Jamaniiii, mimi nilikua sijawahi kukumbuka kumshukuru Mungu kwa kuniumba mwanadamu!! na kunipa akili timamu nk... Hapa baba anatufundisha jambo kubwa sanaaa, kushukuru..na ndani ya shukrani ndiko amepata huu umri, baraka na kibali cha kukubalika na wengi... Ee Mungu nijalie moyo wa shukrani, nikushukuru kwa kila jambo 🙏🙏 pumzi, ufahamu ,kuona, kusikia, kutembea na kila kitu🙏🙏🙏🙏😭
@andulilembwile62714 ай бұрын
Mheshimiwa hayati Rais Ali Hasan Mwinyi ni Powerful wonderful Fantastic Alikuwa mwema sana Mkweli sana Mwaminifu sana Mkarimu sana tulipo mtembelea kwake. Mara kadhaa na Rafiki yangu Apostle Onesmo Ndegi Alikuwa baba kwelikweli Mzazi mwenye huruma kwelikweli Mcha Mungu kwelikweli Bwana Ametoa Bwana Ametwaa jina lake Libarikiwe Ayubu 1 : 21 Mimi Rev.Andulile Mbwile.
@renatusmgongo40834 ай бұрын
😢😢😢3
@jebellwallace3509 Жыл бұрын
Wooow anaona bila ya miwani mashallah,Allah akuhifadhi.
@PeterKive4 ай бұрын
Tuna toa poleni sote Mombasa Kenya na nzanzibaa na Tanzania Barra Thanks 👍 All nice ni peter lungalunga
@RioIpo3 жыл бұрын
Ana visa huyu mzee hahaha nampenda sana Wallah
@leodegarfoyanshaw7111 Жыл бұрын
Jamani huyi Mzee Wetu kipenzi nionavyo atafaidi maisha duniani na mbinguni, Ni mtu wa haki, mkweli, mwadilifu, mcha Mungu, anahekima, upendo na mwenye elimu kubwa. Mungu ambariki Mara dufu
@user-zt6re1dr5f4 ай бұрын
Mungu amlipe kwa mema aloyafanya,kwa kua ni binadam bc Kuna siku alikiuka Allah amsamehe Insha Allah
@abuusufian65063 жыл бұрын
My Allah bless you mzee wetu kipenzi ❤️💕❤️💕❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mbwawafillingstation4 ай бұрын
Lala salama Babu Mungu akusamehe pale ulipo teleza akupe pepo ya Daraja la juu
@alisenipeter43073 жыл бұрын
Tunakupenda Sana Mzee wetu unajitahidi Sana kusoma kwaumri wako umejitahidi Sana babu yetu
@lucasmfaume45353 жыл бұрын
Hongera sana mh,Raisi mstafu mh, Mwinji.kweli Mungu akujalie maisha marefu zaidi.
@blueeyes59523 жыл бұрын
Ukiwa na roho nzuri na kunyamaza basi utaishi miaka mingi, maman Samia uko na bahati sana mtoto wa mwinyi ni rafiki yako tena raisi , muchape kazi na kufukuza wazungu wale wanaoiba mali ya nchi.
@allyfutto87633 жыл бұрын
Samahani ila malikia wetu makadirio ya umri wa mwinyi ni zaidi ya 100 inshallah kheri 🤲🏻🤲🏻🤲🏻💪🏻🇹🇿
@michaelkessy57403 жыл бұрын
Mwinyi kwa umri anasoma mia na point na bado ana nguvu sana.
@abdulmalickupete90153 жыл бұрын
97
@masalakulwa76013 жыл бұрын
@@michaelkessy5740 ulimzaa wewe
@rizikibakar31863 жыл бұрын
May katimiza 97
@giztony20095 ай бұрын
Wonderful! Kwenye huo umri anasoma bila miwani
@aminaabdallah77023 жыл бұрын
Mungu yakuepushe nakorona unanza kukohoa sababu umevaa barakoa mh Abdallah mwinyi
@allyfutto87633 жыл бұрын
Mashaallah kamanda hata miwani havai kusoma, huyu inshallah zaidi ya miaka 100 sababu ni Mkakamavu sana maungu ampe umri mrefu zaidi Aamin 🤲🏽 🤲🏽🤲🏽💪🏽🇹🇿
@rehemadaudi43904 ай бұрын
Kweli Baba Mungu kukumiminia Baraka tele
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Anasoma bila miwani,,,,hongera zake!!
