NILIKUA NAMTAFUTIA SABABU, SIMTAKI TENA

  Рет қаралды 52,186

KIREDIO

KIREDIO

Ай бұрын

Пікірлер: 181
@NasmaMfinanga
@NasmaMfinanga Ай бұрын
Ivi jaman waja mjue kiredio haaribu mahusiano ya watu Bali anawaamsha watu kwenye ndoto ambazo SI zao kiukwely inauma ila Mimi napenda ila wanaume jaman ifike zam Yao nao walie🙏🙏🙏😭😭😭
@issahassan8361
@issahassan8361 Ай бұрын
Dah sema uyo demu umemsaidia kinyama mungu amsaidie
@ChamboYahaya
@ChamboYahaya Ай бұрын
Kabisa
@MercyDaniel-dh7bk
@MercyDaniel-dh7bk Ай бұрын
Eee kwa kweli
@julianapeason6254
@julianapeason6254 29 күн бұрын
huyu dada hawezi kuolewa apparence yake tuu
@jescachandarua5898
@jescachandarua5898 28 күн бұрын
​@@julianapeason6254mmmh Kwan wewe ndio unaowa wanawake wote sio
@JosephineItambu
@JosephineItambu 20 күн бұрын
Hata haijasaidia kitu maana dada ni king'ang'a bado anamlilia huyo mshikaji
@kingstone1434
@kingstone1434 Ай бұрын
Ko mwanetu Kiredio apo mission accomplished 😂😂😂🙌
@Denatha50
@Denatha50 Ай бұрын
Sito kuja kumwamini mwanaume yeyote hata kama nalala nae kila siku😂😂
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 Ай бұрын
😂😂😂😂
@puridangote2701
@puridangote2701 Ай бұрын
Shwaaaa😂😂😂
@LizLizy-ex6oz
@LizLizy-ex6oz Ай бұрын
😂😂😂
@user-zx3vh5ps2u
@user-zx3vh5ps2u 29 күн бұрын
Usiseme hvo dada yangu
@user-ty3si9od8l
@user-ty3si9od8l 29 күн бұрын
Siwez kabisa wee
@ZainaboSalumu
@ZainaboSalumu Ай бұрын
Wewe kiredio ukivunja mahusiano ya watu, inabid ujuwe kuyarudisha pia sio unaharibu tu
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 Ай бұрын
😂😂😂
@timothympandagoya6338
@timothympandagoya6338 28 күн бұрын
MALAYA WOTE MWAKA HUU WAACHANISHWE ..UMALAYA MMEUBATIZA JINA LA MAHUSIANO KENGE NYIE.
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 Ай бұрын
Dada mzuri achana na huyo mwanaume
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 29 күн бұрын
Duh huyo dem amesaidika 😂😂😂
@JeremiahLaizer-ln2fp
@JeremiahLaizer-ln2fp 28 күн бұрын
Hahaha...huyo mwenye duka ...si anipende tu mm Kam sijafuta namb za wanawake wote😅
@coolson2925
@coolson2925 27 күн бұрын
ameongea point kubwa sana ....wanaume tunagombana sababu ya pesa sio sketiii......ally bigup sana
@puridangote2701
@puridangote2701 Ай бұрын
Ally umepigãje hapo😃😂😂😂
@user-dn3sn2fk9v
@user-dn3sn2fk9v Ай бұрын
😂😂😂😂Ally amesema alikuwa anamtafutia sababu dada WA WAtu 😭😭😭 r.i.p mapenzi
@puridangote2701
@puridangote2701 Ай бұрын
@@user-dn3sn2fk9v shwaaa😂😂😂
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 Ай бұрын
Uyo Ally hakupendi ww eti alikuwa anatafuta sababu yakukuacha w dada sepa tafuta mpenzi mwengine kabwa haja kuacha yy utakuja teseka ki akili 😢
@mohamedrajabu9055
@mohamedrajabu9055 Ай бұрын
Wanawake mwalimu wenu sio kipozi nikiziwi sasa faida yake nini 😂😂😂
@Mdenya
@Mdenya Ай бұрын
Uyooo muhuni moja kwa moja pepon
@maimunaulotu2075
@maimunaulotu2075 29 күн бұрын
Sema wanaume ndo mnatufanyaga tuwe mashetani😂😂😂😂😂
