Ndacha ww ni mwinjilisti wa kweli Na Mungu atazidi kukusimamia ili utusaidie sisi tulitambue vema Neno la Mungu. Ubarikiwe sana (Egidius)
@daudimichael73382 күн бұрын
Mungu ni mmoja, anajitambulisha katika kazi zake. Baba (Kazi ya kuumba), nafsi ya Mwana( ukombozi), Roho Mtakatifu (Utakaso).
@user-iz5fm9rt6n14 күн бұрын
Kwa nini Yesu Asiseme nasasa Baba Na roho mtakatifu mnitukuze mimi kwa ule utukufu nilio kuwa nao pamoja nanyi kabla ya Ulimwengu kukwako lakini Yesu Lugha ya Baba kumaanisha kabla ya Ulimwengu kuwako Alikuwepo Baba na Yesu full stop which is roho yupo ndani ya mungu si Mungu bali ni roho wa Mungu basi so Yesu Ni Bwana 1 wakorinto 8:6 _7 yohaha 17:3 yohana 17:5_9 God bless you ndacha ❤ and be with you all
@fredrickgitonga197214 күн бұрын
Kweli kabisa
@emmakimisha122114 күн бұрын
walimu wa utatu wanajenga imani kuwa ukipinga utatu unamkataa THE HOLY SPIRIT... hiyo ni sababu wanakuwa wabishi wakiteta hoja kwa kujinadi basipo kuoneshaa ukweli wa maandiko ambayo ndio msingi wa imani,, ndacha MUNGU azidi kukutumia ili uzidi kuwaamsha wengi .. Barikiwaa sana mjoli ndacha unaongozwa na MUNGU
@georgekimasaofficial162914 күн бұрын
Mbona ndacha kazidiwa Kwa hoja 😂😂😂
@emmakimisha122114 күн бұрын
Hakuna hoja iliyomshinda ndacha.. wacha Ushabaki kwa maandiko
@fauwilliam678014 күн бұрын
Nakukubali sana ndacha kwa kufundisha
@shadyz920814 күн бұрын
Ila naomba ukubali Mungu zaidi
@rehemashariff311914 күн бұрын
Yaani hapa ndio wale Yesu akasema wanamasikio lakini wasielewe ndio hawa tanzania kwaheri kenya wapo pia wapo kule kongo pia tuliwaona nihuruma sana😢😢😢😢
@DanielErnest-nn2zj14 күн бұрын
Inauma sana mtumishi
@qerysir441010 күн бұрын
HESHIMA ZANGU KWA MCHUNGAJI NDACHA, ROHO AMEMTUMIA KUTUFUNULIA SIRI HII👌
@UswegeJohn-ov3ym8 күн бұрын
Ndacha amefeli kabisa kwenye hii mada.,wewe huna tofauti kabisa na waislam. Daniel ni Mkristo wa kweli anayeongozwa na Roho Mtakatifu. Be blessed in richly!
@Ayyub_Semtawa3 күн бұрын
Kwa iyo anaeongozwa na roho mtakatifu anatumia nguvu nyingi sana kupayuka..,? Hakuna haja ya kupiga kelele [using agrression tone to get your point across]
@justine-270714 күн бұрын
Moja mara. Moja mara moja ni moja was shida
@DanielErnest-nn2zj14 күн бұрын
Hata mtoto we chejechea hiyo hesabu ataksambia ni 3😂😂😂
@DanielErnest-nn2zj14 күн бұрын
Watu we jumapili wasipochunga, Yesu siku akiludi watanngamia, wabadilike waludi njia kuu
@abdallahdataguy4 күн бұрын
moja jumlisha moja jumlisha moja jumlisha moja jibu ni moja kwa imani yako badala ya usawa kuwa ni tatu 😂
@BartolomeuHenrique-mx1fn14 күн бұрын
Mwalimu mwankemwa ubarikiwe sana ndacha umempa kibaruwa,na meenyekiti wake Wana Hila Niko Mozambique Pemba ubarikiwe mwl Danieli
@fredrickgitonga197214 күн бұрын
Utatu ni upagani
@petromachanga55386 күн бұрын
@@fredrickgitonga1972 mathayo 28:19 yesu nimpagan?
