No video

MWABUKUSI AMVAA MWANASHERIA MKUU/ASEMA SIOGOPI, SIISHI KWA VYETI, AMTAJA CHONGOLO, HAMJUI MSANDO

  Рет қаралды 51,491

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

Жыл бұрын

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Пікірлер: 143
@abdyissaabdi108
@abdyissaabdi108 Жыл бұрын
Ujengewe sanam wakili😂😂🎉🎉🎉
@hollojuma9538
@hollojuma9538 Жыл бұрын
Mimi sichoki kumsikiliza mwambukus namuelewa saaana 💪👍🙏🤝
@ambitiousholyspirit395
@ambitiousholyspirit395 Жыл бұрын
safi sanaaa! Boniface Anyisile kajunjumele Mwabukusi.
@florianakhweso5749
@florianakhweso5749 Жыл бұрын
Asanteeeee Mheshimiwa wewe ndo Mheshimiwa na sio hao vichaa walio logwa WA ccm
@kasiankillo6949
@kasiankillo6949 2 ай бұрын
Mwabukusi uko vzr sana ila kwakuwa watu wanaona wote ni mbulula watanza
@aikandeshoo5354
@aikandeshoo5354 Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana. Mungu hatakuacha, simamia hapohapo na taaluma yako inakulinda
@user-eq9lw9ju1l
@user-eq9lw9ju1l Жыл бұрын
Uko vizur bon mungu atakusimamia na wataanzania wote wanao jua haki zao na uzalendo wa nchi Yao.
@kamalabuberwa2001
@kamalabuberwa2001 Жыл бұрын
AG kachemka hapo, bora anyamaze maana watanzania tunaelewa kinacho endelea. Bandari zetu haziuzwi. Tutasimama na Mwambukusi hadi kieleweke
@silverrichard1211
@silverrichard1211 Жыл бұрын
Safi huyu ndie mzarendo wa kweli
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Ай бұрын
Wazalendo wazuri katika nchi hii wanayosifa. ya kupuuza ushauri was watu ambao siyo viongozi CCM na serikalini wanajua familia zao tu na wale machawa wanaojipendeza kwao ambao ni wachahe sana hawafiki hats milioni mbili walipobaki wanaonekana ni mbumbumbi hwaskilizwi
@kahemachowdry7346
@kahemachowdry7346 Жыл бұрын
Ukiona baba anauza nyumba alafu watoto Wanashangilia kununuliwa Mandazi,Hao watoto sio Bure ni Machizi na Mateja
@IbuGang
@IbuGang 13 күн бұрын
Mimi sichoki kumsikiliza Mwabukusi ni mkweli na yupo wazi Mungu amlinde na amtuze na kila roho ya upinzani inayomfatilia ishindwe Katika jina la Yesu kristo ameen
@ezammwakisambwe-t8u
@ezammwakisambwe-t8u 12 күн бұрын
Makini sana kiongozi wetu tunakukubali mzee unatemaga madini TU aisee!! May God protect you
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 Жыл бұрын
Hongera ndugu kazi yako Mungu anaiona,umejitoa sadaka Kwa akili yetu sisi wanyonge Mungu akuinue ktk jina kuu la Bwana Yesu,
@pillykimenyi846
@pillykimenyi846 Жыл бұрын
Mungu awe pamoja nawe nasi tunakuombea watanganyika tuko pamoja
@MeshackMwangwale
@MeshackMwangwale Ай бұрын
Wewe songa mbele tunakuombea hatuna pakusemea MUNGU Akulinde.
@kahemachowdry7346
@kahemachowdry7346 Жыл бұрын
Wafundishe Bro Big Up
@jumannesalumu8290
@jumannesalumu8290 Жыл бұрын
Hongera sana tupamoja towatamko
@user-lu8ny2gu7t
@user-lu8ny2gu7t Ай бұрын
Barikiwa baba Mungu aendelee kukuinuwa tena viwango vya juu
@success-only
@success-only Жыл бұрын
Aisee, mwanaume na nusu Vyeti ni vithibitisho vya kwenda shule, Na siyo lazima uwe umesoma ndipo uishi na kuwa utashi kama Binadamu
@JosephinaLuoga-lo9os
@JosephinaLuoga-lo9os 8 ай бұрын
UmewAzidi wote bro hakika wewe ni mzalendo. Pamoja sana
@anosiata8242
@anosiata8242 Жыл бұрын
Mwambukusi kiboko Uko vizuri
@violetn.finnvik373
@violetn.finnvik373 Жыл бұрын
🇹🇿🙏🙏😭.Mungu ibariki Tanzania. Kaka ubalikiwe🙏❤️
@elizabethringo7154
@elizabethringo7154 Жыл бұрын
Kwenye haki ya nchi sema ukweli mungu akutetee
@AmosRugaimukamu
@AmosRugaimukamu 15 күн бұрын
Safi sana, nakukubali sana, uko viziri mwamba
@hanscmakerdm9943
@hanscmakerdm9943 Жыл бұрын
Respect 🙌
@sadallahbataza1906
@sadallahbataza1906 Жыл бұрын
Ubarikiwe kakaa ulikuwa wapi ww miaka yote hii?!
