No video

NILILALA NA FRED VUNJABEI / SIONGEI NA GIGY /MONI ALINITESA

  Рет қаралды 112,669

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 155
@andrewkazungu6542
@andrewkazungu6542 Жыл бұрын
Nzr sana.
@salmaomary80
@salmaomary80 3 жыл бұрын
Huyu dem ana jua kupangia maneno sana nakupenda sana my nilikua siku elewiii ila nita anza kukufatia my love
@giventweve8602
@giventweve8602 3 жыл бұрын
Diva shikamooooooo jamn mlete fahma anajikutaga sana annakwepa intavyuu yaan nimekukubali
@merecianaleonidas6338
@merecianaleonidas6338 3 жыл бұрын
2015 means ulikua form one, tayari unamjua Fred unaingia na kutoka Town.ha ha haa.hawa wasanii ni pasua kichwa na stories zao
@zenamgwao9751
@zenamgwao9751 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@separatebetres5315
@separatebetres5315 3 жыл бұрын
Sio watu hawa
@catherinemhagama7505
@catherinemhagama7505 2 жыл бұрын
Mara form one 2015 Mara form two niliishi nae Moni Sasa mtt wa sec, unaishije kwa wanaume bado upo na wazazi. Napenda maswali ya Diva ya kisomi ila huyu Dada umizwa kichwa mengine SI mkweli.
@catherinemhagama7505
@catherinemhagama7505 2 жыл бұрын
Umetisha Diva nakupenda buree
@johariyahya7886
@johariyahya7886 3 жыл бұрын
Diva unawakaba sana na maswali khaaaaa 😀😀
@narjey2611
@narjey2611 3 жыл бұрын
Diva unakaba sanaaa😂😂😂😂😂wallahi dah adi raha unapaswa umuhoji fahima yule ng’ombe anajikutaga mgumu sana Fahima please nexttt
@wivinemwamini9110
@wivinemwamini9110 3 жыл бұрын
DIVA GOOD KUNA WAtu hawajuwemaswari ukonomaDiva
@sharinv8864
@sharinv8864 3 жыл бұрын
Divaaa maswali uko mbele 💥💥💥💥
@giventweve8602
@giventweve8602 3 жыл бұрын
Yaan diva ni diva tuu nakupenda we dada unasaut aisee
@enjoomaliya1399
@enjoomaliya1399 Жыл бұрын
Nai , Niffer , nawapenda sana , afu wazuri ,
@pillyolsen8377
@pillyolsen8377 3 жыл бұрын
Fred ata wamaliza mastaa wa kike wa bongo Kwakweli mnajizalilisha bora ata mfanye biashara kuliko mnavyo achiana mabwana na maradhi haya
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 3 жыл бұрын
Hivi umeskia ngoma ya #TrueBoy #HAWAKATAI?? This is what he means....😂😂
@lordthelpus7577
@lordthelpus7577 3 жыл бұрын
Ummm who are these ladies? Everything about this aesthetically? OMG! They killing it. Well done. 👏🏾👏🏾👏🏾 👁👄👁
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 3 жыл бұрын
Diva ni fireee🤗💟gigy bangi znamsumbua.haya mwaya pambana usiachie kitumbua kikaliwa na kila mmoja mwsho ataetaka kukuoa atakuja aone uwanja wa mkapaa...sawa nai?
@nasinalaw8740
@nasinalaw8740 3 жыл бұрын
Fredy kumbe malaya hivyo khaah😔
@lizzydiy4590
@lizzydiy4590 3 жыл бұрын
Wanyakyusa tuna comment wapi?
