Hapo kweli jicho la Rais liliona mbali na kumpa Biteko hii Wizara naamini mambo yakiendelea hivi tutaondokana kbsa na hizi shida zilizopo kwenye hii Wizara -Biteko ni Jembe!!
@geey7893
Makamba aliwekwa akaanza wizii. Sahiz mwenzie anamuonyesha kazi. Saafi. Kanda ya Ziwa ndio inatoa Viongozi. Sio waswahili
@chrissymarcus5051
Umeme haujawahi kutolewa bure. Watanzania wamelipia bill za umeme miaka yote. Kwann hamfanyi regular maintenance au kuondoa miundombinu iliyochoka???
@rehemakayuga7051
Unastahili Kuwa Mkuu Wa Nchi Ajaye Maana Kila Nikikuona Na Kukusikiliza Naona Wewe Unaweza Kuwa Mtetezi Wawanyonge Mark My Words Awamu Ya 7 Ni Ya Kwako Biteko