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Daaaaah aibu imshukie huyo wakili mkuu Boniface hata mkimfungia vyeti haitowasaidia chochote tutasimama Na ukweli,nimeiona Tunduma iliposimama Na Boniface pale walipobomolewa nyumba Zai mpakani watu walilipwa fidia zao huyu kaka anamsimamo wenye manufaa makubwa ✍️
@balthazarkilasi9825
@balthazarkilasi9825 Жыл бұрын
Wakili wa Serkali amesema mkataba huo DP wamesema ktk. Kipengele kimoja ya kuwa TPA au WATANZANIA tukitaka kuendeleza Bandari yeyote nje ya tulizokubaliana. "LAZIMA TUWAARIFU" ....wao DP sikukuelewa,jee ni kweli tunatakiwa kufanya hivyo na ni utaratibu? tuelimisheni!
@hamisiomari-k9z
@hamisiomari-k9z 14 күн бұрын
sana boss
@ClemoohPeter
@ClemoohPeter 2 ай бұрын
Safi sana baba tutetee sisi ambao hatuna wa kutusemea hayo mana hawa viongozi sijui hili taifa wanataka kufilisi
@gibsonsilungwe685
@gibsonsilungwe685 Жыл бұрын
People of Tanzania. I can assure you that ccm they are deeply devoted to God, but their devotion is not based on true knowledge. They have not known the way in which God puts people in right with himself, and instead, they have tried to set up their own way, and they did not submit themselves to God's way putting people right. Waroma 10vs1-4
@AbdalaKitangoma
@AbdalaKitangoma 12 күн бұрын
Jamani mungu ametuletea mkombozi mwingine tumshike mkono namungu amlinde
@festoasanga5572
@festoasanga5572 Жыл бұрын
Nakupenda bure msemaji wawanyonge
@daudimchileg307
@daudimchileg307 Жыл бұрын
Tungepata hata watz 5 tu kama huyu, daaah tz ingenyoka
@karushakamusa5525
@karushakamusa5525 Жыл бұрын
Safi sana msomi
@olemnakitende7637
@olemnakitende7637 Жыл бұрын
Yani naomba kabxa, thanks alot,kila mmoja ana haki
@rithaurassa
@rithaurassa 14 күн бұрын
Hakika ninhekuwa na ulinzi ningekuwekea .Ila nimekuwekea ulinzi wa MUNGU UNATOSHA KWA MAISHA YAKO YOTE.
@lunjeramadhani1295
@lunjeramadhani1295 Жыл бұрын
Mwenyezungu akupenguzaidi kaka
@MartinSiimay-jj9jk
@MartinSiimay-jj9jk Жыл бұрын
Safi sana kamanda
@HassanSaburi-ge6ej
@HassanSaburi-ge6ej Ай бұрын
Baba pambana tuko nyuma yako wameanza muda mrefu sana haya mambo Yao ya wizi
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg Жыл бұрын
❤❤❤❤❤ san ww ni kichwa
@olemnakitende7637
@olemnakitende7637 Жыл бұрын
Mungu yupo nasi,ubarikiwe,sana
@Clement-px8eg
@Clement-px8eg Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@YoakimMsuha
@YoakimMsuha 15 күн бұрын
I see new TANZANIA
@AkleyNziku-cv9lt
@AkleyNziku-cv9lt Жыл бұрын
Mwabukusi Mungu awe na Wewe Daima
@rogattemba
@rogattemba 11 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@HassanSaburi-ge6ej
@HassanSaburi-ge6ej 16 күн бұрын
Hivi watanganyika nao wanahuziria kwenye vikao vya zanzabr loo soyati ?
