Kwakweli tunakiu kubwa na watu kama wewe. Ubarikiwe sana Makonda. ❤️❤️❤️
@user-sg6ez3cf1fАй бұрын
Huyu anaofia usalama wake kwa majibu sahihi
@isaackusupa9635Ай бұрын
Kweli kazi kweli huyu ndiyo muhasibu anashindwa kujieleza nfio muhasibu
@user-pu1oe5ke4fАй бұрын
Doctor samia suluhu Hassan una hitaji watu kma hawa mana hii nchi kuna watu wingi wanaofany ubazirifu wa pesa za umma ponge mama samiaa allah akupe umri mrefu na akulinde amin pongezi makond kz njea tuna hitaji mt kama ww zanzibar utunyoshee watu kma haoo pongezi ccm
@jamalomaryhuyushekhhakunak9020Ай бұрын
halafu mnasema makonda hafai ona sasa kazi za kupeana ni Mbaya Sana
@malikkb6444Ай бұрын
Kazi za kupeana matatizo yake ndo haya.. Unprofessional head of finance department. She lucks leadership qualities.
@YusufSasamalo-uz4iiАй бұрын
Very unprofessional
@cornelkapinga8926Ай бұрын
Very sad for this country
@bakarithegeoinformatician7406Ай бұрын
90% ya watumishi wa serikali ukuondoa wizara ya ardhi hawajui wanachokifanya ktk taaluma zao coz hakuna sehemu sahihi wana fanya hata wakiwa field! Wakienda field wanapewa kutembeza nafaili tu
@richardmshiu5118Ай бұрын
Exactly,, she knows the truth inside the finance department.she is afraid to talk and burn others.
@user-lz8zm3nv4iАй бұрын
sure she is a head of finance department, and not only lucking leadership qualities but even financial regulations and prudence.
@charlesmwambinga4355Ай бұрын
Haya Ndo Madhara ya Watu wanaenda kwenye interview ....Wanaitwa wengine ambao hawakuepo hata kwenye interviews za kazi..Kama alivyosema mbunge mmoja Juu ya Kazi za Tanesco.
@zubeiramlanzi2480Ай бұрын
Acha tu
@samwelsanga5339Ай бұрын
Hakuna kitu hapo 😂😂😂
@augustinoevarist6754Ай бұрын
Ndio maana katika NGO jambo ambalo serikalini linafanyika kwa mwaka mzima kwenye NGO ni mwezi Mmoja, sio kwamba serikali haiko sawa shida ni kwamba kuna baadhi ya mambo wale waliaminiwa kwenye nafasi za kuzisaidia Taasisi za serikali ndio wanaoziangusha taasisi za serikali. Kuna ukweli mchungu ukisemwa kuna watu watasema tunawaonea wivu mliopata kazi😂, haya kazi njema wenzetu. Acha sisi tuendelee kutembeza Bahasha tukisubiri Wakati wa Mungu.
@YusufSwaibuАй бұрын
Mheshimiwa ww unaupeo WA Hali ya juu sijawahi ona wala kusikia Mungu akujalie mengi Zaidi mazuri ktk kusimamia haki
@SaleheMkomwaАй бұрын
Angekus ANKO magu kazi Hana huyo dada
@MiliamNeneka-us5ksАй бұрын
Kazi za kupeana zinaumbua San emu ona madudu haya... Jamn..... Utasikiaa nipe connection ndo hii kaz
@mwakimedia291Ай бұрын
Kweli Kabisa 😂😂😂😂
@SuleAmber-lw2txАй бұрын
Awaite wale LHRC na UWT waje wamjibie
@donaldmgunda4970Ай бұрын
Aseee umenichekeshaaa Sana😂😂😂
@priscamrekoni3451Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@edisonemmanuel-Ай бұрын
Mtu kama huyo umchukulie hatua afu eti unamdharirisha hatoi sauti sasa hawa ndi unawakuta ofisini wanaanza zao sasa
@saimongilala8938Ай бұрын
Makonda unaweza sana
@elishabwilukiro6746Ай бұрын
Hao Madam wa hivyo ukiwakuta ofisin kwao waga wanajiona kama ndio kila kitu, kumbe hamna kitu hapo.
@mwantumkombo3014Ай бұрын
😂😂😂yaani km mazuri vile!!, UBARIKIWE BB❤
@MckiatuАй бұрын
Huyo anayewaajiri hao watumishi huwa anazingatia vigezo gani jamani.
