MAHOJIANO MAALUMU NABII KIBOKO YA WACHAWI USWAHILINI BUZA KWA LULENGE / KWANINI ANAOGOPWA NA WACHAWI

  Рет қаралды 30,343

Wasafi Media

Wasafi Media

15 күн бұрын

MAHOJIANO MAALUMU NABII KIBOKO YA WACHAWI USWAHILINI BUZA KWA LULENGE / KWANINI ANAOGOPWA NA WACHAWI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm #trending #mswahili #virah

Пікірлер: 183
@worth_monkey
@worth_monkey 13 күн бұрын
jamni umasikinii utatuburuzaa sisi wabongooo tutumie akiliiii hawa watu ni matapelii na washirikinaaaa hata kwa macho hatuoniii jamaniii dah
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c 13 күн бұрын
Nilichokuelewa ni kwamba ww ni tajiri wa moyo ndo mana una uthubutu wakutoa sadaka sanaa na ndo mana unatamani watumishi wako wajenge wawe na magari wasije pia na mashat yaliochanika god bless my broo
@renatuswilson1577
@renatuswilson1577 13 күн бұрын
Huyu jamaa. Ukimzingatia na ukiwa na akili timamu utajua anamuabudu nani. Kama C3 huna hutonielewa. Mungu atuongoze.
@hajiramadhanihaji355
@hajiramadhanihaji355 13 күн бұрын
Wacha uhuni wewe uchawi ndionini ? Yaani mzee wamiaka 70 akifa tayari ni mchawi ? Kweli?
@wildlife5730
@wildlife5730 13 күн бұрын
Wakristo tusome biblia vzr tusibebwe na huu upepo
@paulmushi2428
@paulmushi2428 14 күн бұрын
Sokuona sababu ya muziki huo katikati ya mahojiano
@ChristinaNshatsi
@ChristinaNshatsi 3 күн бұрын
Jamani mnahukumu adi mnakela
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 13 күн бұрын
Aisee nimesikiliza vizuri sana jamaa unajua kujieleza vyema una utaniutani kitu ambacho ni kizuri pia God bless all of us
@matolasalumu2625
@matolasalumu2625 12 күн бұрын
Mwizi tu kupitia imani ira mungu anawaona kazi ipo kwenye malipizo
@lilianmnkondya150
@lilianmnkondya150 5 күн бұрын
Amina Baba piga kazi umenisaidia sana Madhabahu yako ina nguvu🙌
@nekaagripa3993
@nekaagripa3993 13 күн бұрын
Watu 70,000 hivi anawajua? Means uwanja wa mkapa?? Watu bwana
@Commentsplus
@Commentsplus 12 күн бұрын
Yani hera Hera ndo neno Lake Kuu umakini uwepo wakati ukimsikiliza
@SalimSalimu-z5c
@SalimSalimu-z5c 14 күн бұрын
Dalili za kuchochea Ushoga kwa Huyu ??
@user-hb7mq8lg9e
@user-hb7mq8lg9e 12 күн бұрын
😂😂😂😂
@erickmsigala138
@erickmsigala138 12 күн бұрын
Mimi ni Mkristo huyu jamii ni tapel wa kiroho hafai hata kusikilizwa kwa mtu anaye mjua Mungu lakini kwasababu ya ujinga wenu ataendelea kuwa ibia hana ukibo wowote
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c 13 күн бұрын
Binafsi nilikuwa ckufwatilii kabsa lakn kws maelezo haya nahis kama naanza kukuelewa sanaaa sanaaaa sanaaaa nankukufwatilia umachosema ni kweli kabisa
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 14 күн бұрын
Aamina sana Mtumishi wa Mungu.
@shinshi9696
@shinshi9696 13 күн бұрын
Huyu bishop anahitaji matibabu ya akili
@Tg.7_7
@Tg.7_7 13 күн бұрын
This man Big Brain,🙌 mengine sijui nawaachie walimwengu!!😅
@naturelle1097
@naturelle1097 9 күн бұрын
Hapo kwa watumishi wako hawajapauka wala mashati yaliyo chanika nakupa pongezi..big high five!
