MUNGU ATAINGILIA KATI MAMBO YAKO? | PR.DAVID MMBAGA -

  Рет қаралды 52,975

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

2 ай бұрын

Пікірлер: 100
@stivininjingo504
@stivininjingo504 2 ай бұрын
Wow pr. Mbaga unanibariki sana, najitahidi kuyaishi mafundisho Yako, 1 ya faida niliyoipata, nilikuwa na vidonda vya tumbo kwisha, maumivu ya uti wa mgongo kwisha, kwa kufyeka tu mazingira ya kanisa na kuyasafisha Kila j. Pili. Barikiwa sana
@barnnettarus1672
@barnnettarus1672 27 күн бұрын
Kwa namna gani vidonda vya tumbo zilipona ndugu? . Nielimishe natamani kupata nafuu pia
@rayman111
@rayman111 2 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza nimepata live Hapa kutoka Australia. Nabarikiwa sana , Mungu aendelee kukuinua ktk viwango vya juu zaidi. Ubarikiwe na Bwana mtumishi
@PresciousGold
@PresciousGold 2 ай бұрын
Amen amen nimebarikiwa sana mtumish mungu aendelee kukupa nguvu 🙏🙏🙏
@maureenmgeni
@maureenmgeni 2 ай бұрын
Nimebarikiwa sana kwa somo hili. Sifa na Utukufu ni kwa Mungu Baba Mwenyezi mwenye Upendo usio kifani kwani hutusamehe makosa yetu na kututakasa dhambi zetu kwa Damu Ya Yesu KRISTO BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU. AMINA.
@SamuelMwambene
@SamuelMwambene 2 ай бұрын
Asante kaka pasta Mungu awe pamoja nawe,
@joshuaolomi3762
@joshuaolomi3762 Ай бұрын
Toa sadaka Sasa dadaa tuma hata M pesa
@FiniasEliya-my2zd
@FiniasEliya-my2zd 13 күн бұрын
@@joshuaolomi3762 kwani somo likikubariki nilazima utoe sadaka
@user-tr6vq5ld5o
@user-tr6vq5ld5o 2 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji. Nilikutana na mhadhiri ambaye hats sauti yangu alikuwa hataki kuisikia. Uifanya mawasilisho ya kazi ukisoma sentensi mbili anakuambia stop mpe mwingine .Marks zake Sasa Dio usiseme.Nashukuru kwa kufunuliwa hili.Mungu nipiganie
@amosmonary
@amosmonary 2 ай бұрын
Hili nalo ni la kwangu , for sure God is working through you Mchungaji. I have really struggled to finish my education but still in vain ,
@mariamaswani832
@mariamaswani832 2 ай бұрын
Nakushukuru pastor kwa mafundisho yako. Fundisho hili limenigusa sana linahusu maisha yangu na family yangu naomba uniombee nitoke kwenye roho za mizimu mungu akubariki sana
@HildaNyabate-vd2br
@HildaNyabate-vd2br 13 сағат бұрын
I have been blessed so much l am listening from Kenya Nakuru county
@phanemochache352
@phanemochache352 2 ай бұрын
This is powerful! Following from Nairobi.
@elienew3788
@elienew3788 2 ай бұрын
Amina amina Mungu azidi kukutia nguvu Mtumishi wa Mungu na barikiwa sana nkiwa Lebanon
@margaretwanjiru9096
@margaretwanjiru9096 2 ай бұрын
Kwa kweli umenifundisha mambo mengi Hadi imebadili maisha yangu Barikiwa na bwana
@user-hc4jv8uz5b
@user-hc4jv8uz5b 2 ай бұрын
Hili somo ni la kwangu kabxa.Barikiwa sana pastor wangu.
@williambega7810
@williambega7810 2 ай бұрын
Ubarikiwe pasta nakupenda sana Mungu akuzidishe mara Elfu Elfu
@williamjumbe1988
@williamjumbe1988 2 ай бұрын
Hili SoMo , pastor umeyagusa maisha yangu, Yani ile mtu unachukiwa ukiwa unasoma duhu, mpaka lecture Yuko radhi akuharibie wewe ambae ndo upo chuo mpaka wizarani hili usichomoze maishani, unaweza chukiwa na kila unae kutana nae , tuombee mungu atupe roho ya kibali kukataliwa imetosha, make Vita ni nzito imetutesa miaka pastor,
@rosemutesi6626
@rosemutesi6626 10 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu Nimeenda kukufwatilia sana hivi hivi karibuni, nimejiona kabisa unasema na maisha yangu kabisa Mungu akuongezee upako.