@melanialeonard4031Ай бұрын
Ni rushwa hakuna vigezo na kujuana wanajana wenywe na ukoo wao sasa wanaumbuka
@user-su7np6sn7sАй бұрын
Muangalie macho yake yanavyo pepesapepesa macho yake kama mwanga vile aibu tupu yaani daaaaah! Makonda kimbiza huyooo dada Hana vigezo vya kufanya Kazi Aende akapike mama ntilie maaokoni
@tanzcanmediatv4473Ай бұрын
Kuma
@KishokaMrumakishokaАй бұрын
Yani mtumishi hata kujieleza nishida ameajiriwa nani huyu
@cornelkapinga8926Ай бұрын
Aissee nimeshangaa sanaa
@gracekenan4665Ай бұрын
Na ni Lugha ya kiswahili
@dawhacker2216Ай бұрын
Mwanamke ni kama mwanamke haki sawa😅😅 mmewaona sasa
@biomedicaleliatosha7485Ай бұрын
😅
@mussakimaro5588Ай бұрын
makonda hawa fukuza mbali yani kazi wanapeana kimapenzi nadhani hata kujibu hawezi kawekwa sijui na nani
@deogratiusyudatadei5658Ай бұрын
Huja kosea ndugu yangu huyu dada kawekwa tu kuongea tu shida akipewa neno utasikia anadhalilisha wanawake
@PetronkambiАй бұрын
Huyu ndo makonda bna safi kabisa
@JustineZephaАй бұрын
Makonda oyeeeeeee kaz nzur sana professor
@mwasungaАй бұрын
Wee mohamed umeongea upuuz mwenye umeona mtu kujib anajikanyag kanyaga koasimamishe kikao au
@lunangabenjamin3121Ай бұрын
Ivi kwanini huyu mwanamke kapewa kazi mbona kama mlevi hajuwi anachofanya hakana nguvu zakuongeya.yaani kala rushwa na ngono nyingi maoficini.sukuma ndani.
@elizabethmiho9574Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 acha wapigwe spana
@cidewashington670Ай бұрын
Arushaa ya Makonda weeeee 🤣🤣🤣🤣
@user-od5si7ld6bАй бұрын
Hiiiiii hapo kama hujajiandaa vzr lazima uchanganyikwe
@godfreyerasto1208Ай бұрын
Mhh hizi ajira za kujuana 🤣
@kasimnamesou4226Ай бұрын
Wakinyooshwa utasikia uzalilishaji, ona sasa kiongozi gani anaongea namna hiyo
@stn4873Ай бұрын
Mhasibu mbona kama kanywa kitu😂😂😂😂
@FranciscoAmos-cx2zhАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 hatreeeee sana ! hizi spana za moto
@ShebbyTheparadiso-hf6fzАй бұрын
Huyu mwasibu hayuko sawa ana matatizo kama kalewa
@gracekenan4665Ай бұрын
Hapana anaogopa
@DaimaNyakunga-jb6doАй бұрын
Ondoa huyo Sasa hivi
@jaydon3361Ай бұрын
Mwanamke huyu alipataje kazi, mbona hata kujieleza hewez
@meryamabdullah2081Ай бұрын
Kazi za kupeana ndo madhara haya
@kwzjkwz3532Ай бұрын
Ngono ni nyingi kak
@justice607Ай бұрын
Mheshimiwa mkuu wa mkoa, mheshimiwa mkuu wa mkoa, mheshimiwa mkuu wa mkoa 😢😢😢😢😢😴😴😴😴😴
@salehwaziri5062Ай бұрын
Angewaita Tamwa wamsaidiekujibu
@donaldmgunda4970Ай бұрын
Asee umenichekeshaaa Sana😂😂😂
@mwajabukapemba5458Ай бұрын
Duh haibu naona mimi aisee hakuna kitu hapo
@luganosimon7471Ай бұрын
Sio muhasibu ni Mhasibu
@mkabesamaashao6805Ай бұрын
FREM ZA TENGERU TUNALIPA KODI LKN HAZIFANYI KAZI
@johbernard3628Ай бұрын
Anaonekana anadharau sana huyu dada
@magzeeeeАй бұрын
Hapana
@deogratiusyudatadei5658Ай бұрын
Muwoga tu 😂😂😂😂
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Hawa ni wale wa vikaratasi " nenda karioti uanze kazi"
@cornelkapinga8926Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-qh2bx5em6jАй бұрын
@@deogratiusyudatadei5658kweli ni muoga
@bsmonline8482Ай бұрын
Kazi zinatangazwa interview huoni popote kuitwa unashangaa tuu watu wanakwambia alaah zile post mbona watu walishaanza kazi siku nyingi aisee kuna siku nilicheka na ndio nilipojua hii nchi ina wabisho 😂😂😂
@elishabwilukiro6746Ай бұрын
Tanzania ya 50 kwa 50
@LiveWire254Ай бұрын
Kenya hapa ukijaribu kuuliza VIONGOZI unapotezwa, huku ni hatari sana
@bsmonline8482Ай бұрын
Wanawekwa tuu hao kwani hatujua sasa mtu hata kuongea akaeleweka tuu hawezi kapitaje. Mtaani kuna watu bright, Serikali haiwatumii ila wale wasiojua chochote ndio wanaowaweka wasimamie utendaji wa serikali yaani hii nchi Mungu mwenyewe anatushangaa
@barikiringo6311Ай бұрын
Wengine wameekwa bila vidhibisho vya interview kabla ya kaz... undugu na kujuana inaliua taifa!
