NASAHA FUPI ZA SHEKH MUHAMMAD BACHU AKIWA KATIKATI YA BAHARI

  Рет қаралды 4,339

Al Haajar TV Kenya

Al Haajar TV Kenya

Ай бұрын

#alhaajartvkenya #mombasa #live
#alhaajartvkenya #mombasa #live
SHARE, COMMENT & SUBSCRIBE
Instagram: Alhaajartvkenya
Twitter: Alhaajartvkenya
Facebook: Alhaajartvkenya
KZfaq: Alhaajartvkenya
© Al Haajar TV Kenya 2024
Al Haajar TV Kenya

Пікірлер: 51
@AshrafBunu
@AshrafBunu Ай бұрын
Allah awahifadhi masheikh wetu
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy Ай бұрын
Maa shaa Allah,sema daah waliomo humo ndani nahis walkiua wanaomba dua sana wafike salama maana hayo mawaidha ukiangalia upo ndani ya chombo roho inadunda sio poa
@sakinasakku8340
@sakinasakku8340 Ай бұрын
MAASHAA ALLAH ALLAH awahifadhi vipenzivya umma
@najmandetei
@najmandetei Ай бұрын
Masha Allah,Tabaaraka Allah
@JamalAli-tz6pj
@JamalAli-tz6pj Ай бұрын
Ameen ustadh bachu siwaona ukiwa waongea kama hivi mm mwenyewe nahisi raha sasa lamuhim kukusihi ndugu yangu na mm pia najisihi tusiwe wenye kukejeli waislamu wenzetu
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e Ай бұрын
Kwani kuna mtu kakejeliwa tatizo watu waleo hamtaki kuambiwa ukweli ukiambiwa kweli wasema natukanwa
@user-kc4fv6cf8l
@user-kc4fv6cf8l Ай бұрын
Hili bachu ni toto chokozi halina elimu yoyote . Nakukejeli watu ndio sifa halisi ya maruwaibidhwa . Na hoja yakuwambia watu kweli hakufanyi usitumie hekma na maneno pole na kuepuka fitna
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e Ай бұрын
@@user-kc4fv6cf8l we fanya maisha yako achana na kumfatilia mtu ndugu ukiona unamfatilia xana mtu huenda unamkubali au hukumbali kwa vile kunavitu anavigusa we ni mshiliki wa hivyo vitu tafuta maixha acha kuwasema sema watu
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot Ай бұрын
Allaah awahifadhi nyote ktk safari yenu
@GdFf-ik2eo
@GdFf-ik2eo Ай бұрын
Sheikh Allah akuhifadhi Shukran sheikh kwa nasaha
@athmandaba1420
@athmandaba1420 Ай бұрын
Maa sha ALLAH..salmia ustaadh yusuf wa mambrui..
@allyabdallah4679
@allyabdallah4679 Ай бұрын
Masha Allah
@JamalAli-tz6pj
@JamalAli-tz6pj Ай бұрын
Kisha pia ukitaka raha na radhi basi furahisha waislamu na uwe mwenye kuwa na heshma katika kukhtalifiana shukran sanaa pole kama nimekosea mie mwanadamu nakutakia safar njema
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e Ай бұрын
Hakki itabainishwa batwil ikae mbali na hakki hatuwezi nyamazia uzushi ukasema ni ikhitilafu mtume akuogopa kuongea hakki kisa kuna watu watanizania vibaya laa hiyo haipo
@abakibibi9917
@abakibibi9917 Ай бұрын
MASHEIKH WENGINE WANAOGOPA KUSAFIRI KWA BOTI KWA KUIPENDA DUNIA WANAHOFIA MAUTI MWENYEZI MUNGU AKULIPE
@user-hv4um1rc5e
@user-hv4um1rc5e Ай бұрын
MASHA ALLAH
@AA-yr7sr
@AA-yr7sr Ай бұрын
Waalekum Salam Waramatullah Wabarakatu haya safari njema
@user-iz1er8vg7u
@user-iz1er8vg7u Ай бұрын
Si sawa kumutukana mtu kumuita ngombe una ustarabu una elimu mwenyenzi Mungu awaifadhi maustadhi wetu wote
@khamisswalehe
@khamisswalehe Ай бұрын
Dawaa imefika vizuri
@AshaSaid-gy2tg
@AshaSaid-gy2tg Ай бұрын
Aifai kumtukana shakhe kumuita gombe nimakosa makubwa
@HashimSalim-qj7zn
