NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU (Mungu anapoongea na wewe)

  Рет қаралды 61,763

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

4 жыл бұрын

JE! UNAWEZA KUTAMBUA MUNGU ANAPO ONGEA NA WEWE?
KUPATA KITABU KINACHO ONGELEA NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU PIGA SIM NUMBER +255759612430
MAREKANI NA CANADA PIGA +1515 441 4962

Пікірлер: 86
@theresiamwanamkejasiri6510
@theresiamwanamkejasiri6510 3 ай бұрын
Roho yangu ni toleo la zamani😢😢😢😢😢 Baada ya miaka minne nabarikiwa na hili hubiri,hadi nimeogopa,Tangu nimemjua Yesu 2007 labda bado sikumjua Mungu wangu😢😢😢😢😢,Barikiwa Pastor
@edwardmarro978
@edwardmarro978 4 жыл бұрын
Machozi yananitoka moyoni Pr somo hili ni kama uliandaa kwa ajiri yangu, Eehh Mungu neema yako ikawe juu yetu na utupe macho ya kiroho katika pendo la Yesu kristo Amen.
@hondenisonmagufulinyabaro3923
@hondenisonmagufulinyabaro3923 4 жыл бұрын
Mimi pia waimbaji wameguza moyo wangu,, choir gani 👆 hii!! Aliyembinguni hataniacha,,,Oh! My son
@nassorosimende8901
@nassorosimende8901 4 жыл бұрын
Kweli zambi niyakukimbia kabisa
@mamybaby9873
@mamybaby9873 3 жыл бұрын
Amina
@asharamadhan8806
@asharamadhan8806 4 жыл бұрын
Amina Mchungaji ubarikiwe na MUNGU wa MBINGUNI katika JINA LA YESU maana tunabarikiwa sana kwa NENO LA MUNGU unalo tuletea hakika rinatubadirisha maisha yetu MUNGU akupe afia NJEMA kila siku pamoja na familiya YAKO
@catherinehenryameeen5977
@catherinehenryameeen5977 2 жыл бұрын
Ameeen.Asante Mungu kwa ajiri ya Mchungaji Mbanga.
@pauloropian3093
@pauloropian3093 4 жыл бұрын
Thanks Uwepo wa mungu hukaa juu ya sifa " may God bless all "
@lenahasantemchungajiauko8811
@lenahasantemchungajiauko8811 4 жыл бұрын
Amina mchungaji nabarikiwa sana.naomba ubarikiwe Kwanza ndo ni fwatie nami.
@mn9484
@mn9484 4 жыл бұрын
Ni katika roho!! Kila siku najifunza zaidi kumsikiliza Mungu hatua kwa hatua. Mungu akubariki Mchungaji, hapa USA Grace.
@selfaakinyi7824
@selfaakinyi7824 4 жыл бұрын
Eeeh mungu wangu , nijalie macho ya rohoni. 🙏
@graceb2398
@graceb2398 3 жыл бұрын
I’m blessed to hear your massages always 🙏
@kakajey6867
@kakajey6867 4 жыл бұрын
Pongezi kwangu wa kwanza kukoment
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 4 жыл бұрын
Hongeraaaaaaa
@kakajey6867
@kakajey6867 4 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga asante
@jaredmayaka2993
@jaredmayaka2993 2 жыл бұрын
Amen 🙏🙏 Thanks for good song
@zipporahnyanchoka4291
@zipporahnyanchoka4291 3 жыл бұрын
Wah am blessed with your preaching,thanks pastor also b blessed
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 жыл бұрын
Blessings to you
@franksikombe9860
@franksikombe9860 4 жыл бұрын
Tumebarikiwa sana huduma yenu mungu awape uvumilivu muimbe hadi mbinguni by FRANK SIKOMBE-Katavi
@daudnyore4696
@daudnyore4696 4 жыл бұрын
I hope one day I will talk, with you man of. God,may The Peace of God that passes all. Understanding keep you by the grace of God
@monniekevin9303
@monniekevin9303 3 жыл бұрын
Amina Amina kweli mchungaji taji yako mbinguni itang'aa Sana.usife moyo chochea injili kabisa wengi wanainuliwa kiroho kupitia Yale maneno Mungu ameweka kwako.kama Mimi nashangaa nikama ndio naanza kusikia maneno ya Mungu Kwa mara ya Kwanza baada ya miaka mingi tangu kuamini.Mungu akubariki Sana.