@coolsinare8824
@coolsinare8824 10 күн бұрын
kuna mambo kadhaa umeyasema nimefurah..moja wapo ni kuwa”utajiri wa kweli ni kile unachokiacha kwenye mioyo ya watu”ni ujumbe tosha na nadhan kwa hali ilivyo sasa watumishi wa Mungu,Raisi wa nchi na viongozi wake jalini sana mioyo ya wananchi mnaiachaje kutokana na nguvu za mamlaka mliyopewa na Mungu
@aishakambenga6191
@aishakambenga6191 14 күн бұрын
Kuhusu vitambi nimecheka 🤣🤣Nakupenda ❤
@justusngonyani165
@justusngonyani165 8 күн бұрын
Mbingu si ya wakristo,bali ya waliookoka.Waliomkubali Yesu kuwa Mungu na mwokozi.
@ElionaMbise
@ElionaMbise 12 күн бұрын
Mtu.wa.mungu piga kazi.mungu.amekupa Kibali.cha.kuwa.kiboko.cha.wachawi.hapa 🇹🇿
@user-il5pk2dr5n
@user-il5pk2dr5n 13 күн бұрын
Tapeli wa kikongo huyu uhamiaji weka ndani wewe ndie mchawi mkubwa mshirikina wa kwanza kwanza ni mchochezi eti wazee wachawi imaana ata babu yako kule kongo ni mchawi eti tumepiga maombi wazee wamekufa sasa unawaponya watu au unaua watu mpigaji mkubwa..
@fatumatandika6220
@fatumatandika6220 12 күн бұрын
Yaani anafurahi kuua wazee. Una uhakika gani Kama ni wachawi kuweni makini jamii
@GluckSifaeli
@GluckSifaeli 7 күн бұрын
watu wa mungu tusikilze sauti ya mungu tuu
@ElionaMbise
@ElionaMbise 12 күн бұрын
Nabii.nipo.harusha.nimefatilia maji na.tishet.sijawakuta.watendakazi.stedim arusha❤
@goldermeirshoo1228
@goldermeirshoo1228 12 күн бұрын
Biggerup Mtumishi wa Mungu Dominiq, Mungu awalindee woote
@user-tm5ls1ml6d
@user-tm5ls1ml6d 13 күн бұрын
Wenye wivu acheni upuuzi hebu kuwen makini na maneno yake katika maisha yangu sikutegemea kuwakubali wachungaji ila kwahuyu kiboko acheni wivu.jaman pambaneni na hali zenu tunampenda huyu baba mie nipo oman namkubali kula tano👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💪💪
@shinshi9696
@shinshi9696 13 күн бұрын
Utakuwa fala wa mwisho wewe. Nahisi mkeo na watoto wanatombwa na houseboy au housegirl wako jinsi akili zako zilivyo. ulivyoshikwa akili fala mbwa mzee wewe 😅😅😅
@zabibusaidi1404
@zabibusaidi1404 12 күн бұрын
Uc ya nn kama mtu humuelewi kaa pembeni
@zabibusaidi1404
@zabibusaidi1404 12 күн бұрын
Wazawa woote wa buza mpaka daladala zoote zimeneemekakama huku wai kufika kanisani kwake nenda kaone usithubutu kutukanavkabla magereza hospital polise kooote kapeleka magari namisoc
@TangaMashewa-qe8kk
@TangaMashewa-qe8kk 13 күн бұрын
UJINGA MTUPU NENDA KAJITANGAZE KUA WEWE NI KIBOKO YA WACHAWI TANGA AU SUMBAWANGA VIJIJINI ACHENI UJINGA dar Kuna wachawi hizo ni biashara za utapeli wahuni nyie
@Nicaonlinetv7324
@Nicaonlinetv7324 5 күн бұрын
Hapo pa kuwapenda mashemasi na wahudumu nimekukubali, mtu huwezi kuwa mbaya kwa nyanja zote.
@imanimahundi8293
@imanimahundi8293 12 күн бұрын
Wagawanye tuwatawale. Shida ndio zinatusonga mpaka tusijue lakufanya EE mungu tujalie ufahamu
@BonifaceOirere
@BonifaceOirere 7 күн бұрын
Hapa ni biashara na uganga Bali si injili ya kueneza ukombozi.Mungu akaokoe kondoo na mchunga wao
@justineswai5885
@justineswai5885 11 күн бұрын
Wamejivika ngozi ya kondoo kumbe ni mbwa mwitu, ole wenu KRISTO YESU anarudi
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 13 күн бұрын
YEREMIA 50:6. YEHOVA ACMA KONDOO WANGU WANAPOTEZWA NA WACHUNGAJI WAO.