@shaniachanceline2751
@shaniachanceline2751 2 ай бұрын
Amen! God is great ❤❤❤❤❤❤❤
@speciozakaloli
@speciozakaloli 2 ай бұрын
Imani katika Yesu Kristu
@AchelKwizera
@AchelKwizera 2 ай бұрын
Mungu alinde vyombo vyenu iki tuendeley kusikiriza Habari njema ,,mim niko burundi nanijifunza mengi kilakukicha kupitia mahubiri TV, ila natamani siku moja nikutane na pr David Mbaga. Happy sabbath
@user-gx6nk6wg4j
@user-gx6nk6wg4j 2 ай бұрын
Nafurahia kuona kwamba kuna mtu wa nyumbani tunakutania hapa kwenye hii meza kupata maneno ya MUNGU hakika tuzidi kubarikiwa haya maneno akawe na nguvu katika maisha yetu hivyo ile siku itakapo fika tuwe miongoni mwa wale watakae mpokea YESU KRISTO kwa shangwe na furaha tele
@lennyfrank
@lennyfrank 2 ай бұрын
Ameen Ameen
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 2 ай бұрын
Ninaisubiri kwa hamu🙏🙏🙏🙏
@sylviesaidi5740
@sylviesaidi5740 2 ай бұрын
Nikumbuke kwamaombi pia pastor 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@MaryWanjiku-tr8ji
@MaryWanjiku-tr8ji 2 ай бұрын
Pastor Mimi huwanikiomba naongea dimi nsaidia
@sintasamwel9473
@sintasamwel9473 12 күн бұрын
Pastor ubarikiwe zaid Kwa ujumbe huu mzuri wenye kutia nguvu,, naimani kupitia neno hili nimewekwa huru. AMINA
@leahwainaina4396
@leahwainaina4396 2 ай бұрын
Amen
@fatumachagudadui3138
@fatumachagudadui3138 7 күн бұрын
Najiskia kubarikiwa kupitia somo hili naaamini Mungu anaenda kufungua njia naam naenda kupata ajira serikalini kwa jina la Yesu kristo navunja maagano ya kichawi niliofanya na niliofanyiwa na wazazi wangu kwa waganga wa kienyeji roho ya kukataliwa naikataa katika jina LA yesu kuanzia sasa Mimi ni kiumbe kipya!
@elizabethasha1677
@elizabethasha1677 2 ай бұрын
Niombe Pastor nimefika mwisho naitwa Elizabeth,umekua ukiniombea nashukuru.Mimi ni mkenya. Niombee neema ya Bwana inifunike na Yesu anionekani kwa rehema zake katika ndoa yangu,Watoto wangu na Mume wangu,yaani familia yangu,Atufungue,atuondolee mambo ya giza na kwenye mateka ya shetani. Asante
@user-ns1jw3rl3g
@user-ns1jw3rl3g Күн бұрын
Shukrani sana kwa mafundiksho hii,inaongezea nguvu
@user-dv2ky6ve7u
@user-dv2ky6ve7u 8 күн бұрын
Mungu akubariki sana pastor umekuwa mbaraka sana kwa watu wengi
@FrenkNgurukah-vi2mc
@FrenkNgurukah-vi2mc 2 ай бұрын
Amina sana mtumishi🎉
@maseaJoe8676
@maseaJoe8676 2 ай бұрын
Asante Yesu Amen Amen Amen 🙌🤲
@user-sr3rn1ty9g
@user-sr3rn1ty9g 2 ай бұрын
Preacher naomba utusaidie kujua nguvu ya msalaba maana 2na struggling katk kujua nguvu ya mungu barikiwa sanaa
@Blop95
@Blop95 2 ай бұрын
Mambo mazito Sana. Asante Kwa hili neno
@Trizah-254-e
@Trizah-254-e 2 ай бұрын
AMEN
@mussacharles5311
@mussacharles5311 Ай бұрын
MUNGU akubariki sana mtumishi.
@ZaharaKamota
@ZaharaKamota 2 ай бұрын
Unanibariki sana mtumishi wa Mungu, Mungu akuzidishe
@ambonisefesto1416
@ambonisefesto1416 2 ай бұрын
Pr huwa nakukubali sana shuhuda zako huwa zinanipa moto wa imani lakini changamoto yangu kubwa ni magonjwa kwangu na mume wangu na upandewa watoto wangu
@Ungwamissi
@Ungwamissi 2 ай бұрын
Amennn❤❤❤
@jeikary8767
@jeikary8767 2 ай бұрын
Hii story yko inani furahiaanga sana mungu akubariki
@BonnyErnest
@BonnyErnest 14 сағат бұрын
Mungu awabarik nyote
@zilperatieno5722
@zilperatieno5722 9 күн бұрын
Ahsante kwa mafundisho mazuri na ufafanuzi wa maandiko.