@maryosoro5497
@maryosoro5497 4 жыл бұрын
Really mchungaji huwa unanibariki sana sana na mahubiri yako
@roselele341
@roselele341 4 жыл бұрын
Amina unanifungua kila siku nazidi kuwa na Imani asnt mchungaji mungu akubaliki sana
@maureenjovial6083
@maureenjovial6083 4 жыл бұрын
Amina asante mchungaji nimepata kuchua Mungu n nani.naomba uongozo Wa roho mtakatifu aniwezeshe niskie sauti ya Mungu
@sdawalokole9489
@sdawalokole9489 4 жыл бұрын
Amen,Mungu ni Roho na sisi ni roho pia
@hellenratemo2813
@hellenratemo2813 3 жыл бұрын
Nice message keep it up,I have learned many things from ur sermon pastor, God 🙏 bless you
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 жыл бұрын
Amen
@lenahasantemchungajiauko8811
@lenahasantemchungajiauko8811 4 жыл бұрын
Kwaya nzuri sana mmbarikiwe
@mossesjoseph2202
@mossesjoseph2202 2 жыл бұрын
Amen.
@janetfrancis7180
@janetfrancis7180 4 жыл бұрын
Amina tunabarikiwa na somo zuri
@petromabagala9186
@petromabagala9186 4 жыл бұрын
Hii kwaya huwa inanivuta karibu sana na Mungu. Mungu akubariki sana Pr Mmbaga
@KASICHANANDARO-ud1eh
@KASICHANANDARO-ud1eh 11 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji
@anchepto8314
@anchepto8314 4 жыл бұрын
Amina tunabarikiwa kwa neno
@cutestpuppies6632
@cutestpuppies6632 4 жыл бұрын
Kila mara ninapokusikiliza, ninabarikiwa na kufunuliwa ukweli mpya, Mungu akubariki sana pastor
@teddymagori3779
@teddymagori3779 2 жыл бұрын
Ubarikiw paster
@user-ps7fy2oj7i
@user-ps7fy2oj7i 2 ай бұрын
Amina
@mathiasfrancis2614
@mathiasfrancis2614 4 жыл бұрын
Amina barikiwa parsto
@hassanhussein6161
@hassanhussein6161 Жыл бұрын
amina sana
@judithcherono2595
@judithcherono2595 4 жыл бұрын
Amen Mungu ni Roho👏👏
@lightnesslengine7499
@lightnesslengine7499 4 жыл бұрын
Mungu akubariki pastor
@magdalenamassangwa-qs3ie
@magdalenamassangwa-qs3ie 8 ай бұрын
Naomba no zako mtumishi
@Patience763
@Patience763 7 ай бұрын
Amen Amen mchungaji
@janehlwjn9982
@janehlwjn9982 4 жыл бұрын
Asante kwa mahubiri yako nabarikiwa Sana nkiwa Saudi Arabia napenda Sana mafundisho yako pr ubariwe sana
@kbsclips6515
@kbsclips6515 4 жыл бұрын
Mchungaji nabarikiwa sana,Mkale Uk hapa
@daviddotto327
@daviddotto327 4 жыл бұрын
Mungu awabariki sana waimbaji wa kwaya hii ya sauti ya jangwani kutoka shinyanga ushirika
@hondenisonmagufulinyabaro3923
@hondenisonmagufulinyabaro3923 4 жыл бұрын
Mungu akuzaidie ulipo ufanyapo,,,,,Nimejua Choir hii imenitoa jozi kubwa !! Mungu wangu Nani atakuwa juu yangu!!!