@AsiaShaban-zz4yr
@AsiaShaban-zz4yr 12 күн бұрын
Ana sifa huyo namajigambo mmh nilishatapeliwA pesa nyingi na mgonjwa broo hakupona fyuuuu anawapaga watu anaogea kwenye redio vinzur lkn ukienda kanisani anakuchamba wee sijawai onaa utakufa utaenda motoni kafiri wewe
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 13 күн бұрын
Najivunia sana kuwa mkiristo wa kikatoliki
@user-hb7mq8lg9e
@user-hb7mq8lg9e 12 күн бұрын
Walewale Wote Wasaka Tonge😂😂😂😂
@MulshiduYusuph-yw2os
@MulshiduYusuph-yw2os 2 күн бұрын
Nakukubali baba
@CamillahAdam
@CamillahAdam 13 күн бұрын
Mtumishi wa mungu 🎉
@michaelmbeti5040
@michaelmbeti5040 4 күн бұрын
Naomba mwili upoe kwa nguvu sana
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 13 күн бұрын
Najivunia Sana kua Muislam maana nina uwelewa wa hali ya juu sana huyu jamaa ni tapeli tu na hao wote anaojifanya anawatibu anawapanga
@bobdelwinsky9363
@bobdelwinsky9363 13 күн бұрын
Hauhitaji kuwa muislamu kujua uhuni wa mwamba. Hata wakristo wanajua mwamba ni msakatonge sheikh. Ni vile tunajivunia kuvumiliana na umoja ndio maana wahuni kama hawa wanaibuka kama uyoga. Sheria na taratibu za nchi zitakapobadilika kuwashughulikia hawa watu kihalali kama kutaifisha mali na kuwafunga watajifikiria sana.
@richardvallerian1003
@richardvallerian1003 13 күн бұрын
Hauhitajiki uelewa wa juu kujua huyu ni tapeli, ni uelewa wa kawaida kabisa!
@stefanomasolwa8979
@stefanomasolwa8979 13 күн бұрын
Weslam nao wanachanga moto yao acheni unafki nyinyi Weslam huku unajiitq Mweslam baadaye unaenda Gest kufirwa mkunduni
@stefanomasolwa8979
@stefanomasolwa8979 13 күн бұрын
​@@bobdelwinsky9363 ubarikiwe kakangu unasema ukweli kabisa Yani nahitaji Serekali iwashike handi Ndani hata myaka 10 kumi tu watanyooka kweli kweli
@JaneChissawilo-dr7nn
@JaneChissawilo-dr7nn 13 күн бұрын
Wee ni mwanga TU umepangwa na shetani na wewe!
@PaulinaNyanzalashija
@PaulinaNyanzalashija 13 күн бұрын
Nabiii wote ni safi tu wewe unaeita nabii tapeli no moja ni wewe zungumza yako msiwachafue manabii wazuri wanasaidia sana
@user-hb7mq8lg9e
@user-hb7mq8lg9e 12 күн бұрын
Tapeli Mwingine😂😂😂😂
@shinshi9696
@shinshi9696 11 күн бұрын
@@PaulinaNyanzalashija fala Paulina shija
@didasmajor9288
@didasmajor9288 7 күн бұрын
Dada Mimi ni mkristo, nitafute tufanye maombi Mungu mwenyewe atuoneshe kipi ni kipi
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 6 күн бұрын
Usijali roho mtakatifu atawashukia😊​@@didasmajor9288
@hebrontesha7184
@hebrontesha7184 14 сағат бұрын
Ni kweli kabisa huyu ni nabii ila wa uongo
@user-bs7dj7ps9g
@user-bs7dj7ps9g 13 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂watu niwajinga sana
@AhadiPromise-z3z
@AhadiPromise-z3z 6 күн бұрын
Nakukubali sana wataongea sana awakuwezi babaa wambie😂😂
@omarally5460
@omarally5460 10 күн бұрын
Hii issue ni mtambuka, Jamaa kaanzia kuziba midomo watendaji wa chini wa Serikali na Jeshi la police, Ni Ngumu kumchukulia hatua zozote,, Inahitaji maamuzi magumu sana. 🤔🤔🤔
@andrewkamese8492
@andrewkamese8492 13 күн бұрын
Kama umeshinda jaribu la pesa basii nabii kiboko Sio mtumishi wa mchezomchezo!