@thomasmmoka4884
@thomasmmoka4884 Жыл бұрын
Ingekuwa vema kama Mama Samia angemteua Mwambukusi kuwa AG badala ya Feleshi.Mwambukusi kawaumbua madalali wa DP World,sasa wanaona haya,kumchukia na kumfitini Mwambukusi!
@jumarobert4929
@jumarobert4929 11 ай бұрын
God blass you baba
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg Жыл бұрын
Damu ya yesu ikufunike
@FloridaAdelinus
@FloridaAdelinus Жыл бұрын
Kweli kabisa Hata MAMA amekubali kwamba wanasheria wake wanaogopa wazungu ndiyo maana wakienda kututetea kimataifa wanashindwa kesi. Inavyoonekana hata katika kusaini mikataba wanaogopa wazungu hawasomi kilichomo wanasaini tu ndiyo maana wamesaini bila kusoma na kusababisha TZ yetu kuingia kwenye taaluki. Mchague Bwabukusi awe AG ambaye hawaogopi wazungu tuweze kushinda hizo kesi zingine zilizoko kwenye mahakama za kimataifa. MWABUKUSI OYEEEEE.
@lalosalamanca7131
@lalosalamanca7131 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 Күн бұрын
Wananchi pamoja na police badala ya kupambana na viongozi ambao wanaturudisha nyuma wao wanapambana na chadema
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 Жыл бұрын
bora mwanasheria mkuu wa serikali angekua mwabukusi anaeleweka kuliko.huyo swaza wa.mkatabata wakimagumashi, tunekuelewa mwabukushi❤
@swiftkatepa6131
@swiftkatepa6131 Жыл бұрын
😢
@user-ji1mq4sk1n
@user-ji1mq4sk1n Ай бұрын
uwoga wetu haujawahi kutusaidia
@SamweliHozza
@SamweliHozza 15 күн бұрын
Hili lijanaa ni very smart
@amosbirusha952
@amosbirusha952 Жыл бұрын
Kiongozi mzuri sana ni yule anaesikiliza maono ya anaowaongoza,na si vinginevyo
@evaemil856
@evaemil856 Жыл бұрын
Amen
@ofreyking5975
@ofreyking5975 Жыл бұрын
Hawa ndio wanatakiwa kua viongozi sio wapga dili miaka yote wawekezaji hawana msaada wowote kwnn maden yanaongezeka kila cku waache bandali kama wameshindwa watoto zetu watakuja kuiendesha
@mwamakaassely2260
@mwamakaassely2260 Жыл бұрын
Magu hakuuza bandari, elewa hilo
@JohnMagweiga-uu8fv
@JohnMagweiga-uu8fv Жыл бұрын
Usimwogope mwanadamu
@robinilomo2887
@robinilomo2887 Жыл бұрын
Asante bro,kati ya Wasomi wachache Tanganyika wewe umo,Endelea na Mapambano tupo na wewe,Wameshazoea kutishana hao wachumia Tumbo,Wasomi wa Tanganyika wengi hawajitambui wanaendeshwa kwa tamaa sio Weledi cha ajabu wanajiita Maprofesa na Madokta
@yussuffadhil4522
@yussuffadhil4522 Жыл бұрын
Hahaha babdari itauzwa tuu
@yussuffadhil4522
@yussuffadhil4522 Жыл бұрын
Hahaha bandari itauzwa tuu...... na leo mnatambua km kuna Tanganyika?
@robinilomo2887
@robinilomo2887 Жыл бұрын
@@yussuffadhil4522 Kichwa Maji we hujitambui,kati ya hao majuha niliyowaongelea
@robinilomo2887
@robinilomo2887 Жыл бұрын
Tofauti ni kwamba we hujasoma,Failure
@kessydieselengineers3205
@kessydieselengineers3205 14 күн бұрын
Wanategemea police ndiyo wanawapa jeuri
@user-nt4lp9dy6i
@user-nt4lp9dy6i Жыл бұрын
Haki yetu haki yetu haki Mali zetu uzalendo na Katina mpya vyote viwe wazi tutetee kaka yetu hatutaki tena kuwa watumwa
@AshrafuMwalongo-km5fd
@AshrafuMwalongo-km5fd 10 ай бұрын
Mungu akupe maixha malefu
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 Жыл бұрын
Mainzi kijani watanzania tunamweleea San wakili mtajua hamjui
@michaelkimweri1074
@michaelkimweri1074 Жыл бұрын
Kaka uko viziri hatuna hamu na ccm,tupo nyuma yako kimaonbi,hii no haki yeti.
