Hivi kweli we msukuma ni darasa la Saba,mi naona unatudanganya bana
@nkwabitz2332 жыл бұрын
Safii sana Msukuma👍
@kipokendirangu25722 жыл бұрын
Hil ndiyo bunge letu sipika akiona unaenda kuongelea bwawa la nyerere la kufua umeme ana mwambia mbunge muda umeisha. Na watanzania wengi tunao umizwa na bei za umeme tuna washwa washwa kujua huu umeme wa maji umefikia wapi. Kwa sababu leo hiyo kazi ya kujenga mradi huo hatui ioni ikitangazwa kama zamani wafrika nani katuloga.
@fredrickkiliani46632 жыл бұрын
Exactly
@selemanjulius96602 жыл бұрын
Safi sana msukuma
@samuelseverua2 жыл бұрын
Asante kwa kuwasilisha pointi yangu
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Hivi mama huko uliko unafuatilia kweli matatizo ya wananchi wamechoka sana maisha ya ubabaishaji wa mawaziri wako uliowaweka wewe mama watanzania hawakutaki mama samia kwa sababu siyo mfuatiliaji kama hayati magufuli wewe hukuchaguliwa na wananchi
@naturelle10972 жыл бұрын
😆😆vioja bungeni. It is a headache listening to some things😤
@georgekimasaofficial16292 жыл бұрын
Hii inchi wasomi wanazidiwa ufaham na wasio Soma duh sjui kwann 😭😭😭
@MuviisTV2 жыл бұрын
Walio krem ndio wanazidiwa akili na walikua Wana helewa.
@mariethajohn56372 жыл бұрын
huyo mbunge anayegonga meza anakera
@jamesponeca89122 жыл бұрын
Umenifurahisha nitumie namba yako nikupe zawadi
@ezeedi8712 жыл бұрын
Yaan anakera balaa hasikilizi hata hoja anagonga tuu,jamaa anamshukuru Spika yeye anagonga tuu meza yaan sijui yupoje uyo mama sijui anaona fashion kugonga iyo meza
@elizabethpetro12582 жыл бұрын
Halafu anakera kafanana na Bibi tozo.😏
@rosemongi52732 жыл бұрын
Makoro koro aliyo yatoa J,p,m sasa ndio mawaziri tena wa wizara nyeti jama mungu anawaoneni viongozi nyie,r,I,p jemadari wetu kwa yanayo endelea hatutaweza kukusahau,mwenyezi mungu tusaidie maana peke yetu hatuwezi,Msukuma ubarikiwe sanaaaa.
@salcle97022 жыл бұрын
Huyo mama anagonga benchi hapo ni kero pumbafu atulize huo mkono
@mbwanarajab47562 жыл бұрын
Mimi sioni umuhimu wa bunge letu la Tanzania zaidi ya kupiga makofi. Yale yanayowagusa wabunge km huyu mwenye magari ya kusafirisha anatetea kwa kua anaumia.. Ila sisi wananchi yanayotuumiza ni mengi mno na hakuna wakututetea. Waafrika watatawaliwa mpk mwisho kwa ajili ya roho mbaya mno za viongoz wetu. Kwani mbona yalivyokua yakipanda hawakua na salio la mafuta? Mnajisahau mno mkiwa hapo , mnaona km hamtakaa uraiani ipo siku mtakua ombaomba na mtajuta mno kwa jinsi mnavyokaa na kufikiria sana kuwaumiza wananchi wenu
@karasuyazidi85472 жыл бұрын
We huwezi kumpangia mtu nitajie mbunge ambaye ni omba omba hivi unajua .omba omba ni mtu masikini sana hata mlo wake mmoja shida harafu we siyo Mungu
@mbwanarajab47562 жыл бұрын
@@karasuyazidi8547 Soma tena uelewe alf ujibu... Ni vyema ukatafuta mtu muelewa akakuelewesha nini nimeongea kisha utajua namna ya kujibu
@martinkigua86272 жыл бұрын
Umeongea Br utopolo mtupu
@mbwanarajab47562 жыл бұрын
@@martinkigua8627 Kosa kubwa ni kuruhusu walioshindwa kutulia kwenye elimu leo ndio wengi wakupenda kutoa maoni.. Hata km mada hawaijui utakuta anaandika vitu hata visivyoeleweka , au maneno anayoyapata kwenye vijiwe vya kahawa Some I maoni yao tu mtaona ..
@mpwamtaa51732 жыл бұрын
Huyu sio darasa la saba bana ni msomi mkubwa
@simonmalegesi4142 жыл бұрын
Yalipo panda mbona ukutete jamaa umekuwa wa ovyo Sana isee
@mgawerevocatus85822 жыл бұрын
Huwa nakuunga mkono kwenye uchangiaji wako ila kwenye uchangiaji wa leo sikuungi mkono . Wakati bei ya mafuta ikipandishwa kwa kigezo Cha vita Kuna watu walikuwa na stock lakini waliuza kwa bei mpya.
@karasuyazidi85472 жыл бұрын
siyo kigezo ndo ukweli upo wazi yamepanda kwa sababu ya vita
@mgawerevocatus85822 жыл бұрын
@@karasuyazidi8547 Soma comment Mpaka mwisho ili upate Cha kujibu
@brunotinda48102 жыл бұрын
Msukuma waambie Kaka!!!!!!!!
@yessemwakibete24582 жыл бұрын
Musukuma kichwa saana huyu jamaa
@amenmushi59452 жыл бұрын
Waziri analog
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Wangemtoa tu January makamba kuhusu swala la umeme kazi hawezi siyo mfuatiliaji uunakatika kila siku na maji hivyo huyo mama mtoe hamna kitu hapo kama ni mti mpapai
@mohamedmussa12362 жыл бұрын
Hapana siungi mkono haja unazungumzia kupata hasara bei inapo shaka mbona huzungumzii bei inapo panda na unakuta mtu ana stoku yakutosha
@tausiathumani94082 жыл бұрын
Huyu akiwa raisi tutafurahi dana na kishimba Hawa watu wanaweza
@jamesponeca89122 жыл бұрын
Bwawa la Umeme linaugonjwa gani?CCM MSIPOKUWA MAKINI LITAWAPONZA MWAKA 2025