Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa Mungu alisaidie kanisa la Leo liwe na macho ya ROHONI
@BarakaDonasiani-pj9bx4 ай бұрын
Muuni tu uyo na hizi ndio siku za mwisho wanakuja manabii wa uwongo watanzania jiangalieni.sana na watu kama.hawa mtafuteni mungu kw bidii na kulijua neno na mungu bibria
@BenardSaimon26 күн бұрын
Mtumishi wa mungu endelea kuifanya kazi ya mungu kwa moyo mungu azidi kukutia nguvu ,na mungu azidi kutufungua kupitia wewe
@rachelmosha56192 ай бұрын
Mtumishi kiboko ya wachawi hongera Sana kwa kazi unayoifanya ya kuwasaidia watu
@SmilingCityMap-xb9md4 ай бұрын
Nimemsikiliza huyu Sana hakuna anachohubili anachofanya NI kuwadanganya watu Kwa kivuli cha injili tena kuna majilani zangu wawili walienda huko wachoambiwa kumwona watoe elfu 20 walitoa na hawakuluhusiwa kumwona mpaka wanaondoka na hiyo pesa hawakuludishiwa nawaomba wa tz kuweni makini na watapeli wa injili jifunzeni kusoma bibilia na kuomba wenyewe mathayo 7:7. Mungu anawaalika watu wote waombe mungu hamilikiwi na MTU manabii wa Leo hutumia ujinga wa watu kutojua maandiko kuwadanganya na kuwaibia amkeni swala la kuomba NI la kila MTU alieamini na kutubu dhambi mungu Hana upendeleo
@margarethpolepole74384 ай бұрын
Hivi sisi waumini wa kila madhehebu yote hamjasoma biblia agano la kuwa kutatokea Manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk wengi wao wanashiriki hasa nguvu za kishirikina za chuma ulete na wajinga ndiyo waliwao hasa sisi wanawake
@Neema-qm9kk4 ай бұрын
Asante kwa ushauri. Mimi huwa ninapenda mtu anayesema kweli
Kuna dini kuna waganga wa kienyeji sasa hivi Manabii wengi wako kama Wanageria wanskomba sadaka za wajinga nfiyo waliwao
@muhasatv92453 ай бұрын
TUNAOSOMA HUKU TUMEWEKA POZI ILI MB ZISIENDE TUJUANE.
@user-zs6kw8ks4m3 ай бұрын
Mtumishi wamungu hutasikia akisema vibaya Kwa watumishi wengine hongera mtumishi
@JacobMaganga-re9ji11 күн бұрын
😂
@JosephMollel-wz7knАй бұрын
Bwana YESU apewe sifa, naomba maombi Yako, Nina sumbuliwa na Sukari,macho kutoona vizuri,miguu kuwa na vidonda na kikohozi kisichopona HIVYO naomba maombi Yako sana naitwa Maina
@user-yj2wm7rh6u4 ай бұрын
Mimi Namshukuru mungu kwa matendo makuu anayoyatenda ndani ya madhabahu ya Mungu wa nabii kiboko WA wachawi ninafuatilia masomo yake ninajifunza mengi Mungu akubariki sana Nabii
@SmilingCityMap-xb9md4 ай бұрын
Roho ya upotofu inakunyemelea mwombe mungu akuokoe na hiyo kuamini manabii wa uongo
@sautiyamzalendo4 ай бұрын
Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz
@RodahAdonice-dz4sm3 ай бұрын
Hamna kitu hapo Mwenyezi Mungu awasaidie sana
@richardmboyo8724Ай бұрын
Mungu akubariki nabii watu wengi wanapona kabisa
@sharonjosephine62522 ай бұрын
Mungu anatutizama kwa jicho la tofauti na la kibinadam soo acheni kuhukumu...