@esthersimuli9952
@esthersimuli9952 2 жыл бұрын
Amen
@keziaranga6329
@keziaranga6329 3 жыл бұрын
Paster ninabrikiwa sana na masomo yako umenifungua sana macho ya rohini
@MTUMISHI-254
@MTUMISHI-254 4 жыл бұрын
Hakika mchungaji masomo yako yananibariki nakunibadilisha Sana nami natumia fursa hii kuwambia watu ile Nuru ninayopata kupitia masomo yako
@akwiliniswai5203
@akwiliniswai5203 4 жыл бұрын
Amina sana
@erastomarco8080
@erastomarco8080 4 жыл бұрын
akwilini swai ubarikiwe sana mtmsh wa Mungu uwa nabarikiwa na mafundisho yako
@akwiliniswai5203
@akwiliniswai5203 4 жыл бұрын
@@erastomarco8080 amina
@samsonngweina5048
@samsonngweina5048 3 жыл бұрын
😂😂😂 Amina pastor
@barakachongera9705
@barakachongera9705 2 жыл бұрын
Hakika nimejua vitu vya thamani Thana"
@dausonmdee4303
@dausonmdee4303 4 жыл бұрын
somo halijaishaaaaaaa
@aurolanyatambe215
@aurolanyatambe215 3 жыл бұрын
Vitabu vyako kwa Zanzibar napataje
@felysytersonduso8064
@felysytersonduso8064 4 жыл бұрын
Aminaaa wimbo mxuri
@messagerkambale5830
@messagerkambale5830 2 жыл бұрын
Nina hitaji hiinyimbo ime ni jenga,
@royalpriestsmusic5685
@royalpriestsmusic5685 2 жыл бұрын
AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN
@fredmselle2227
@fredmselle2227 3 жыл бұрын
Naomba kujua km hicho kitabu kipo moshi
@charleskaselya7744
@charleskaselya7744 4 жыл бұрын
Habari mm sijaelewa hubiri la umiliki, nilikuwa nalisikiliza usiku baadaye nimeikuta inaniambia video hii ni private na naisearch haipo mmeifuta?
@rehemaisaack1728
@rehemaisaack1728 Жыл бұрын
Hili somo sehemu ya pili yake inayofata naipata wapi nimetafuta humu nimekosa
@patrickemmanuelemmanuel9354
@patrickemmanuelemmanuel9354 3 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi wa mungu ninawezaje kupata kitabu chako cha namna ya kusikia sauti ya mungu mm niko sumbawanga namba zangu za simu ni 0757392906 lkn pia ninachangamoto yakufanya maamzi yakuongoka nanilisha muapia mungu kwamba sitarudi tena ktk imani yangu ya zamani yaani imani ya Rc lkn kumekuwa napambano ndani yangu nakati ya watu ambao mmechangia kufungua imani mpya ndani ya roho yangu niww pr mmbanga Lawrence odondi wa kenya mchungaji Emmanuel mwakalinga wa iringa nimewafuatilisana mafundisho yenu
@suzanaagustinookelo4953
@suzanaagustinookelo4953 3 жыл бұрын
Lakini picha ya mzungu
@elishashillah9776
@elishashillah9776 4 жыл бұрын
Hili somo natamani Sana, Kulipata lote, Jamani, naomba nisaidiwe kulipita! Naomba Kama unaweza nitumia ktk Email ni elishashillah139@gmail.com au WhatsApp Number 0767522247 Nisaidie sana
@rosepeter8996
@rosepeter8996 3 жыл бұрын
AMEN🙏mchugaji mmbaga ninalo swali,sasa nimesikiza mahubiri yaki yakaniguza kweli,hivi ikiwa mimi nim Catholic,na sali kwa rosary,ama kwa kanisa kuna ile picha ya yesu kama amesulubuwa,je nivyema kuviinamia au kuzishududu wakati wakuomba au ni dhambi?.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 жыл бұрын
Kutoka 20:4,5 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
@rosepeter8996
