NABII KIBOKO YA WACHAWI WA BUZA AIKATAA VITA ya MWAMPOSA "NINA HESHIMA KUBWA, KUNANJIA WAMEIPASUA"

  Рет қаралды 111,926

Mzalendo TV Online🇹🇿

Mzalendo TV Online🇹🇿

5 ай бұрын

#MzalendoTv #KaziIendelee #M4C

Пікірлер: 355
@filimonmpinge6039
@filimonmpinge6039 4 ай бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa Mungu alisaidie kanisa la Leo liwe na macho ya ROHONI
@BarakaDonasiani-pj9bx
@BarakaDonasiani-pj9bx 4 ай бұрын
Muuni tu uyo na hizi ndio siku za mwisho wanakuja manabii wa uwongo watanzania jiangalieni.sana na watu kama.hawa mtafuteni mungu kw bidii na kulijua neno na mungu bibria
@BenardSaimon
@BenardSaimon 26 күн бұрын
Mtumishi wa mungu endelea kuifanya kazi ya mungu kwa moyo mungu azidi kukutia nguvu ,na mungu azidi kutufungua kupitia wewe
@rachelmosha5619
@rachelmosha5619 2 ай бұрын
Mtumishi kiboko ya wachawi hongera Sana kwa kazi unayoifanya ya kuwasaidia watu
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 4 ай бұрын
Nimemsikiliza huyu Sana hakuna anachohubili anachofanya NI kuwadanganya watu Kwa kivuli cha injili tena kuna majilani zangu wawili walienda huko wachoambiwa kumwona watoe elfu 20 walitoa na hawakuluhusiwa kumwona mpaka wanaondoka na hiyo pesa hawakuludishiwa nawaomba wa tz kuweni makini na watapeli wa injili jifunzeni kusoma bibilia na kuomba wenyewe mathayo 7:7. Mungu anawaalika watu wote waombe mungu hamilikiwi na MTU manabii wa Leo hutumia ujinga wa watu kutojua maandiko kuwadanganya na kuwaibia amkeni swala la kuomba NI la kila MTU alieamini na kutubu dhambi mungu Hana upendeleo
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 4 ай бұрын
Hivi sisi waumini wa kila madhehebu yote hamjasoma biblia agano la kuwa kutatokea Manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk wengi wao wanashiriki hasa nguvu za kishirikina za chuma ulete na wajinga ndiyo waliwao hasa sisi wanawake
@Neema-qm9kk
@Neema-qm9kk 4 ай бұрын
Asante kwa ushauri. Mimi huwa ninapenda mtu anayesema kweli
@agneskawamala618
@agneskawamala618 4 ай бұрын
Mwizi tu
@janethelly4986
@janethelly4986 4 ай бұрын
Mimi nilienda nikatoa 80k na sikuonana nae ,nilipewa mungine kabisaaa akunitabiria chochote
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 4 ай бұрын
Kuna dini kuna waganga wa kienyeji sasa hivi Manabii wengi wako kama Wanageria wanskomba sadaka za wajinga nfiyo waliwao
@muhasatv9245
@muhasatv9245 3 ай бұрын
TUNAOSOMA HUKU TUMEWEKA POZI ILI MB ZISIENDE TUJUANE.
@user-zs6kw8ks4m
@user-zs6kw8ks4m 3 ай бұрын
Mtumishi wamungu hutasikia akisema vibaya Kwa watumishi wengine hongera mtumishi
@JacobMaganga-re9ji
@JacobMaganga-re9ji 11 күн бұрын
😂
@JosephMollel-wz7kn
@JosephMollel-wz7kn Ай бұрын
Bwana YESU apewe sifa, naomba maombi Yako, Nina sumbuliwa na Sukari,macho kutoona vizuri,miguu kuwa na vidonda na kikohozi kisichopona HIVYO naomba maombi Yako sana naitwa Maina
@user-yj2wm7rh6u
@user-yj2wm7rh6u 4 ай бұрын
Mimi Namshukuru mungu kwa matendo makuu anayoyatenda ndani ya madhabahu ya Mungu wa nabii kiboko WA wachawi ninafuatilia masomo yake ninajifunza mengi Mungu akubariki sana Nabii
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 4 ай бұрын
Roho ya upotofu inakunyemelea mwombe mungu akuokoe na hiyo kuamini manabii wa uongo
@sautiyamzalendo
@sautiyamzalendo 4 ай бұрын
Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz
@RodahAdonice-dz4sm
@RodahAdonice-dz4sm 3 ай бұрын
Hamna kitu hapo Mwenyezi Mungu awasaidie sana
@richardmboyo8724
@richardmboyo8724 Ай бұрын
Mungu akubariki nabii watu wengi wanapona kabisa
@sharonjosephine6252
@sharonjosephine6252 2 ай бұрын
Mungu anatutizama kwa jicho la tofauti na la kibinadam soo acheni kuhukumu...