@HashimSalim-qj7zn Ай бұрын
TUKO PAMOJA SHEIKH NA TUNAKUELEWA NA WASIO KUELEWA WASIKUREJESHE NYUMA HAO WANA MARADHI NYOYONI MWAO ,MUNGU AWAONGOZE
@AlIrshaad-j
@AlIrshaad-j Ай бұрын
حفظكم الله
@user-ze8rk9ye6r
@user-ze8rk9ye6r Ай бұрын
makhurafi hawana chochote zaidi ya inadi tu na chuki,kwa mfano sasa huyo sheikh kwa lipi amelisema vibaya,tunaona comed,mwengine eti anasema huyo ng,ombe huyo kadhaa ebu tazama makhurafi walivyo na chuki,huyu sheikh yupo sahihi kabisa ,na akiingia kwa munakasha basi makhurafi uchachiwa sana na wanalijua hilo huyu sheikh yupo vizuri sana wala huwa hana wasi wasi wala kupigwa na roho,wao waingee wanavyo ungea ikifika munakasha watakazane kwenye mambo ambayo hayana msingi kama munajasha ulofanyika mombasa,sasa sheikh ata anawasikiliza lakini anajua porojo tu za makhurafi na si huyu tu bali watu wasunna wote wako vizuri sana na wanatembea kwa hoja,rena za kimsingi za kiusomo,huko utasikia cjui kakosea nahau kakosea balagha kajosea manthwiki kakosea swarafa,vitu kama hivyo lakini ukweli makhurafi hawaba hoja za msingi.
@user-kc4fv6cf8l
@user-kc4fv6cf8l Ай бұрын
Hili bachu ni toto chokozi halina elimu ni ruwaibidhwa
@osmanmanbile9327
@osmanmanbile9327 Ай бұрын
Nashangaaa mawahbaii wanmsifu huyu ngombe vichwa vitano ndio huzidii kupoteza umah
@HashimSalim-qj7zn
@HashimSalim-qj7zn Ай бұрын
Pole kwa maradhi ulio nayo ila namuomba Allah akuondolee kabla ya kifo chako
@HashimSalim-qj7zn
@HashimSalim-qj7zn Ай бұрын
Pole kwa maradhi ulio nayo ila namuomba Allah akuondolee kabla ya kifo chako
@shamsushaffikassim-fe4ul
@shamsushaffikassim-fe4ul Ай бұрын
Na wewe ni nguruwe Osman,!! Unajua kwann nimekuita nguruwe??
@shamsushaffikassim-fe4ul
@shamsushaffikassim-fe4ul Ай бұрын
قال ابن القيم في مدارج السالكين: ومن الناس من طبعه طبع خنزير يمر على الطيبات فلا يلوى عليها....
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp Ай бұрын
Kuna maneno ni bora kuliko kutukana mtu sawa allaha akuongoze kijana
@khalidmainala2570
@khalidmainala2570 Ай бұрын
Kama ww hapo saii kibri kimeisha lakini ukiteremka tu watu hawatosalimika na ulimi wako
@ramadhanomar8093
@ramadhanomar8093 Ай бұрын
Acha ujinga wako wewe
@Khalid-mf3iu
@Khalid-mf3iu Ай бұрын
Wataka kusema hapo Bachu roho ilikua juu juu? 😂 Bachu si mgeni wa Bahari hata Unguja kwao wanayo
@khalidmainala2570
@khalidmainala2570 Ай бұрын
@@Khalid-mf3iu bahari haina mwenyeji
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e Ай бұрын
Lijitu limoja hapo juu linacomemt ujinga acha chuki ww kama ayakuhussu so uache adi ucommen
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e Ай бұрын
Arafu watu wa bidaah wanatafuta Nini kwenye hizi comment mkakoment kwa mashekhe wenu wanaotetea bidaah huku hakuwahusu izudini yupo mkakoment huko
@abdulkhalfan8586
@abdulkhalfan8586 Ай бұрын
SHEIKH IZUDIN AKUSUBIRI AU UNAOGOPA MUNAQASHAA
@osmanmanbile9327
@osmanmanbile9327 Ай бұрын
Hawezi niaqassh huyu
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e Ай бұрын
Izudini khurafi yule jitu la bidaa litaweza Nini kwa bachu
@osmanmanbile9327
@osmanmanbile9327 Ай бұрын