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 28 күн бұрын
Kabisa
@mzazi15
@mzazi15 Ай бұрын
Atakaeoa huyo mdada muuza viatu atakufa mapema sanaaaa... mwenyewe kasema hawez kumuacha huyo x sasa unazan atakutuliza akili ujijenge na kujenga familia kweli? Hell NO. Atakuua kwa stress bora tu aendeleze upuuzi wake na x ambae ni mwanaume wa mtu mwingine, huyo hafai kuoaa
@esterrupia8470
@esterrupia8470 Ай бұрын
😅😅😅
@F60hustlerF60hustler
@F60hustlerF60hustler Ай бұрын
We kiredio utajikuata upo kwenye gunia siku moja we vunja ndoa za watu 😂😂😂
@ednashine9464
@ednashine9464 Ай бұрын
Her face expression tells it all 😮maskini doh pole dr
@user-qq5yp1zm4f
@user-qq5yp1zm4f Ай бұрын
Mwanaume mnafik sana
@ommyndilwa
@ommyndilwa Ай бұрын
Nice 1
@bensonelisa3225
@bensonelisa3225 29 күн бұрын
Kiredio anazngua unajua huyo jamaa anaonekana anampenda sana huyo demu na unaweza ukakuta hata huyo mshkaji alkuwa hana mpango wakumuacha ndio maana alivyojua yupo na mshkaji mwngne "Daah! " zikawa nyingi zikionesha hali yakufadhaika na kuvunjika moyo na maneno hayo aliyoyaongea nikatika hali yakujitia moyo nakujikosha tu mbele ya mwanaume mwnzke wanaume wengi wasingejibu tofauti sana na huyu bwana coz wanaume tunaumizwa sana na fumanizi ila kama mwanaume still unataka kuonesha uimara
@TajiriChuiwadunia
@TajiriChuiwadunia Ай бұрын
Kiredio alivyo tulia baada ya harib kama so yeye vile😂😂😂😂😂
@maseleenaesleen8149
@maseleenaesleen8149 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😅😅
@BeatriceAdolf-gj6lr
@BeatriceAdolf-gj6lr Ай бұрын
Kaharibu au kamsaidia angejua saa ngap km anatafutiwa sababu
@Humanity21216
@Humanity21216 29 күн бұрын
Sasa hio si kauli tu baada ya mtu kuona mtu kalala na mwanaume mwingine kila mtu ana reaction yake msijudge tu
@Mwenyebusara
@Mwenyebusara Ай бұрын
Anyway ko mlitaka mwanaume awe mnyonge au😢 achen kumulaum mi Sion kosa lake😮
@HoneyBeel5
@HoneyBeel5 23 күн бұрын
Angekua anampenda kweli asingesema alikua natafuta sababu. Huyo ni hampendi kabisa na mwanaume akikupenda lazima atakuuliza yeye ashasema hamuulizi
@billyboardeerick3077
@billyboardeerick3077 Ай бұрын
Sema kiredio mwanangu unazngua kinyama 😂😂😂😂😂😂
@nguyamtwartz5413
@nguyamtwartz5413 Ай бұрын
Dada kaachwa muachwo😅
@user-th3uv9ji2z
@user-th3uv9ji2z Ай бұрын
Bora umejua moyoni mtu anakuwazia nini 😅kheee jamani nyie ukichokwa
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 Ай бұрын
😂😂😂
@nouhamour545
@nouhamour545 29 күн бұрын
wanaume tunagombana kwenye pesa tu 😀😀
@g_eazmusic1329
@g_eazmusic1329 29 күн бұрын
Kabisa uwezi kuta mwanaume anae jielewa ana gombania mwanamke
@SaifaPretty
@SaifaPretty Ай бұрын
Ali wangu ndo uje ufanye huu ujinga kubabake 😂
@LubnaGeorge-re4yp
@LubnaGeorge-re4yp Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 nyie Mme sio watu WA kuwamini
@user-lh2ul3nb6h
@user-lh2ul3nb6h Ай бұрын
Uuuwiiiiiiiii, Yesu nisaidie mimi😢😢 mwanaume shkamoo kabisa yani......
