MUHASIBU ashikwa NA KIGUGUMIZI AKIJIBU MASWALI YA MAKONDA, AOMBA DAKIKA 10 ZA KUJIFIKIRIA..

  Рет қаралды 44,956

Wasafi Media

Wasafi Media

2 ай бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 184
@dionisiajohn519
@dionisiajohn519 Ай бұрын
Kwakweli tunakiu kubwa na watu kama wewe. Ubarikiwe sana Makonda. ❤️❤️❤️
@user-sg6ez3cf1f
@user-sg6ez3cf1f Ай бұрын
Huyu anaofia usalama wake kwa majibu sahihi
@isaackusupa9635
@isaackusupa9635 Ай бұрын
Kweli kazi kweli huyu ndiyo muhasibu anashindwa kujieleza nfio muhasibu
@user-pu1oe5ke4f
@user-pu1oe5ke4f Ай бұрын
Doctor samia suluhu Hassan una hitaji watu kma hawa mana hii nchi kuna watu wingi wanaofany ubazirifu wa pesa za umma ponge mama samiaa allah akupe umri mrefu na akulinde amin pongezi makond kz njea tuna hitaji mt kama ww zanzibar utunyoshee watu kma haoo pongezi ccm
@jamalomaryhuyushekhhakunak9020
@jamalomaryhuyushekhhakunak9020 Ай бұрын
halafu mnasema makonda hafai ona sasa kazi za kupeana ni Mbaya Sana
@malikkb6444
@malikkb6444 Ай бұрын
Kazi za kupeana matatizo yake ndo haya.. Unprofessional head of finance department. She lucks leadership qualities.
@YusufSasamalo-uz4ii
@YusufSasamalo-uz4ii Ай бұрын
Very unprofessional
@cornelkapinga8926
@cornelkapinga8926 Ай бұрын
Very sad for this country
@bakarithegeoinformatician7406
@bakarithegeoinformatician7406 Ай бұрын
90% ya watumishi wa serikali ukuondoa wizara ya ardhi hawajui wanachokifanya ktk taaluma zao coz hakuna sehemu sahihi wana fanya hata wakiwa field! Wakienda field wanapewa kutembeza nafaili tu
@richardmshiu5118
@richardmshiu5118 Ай бұрын
Exactly,, she knows the truth inside the finance department.she is afraid to talk and burn others.
@user-lz8zm3nv4i
@user-lz8zm3nv4i Ай бұрын
sure she is a head of finance department, and not only lucking leadership qualities but even financial regulations and prudence.
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 Ай бұрын
Haya Ndo Madhara ya Watu wanaenda kwenye interview ....Wanaitwa wengine ambao hawakuepo hata kwenye interviews za kazi..Kama alivyosema mbunge mmoja Juu ya Kazi za Tanesco.
@zubeiramlanzi2480
@zubeiramlanzi2480 Ай бұрын
Acha tu
@samwelsanga5339
@samwelsanga5339 Ай бұрын
Hakuna kitu hapo 😂😂😂
@augustinoevarist6754
@augustinoevarist6754 Ай бұрын
Ndio maana katika NGO jambo ambalo serikalini linafanyika kwa mwaka mzima kwenye NGO ni mwezi Mmoja, sio kwamba serikali haiko sawa shida ni kwamba kuna baadhi ya mambo wale waliaminiwa kwenye nafasi za kuzisaidia Taasisi za serikali ndio wanaoziangusha taasisi za serikali. Kuna ukweli mchungu ukisemwa kuna watu watasema tunawaonea wivu mliopata kazi😂, haya kazi njema wenzetu. Acha sisi tuendelee kutembeza Bahasha tukisubiri Wakati wa Mungu.