@AKAMARUSUBO
@AKAMARUSUBO 13 сағат бұрын
Mungu akuKumbuke maana wewe wanena yaliyo sahii
@elizabethmatiko9794
@elizabethmatiko9794 2 ай бұрын
Nimebarikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏
@BensonMurithi-vr7ii
@BensonMurithi-vr7ii 2 ай бұрын
To God be the glory
@MarimaAlez-kc5rj
@MarimaAlez-kc5rj 2 ай бұрын
mungu habarikiwe😂 hakubariki nawewe pia hanibariki namimi kwanzia leo Mimi nimushindi wazambi kwanzia sasa Hadi mirere
@rahimajuma5306
@rahimajuma5306 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@mlishohadija6923
@mlishohadija6923 2 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana PR
@GastonMunyembabazi-tx1oh
@GastonMunyembabazi-tx1oh 27 күн бұрын
Asante kwa mafundisho ya kujenga batu kimbiliya
@ElibarickAllex
@ElibarickAllex Ай бұрын
thank you lord
@purity134
@purity134 2 ай бұрын
Blessings pastor
@jasuminsele7538
@jasuminsele7538 Ай бұрын
Nabarikiwa Sana na mafundisho yako wewe ni Mwalimu,Mungu akubariki
@asiri-romy-simba3671
@asiri-romy-simba3671 2 ай бұрын
Hero Wangu ni Jeremiah,the man who was not Afraid.
@user-sj3xu6he5k
@user-sj3xu6he5k Ай бұрын
Mungu akubariki
@centrinenafula5147
@centrinenafula5147 19 күн бұрын
Amen 🙏
@fatumachagudadui3138
@fatumachagudadui3138 7 күн бұрын
Hata Mimi natamani Mungu wako awe Mungu wangu
@MarthaTosh
@MarthaTosh 2 ай бұрын
Mungo na habariki mtumishi wake,hii ibada ni Zuri hallelujah kwa masihi aliyemtuma
@mahenzosamuelmahenzo7353
@mahenzosamuelmahenzo7353 2 ай бұрын
niko kazini lakini nafuatilia mafundishisho yako nabarikiwa sana mungu atubariki sote
@VenerandaKundi-ph4hg
@VenerandaKundi-ph4hg Ай бұрын
Asante mtumishi wa mungu akubariki na akulinde mafundisho yako safi
@feadamagessa889
@feadamagessa889 Ай бұрын
Nashuhudia kuwa Mungu anaendelea taratibu kuingilia mambo yangu
@estershedrack530
@estershedrack530 2 ай бұрын
Grorry to God Ubarikiwe saana pastor
@user-qv4oo6di1d
@user-qv4oo6di1d 2 ай бұрын
Amina
@zabronemmanuel-eo1om
@zabronemmanuel-eo1om 2 ай бұрын
Amina pastor
@jescaissay2871
@jescaissay2871 Ай бұрын
Umenisaidia sana mchungaji
@DeborahChristopher-th6nl
@DeborahChristopher-th6nl Ай бұрын
Nimebarikiwa sana nimepata kitu hapa
@esthernkwabi1675
@esthernkwabi1675 2 ай бұрын
Nimebarikiwa na somo hili BWANA Akubariki sana.
@sthazelallan8392
@sthazelallan8392 2 ай бұрын
Amina sana..nimebarikiwa na mahubiri
@JaluoOdera
@JaluoOdera Ай бұрын
MUNGU akubariki sana
@BlaisetajiriTajiri-kg6ji
@BlaisetajiriTajiri-kg6ji 2 ай бұрын
Mungu tu aku bariki pasta
@ElijahMosong
@ElijahMosong 2 ай бұрын
Nikumbuke pst kwa maombi biashara yngu iko jini
@YoshuaJoseph
@YoshuaJoseph 22 күн бұрын
Nimebakiwa na mafundisho Yako sana.
@omankadara6418
@omankadara6418 Ай бұрын
Ameen
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 2 ай бұрын
Shalom mchungaji huko ni mbali sasa tutapata je hiyo kitabu mchungaji?
@calvinjoseph
@calvinjoseph 2 ай бұрын
Pastor, kwahiyo mpaka wanafunzi wake wote walikimbia 😅
@sylviesaidi5740
@sylviesaidi5740 2 ай бұрын
Nime furai san kweli 🎉😂😂😂❤
@JumanneWila
@JumanneWila 2 ай бұрын
😂😂
@lucymwegoha7400
@lucymwegoha7400 2 күн бұрын
Samuel
@michealkasyama5065
@michealkasyama5065 16 күн бұрын
Pasta mbaga mmMungu akubariki
@KwihaAthanas
@KwihaAthanas Ай бұрын
Samweli
@magrethsindabaha1851
@magrethsindabaha1851 Ай бұрын
Yohana
@user-zt9fp8cp5s
@user-zt9fp8cp5s 2 ай бұрын
Naitwa imani nko geita umenibarik saana karbu geita kwenye makambi ya mwezi 7 Bomba mbir geita natamani kukuona laiv
@ruthsimon5846
@ruthsimon5846 2 ай бұрын
Namtafuta huyu mchungaji, anapatikana wapi
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 2 ай бұрын
Ubarikiwe +255 755 932 283
@danielkkyuma1836
@danielkkyuma1836 12 күн бұрын
kidogo pastor, unieleze kwanza hapa kwa haya maelezo: " melkizedek anasemwa kuwa hana wazazi kwa sababu ya ukuhani wake ktk israel na wakati yeye hana histori yoyote ktk ukoo wa walawi ambao ndio makuhani, ndo maana Yesu katajwa kuwa kuhani kama yeye sababu melkizedek alikuwa mtu kawaida aliefanya kazi ya ukuhani kama mlawi na nasaba yake haitajwi ktk orodha ya walawi " . Haya maelezo unayaonaje?
@olphanyamweya3154
@olphanyamweya3154 2 ай бұрын
Shunjaa ni Lazarus
@user-jq4zh1tm3g
@user-jq4zh1tm3g 2 ай бұрын
Naomba.mchungaj.uniombee.vita.nikubw.ninamiaka.kama.nane.sijaenda.nnyumbani.niko.inje.yainchi.siamin.katika.uchawi
@SuzanShayo
@SuzanShayo 15 күн бұрын
MUNGU AKUBARIKI BABA UMEGUSA MAISHA YANGU
@user-pg5kf2ec2i
@user-pg5kf2ec2i Ай бұрын
Nuhu
@Godwin-v6p
@Godwin-v6p 24 күн бұрын
.
@GastonMunyembabazi-tx1oh
@GastonMunyembabazi-tx1oh 27 күн бұрын
Kwanini mataifa inakamatiya kuile kuponya sikuya Sabato kuwa kutosha sheriya ?
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 Ай бұрын
SASA NAULIZA MCHUNGAJI ATA KAMA TUKO MAKANISA YA SANAMU?
@kiungulias
@kiungulias 2 ай бұрын
Mfalme wa salemu bado sija mjua vizuli jamani heb nisaidieni
@leahwainaina4396
@leahwainaina4396 Ай бұрын
Amen
@estergasaya6935
@estergasaya6935 Ай бұрын
Amina
@elizabethgodfreytondo3052
@elizabethgodfreytondo3052 Ай бұрын
Amen
@lulusenzia4807
@lulusenzia4807 2 ай бұрын
Amen
@Calton898
@Calton898 2 ай бұрын
Amen
JIFANYIE TATHMIN- KWANINI HUFANIKIWI? PR. DAVID MMBAGA
1:03:34
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 32 М.
#mahubiri MAISHA YA ANAYE BEBA AGANO |PR.DAVID MMBAGA | SIKU YA 4
1:12:11
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 43 МЛН
NGUVU INAYOZUIA MAFANIKIO YAKO.
54:51
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 160 М.
#LIVE; Pr David Mbaga. Ndoa yenye Furaha.
17:39
Sanga Richa
Рет қаралды 3,3 М.
NGUVU YA MSALABA WA KRISTO MAISHANI || PR. DAVID MBAGA
51:52
Pizzo Online TV
Рет қаралды 16 М.
SILAHA KUBWA YA KUVUNJA MADHABAHU || PR DAVID MMBAGA
56:10
Ikwabe Injili tv
Рет қаралды 17 М.
KWANINI UNAPITIA VITA KIASI HIKI? ( OFFICIAL VIDEO)
58:25
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 88 М.
MATUKIO YA KIMUNGU KATIKA MAISHA YAKO
49:34
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 15 М.
UFUNGUO WA KUFUNGUA MAMBO MAGUMU (OFFICIAL VIDEO)
52:11
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 75 М.