@marianajoachim9411
@marianajoachim9411 3 жыл бұрын
2016 alikuwa 4m2🙄 Hawa wasanii wetu mbona kazi sana 😂 😂 😂
@nasibukhingengena455
@nasibukhingengena455 3 жыл бұрын
😂😭
@cherrydinero7181
@cherrydinero7181 2 жыл бұрын
Ko 2ko sawa😂😂aya ila mi cna fame kama ake
@jackyjacob2105
@jackyjacob2105 Жыл бұрын
Waah huyo fred noma anawachanganya mastar wote kweli pesa shkamoo 😅😅😅😅🙌
@faridakidoti6734
@faridakidoti6734 3 жыл бұрын
Duh Fred unawatumia Sana slay Queen
@fetychina3273
@fetychina3273 3 жыл бұрын
Bora hamisa ulivyo jikataa huyu fred ni malaya sana
@tsagytz6755
@tsagytz6755 3 жыл бұрын
Ukiwa na ela lazma utafune nyama. No bakola tu
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
Kwel Mana kamjua Ila anawza kua anazururaa nao kisa anione yy anapendeka kwasbb hamisa kamkataa ttzo ilo
@joharibashiri2446
@joharibashiri2446 3 жыл бұрын
Yani gigy kila nimuangaliapo Haki simsomi before nilikuwa nacukulia nimceshi Tu lakini now naona Kama Kuna kitu kashaanza hakipo Sawa kwenye ubongo wak
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 3 жыл бұрын
Mmmmh hiii tabu fred anatembea na vichaaa watamuanika hawa vicheche akome
@isaacsimon3580
@isaacsimon3580 3 жыл бұрын
Huyu binti anaongea uongo mtu, ,
@lovenesssarungi2193
@lovenesssarungi2193 3 жыл бұрын
Nai amejibu vizuri sana
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 3 жыл бұрын
Fred alikusapoti na dyudyu la yuyuuuu😂😂😂
@zou7470
@zou7470 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@neemaalex728
@neemaalex728 3 жыл бұрын
😂😂
@hassanchauluwa7308
@hassanchauluwa7308 3 жыл бұрын
😁😁😁
@rosetembe3785
@rosetembe3785 3 жыл бұрын
Kama namuelewa hivyo, gigy anamchuchunge mchafu,na kujikutaga mnyamwezi kumbe fala tu
@dallasfarmer924
@dallasfarmer924 3 жыл бұрын
Hustler wanaichukuliaje Hawa 😂😂😂😂 😂😂😂😂😂😂
@veeJesus
@veeJesus 3 жыл бұрын
😂😂
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 3 жыл бұрын
Hawajui hasa nn maana yke wanajiongelea tu
@mariyammariyam6584
@mariyammariyam6584 2 жыл бұрын
Nahis wanaongea tu kama wanavyojua wao ila means hawajui lolote hustler
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅awaelewiiiii
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 2 жыл бұрын
😀😀😀
@cecymosha4528
@cecymosha4528 3 жыл бұрын
Nakupenda nai
@vickykapama8386
@vickykapama8386 3 жыл бұрын
Eti ni kawaida kuishi nyumba za millioni!? Wakati NYETI ZAKO NDIYO ZINAHANYA KWA KUBULUZWA KWA WANAUME WENYE NOTI ILI ULIPIWE KODI!! Khaa kweli mtoto mpumbavu ni Mzigo kwa WAZAZI WK🦉🦩🐉
@aboukefea6669
@aboukefea6669 3 жыл бұрын
Wanaume WENZANGU tutafuteni hela...
@jescajulius8023
@jescajulius8023 3 жыл бұрын
Bora ww umelitambua
@eunicemaduhu484
@eunicemaduhu484 3 жыл бұрын
fred , fred, fred nakuita mara tatu , hilo pweza lako tuliza , jamani wote hao, wanaume tafuteni hela mtaishia kuwapa hi! shemeji
@brightluvanda2795
@brightluvanda2795 3 жыл бұрын
Sema na huo ukimwi je?utawaacha? Hiv is real jamani!!"
@janethpallangyo2633
@janethpallangyo2633 3 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@benomdaile7271
@benomdaile7271 3 жыл бұрын
Fredi vunjaa bei ana vunjaa bei Kwa madada
@jacksonnduna4419
@jacksonnduna4419 3 жыл бұрын
Bongo kumpata seroius artist, yaani kwenye mia, unaweza upate wawili tu wengi wao ni vituko tu au kutafuta ku trend
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 3 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄Sasa siulele na dunia nzima na ww maisha Yenyew mafupi ay
@sarafinahmwakyusa1071
@sarafinahmwakyusa1071 3 жыл бұрын
Cool cool😊
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 3 жыл бұрын
Fred atawala wengi sana kwa sababu wadada wenzangu wanajilahisisha sana awasemi na njaa zao
@fetychina3273
@fetychina3273 3 жыл бұрын
Kabisa wataliwa sana
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 3 жыл бұрын
@@fetychina3273 haswaaa
@justinafyondi8455
@justinafyondi8455 3 жыл бұрын
@@fetychina3273 Dah nomah san!!
@linnusaloyce6559
@linnusaloyce6559 3 жыл бұрын
Kabisa mama
@salamaignace7873
@salamaignace7873 3 жыл бұрын
Tamaa za kutaka mambo makubwa ili hali hawana hata uwezo wa kumiliki, and angalia kwa jinsi walivyo wadogo jaman!!
@fatumaabdallah6720
@fatumaabdallah6720 3 жыл бұрын
Hahaaa Fred amekula hapo et kakayangu nyoooo unajikanyaga t kuongea ,,,,,,Ila wasichana wa bongo msipokuwa makini Fred atawala wote
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 3 жыл бұрын
Wataliwa sana wanapenda mtelemko sana
@brightluvanda2795
@brightluvanda2795 3 жыл бұрын
@@dottohamisi9844 na yeye fred ataliwa na ukimwi!!"?
