Ivi jaman waja mjue kiredio haaribu mahusiano ya watu Bali anawaamsha watu kwenye ndoto ambazo SI zao kiukwely inauma ila Mimi napenda ila wanaume jaman ifike zam Yao nao walie🙏🙏🙏😭😭😭
@issahassan8361Ай бұрын
Dah sema uyo demu umemsaidia kinyama mungu amsaidie
@ChamboYahayaАй бұрын
Kabisa
@MercyDaniel-dh7bkАй бұрын
Eee kwa kweli
@julianapeason625429 күн бұрын
huyu dada hawezi kuolewa apparence yake tuu
@jescachandarua589828 күн бұрын
@@julianapeason6254mmmh Kwan wewe ndio unaowa wanawake wote sio
@JosephineItambu20 күн бұрын
Hata haijasaidia kitu maana dada ni king'ang'a bado anamlilia huyo mshikaji
@kingstone1434Ай бұрын
Ko mwanetu Kiredio apo mission accomplished 😂😂😂🙌
@Denatha50Ай бұрын
Sito kuja kumwamini mwanaume yeyote hata kama nalala nae kila siku😂😂
@rosemilingi7860Ай бұрын
😂😂😂😂
@puridangote2701Ай бұрын
Shwaaaa😂😂😂
@LizLizy-ex6ozАй бұрын
😂😂😂
@user-zx3vh5ps2u29 күн бұрын
Usiseme hvo dada yangu
@user-ty3si9od8l29 күн бұрын
Siwez kabisa wee
@ZainaboSalumuАй бұрын
Wewe kiredio ukivunja mahusiano ya watu, inabid ujuwe kuyarudisha pia sio unaharibu tu
@ngwacahnyagwaswa9979Ай бұрын
😂😂😂
@timothympandagoya633828 күн бұрын
MALAYA WOTE MWAKA HUU WAACHANISHWE ..UMALAYA MMEUBATIZA JINA LA MAHUSIANO KENGE NYIE.
@miriamdavis3893Ай бұрын
Dada mzuri achana na huyo mwanaume
@warakawayohana289629 күн бұрын
Duh huyo dem amesaidika 😂😂😂
@JeremiahLaizer-ln2fp28 күн бұрын
Hahaha...huyo mwenye duka ...si anipende tu mm Kam sijafuta namb za wanawake wote😅
@coolson292527 күн бұрын
ameongea point kubwa sana ....wanaume tunagombana sababu ya pesa sio sketiii......ally bigup sana
@puridangote2701Ай бұрын
Ally umepigãje hapo😃😂😂😂
@user-dn3sn2fk9vАй бұрын
😂😂😂😂Ally amesema alikuwa anamtafutia sababu dada WA WAtu 😭😭😭 r.i.p mapenzi
@puridangote2701Ай бұрын
@@user-dn3sn2fk9v shwaaa😂😂😂
@Sidrasidra636Ай бұрын
Uyo Ally hakupendi ww eti alikuwa anatafuta sababu yakukuacha w dada sepa tafuta mpenzi mwengine kabwa haja kuacha yy utakuja teseka ki akili 😢
@mohamedrajabu9055Ай бұрын
Wanawake mwalimu wenu sio kipozi nikiziwi sasa faida yake nini 😂😂😂
@MdenyaАй бұрын
Uyooo muhuni moja kwa moja pepon
@maimunaulotu207529 күн бұрын
Sema wanaume ndo mnatufanyaga tuwe mashetani😂😂😂😂😂
@chunaabdullah133328 күн бұрын
Kabisa
@mzazi15Ай бұрын
Atakaeoa huyo mdada muuza viatu atakufa mapema sanaaaa... mwenyewe kasema hawez kumuacha huyo x sasa unazan atakutuliza akili ujijenge na kujenga familia kweli? Hell NO. Atakuua kwa stress bora tu aendeleze upuuzi wake na x ambae ni mwanaume wa mtu mwingine, huyo hafai kuoaa
@esterrupia8470Ай бұрын
😅😅😅
@F60hustlerF60hustlerАй бұрын
We kiredio utajikuata upo kwenye gunia siku moja we vunja ndoa za watu 😂😂😂
@ednashine9464Ай бұрын
Her face expression tells it all 😮maskini doh pole dr
@user-qq5yp1zm4fАй бұрын
Mwanaume mnafik sana
@ommyndilwaАй бұрын
Nice 1
@bensonelisa322529 күн бұрын
Kiredio anazngua unajua huyo jamaa anaonekana anampenda sana huyo demu na unaweza ukakuta hata huyo mshkaji alkuwa hana mpango wakumuacha ndio maana alivyojua yupo na mshkaji mwngne "Daah! " zikawa nyingi zikionesha hali yakufadhaika na kuvunjika moyo na maneno hayo aliyoyaongea nikatika hali yakujitia moyo nakujikosha tu mbele ya mwanaume mwnzke wanaume wengi wasingejibu tofauti sana na huyu bwana coz wanaume tunaumizwa sana na fumanizi ila kama mwanaume still unataka kuonesha uimara