@hamzamohamedKeslivol
@hamzamohamedKeslivol 26 күн бұрын
its a lessons my dear
@fatimaharoun-np8uv
@fatimaharoun-np8uv Ай бұрын
Amelala yooooo😂 wanaume kuku wallah
@MwanahawaMohammed
@MwanahawaMohammed Ай бұрын
😂😂😂😂😂 michezo mengine tuitikirie bila kuyafanya duh pole yake
@hosianawalter6467
@hosianawalter6467 Ай бұрын
Fatuma shaban umeniacha hoi
@user-ew7xd1xu3s
@user-ew7xd1xu3s Ай бұрын
Mmmm polen sana tulilia sana
@NasmaMfinanga
@NasmaMfinanga Ай бұрын
Mh wanawake kazi tunayo
@ANGELMAKOMBE-mq1nc
@ANGELMAKOMBE-mq1nc Ай бұрын
Wanaumee🙌
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 19 күн бұрын
Wadada mvulana akisema hakutaki achana nae atakufanyia vituko hadi ujiachishe😂😂😂😂
@samjr8957
@samjr8957 Ай бұрын
Hahahahahaa hii imeenda
@joycemachibya4380
@joycemachibya4380 Ай бұрын
Unampajee helaaa mwanaume??aloooo😂😂
@lakasid3860
@lakasid3860 Ай бұрын
Kiredio unaharibu mahusiano ya watu halafu et unashangaa imekuaje 😂
@user-ps4oc3nt3u
@user-ps4oc3nt3u Ай бұрын
Dada kama ulikuwa unam fumaniya wa nn tena achana naye haku fayi huyo😢😢
@happymasanja4113
@happymasanja4113 28 күн бұрын
Mimi kupenda tena sitaki ngoja nitafute hela wanaume wamekua ni shida💔
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 25 күн бұрын
we kama mm sitaki kabisa kupenda mtu tena sitakiiii nijipende mwenyewe tu
@umranim5854
@umranim5854 25 күн бұрын
Huyo msichana wa kwanza umemharibia mahusiano yake 💔 sio vizuri
@STAVOO_WEEZZY
@STAVOO_WEEZZY 20 күн бұрын
Si uliitaka challenge mwenyewe 😅😅😅😅pokea majibu sasa
@allymkamba1054
@allymkamba1054 Ай бұрын
Ally mi nomaaa
@jescachandarua5898
@jescachandarua5898 28 күн бұрын
Duuu uyo wa pili kiboko dadeqqq kumbe ndio maana Wanaume wanakuwa legelege kumbe kuna mademu yanatoa baada ya kukatwa😅😅😅
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 25 күн бұрын
siku tutakkuta challenge za mabwana pepsi wetu ahahahahahaah nataaamani siku moja nione challenge ya bwana pepsi wangu akikataa watu
@Jayninetythree
@Jayninetythree Ай бұрын
Nipe namb ya uyo dem kaka 🤣
@Beyonceqme
@Beyonceqme 28 күн бұрын
Eti mwanaume anaomba elfu hamsini😂 and the one
@TundaEmanuel-ns8kj
@TundaEmanuel-ns8kj 29 күн бұрын
Tulia dada upate mwanaume ataejal hisia zako acha nahuyo Ally komwe😊
@user-jv8qx7xf2g
@user-jv8qx7xf2g Ай бұрын
Ila harmonize haishiw vituko kil cku🥰
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 18 күн бұрын
Endeleeni kumchekea kiredio mtaachwa kila siku😅😅😅
@nacyfloflo9494
@nacyfloflo9494 Ай бұрын
Wewe unasemaje ila wanaume😅😅😅
@jordannelson2453
@jordannelson2453 29 күн бұрын
Damn it
@user-dx4yb7po3y
@user-dx4yb7po3y Ай бұрын
Yaan km nn mm hp ningeshuruku kweli kuniepusha na huyo mwanaume kumjuwa nia yke duuuh wanaume duuuh
@andreakomba1773
@andreakomba1773 11 күн бұрын
🎉ushauri wangu Mimi acha kumjaribu mwanaume wako maana ni jambo la ajabu sana kumjaribu maisha.