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 3 жыл бұрын
@@brightluvanda2795 😃😃😃😃😃hatali
@bonnysure8706
@bonnysure8706 3 жыл бұрын
@@dottohamisi9844 We mwenyewe unamtaka Fredy acha upimbi
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 3 жыл бұрын
@@bonnysure8706 mm hata sihitaji mwanaume
@ashakijaji5869
@ashakijaji5869 2 ай бұрын
Katika vitu hatar hapa duniani ni kudate na mtu ambaye anamahusiano mengi,hapo utakuwa unasubir ukimwi uhakika.
@franklinmganga736
@franklinmganga736 3 жыл бұрын
izo ndo ps za town 😂😂😂😂😂njaa hizi hataleee
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 3 жыл бұрын
Big up Diva unajua kuwakaba!🤣🤣
@neemaalex728
@neemaalex728 3 жыл бұрын
😁😁
@neemaratib6810
@neemaratib6810 3 жыл бұрын
Mwanamke akiumizwa na mwanamume basi akili yake haifanyi kazi huangukia kwa mwanamume atakaye mpa bega la kulilia.
@adamumussaadachadachief2169
@adamumussaadachadachief2169 3 жыл бұрын
Fact
@vikkiadam1004
@vikkiadam1004 3 жыл бұрын
Vua miwani tukujue sura yako
@Chimamy5242
@Chimamy5242 3 жыл бұрын
Ukweli mtupu
@maimunamumwi4507
@maimunamumwi4507 Жыл бұрын
Woiiih nimechekaaa🤣
@jonsonigwakisa1162
@jonsonigwakisa1162 2 жыл бұрын
Mwongo huyu 2016 form two
@salmahibrahimsalmahibrahim5427
@salmahibrahimsalmahibrahim5427 3 жыл бұрын
Uyu nae
@ashantyjojo5298
@ashantyjojo5298 2 жыл бұрын
2016 upo forn 2017 ukaanza kukaa na bwana uwiii shule ikaishia apo
@ibraimoissiaca6058
@ibraimoissiaca6058 3 жыл бұрын
Moni kasimama km man hata mm nisingekubali madharau
@fetychina3273
@fetychina3273 3 жыл бұрын
Hivi kuibiana ma bwana mnaona nidili jamani???atakutaka vipi na Kesha kulamba tayari Kesha kufunua mnatia mpaka kichefu chefu mxxxxxxxxxxxw 😏😏😏
@mamausilamy1360
@mamausilamy1360 3 жыл бұрын
Kweli kabisa fety, mambo fety
@Bengo_OnlineTv
@Bengo_OnlineTv 3 жыл бұрын
Nai unajua sana jinsi ya kujibu maswali nmekupenda bure
@khadijanjama8721
@khadijanjama8721 3 жыл бұрын
Hapa hamna kitu Fred ashajishindia
@ikrissaidrissa8613
@ikrissaidrissa8613 3 жыл бұрын
Fred alimega kisela 🤣🤣
@manirakizahashim9967
@manirakizahashim9967 3 жыл бұрын
Hahaha
@sarafinahmwakyusa1071
@sarafinahmwakyusa1071 3 жыл бұрын
Say Ayeye
@user-xh7vw4kk7o
@user-xh7vw4kk7o 3 жыл бұрын
Nice
@veeJesus
@veeJesus 3 жыл бұрын
Nai anaongea kama wolper
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 жыл бұрын
We nai unajichubua naona vidole vinasugu veusi
@georgesikazwe5914
@georgesikazwe5914 3 жыл бұрын
Jichubue na wewe..acha wivu
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 жыл бұрын
@@georgesikazwe5914 unateseka ukiwa wapi 😀😀😀
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 жыл бұрын
@@gillimangi5522 soon nitaanza kujichubua my 😄😄😄
@sikudhanimohammad7692
@sikudhanimohammad7692 3 жыл бұрын
@@gillimangi5522 kwani kwao ni wapi
@florencychilango9198
@florencychilango9198 3 жыл бұрын
@@jenifajuma5395 Wadada tunawivu sana sasa unaangalia mahojiano au unaangalia maungo yake
@fralex_1276
@fralex_1276 3 жыл бұрын
Oky
@hatari9591
@hatari9591 3 жыл бұрын
Uhuru gani huo?
@mugwevenant1963
@mugwevenant1963 3 жыл бұрын
Shikamoo pesa
@nasibukhingengena455
@nasibukhingengena455 3 жыл бұрын
Tume drinks😂😂
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 3 жыл бұрын
Hivi umeskia ngoma ya #TrueBoy #HAWAKATAI?? This is what he means....😂😂
@wivinemwamini9110
@wivinemwamini9110 3 жыл бұрын
Kuna bwanamumbaya unawezavumiriyaunashidwa japokuwa nyiye hamujaolewa niumalayatupu
@tukaeamani7090
@tukaeamani7090 Жыл бұрын
Muwe mnaangaliaga mawani ya kuvaa jamani , hiyo mawani kama fundi welding vipi kisha umevaa usiku, vua bana
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 3 жыл бұрын
Wanawake bhana wakisaidiwa kidogo tu wanajiachia duuh sio watu wakuwaamini!