@robertzamani5612Ай бұрын
Badae taasisi
@user-pt4jf7lg3zАй бұрын
Wanapena nafasi,hawana sifa Wenye sifa wanaachwa
@wennybarny168Ай бұрын
Huyu hajadhalilihwa kama yule mwingine hadi akaambiwa unaongea kama unatafuta mchumba, mimi nimeoa na nina mke mzuri sana. Huyu wa leo hajapewa maneno makali.
@ShinjeMackenzieАй бұрын
Daaa jamani huyu naye heti mhasibu hujuwi hata kujieleza shenz kabisa wakiambiwa wanajitokeza mbwa wezao heti uzalilishaji pumbavu zenu
@habibabarker1644Ай бұрын
Kaazii ipo kazini
@user-ev6bq9gf1fАй бұрын
Uyu demu mbona kama mlevi
@kwzjkwz3532Ай бұрын
Rushwa ya kvant ikitumika kupata kazi
@user-cw8zn2dn6mАй бұрын
Hivi huyu dada, hata kusema jambo hawezi, amewekwa na nani? Kwa sura ni mzuri kweli lkn kujieleza hata hawezi. Hahahahahahahahahaaa
@KhmsNsrАй бұрын
NA MAKONDA AKIWAKAZIA UTASKIA ANADHALILISHA JINSIA YAANI HII NCHI INGEKUA NAWATU 10 TU WASERIKALI KAMA MAKONDA HATA WANANCHI FUNGELIPWA MISHAHARA MANA PESA INGEKUWEPO YAKUTOSHA NA KODI ZINGEPUNGUA ILA KODI INAONGEZEKA KWAKUA HATA IZO ZINAZOKUSANYWA HAZIFIKI MAHALI HUSIKA KWA WIZI
@edisonemmanuel-Ай бұрын
Watumishi msipokuwa makini mtakoma tu tena naomba makonda wakupeleke kagera kwanza kule ni hatari zaidi ya Arusha karibu kwetu kagera tunakutamani sana
@bensonmwakipexle8960Ай бұрын
Muhasibu
@user-ge4ul5fq2kАй бұрын
Kiukweli huyu kazi bd inampenda, maaana duuuuuuuuuuuuuh
@pastorgodwinchengula7848Ай бұрын
Hivi mbele ya pannel ya interview watu wanaongea hivi pia??
@meryamabdullah2081Ай бұрын
Na wanao sema Makonda anadhalilisha kwa mtu km huyu utasema anamdhalilisha mtu hana anachoelewa
@bsmonline8482Ай бұрын
Na ndio Mhasibu hii nchi ina vitu vya kushangaza na ubinafsi sana niambie huyo kafuzu vipi kuwa Mhasibu hata kujieleza tuu hawezi
@ElishaOissoАй бұрын
Sio kila mtu anaweza kuongea mbele za watu,,kwa kujiamin
@user-hu9bf7nw4cАй бұрын
Ndio ujue serikalin wanapeana tu uongoz kwa ajili ya kijinsia au kujuana ,huyu hafai ndio maana nmegundua serikalin kuna watu madudu tu yanatuongoza ,hapo ndio makonda unatibua tujue uozo unaoebdelea serikali. ,yaan kumbe ndio maana mambo serikalin mambo hayaendi duuuu!!!
@bsmonline8482Ай бұрын
😂😂😂 Mwasibu huyo haloooh!