@japhetndoro653314 күн бұрын
Mwakema ukimsikiza utadhani akosawa lakin hjulikani anatetea nini
@handenitakuru669614 күн бұрын
Kumbe na wewe umeliona hilo😂😂🎉🎉
@user-ru4cy1ob8k13 күн бұрын
Ndacha, hoja zako zina make sense wallah bila ushabiki
@EVANGELISTJOHN-qb6bq14 күн бұрын
Mwakemwa Mungu akusaidie kuelewa unachokifundisha..akuondolee dhana..hakuna mungu wa utatu katika maandiko
@medadykyabashasa179414 күн бұрын
Wapi hujaelewa mpaka hapo au upofu umekufunika? Mwankemwa kaweka wazi UTATU
@DanielErnest-nn2zj14 күн бұрын
@@medadykyabashasa1794analeta ushabiki bila kufatilia maandiko
@emmakimisha122114 күн бұрын
Imani huja kwa kusikia ,, na kusikia ni kusema imeandikwa,.... Leta andiko mzee
@denisbarasa203513 күн бұрын
Exactly ni vizuri ku prove na andika
@GodfreyErene10 күн бұрын
Barikiwa sana mch mwakema, tatizo wasabato wapo mwilini hawaelewi kabisa habari za rohoni, niatari sana kusikia mkristo haelewi utatu wa nafsi za mungu,
@estakenia9 күн бұрын
😂unahitaji kujifunza vizuri
@BakangayaBantaba5 күн бұрын
Wew ndie huelewi unachozungumza ndugu nafsi tatu ni nini
@ChandeDaudi5 күн бұрын
Mwenyezi Mungu ni mmoja tu ni muumba wa mbingu na nchi na vitu vyote nae ni ALLAH sio yesu
@rehemashariff311914 күн бұрын
Kweli ndacha wewe ni mwalimu maandiko hayasemi mungu Baba mwana Mungu mwana Mungu roho hakuna kwenye bibilia imeandikwa hivi Mungu baba mwana roho mtakatifu kweli tunapotea ndacha elimu uliyo nayo niya roho mtakatifu hawa wakuenda shule wanapoteza watu
@paulkamula91179 күн бұрын
Ndacha ni mbishi ndacha si mwalimu hata hajui kitu hata hajielewi chenye anaongea..
@MillanDunga7 күн бұрын
Uongo ndugu,, MUNGU NI MMOJA.. Naye ni YESU,KRISTO,, kwa mfano raisi wa Kenya ni Ruto, mkewe ni Rachael, mwanawe ni Sharleen.. Nikisema enda umsalimie raisi wa kenya, bwana wa rachael, babake sharleen utagundua ni William Ruto.. Ni mtu mmoja ana titles Tatu baba, raisi bwana lakini haya si majina,, jina ni Ruto
@comsmkemwa26716 күн бұрын
Kama hujui biblia kaa kimya, ndacha ni mwalimu lkn kipengele cha utatu wa Mungu hajui qnachemka sana, mkristo hakuna mkristo asiyejua utatu wa Mungu na ndio ukweli
@richardchimba38005 күн бұрын
@@comsmkemwa2671utatu ni mapokeo tu
@celestinshayo729520 сағат бұрын
@@comsmkemwa2671wasabato wote ni mbumbumbu wa Maandiko siyo Ndacha pekee yake. I stand to be corrected
@daudimichael73387 күн бұрын
Mwalimu Daniel hapa ulimfundisha Ndacha maana ya Utatu Mungu mmoja. Asante sana, mwenye akili ameelewa vizuri. Mkawabatize kwa JINA la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Kwa JINA siyo kwa majina. Baba, Mwana na Roho Mtakatifu ni JINA moja.
@JoshuaLeonard-y2w11 күн бұрын
Mungu ni mmoja TU
@user-mc2xd4eu2p8 күн бұрын
Hizo biblia zina mgongano kila mtu anasoma yake na maana tofauti hii imani ya mchongo 😂😂
@JajiZakayo-fw9mk5 күн бұрын
anapotajwa Mungu baba ni katika hali ya uumbaji, Mwana ni pale aliposhuka kuja kumuokoa mwanadamu, Roho mtakatifu ndiye huyu anayetenda kazi ya Yesu hadi leo .
@Anza_tz10 күн бұрын
Wasabato mnachekesha sana mbona elimu iko wazi sana hapo ...Mungu ameamua yeye kua katika Hali tatu Ili utendaji wake na mahusiano yake na wanadamu yafanikiwe ..kwa mfano ..Mungu baba kwa utukufu wake ukimuona kwa macho utakufa kwanza sauti yake tuu inasemekana ni kama radi hata malaika mbinguni sidhani kama wanauona uso wa Mungu baba kwahyo inabidi Mungu baba ajifanye yeye kua na mwili Ili aweze kuwasiliana na watu vizuri..lakini tunajua kwamba Mungu baada ya Yesu ameamua kufanya makao ndani ya watu sasa atakaaje kama hajawa katika mfumo wa Roho? Sasa Mungu ni mmoja lakini ameamua kua katika sehemu tatu Ili kuwezesha uhusiano wake na viumbe vyake uwe na ufanisi zaidi kuliko angebakia katika utukufu wake hakuna mtu angeweza kuongea nae Wala kumsogelea kwanza tuu ukiwa na dhambi hata kidogo ukisogelea utukufu wa Mungu unakufa na ndyo sababu Mungu akaamua kutoa damu yake mwenyewe kama sadaka Ili iwe Kinga kwetu kwa msamaha na ondolea la dhambi.