@ElionaMbise
@ElionaMbise 12 күн бұрын
Kweli nabii.umesema ukweli.hapo.hata.kama.wanasema.wewe.ni.nabii.wa.uongo wanakuonea wife.piga.kazi.baba.fufua.watu.wataelewa tuu.mungu.akitie.nguvu
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 13 күн бұрын
Kwaiyo hizo sadaka umeona uwape bodaboda wenye kipato kuliko kuwapa wasio jiweza Kaya maskini, magereza na hospitalini
@bobdelwinsky9363
@bobdelwinsky9363 13 күн бұрын
Msaka tonge muhuni na Mhuni makini
@lickumikidadi7630
@lickumikidadi7630 10 күн бұрын
Aaaminaaaa
@R1Lifestyle-f6n
@R1Lifestyle-f6n 13 күн бұрын
huyo jamaa ni sponser😂😂😂
@worth_monkey
@worth_monkey 13 күн бұрын
watuu mbona hamfungukiii akili zenuuu huyu ni tapeliii jamaniii fungukeniiiii
@GislaMushi
@GislaMushi 13 күн бұрын
Amewai kukutapeli Nini?😂
@user-hb7mq8lg9e
@user-hb7mq8lg9e 12 күн бұрын
Tapeli la Kikongo Kawasaidie Congo..Vita ishe..
@Commentsplus
@Commentsplus 12 күн бұрын
Huyu ni muhalifu!!! Ila inabidi uwe na elimu ya #cuba
@mbarukumakakala4895
@mbarukumakakala4895 13 күн бұрын
Uyu ni mkongomani kamata rudisha kwao
@mbarukumakakala4895
@mbarukumakakala4895 13 күн бұрын
Sasa unasema mtu mwenye kitambi hana yesu kwa sababu yesu akuwa na kitambi mbona yesu akuwq na pesa ww pesa unatoa wapi pia yesu akuoa ww kwann uoe umejipiga mkorogo umenyoa wey mmh
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 12 күн бұрын
Kiboko ya wachawi nimependa hilo jina. Wachawi niwakuchapa sana
@KaguluZuu
@KaguluZuu 10 күн бұрын
Nasisi waislam tunawo mataperi kama huyu baba acheni kulaumu ukiristo biblia ilisema manabii feki watajitokeza wakiristo wanaojielewa huwakuti kwa huyu jangiri hata siku moja.sijui serikari iko wapi kanisa uchwara zinajitokeza kila kona imekuwa biashara Kawanunulia police nini?😮
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 12 күн бұрын
Huyu mtu hauhitaji udhahidi kuwa ni muongo huwenda kajijazia misukule pale sisi tunaona ni watu
@democritenzoisaba9117
@democritenzoisaba9117 13 күн бұрын
Nabii yupo vizuri aendereza huduma hiyo haina upinzani?
@YustaMfugale
@YustaMfugale 12 күн бұрын
Pastor anaway yake imetulia awee not this in God's Kingdom 😢
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 13 күн бұрын
Ni mupango wa ubunge
@musamusa6374
@musamusa6374 12 күн бұрын
Watu 70000 unajua ni zaidi ya watu wanaoingia kwa mkapa
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 12 күн бұрын
Mwacheni afanye kazi yake. Msihukumu. Hiyo siyo kazi yetu. Unahukumu kuwa huyu ni tapeli. Je wewe ni nani? Ulishajichunguza tabia yako je upo salama
@irenemuro5077
@irenemuro5077 9 күн бұрын
Jamaa muongo sana, hakuna mwenye ufahamu na uwelewa wa Aliyeumba wote, vyote na yote atakaye mwelewa huyu jamaa inaonyesha dhahiri kuwa yuko nyuma ya Pazia laaa!!!!😏
@user-do1xs4om1b
@user-do1xs4om1b 13 күн бұрын
Ndo maana ccm chama tawala imetulia kwa maana ya kwamba wana muunga mkono huyu jamaa wanapata maslah.
