Ndacha anaeleweka vzuri sana mtumishi Mungu akubariki Sana
@denisbarasa203514 күн бұрын
Mungu mwenyezi hawabariki sana kupitia kwa mwanawe YESU kristo aliye mtuma..
@user-mc2xd4eu2p7 күн бұрын
@@denisbarasa2035 mna miungu wa ngapi ?
@justine-270714 күн бұрын
Dan umeja maneno y mungu mwana n amna penye unasoma
@DanielErnest-nn2zj14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Frankgamanuel10 күн бұрын
Mwalimu Danieli Nimemuelewa sana Pamoja Ndacha ni mwalimu Mzuri Hila Kwa hili Nimemuelewa zaidi Mwalimu Daniel
@user-mc2xd4eu2p8 күн бұрын
Ukristo jaman ni shida yani leo ndacha anatoa andiko mungu ni mmoja aliebaba na siku kadhaa zilizopita alikua na mdahalo na sule akitetea yesu ni mungu sasa baba ndio yesu hii imani ima mgomgano hatari
@filexbenefits561214 күн бұрын
Whichever the verse you may read in the bible to support trinity can't make sense it is a mystery just like Sunday never supported in the bible
@DanielErnest-nn2zj14 күн бұрын
Sure
@davidochiengbuoga716511 күн бұрын
So many Scriptures support trinity (Isaiah 9:6; John 12:42-47;14:6-11; Philippians 2:5-11)
@mwoso14 күн бұрын
Ninarudia kusema, utatu ni fundisho la katholiki.
@japhetndoro653314 күн бұрын
Kweli
@DanielErnest-nn2zj14 күн бұрын
Kweli kabisa
@petromachanga553814 күн бұрын
Yesu ndo katolik? Mathayo 28,:18,_19
@programminglanguagestutori911814 күн бұрын
@@petromachanga5538 hilo andiko ni la ushirika wa wokovu na wote umetoka kwa Mungu Baba. Halisemi hao ni mungu watatu
@Frankgamanuel10 күн бұрын
Mukuje na huku Ilala Maeneo ya Msimbazi Center au Ilala Bungoni ,au Amana hapa ni sehemu City center wengi watapata mafundisho yenu nami nitakuwa hapo.
@Frankgamanuel10 күн бұрын
Mwakemwa yuko sahii sana na Binafsi Nimemuelewa sana na somo limeheleweka kabisa Hila Ndacha anaweka ubishani tu.
@Frankgamanuel10 күн бұрын
Ndacha yuko kwenye ubishani sio kufundishana Ndacha anakwenda kuniangisha nae anaenda kuwa kama Ushabiki wa kushindana na sio kufundishana.
@mwoso14 күн бұрын
Nataka mwalimu mwankemwa aonyeshe andiko linalo thibitisha utatu. Hatuwezi lazimisha Baba, mwana na roho kua Mungu mmoja. Mwana ni mwana na Baba ni Baba. Soma Hebrew 1:5, Mathew 22:44, Mathew 24:36, john14:28,John 17:1, mathew27;46,John 20:17.
@petromachanga553814 күн бұрын
Mathayo28:18:19
@wistadsanga2 күн бұрын
read John 1:18
@mwoso2 күн бұрын
@@wistadsanga wacha nikusaidie kuelewa kitu yohana anasema: hakuna aliye wahi kumuona Mungu baba aliye mbinguni isipokua tu mwana wake yesu kristo. Huyu mwana ni mfano wake Mungu baba Kwa sababu ameridhi uungu wake. Ndiposa yohana anamuita mungu. Hata kama huyu mwana ameridhi uungu na kupewa mamlaka hapa duniani , anasema baba yake aliyemtuma ni mkuu zaidi kumliko. Kwa ufupi Mungu alijifunua kwetu kupitia Kwa mwana wake kimwili. Ndiposa yesu anasema, ukiniona Mimi umeona baba. Na hakuna anaeweza kuona ufalme wa mbinguni bila kupitia kwake. Huyu mwana kuitwa mungu haimanishi yeye ni nafsi moja na baba yake. Hakuna pahali amesema, yeye ni mungu baba.