@philipjoseph59315 күн бұрын
Usiseme Wasabato, Sema Ndacha.
@user-mc2xd4eu2p8 күн бұрын
Nyote mmepotea ndio maana maana mpaka leo mna mgongano katika kumjua mungu huu mtihani
@opujejoshmahjoshmah143214 күн бұрын
Wapendwa Huu ndio mwisho wa Dan mwakemwa kusikika.. wote walio jadili na mtumishi Ndacha leo hii wasikiki maana sio Ndacha wanao pinga ila ni Mungu Baba kupitia Mwanae kwa Watumishi....sio Utani huu
@fredrickgitonga197214 күн бұрын
Kweli kabisa
@zacharynganga212413 күн бұрын
❤❤❤
@user-wg2gd2nl6c14 күн бұрын
Tatizo wajumapili wanaisoma biblia kwa theologea. Mungu. Awafungue macho. Muelewe. Wote niwamoja.
@HellenLemilya14 күн бұрын
Logically hata haieleweki Mungu kuja duniani mbinguni alikuwepo nani?
@jamesrichard108410 күн бұрын
Upeo wako wa kufikili mdogo kwani mchawi awezi kuwa paka na muda huo yuko nyumbani amelala sasa kama huyu anaweza Mungu je?
@msemakweli24314 күн бұрын
Leo ndo nimejua mwalimu mwankemwa yeye kakalilishwa elimu ya kusoma chuoni sio kusoma biblia na kuomba maarifa kwa mungu amuongoze
@kulwasandali227914 күн бұрын
Anachotetea huyo mwalimu mwakemwa hakipo anatia huruma Sanaa Mungu amsaidie tu maan hatak kukubali ukweli
@vincentdaud995414 күн бұрын
Wewe ndo hujitambui .wayahudi hamna jipya. Dhehebu lenu lilianzishwa saa6 mchana siku jumamosi 7 .7.1945 na mwanamke Ellen Gabriel white . Michigan marekani aliyekuwa mtawa wa estern orthodox alipoasi akajiundia kikundi cha wabishi
@DanielErnest-nn2zj14 күн бұрын
@@vincentdaud9954ondoa mhemko, Zile amri za sinai zlianzishwa mwaka huo?
@kulwasandali227914 күн бұрын
@@vincentdaud9954 hahaha pole sana ndugu eti limeanzishwa 1945...sasa akili zako ziko sawa kweli daah huyo unaemsema unajua kuwa amefariki miaka ya 1880 huko sasa unasemaje 1945 ndio ameanzisha hahahah aisee unatia huruma sabato Iko Toka mianzo ya ulimwengu imewekwa hiyo ibada na ndio maan Yesu had anakuja akaendeleza tu hkn Kipya acha kufuata mkumbo kijana unapotea Sana unatia huruma
@user-iz5fm9rt6n14 күн бұрын
YOHANA 17:11 Wala mimi simo tena ulimwenguni lakini hawa wamo ulimwenguni nami naja kwako Baba mtakatifu kwa Jina lako ulilo nipa uwalinda hawa ili wawe na Umoja ka sisi tulivyo ;;;: Swali sasa kwanini Yesu asiseme nami naja kwenu baba mtakatifu na roho mtakatifu lakini anasema nami naja kwako Baba mtakatifu ni kwamba wewe mwl.? Mwankwemwa unataka kutuambia kwa andiko hili yesu hakujua kama na roho ni Mungu na yupo mbinguni na ndiko anako kwenda??? Wewe hujui ingelikuwa ni kumukosea Mungu roho, na ingelikuwa ni kumshusha Mungu roho hazi ya uungu ila Yesu anacho kijua au anacho tufundisha ni kuwa Mungu ni Baba na Mungu ana roho wake kwahiyo roho si Mungu wakujitegemea bali roho ni roho wa Mungu ndiyo maana yesu hakuona sababu yakumusema roho kama Mungu, bali kuna roho wa mungu Mwanzo 1:2 issaya 40:12_13 Mattayo 3:16
@zakayomwalongo933010 күн бұрын
Matendo ya Mitume 28:25 [25]Na walipokuwa hawapatani wao kwa wao, wakaenda zao, Paulo alipokwisha kusema neno hili moja, ya kwamba, Roho Mtakatifu alinena vema na baba zetu, kwa kinywa cha nabii Isaya, [26]akisema, Enenda kwa watu hawa, ukawaambie, Kusikia, mtasikia wala hamtafahamu; Na kuona, mtaona wala hamtatambua; Hilo fungu linasema Roho mtakatifu alinena kupitia kinywa cha nabii isaya... haya tuone huyo roho alinena vp na nabii isaya..👇👇 Isaya 6:8-9 [8]Kisha nikaisikia sauti ya Bwana, akisema, Nimtume nani, naye ni nani atakayekwenda kwa ajili yetu? Ndipo niliposema, Mimi hapa, nitume mimi. [9]Naye akaniambia, Enenda, ukawaambie watu hawa, Fulizeni kusikia, lakini msifahamu; fulizeni kutazama, lakini msione. Jibu liko hapa tunaona Roho Mtakatifu anazungumza na nabii isaya akisema naye ni nani atakayekwenda kwa ajili yetu. Ko tunaona hapa Roho Mtakatifu anasema kwa niaba ya nafsi zingine ambazo ni MUNGU BABA NA MUNGU MWANA. hivyo Roho Mtakatifu ni nafsi hai ya inayojitegemea. Roho Mtakatifu azidi kukusaidia pale unaposoma bible uzidi kuelewa jinsi Mungu alivyojifunua.
