JE! UNAWEZA KUTAMBUA MUNGU ANAPO ONGEA NA WEWE? KUPATA KITABU KINACHO ONGELEA NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU PIGA SIM NUMBER +255759612430 MAREKANI NA CANADA PIGA +1515 441 4962
Пікірлер: 86
@theresiamwanamkejasiri65103 ай бұрын
Roho yangu ni toleo la zamani😢😢😢😢😢 Baada ya miaka minne nabarikiwa na hili hubiri,hadi nimeogopa,Tangu nimemjua Yesu 2007 labda bado sikumjua Mungu wangu😢😢😢😢😢,Barikiwa Pastor
@edwardmarro9784 жыл бұрын
Machozi yananitoka moyoni Pr somo hili ni kama uliandaa kwa ajiri yangu, Eehh Mungu neema yako ikawe juu yetu na utupe macho ya kiroho katika pendo la Yesu kristo Amen.
@hondenisonmagufulinyabaro39234 жыл бұрын
Mimi pia waimbaji wameguza moyo wangu,, choir gani 👆 hii!! Aliyembinguni hataniacha,,,Oh! My son
@nassorosimende89014 жыл бұрын
Kweli zambi niyakukimbia kabisa
@mamybaby98733 жыл бұрын
Amina
@asharamadhan88064 жыл бұрын
Amina Mchungaji ubarikiwe na MUNGU wa MBINGUNI katika JINA LA YESU maana tunabarikiwa sana kwa NENO LA MUNGU unalo tuletea hakika rinatubadirisha maisha yetu MUNGU akupe afia NJEMA kila siku pamoja na familiya YAKO
@catherinehenryameeen59772 жыл бұрын
Ameeen.Asante Mungu kwa ajiri ya Mchungaji Mbanga.
@pauloropian30934 жыл бұрын
Thanks Uwepo wa mungu hukaa juu ya sifa " may God bless all "
@lenahasantemchungajiauko88114 жыл бұрын
Amina mchungaji nabarikiwa sana.naomba ubarikiwe Kwanza ndo ni fwatie nami.
@mn94844 жыл бұрын
Ni katika roho!! Kila siku najifunza zaidi kumsikiliza Mungu hatua kwa hatua. Mungu akubariki Mchungaji, hapa USA Grace.
@selfaakinyi78244 жыл бұрын
Eeeh mungu wangu , nijalie macho ya rohoni. 🙏
@graceb23983 жыл бұрын
I’m blessed to hear your massages always 🙏
@kakajey68674 жыл бұрын
Pongezi kwangu wa kwanza kukoment
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Hongeraaaaaaa
@kakajey68674 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga asante
@jaredmayaka29932 жыл бұрын
Amen 🙏🙏 Thanks for good song
@zipporahnyanchoka42913 жыл бұрын
Wah am blessed with your preaching,thanks pastor also b blessed
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Blessings to you
@franksikombe98604 жыл бұрын
Tumebarikiwa sana huduma yenu mungu awape uvumilivu muimbe hadi mbinguni by FRANK SIKOMBE-Katavi
@daudnyore46964 жыл бұрын
I hope one day I will talk, with you man of. God,may The Peace of God that passes all. Understanding keep you by the grace of God
@monniekevin93033 жыл бұрын
Amina Amina kweli mchungaji taji yako mbinguni itang'aa Sana.usife moyo chochea injili kabisa wengi wanainuliwa kiroho kupitia Yale maneno Mungu ameweka kwako.kama Mimi nashangaa nikama ndio naanza kusikia maneno ya Mungu Kwa mara ya Kwanza baada ya miaka mingi tangu kuamini.Mungu akubariki Sana.
@maryosoro54974 жыл бұрын
Really mchungaji huwa unanibariki sana sana na mahubiri yako
@roselele3414 жыл бұрын
Amina unanifungua kila siku nazidi kuwa na Imani asnt mchungaji mungu akubaliki sana
@maureenjovial60834 жыл бұрын
Amina asante mchungaji nimepata kuchua Mungu n nani.naomba uongozo Wa roho mtakatifu aniwezeshe niskie sauti ya Mungu
@sdawalokole94894 жыл бұрын
Amen,Mungu ni Roho na sisi ni roho pia
@hellenratemo28133 жыл бұрын
Nice message keep it up,I have learned many things from ur sermon pastor, God 🙏 bless you
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@lenahasantemchungajiauko88114 жыл бұрын
Kwaya nzuri sana mmbarikiwe
@mossesjoseph22022 жыл бұрын
Amen.
@janetfrancis71804 жыл бұрын
Amina tunabarikiwa na somo zuri
@petromabagala91864 жыл бұрын
Hii kwaya huwa inanivuta karibu sana na Mungu. Mungu akubariki sana Pr Mmbaga
@KASICHANANDARO-ud1eh11 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji
@anchepto83144 жыл бұрын
Amina tunabarikiwa kwa neno
@cutestpuppies66324 жыл бұрын
Kila mara ninapokusikiliza, ninabarikiwa na kufunuliwa ukweli mpya, Mungu akubariki sana pastor
@teddymagori37792 жыл бұрын
Ubarikiw paster
@user-ps7fy2oj7i2 ай бұрын
Amina
@mathiasfrancis26144 жыл бұрын
Amina barikiwa parsto
@hassanhussein6161 Жыл бұрын
amina sana
@judithcherono25954 жыл бұрын
Amen Mungu ni Roho👏👏
@lightnesslengine74994 жыл бұрын
Mungu akubariki pastor
@magdalenamassangwa-qs3ie8 ай бұрын
Naomba no zako mtumishi
@Patience7637 ай бұрын
Amen Amen mchungaji
@janehlwjn99824 жыл бұрын
Asante kwa mahubiri yako nabarikiwa Sana nkiwa Saudi Arabia napenda Sana mafundisho yako pr ubariwe sana
@kbsclips65154 жыл бұрын
Mchungaji nabarikiwa sana,Mkale Uk hapa
@daviddotto3274 жыл бұрын
Mungu awabariki sana waimbaji wa kwaya hii ya sauti ya jangwani kutoka shinyanga ushirika
@hondenisonmagufulinyabaro39234 жыл бұрын
Mungu akuzaidie ulipo ufanyapo,,,,,Nimejua Choir hii imenitoa jozi kubwa !! Mungu wangu Nani atakuwa juu yangu!!!