@wistadsanga22 сағат бұрын
@@mwoso kwa aya hiyo ya yohana 1:18 Yesu ni Mungu mwana soma vizuri
@mwoso19 сағат бұрын
@@wistadsanga nimekueleza kuhusu hio Aya na badu unaniuliza?
@mwoso14 күн бұрын
Tusilazimishe kitu ambacho hakiwezekani kua cha ukweli.
@user-mc2xd4eu2p7 күн бұрын
@@mwoso tayari mnaamini uongo tokeni huko
@rodgerskiponda787110 күн бұрын
Sasa nimeelewa kuwa huyu ndacha hapa kwa Daniel ni mwanafunzi. Daniel anaakili kubwa sana,anatoa andiko moja kisha alielezee ila ndacha ana wingi wa maandiko lakini ana uchache wa maelezo.
@williambaraka86192 күн бұрын
hii mada sio utatu bali uugu wa Yesu
@Benfilimon7 күн бұрын
Tukivua mazoea na ushabiki utagundua kua nchacha yuko sahihi ila Daniel ameshikilia mazoea sio ukweli
@exseviangaeje115814 күн бұрын
Wanautatu Hata iwe mtoto ILI fundisho la UTATU mnalazimisha lkn ukweli utabaki palepale mungu NI MMOJA alie baba na Kuba mwanae na roho wa mungu
@Shomariamuri111 күн бұрын
Kabisa ndugu yangu
@user-mc2xd4eu2p7 күн бұрын
@@exseviangaeje1158 mungu mmoja aliebaba kwa hiyo yesu sio mungu tena? Yesu akiwa mungu mna miungu wa ngapi?
@augustinomathan43856 күн бұрын
Kwani Mungu ana nafsi ngapi kwa mujibu wa biblia
@davidochiengbuoga716511 күн бұрын
MCH Mwakemwa yuko sahihi kwa hii mada
@Frankgamanuel10 күн бұрын
Au Muje huku Tbt
@ackimackim188012 күн бұрын
MBONA YOHANA 1:1 HAMUIGUSI,INA MAJIBU YOTE
@DanielErnest-nn2zj14 күн бұрын
Hspa pumba na mchele vimejulikana, kwa hiyo walimu wa jumapili kwa kifupi poleni sana, Biblia imejieleza vizuri Tunae Mungu mmoja tu aliye Baba 1Kor 1:6, na sio Baba mwana na roho (u3)
@petromachanga553814 күн бұрын
Isaya. 35:4_6
@Shomariamuri111 күн бұрын
Inasema nini? Kwamba Mungu anavicwa vitatu 😂😂?
@user-mc2xd4eu2p7 күн бұрын
@@DanielErnest-nn2zj yesu sio mungu tena?
@amoschacha28857 күн бұрын
Kweli waislam wako sahihi Mungu ni mmoja yan kiukwel tumepotea sana ukiwasiklza waislam ndo wenye din ya kweli
@user-mc2xd4eu2p7 күн бұрын
@@amoschacha2885 kweli yako fanya maamuzi mapema kabla hujachelewa
@user-mc2xd4eu2p7 күн бұрын
@@amoschacha2885 sahihi fanya maamuzi mapema
@user-ox8pc5wu7uКүн бұрын
Mmepotea
@familyofgodtv129010 күн бұрын
KAMA AMEPATA HESHIMA KWA MUNGU BABA BASI YESU NDIYE MUNGU MWANA HIYO HAINA UBISHI ASINGEKUWEPO MUNGU BABA BASI HATA MUNGU MWANA AMBAYE NIYESU ASINGEITWA HIVU
@qerysir441010 күн бұрын
MUNGU ni mmoja aliye BABA. Huyo Baba alimzaa YESU (Mwana wa Mungu) kisha akampa mamlaka yote na nguvu zote za kiungu hivyo kumrithisha jina Mungu. Mungu Baba anaye ROHO wake (Roho wa Mungu) aliyeshuka ili atufundishe na kutuonya!!