@JohnNchimbi-i8tКүн бұрын
Na wewe acha nikuswalike Mwanzo 1:26 kwanini Mungu asiseme "na nifanye mtu kwa mfano wangu?"
@nicksonlyimo15622 күн бұрын
YESU ni yote ndani ya yote , Bikira atazaa mwana ,mshauri wa ajabu Mungu mwenye nguvu ,mfalme wa Milele,hata YESU aliwaita wanafunzi wake wanangu.
@banyankirubusamarc172710 күн бұрын
Munayo sema mungu wa utatu au mungu wa uwili nyie wote muapotevu, Mungu ni mu moja ni Yesu tu ,
@Kuminamoja199510 күн бұрын
M'mungu mmoja ni Allah? Silimu ndacha
@Nolithajack1214 күн бұрын
Mwalimu balikiwa sana❤❤❤❤
@zakayomwalongo933010 күн бұрын
Ndacha ndacha ndacha we ni mchungaji ni na unafwatiliwa na watu wengi angalia jinsi unavokataa utatu na kuwaaminisha watu... kumbuka watoto wa eli walivyokua makuha n wakawa wakaidharau sadaka ya Bwana. Dhambi inayofanywa kinyume na mpango wa Mungu kwa ajili ya ukonbozi wa wanadamu hawawez kusamehewa hata wakaomba toba . waebrania 6:6. Wanadamu hatuwez kupata wokovu kama hatutaamini katika utatu. Usimuhuzunishe Roho wa Mungu hata akawa adui yako. Mungu akupewepesi wa moyo na uelewe vile Mungu kajifunua kwetu kupitia neno lake
@DrNelsonJohnMuhirwe14 күн бұрын
Mheshimiwa Ndacha
@orestsanga62946 күн бұрын
Kumuelewa Ndacha kwanza unatakiwa kuwa mpinzani wa hilo fundisho. Ukweli ni Ndacha umeshindwa kwa hoja za maandiko matakatifu
@ChandeDaudi5 күн бұрын
Mwankemwa imefeli na ndacha umefeli kipofu akimwongoza kipofu mwenzake watatumbuiza wote shimoni
@user-hu3uw4pd7y8 күн бұрын
haya sas mmesahatueka njia panda hatujui tumfatane nani sas na nyote mnatumia kitab kimoja lakin hatujui yesu ni nani nshagair kuingia kwa ukirsto mana biblia inachanganya
@albertvalentino13010 күн бұрын
Wasabato kwa habari ya doctrine mko hoi kweli kweli --- mnataka kumfafanua Mungu A to Z kwa kuzitegemea akili za kibinadamu,yaani kwa kujenga hoja --- yaani mwanadamu umfafanue Mungu,kwamba anaanzia wapi na anaishia wapi ? Hapo sasa mwanadamu,si atakuwa uwezo kuliko Mungu --- neno linasema," Siri ya utauwa ni kuu... 1 Tim 3:16.
@japhetndoro65339 күн бұрын
Mungu amejifunua mwenyewe ww
@IsackMntaji4 күн бұрын
Mch,ndacher,punguza munkari ninyi wote ni wakristo,nakuomba uongozwe na roho wa bwana kama mwenzako danieri ili tuwaelewe vizuri mbona danieri tunamuelewa?