@muddymuzungu4357Ай бұрын
😂😂😂
@mazikungusaАй бұрын
huyo dada mbona Hana confidence ya kuongea nani kama cheo
@user-sw7tf1ob1bАй бұрын
Anza nahuyo acaunt zao zichunguzwe dawa ni katiba mahakama ya mafisadi wafilisiwe na wafungwe
Huyu dada hata kujieleza ni tatizo,kwani hiyo kaz kaipata je!!!!
@Ibrahim-ne3inАй бұрын
😂😂😂dada dada dadaaaaa
@elizabethmiho9574Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 nimecheka kwa sauti .
@sabinahobe3478Ай бұрын
Mbona huyo dada kalegea hivyo!!! Jmn ni mhasibu wa wilaya au?
@khadjamhozyaАй бұрын
Tukienda kwao wanatudhazarau, kwako wanajing'atang'ata, mara wanarembuwa Mara wanaguguma kigugumizi ukisema una muke tena mzuri kuriko wao wanasema umewadharirisha🤣🤣🤣
@rukiauwonde7062Ай бұрын
Duh balaa hili
@user-qy4vk2qp9tАй бұрын
Million mbili,na Million mia8😀😀😀
@khadijatanzania8040Ай бұрын
Ndio hawa wanapachikwa kwenye kazi na ndugu zao wale ambao wanajuwa nabwamesoma haswa wanapigwa na chini kisa tu hawana ndugu
@zubeiramlanzi2480Ай бұрын
Noumer kinoumer yani
@josephminja7953Ай бұрын
Makonda akiwatimua mbaona hafai😮
@jahululamasungaАй бұрын
Watumishi wengine wanabebwa sana RC yupo sawa .Sasa kama umesoma vizuri unashindwa nini??
@SmilingBulldogPuppy-nb9urАй бұрын
Huyu mhasibu mbona kama kimwani hamna kitu,au ni jizi nalo hili dada
@gabapentin8070Ай бұрын
Fifte fifte ndo iyo sasa 😂😂😂
@odejose556Ай бұрын
Mh. Mkoa 😅
@JafariHussein-vb6pdАй бұрын
tatizo la kupeana kazi kwa connections
@AsiaNgolekaАй бұрын
UWT mnaona mnayoyafichia ktk vyama vyenu? Mnachotetea hapo ni yepi? Huyu mumweke ktk vikoba awe mhasibu au mumweke ktk chama chenu UWT awe mhasibu wenu.
@BIGBOSS-hl3buАй бұрын
Mh nani hapo amesemaje mungu??au mkuu wa mkoa
@paschalpaul3862Ай бұрын
Pesa zimewatokea puani ila mjini wanatamba
@imanijuma1804Ай бұрын
alafu ukimkuta ofcn sasa
@user-vl5pu4mm5zАй бұрын
Muheshimiwa mkoa 😂😂😂😂
@rashidiamani8645Ай бұрын
Mkuu jipu iro
@zuberisalum2004Ай бұрын
Ngono nakazz duuuu hatar ndio tanzaniaa
@PhilipoMwita-wc1kuАй бұрын
Mtu kama huyu akiambiwa usinilembulie wanakimbia kusema makonda ananyanyasa wanawake
@raymondlyamuya6900Ай бұрын
Dada ni kurembua tuu hamna anachojibu cha maana sijui hata kazi kapataje huyu khaaaa
@jumabonge8577Ай бұрын
kazi zao kuhonga na vijora tu pumbavu zao
@user-hu9bf7nw4cАй бұрын
Alafu eti mnasema makonda anazalilisha ,sasa kazalilisha nn hapo wakati huyo dada ,mheshimiwa feki ndio kajizalilisha ,yaan nikiona anaesema eti makonda anazalilusha ujue nayy ni wale wale wasio jua wajibu wa uongozi na kaz ufisadi ,serikalin au mtaan
@juliethkitali597Ай бұрын
serekali inaajiri kwa kujuana huyu dada hawezi hata kuongea sasa nini hii aibu tupu unacheza na hela za wananchi tupa kile
@anthonymtui5719Ай бұрын
Confidence mhasibu hakuna
@user-sw7tf1ob1bАй бұрын
Hana uwezo hao ni watoto wa mabosi
@chebadanford9837Ай бұрын
Si ujifanye umezimia yaishetuu
@user-sw7tf1ob1bАй бұрын
Kiswa hili hajuwi alipataje kazi?
@user-qy5qw1jv4sАй бұрын
Eti mtumishi wa serekali, yaani Tanzania ina mambo
@HamisiForogoАй бұрын
Huyu dada kanikeraaaaaa ovyooo poda yote imesambaa kama chizi vile