@johnnkelebe7360
@johnnkelebe7360 12 күн бұрын
Natamani niende hata leo kwa huyu nabii.
@GodloveTyoe-fv8or
@GodloveTyoe-fv8or 2 күн бұрын
Kwaio kila mzee ni mchawi selkai usiken uu ni uchochez wa mambo ya kipuz husababisha watu kuja kukosa aman wazee wetu
@ramadhaninyangasa7275
@ramadhaninyangasa7275 13 күн бұрын
Mungu wenu alikua analindwa na panga
@RichVoicetz-z9r
@RichVoicetz-z9r 11 күн бұрын
unakuta limtu lizima limekaa kanisani ni kusema amenii ameniii shenzi na nusu
@CHAMSATV
@CHAMSATV 12 күн бұрын
NENO LANGU ;TUMCHE MUNGU NDIYE ANAYE JUA KESHO YA MWANADAMU
@julianusjameskimodoi4186
@julianusjameskimodoi4186 13 күн бұрын
Wote nyiei ni iwezi tu
@alicesimbeye7978
@alicesimbeye7978 8 күн бұрын
Tunaosoma Comment tujuane
@YunusiAthuman-ep5mc
@YunusiAthuman-ep5mc 12 күн бұрын
Huyu jamaa ni muongo sana anataja namba ukipiga hapokei kumbe wanapangwa wakupokea
@AberhartNdauka-nu3do
@AberhartNdauka-nu3do 11 күн бұрын
We msenge kweli tapeli mkubwa kabsa
@igurusitv6553
@igurusitv6553 12 күн бұрын
Atuambie amepata wapi hela?
@NdekejaKamuli-sh5pe
@NdekejaKamuli-sh5pe 14 күн бұрын
Mmmh mbona kama nimeanza kukuelewa mtumishi
@AbelsonGidion-vo1uj
@AbelsonGidion-vo1uj 13 күн бұрын
Amna k2 apoo
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 12 күн бұрын
Wakristo wenzangu someni biblia. Hawo manabii achanani nao
@barakanatus5676
@barakanatus5676 10 күн бұрын
Uyu jamaa kweli anaongea kweli
@SifuniKasimba
@SifuniKasimba 11 күн бұрын
Wanangu waangamia kwakukosa maalifa somen biblia
@user-nl9xe5bu1x
@user-nl9xe5bu1x 13 күн бұрын
Ile ni pesa Yako au ni , ?
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 14 күн бұрын
Weweunakanisalipi lisilimujuaMungu. namwana waMungu ? Unamuombananikama ndiyo hivyo.
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 11 күн бұрын
Hujui kusoma hata picha huioni
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 12 күн бұрын
😂😂😂😂 Watuwangu wana angamia kwa kukosa maarifa poleni sana kondoo wake
@user-uy5nx1bj5r
@user-uy5nx1bj5r 12 күн бұрын
Hii move mwisho wake tutauona
@RichVoicetz-z9r
@RichVoicetz-z9r 11 күн бұрын
yanii mtu anatoka kongo anakuja Tanzania kuchoma wazee wetu kwamba ni wachawii
@nickb3289
@nickb3289 14 күн бұрын
Koboko ya wachawi
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk 13 күн бұрын
Mjini matapeli ni wengi
@BongoflevaHits
@BongoflevaHits 12 күн бұрын
Tapeli la kikongo
@user-so3gy2io8l
@user-so3gy2io8l 12 күн бұрын
Wanao enda kanisani kwa huyu jamaaaa Hawana akili
@user-gr9kx8hz6t
@user-gr9kx8hz6t 11 күн бұрын
Uwongo una mwisho
@jumarajab5316
@jumarajab5316 13 күн бұрын
mbona anaongea tu bila kuulizwa
@barakamanga5502
@barakamanga5502 12 күн бұрын
Someni bible
@kassimkikwete3357
@kassimkikwete3357 12 күн бұрын
Uyu nae kama wala tu
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 14 күн бұрын
Safi sn umetengeneza urafiki mkubwa mno na bodaboda,
@LuckyTemu
@LuckyTemu 13 күн бұрын
Kumwaga hela ndo kumpa m2 hela😅
@memehhhahshshdhdhd
@memehhhahshshdhdhd 13 күн бұрын
Hivi wachawi ni wazee tu peke yao? Hata watoto,vijana wapo wachawi
@shinshi9696
@shinshi9696 13 күн бұрын
Thank you for this comment aisee. Pastor huyu ni kama anacampaign dhidi ya wazee maskini angekuwa nnchi niliyopo leo hii angelala jela for hateful speech. Pastor amejichubua hadi akili coz he is so stupid. hivi life expectancy ya nnchi maskini na familia maskini ni umri gani. Na wachawi vijana jee?