@esthersimuli99522 жыл бұрын
Amen
@keziaranga63293 жыл бұрын
Paster ninabrikiwa sana na masomo yako umenifungua sana macho ya rohini
@MTUMISHI-2544 жыл бұрын
Hakika mchungaji masomo yako yananibariki nakunibadilisha Sana nami natumia fursa hii kuwambia watu ile Nuru ninayopata kupitia masomo yako
@akwiliniswai52034 жыл бұрын
Amina sana
@erastomarco80804 жыл бұрын
akwilini swai ubarikiwe sana mtmsh wa Mungu uwa nabarikiwa na mafundisho yako
@akwiliniswai52034 жыл бұрын
@@erastomarco8080 amina
@samsonngweina50483 жыл бұрын
😂😂😂 Amina pastor
@barakachongera97052 жыл бұрын
Hakika nimejua vitu vya thamani Thana"
@dausonmdee43034 жыл бұрын
somo halijaishaaaaaaa
@aurolanyatambe2153 жыл бұрын
Vitabu vyako kwa Zanzibar napataje
@felysytersonduso80644 жыл бұрын
Aminaaa wimbo mxuri
@messagerkambale58302 жыл бұрын
Nina hitaji hiinyimbo ime ni jenga,
@royalpriestsmusic56852 жыл бұрын
AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN
@fredmselle22273 жыл бұрын
Naomba kujua km hicho kitabu kipo moshi
@charleskaselya77444 жыл бұрын
Habari mm sijaelewa hubiri la umiliki, nilikuwa nalisikiliza usiku baadaye nimeikuta inaniambia video hii ni private na naisearch haipo mmeifuta?
@rehemaisaack1728 Жыл бұрын
Hili somo sehemu ya pili yake inayofata naipata wapi nimetafuta humu nimekosa
@patrickemmanuelemmanuel93543 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi wa mungu ninawezaje kupata kitabu chako cha namna ya kusikia sauti ya mungu mm niko sumbawanga namba zangu za simu ni 0757392906 lkn pia ninachangamoto yakufanya maamzi yakuongoka nanilisha muapia mungu kwamba sitarudi tena ktk imani yangu ya zamani yaani imani ya Rc lkn kumekuwa napambano ndani yangu nakati ya watu ambao mmechangia kufungua imani mpya ndani ya roho yangu niww pr mmbanga Lawrence odondi wa kenya mchungaji Emmanuel mwakalinga wa iringa nimewafuatilisana mafundisho yenu
@suzanaagustinookelo49533 жыл бұрын
Lakini picha ya mzungu
@elishashillah97764 жыл бұрын
Hili somo natamani Sana, Kulipata lote, Jamani, naomba nisaidiwe kulipita! Naomba Kama unaweza nitumia ktk Email ni elishashillah139@gmail.com au WhatsApp Number 0767522247 Nisaidie sana
@rosepeter89963 жыл бұрын
AMEN🙏mchugaji mmbaga ninalo swali,sasa nimesikiza mahubiri yaki yakaniguza kweli,hivi ikiwa mimi nim Catholic,na sali kwa rosary,ama kwa kanisa kuna ile picha ya yesu kama amesulubuwa,je nivyema kuviinamia au kuzishududu wakati wakuomba au ni dhambi?.
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Kutoka 20:4,5 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
@rosepeter89963 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga asante sana naona nimeanza kufunguka macho sasa.hili somo la mchungaji nalisikiza like kika siku.limenufunia akili sana.mungu na akubariki pastor 🙏🙏🙏
@waltermakori58554 жыл бұрын
How can i get the song very good song
@daviddotto3274 жыл бұрын
I have ana audio, can we communicate
@waltermakori58554 жыл бұрын
@@daviddotto327 yeah i need it but I don't know how to get it
@daviddotto3274 жыл бұрын
@@waltermakori5855 fall me in what's up
@waltermakori58554 жыл бұрын
@@daviddotto327 +254701506826 WhatsApp number
@hondenisonmagufulinyabaro39234 жыл бұрын
Hii kwaya gani 👆 please?? Niambie Naomba tu
@josephdaudy27664 жыл бұрын
Sauti ya jangwani
@mashaelieazer61204 жыл бұрын
Sauti ya jabgwani from shinyanga Tanzania
@laithvayinga11224 жыл бұрын
Mchungaji naomba nambaako ninashida ...nashukuru kwa masomo
@erickmahindu91983 жыл бұрын
Our father in heaven, means? He's a male
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
No! God is Spirit ( John 4:24),Spirit has no gender