@user-mc2xd4eu2p8 күн бұрын
Kwa hiyo mna miungu wa ngapi?
@qerysir441010 күн бұрын
YESU NI MWANA WA MUNGU, hii inamaana kabla ya kuzaliwa kwake (kuzaliwa kiroho sio kimwili) Baba alikuwa yupo anatawala bila mapungufu yeyote. Baada ya Yesu kuzaliwa ndipo MUNGU (BABa) na MWANA wakaamua kufanya uumbaji. MUNGU AKASEMA "natumuumbe mtu kwa mfano wetu". Maneno haya akimwambia YESU aliye mwanawe.
@user-mc2xd4eu2p7 күн бұрын
@@qerysir4410 hivyo mungu wa ngapi?
@habililailo27113 күн бұрын
Hili liko wazi tu ni vile mtu aongozwi na roho usipo uongozwa na roho wa Mungu huwezi kujua ukimkataa yesu huna sehemu kwa Mungu ukimkufuru roho biblia inasema hutasamehewa kwa hiyo Mungu ni mmoja aliye tenda kazi kwa nafsi tatu
@Shomariamuri111 күн бұрын
Mungu hana nafsi tatu. Ni Mungu gani uyo 😂
@habililailo27110 күн бұрын
@@Shomariamuri1Yohana1: 14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
@daudimichael73387 күн бұрын
UTATU wa Mungu unadhihirika kwenye mistari hii. 1. Yoh. 15:24 2. Yoh. 10:30 3. Yoh. 28:19 4. 2Kor. 5:27 5. Mdo. 20:28. Ni Mungu mmoja aliyejifunua katika nafsi tatu.Uwe unataka au utaki, Ruka juu, kaa chini, galagala, ukweli wa maandiko ndiyo huo. Ndacha tunakupenda sana lakini kwenye hilo la kukataa utatu, hapana.
@augustinomathan43856 күн бұрын
Thibisha kimaandiko
@davidochiengbuoga716511 күн бұрын
Neno MUNGU ni ofisi,Baba ni Mungu,Yesu ni Mungu, Roho Mtakatifu ni Mungu katika etendaji kazi. Yesu alisema kuwa Yeye si Mkuu kuliko Babaye japo Yeye ni Mungu kwa utukufu wa BABAYE (Isaya 9:6; Wafilipi2:5-11)
@user-mc2xd4eu2p7 күн бұрын
@@davidochiengbuoga7165 duh huu ndio ukristo mtu anasema chochote akishashiba makande mungu imekua ofisi sasa mtihani mzito
@user-mc2xd4eu2p7 күн бұрын
@@davidochiengbuoga7165 jumla mna miungu wa ngapi?
@user-mc2xd4eu2p8 күн бұрын
Sasa mna miungu wa ngapi nyie watu baba mungu yesu mungu ndacha huweki wazi mna miungu wawili mnakwepa nini ? Nyote mmepotea mumgu ni mmoja tu hana mshirika hakuzaa hakuzaliwa
@sirpleasureb13 күн бұрын
MBONA HAMKO LIVE
@dennisezakiel33807 күн бұрын
Hiyo mada ni ngumu sana lakini pia inachanganya sana ,
@user-mc2xd4eu2p7 күн бұрын
@@dennisezakiel3380 ni uongo ndio mana haieleweki fanya uamuzi kabla hujachelewa
@dennisezakiel33807 күн бұрын
@@user-mc2xd4eu2p 😂😂😂😂 Mimi nipo kwa Yesu ndugu niko kwenye uzima wa milele
@user-mc2xd4eu2p7 күн бұрын
@@dennisezakiel3380 kujiliwaza tu lakini hao walinu wenu mungu hawamjui imani iliyofeli
@user-mc2xd4eu2p6 күн бұрын
@@dennisezakiel3380 mna miungu wangapi ?