Tunamshukuru allah katuepusha fitana ya wahabiii mawahabiii hawatii haqq elimu pia hakuna ni porojo 😂😂😂😂😂😂
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e Ай бұрын
Ww unachekesha kweli untufosi tufate bidaah zako kufa nazo mwenyewe 😂😂😂et wahabi amtki hkki haki gani mlokua nayo huko zaidi ya uzushi yani unatuitia maulidi au kuabudu makaburi ya masharifu ww jamaa wa wapi ww kama umeshindwa kuacha bidaa zako kufa nazo mwwenyew wongofu gani mlokuwa nao masufi
@osmanmanbile9327
@osmanmanbile9327 Ай бұрын
Soma dini ndugu yangu ungejua ubaya ya mawahabii munadanganywa atii nyinyi ni ahlu sunaah 😂😂😂. Mawahabii hawajui elimu wala.hawako.katika haqq bali wanepotea Allah awaongoze
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e Ай бұрын
@@osmanmanbile9327 awaongoe ninyi wazushi mnaozusha katika dinni ya Allah kusoma hamsomi kazi yenu kukata mauono sikitini na mdufu na dhikri za kunguruma kama wendawazimu Fulani hivi ilmu hamna uwezi kuta madrasa za masufi za somesha wattoto wakamtambua vzr Allah na tawwed zaidi mntowa waganga wa kienyeji tuu kama kina yusufu diwani wfuga majini ushirikina kuabudia makabuli yte hayo masufi mijitu ya bidaa na dwalala ndomana imamu shafii alisema kuingia katika usufi mchana fika asubuhy utakuwa mpumbavu
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e Ай бұрын
Jitu la upotevu huko bidaa unazifanya unaona mukeongoka kumbe ibilisi anawachezea akili urongo tuu tupu umewajaa kina doctor sule wale masufi wenzenu kufuga majini namxhukuru mungu kuniongoza katika sunnah Mana kufa ningekufa katika bidah Ni hatari xana
@medimisi6930
@medimisi6930 Ай бұрын
nyinyi hadi hadithi maudhui mnatumia au ushasahau
@HashimSalim-qj7zn
@HashimSalim-qj7zn Ай бұрын
TUKO PAMOJA SHEIKH NA TUNAKUELEWA NA WASIO KUELEWA WASIKUREJESHE NYUMA HAO WANA MARADHI NYOYONI MWAO ,MUNGU AWAONGOZE
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 15 МЛН
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 15 МЛН
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 61 МЛН
SHEIKH SAID NYANGE KULIZURU KABURI LA MAALIM SEIF MTAMBWE NYALI
12:23
sheikh said bin nyange online tv
Рет қаралды 5 М.
swali moja tu lamzuzua bachu na kukimbia maskini
2:40
MUFTI SHABAN. A. MUSA Mombasa Kenya
Рет қаралды 19 М.
"MUNGU HANA MKE." PASTOR NDACHA AKIELEZEA YESU NI NANI.
1:25:25
Straight Path Dawah
Рет қаралды 14 М.
ANGALIA WATU WA SIU WAMENILISHA KENGE ( YURU ) / Muhammad Bachu .
8:14
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 10 М.
MUHAMMAD BACHU NI MFITINISHAJI ANAETAFUTA UMAARUFU SI MSOMI
8:26
Alwiy Muhanna
Рет қаралды 10 М.
Maswali leo yamwagika kama maji wanawake wakikristo wauliza maswali kali kali
1:25:26
MAJIBU YA DHARAU NA KEJELI YA MUHAMMAD BACHU KWA SHEIKH SAID ALI HASSAN || SHEIKH MUHSIN ALI BUTE
16:10
Markaz Swalihinal- islamy Mombasa Kenya
Рет қаралды 6 М.
Mother Cat Drinks Lots of Coffee to Get By #funny #catlover #cuteanimals #cartoon
0:21
Super Emotional Stories
Рет қаралды 20 МЛН
Каха заблудился в горах
0:57
К-Media
Рет қаралды 8 МЛН
IQ Level: 10000
0:10
Younes Zarou
Рет қаралды 4 МЛН
Difference of girls and boys when eating sweets 😂😬
0:35
VovaLika Family
Рет қаралды 12 МЛН