@simonibonifasi3131
@simonibonifasi3131 Жыл бұрын
Mimi kama mtanganyika nikopamoja nawewe wakili musomi
@AbdulOthman-gy7nu
@AbdulOthman-gy7nu 14 күн бұрын
Unafaa kuwa rais wa Tanzania
@olemnakitende7637
@olemnakitende7637 Жыл бұрын
Mungu yupo nawe kabxa,
@barakamusapolekidoti957
@barakamusapolekidoti957 13 күн бұрын
Mkuu heshima kwako
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 13 күн бұрын
MWABUKUSI UNAOTA AU VIPI WAZANI KUNAMTU AU WATU WANAKUOGOPA WAMEPITA WATUKAMAWEWE NAKUPITA WEWE WEWENANI NIMUGU
@BoniventureMagina
@BoniventureMagina 29 күн бұрын
Huyu mwamba shikamooo
@Nancy-z8h
@Nancy-z8h Жыл бұрын
Watuachie bandari yetu titatusiadia katika muungano wa one african na putin wetu
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 Жыл бұрын
Gwajima,Yuko wapi mbona Yuko kimya
@legendmmari8094
@legendmmari8094 Жыл бұрын
Kudra anatumika vibaya kwenye lipi soma mkataba acha kuwa mbumbumbu
@user-bx3em9jc6m
@user-bx3em9jc6m 11 ай бұрын
Mungu yu pamoja nawe hao ccm hawana dini
@alfrediaugustino1026
@alfrediaugustino1026 Жыл бұрын
Mapambano ya haki huwa haiombwi bro uko fiti ,okoa bandari zidi ya genge la wahuni serekalini.
@danielchacha1305
@danielchacha1305 Жыл бұрын
Hawa watu hawana aibu wala huruma hata kidogo.Kama wazee wetu waliilinda nchi yetu kwa gharama kubwa hadi uhai wao na ndio maana leo wanakula na kuendesha magari makubwa na wamejiona kuwa miungu isiyokosolewa! Daw ni kuwatoa madarakani kwa nguvu ya uma.
@edithmwasulama7005
@edithmwasulama7005 22 күн бұрын
Mnyakyusa hapelekwi pelekwi kipuuzi hana unafiki na woga
@jumannesalumu8290
@jumannesalumu8290 Жыл бұрын
tukopamoja tumechoka kuongopa
@fatmaabdullah7516
@fatmaabdullah7516 Жыл бұрын
Mungu akulinde wewe na muheshimiwa bashe nyinyi ni wazalendo
@muuminikidunda9214
@muuminikidunda9214 Жыл бұрын
Wenzio walikataa SGR,bwawa la mwalimu nyerere wakamkataa na magufuli , amekufa upepo umebadilika leo wanataka magufuli awepo?
@user-rp1ys6pw9f
@user-rp1ys6pw9f 11 ай бұрын
Mbona kila ukiongea siogopi ni mtanzania yupi uliomuona anaogopa unajiita msomi kweli umeenda shule lakini huna hekima na pia hujui kupanga maneno kuna watu wenye hekima wanakufatilia kukusikiliza ila tunahisi kuwa ww unaogopa sababu ajenda uliyopewa na wateja wako kimekuzidi uzito
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 2 ай бұрын
We ni zero brain
@shalomchaula4420
@shalomchaula4420 Жыл бұрын
Hakika tunaitaji kuamka izo nchi za kiarabu kipindi tunapata uhuru zilikuwa na Hali mbaya kuliko sisi na ukilinganisha rasilimali zao ,ila Leo sababu waneendelea tuendelee kuwategemea ili tuendelee kuwa watumwa wa fikra ukweli watanzania wenzangu hii haiko sawa hata Kwa mtu yeyote chini kule huu mkataba wa bandari na mikataba mingine kuhusu Mali asili ,nishati za umeme , jeshi ipitiwe waarabu wamepenya ndani wameweza Sasa wakichukua na bandari ...ni mfano wa mwizi kaingia ndani na kapata ufunguo wa mlango mkubwa wa sebureni ule wa kutoka nje ....watanzania wengi nimeongea nao wanasema tuache tu tunaathirika na nin mbona hiko ivyo toka zamani najisikia vibaya maan uchumi tulionao sio sawa na hata maendeleo ya sekta zetu zote Bado afya,elimu, miundo mbinu na nk na Bado mtu unasema sawa aloooho tuamke sio sababu ya chochote ila tuweze kutoka katika Giza hili na kujua haki zetu onene wenzetu uko mbele wanavyoishi we need to change our mind tuondoe hofu