@YusufSwaibu
@YusufSwaibu Ай бұрын
Mheshimiwa ww unaupeo WA Hali ya juu sijawahi ona wala kusikia Mungu akujalie mengi Zaidi mazuri ktk kusimamia haki
@SaleheMkomwa
@SaleheMkomwa Ай бұрын
Angekus ANKO magu kazi Hana huyo dada
@MiliamNeneka-us5ks
@MiliamNeneka-us5ks Ай бұрын
Kazi za kupeana zinaumbua San emu ona madudu haya... Jamn..... Utasikiaa nipe connection ndo hii kaz
@mwakimedia291
@mwakimedia291 Ай бұрын
Kweli Kabisa 😂😂😂😂
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx Ай бұрын
Awaite wale LHRC na UWT waje wamjibie
@donaldmgunda4970
@donaldmgunda4970 Ай бұрын
Aseee umenichekeshaaa Sana😂😂😂
@priscamrekoni3451
@priscamrekoni3451 Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@edisonemmanuel-
@edisonemmanuel- Ай бұрын
Mtu kama huyo umchukulie hatua afu eti unamdharirisha hatoi sauti sasa hawa ndi unawakuta ofisini wanaanza zao sasa
@saimongilala8938
@saimongilala8938 Ай бұрын
Makonda unaweza sana
@elishabwilukiro6746
@elishabwilukiro6746 Ай бұрын
Hao Madam wa hivyo ukiwakuta ofisin kwao waga wanajiona kama ndio kila kitu, kumbe hamna kitu hapo.
@mwantumkombo3014
@mwantumkombo3014 Ай бұрын
😂😂😂yaani km mazuri vile!!, UBARIKIWE BB❤
@Mckiatu
@Mckiatu Ай бұрын
Huyo anayewaajiri hao watumishi huwa anazingatia vigezo gani jamani.
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Ай бұрын
Ni rushwa hakuna vigezo na kujuana wanajana wenywe na ukoo wao sasa wanaumbuka
@user-su7np6sn7s
@user-su7np6sn7s Ай бұрын
Muangalie macho yake yanavyo pepesapepesa macho yake kama mwanga vile aibu tupu yaani daaaaah! Makonda kimbiza huyooo dada Hana vigezo vya kufanya Kazi Aende akapike mama ntilie maaokoni
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Ай бұрын
Kuma
@KishokaMrumakishoka
@KishokaMrumakishoka Ай бұрын
Yani mtumishi hata kujieleza nishida ameajiriwa nani huyu
@cornelkapinga8926
@cornelkapinga8926 Ай бұрын
Aissee nimeshangaa sanaa
@gracekenan4665
@gracekenan4665 Ай бұрын
Na ni Lugha ya kiswahili
@dawhacker2216
@dawhacker2216 Ай бұрын
Mwanamke ni kama mwanamke haki sawa😅😅 mmewaona sasa
@biomedicaleliatosha7485
@biomedicaleliatosha7485 Ай бұрын
😅
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 Ай бұрын
makonda hawa fukuza mbali yani kazi wanapeana kimapenzi nadhani hata kujibu hawezi kawekwa sijui na nani
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 Ай бұрын
Huja kosea ndugu yangu huyu dada kawekwa tu kuongea tu shida akipewa neno utasikia anadhalilisha wanawake
@Petronkambi
@Petronkambi Ай бұрын
Huyu ndo makonda bna safi kabisa
@JustineZepha
@JustineZepha Ай бұрын
Makonda oyeeeeeee kaz nzur sana professor
@mwasunga
@mwasunga Ай бұрын
Wee mohamed umeongea upuuz mwenye umeona mtu kujib anajikanyag kanyaga koasimamishe kikao au
@lunangabenjamin3121
@lunangabenjamin3121 Ай бұрын
Ivi kwanini huyu mwanamke kapewa kazi mbona kama mlevi hajuwi anachofanya hakana nguvu zakuongeya.yaani kala rushwa na ngono nyingi maoficini.sukuma ndani.
