yako in shaa Allah 🙏
@babaluxe8626
@babaluxe8626 2 жыл бұрын
Duuu kumbe baba yake ni mtu mkubwa tu walinzi wa, jpm khaaaa🙈🙈🙈🙈
@zakiamsafiri123zakiamsafir7
@zakiamsafiri123zakiamsafir7 2 жыл бұрын
Allah mpe hitaji la moyo mtoto shemsa na bibiyake😭😭😭😭mtoto anapitia magumu kuliko umri wake😭😭😭😭
@evancekimath7405
@evancekimath7405 2 жыл бұрын
Daaah, Godbless you mtoto,bibi namamii Mwenyez Mungu amjalie afya njema na uendelevu wa moyo wakumsaidieni ...Amina...
@amlimamouris..a9411
@amlimamouris..a9411 2 жыл бұрын
""Time traveler"" Huyu mtot n wa pekee sana Mungu akusaidie Mungu ana Jambo na wewe Anko..!!
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 2 жыл бұрын
InshaAllah Mungu akusimamie usome shule zote umalize...🙏🙏🙏🙏
@bakarimasoudmasoud5138
@bakarimasoudmasoud5138 2 жыл бұрын
Aiiseee jamani. Mungu mkubwa
@batoulmwinshehe8787
@batoulmwinshehe8787 2 жыл бұрын
This is more than a pain wallah.... Allah Kareem
@husennyelenge6341
@husennyelenge6341 2 жыл бұрын
@@bakarimasoudmasoud5138 _¿.¿700 (
@haridjuma8307
@haridjuma8307 2 жыл бұрын
@@batoulmwinshehe8787 c. 8z
@emmanuelbonifas3517
@emmanuelbonifas3517 2 жыл бұрын
Hivi baba wa huyu binti upo dunian kabisa na unasikia na kuona mateso ya damu yako hakika mungu awezi kutusamehe acha magonjwa yaibuke ya kila aina tu tumezidi dhambi jaman
@sniper93999
@sniper93999 2 жыл бұрын
😭nimekuja hapa baadae ya kutokea kifo cha mtangazaji wa AYO tv ambae ametoa hii video amefarik REST IN PEACE 😭 and pole san mtoto
@fauziaabdullah3733
@fauziaabdullah3733 2 жыл бұрын
MashaAllah majibu mazuri mtoto mungu at akubarik na Dr flora mungu akupe moyo huo huo hata kosa kitu kwa mungu
@ddfatma4281
@ddfatma4281 2 жыл бұрын
Dada flola mungu akubalik akupe kila hitaj la moyo wako na akupatiye mwisho ulio mwema
@jaberjohn7556
@jaberjohn7556 2 жыл бұрын
MAMI HOW CAN WE SUPPORT THIS KID TO GET A SMALL HOUSE, WE CAN BRING CHANGE, THIS KID IS ALREADY A DOCTOR.
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 жыл бұрын
Mwandishi wa habari umefanya kazi nzuri sana. Kongloele. Huyo dada aliyemchukua huyu mtoto na kumuuguza bibi yake, Abarikiwe na asipungukiwe furaha, afya wala mali.
@kadrikimaro1889
@kadrikimaro1889 2 жыл бұрын
Yaraby tunakuomba kwa huruma yako mpe mtoto mwisho mwema na jannat firidaws kwa wema anaomfanyia huyo mama
@faizaboubacar5064
@faizaboubacar5064 2 жыл бұрын
Amiin in shaa Allah
@sakinat2527
@sakinat2527 2 жыл бұрын
Amiin Amiin
@TeamKRX
@TeamKRX 2 жыл бұрын
Aminnn
@nuryatmussa9966
@nuryatmussa9966 2 жыл бұрын
😪😭😭Mwenyez Mungu amzidishie imani na afya njema
@zainabgwao9648
@zainabgwao9648 2 жыл бұрын
Maskini jina la mtoto wangu Shams! Najiskia 😭😭😭😭 mtoto mdogo sana majukumu yamemzidi umri. Mungu wa mbinguni awe nawe mwanangu, ubarikiwe mjini ubarikiwe shambani, baraka zitembee na wewe popote utakapo kuwa. Huyo mummy alie kuchukuwa Mungu ambariki sana zaidi ya sana.😭😭😭😭
@aminaadam9914
@aminaadam9914 2 жыл бұрын
Amina ya Rabbi
@fsaad5116
@fsaad5116 2 жыл бұрын
Dr flora Allah akulipe kwa imani na juhudi zako yataka moyo hiyo kazi ufanyao
@francisanania1765
@francisanania1765 2 жыл бұрын
Pole Sana.