@rosepeter8996 3 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga asante sana naona nimeanza kufunguka macho sasa.hili somo la mchungaji nalisikiza like kika siku.limenufunia akili sana.mungu na akubariki pastor 🙏🙏🙏
@waltermakori5855
@waltermakori5855 4 жыл бұрын
How can i get the song very good song
@daviddotto327
@daviddotto327 4 жыл бұрын
I have ana audio, can we communicate
@waltermakori5855
@waltermakori5855 4 жыл бұрын
@@daviddotto327 yeah i need it but I don't know how to get it
@daviddotto327
@daviddotto327 4 жыл бұрын
@@waltermakori5855 fall me in what's up
@waltermakori5855
@waltermakori5855 4 жыл бұрын
@@daviddotto327 +254701506826 WhatsApp number
@hondenisonmagufulinyabaro3923
@hondenisonmagufulinyabaro3923 4 жыл бұрын
Hii kwaya gani 👆 please?? Niambie Naomba tu
@josephdaudy2766
@josephdaudy2766 4 жыл бұрын
Sauti ya jangwani
@mashaelieazer6120
@mashaelieazer6120 4 жыл бұрын
Sauti ya jabgwani from shinyanga Tanzania
@laithvayinga1122
@laithvayinga1122 4 жыл бұрын
Mchungaji naomba nambaako ninashida ...nashukuru kwa masomo
@erickmahindu9198
@erickmahindu9198 3 жыл бұрын
Our father in heaven, means? He's a male
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 жыл бұрын
No! God is Spirit ( John 4:24),Spirit has no gender
@roselele341
@roselele341 4 жыл бұрын
Uku sijayajua makanisa yp ila sijui yapo wapi
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 4 жыл бұрын
Uko wapi
@roselele341
@roselele341 4 жыл бұрын
Niko Oman
@kusakabuga282
@kusakabuga282 4 жыл бұрын
Fatilia tu kwa mtandao kila Siku, kila sabato
@aurolanyatambe215
@aurolanyatambe215 3 жыл бұрын
Amina
@monicalaizer7596
@monicalaizer7596 10 ай бұрын
Amen
@maureenkemei9254
@maureenkemei9254 4 жыл бұрын
Amen
LAZIMA UTAMBUE HILI KABLA YA KUBARIKIWA SEH. A
43:59
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 29 М.
IMANI LAZIMA IWE NA SIFA HIZI
1:07:32
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 44 М.
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 78 МЛН
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37
UBATIZO WA ROHO MTAKATIFU SEHEM YA PILI
56:49
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 14 М.
Namna ya kurejesha Vitu/Afya/Kazi/Mali zilizopotea
47:22
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 44 М.
NGUVU YA MSALABA WA KRISTO MAISHANI || PR. DAVID MBAGA
51:52
Pizzo Online TV
Рет қаралды 14 М.
KUISIKIA SAUTI YA MUNGU
37:55
Baraka Malachi
Рет қаралды 4,2 М.
A1: Jinsi Ya Kusikia Sauti Ya Mungu | Mwalimu Huruma Gadi - 13.06.2022
25:04
Mwalimu Huruma Gadi
Рет қаралды 4,9 М.
MUNGU ATAINGILIA KATI MAMBO YAKO? | PR.DAVID MMBAGA -
1:23:37
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 48 М.
JINSI YA KULITUMIA NENO LA MUNGU ILI LIKUPE MATOKEO  || PASTOR GEORGE MUKABWA || 14/04/2024
3:47:36
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 23 М.
HAYA NDIO MADHARA YA KUKOSA IMANI (PR DAVID MMBAGA)
1:10:16
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 36 М.
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН