nashukuru maana nikiwa Sina mud kabla ya yote lazima nikufatilie na Kila napo kufatilia napata wazo Zur na hamasa ya kupambana zaidi
@user-bj4vy1wn4t7 ай бұрын
Thank you so much brother, mungu akubariki najifunza mengi sana kutoka kwako
@faudhiasalum72797 ай бұрын
Najifunza mimi 😢😢Ahsante sana kaka Joel
@joelnanauka7 ай бұрын
Karibu sana, tuendelee kujifunza🙏🏼
@masilastahona70107 ай бұрын
Yaani umenisaidia kung'arisha uso Mungu akuweke tu kwakweli🙏
@joelnanauka7 ай бұрын
Ameen Ameen🙏🏼
@abrahammwambije27697 ай бұрын
Nina mshukuru mungu kwaajili yako sasa na mimi nimesha kuwa mwalimu mtaani kwangu namaeneo mbali mbali Barikiwa sana mkuu
@aminaothman21367 ай бұрын
Shukran nimeanza kukufatilia tangu nilipokua form six 2018 mpka sasa nashkur kwa elimu yako
@faudhiasalum72797 ай бұрын
Ahsante sana
@kakawamashariki89787 ай бұрын
Asante sana ndugu,nazidi kuimarika kwa masomo yako yenye mguso na haswaa yananinoa kwaajili ya malengo yangu 2024. Ijapokuwa 2024 haijaanza najiona kama nimeshatimiza 50% ya malengo kwa hamasa za pachiko zako nyingi za mwezi huu. Bila kusahau ile ya uongozi uliyofanya na Bakwata nayo ni kama ile hazina iliyositirika katika shamba. pamoja Sana mkuu.
@joelnanauka7 ай бұрын
Nashukuru sana kwa mrejesho, tuendelee kujifunza🙏🏼
@Mwinamila-37 ай бұрын
Asante kwa kufungua akili yangu
@user-pw9bz8wr1o6 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@shukranjulius95267 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka
@Dauson-tc3dm7 ай бұрын
Ahsante kwa Mafunzo hayo. Naomba ushauri Mimi ni mlinzi lakini sipendi hii kazi hata kidogo.lakini nina mpango wa kwenda veta kujifunza hata short course,lakini pia upande mwingine najifikilia hii hela ya kusoma kwann nisianzishe biashara hata ya nguo za mitumba nikajiajiri.Nishauri nifanyeje!!
@SaidMkashari7 ай бұрын
Ushauri wangu angalia wazo ambalo nitakupa Furaha zaidi wakati unalifikiria zaid
@Holyghostpower.6 ай бұрын
Ushauri Wang make saving first usiwai kuacha kazi hio Kwanza kupitia hio inakupa mtaji,Tulia Kwanza weka Akiba then baada ya mda tafuta sehem nzr ya kuwekeza