@CHRISTOPHERKAKINGO7 күн бұрын
Aliva mwili akaitwa yesu kabla hajavaa mwili alikuwa nani
@AlfredMusemakweri23 сағат бұрын
Yani kumjua Mungu wakweri katika utata wake ni ufunuo waroho mutakatifu siyo hakiri za kibinadamu mc ndacha wewe niwakuwahubiri waisilam ili wamjue yesu tu waokoke wasiingie jehanam
@DanielErnest-nn2zj14 күн бұрын
Mwankemwa asipo angalia andiko la Uf 22:18-19 linamshtaki, anajalibu kingiza maneno yake ya nje ya biblia
@FredrickNyangweso11 күн бұрын
Kwa umoja ya Uungu Daniel mwakemwa akosahihi hapo Ndacha umelemewa mbona Yesu amwita Roho yeye,,na Kuna Mungu Baba na Kuna mwana na hawa wote ni umoja unasema nafasi tatu Kwa Uungu shida ni Moja unasoma Bibilia na fixed mind funguka Wacha kufundisha Bibilia jinsi unavyo fanya kwenye mdahalo wa kislamu naye Roho wa Mungu atakuongoza vyema
@FelixGitonga-co8ng14 күн бұрын
Daniel mwalimu kubali tua mungu baba na mwana mungu na roho mungu hio kwa bilia akuna ?
@EvgLeonidas9 күн бұрын
Mbona uyo mwalimu mmemkata maneno yake kumbe mna upendeleo
@dadamuebrania15394 күн бұрын
Kwahiyo hapo Myahudi ni nani na asiye Myahudi ni nani? 😢Yesu tuhurumie imeshindikana kuwafanya mataifa kuwa wanafunzi? Ninachoona hapa ni kuumana na kulana woiii 😢 bytheway MWALIMU MWANKEMWA SIKUELEWI KWENYE HII MADA.
@EvgLeonidas9 күн бұрын
Kumbe mwankemwa ni hatari hivi nimempata kiboko wa ndacha
@ChandeDaudi5 күн бұрын
Yesu ni mtume kwa wana wa israel
@robertjoseph41968 күн бұрын
Ndacha hapa umeferi % zote
@exseviangaeje115814 күн бұрын
Mwl mwakemwa amekaririshwa theology wachungaji mukubali ukweli UTATU NI Giza totolo
@Shomariamuri110 күн бұрын
Kabisa ndugu yangu. Hata mtoto wa nursery hawezi kubali Mungu mwenyezi alikuja kuzaliwa duniani laaaa 😂😂😂
@albertvalentino13010 күн бұрын
Hayo ni mambo ya rohoni,hayafundishwi kwa hekima ya kibinadamu --- yaani " kwa kujenga hoja kama anavyojaribu kufanya hivyo NDACHA " Hayo ni mambo ya kiroho,ysnayofundishwa na Roho -- mambo ya rohoni,yanafasiriwa kwa maneno ya rohoni ---- akina Ndacha,ni watu wa tabia ya asili --- (1) Hawna wokovu (2) Hawana Roho mt --- ni watu wa dini tu --- washika sheria kimwili, Mf SABATO,kama ilvyokuwa kwa mafarisayo --- Hawawezi kuyapokea mambo ya rohoni,likiwemo fundisho la utatu,kwao hilo ni jambo gumu,kwa akili zake atasema ni " Upuuzi " --- 1 Kor 2:10 --- 16 --- Ndacha nyenyekea,kaa chini ufundishwe --- " Hauko mbali na ufalme,ikiwa utakubali kufundishwa "
@Frankgamanuel10 күн бұрын
Simple like that kama Mume na mke kuwa mwili Mmoja why not Mungu anashindwa kuwa ktk hutatu?..... Ndacha ni mwalimu Mzuri Hila nae anaitikadi za Ubishi Ubishi kama wayaudi.
@philipjoseph59315 күн бұрын
Ndacha Tulia kwanza Ujifunze Biblia. Tatizo lako umesoma Biblia kwa njia ya Qur'an. hapo lazima uchanganye Mafaili.
@Frankgamanuel10 күн бұрын
Nilicho kiona Kwa ndacha anacho kiamini Huwa ataki kuelimishwa zaidi ya hapo Yeye anaamini anajua kila kitu hiyo Ndio shida.
@Kanyawela10 күн бұрын
Ili ujue Yesu razima uwe rohoni kwenye akili utafeli ndacha
@Frankgamanuel10 күн бұрын
Kwani Mungu anashindwa kitu?..... Maana hata Musa alisema nae Kwa njia ya Moto Akuna kitu Mungu anashindwa kuwa anauweza wa yote Ndio maana tumeambiwa alikuwa mwili kwa jinsi ya mwili mbona Hiko wazi sana.
@habililailo27113 күн бұрын
Wacha mm niongozwe na roho wa Mungu
@user-du3pd7gb4c11 күн бұрын
Mungu ni mmoja !! Ila anafanya kazi kaktika nafsi tatu,Yesu Roho mtakatifu ni Mungu huyohuyo Yesu ni mwokozi ,Roho mtakatifu nimtendaji ,,Yesu tuko kila mahali Roho mtakatifu anajuwa yote!!! Hizi sifa ni za Mungu tu. Huwezi kumuomba Mungu bila kutaja jina la Yesu,na huwezi kuomba ipasavyo bila Roho wa Mungu Mungu!! Kwahio Mungu ni mmoja katika nafs tatu Baba ,Mwana,na Roho mtakatifu, hizi nafsi tatu ndo anakamilika Mungu alie hai.Kwahio Yesu ni Mungu,
@donaldmwahalende484110 күн бұрын
Maelekezo mengi no fungu
@japhetndoro65339 күн бұрын
Wew mwongo
@JohnNchimbi-i8tКүн бұрын
Wafilipi 2:6 kuwa SAWA na MUNGU maana yake nini?Mwl ndacha nifafanulie!!?