@elizabethmiho9574
@elizabethmiho9574 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 acha wapigwe spana
@cidewashington670
@cidewashington670 Ай бұрын
Arushaa ya Makonda weeeee 🤣🤣🤣🤣
@user-od5si7ld6b
@user-od5si7ld6b Ай бұрын
Hiiiiii hapo kama hujajiandaa vzr lazima uchanganyikwe
@godfreyerasto1208
@godfreyerasto1208 Ай бұрын
Mhh hizi ajira za kujuana 🤣
@kasimnamesou4226
@kasimnamesou4226 Ай бұрын
Wakinyooshwa utasikia uzalilishaji, ona sasa kiongozi gani anaongea namna hiyo
@stn4873
@stn4873 Ай бұрын
Mhasibu mbona kama kanywa kitu😂😂😂😂
@FranciscoAmos-cx2zh
@FranciscoAmos-cx2zh Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 hatreeeee sana ! hizi spana za moto
@ShebbyTheparadiso-hf6fz
@ShebbyTheparadiso-hf6fz Ай бұрын
Huyu mwasibu hayuko sawa ana matatizo kama kalewa
@gracekenan4665
@gracekenan4665 Ай бұрын
Hapana anaogopa
@DaimaNyakunga-jb6do
@DaimaNyakunga-jb6do Ай бұрын
Ondoa huyo Sasa hivi
@jaydon3361
@jaydon3361 Ай бұрын
Mwanamke huyu alipataje kazi, mbona hata kujieleza hewez
@meryamabdullah2081
@meryamabdullah2081 Ай бұрын
Kazi za kupeana ndo madhara haya
@kwzjkwz3532
@kwzjkwz3532 Ай бұрын
Ngono ni nyingi kak
@justice607
@justice607 Ай бұрын
Mheshimiwa mkuu wa mkoa, mheshimiwa mkuu wa mkoa, mheshimiwa mkuu wa mkoa 😢😢😢😢😢😴😴😴😴😴
@salehwaziri5062
@salehwaziri5062 Ай бұрын
Angewaita Tamwa wamsaidiekujibu
@donaldmgunda4970
@donaldmgunda4970 Ай бұрын
Asee umenichekeshaaa Sana😂😂😂
@mwajabukapemba5458
@mwajabukapemba5458 Ай бұрын
Duh haibu naona mimi aisee hakuna kitu hapo
@luganosimon7471
@luganosimon7471 Ай бұрын
Sio muhasibu ni Mhasibu
@mkabesamaashao6805
@mkabesamaashao6805 Ай бұрын
FREM ZA TENGERU TUNALIPA KODI LKN HAZIFANYI KAZI
@johbernard3628
@johbernard3628 Ай бұрын
Anaonekana anadharau sana huyu dada
@magzeeee
@magzeeee Ай бұрын
Hapana
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 Ай бұрын
Muwoga tu 😂😂😂😂
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Hawa ni wale wa vikaratasi " nenda karioti uanze kazi"
@cornelkapinga8926
@cornelkapinga8926 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-qh2bx5em6j
@user-qh2bx5em6j Ай бұрын
@@deogratiusyudatadei5658kweli ni muoga
@bsmonline8482
@bsmonline8482 Ай бұрын
Kazi zinatangazwa interview huoni popote kuitwa unashangaa tuu watu wanakwambia alaah zile post mbona watu walishaanza kazi siku nyingi aisee kuna siku nilicheka na ndio nilipojua hii nchi ina wabisho 😂😂😂
@elishabwilukiro6746
@elishabwilukiro6746 Ай бұрын
Tanzania ya 50 kwa 50
@LiveWire254
@LiveWire254 Ай бұрын
Kenya hapa ukijaribu kuuliza VIONGOZI unapotezwa, huku ni hatari sana
@bsmonline8482
@bsmonline8482 Ай бұрын
Wanawekwa tuu hao kwani hatujua sasa mtu hata kuongea akaeleweka tuu hawezi kapitaje. Mtaani kuna watu bright, Serikali haiwatumii ila wale wasiojua chochote ndio wanaowaweka wasimamie utendaji wa serikali yaani hii nchi Mungu mwenyewe anatushangaa
@barikiringo6311
@barikiringo6311 Ай бұрын
Wengine wameekwa bila vidhibisho vya interview kabla ya kaz... undugu na kujuana inaliua taifa!