@josephkileo-wk6ye2 ай бұрын
Amina baba mtumishi please naomba uniombee nateseka sana baba
@Zumlatti2 ай бұрын
Amina niombee namim nateseka
@JanethEmmanuel-mr5leАй бұрын
Amina baba naomba uniombee nipate kazi pia baba angu nae apone mguu
@SeleAlfanАй бұрын
Mm Mkonga selemani naomb msaanda wa biashar yangu na kunisaindia kuusu mambo yangu ya kuenda ulaya tatu naomb Moto nipo Malawi lilongwe
@bonithakankerauwera23234 ай бұрын
Gloire gloire gloire gloire à l'éternel lui-même vraiment
@Stella-1184 ай бұрын
Nabii endelea baba wewe ni mteule wa mungu.hayo maneno ya binadamu yasikuvunje nguvu, hata Yesu alidhihakiwa na kutukanwa lakini hakuacha kundoo wapotee bila mchungaji. Sisi tunaohudhuria kwenye ibada zako ndio tunaoujua ukweli wa mambo sio kwa kuhadithiwa bali kwa kushuhudia kwa macho yetu mawili mungu akulinde baba.
@hafsalucky10884 ай бұрын
Mtumishi apige kazi, Mungu ndie aliemuita, hao wanapinga waendelee TU, Si tunasonga mbele hatuyumbishwi
@vinuskalonga46563 ай бұрын
Sawa kabisa. Chapa Injili mtumishi wa Mungu. Watu na wakristo 😂wanaomjua Mungu kwa kutumia Biblia, hawezi kumtukana mchungaji mwenzao yeyote yule kihivyo. Aibu kubwa Lazima awe na woga. Yesu aliwaambia wanafunzi wake, hao wanaomhubiri Yesu wako pamoja na sie. Falme iliyogawanyika haiwezi kusimama. Huwezi mnyanyua Yesu huku unatumikia shetani na bado ukasimama. AIBU KUBWA SANA KUONA SIE WAUMINI TUNAONA WACHUNGAJI WETU, WANAODAI WAMJUA YESU, HATA HILO AGIZO RAHISI HIVYO LA MUNGU WANASHINDWA KULIHESHIMU😢 . KAWADANGANYENI BASI WATU NA NYIE MUONE MOTO NA MASHIMO ya Mungu yakiwameza wazima wazima.
@aishatest4451Ай бұрын
hongera sana
@wilfredjohn482928 күн бұрын
Kumbe kuwa na kanisa ni kupata hamasa ktk makanisa mengine sikujua ila Mungu tunasihi huruma zako na rehema zako ndani ya Kanisa na Taifa letu Amen...
@sixmundleonard21355 ай бұрын
👏👏
@Prolimina-im2fo2 ай бұрын
Amina baba
@HappyEquestrianHelmet-iw5co2 ай бұрын
Hongera. Sana baba
@user-on5pu8wv4gАй бұрын
Amina Baba zidi kubarikiwa 🙏🙏
@lightnessgamasa60392 ай бұрын
Anaemsema Nabii Inawezekana ni Upande wapili kwahiyo ,binadamu tusiogope Mungu nimwema Sana,Hata YESU aliitwa mchawi
@SalomeKyamba-mk6zqАй бұрын
Huyu kijana ni tapeli hamjui Mungu yeye ni mpinga Kristo
@NaomiSilayo2 ай бұрын
Amina baba tusaidie
@charlesfaru4852 ай бұрын
hongela sana baba mchungaji
@estermohammed43352 ай бұрын
Amen Baba
@lusajoully2 ай бұрын
Amina
@salmamose42443 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe sir
@amanmaleko30854 ай бұрын
Mtumishi mbona ameweka nywele kisholobalo
@MageLuvanda27 күн бұрын
Wewe ni tapeli kunajirani yangu aliambiwa atoe laki moja kukuona baada ya hapo akanza kutolewa maneno machafu na pesa mumechukuwa na kumwabia uliitwa ata ukishitaki mungu awezi kuwabariki kwa utaperi
@Stella-1184 ай бұрын
Hivi hao matomaso hawaoni ambulance za serikali zinavyoleta wagonjwa madhabauni na mipira ya gas na wanainuka? Hebu fika ujionee na huyo aliekwambia anetoa 20 na hajamuona yy alikuja kupatamuujiza tuu. Lakini imani hakuwa nayo. Maana watu wanakanyaga tu kwenye ardhi ya kanisa na anapona.