@muuminikidunda9214
@muuminikidunda9214 Жыл бұрын
Mbona wazungu wanamiliki migodi mingi ya dhahabu na kuendesha mashirika yanayosupport ushoga hao mawakili wapo kimya
@digostjafety6070
@digostjafety6070 Жыл бұрын
Wanatumia pesa zetu vibaya wanawapa alikiba na diamond ili watu tusahau kusikiliza vitu vya msingi
@kingngojea
@kingngojea Жыл бұрын
Mwabukus saluti kwako mwamba wewe mtanzania wewe nakutukana wewe ni litanzania uliezaliwa Tanzania utakufa kwaajiri ya nchi Yako mtanzania mkubwa wewe
@AbdalaKitangoma
@AbdalaKitangoma 12 күн бұрын
Mwamvukusi nunua maik unawajua mtani tumepata jembe
@kahemachowdry7346
@kahemachowdry7346 Жыл бұрын
Nchi hii hivi ,Vihiyo na vipaza mpaka lini
@muuminikidunda9214
@muuminikidunda9214 Жыл бұрын
Tatizo njaa mnataka kitonga bandarini kuna wizi mkubwa ndio maana bandari kubwa maendeleo hakuna. Wacha waarabu wawanyooshe nyie wezi mawakili .hamtaki waarabu wawafundishe jinsi ya kuendesha bandari
@malackedson7706
@malackedson7706 2 күн бұрын
Mwamba huyuuu
@kinkybanjukome217
@kinkybanjukome217 Жыл бұрын
Umeongea kweli alutakontinua mapambano yaendelee
@mimiraia2531
@mimiraia2531 Жыл бұрын
Watu wa Pwani watu wa hovyo sana. Kinachoisumbua nchi hii ni ushenzi wa watu wa Pwani…..wapuuzi wanaocheka cheka huku wakiuza nchi. Mbwa kabisa wale
@muuminikidunda9214
@muuminikidunda9214 Жыл бұрын
Tembelea upepo kaka, wenzio watakuacha upepo ukivuma upande mwingine
@abiabi9353
@abiabi9353 Жыл бұрын
Sasa wewe mnafiki huu ushujaa wote ulionao ulikuwa wapi wakati magufuli anafungia watu kwenye viroba,ulikuwa wapi wakati magufuli akiamuru tundu lissu auliwe. Watu rabish kama huyu hawezi kunishawishi chochote
@kingngojea
@kingngojea Жыл бұрын
Tungekua na watu 50kama awa daaa
@juliussilvestar8988
@juliussilvestar8988 Жыл бұрын
Huyu bwana ha ha ha ha ha ha
@luckMwamwage
@luckMwamwage Жыл бұрын
Kyala aje nanungwe nkulumba.
@senyagwadickson9084
@senyagwadickson9084 5 ай бұрын
Wakili msomi waambie hao wasomi wajinga tu
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 14 күн бұрын
Hamasisha usichoke kuwaelimisha watanganyika baba tupo pa1 hatuogopi matisho!!!
@habibrwegoshora6624
@habibrwegoshora6624 Жыл бұрын
MAWAKILI KAZI YENU UWA YA AJABU SANA..WAKILI ANAWEZA KUMTETEA MTU ALIYEMDHURUMU MTU MWINGINE ILI ILE HAKI AIPATE KWENYE KUDHURUMU..HILO JAMBO WASUBILI KIDOGO WATAKUJA KUMJUA M'MUNGU NI NANI..SIO MUDA MULEFU KWSSB MAISHA NI MAFUPI SANA..NA ELEWA HAKUNA MTU MWENYEJI DUNIANI TUNAPITA TU
@michaelmwakibinga1124
@michaelmwakibinga1124 Жыл бұрын
Kweli Magufuli alikuwa kiboko Walikuwa hawaongei enzi za uhai wake
Pool Bed Prank By My Grandpa 😂 #funny
00:47
SKITS
Рет қаралды 18 МЛН
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 6 МЛН
Бутылка Air Up обмани мозг вкусом
01:00
Костя Павлов
Рет қаралды 1,6 МЛН
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
Mwabukusi Atoa Hotuba Nzito Baada ya Kuapishwa, 'Tuwe Wamoja'
19:11
Pool Bed Prank By My Grandpa 😂 #funny
00:47
SKITS
Рет қаралды 18 МЛН