@robertzamani5612
@robertzamani5612 Ай бұрын
Badae taasisi
@user-pt4jf7lg3z
@user-pt4jf7lg3z Ай бұрын
Wanapena nafasi,hawana sifa Wenye sifa wanaachwa
@wennybarny168
@wennybarny168 Ай бұрын
Huyu hajadhalilihwa kama yule mwingine hadi akaambiwa unaongea kama unatafuta mchumba, mimi nimeoa na nina mke mzuri sana. Huyu wa leo hajapewa maneno makali.
@ShinjeMackenzie
@ShinjeMackenzie Ай бұрын
Daaa jamani huyu naye heti mhasibu hujuwi hata kujieleza shenz kabisa wakiambiwa wanajitokeza mbwa wezao heti uzalilishaji pumbavu zenu
@habibabarker1644
@habibabarker1644 Ай бұрын
Kaazii ipo kazini
@user-ev6bq9gf1f
@user-ev6bq9gf1f Ай бұрын
Uyu demu mbona kama mlevi
@kwzjkwz3532
@kwzjkwz3532 Ай бұрын
Rushwa ya kvant ikitumika kupata kazi
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m Ай бұрын
Hivi huyu dada, hata kusema jambo hawezi, amewekwa na nani? Kwa sura ni mzuri kweli lkn kujieleza hata hawezi. Hahahahahahahahahaaa
@KhmsNsr
@KhmsNsr Ай бұрын
NA MAKONDA AKIWAKAZIA UTASKIA ANADHALILISHA JINSIA YAANI HII NCHI INGEKUA NAWATU 10 TU WASERIKALI KAMA MAKONDA HATA WANANCHI FUNGELIPWA MISHAHARA MANA PESA INGEKUWEPO YAKUTOSHA NA KODI ZINGEPUNGUA ILA KODI INAONGEZEKA KWAKUA HATA IZO ZINAZOKUSANYWA HAZIFIKI MAHALI HUSIKA KWA WIZI
@edisonemmanuel-
@edisonemmanuel- Ай бұрын
Watumishi msipokuwa makini mtakoma tu tena naomba makonda wakupeleke kagera kwanza kule ni hatari zaidi ya Arusha karibu kwetu kagera tunakutamani sana
@bensonmwakipexle8960
@bensonmwakipexle8960 Ай бұрын
Muhasibu
@user-ge4ul5fq2k
@user-ge4ul5fq2k Ай бұрын
Kiukweli huyu kazi bd inampenda, maaana duuuuuuuuuuuuuh
@pastorgodwinchengula7848
@pastorgodwinchengula7848 Ай бұрын
Hivi mbele ya pannel ya interview watu wanaongea hivi pia??
@meryamabdullah2081
@meryamabdullah2081 Ай бұрын
Na wanao sema Makonda anadhalilisha kwa mtu km huyu utasema anamdhalilisha mtu hana anachoelewa
@bsmonline8482
@bsmonline8482 Ай бұрын
Na ndio Mhasibu hii nchi ina vitu vya kushangaza na ubinafsi sana niambie huyo kafuzu vipi kuwa Mhasibu hata kujieleza tuu hawezi
@ElishaOisso
@ElishaOisso Ай бұрын
Sio kila mtu anaweza kuongea mbele za watu,,kwa kujiamin
@user-hu9bf7nw4c
@user-hu9bf7nw4c Ай бұрын
Ndio ujue serikalin wanapeana tu uongoz kwa ajili ya kijinsia au kujuana ,huyu hafai ndio maana nmegundua serikalin kuna watu madudu tu yanatuongoza ,hapo ndio makonda unatibua tujue uozo unaoebdelea serikali. ,yaan kumbe ndio maana mambo serikalin mambo hayaendi duuuu!!!
@bsmonline8482
@bsmonline8482 Ай бұрын
😂😂😂 Mwasibu huyo haloooh!
