Wow pr. Mbaga unanibariki sana, najitahidi kuyaishi mafundisho Yako, 1 ya faida niliyoipata, nilikuwa na vidonda vya tumbo kwisha, maumivu ya uti wa mgongo kwisha, kwa kufyeka tu mazingira ya kanisa na kuyasafisha Kila j. Pili. Barikiwa sana
@barnnettarus167227 күн бұрын
Kwa namna gani vidonda vya tumbo zilipona ndugu? . Nielimishe natamani kupata nafuu pia
@rayman1112 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza nimepata live Hapa kutoka Australia. Nabarikiwa sana , Mungu aendelee kukuinua ktk viwango vya juu zaidi. Ubarikiwe na Bwana mtumishi
@PresciousGold2 ай бұрын
Amen amen nimebarikiwa sana mtumish mungu aendelee kukupa nguvu 🙏🙏🙏
@maureenmgeni2 ай бұрын
Nimebarikiwa sana kwa somo hili. Sifa na Utukufu ni kwa Mungu Baba Mwenyezi mwenye Upendo usio kifani kwani hutusamehe makosa yetu na kututakasa dhambi zetu kwa Damu Ya Yesu KRISTO BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU. AMINA.
Ubarikiwe mchungaji. Nilikutana na mhadhiri ambaye hats sauti yangu alikuwa hataki kuisikia. Uifanya mawasilisho ya kazi ukisoma sentensi mbili anakuambia stop mpe mwingine .Marks zake Sasa Dio usiseme.Nashukuru kwa kufunuliwa hili.Mungu nipiganie
@amosmonary2 ай бұрын
Hili nalo ni la kwangu , for sure God is working through you Mchungaji. I have really struggled to finish my education but still in vain ,
@mariamaswani8322 ай бұрын
Nakushukuru pastor kwa mafundisho yako. Fundisho hili limenigusa sana linahusu maisha yangu na family yangu naomba uniombee nitoke kwenye roho za mizimu mungu akubariki sana
@HildaNyabate-vd2br13 сағат бұрын
I have been blessed so much l am listening from Kenya Nakuru county
@phanemochache3522 ай бұрын
This is powerful! Following from Nairobi.
@elienew37882 ай бұрын
Amina amina Mungu azidi kukutia nguvu Mtumishi wa Mungu na barikiwa sana nkiwa Lebanon
@margaretwanjiru90962 ай бұрын
Kwa kweli umenifundisha mambo mengi Hadi imebadili maisha yangu Barikiwa na bwana
@user-hc4jv8uz5b2 ай бұрын
Hili somo ni la kwangu kabxa.Barikiwa sana pastor wangu.
@williambega78102 ай бұрын
Ubarikiwe pasta nakupenda sana Mungu akuzidishe mara Elfu Elfu
@williamjumbe19882 ай бұрын
Hili SoMo , pastor umeyagusa maisha yangu, Yani ile mtu unachukiwa ukiwa unasoma duhu, mpaka lecture Yuko radhi akuharibie wewe ambae ndo upo chuo mpaka wizarani hili usichomoze maishani, unaweza chukiwa na kila unae kutana nae , tuombee mungu atupe roho ya kibali kukataliwa imetosha, make Vita ni nzito imetutesa miaka pastor,
@rosemutesi662610 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu Nimeenda kukufwatilia sana hivi hivi karibuni, nimejiona kabisa unasema na maisha yangu kabisa Mungu akuongezee upako.