@mohammedimshihiri4435
@mohammedimshihiri4435 2 жыл бұрын
There’s a reason why the Almighty is making us wait. It’s never to make it hard on us but to develop our character. Remember, patience doesn’t happen overnight. It needs to be nurtured. It takes time. So have a good attitude while you wait. He has promised great rewards and The Almighty will be with you ma young sister
@annaemmannuel2101
@annaemmannuel2101 2 жыл бұрын
Huyu mtoto anaakili Sana Sana. Hongera mwanangu uko vizuri na Mungu akuinue kwa viwango vya juu
@berthymanyonyi7295
@berthymanyonyi7295 2 жыл бұрын
Dah! story ya huyu mtoto imenifunza kuwa na moyo wa shukrani...hakika kuna watu wanapitia magumu sana ktk maisha yao na bado wana imani....Mungu msaidie huyu mtoto na endelea kumpigania Frola ili aendelee kuigusa jamii kupitia wewe 🙏🙏🙏
@edinashaurishauri5223
@edinashaurishauri5223 Жыл бұрын
Mungu mpiganie mtoto huyu na mfungulie mirango ya baraka
@fsaad5116
@fsaad5116 2 жыл бұрын
Maskini majukumu makubwa subhhannah Allah Allah protect this family. Na huyo baba hana hata haya mtoto mzuri kesho kuna hesabu kwa Allah. Wajiandae
@lamerckjesus5404
@lamerckjesus5404 2 жыл бұрын
kweli kaka
@mwanas2
@mwanas2 2 жыл бұрын
Allah mustaan 🤲mungu simama na hii familia mtoto kaniliza jamani.
@omaryjuma8002
@omaryjuma8002 2 жыл бұрын
Dah sema tu sina uwezo jaman natamani kumsaidia kila mwenye shida basi nakuombea Sana mdogo wangu mungu akusaidie 😭🙏
@nathanfrancisondieki6586
@nathanfrancisondieki6586 2 жыл бұрын
This child is good may God bless her so much, and I'm requesting Tanzania politicians to help this kid.
@ruthawakola8869
@ruthawakola8869 2 жыл бұрын
Mungu akupe subira mtoto utapata msaada
@Awatee
@Awatee 2 жыл бұрын
Amiin yaraby
@irenemodesty
@irenemodesty 2 жыл бұрын
Omg😭😭😭😭I’m literally crying how they treat this babe I swear it not fair🥺🥺🥺
@happynapunigwa723
@happynapunigwa723 2 жыл бұрын
Amini baba tunakukumbuka wanyonge Anália matei Haya mungu wasimamie Mtoto huyu Asate mfaziri amsaidie tu mungu aendelee kuwapigania kwa. Lila njia. Mungu tuwangalie
@josephsijaona4510
@josephsijaona4510 2 жыл бұрын
Matatizo yanaongeza uwezo wa akili sana
@mariamrobart4198
@mariamrobart4198 Жыл бұрын
😭😭😭
@sweetmama6885
@sweetmama6885 2 жыл бұрын
Wanadamu wengine jamani😔☹...! Wanajichumia tuu malana. Khaaa....! Hao wanaomdanganya baba wa huyu mtoto awatumie pesa Mungu anawaona. Mtalaaniwa wote na vizazi vyenu mbwa nyie. Mungu asante kwa huyu mtoto, bibi yake na Mamii aliyemchukuwa. Moyo wangu unafuraha kuona mwisho wa hii video ulivyo. Mungu asante kwa watu kama Mamii. Tuongoze baba, tusimamie baba. Amen....🤲🙏🙏
@elijahelisha4780
@elijahelisha4780 2 жыл бұрын
Nimejisikia kutokwa machozi Mungu akutunze nywema mtoto mzuli 😭😭😭
@marifaadolphine3571
@marifaadolphine3571 2 жыл бұрын
Mungu akubariki dada Flora na team yako nzima.