@monicambarikiwa9532
@monicambarikiwa9532 Ай бұрын
Kiredioa ameharibuu💔
@nmasare9364
@nmasare9364 28 күн бұрын
We dem ndo fala tena sana baki na huyo kiredio sasa hata ningekua mimi ningekuacha sana tu
@eggysulle7988
@eggysulle7988 29 күн бұрын
Mi siez fanya challenge za kipuuz iv
@user-vg4ct6te9w
@user-vg4ct6te9w 23 күн бұрын
Atar Sana
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 25 күн бұрын
chee anaomba na helaa hahahahah mariooo sio mchaga kweli huyo maan hahhaaha akii ndo mambo yao
@muddyramadhan3255
@muddyramadhan3255 Ай бұрын
Ila sio sawa mnavunja mahusiano yawatu bila sababu
@pulikisia7963
@pulikisia7963 25 күн бұрын
Kweli kabisa yaani!! Hizo challenge kha!
@user-jf7vx9nb9m
@user-jf7vx9nb9m Ай бұрын
Yaan kiredio anajifanya km kumhurumia huyu dada
@Humanity21216
@Humanity21216 29 күн бұрын
Unajua watu mnamlaumu Ally hamjui kupigiwa simu na mwanaume mwenzio usiemjua ukatishiwa kuhusu mwanamke watu wanapotezwa kwenye ramani kisa vitu vidogo huenda kaongea vile ili kuua tu Soo au huenda kweli alikuwa anamtafutia sababu yote yanawezekana,, kikubwa usiombe ikukute 😁
@fadhilsalum2143
@fadhilsalum2143 28 күн бұрын
Mwana anajiuzaa 😂
@Zurushylab
@Zurushylab 28 күн бұрын
Sasa umealibu mausiano ya watu alafu solution ni nini. Bhasi uwe unatupatia Solution ya vipengele vyako Rasi hivyo uache kufanya hivyo maana unawaumiza na kuwakosanisha watu kwa wapendanao
@TundaEmanuel-ns8kj
@TundaEmanuel-ns8kj 29 күн бұрын
Sa mwanaume ushaamfymania mal kibao Bado unahaha nin, Yan Huyo nikibak dada mzuli hivyo unahangaik na maraya mwisho upate makaswende, kisonono, Ukimwi , Sonona😊
@superkarimBenzema
@superkarimBenzema 21 күн бұрын
Kiredio uyo dem aloachwa na ali mwambie antafute nimlete zenj afrai maisha.
@officialdjmajubatz2
@officialdjmajubatz2 Ай бұрын
nipe namba ya uyo demu wa mwanzo plzz kaka naomba
@GiftyGifty-ev2hd
@GiftyGifty-ev2hd 17 күн бұрын
Mtafutie mchumba uyo dada
@user-hj4bc5uh2x
@user-hj4bc5uh2x 29 күн бұрын
Ndiodawahio ally yukosawa we unazaniabata pekeyake anaekulamavi mpaka kuku nyiechokonoen mavi mpakamjue mnyajikala golori yabaiskeri
@ZillaGod-xe9wc
@ZillaGod-xe9wc Ай бұрын
Kuonana ten😅😅kumanini
@agnesmartin5716
@agnesmartin5716 Ай бұрын
Dada hizo blich acha
@stellamongi8811
@stellamongi8811 22 күн бұрын
Iyo blichi aijakaa powa
@rachelmsekena603
@rachelmsekena603 Ай бұрын
Jamaa linamuomba mwanamke pesa halina hata aibu,kwanini wanaume mmekua hivi lakini
@sahraabdallah7242
@sahraabdallah7242 Ай бұрын
Sitokuja kusahau Ally alichonifanyia Wallah
@user-oj1fh5dn6t
@user-oj1fh5dn6t Ай бұрын
Achana nae
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 28 күн бұрын
Na nyinyi wa dada muangalie vitu vyakujipaka mwajipakia marangi tu paka mwatisha wenyewe mkajion wazuri mwatishaaaa
@mossesramadhani501
@mossesramadhani501 29 күн бұрын
Zingatia neno wanaume kama kugombana ni kugombania pesa tuuuu
@Sweetnaah
@Sweetnaah 28 күн бұрын