@shaniachanceline27512 ай бұрын
Amen! God is great ❤❤❤❤❤❤❤
@speciozakaloli2 ай бұрын
Imani katika Yesu Kristu
@AchelKwizera2 ай бұрын
Mungu alinde vyombo vyenu iki tuendeley kusikiriza Habari njema ,,mim niko burundi nanijifunza mengi kilakukicha kupitia mahubiri TV, ila natamani siku moja nikutane na pr David Mbaga. Happy sabbath
@user-gx6nk6wg4j2 ай бұрын
Nafurahia kuona kwamba kuna mtu wa nyumbani tunakutania hapa kwenye hii meza kupata maneno ya MUNGU hakika tuzidi kubarikiwa haya maneno akawe na nguvu katika maisha yetu hivyo ile siku itakapo fika tuwe miongoni mwa wale watakae mpokea YESU KRISTO kwa shangwe na furaha tele
@lennyfrank2 ай бұрын
Ameen Ameen
@lilianeerica33182 ай бұрын
Ninaisubiri kwa hamu🙏🙏🙏🙏
@sylviesaidi57402 ай бұрын
Nikumbuke kwamaombi pia pastor 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@MaryWanjiku-tr8ji2 ай бұрын
Pastor Mimi huwanikiomba naongea dimi nsaidia
@sintasamwel947312 күн бұрын
Pastor ubarikiwe zaid Kwa ujumbe huu mzuri wenye kutia nguvu,, naimani kupitia neno hili nimewekwa huru. AMINA
@leahwainaina43962 ай бұрын
Amen
@fatumachagudadui31387 күн бұрын
Najiskia kubarikiwa kupitia somo hili naaamini Mungu anaenda kufungua njia naam naenda kupata ajira serikalini kwa jina la Yesu kristo navunja maagano ya kichawi niliofanya na niliofanyiwa na wazazi wangu kwa waganga wa kienyeji roho ya kukataliwa naikataa katika jina LA yesu kuanzia sasa Mimi ni kiumbe kipya!
@elizabethasha16772 ай бұрын
Niombe Pastor nimefika mwisho naitwa Elizabeth,umekua ukiniombea nashukuru.Mimi ni mkenya. Niombee neema ya Bwana inifunike na Yesu anionekani kwa rehema zake katika ndoa yangu,Watoto wangu na Mume wangu,yaani familia yangu,Atufungue,atuondolee mambo ya giza na kwenye mateka ya shetani. Asante
@user-ns1jw3rl3gКүн бұрын
Shukrani sana kwa mafundiksho hii,inaongezea nguvu
@user-dv2ky6ve7u8 күн бұрын
Mungu akubariki sana pastor umekuwa mbaraka sana kwa watu wengi
@FrenkNgurukah-vi2mc2 ай бұрын
Amina sana mtumishi🎉
@maseaJoe86762 ай бұрын
Asante Yesu Amen Amen Amen 🙌🤲
@user-sr3rn1ty9g2 ай бұрын
Preacher naomba utusaidie kujua nguvu ya msalaba maana 2na struggling katk kujua nguvu ya mungu barikiwa sanaa
@Blop952 ай бұрын
Mambo mazito Sana. Asante Kwa hili neno
@Trizah-254-e2 ай бұрын
AMEN
@mussacharles5311Ай бұрын
MUNGU akubariki sana mtumishi.
@ZaharaKamota2 ай бұрын
Unanibariki sana mtumishi wa Mungu, Mungu akuzidishe
@ambonisefesto14162 ай бұрын
Pr huwa nakukubali sana shuhuda zako huwa zinanipa moto wa imani lakini changamoto yangu kubwa ni magonjwa kwangu na mume wangu na upandewa watoto wangu
@Ungwamissi2 ай бұрын
Amennn❤❤❤
@jeikary87672 ай бұрын
Hii story yko inani furahiaanga sana mungu akubariki
@BonnyErnest14 сағат бұрын
Mungu awabarik nyote
@zilperatieno57229 күн бұрын
Ahsante kwa mafundisho mazuri na ufafanuzi wa maandiko.
@AKAMARUSUBO13 сағат бұрын
Mungu akuKumbuke maana wewe wanena yaliyo sahii
@elizabethmatiko97942 ай бұрын
Nimebarikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏
@BensonMurithi-vr7ii2 ай бұрын
To God be the glory
@MarimaAlez-kc5rj2 ай бұрын
mungu habarikiwe😂 hakubariki nawewe pia hanibariki namimi kwanzia leo Mimi nimushindi wazambi kwanzia sasa Hadi mirere
@rahimajuma53062 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@mlishohadija69232 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana PR
@GastonMunyembabazi-tx1oh27 күн бұрын
Asante kwa mafundisho ya kujenga batu kimbiliya
@ElibarickAllexАй бұрын
thank you lord
@purity1342 ай бұрын
Blessings pastor
@jasuminsele7538Ай бұрын
Nabarikiwa Sana na mafundisho yako wewe ni Mwalimu,Mungu akubariki
@asiri-romy-simba36712 ай бұрын
Hero Wangu ni Jeremiah,the man who was not Afraid.
