Shuhurieni umeme au mnafanya sisi hatuna akiri maana mbona mnakata kata umeme hovyo
@masellemaziku10968 ай бұрын
Wimbo mzuri sana sana. Hongereni Polisi wetu
@amanafi12888 ай бұрын
Hii Nchi tuna Vyumaa... Huyuu kama huyu daaa... Dotto uko Juu Mungu akuongoze Inshallah utafika mbalii.
@fundivigaetzchannel18998 ай бұрын
Doto biteko wewe nikiongozi wa kweli kweli mwenye akiri ataelewa ulimanisha nini 🫂
@BeatriceKalembwane8 ай бұрын
Kumbe na wewe Naibu waziri mkuu Huwa unachekeshaga, Yan had Mh. Chalamila hoi😂😂😂
@MacdonaldElifas-xg2rv8 ай бұрын
Hotuba nzuri sana
@BeatriceKalembwane8 ай бұрын
Hongereni Askari wetu
@jameswanyancha59408 ай бұрын
Naibu waziri mkuu unaenda vizuri endelea hivyo hivyo Mungu atakusadia.
@mhenitv8 ай бұрын
Mbona sauti kama ya JPM
@samwelsimon73928 ай бұрын
magufuli pure no blablaaa
@dastanfussy48988 ай бұрын
Wimbo mzur sana
@MACHOYATAI-jk6fu8 ай бұрын
Polisi kwà kubambikia watu kesi MUNGU anawaona
@rizikiabdalla25018 ай бұрын
Uzuri wa mungu anawaonaa viumbe wake wote ukiwemo na ww
@MACHOYATAI-jk6fu8 ай бұрын
Mmeongeza askari wakubambikia watu kesi
@bishopprofvictorchisanga20098 ай бұрын
Naibu Waziri Mkuu; una hekima na akili nyingi sana. Kwasababu WIMBO WA POLISI unawaaoisha wenyewe; na hao maofisa wakafanye hivyo, hasa ktk bio-industrie vya UCHAGUZI; wasielemee Chama kimoja bali wakasimame katikati ili apatikane mshindi wa KWELI, siyo wa UONGO kama kule nyuma tulikotoka. Inauma sana MSHINDWA kutangazwa MSHINDI. Polisi, waoneeni huruma walio wengi.
@noeljuvenalmunishi758 ай бұрын
This man knows how to speech perfect 🙌🙌🙌🤝
@BeatriceKalembwane8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@kikiswahili8 ай бұрын
Kumbe Naibu waziri mkuu ni msimuliaji mzuri kweli
@kikiswahili8 ай бұрын
Weee😂😂😂😂
@asajileraphael19518 ай бұрын
Hekima na busara ndio chachu ya mafanikio yako Mungu akubariki
@MACHOYATAI-jk6fu8 ай бұрын
Watu wakanda ya ziwa tuna akili sana yakuongoza basi tuu waisilamu wanag'ang'ania madaraka
@loishiyesamwel13748 ай бұрын
Huo ubaguzi wa ukanda ndio utawamaliza.
@elipidhugotesha19098 ай бұрын
Hatuongoz kwa ukabila masuala aya Nyerere.aliyapiga vita sana
@RamadhaniLukambuzi8 ай бұрын
Uongozi na Uislamu ni mambo mawili tofauti,kwani Rais kajenga Msikiti Ikuru?au unamaanisha nini?Mama Samia ni Rais wa Tanzania kwa mujibu wa katiba yetu,kasome katiba yetu sio unaleta maneno ya kuwagawa Watanzani Kikanda,Kikabira na Kidini kwa tangu nchi hii ipate uhuru Marais wote waliopita wote walikuwa Waislamu?Nduniani kote kumejaa watu wenye akili nyingi sana,maarifa mengi sana hata hapa nchini hivyo hivyo kila Mkoa wapo watu wazuri sana,waaminifu sana na wana sifa za uongozi lakini sio kila mtu anapata nafasi ya kuwa Rais kwa sababu ya dini yake au kabira lake au sura yake,kumpata kiongozi kama huyo ni utaratibu maalum kupitia kwenye Chama chake na kadharika sio kama unavyofikiri Wewe na akili zako.