Kiredio uko wapi na mimi nataka unifanyie challenge
@EliaGersondamsonkilonji-xw1lm
@EliaGersondamsonkilonji-xw1lm Ай бұрын
Sema nn br hapo jamaa naona alipaniki 2 but hana maana ya kuwa dem wake hampend
@juniormvungi2502
@juniormvungi2502 Ай бұрын
@kiredio tuma namba basi kaka
@user-nc4ko3qz7t
@user-nc4ko3qz7t Ай бұрын
Nashindw chakusm😢😢
@bakarininga4100
@bakarininga4100 29 күн бұрын
Ila kiredio mamaee😂😂😂
@ShukuMfipa
@ShukuMfipa Ай бұрын
Da pori😅
@FatmasompaFatmaramadhanisompa
@FatmasompaFatmaramadhanisompa Ай бұрын
Mmh mwanaume anataka hela kwa wakike
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 25 күн бұрын
wa pili ni jaiva au hahahah
@kilianamapunda3170
@kilianamapunda3170 19 күн бұрын
Huwiiiii
@user-ln9tk3qr2r
@user-ln9tk3qr2r Ай бұрын
Mj Momjoll
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 29 күн бұрын
Wanaume nyie 😂😂😂🙌🏻
@witnessmlay7415
@witnessmlay7415 Ай бұрын
Ally unasemaje?😂😂😂🙌🏽
@judnesstemba7252
@judnesstemba7252 Ай бұрын
Mmmmh hakuna mtu hapoo
@pillyramadhani3726
@pillyramadhani3726 Ай бұрын
😂😂😂😂daah
@rehemamusa5727
@rehemamusa5727 Ай бұрын
😂😂
@pillyramadhani3726
@pillyramadhani3726 Ай бұрын
Kiredio kama sio ww unavyotia huruma😂😂😂
@neemamundhir4844
@neemamundhir4844 27 күн бұрын
Kiredio anazuga anahuzunika😂😂😂
@sophykivuyo
@sophykivuyo Ай бұрын
Shwaaaaaaaaaa 😂😂😂😂😂😂😂
@ZulfaTuesday-xm9cl
@ZulfaTuesday-xm9cl 19 күн бұрын
Iyo sogea y kiredio😂😂😂
@TajiriChuiwadunia
@TajiriChuiwadunia Ай бұрын
😂😂😂😂
@samweljc
@samweljc 29 күн бұрын
Makosa ya kibinadamu 😂😂😂😂
@user-pk4ov4cy5c
@user-pk4ov4cy5c 25 күн бұрын
kiredio kazi kwako huyo demu kachika
NLIKUA NAMTAFUTIA SABABU | WAKUTANISHWA
15:01
KIREDIO
Рет қаралды 160 М.
MPANGAJI MSUMBUFU
10:10
NANGA COMEDY
Рет қаралды 3,7 М.
small vs big hoop #tiktok
00:12
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 31 МЛН
STEVE KAMFATA DEM MBAGALA KISA NAULI KWA MGUU
11:24
Steve Mweusi
Рет қаралды 237 М.
MWANACHUO WA CBE AKATALIWA NA MPENZI WAKE | WAACHANA
6:21
KIREDIO
Рет қаралды 32 М.
NIMEZIDIWA NISAIDIE | AMPIGIA EX WAKE
4:32
KIREDIO
Рет қаралды 22 М.
MCHEPUKO Part 1
8:18
Mr Uky
Рет қаралды 62 М.
1 juillet 2024
7:31
Abdoul-National
Рет қаралды 2,4 М.
AIBU! FIRST YEAR AKATALIWA MBELE YA WENZAKE, A NDO NANI???
4:47
MPENZI KADANGANYA ANA SAFIRI
10:02
Mr Uky
Рет қаралды 32 М.
BIBI HARUSI MATATANI KUACHIKA KABLA YA HARUSI
11:32
KIREDIO
Рет қаралды 108 М.
NINA WANAUME WAWILI, NANI ATANITAJA??
5:08
KIREDIO
Рет қаралды 67 М.
AIBU! MPENZI WAKE AMKATAA MBELE YA UMATI
9:42
KIREDIO
Рет қаралды 22 М.
Man tries outrunning cops on skateboard
0:10
Frankie Lapenna
Рет қаралды 20 МЛН
Это что за ?
0:27
ЛогикЛаб
Рет қаралды 1,6 МЛН
Это что за ?
0:27
ЛогикЛаб
Рет қаралды 1,6 МЛН
Вор в законе заступился за официантку  ...
0:59
Сериалы 🍿
Рет қаралды 9 МЛН
ALWAYS SHARE 😀 #shorts
0:19
dednahype
Рет қаралды 12 МЛН
ЖЕСТЬ В КОНЦЕ. ПЛАКАЛ ВЕСЬ САМОЛЕТ
0:20
ДЭВИД ЛАВА
Рет қаралды 5 МЛН