NAMNA YA KUPATA WAZO ZURI LA BIASHARA - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 9,268

Joel Nanauka

Joel Nanauka

7 ай бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 18
@MathiusGamba-mq1sw
@MathiusGamba-mq1sw 7 ай бұрын
It's a blessing to listen to you my Mentor
@KingKala-ik8oh
@KingKala-ik8oh 6 ай бұрын
nashukuru maana nikiwa Sina mud kabla ya yote lazima nikufatilie na Kila napo kufatilia napata wazo Zur na hamasa ya kupambana zaidi
@user-bj4vy1wn4t
@user-bj4vy1wn4t 7 ай бұрын
Thank you so much brother, mungu akubariki najifunza mengi sana kutoka kwako
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 7 ай бұрын
Najifunza mimi 😢😢Ahsante sana kaka Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Karibu sana, tuendelee kujifunza🙏🏼
@masilastahona7010
@masilastahona7010 7 ай бұрын
Yaani umenisaidia kung'arisha uso Mungu akuweke tu kwakweli🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Ameen Ameen🙏🏼
@abrahammwambije2769
@abrahammwambije2769 7 ай бұрын
Nina mshukuru mungu kwaajili yako sasa na mimi nimesha kuwa mwalimu mtaani kwangu namaeneo mbali mbali Barikiwa sana mkuu
@aminaothman2136
@aminaothman2136 7 ай бұрын
Shukran nimeanza kukufatilia tangu nilipokua form six 2018 mpka sasa nashkur kwa elimu yako
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 7 ай бұрын
Ahsante sana
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 7 ай бұрын
Asante sana ndugu,nazidi kuimarika kwa masomo yako yenye mguso na haswaa yananinoa kwaajili ya malengo yangu 2024. Ijapokuwa 2024 haijaanza najiona kama nimeshatimiza 50% ya malengo kwa hamasa za pachiko zako nyingi za mwezi huu. Bila kusahau ile ya uongozi uliyofanya na Bakwata nayo ni kama ile hazina iliyositirika katika shamba. pamoja Sana mkuu.
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Nashukuru sana kwa mrejesho, tuendelee kujifunza🙏🏼
@Mwinamila-3
@Mwinamila-3 7 ай бұрын
Asante kwa kufungua akili yangu
@user-pw9bz8wr1o
@user-pw9bz8wr1o 6 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 7 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka
@Dauson-tc3dm
@Dauson-tc3dm 7 ай бұрын
Ahsante kwa Mafunzo hayo. Naomba ushauri Mimi ni mlinzi lakini sipendi hii kazi hata kidogo.lakini nina mpango wa kwenda veta kujifunza hata short course,lakini pia upande mwingine najifikilia hii hela ya kusoma kwann nisianzishe biashara hata ya nguo za mitumba nikajiajiri.Nishauri nifanyeje!!
@SaidMkashari
@SaidMkashari 7 ай бұрын
Ushauri wangu angalia wazo ambalo nitakupa Furaha zaidi wakati unalifikiria zaid
@Holyghostpower.
@Holyghostpower. 6 ай бұрын
Ushauri Wang make saving first usiwai kuacha kazi hio Kwanza kupitia hio inakupa mtaji,Tulia Kwanza weka Akiba then baada ya mda tafuta sehem nzr ya kuwekeza
VITU VITAKAVYOFANYA UTAJWE - JOEL NANAUKA
8:55
Joel Nanauka
Рет қаралды 1,8 М.
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
Joel Nanauka
Рет қаралды 180 М.
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 40 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 7 МЛН
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 79 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 18 МЛН
NAMNA YA KUIMARISHA BIASHARA YAKO  - JOEL NANAUKA
12:10
Joel Nanauka
Рет қаралды 8 М.
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 53 М.
JINSI YA KUTUMIA MUDA WAKO ILI UFANIKIWE KWA HARAKA | Victor Mwambene.
16:15
KELVIN KIBENJE_TOPIC_ELIMU YA FEDHA NA BIASHARA
8:12
The Top Team Academy
Рет қаралды 108
JOEL NANAUKA: JE, UNAJUA KUSUDI LA MAISHA YAKO?
13:32
Joel Nanauka
Рет қаралды 55 М.
Jinsi ya Kupata Wazo Zuri ya Biashara
15:09
Online Profits
Рет қаралды 1,4 М.
BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI
12:39
Kelvin Kibenje
Рет қаралды 32 М.
EPUKA  HAYA KWENYE  ENEO LA KAZI - JOEL NANAUKA
10:44
Joel Nanauka
Рет қаралды 53 М.
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 40 МЛН