@LydiaAllen-wl9db4 ай бұрын
Acheni ushamba
@RodahAdonice-dz4sm3 ай бұрын
Polen sana
@FreeGod3687 күн бұрын
Wenye matatizo ya akili mpo wengi, we taaahira kweli ambulance ipeleke mtu kansan
@norahmajaliwa38414 ай бұрын
Bwana Yesu akulinde Mtumishi
@nataliedayana9824Ай бұрын
Kwel unaomba lakin sasa pesa unaitisha kubwa sana jamani laki 5 maombi ya mmoja mmoja kama huna laki 2unusu hapo nmetoka mkoan sijala sijalal huruma hakunaa kabsaa leo nmeondok nmeskitika kukalia kit wa laki 3 🥱🥱sisi wa elfu 10 tununue utumbo tule tukalale
@EvaSadala-vv8jn2 ай бұрын
Mi kwenye kutoa pesa tena unaagizwa nyingine kama lk 2 tena toa 2hivohivo kiwango hicho ni kawaida Lkn hapana hapo uwe bilionea
@Prolimina-im2fo2 ай бұрын
Amina baba naomba uniombee
@felisianafelisiani75192 ай бұрын
Ameeni
@JoyceMassawe-f5iАй бұрын
Baba nakupenda sana nisaidie mume wangu anaumwa sana pressure na figo
@NaimaAlly-bh6yn3 ай бұрын
❤
@StellaRupia28 күн бұрын
Mashaka ni pale mtumishi wa mungu anapoleta bili kwa ajili ya maombi ndipo inakuwa biashara,
@Yusta-vx6ns4 ай бұрын
❤🎉
@LuluJackson-u6e26 күн бұрын
Yan tz tumepatkana jmn mmh ,mungu kama aishivyo ipo sku
@user-bj6bs9do2f4 ай бұрын
Kumbe Ndio Wewe Mchungaji Maana dah Sipatagi Usingizi bila kusikiliza kipindi Chako 🙏🙏Hila Siwezi Mukumu Mtu kwa Muonekano
@sammasika36274 ай бұрын
Iman haba
@richardmboyo8724Ай бұрын
Naomba uniombee baba nipate kazi ya kudumu
@MartinKimbwereza2 ай бұрын
mimi naomba kupona mkono na mguu mungu akutie nguvu
@Eunice-kb8yz2 ай бұрын
Baba tuko pamoja naomba niombee uchumi wangu hauko sawa mimi na mume wang.yunis pallangyo
@AminatwahilyАй бұрын
Mungu akubariki baba Dominic nabii kiboko ya wachawi unaweza baba na utaweza zaidi ya hapo long life father ❤
@DrAmiijmpembaThedon12 күн бұрын
Nakurespect baba
@VeiceNassonАй бұрын
Naomba niombee nateseka na magonjwa namtoto wangu Toka azaliwe Hana ufahamu mzuri kifafa v
@felicianathomas331910 күн бұрын
Mungu anakuona
@deogratiusmsafiriАй бұрын
Amen
@JamilaAdamu-nr1wu4 ай бұрын
🙏🙏
@sautiyamzalendo4 ай бұрын
Asante kwa kufuatilia @mzalendomediatz
@FridaMtui-pp3lt3 ай бұрын
Naomba mungu anipe kazi,mume sahihi na amponye Mama yangu
@adamkapolo88172 ай бұрын
Nimekutana nae kwa shida binafsi nimegundua huyu jamaa ni tapeli wa waziwazi na mbabaishaji mkubwa
@TinahSteveАй бұрын
N kweli
@DenisSimon-u2oАй бұрын
amee
@devotamwambola83034 ай бұрын
Huyu Hapana Mungu anisamehe.Kwanza kujichubua ni kosa kubwa sana.Kweli watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa imani
@KuruthumuMakana-tb9fx3 ай бұрын
Ni mkongo kwaiyo iyo ni kawaida acha kujaji
@estermohammed43352 ай бұрын
Naomba niombee uchumi watoto na furaha yangu
@JosephNnko-nz6kk2 ай бұрын
Nabii nakubali wewe naomba uniombee Sana by josephu arusha
@user-te4nq8vv6c2 ай бұрын
Mimi ombi langu baba niweze kushinda kesi mahakamani naomba maombi yako baba 🙏🙏🙏🙏
@nasibshabani77402 ай бұрын
Muombe mungu wako ww
@fanuelMndeme2 ай бұрын
Ubariwe
@patrickmalewo50984 ай бұрын
Jamani hichi kizazi Cha nne ktk huduma.kizazi Cha kwanza Cha Dr.Moses kolola na Emmanuel Lazaro kizazi Cha pili Cha akina Mwingira ,kakobe na Lusekelo Mzee wa upako,na dastan maboya.hichi kizazi Cha tatu na Cha nne wakina mwamposa,kuhani mussa n.k huna haja ya kuhukumu acha wafanyekazi ya Mungu.Mungu ndie anaehukumu .