@TajiriChuiwaduniaАй бұрын
Kiredio alivyo tulia baada ya harib kama so yeye vile😂😂😂😂😂
@maseleenaesleen8149Ай бұрын
😂😂😂😂😂😅😅
@BeatriceAdolf-gj6lrАй бұрын
Kaharibu au kamsaidia angejua saa ngap km anatafutiwa sababu
@Humanity2121629 күн бұрын
Sasa hio si kauli tu baada ya mtu kuona mtu kalala na mwanaume mwingine kila mtu ana reaction yake msijudge tu
@MwenyebusaraАй бұрын
Anyway ko mlitaka mwanaume awe mnyonge au😢 achen kumulaum mi Sion kosa lake😮
@HoneyBeel523 күн бұрын
Angekua anampenda kweli asingesema alikua natafuta sababu. Huyo ni hampendi kabisa na mwanaume akikupenda lazima atakuuliza yeye ashasema hamuulizi
@billyboardeerick3077Ай бұрын
Sema kiredio mwanangu unazngua kinyama 😂😂😂😂😂😂
@nguyamtwartz5413Ай бұрын
Dada kaachwa muachwo😅
@user-th3uv9ji2zАй бұрын
Bora umejua moyoni mtu anakuwazia nini 😅kheee jamani nyie ukichokwa
@ngwacahnyagwaswa9979Ай бұрын
😂😂😂
@nouhamour54529 күн бұрын
wanaume tunagombana kwenye pesa tu 😀😀
@g_eazmusic132929 күн бұрын
Kabisa uwezi kuta mwanaume anae jielewa ana gombania mwanamke
@SaifaPrettyАй бұрын
Ali wangu ndo uje ufanye huu ujinga kubabake 😂
@LubnaGeorge-re4ypАй бұрын
😂😂😂😂😂😂 nyie Mme sio watu WA kuwamini
@user-lh2ul3nb6hАй бұрын
Uuuwiiiiiiiii, Yesu nisaidie mimi😢😢 mwanaume shkamoo kabisa yani......
@hamzamohamedKeslivol26 күн бұрын
its a lessons my dear
@fatimaharoun-np8uvАй бұрын
Amelala yooooo😂 wanaume kuku wallah
@MwanahawaMohammedАй бұрын
😂😂😂😂😂 michezo mengine tuitikirie bila kuyafanya duh pole yake
@hosianawalter6467Ай бұрын
Fatuma shaban umeniacha hoi
@user-ew7xd1xu3sАй бұрын
Mmmm polen sana tulilia sana
@NasmaMfinangaАй бұрын
Mh wanawake kazi tunayo
@ANGELMAKOMBE-mq1ncАй бұрын
Wanaumee🙌
@TrinaRoman34519 күн бұрын
Wadada mvulana akisema hakutaki achana nae atakufanyia vituko hadi ujiachishe😂😂😂😂
@samjr8957Ай бұрын
Hahahahahaa hii imeenda
@joycemachibya4380Ай бұрын
Unampajee helaaa mwanaume??aloooo😂😂
@lakasid3860Ай бұрын
Kiredio unaharibu mahusiano ya watu halafu et unashangaa imekuaje 😂
@user-ps4oc3nt3uАй бұрын
Dada kama ulikuwa unam fumaniya wa nn tena achana naye haku fayi huyo😢😢
@happymasanja411328 күн бұрын
Mimi kupenda tena sitaki ngoja nitafute hela wanaume wamekua ni shida💔
@reginamluviji940525 күн бұрын
we kama mm sitaki kabisa kupenda mtu tena sitakiiii nijipende mwenyewe tu
@umranim585425 күн бұрын
Huyo msichana wa kwanza umemharibia mahusiano yake 💔 sio vizuri
@STAVOO_WEEZZY20 күн бұрын
Si uliitaka challenge mwenyewe 😅😅😅😅pokea majibu sasa
@allymkamba1054Ай бұрын
Ally mi nomaaa
@jescachandarua589828 күн бұрын
Duuu uyo wa pili kiboko dadeqqq kumbe ndio maana Wanaume wanakuwa legelege kumbe kuna mademu yanatoa baada ya kukatwa😅😅😅
@reginamluviji940525 күн бұрын
siku tutakkuta challenge za mabwana pepsi wetu ahahahahahaah nataaamani siku moja nione challenge ya bwana pepsi wangu akikataa watu
Yaan km nn mm hp ningeshuruku kweli kuniepusha na huyo mwanaume kumjuwa nia yke duuuh wanaume duuuh
@andreakomba177311 күн бұрын
🎉ushauri wangu Mimi acha kumjaribu mwanaume wako maana ni jambo la ajabu sana kumjaribu maisha.