@paulkamula911710 күн бұрын
Ndacha hakuna kitu anajua..
@albertvalentino13010 күн бұрын
Kuhusu kuwasingizia waroma ni kwasababu ya matango mwitu aliyolishwa na Nabii wao White.
@frankathanas7 күн бұрын
sina Hakika kama unauelewa unabii yaan roho ya unabii vzr
@Frankgamanuel10 күн бұрын
Hukisema handiko lisomwe huyo Msemaji anakuwa kama hajui kusoma nikijana ambaye anaenda kishindani shindani kama mwalimu wake Ndacha analazimisha kutokuelewa sababu ya ushindani tu kukalili alivyo amini na kuona wao wanajua zaidi kuliko wengine ngumbe sivyondivyo maashi yalivyo hunacho kijua ktk Elimu yako yuko mwingine ambaye anajua tofauti nawe.
@Shomariamuri19 күн бұрын
Usiwe na ushabiki ndugu yangu. Ebu soma Waebrania 1-8-9 Mungu wa mbinguni hawezi kua tena na mungu wake. Pia soma Yohana 17-3 Yesu anasema uzima wa milele ni kumjua Mungu wa Pekee na Yesu kristo uliyemtuma Maandiko yako wazi kabisa. Hata mimi zamani nilikua na imani iyo. Jaribu kujisomea mwenyewe
@IsabelClementeNtengo10 күн бұрын
1yohana 5:8-9 dacha ni WA mwili tuu.
@livetrendmedia12 күн бұрын
Elohim is one of the Hebrew words for God, usually referring to the one God of the monotheistic religion of the Israelites described in the Hebrew Bible. However, Elohim is not the only Hebrew word for God, nor is every usage of the word Elohim a reference to the God of Israel, whose name is Yahweh.
@user-jl5uh1xq9f13 күн бұрын
Ndana na mzee wa upako ni ndugu moja
@DanielErnest-nn2zj14 күн бұрын
Watu wa jumapili mchungaji wao Mwankemwa kakubali hakuna andiko la Baba, mwana na roho kuwa Mungu mmoja hakuna, ndio atubu dhambi yake ya uongo
@Nolithajack1214 күн бұрын
Ndasha nimukweri hakuna mwalimu wa jumapiri mukweri wote ubwamuntu
@filexbenefits561214 күн бұрын
Yah umbwa walio bubu isaya 56:10-12 si matusi
@BakangayaBantaba5 күн бұрын
Sasa unapaswa ubatizwe kwa jina gani
@majaliwamsigwa620614 күн бұрын
Tuzidi kujitakasa,hayo mengine tutayaelewa mbinguni,mwenye kujitakasa azidi jitakasa
@barakaharony439613 күн бұрын
Ndacha MUNGU ni mmoja TU naye jina lake YESU kristo ndiye MUNGU Baba na ndiye mwana ye mwenywe hawako hawo wawili unao wasema
@qerysir441010 күн бұрын
kwa hiyo YESU alipoomba alikuwa anajiomba mwenyewe?! LAHAULA!
@Shomariamuri110 күн бұрын
Hakuna andiko inayosema ivo 😂
@thomasrodriguez768414 күн бұрын
Mwalimu mwankemwa unaeleweka tupatie namba ya mpesa tufanye jambo. Uyu anaekataa utatu Wa Mungu ni kafiri km walivyo waisilamu.
@georgekimasaofficial162914 күн бұрын
Hii sawa kabisa😂😂
@opujejoshmahjoshmah143214 күн бұрын
Hata wayahudi sio wote walio amini Yohana mbatizaji na Mwana wa Mungu
@Pablolookman8 күн бұрын
ukita kujua umepotea fikiria manabii waliopita kabla ya yasu kuwepo duniani walifundisha utatu ?
@davidwambura591513 күн бұрын
Usipomuelewa mwankemwa hautamuelewa mwingine yeyote.