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Ай бұрын
😂😂😂
@mazikungusa
@mazikungusa Ай бұрын
huyo dada mbona Hana confidence ya kuongea nani kama cheo
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Anza nahuyo acaunt zao zichunguzwe dawa ni katiba mahakama ya mafisadi wafilisiwe na wafungwe
@edisonemmanuel-
@edisonemmanuel- Ай бұрын
Hao ndo wanawafukuza wananchi hao pindi wameenda ofsn kwao😢
@boaziamos1224
@boaziamos1224 Ай бұрын
Ahahahahaha😂 hao ndio wasomi bhana wenye nafasi zao Tanzania 😅😅😅
@user-ru6ct4rh3t
@user-ru6ct4rh3t Ай бұрын
Jamani Aibu naiona mimi. Hivi huyu anafaa kweli kwenye nafasi hii. ? Mbona hanauelewa kabisa na hiyo kazi?
@jtheophil5499
@jtheophil5499 Ай бұрын
Uyu dada ni kiburi tu.Hajui anachokifanya .
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 Ай бұрын
Hizi kazi za kupeana matatizo yake ndio haya MTU hata kujieleza hawezi
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Ай бұрын
Ni aibu sana
@AminaRamadhan-mg9lj
@AminaRamadhan-mg9lj Ай бұрын
Nikweli hapoo hamnaa kituu kabisaaaa😮😮😮😮😮
@DelvinJohn
@DelvinJohn Ай бұрын
Mh Makonda naomba mm unipe KAZI nifanye KAZI na wewe mm naona watu wanachezea KAZI ....
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni Ай бұрын
Huyu nae ni kiongozi wa halmashauri 😂😂😂😂😂
@meryamabdullah2081
@meryamabdullah2081 Ай бұрын
😂😂😂
@pastorgodwinchengula7848
@pastorgodwinchengula7848 Ай бұрын
Unaweza ukajichanganya ukasema mheshimiwa Mungu.....😂😂
@jumamgeni6403
@jumamgeni6403 Ай бұрын
Wefala kwer ivi umefikiliya nini 😂😂😂😂😂😂😂😂
@rutakihama3523
@rutakihama3523 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
🤣🤣🤣
@KennethMgona-jy4vc
@KennethMgona-jy4vc Ай бұрын
Kwan uongoo kapagawa
@jamesmzaki6041
@jamesmzaki6041 Ай бұрын
😂😂😂😂mamaeee
@kenedymwilikwa5408
@kenedymwilikwa5408 Ай бұрын
Huyu dada hata kujieleza ni tatizo,kwani hiyo kaz kaipata je!!!!
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in Ай бұрын
😂😂😂dada dada dadaaaaa
@elizabethmiho9574
@elizabethmiho9574 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 nimecheka kwa sauti .
@sabinahobe3478
@sabinahobe3478 Ай бұрын
Mbona huyo dada kalegea hivyo!!! Jmn ni mhasibu wa wilaya au?
@khadjamhozya
@khadjamhozya Ай бұрын
Tukienda kwao wanatudhazarau, kwako wanajing'atang'ata, mara wanarembuwa Mara wanaguguma kigugumizi ukisema una muke tena mzuri kuriko wao wanasema umewadharirisha🤣🤣🤣
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 Ай бұрын
Duh balaa hili
@user-qy4vk2qp9t
@user-qy4vk2qp9t Ай бұрын
Million mbili,na Million mia8😀😀😀
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 Ай бұрын
Ndio hawa wanapachikwa kwenye kazi na ndugu zao wale ambao wanajuwa nabwamesoma haswa wanapigwa na chini kisa tu hawana ndugu
@zubeiramlanzi2480
@zubeiramlanzi2480 Ай бұрын
Noumer kinoumer yani
@josephminja7953
@josephminja7953 Ай бұрын
Makonda akiwatimua mbaona hafai😮
@jahululamasunga
@jahululamasunga Ай бұрын
Watumishi wengine wanabebwa sana RC yupo sawa .Sasa kama umesoma vizuri unashindwa nini??