Huyu mwizi tapeli alaf anajichubua hakuna mtumish wa Mungu wa hivi ANAOMBA laki Tano ndio umuone wakati Yesu mwenyewe watu walimuona bure
@AishaNasolo-j2uАй бұрын
Bwanayesu asifiwe mtumishi Mimi naitwa Aisha nipo dodoma kibaigwa naomba msaada wamaombi ninamtoto wangu anaitwa hadija anasumbuliwa na ugonjwa wa kifafa nimwaka watatu naomba maada
@SixtenTengaАй бұрын
Naomba ndoa yangu ipone in Jesus name amen
@ScopionScopion-zj9cdАй бұрын
IyO ishapga mweleka
@nancyg86644 ай бұрын
Yesu wangu huyu nilimsikiliza redioni tu kumbe ndo yupo hivi😂😂😂
@ernestkatyega5781Ай бұрын
Huyu ni kiboko ya MKOROGO 😂😂😂 sugu kibao mkononi hakuna mtumish wa Mungu anafeki Hadi rangi ya mwili wake
@merrynancesimon15624 ай бұрын
❤❤❤❤❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
@estermohammed43352 ай бұрын
Umeniona jamani Baba na hiyo roho ya chuma ulete nisaidie nakata roho ya chuma ulete
@user-nt1lf8rr9gАй бұрын
Tz kwishaaaa
@Malkia012 ай бұрын
Jmn had ukutane na huyo unatoa hela mnapitishwa kil kigenge wa shemas utowe maokoto yaan mtu asiejuw cuba ataon nadangany aisee eeh😢
@savinosalamba91744 ай бұрын
Safi sana mtumishi
@rehemakudra8682 ай бұрын
Nimekukubali
@user-rs4vz2vt9z2 ай бұрын
Nabii naomba tusaidie tumezulumiwa Mali zetu Na hakuna amani naomba msaada.
@petermuturi45643 ай бұрын
Nashukulu.sana kwa unabii yako vile naona kwako nimetamani miaka mingi tafathali baba na kuheshimu na ninaamini ukitamka neno kwangu unabii wangu utapata nguvu na nifanikiwe mimi niko kenya peter
@FadhilFadhil-zr1xs2 ай бұрын
Sharoom naitwa zuhura naomba umsaidie mama yng anaitaji kuuza nyumba yake hapo Kwa azizi ally mana tumepiga sana simu Yako aipokelewi mana mama yng anasikiliza sana kuhusu miujiza yako
@sarahkeivaly3351Ай бұрын
Kwanini mmekimbia Kongo na kuja kuhubiri huku Tz??