@Frankgamanuel10 күн бұрын
Ndacha ktk hili humefeli inabidi kusaidiwa
@salimobeid14707 күн бұрын
Masikini wakiristo fungueni akili zenu mtafute ukweli na njia ya haki yavkwenda kwa mungu wa ukweli hapa kuna usanii mkubwa sana unatumika wa kucheza na akili za watu jamani kila mmoja atazikwa pekee yake tafuteni ukweli someni quran mtaona ukweli jamani njia sio sahihi hii ya ukiristo namuomba mungu awafungue macho na nyoyo kila anaetaka kuona njia ya mungu ya ukweli
@Frankgamanuel10 күн бұрын
Ndacha Nauliza swali Yesu ni Mungu au sio Mungu?.... Kuna maandiko ambayo Huwa unayasomaga wewe mwenyewe nitakuzibitishia kwanza Naomba nijibu Hilo Yesu ni Mungu au sio Mungu?....
@Motheking-ps2tl10 күн бұрын
Tuwawekee shehe apo au tuwaache?
@andrewmhagama981610 күн бұрын
Mashehe habari za Roho mtakatifu Unawachanganya tu na hawajui chochote mpaka Yesu anarudi
@HamisAbdallah-cj2sc10 күн бұрын
NAOMBA NISOMEWE LIKA 2:1-23 AU MWISHO WA AYA MNIFAFANULIE SURA HII YA LIKA NANI KAZALIWA NANI KAZAA NANAI KASEMA MARIAMU UTAPATA MIMBA NANI KAPOTEA NANI ANATAFUTWA NANI KAJA KUWAKOMBOA WA ISRAELI NANI KAUTWA MTOTO KWA MUJIBU WA LUKA NISAIDIENI.SURA HII AIO METHALI WALA FUMBO IPO WAZI HAIITAJI KACHUMBALI KAMA ASEMAVYO NDACHA
@filexbenefits561214 күн бұрын
Tena Mungu aangalii Elimu ya vitabu maana anasema yaitwa Elimu kwa uongo 1 Tim 6:20-21, hatutaki Elimu iyo ya kungeuza maandiko uko shule wakindaganyana, to hell
@user-jl5uh1xq9f13 күн бұрын
Ndacha mimi nilikuwa nakufatilia ila kwa mafundisho yako ya kukataa utatu wala skufatilii
@nicholousmtemi390213 күн бұрын
Kataa kwa hoja sio kwa sababu unaamini hivo ndo maana utaki
@HellenLemilya14 күн бұрын
Mbona unafupisha have relationship with father umeacha
@realramjen327014 күн бұрын
Mch Mwakemwa una kitu
@japhetndoro65339 күн бұрын
Mwakema ameshindwa hii mada
@georgekimasaofficial162914 күн бұрын
Wasabato Wana matatizo ndiyo maana kunakipindi walitangaza mwisho wadunia wakaanza kuwambia waumini wao wauze vitu vyao 2020 kutafasiri maandiko kwako ni ngumu kipindi kingine wakaenda uwanja wa ndege wa Julias Nyerere kupanda bure kwa imani 😂😂😂😂
@filexbenefits561214 күн бұрын
Sifa za msabato unasijua ww, eti wasabato alf mtu mwingine akiamuka toka na uko kusema vitu vyake inaunganisha na wengine, huoni io ni kuchanganyikiwa lakini sikulaumu ww uko uko tu, Babylon(confusion)
@filexbenefits561214 күн бұрын
You can't combine people to blame, judgement will come to an individual, u must be conscious
@user-jl5uh1xq9f13 күн бұрын
Nyinyi walimu mbona munatuchanganya
@OmaryKawambwa6 күн бұрын
Fafanua
@MillanDunga7 күн бұрын
Ukiwa makini unaposoma (YOHANA 13 NA 14). Jiulize hili jambo 1."nitamuomba BABA awatumie msaidizi kwa Jina langu" "YESU KRISTO 2." Msaidizi huyo dunia haimjui ila nyinyi mnamjua kwa kuwa yuko pamoja nanyi na baadaye atakuwa ndani yenu"", YESU ALIKUWA PAMOJA NAO KATIKA KIMWILI NA BAADAYE ATAKUWA NDANI KIROHO 3."Nitamuomba BABA awatumie msaidizi,,,,, ni vizuri kwenu nikienda, nikienda nitamtuma" "YESU ANASEMA ATAMUOMBA BABA AMTUME HUYO MSAIDIZI MBELE KIDOGO YESU MWENYEWE ASEMA NIKIENDA NITAMTUMA.. 4"MUNGU NI ROHO na wamwaputuo wapaswa kumwabudu kwa uwezo wa roho." ikiwa MUNGU NI ROHO NA TUNAELEWA MUNGU NI MTAKATIFU KUMAANISHA ROHO MTAKATIFU Kwa hiyo YESU KRISTO ndiye MUNGU BABA MUUMBA, NDIYE MWANA NA BADO NI YEYE TU ROHO MTAKATIFU
@petersammy2185 күн бұрын
Na ni nani huyu atamuomba ama yesu ni muongo??
@christophersimwinga6689Күн бұрын
Wafundishe ndugu yangu . Kimsingi maandiko yanakubali kwamba yesu ni Mungu sasa wanaokataa wanasemaje kuhusu maandiko hayo yanayokubali kuwa yesu ni Mungu?