@monicambarikiwa9532Ай бұрын
Kiredioa ameharibuu💔
@nmasare936428 күн бұрын
We dem ndo fala tena sana baki na huyo kiredio sasa hata ningekua mimi ningekuacha sana tu
@eggysulle798829 күн бұрын
Mi siez fanya challenge za kipuuz iv
@user-vg4ct6te9w23 күн бұрын
Atar Sana
@reginamluviji940525 күн бұрын
chee anaomba na helaa hahahahah mariooo sio mchaga kweli huyo maan hahhaaha akii ndo mambo yao
@muddyramadhan3255Ай бұрын
Ila sio sawa mnavunja mahusiano yawatu bila sababu
@pulikisia796325 күн бұрын
Kweli kabisa yaani!! Hizo challenge kha!
@user-jf7vx9nb9mАй бұрын
Yaan kiredio anajifanya km kumhurumia huyu dada
@Humanity2121629 күн бұрын
Unajua watu mnamlaumu Ally hamjui kupigiwa simu na mwanaume mwenzio usiemjua ukatishiwa kuhusu mwanamke watu wanapotezwa kwenye ramani kisa vitu vidogo huenda kaongea vile ili kuua tu Soo au huenda kweli alikuwa anamtafutia sababu yote yanawezekana,, kikubwa usiombe ikukute 😁
@fadhilsalum214328 күн бұрын
Mwana anajiuzaa 😂
@Zurushylab28 күн бұрын
Sasa umealibu mausiano ya watu alafu solution ni nini. Bhasi uwe unatupatia Solution ya vipengele vyako Rasi hivyo uache kufanya hivyo maana unawaumiza na kuwakosanisha watu kwa wapendanao
@TundaEmanuel-ns8kj29 күн бұрын
Sa mwanaume ushaamfymania mal kibao Bado unahaha nin, Yan Huyo nikibak dada mzuli hivyo unahangaik na maraya mwisho upate makaswende, kisonono, Ukimwi , Sonona😊
@superkarimBenzema21 күн бұрын
Kiredio uyo dem aloachwa na ali mwambie antafute nimlete zenj afrai maisha.
@officialdjmajubatz2Ай бұрын
nipe namba ya uyo demu wa mwanzo plzz kaka naomba
@GiftyGifty-ev2hd17 күн бұрын
Mtafutie mchumba uyo dada
@user-hj4bc5uh2x29 күн бұрын
Ndiodawahio ally yukosawa we unazaniabata pekeyake anaekulamavi mpaka kuku nyiechokonoen mavi mpakamjue mnyajikala golori yabaiskeri
@ZillaGod-xe9wcАй бұрын
Kuonana ten😅😅kumanini
@agnesmartin5716Ай бұрын
Dada hizo blich acha
@stellamongi881122 күн бұрын
Iyo blichi aijakaa powa
@rachelmsekena603Ай бұрын
Jamaa linamuomba mwanamke pesa halina hata aibu,kwanini wanaume mmekua hivi lakini
@sahraabdallah7242Ай бұрын
Sitokuja kusahau Ally alichonifanyia Wallah
@user-oj1fh5dn6tАй бұрын
Achana nae
@chunaabdullah133328 күн бұрын
Na nyinyi wa dada muangalie vitu vyakujipaka mwajipakia marangi tu paka mwatisha wenyewe mkajion wazuri mwatishaaaa
@mossesramadhani50129 күн бұрын
Zingatia neno wanaume kama kugombana ni kugombania pesa tuuuu
@Sweetnaah28 күн бұрын
Kiredio uko wapi na mimi nataka unifanyie challenge
@EliaGersondamsonkilonji-xw1lmАй бұрын
Sema nn br hapo jamaa naona alipaniki 2 but hana maana ya kuwa dem wake hampend