@felixmubalama76713 жыл бұрын
Pia nimejiswali hivo
@imelidamfikwa79542 жыл бұрын
Nami nimejiuliza,more than 90
@hidayahassan6934 ай бұрын
ALLAH AMPE KAULI THABIT,INNALILLAH WAINAILAYH RAJIUN.
@michaelndilima62106 ай бұрын
Mimi huwa nikiwaona wanawake namkumbuka mwenyezi mungu kwa furaha.
@michaelndilima62106 ай бұрын
Namshukuru pia sana sana mwenyezi mungu kwa kutumbia mwanawake ili tupate furaha katika dunia.
@rukiamwinyihija78494 ай бұрын
Ni neema juu ya neema,mungu amrehemu mzee wetu na amlipe pepo ya daraja la juu.
@theceefamily77643 жыл бұрын
HBD TR.Raisi Mzee Mwinyi Mungu azidi kukulinda,na pia pongezi kwa kitabu chako💪❤️🔥🌞🙏🇰🇪.
@oman77103 жыл бұрын
Masha Allah Allah akuhifadhi mzee wetu.
@AbdulGermany2103 жыл бұрын
Wewe ni mbunge kumbuka Kisha una baba raisi mstaafu, una Kaka raisi dah, hii dunia Haina usawa, tutafute pesa aisee watoto wetu wasome
@kevoolymo4647 Жыл бұрын
Iyo roho mbaya tafuta elaa
@leodegarfoyanshaw7111 Жыл бұрын
Pamoja na shule lazima baraka za Allah ziwepo, na baraka huja kwa kutenda mema
@mahadmaxamed84523 жыл бұрын
Maa shaa allah I love him my former president Mzee Rukhsa may allah SWT bless you Mzee Rukhsa kama Leo wazalendo wako matajiri wengi sababu yake mzee Ruksa best leader in Tanzania former president of tanzania ali hassan mwinyi long life in shaa allah I wish you all the best
@salumshaib25283 жыл бұрын
Hapa kazi tuu""kwakweli marehemu aliitendea haki kauli mbiu yake kwa hio tunaikumbusha serikali usimamizi na ufuatiliaji ndio siri ya mafanikio ya utekelezaji wa miradi mbali mbali ya ya uma,kazi iendeleee
kwani umelazinishwa kuvaa afya yako yakuiangalia ni wewe sasa wewe inakukera nini
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Mama kasema,
@barakabaraka92903 жыл бұрын
Kweli
@salimalaquimane26403 жыл бұрын
Huyu mma ana tengeneza mazingira ya kuleta chanjo
@jumakapilima72954 ай бұрын
"Njoo kijana wangu, maliza kwa niaba yangu"-
@diyembarak55064 ай бұрын
One love mapenzi ya hali ya juu
@mustajany6893 жыл бұрын
Mungu akubariki mzee wangu
@user-if8mb3xo8h6 ай бұрын
Naskitika sana baadh ndugu zake Awana kazi.watu wa pembeni wanapewa kazi.amkeni Mzee watu wa pwani jamani
@wasemeabdallah76893 жыл бұрын
Msomi wa kwanz asietumia miwani mashallah mzee Mwinyi
@kiri58073 жыл бұрын
munafanya nicheke mukimshangaa kuwa hatumii miwani .
@wasemeabdallah76893 жыл бұрын
@@kiri5807 kwa umri huo me nastaajabu na kumsifu cjui anakula vyakula gani😂
@kiri58073 жыл бұрын
@@wasemeabdallah7689 sasa unastaajabu kupata huo umri au vipi?
@wasemeabdallah76893 жыл бұрын
@@kiri5807 kutokutumia miwani binafsi nmempenda bure cjawah ona msomi mweny umri kama huo akisoma bila miwan
@kiri58073 жыл бұрын
@@wasemeabdallah7689 sasa siku hizi kuna lense . mimi mamaangu mtu mzima lakini havai miwani ila ana hizo lenses. inakuwa ni glass inavishwa kwenye kiduara cheusi na inakuwa chini ya ile skin ya jicjo kwa hiyo ni surgery . ikisha kuekwa hiyo imetoka tayari umevaa miwani . sasa naye atakuwa ni jivyo.
@nurasam54754 ай бұрын
Quran inasaidia uono wa macho vizuur maashaAllah
@michiali98143 жыл бұрын
Mi mkenya ila nikimuona huyu mzee nafurahi vibaya love u more Allah akupe umri mrefu jamani
@mamachris68113 жыл бұрын
Mzee mcha Mungu,mpole,muadilifu
@michiali98143 жыл бұрын
@@mamachris6811 Allah atasimama na yeye na kizazi chake
@sophiarashid51523 жыл бұрын
Tunakupend pia mkenya
@michiali98143 жыл бұрын
@@sophiarashid5152 asante undugu daima
@marykarebeti94103 жыл бұрын
Kenyans you are the best neighbous. Tz we love you too.