@FelixGitonga-co8ng14 күн бұрын
Mbona Daniel wako watatu wazundia mbunguni daza anakubali hio
@user-jy8cg2ly1j14 күн бұрын
Metronomy 29:29
@rasitkipkoech744114 күн бұрын
Tunajaribu kujionyesha upabe wetu kw hii mjadala. Kitu moja tu munatofuutiana.... Mipakilio y MUNGU BABA, MWANA, N RONO...... WOTE WAKO NA JINA LAKE LAKINI WOTE WAFANYA KAZI PAMOJA ndio tunasema wote ni MUNGU KWA MAHANA WANAFANYA KWA NGUVU YA MUNGU... muko sawa pmoja
@fredrickgitonga197214 күн бұрын
Akuna Mungu watatu
@programminglanguagestutori911814 күн бұрын
Sasa ukiulizwa Mungu wa pekee wa kweli ni nani utasema nani? Tunaongelea Mungu mmoja
@christophersimwinga6689Күн бұрын
@@programminglanguagestutori9118Naomba nikujibu rafiki yangu NI yeyote utakaye mtaja Baba itakuwa sawa Mwana itakuwa sawa Roho Mtakatifu itakuwa sawa kwa maana ukitaja baba ni sawa na kusema mwana na ni sawa na kusema ROho Mtakatifu.Hili ndo fumbo ambalo wengi hawalijui YESU AKASEMA UKINIONA MIMI UMEMUONA BABA. akimaanisha kuwa yeye Si tofauti na baba
@programminglanguagestutori9118Күн бұрын
@@christophersimwinga6689 mimi nikauliza swali wapi imeadikwa yeyeote? Unajua andiko la mathayo 28:19 huwa mnalitumia vibaya?
@christophersimwinga6689Күн бұрын
Niliposema yeyote namaanisha MUNGU BABA AU MUNGU MWANA AU ROHO MTAKATIFU Yani ukisema Mungu wa pekee ni Yesu ni sahihi au ukisema ni Mungu Baba ni sahihi kwa sababu Mungu baba na M ungu mwana Si vitu viwili ni Kitu kilkile kimoja
@peternyaga-jh7zb14 күн бұрын
Leo ndacha amepelekwa shule
@filexbenefits561214 күн бұрын
Shule kwa Elimu ngani isipokuwa mithali 14:15 mtu mjinga huamini kila kitu bali mwenye busara hufikiria njia zake
@Shomariamuri110 күн бұрын
Huo unaitwa ushabiki 😂
@estakenia9 күн бұрын
😂mwakemwa hua unajichanganya katika maelezo yako. Aya ziko wazi kuwa Yesu ni mwana wa Mungu.
@daudmtoba19114 күн бұрын
Mbona hawa wamadhehebu wana badilisha maandiko
@DanielErnest-nn2zj14 күн бұрын
Hawajui maandiko😂😂😂
@daudmtoba19114 күн бұрын
@@DanielErnest-nn2zj ni mungu wao atuwez kataa maana makanisani wamejaza masanamu sana
@DimaDaro-ts1kq4 күн бұрын
Danieli wewe hueleweki kabisa
@GodfreyErene10 күн бұрын
Alafu nyie waabudu siku mnapotoa comment muwe mnafikiria vizuri, ndacha anapokataa hakuna mungu mwana maana yake ana Manisha yesu sio mungu ? Hayo ni mafundisho ya kishetani, hata kule congo ni huyo huyo ndacha aliwafundisha watu kuwa yesu ni mungu, na Leo anakataa. Anaitaji shule kuhusu mambo ya rohoni😂
@user-wg2gd2nl6c14 күн бұрын
Tatizo wajumapili wanaisoma biblia kwa theologea. Mungu. Awafungue macho. Muelewe. Wote niwamoja.
@daudmtoba19114 күн бұрын
Apo kuna mpotoshaji na mwalimu sasa awa wajuma pili awaelewi
@medadykyabashasa179414 күн бұрын
Umeelewa UTATU SASA
@obedkalinga970414 күн бұрын
Mungu amewapofusha wasiweze kujua siri yake. Sabato ni Siku ya kupumzika na kustarehe. Andiko gani linasema sabato ni jumamosi. Ukiamini hivi inamaana umefuata mapokeo ya watu kwa kutengeneza kalenda
@fredykiluka660613 күн бұрын
@@obedkalinga9704soma neno kijana utapotea ooh 😢😢😢
@user-jl5uh1xq9f13 күн бұрын
Mwalimu mwamkema uko sawa wasabato wabishi sana
@user-jl5uh1xq9f13 күн бұрын
Ndacha ukikataa utatu mtakatifu undoka Tanzania mafundisho yako potofu