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Huyu ni tapeli ,waziri wa mambo ya ndani tunaomba chukua hatua
@user-wy1or9fm2s2 ай бұрын
Kwani ni waislamu someni jamani hani mathayo 24 a1=24 kwa sisi waislamu ni mtihani kwetu hata kama makafiri waponya na mtume wa mwisho ni Muhammad kama ukimuona mwislamu ana wafata waliopotea (Wakorintho 15 :18
@BahatiMrema-lc3zv2 ай бұрын
Amina baba natamani uniombee
@JacobMaganga-re9ji11 күн бұрын
😂😂😂
@MartinKimbwereza2 ай бұрын
naomba kkutolewa kwenye nguvu zagiza na laana nibarikiwe kwenye uchimi
@claudiokatucha66523 ай бұрын
Claudio OSKA KATUCHA nina changamoto ya kufungwa kiuchumi naomba niombee
@rambostalon288827 күн бұрын
Safi mtumishi huna kinyongo na mtu
@GraceSilo-vt6keАй бұрын
Amina baba uniombee ninashida baba ninamaisha magumu sana Kila ninachokifanya hakifanikiwi
@sautiyamzalendoАй бұрын
Pole, nakusihi endelea kutufuatilia Mzalendo Tv
@user-kh5xu3vu1x4 ай бұрын
Mmmmmm
@JaphetIramba2 ай бұрын
NAITWA MMASSY BABA NAOMBA UANGALIE FAMILIA YANGU MAISHA AYAELEWEKI
@Sebastiani-cr1qnКүн бұрын
Hamna kitu hapo ujinga tuu
@happyminja-kb1ow4 ай бұрын
Muuhubirini MUNGU WA ukweli acheni kumsikiza .....
@DerckMchomvu-kw4ro2 ай бұрын
Nisaidie nabii
@NyiranezaWarda-bk1yn3 ай бұрын
Mungu akupe ushindi roho wamungu akufunike akusimamishiye bendela yawushindi 🥰💯🙏🙏🙏
@VeronicaChaudeleАй бұрын
Kiboko ya wachawi ubarikiwe😅😅
@JoyceMassawe-f5iАй бұрын
Pia BIASHARA baba zimekuwa ngumu sana baba
@AbdallahNzumila3 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia Kwa viwango vya juu endelea kufungua na kusaidia watu wenye matatizo mungu azidi kukubariki mtumishi Nina Imani na weww
@HappyEquestrianHelmet-iw5co2 ай бұрын
Nabii nisaidie naitwa chiungo Aisha Anton Sina maisha nakufuatila
@boniphaceemmanuel66047 күн бұрын
KWA HIYO UMEAMUWA KUSAIDIA SERIKALI KUJENGA BARABARA ILI WASIKUCHUKULIE HATUWA😂😂😂😂 DINI UMEIGEUZA BIASHARA UNAJIITA KIBOKO WA WACHAWI ACHA TUKUZOOM NYUMA YA PAZIA....
@iptysamjamal2 ай бұрын
Nabii mume wangu biasharà hàzieñdi na pesa hazionekan zaitun jafar cjui anaemroga nan
@HappyEquestrianHelmet-iw5co2 ай бұрын
Fungua na ww kanisa lako udangaye watu kama ni kaz rahis acha kumkashfu nabii
@WinifridaNgalamika2 ай бұрын
Nataka kujua kuusu dada yangu grace
@AlphonceSoselaАй бұрын
Naomba nitabilie Alphonce sotery sosela
@MassAlex-dv7rs4 ай бұрын
Huu sio wakati wa kuua wachawi ni wakati wa kuwafanya watu hawa kuwa wema,tambua ukiwa muuwaji nawewe pia ni mchawi.😂😮😅
@jasmineomary43254 ай бұрын
Sio kweli we husomi bible inasema usimwache mchawi Aishi sio unaongea TU bila kujuwa
@miriamgeorge29294 ай бұрын
Hasomi biblia angekuwa anasoma wala asingesema hivyo
@RodahAdonice-dz4sm3 ай бұрын
@@jasmineomary4325mnadanganywa nanyi mnakubali kisasi ni cha Mungu tu na si mwanadam nyie ndo hamsomi biblia vizuri
@SmilingCityMap-xb9md3 ай бұрын
@@miriamgeorge2929usitumie mstali mmoja kujidanganya soma uelewa Hilo Neno Lina maana gani baada ya kifo cha yesu msalabani na alieokoka aikilogeka na kuwaogopa wachawi bado haeliwi KAZI ya yesu msalabani