@theteacherchance67503 жыл бұрын
"umri mrefu, uzima wa mwili na akili iliyo timamu."
@kiri58073 жыл бұрын
huyo nani ?
@salmahalfani63073 жыл бұрын
@@kiri5807 Ali Hassan Mwinyi. Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
@johnkerrysibomana90623 жыл бұрын
Huyu ni baba yake Rais wa Zanzibar kwasasa Dr Mwinyi?au nimekosea
@fatmarashid20663 жыл бұрын
Amin Mimi na uzazi wangu
@shamomar6293 жыл бұрын
@@johnkerrysibomana9062 ndio
@warakawayohana28963 жыл бұрын
Mzee Mwinyi alimpenda sana Magufuli
@kiri58073 жыл бұрын
kiasi ampende kamuhonga mwanawe uraisi .
@warakawayohana28963 жыл бұрын
@@kiri5807 Husagi la kusema
@meshackngaboss12363 жыл бұрын
Ni kweli kabisa alimpenda sana inaonekana utendaji wake ulimfurahisha
@kiri58073 жыл бұрын
@@meshackngaboss1236. ndio hawakuthubutu kumkosoa
@alexlingwendu67803 жыл бұрын
Duuu Barakoa Kama Zoote.Angelikuepo JPM tusingeona Hiyo mibarakoa
Hivi awamu ya tano mlikuwepo au nawafananisha? Viziba mdomo?Mnalazimisha Corona ipo kwa nguvu?Mungu tutetee watanzania.Pumzika kwa amani Magufuli, tumeonja asali mkitulisha pilipili hatuli
@masalakulwa76013 жыл бұрын
Acha wajikinge...kama vip mfate mwendazake
@michaelndilima62106 ай бұрын
Tunakushuru mungu wetu wa haki na upendo kutuumbia mzee huyu katika nchi yetu ya tanzania.
@makulaikuku69093 жыл бұрын
Rip jpm kweli uliipenda lugha yetu kiswahili.na leo umetajwa😭
@yahayaomary56393 жыл бұрын
🤮🤮🤮
@ziadayasin7114 ай бұрын
Innalillah waina lillah rajuuni Allah amsamehe makosa
@sharifaabdullah68253 жыл бұрын
Masha allah babu yetu
@mawananasoro44053 жыл бұрын
.mungu tunamuomba tuwekee mzee wetu tunajivunia sana 😍😍😍😍😍
@mjsaidkeya8223 жыл бұрын
MashaAllah
@duniawadunia48243 жыл бұрын
Masha"Allah
@muhammednassor35694 ай бұрын
Mashaallah Mashaallah hadithi mzuri
@abdulkhalim55643 жыл бұрын
Long Live Baba Mwinyi Ur a true Leader.
@hamzamohamedKeslivol3 жыл бұрын
Maashallah haya ndio matunda kuwa na watoto
@bjzee19813 жыл бұрын
Watoto wema na walio lelewa malezi mema. Unaweza kua na watoto wengi na wakawa ni mtihani tu. Uzae kisha usiwape malezi mema huku wafiki ng'ooo. Ni wazazi wangapi sasahivi wako Kama hawajazaa. Wakike makahaba, wakiume majambazi na ma rasta. Wengine ma DJ kwenye ma club .
@fatmarashid20663 жыл бұрын
@@bjzee1981 fact kabisa umeongea
@suleimansadalla5606 Жыл бұрын
Mashallah
@jumakapilima72954 ай бұрын
May his soul rest in peace!!