@claramamchon6591
@claramamchon6591 2 жыл бұрын
Mungu akubaliki
@stevenkikoti3651
@stevenkikoti3651 2 жыл бұрын
Daaaaah aisee huyu mtoto anajitahd Sana na mungu amtie nguvu Sana na ashukuliwe Sana shamsa kwa kumsaidia huyo bint🙏🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏👏
@saidmasika8738
@saidmasika8738 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭❤️❤️ nakupenda mtoto wangu mm sina la kukwambia Allah atakupa hars
@mashirimathias6006
@mashirimathias6006 2 жыл бұрын
Ee Mungu mtazame huyu mtoto na bibi yake wasimamie ee Bwana Mungu
@saidmungulu7053
@saidmungulu7053 2 жыл бұрын
ama kwel dunia ina meng sana mungu tunusuru na wape shufaaa hii familia....🙏🙏 SHAMSA 😢😢😢
@user-jk5ir4ke3z
@user-jk5ir4ke3z 2 жыл бұрын
Mashaalah mungu amuhifadhi uyu mtoto na ampe tahfifu bibi jamani😭
@mercymmbone4605
@mercymmbone4605 2 жыл бұрын
Mtoto.jasiri
@shifophilipomapunda4699
@shifophilipomapunda4699 2 жыл бұрын
Daaaa mungu akusaidie wewe mtoto kweli baba mwenye uchungu na mtoto unamwacha mtoto wewe unakula la kweli daaaa pole sana brother mungu akusaidie mwanangu mungu atakulipia
@abrahamrashid4282
@abrahamrashid4282 2 жыл бұрын
Mashallah Mummy Allah akuzidishie kote ulipopungukiwa
@sapic121
@sapic121 2 жыл бұрын
God bless you little soul
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 2 жыл бұрын
Allah akulipe Mumy ,kwa kweli Allah akubariki na barka nyingi
@simwalasimwala8286
@simwalasimwala8286 2 жыл бұрын
Daa ayo tv kwanza kabisa na mpa pole mtoto wangu pia nawapongeza sana kwa kazi nzur mnazo zifanya namhombea mdgo angu uyo maisha marefu yenye hekma na busara Wantanzania wenzangu tujifunze unapo tungisha mimba ujue nayakesho mtoto anatoa mchozi hv baba ndo uko baa jaza meza.
@zainabumsafir1182
@zainabumsafir1182 2 жыл бұрын
Mung amtunze na kumlinda hyu mtt hakika inaumiza sana dd frorah Mungu akubarik na kukutunza
@prudenceleeheung4487
@prudenceleeheung4487 2 жыл бұрын
Oooh Duh Mungu akusaidie mtoto jasiri 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@mansourmakame355
@mansourmakame355 2 жыл бұрын
Ayo tv,nafkir mgefanya kitu kwaajili ya jamii imchangie huyu mtt au mutupe infor za kuweza kumfikia kiurahisi
@arafakiloli749
@arafakiloli749 2 жыл бұрын
Subhannahllah pole sana mdogo wangu kwaunayopitia Allah akufanyie wepesi amuondolee bibi yako maradhi yanomsibu.
@jasminjuma6390
@jasminjuma6390 2 жыл бұрын
Subhana Allah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭. Pole mtoto mzuri
@emanuelsamkinda2893
@emanuelsamkinda2893 2 жыл бұрын
2:27 much respect kwa uyu dgo
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 12 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 60 МЛН
24 podcast: Sme v kaviarni - Guma na tupej ceruzke
1:29:11
Televízia JOJ
Рет қаралды 43 М.