@deejeydaev
@deejeydaev 13 күн бұрын
Shemasi aliye pauka pauka hahahah
@dianaemmanuel3471
@dianaemmanuel3471 13 күн бұрын
Baba Niko mwanza nataka kuzulumiwa asilimia zangu za uchimbaji wadhahabu Niko mwanza baba nisaidie
@shinshi9696
@shinshi9696 13 күн бұрын
Tafuta mwanasheria haraka na acha kujilengesha laa sivyo utatapeliwa na utalia zaidi. Pole sana
@HangiMakina-wf8hw
@HangiMakina-wf8hw 13 күн бұрын
Mgodi gani huyo kunajamaangu anaweza saidia
@gilliansiara3324
@gilliansiara3324 12 күн бұрын
Wamalize tu,iunamalizaje ni yako
@worth_monkey
@worth_monkey 13 күн бұрын
Tapeliii huyuu hmna kitu hapa
@wizebiligetwaziri5540
@wizebiligetwaziri5540 14 күн бұрын
Alafu utasikia mpuuzi mmoja ana sema unatumika nashetani ukimuuliza ulifunuliwa nanani anakusomea andikotu lisemalo "watajitokeza manabii wauongo " shida yabongo wajuaji wengi
@EllyMoshi-vd9ds
@EllyMoshi-vd9ds 14 күн бұрын
Wewe utafurahishwa😂 tulia na ubishi wako unapenda kuombewa eee
@mobilebeats3086
@mobilebeats3086 14 күн бұрын
Anapenda kuombewa huyo haelewi mtandao unasumbua kama angeielewa biblia asingeongea utumbo uo
@kutailass6671
@kutailass6671 14 күн бұрын
Kwan uongo? Hakuna nabii zama hiz wote matapel tu washirikina tu
@designdesign4426
@designdesign4426 14 күн бұрын
inaonekana akilizako nifupisana naww unategemewa kua nafamilia polesana
@mobilebeats3086
@mobilebeats3086 14 күн бұрын
@@kutailass6671 hayo umesema wewe
@barakamanga5502
@barakamanga5502 12 күн бұрын
Mmmmmmmh
@mulashanibrasio8151
@mulashanibrasio8151 13 күн бұрын
Niçe interview, May God bless you
@emanuelnjiku7354
@emanuelnjiku7354 13 күн бұрын
Sikiliza rafiki katika bwana katika Yesu kristo nikwambie tu dini wala madhehebu sikitu mbele za mungu wetu kilicho bora kati yetu ni kumjua mungu kikamilifu ili katika yeye tumlaki mwokozi mawinguni. Wasikutishe na misaada yao kwa jamiii maana walio wa shetani wanajua kutoa sadaka kwa shetani kuliko hata watu wanao mcha mungu na wanajua kuongea ukiwasikiliza unajua wanaroho wa mungu kumbe ni chenga
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 5 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 11 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 6 МЛН
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 12 МЛН
DUDU BAYA ACHUKIZWA NA KIBOKO YA WACHAWI, ONA AIVYO MUUMBUA
14:43
TAZAMA MAMA ALIYEKUWA AKIMROGA MKWEWAKE AJITOKEZA BAADA YA MAOMBI YA NABII KIBOKO YA WACHAWI
22:06
DUDU BAYA:WANAWAKE NI WACHAFU KAMA MBWA MWENYE FANGASI
4:15
MAMBAZ 24 TV
Рет қаралды 5 М.
Grandma Cat - the Hot Dog Eating Champion #gaming #food #challenge  #cartoon
0:15
Super Emotional Stories
Рет қаралды 8 МЛН
Playing hide and seek with my dog 🐶
0:25
Zach King
Рет қаралды 30 МЛН
Playing hide and seek with my dog 🐶
0:25
Zach King
Рет қаралды 30 МЛН