@peaceisrael81583 жыл бұрын
Babu kaona isiwe tabu🥳🥳
@suleimansadalla5606 Жыл бұрын
Qullu zein tabarak lahh
@jeanmusamba84484 ай бұрын
ikiambiwa mzee yuko ardhini leo,kifo kinaumiza sana,daaaaaaa,mtu mwema sana alikuwa wazee,wetu,wenye maadili ya kiafrika na uungwana wake kama hawa huwezi kuwapata leo,wakati wetu ni watu kujilimbikizia mali ndo kazi.Afrika inaenda pabaya sana
@suleimansadalla5606 Жыл бұрын
Masalam Zen zen aiwaaa
@mwajohari43854 ай бұрын
Allah amrehem mzee wetu
@MTAVASSYTv4 ай бұрын
Kiingereza sio utaalamu hata kidogo bali ni Lugha tu ya mawasiliano, vijana kama wangepewa nafasi ya kusomeshwa utaalamu unaopatikana kwenye masomo ya kitaalamu bila kuhusisha kizungu kwa asilimia 100 tungekuwa mbali sana, serikali oneni haja ya kufanya kingereza kuwa somo tu lenye kujitegemea. Sisi watanzania tunaona namna tunavyokosa utaalamu wa mambo kwaajili ya hii lugha ya kihuni duniani, hatuwezi kukuza uchumi hata tuweze kujitegemea isipokuwa kwa kuitumia lugha ya kiswahili fasaha na kingereza kibakie kusomwa kama somo la mawasiliano tu. Mutaikumbuka hii mukizeeka na vizazi vikihangaika na kujua kujibu masuali tu na kukosa utaalamu wenyewe kwa kushughurishwa na Lugha ya kizungu.
@lesliesolomon36244 ай бұрын
Buriani Mzee Ruksa 🙏
@emmanuelmaganiko72183 жыл бұрын
Sana mzee hapa kazi tu.
@masalakulwa76013 жыл бұрын
Ishakufa hiyo..kazi iendelee
@mgasathedon15793 жыл бұрын
Anamuandaa tena huyo mwanae
@komboabdallah44513 жыл бұрын
Wake wawili ongera mzee
@munamuna74883 жыл бұрын
Niseme au nisome yote nayaona sawa🤣🤣🤣🤣🤣 unanikosha maneno yake
@josephatjordan55603 жыл бұрын
😂😂😂😂
@chantalmulasi56633 жыл бұрын
Dunia niatari sana kabisa mme wa shilole ana vaa miwani Monday to Monday uku mzee mwenye miaka 100 ana soma utuba bila miwani 🤣🤣🤣🤣🤣Asante sana Mzee wetu
@kiri58073 жыл бұрын
jamani hii ni 21 century mambo yakuvaa miwani mbona yamepitiwa na wakati? mamangu ni mtu mzima na anatumia glass zimeekwa ndani ya jicho km lense za warembo ila yake ni yakuonea na kaekewa kwa surgery . hapo hahitaji miwani inawezekana na huyu mzee ni hivyo . si tunamuona mwanawe anavaa miwani ? kwa nini yeye asivae?
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Ushetann na umalaikani tofauti
@MainethWella-zl9ux4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-lr3bv5mo6y6 ай бұрын
Tubia tena allah akusameh
@mozasaid38693 жыл бұрын
❤❤❤❤❤
@EshaHamd-ed9yv6 ай бұрын
Hamuwaki Waarabu lakini munatawala utawala uke ule wa Kiarabu wa Kisultan Baba ni Mfalme na watoto ni Wafalme hongereni Watanganyika na Wazanzibar Mapinduzi
@fatumajuma11573 жыл бұрын
Kitabu kimechelewa umri umeenda mengi nadhan kaandkiwa
@AllyMwazoa3 ай бұрын
Mzee mwinyi alikua shekhe alietimia maana ukisoma miaka 15 kwa Hao vigogo alioishi nao kisha ukaishi misri ilipokua Al azhar ya zamani ikimeremeta.Aliweza kuchota mengi.Mola amrehemu
@aminalafaeringaizangaiza6143 жыл бұрын
Uerewa tanzaznia mdogo mabarakoa ya nn Sasa wakati ndo hatarishi
@veronicapeterluvingo458 Жыл бұрын
Kwahio hapa ndio tuone akimaliza ndugu mtu anafata kaka mtu tulitambue hilo zanzibar teari tumeshakua tuna mfalme na sio raisi koo ya mzee mwinyi ndio imesha kabiziwa zanzibar
@kisamurashid3462 ай бұрын
Hapo saw
@mwajohari43854 ай бұрын
Amenifunsiaha kitu mzee,kwanza amaniamsha mwenye dini
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Hv wajumbe mnajua km ndo tunaagwa hvo km mkapa alikiandka hvhv akakzndua akafark cjui itakuaje
@auntdorah9141 Жыл бұрын
Mungu azidi kukutunza baba yetu, mzee mwenye hekima zake, na ulikua kiongozi mzuri.
@mathewungani97243 жыл бұрын
Kibabu Mwinyi
@daviddominick52744 ай бұрын
Dah
@abednego38763 жыл бұрын
Yamevaa mabarakoa yamekua kama makima.