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur Ай бұрын
Huyu mhasibu mbona kama kimwani hamna kitu,au ni jizi nalo hili dada
@gabapentin8070
@gabapentin8070 Ай бұрын
Fifte fifte ndo iyo sasa 😂😂😂
@odejose556
@odejose556 Ай бұрын
Mh. Mkoa 😅
@JafariHussein-vb6pd
@JafariHussein-vb6pd Ай бұрын
tatizo la kupeana kazi kwa connections
@AsiaNgoleka
@AsiaNgoleka Ай бұрын
UWT mnaona mnayoyafichia ktk vyama vyenu? Mnachotetea hapo ni yepi? Huyu mumweke ktk vikoba awe mhasibu au mumweke ktk chama chenu UWT awe mhasibu wenu.
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Ай бұрын
Mh nani hapo amesemaje mungu??au mkuu wa mkoa
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 Ай бұрын
Pesa zimewatokea puani ila mjini wanatamba
@imanijuma1804
@imanijuma1804 Ай бұрын
alafu ukimkuta ofcn sasa
@user-vl5pu4mm5z
@user-vl5pu4mm5z Ай бұрын
Muheshimiwa mkoa 😂😂😂😂
@rashidiamani8645
@rashidiamani8645 Ай бұрын
Mkuu jipu iro
@zuberisalum2004
@zuberisalum2004 Ай бұрын
Ngono nakazz duuuu hatar ndio tanzaniaa
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku Ай бұрын
Mtu kama huyu akiambiwa usinilembulie wanakimbia kusema makonda ananyanyasa wanawake
@raymondlyamuya6900
@raymondlyamuya6900 Ай бұрын
Dada ni kurembua tuu hamna anachojibu cha maana sijui hata kazi kapataje huyu khaaaa
@jumabonge8577
@jumabonge8577 Ай бұрын
kazi zao kuhonga na vijora tu pumbavu zao
@user-hu9bf7nw4c
@user-hu9bf7nw4c Ай бұрын
Alafu eti mnasema makonda anazalilisha ,sasa kazalilisha nn hapo wakati huyo dada ,mheshimiwa feki ndio kajizalilisha ,yaan nikiona anaesema eti makonda anazalilusha ujue nayy ni wale wale wasio jua wajibu wa uongozi na kaz ufisadi ,serikalin au mtaan
@juliethkitali597
@juliethkitali597 Ай бұрын
serekali inaajiri kwa kujuana huyu dada hawezi hata kuongea sasa nini hii aibu tupu unacheza na hela za wananchi tupa kile
@anthonymtui5719
@anthonymtui5719 Ай бұрын
Confidence mhasibu hakuna
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Hana uwezo hao ni watoto wa mabosi
@chebadanford9837
@chebadanford9837 Ай бұрын
Si ujifanye umezimia yaishetuu
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Kiswa hili hajuwi alipataje kazi?
@user-qy5qw1jv4s
@user-qy5qw1jv4s Ай бұрын
Eti mtumishi wa serekali, yaani Tanzania ina mambo
@HamisiForogo
@HamisiForogo Ай бұрын
Huyu dada kanikeraaaaaa ovyooo poda yote imesambaa kama chizi vile
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 169 МЛН
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 21 МЛН
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 33 МЛН
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 65 МЛН
HOUSE GIRL EP 57 || love story💞💕
25:26
BUSATI TV
Рет қаралды 20 М.
POV Joy and Anger's house - Inside Out 2
0:40
AmogusMan
Рет қаралды 26 МЛН
The thieves pulled a prank on the Policeman ! 😬👮🤣
0:38
BOGDANCHIKI
Рет қаралды 8 МЛН
Good job hero. #shorts #fyp
0:20
Gbeckett12
Рет қаралды 47 МЛН
Курение вредит здоровью
0:28
ЮРИЧ
Рет қаралды 4 МЛН