@josephkileo-wk6ye
@josephkileo-wk6ye 2 ай бұрын
Amina baba mtumishi please naomba uniombee nateseka sana baba
@Zumlatti
@Zumlatti 2 ай бұрын
Amina niombee namim nateseka
@JanethEmmanuel-mr5le
@JanethEmmanuel-mr5le Ай бұрын
Amina baba naomba uniombee nipate kazi pia baba angu nae apone mguu
@SeleAlfan
@SeleAlfan Ай бұрын
Mm Mkonga selemani naomb msaanda wa biashar yangu na kunisaindia kuusu mambo yangu ya kuenda ulaya tatu naomb Moto nipo Malawi lilongwe
@bonithakankerauwera2323
@bonithakankerauwera2323 4 ай бұрын
Gloire gloire gloire gloire à l'éternel lui-même vraiment
@Stella-118
@Stella-118 4 ай бұрын
Nabii endelea baba wewe ni mteule wa mungu.hayo maneno ya binadamu yasikuvunje nguvu, hata Yesu alidhihakiwa na kutukanwa lakini hakuacha kundoo wapotee bila mchungaji. Sisi tunaohudhuria kwenye ibada zako ndio tunaoujua ukweli wa mambo sio kwa kuhadithiwa bali kwa kushuhudia kwa macho yetu mawili mungu akulinde baba.
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 4 ай бұрын
Mtumishi apige kazi, Mungu ndie aliemuita, hao wanapinga waendelee TU, Si tunasonga mbele hatuyumbishwi
@vinuskalonga4656
@vinuskalonga4656 3 ай бұрын
Sawa kabisa. Chapa Injili mtumishi wa Mungu. Watu na wakristo 😂wanaomjua Mungu kwa kutumia Biblia, hawezi kumtukana mchungaji mwenzao yeyote yule kihivyo. Aibu kubwa Lazima awe na woga. Yesu aliwaambia wanafunzi wake, hao wanaomhubiri Yesu wako pamoja na sie. Falme iliyogawanyika haiwezi kusimama. Huwezi mnyanyua Yesu huku unatumikia shetani na bado ukasimama. AIBU KUBWA SANA KUONA SIE WAUMINI TUNAONA WACHUNGAJI WETU, WANAODAI WAMJUA YESU, HATA HILO AGIZO RAHISI HIVYO LA MUNGU WANASHINDWA KULIHESHIMU😢 . KAWADANGANYENI BASI WATU NA NYIE MUONE MOTO NA MASHIMO ya Mungu yakiwameza wazima wazima.
@aishatest4451
@aishatest4451 Ай бұрын
hongera sana
@wilfredjohn4829
@wilfredjohn4829 28 күн бұрын
Kumbe kuwa na kanisa ni kupata hamasa ktk makanisa mengine sikujua ila Mungu tunasihi huruma zako na rehema zako ndani ya Kanisa na Taifa letu Amen...