@kiri58073 жыл бұрын
nyinyi waTzn muwajinga sana , huwezi kuwaita watu makima kwa kujikinga afya zao . hizo dharau ndio zilompata Magu akafa corona wacheni dharau zenu hizo wewe unaonekana ndio wale miongoni mwa wanyonge
@azizimangara90244 ай бұрын
😂😂😂
@bjzee19813 жыл бұрын
Yani uki zeeka unakua na vituko Kama utotoni
@issazakaria8633 жыл бұрын
Mzee Mwinyi maisha malefu
@makulaikuku69093 жыл бұрын
Mmhh barakoa
@happinessmwenda27733 жыл бұрын
WANA BAHATI NYUMBA NZIMA VIONGOZI.
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
I wish mama akimaliza aje mwinyi mtt
@aminaabdallah77023 жыл бұрын
Vaeni barakoa neupe au zavitambaa lakini hizo za bluu ziacheni kabsa pili muendelee kupika majungu kunwa chai ya tangawizi mdarasini lemon karafuu kila wakati
@nohatredbutlove57863 жыл бұрын
Whats wrong with the blue ones? 😅😅😅
@nohatredbutlove57863 жыл бұрын
And you really think that those made from fabric are more effective than approved surgical masks? 😅😅😅
@damariszuckschwert94893 жыл бұрын
Jinga kubwa
@ahz69073 жыл бұрын
Mediocrity at its best
@michiali98143 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 musimuite kubwa jinga jamani anayajuwa huyo mmmmmm
@gaitanokamage73663 жыл бұрын
Hana hata miwani safi sana
@veronicapeterluvingo458 Жыл бұрын
Tuamkeni Tuamkeni
@burundishallsmile1day1093 жыл бұрын
💞👍🏾
@upendohalisi57633 жыл бұрын
Mmh hivi barakoa imekuwaje ndo kusema corona imekuja kwa upya au, tumtegemee aliyetuumba jamani mbona twarudi misri??
@giztony20095 ай бұрын
Acha kukarili korona imekuwepo tangu zamani
@angellomarcel56773 жыл бұрын
Ombeni Sefue OYEEEEEEE
@mbarakaiddi82093 жыл бұрын
Kimejaa hekma kitabu hiki na maneno matam
@rithadonatus81104 ай бұрын
Pumzika kwa amani Babu
@abdulkhamis11703 жыл бұрын
Hayo mabarakowa ya nini hukiandikiwa kufa na corona utakufa tumtegemee mungo tu ndiyo mwenye kutuokowa sisi uswazi tunapeta tu
@munamuna74883 жыл бұрын
Mashallah Allah azidi kukupa umri mlefu zaidi
@habibajuma24443 жыл бұрын
Km mnajua kuna mungu barakooa yanini
@idanysedrc12004 ай бұрын
Pumzika Kwa amani Babu yetu
@aminaabdallah77023 жыл бұрын
Barakowa za bluu sinzuri zina wadudu na sumu ya korona ndani yake kwahio acheni kuvaa barakowa hizo za bluu
@wilikinsmauti55733 жыл бұрын
Rubbish
@damariszuckschwert94893 жыл бұрын
Jinga kubwa
@Views-mf8ir3 жыл бұрын
Nani kakujaza ujinga huo ..!!?? Au umetumia kipimo gani kulitambua ilo ..!!??
@junioryasin53063 жыл бұрын
@@wilikinsmauti5573 hahaha babako ni mauti
@catherinemuhagama73383 жыл бұрын
Huyu nae Jaman 🙄mbona sisi huku tulko ndo twavaa mda mrefu kwel na hatuumw aisee,
@hamiszali14345 ай бұрын
Mzee kichwa huyu
@andersonmzo58934 ай бұрын
Akutumi miwani kusoma
@japhetdeus34643 жыл бұрын
JPM
@jumakapilima56743 жыл бұрын
😸😹😹
@emmapaul17663 жыл бұрын
Ndoto za wapumbavu ambao bado wako ndoton mwa uwaji
@eyanlenjorin45663 жыл бұрын
Masks in situ.
@bjzee19813 жыл бұрын
Alie zaa wauza unga amekosea wapi
@rizikiabdalla2501 Жыл бұрын
Watt wa mzeee msingi wananizamu sana hata wajukuu zake hawana majivuno wala hajioni Allhamdullilah Allah wazidishie
@edinahebel3813 жыл бұрын
Mazingira ya jambo lijalo huwa yanatengenezwa mapema.napata hofu na uvaaji wa barakoa isijekuwa...