Makonda jaman MUNGU fanya muujiza baadae awe waziri mkuu
@SundayNkazaАй бұрын
Kama makonda anaibua madudu arusha namikoa mingine wakuu wa mikoa hawasanuki ama wanapigia pamoja ndomaana wapo kimya:
@godwineliya4686Ай бұрын
Waizi tu hao Piga spana Makonda
@papayikoyo741Ай бұрын
Kazi njema baba ang Mungu akupe neema Uzidi kuwatetea Tanzania maskini na wenye mbalmbal
@FatumaMomboАй бұрын
Sasa Makonda akisema watu wanasema ni maigizo tu Mimi ntaendelea kukukubali siku zote
@frankmfuse6990Ай бұрын
Tatizo Kila shida inasababishwa na viongozi wenyewe ni wa chama na selikali, ni chama kizima kimeoza na ndio chanzo chakila kitu
@jumanesaidi763527 күн бұрын
Kwa kazi ya namna hii, nimempenda Makonda !
@theresiamwandara7990Ай бұрын
Tenda za serikali ni kichefuchefu, wababa msijeua mitaji yenu mkafa vibaya. Acheni kabisa
@mwanaidimussaАй бұрын
Wasipooo kutaperiii unaletewaaa hiyoo kodiii mara ulikuwa hulipiii ushuruuu , na ndugu yangu amepooza kisaa tenda za serikali wenzakee ndo wameanzaa rdiii kweny system hiv karibuniii🙌🏼
@PriscaMponda16 күн бұрын
Raisi rais rais
@RuthMwakilembeАй бұрын
Hongera Makonda! FanyaKazi Yako Waokoe Wanyonge MUNGU Awe Nawe Daima
@egdldm4981Ай бұрын
Tasaf imejaa wapigaji sana
@laxfordzabron410924 күн бұрын
Nimrpenda sana makonfa
@MitchellErminaАй бұрын
Hiyo ndio shida inasumbua kenya eti tenda
@japhetmasunga8889Ай бұрын
kazi kaz kazi
@Cyb-TideTideАй бұрын
😊😊
@sadikingituАй бұрын
Huyu pia si ndiye alijenga ile shule ya OLE nini sijui na akadhulumiwa? Jamaa wameshamfanya kibonde chao aiseee, yaani anaumizwa tu.
@JohnNditi-jg2meАй бұрын
Yeye😢
@daslamonline4665Ай бұрын
Mwendo wa spana tu😅
@MeckitilidaTushabe-or9huАй бұрын
Yaaani uyu mwanamke hajielewi😢😢😮
@jumongderick-ub2ifАй бұрын
then she's laghs
@user-qg3nu1kv2nАй бұрын
Huogopi kesi ya udhalilishaji wewe umemdhalilisha mwanamke mwenzio 😂😂😂
@user-qg3nu1kv2nАй бұрын
Huogopi kesi ya udhalilishaji wewe umemdhalilisha mwanamke mwenzio 😂😂😂
@ndekagotfriedАй бұрын
Wangefikia muafaka kweli au ndio unakoment tuu bila akili............sikiliza kwa makini wewe
@MashakaMagesaАй бұрын
Utaanzishaje mradi bila kuwa na ela
@user-po8hz7xw9jАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mwanaidimussaАй бұрын
Mradi unapagwaaa pesaa inatoka ikifikaaa wanakulaaaa hawa wendawazimu
@ndekagotfriedАй бұрын
Jifunze kusikiliza kwa makini na kuelewa mtu hapewi hata nafasi ya kueleza vizuri ......... aliyekwambia mradi ulianza bila kuwa na hela nani.Kuna ubadhilifu ulifanyika TASaF jiji na Jambo linachunguzwa........ kwaa akili yako huyu dada angejibu nini?
@KamugishaFredi25 күн бұрын
Makonda kwanni usigombee urais jaman
@HussainMaula-tz8dhАй бұрын
Eeeeeeee Arusha mtanizeeeesha😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@SaidiAyubu-of8ztАй бұрын
Daaaah😂😂😂😂wezi kibao aiseee
@maryjames7438Ай бұрын
Afu kama Kuna ukweli vile maan wametulia kama Tanzania Ina mkoa mmoja
@saidsalim851Ай бұрын
Kihindi mkuti hapo😂😂😂😂
@user-jt7uv6vu1dАй бұрын
Mwendo wa.spana tu atuchek na nyan
@user-jt7uv6vu1dАй бұрын
Nimecheka san jmn
@Arsenal002Ай бұрын
Wasafi taarifa wenzenu wameshapost siku ya tatu leo nyie ndio mnapost mpo nyuma sana
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Wanakera
@MashakaMagesaАй бұрын
Nchi yetu watu Wana matatizo kibao alafu tuna viongozi hivi wanafanya kazi gani
@frankmfuse6990Ай бұрын
Viongozi wa chama na selikali ndio wezi wenyewe Watu Bado katika mikutano kama hii utasikia ccm hoye
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Wasafi mko nyuma sn Habari wenzenu washapost nyie ndo mnapost
@officialhansi4462Ай бұрын
hapa kuna shido gani kwano 😅
@mgoledaudi7598Ай бұрын
😂😂😂
@mariambakari7010Ай бұрын
😂😂😂😅 ni shido kwakwelo
@user-jt7uv6vu1dАй бұрын
Tupe.hela.yetu
@user-fg4yv8le8c2 күн бұрын
Makonda nyoosha watu
@PachaPanga18 күн бұрын
Awe rais
@user-vj1ek5us4rАй бұрын
😂makonda tibu hao wataumiz wanyonge
@rahelpeniel729915 күн бұрын
Kiboko wa wachawi
@emmanuelsunday8325Ай бұрын
Mwanamke nikilaza huyu
@ndekagotfriedАй бұрын
Kwaakili yako angejibu nini na Jambo lipo mahakamani .......... muwe mnafuatilia mambo sio kushabikia bila akili
@theresiamwandara7990Ай бұрын
Yani mtu anakula pesa anahamishwa, analetwa asiyejua kitu
@ndekagotfriedАй бұрын
Duuuuuh hivi ni lzm ku comment sijui kama unaelewa unachokisema kahamishiwa wapi kwani kazi kubwaaa
@user-lucas47Ай бұрын
Kwelii bwana walipe helaa
@jumaigoti7541Ай бұрын
Samia analea wajinga
@user-ko5co3bk9fАй бұрын
Point🎉🎉
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Hivi huyu mratibu ana akili kweli? Yaani mchukue bidhaa mtumie mseme mradi hauna pesa? U cant be serious aiseee! Hii nchi ngumu jmn🙌
@ndekagotfriedАй бұрын
Wewe ndio Huna akili maana unacomment bila kujua tatizo ni nini..........si kasema aliyehusika anachunguzwa na vyombo vya usalama sasa ajibu nini hapo. Think big brother
@Arsenal002Ай бұрын
Wasafi taarifa wenzenu wameshapost siku ya tatu leo nyie ndio mnapost mpo nyuma sana