@sixmundleonard2135
@sixmundleonard2135 5 ай бұрын
👏👏
@Prolimina-im2fo
@Prolimina-im2fo 2 ай бұрын
Amina baba
@HappyEquestrianHelmet-iw5co
@HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 ай бұрын
Hongera. Sana baba
@user-on5pu8wv4g
@user-on5pu8wv4g Ай бұрын
Amina Baba zidi kubarikiwa 🙏🙏
@lightnessgamasa6039
@lightnessgamasa6039 2 ай бұрын
Anaemsema Nabii Inawezekana ni Upande wapili kwahiyo ,binadamu tusiogope Mungu nimwema Sana,Hata YESU aliitwa mchawi
@SalomeKyamba-mk6zq
@SalomeKyamba-mk6zq Ай бұрын
Huyu kijana ni tapeli hamjui Mungu yeye ni mpinga Kristo
@NaomiSilayo
@NaomiSilayo 2 ай бұрын
Amina baba tusaidie
@charlesfaru485
@charlesfaru485 2 ай бұрын
hongela sana baba mchungaji
@estermohammed4335
@estermohammed4335 2 ай бұрын
Amen Baba
@lusajoully
@lusajoully 2 ай бұрын
Amina
@salmamose4244
@salmamose4244 3 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe sir
@amanmaleko3085
@amanmaleko3085 4 ай бұрын
Mtumishi mbona ameweka nywele kisholobalo
@MageLuvanda
@MageLuvanda 27 күн бұрын
Wewe ni tapeli kunajirani yangu aliambiwa atoe laki moja kukuona baada ya hapo akanza kutolewa maneno machafu na pesa mumechukuwa na kumwabia uliitwa ata ukishitaki mungu awezi kuwabariki kwa utaperi
@Stella-118
@Stella-118 4 ай бұрын
Hivi hao matomaso hawaoni ambulance za serikali zinavyoleta wagonjwa madhabauni na mipira ya gas na wanainuka? Hebu fika ujionee na huyo aliekwambia anetoa 20 na hajamuona yy alikuja kupatamuujiza tuu. Lakini imani hakuwa nayo. Maana watu wanakanyaga tu kwenye ardhi ya kanisa na anapona.
@LydiaAllen-wl9db
@LydiaAllen-wl9db 4 ай бұрын
Acheni ushamba
@RodahAdonice-dz4sm
@RodahAdonice-dz4sm 3 ай бұрын
Polen sana
@FreeGod368
@FreeGod368 7 күн бұрын
Wenye matatizo ya akili mpo wengi, we taaahira kweli ambulance ipeleke mtu kansan
@norahmajaliwa3841
@norahmajaliwa3841 4 ай бұрын
Bwana Yesu akulinde Mtumishi
@nataliedayana9824
@nataliedayana9824 Ай бұрын
Kwel unaomba lakin sasa pesa unaitisha kubwa sana jamani laki 5 maombi ya mmoja mmoja kama huna laki 2unusu hapo nmetoka mkoan sijala sijalal huruma hakunaa kabsaa leo nmeondok nmeskitika kukalia kit wa laki 3 🥱🥱sisi wa elfu 10 tununue utumbo tule tukalale
@EvaSadala-vv8jn
@EvaSadala-vv8jn 2 ай бұрын
Mi kwenye kutoa pesa tena unaagizwa nyingine kama lk 2 tena toa 2hivohivo kiwango hicho ni kawaida Lkn hapana hapo uwe bilionea
@Prolimina-im2fo
@Prolimina-im2fo 2 ай бұрын
Amina baba naomba uniombee
@felisianafelisiani7519
@felisianafelisiani7519 2 ай бұрын
Ameeni
@JoyceMassawe-f5i
@JoyceMassawe-f5i Ай бұрын
Baba nakupenda sana nisaidie mume wangu anaumwa sana pressure na figo
@NaimaAlly-bh6yn
@NaimaAlly-bh6yn 3 ай бұрын
@StellaRupia
@StellaRupia 28 күн бұрын
Mashaka ni pale mtumishi wa mungu anapoleta bili kwa ajili ya maombi ndipo inakuwa biashara,
@Yusta-vx6ns
@Yusta-vx6ns 4 ай бұрын
❤🎉
@LuluJackson-u6e
@LuluJackson-u6e 26 күн бұрын
Yan tz tumepatkana jmn mmh ,mungu kama aishivyo ipo sku
@user-bj6bs9do2f
@user-bj6bs9do2f 4 ай бұрын
Kumbe Ndio Wewe Mchungaji Maana dah Sipatagi Usingizi bila kusikiliza kipindi Chako 🙏🙏Hila Siwezi Mukumu Mtu kwa Muonekano
@sammasika3627
@sammasika3627 4 ай бұрын
Iman haba
@richardmboyo8724
@richardmboyo8724 Ай бұрын
Naomba uniombee baba nipate kazi ya kudumu
@MartinKimbwereza
@MartinKimbwereza 2 ай бұрын
mimi naomba kupona mkono na mguu mungu akutie nguvu
@Eunice-kb8yz
@Eunice-kb8yz 2 ай бұрын
Baba tuko pamoja naomba niombee uchumi wangu hauko sawa mimi na mume wang.yunis pallangyo
@Aminatwahily
@Aminatwahily Ай бұрын
Mungu akubariki baba Dominic nabii kiboko ya wachawi unaweza baba na utaweza zaidi ya hapo long life father ❤
@DrAmiijmpembaThedon
@DrAmiijmpembaThedon 12 күн бұрын
Nakurespect baba
@VeiceNasson
@VeiceNasson Ай бұрын
Naomba niombee nateseka na magonjwa namtoto wangu Toka azaliwe Hana ufahamu mzuri kifafa v
@felicianathomas3319
@felicianathomas3319 10 күн бұрын
Mungu anakuona
@deogratiusmsafiri
@deogratiusmsafiri Ай бұрын
Amen
@JamilaAdamu-nr1wu
@JamilaAdamu-nr1wu 4 ай бұрын
🙏🙏
@sautiyamzalendo
@sautiyamzalendo 4 ай бұрын
Asante kwa kufuatilia @mzalendomediatz
@FridaMtui-pp3lt
@FridaMtui-pp3lt 3 ай бұрын
Naomba mungu anipe kazi,mume sahihi na amponye Mama yangu
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 2 ай бұрын
Nimekutana nae kwa shida binafsi nimegundua huyu jamaa ni tapeli wa waziwazi na mbabaishaji mkubwa
@TinahSteve
@TinahSteve Ай бұрын
N kweli
@DenisSimon-u2o
@DenisSimon-u2o Ай бұрын
amee
@devotamwambola8303
@devotamwambola8303 4 ай бұрын
Huyu Hapana Mungu anisamehe.Kwanza kujichubua ni kosa kubwa sana.Kweli watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa imani
@KuruthumuMakana-tb9fx
@KuruthumuMakana-tb9fx 3 ай бұрын
Ni mkongo kwaiyo iyo ni kawaida acha kujaji
@estermohammed4335
@estermohammed4335 2 ай бұрын
Naomba niombee uchumi watoto na furaha yangu
@JosephNnko-nz6kk
@JosephNnko-nz6kk 2 ай бұрын
Nabii nakubali wewe naomba uniombee Sana by josephu arusha
@user-te4nq8vv6c
@user-te4nq8vv6c 2 ай бұрын
Mimi ombi langu baba niweze kushinda kesi mahakamani naomba maombi yako baba 🙏🙏🙏🙏
@nasibshabani7740
@nasibshabani7740 2 ай бұрын
Muombe mungu wako ww
@fanuelMndeme
@fanuelMndeme 2 ай бұрын
Ubariwe
@patrickmalewo5098
@patrickmalewo5098 4 ай бұрын
Jamani hichi kizazi Cha nne ktk huduma.kizazi Cha kwanza Cha Dr.Moses kolola na Emmanuel Lazaro kizazi Cha pili Cha akina Mwingira ,kakobe na Lusekelo Mzee wa upako,na dastan maboya.hichi kizazi Cha tatu na Cha nne wakina mwamposa,kuhani mussa n.k huna haja ya kuhukumu acha wafanyekazi ya Mungu.Mungu ndie anaehukumu .
@EnnyMnzava
@EnnyMnzava 2 ай бұрын
Bwana yes asifiwe mtumish nahitaji nipate kazi ,nyumba .gari nakufunguliwa kiuchumi
@ernestkatyega5781
@ernestkatyega5781 Ай бұрын
Huyu mwizi tapeli alaf anajichubua hakuna mtumish wa Mungu wa hivi ANAOMBA laki Tano ndio umuone wakati Yesu mwenyewe watu walimuona bure
@AishaNasolo-j2u
@AishaNasolo-j2u Ай бұрын
Bwanayesu asifiwe mtumishi Mimi naitwa Aisha nipo dodoma kibaigwa naomba msaada wamaombi ninamtoto wangu anaitwa hadija anasumbuliwa na ugonjwa wa kifafa nimwaka watatu naomba maada
@SixtenTenga
@SixtenTenga Ай бұрын
Naomba ndoa yangu ipone in Jesus name amen
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd Ай бұрын
IyO ishapga mweleka
@nancyg8664
@nancyg8664 4 ай бұрын
Yesu wangu huyu nilimsikiliza redioni tu kumbe ndo yupo hivi😂😂😂
@ernestkatyega5781
@ernestkatyega5781 Ай бұрын
Huyu ni kiboko ya MKOROGO 😂😂😂 sugu kibao mkononi hakuna mtumish wa Mungu anafeki Hadi rangi ya mwili wake
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤️‍🔥❤️‍🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
@estermohammed4335
@estermohammed4335 2 ай бұрын
Umeniona jamani Baba na hiyo roho ya chuma ulete nisaidie nakata roho ya chuma ulete
@user-nt1lf8rr9g
@user-nt1lf8rr9g Ай бұрын
Tz kwishaaaa
@Malkia01
@Malkia01 2 ай бұрын
Jmn had ukutane na huyo unatoa hela mnapitishwa kil kigenge wa shemas utowe maokoto yaan mtu asiejuw cuba ataon nadangany aisee eeh😢
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 4 ай бұрын
Safi sana mtumishi
@rehemakudra868
@rehemakudra868 2 ай бұрын
Nimekukubali
@user-rs4vz2vt9z
@user-rs4vz2vt9z 2 ай бұрын
Nabii naomba tusaidie tumezulumiwa Mali zetu Na hakuna amani naomba msaada.
@petermuturi4564
@petermuturi4564 3 ай бұрын
Nashukulu.sana kwa unabii yako vile naona kwako nimetamani miaka mingi tafathali baba na kuheshimu na ninaamini ukitamka neno kwangu unabii wangu utapata nguvu na nifanikiwe mimi niko kenya peter
@FadhilFadhil-zr1xs
@FadhilFadhil-zr1xs 2 ай бұрын
Sharoom naitwa zuhura naomba umsaidie mama yng anaitaji kuuza nyumba yake hapo Kwa azizi ally mana tumepiga sana simu Yako aipokelewi mana mama yng anasikiliza sana kuhusu miujiza yako
@sarahkeivaly3351
@sarahkeivaly3351 Ай бұрын
Kwanini mmekimbia Kongo na kuja kuhubiri huku Tz??
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
Huyu ni tapeli ,waziri wa mambo ya ndani tunaomba chukua hatua
@user-wy1or9fm2s
@user-wy1or9fm2s 2 ай бұрын
Kwani ni waislamu someni jamani hani mathayo 24 a1=24 kwa sisi waislamu ni mtihani kwetu hata kama makafiri waponya na mtume wa mwisho ni Muhammad kama ukimuona mwislamu ana wafata waliopotea (Wakorintho 15 :18
@BahatiMrema-lc3zv
@BahatiMrema-lc3zv 2 ай бұрын
Amina baba natamani uniombee
@JacobMaganga-re9ji
@JacobMaganga-re9ji 11 күн бұрын
😂😂😂
@MartinKimbwereza
@MartinKimbwereza 2 ай бұрын
naomba kkutolewa kwenye nguvu zagiza na laana nibarikiwe kwenye uchimi
@claudiokatucha6652
@claudiokatucha6652 3 ай бұрын
Claudio OSKA KATUCHA nina changamoto ya kufungwa kiuchumi naomba niombee
@rambostalon2888
@rambostalon2888 27 күн бұрын
Safi mtumishi huna kinyongo na mtu
@GraceSilo-vt6ke
@GraceSilo-vt6ke Ай бұрын
Amina baba uniombee ninashida baba ninamaisha magumu sana Kila ninachokifanya hakifanikiwi
@sautiyamzalendo
@sautiyamzalendo Ай бұрын
Pole, nakusihi endelea kutufuatilia Mzalendo Tv
@user-kh5xu3vu1x
@user-kh5xu3vu1x 4 ай бұрын
Mmmmmm
@JaphetIramba
@JaphetIramba 2 ай бұрын
NAITWA MMASSY BABA NAOMBA UANGALIE FAMILIA YANGU MAISHA AYAELEWEKI
@Sebastiani-cr1qn
@Sebastiani-cr1qn Күн бұрын
Hamna kitu hapo ujinga tuu
@happyminja-kb1ow
@happyminja-kb1ow 4 ай бұрын
Muuhubirini MUNGU WA ukweli acheni kumsikiza .....
@DerckMchomvu-kw4ro
@DerckMchomvu-kw4ro 2 ай бұрын
Nisaidie nabii
@NyiranezaWarda-bk1yn
@NyiranezaWarda-bk1yn 3 ай бұрын
Mungu akupe ushindi roho wamungu akufunike akusimamishiye bendela yawushindi 🥰💯🙏🙏🙏
@VeronicaChaudele
@VeronicaChaudele Ай бұрын
Kiboko ya wachawi ubarikiwe😅😅
@JoyceMassawe-f5i
@JoyceMassawe-f5i Ай бұрын
Pia BIASHARA baba zimekuwa ngumu sana baba
@AbdallahNzumila
@AbdallahNzumila 3 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia Kwa viwango vya juu endelea kufungua na kusaidia watu wenye matatizo mungu azidi kukubariki mtumishi Nina Imani na weww
@HappyEquestrianHelmet-iw5co
@HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 ай бұрын
Nabii nisaidie naitwa chiungo Aisha Anton Sina maisha nakufuatila
@boniphaceemmanuel6604
@boniphaceemmanuel6604 7 күн бұрын
KWA HIYO UMEAMUWA KUSAIDIA SERIKALI KUJENGA BARABARA ILI WASIKUCHUKULIE HATUWA😂😂😂😂 DINI UMEIGEUZA BIASHARA UNAJIITA KIBOKO WA WACHAWI ACHA TUKUZOOM NYUMA YA PAZIA....
@iptysamjamal
@iptysamjamal 2 ай бұрын
Nabii mume wangu biasharà hàzieñdi na pesa hazionekan zaitun jafar cjui anaemroga nan
@HappyEquestrianHelmet-iw5co
@HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 ай бұрын
Fungua na ww kanisa lako udangaye watu kama ni kaz rahis acha kumkashfu nabii
@WinifridaNgalamika
@WinifridaNgalamika 2 ай бұрын
Nataka kujua kuusu dada yangu grace
@AlphonceSosela
@AlphonceSosela Ай бұрын
Naomba nitabilie Alphonce sotery sosela
@MassAlex-dv7rs
@MassAlex-dv7rs 4 ай бұрын
Huu sio wakati wa kuua wachawi ni wakati wa kuwafanya watu hawa kuwa wema,tambua ukiwa muuwaji nawewe pia ni mchawi.😂😮😅
@jasmineomary4325
@jasmineomary4325 4 ай бұрын
Sio kweli we husomi bible inasema usimwache mchawi Aishi sio unaongea TU bila kujuwa
@miriamgeorge2929
@miriamgeorge2929 4 ай бұрын
Hasomi biblia angekuwa anasoma wala asingesema hivyo
@RodahAdonice-dz4sm
@RodahAdonice-dz4sm 3 ай бұрын
​@@jasmineomary4325mnadanganywa nanyi mnakubali kisasi ni cha Mungu tu na si mwanadam nyie ndo hamsomi biblia vizuri
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 3 ай бұрын
​​@@miriamgeorge2929usitumie mstali mmoja kujidanganya soma uelewa Hilo Neno Lina maana gani baada ya kifo cha yesu msalabani na alieokoka aikilogeka na kuwaogopa wachawi bado haeliwi KAZI ya yesu msalabani
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 5 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 91 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 10 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
KIMEUMANA CASSIN NA KIBOKO YA WACHAWI KUZALILISHANA HAZALANI EV PASCHAL CASSIAN
1:11:12
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 111 М.
MWANAMKE ALIEPACHIKWA MIMBA NA KAKA YAKE SIRI YAFICHUKA MUMEWE AJA JUU NA KUMKATAA
12:39
PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI
Рет қаралды 101 М.
DUDU BAYA ACHUKIZWA NA KIBOKO YA WACHAWI, ONA AIVYO MUUMBUA
14:43
BOBUR ABDULAZIZOV 🇺🇿🇰🇿🇰🇬
1:00
OCTAGON UZB
Рет қаралды 5 МЛН
Football Players Slap Challenge😱
0:25
Football Arena
Рет қаралды 13 МЛН