@user-sj3xu6he5kАй бұрын
Mungu akubariki
@centrinenafula514719 күн бұрын
Amen 🙏
@fatumachagudadui31387 күн бұрын
Hata Mimi natamani Mungu wako awe Mungu wangu
@MarthaTosh2 ай бұрын
Mungo na habariki mtumishi wake,hii ibada ni Zuri hallelujah kwa masihi aliyemtuma
@mahenzosamuelmahenzo73532 ай бұрын
niko kazini lakini nafuatilia mafundishisho yako nabarikiwa sana mungu atubariki sote
@VenerandaKundi-ph4hgАй бұрын
Asante mtumishi wa mungu akubariki na akulinde mafundisho yako safi
@feadamagessa889Ай бұрын
Nashuhudia kuwa Mungu anaendelea taratibu kuingilia mambo yangu
@estershedrack5302 ай бұрын
Grorry to God Ubarikiwe saana pastor
@user-qv4oo6di1d2 ай бұрын
Amina
@zabronemmanuel-eo1om2 ай бұрын
Amina pastor
@jescaissay2871Ай бұрын
Umenisaidia sana mchungaji
@DeborahChristopher-th6nlАй бұрын
Nimebarikiwa sana nimepata kitu hapa
@esthernkwabi16752 ай бұрын
Nimebarikiwa na somo hili BWANA Akubariki sana.
@sthazelallan83922 ай бұрын
Amina sana..nimebarikiwa na mahubiri
@JaluoOderaАй бұрын
MUNGU akubariki sana
@BlaisetajiriTajiri-kg6ji2 ай бұрын
Mungu tu aku bariki pasta
@ElijahMosong2 ай бұрын
Nikumbuke pst kwa maombi biashara yngu iko jini
@YoshuaJoseph22 күн бұрын
Nimebakiwa na mafundisho Yako sana.
@omankadara6418Ай бұрын
Ameen
@maryaugustor69832 ай бұрын
Shalom mchungaji huko ni mbali sasa tutapata je hiyo kitabu mchungaji?
@calvinjoseph2 ай бұрын
Pastor, kwahiyo mpaka wanafunzi wake wote walikimbia 😅
@sylviesaidi57402 ай бұрын
Nime furai san kweli 🎉😂😂😂❤
@JumanneWila2 ай бұрын
😂😂
@lucymwegoha74002 күн бұрын
Samuel
@michealkasyama506516 күн бұрын
Pasta mbaga mmMungu akubariki
@KwihaAthanasАй бұрын
Samweli
@magrethsindabaha1851Ай бұрын
Yohana
@user-zt9fp8cp5s2 ай бұрын
Naitwa imani nko geita umenibarik saana karbu geita kwenye makambi ya mwezi 7 Bomba mbir geita natamani kukuona laiv
@ruthsimon58462 ай бұрын
Namtafuta huyu mchungaji, anapatikana wapi
@MahubiriPrMmbaga2 ай бұрын
Ubarikiwe +255 755 932 283
@danielkkyuma183612 күн бұрын
kidogo pastor, unieleze kwanza hapa kwa haya maelezo: " melkizedek anasemwa kuwa hana wazazi kwa sababu ya ukuhani wake ktk israel na wakati yeye hana histori yoyote ktk ukoo wa walawi ambao ndio makuhani, ndo maana Yesu katajwa kuwa kuhani kama yeye sababu melkizedek alikuwa mtu kawaida aliefanya kazi ya ukuhani kama mlawi na nasaba yake haitajwi ktk orodha ya walawi " . Haya maelezo unayaonaje?