@ackimackim188012 күн бұрын
YAANI HAPA NDACHA KICHWA NGUMU, WAISLAMU UKIWASOMEA MAANDIKO YA UUNGU WA YESU,WANAKUSOMEA MAANDIKO YA UBINADAMU WA YESU,MTAKESHA NDACHA FUNGUKA
@Shomariamuri111 күн бұрын
Wewe ndo hauelewi
@qerysir441010 күн бұрын
@@Shomariamuri1Hili somo sio wengi wataelewa katika wakristo, seuze waislamu😮 Kwa kweli Mungu ni mmoja aliyemzaa YESU kisha akamtuma ulimwenguni. YESU alirithi mamlaka yote akawa Mungu machoni petu!!
@Shomariamuri110 күн бұрын
@@qerysir4410 Kabisa ndo mana unaona mwalimu Daniel na team yake wako ndani ya shule. Wataelewa tu 😁
@ackimackim188012 күн бұрын
NIKUELEWESHE TENA NDACHA, YESU AMEPEWA MAMLAKA YOTE DUNIANI NA MBINGUNI,JE MUNGU YEYE MAMLAKA YAKE IKO WAPI??????, UNATAKA KUSEMA MUNGU HANA MAMLAKA.???? YESU NI MUNGU KAMILI NDACHA.
@Shomariamuri111 күн бұрын
Mungu hajawai kuja hapa Duniani ndugu yangu. Yesu mwanae ndo alifanyika mwili. Mtaelewa tu. Hata mimi nilikua na imani iyo ya waungu watatu 😂
@ackimackim188012 күн бұрын
JINA LA MUNGU NI YESU,MUNGU ALIPO VAA MWILI JINA LA MWILI HUO ULIITWA YESU. YESU NI EMANUEL YAANI MUNGU PAMOJA NASI. (Mathayo 1:23, isaya 7:14). UKISHINDWA KUELEWA HAPO NDACHA RUDINI KENYA,HATUTAKI WATU WASIOELEWA TANZANIA.
@Shomariamuri111 күн бұрын
Mungu wa Mbinguni hakuna siku alivaa mwili ndugu yangu
@user-mc2xd4eu2p7 күн бұрын
@Shomariamuri1 ukristo jamani sio dini huyu yesu mara yeye mungu siku nyengine mungu ni mmoja aliebaba Yan mngongano
@binseif221614 күн бұрын
Mtabishana sana na Bible 1 ndo mjue bible ni maneno ya watu,Quran ishamaliza kila kitu
@Shomariamuri111 күн бұрын
Quran ni ya majini bwana 😂
@iddiwamasha11 күн бұрын
Kwni Mungu si yesu tena
@binseif221611 күн бұрын
@Shomariamuri1 Hakuna hata Aya moja ndani ya Quran au bible ikisema uislamu ni Dini ya majini,hayo maneno mtabakinayo kwenye vinywa vyenu na makafiri walokwepo wakat wa nabii Muhammad S.A.W
@Shomariamuri110 күн бұрын
@@binseif2216 Enda fanya mdahalo na Dr Sule kuusu majini alafu utaona cha moto 🤣🤣🤣
@binseif221610 күн бұрын
@@Shomariamuri1 Siwezi kumfata Dr sule me nasoma kitabu ndo kinachonielekeza nilisoma bible na Quran nikaamua kuifata Quran sabb haina uongo ndani yke,na alhamdulillah walosilimu wanasema kumbe tulikuwa tunaimanishwa kanisani uislamu ni dini y majini kumbe uongo
@ackimackim188012 күн бұрын
NDACHA NIKUELEWESHE KIDOGO,JINA LA MUNGU NI LIPI? JE? KATI YA JINA LA YESU NA JINA LA MUNGU LIPI LINANGUVU YA KUTOA MAPEPO??????????,UKIELEWA APO NDACHA NDO UTAJUA YESU NI MUNGU KAMILI.
@Shomariamuri111 күн бұрын
Mungu hajawai kuja Duniani, ila Yesu kristo mwanawe. Mtaelewa tu