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 3 жыл бұрын
Hivi umeskia ngoma ya #TrueBoy #HAWAKATAI?? This is what he means....😂😂
@syphroseshazala6854
@syphroseshazala6854 3 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@erickmahona5357
@erickmahona5357 3 жыл бұрын
Nai mbn sikuelew kweny vunj bei apo unaingia mala unatok
@paulmarcel1026
@paulmarcel1026 3 жыл бұрын
Ulisharubuniwa ww! Vp shule ulimaliza ?
@lisahsamwel3508
@lisahsamwel3508 3 жыл бұрын
2015 alijuana na fredy akiwa anakuja mjini 2016 alikua fom 2 uko kwao jamani 😅😅😅
@amaniomballa1855
@amaniomballa1855 3 жыл бұрын
Duu inaonekan Alianza kupelekewa Moto toka form one maan kasem form two 2016 ...2015 Alikuwa Anaenda kwa Fredy
@Bengo_OnlineTv
@Bengo_OnlineTv 3 жыл бұрын
Ujue sometimes sisi wanaume huwa tunazingua sana ujana uplayboy na tamaa ndio vinatufanya tuwalize sana mwanamke hebu tuache ili tuweze kuwa waaminifu kwa tuwapendao nmejifunza kitu hapo
@humphreyalbano3349
@humphreyalbano3349 3 жыл бұрын
Kweli bro na wao wapunguze tamaa za pesa
@makulaikuku6909
@makulaikuku6909 3 жыл бұрын
Ujengewe sanam lako posta😂
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 3 жыл бұрын
Ulinzi unatakiwa kwa hyu kijana🤣
@Bengo_OnlineTv
@Bengo_OnlineTv 3 жыл бұрын
Huwa naumia sana kuona mwanaume anamfanyia mwanamke ujinga ndio maana naogopa kumliza mtu nliyenae yan anafikia hatua ya kuniambia kuwa nikimuacha na yeye anajiua eti kisa sijawahi fanya kitu negative kwake kwenye swala la mapenzi pls mans hebu tuwe na huruma unakuta mwanaume anamcheat her girl kwa best yake alaf anachukulia fine kabisa ila sisi wanaume tutakuwa na moto wetu private siku ya mwisho
@esterngowi7159
@esterngowi7159 3 жыл бұрын
@@Bengo_OnlineTv mungu akueke brother love thiz
@tukaeamani7090
@tukaeamani7090 Жыл бұрын
Kupendeza gani huko kama fundi Welding
@elizabethhonere2931
@elizabethhonere2931 3 жыл бұрын
Kumbe huyu Fred ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine anawapanga tu ukimuona huwezi kuamini
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 3 жыл бұрын
Si wanajirahisisha wenyewe!
@zikirination6769
@zikirination6769 3 жыл бұрын
Njaa 😅😅😅
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 жыл бұрын
Ila huyo Gigi money nae kila mtu unagombana nae hebu acha kujiamini Sanaa ujeuri umekujaa mdomo mchafu Sana yaani Gigi money huwa nakupenda ila kwa hizi bifu za kijinga na wenzio tu jirekebishe bhana unakera Sana Gigi
@aminamtikaonlinetv7305
@aminamtikaonlinetv7305 2 жыл бұрын
Tatizo ukuwa na mapesa wadada wanajileta wenyewe so kama huna msimamo aiseee utapiga sana.
@moseskitangita915
@moseskitangita915 Жыл бұрын
dada zangu mumejitwisha dunia kwa tamaa inaonekana ww ulimchiti moni maongezi yako yanakusuta ww tamaa
@ginamulenga1878
@ginamulenga1878 3 жыл бұрын
@Fred vunjabei Come See Your Trouble
@paulmsape163
@paulmsape163 Жыл бұрын
Mliingiliana nyie,lakini km mlishayamaliza potezea tu
@michaelnzunda7347
@michaelnzunda7347 3 жыл бұрын
Aka nakenyee aka katoke zake uko hakana utofauti na kuku kishingo
@zenamgwao9751
@zenamgwao9751 3 жыл бұрын
2016 form2 na 2017 anaish na mon🤔
@salamaignace7873
@salamaignace7873 3 жыл бұрын
Imagine, means hajamaliza shule huyo
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 2 жыл бұрын
Hakumaliza shule itakua
@aishahamissi3775
@aishahamissi3775 3 жыл бұрын
Diva menakukubali unajuwa kuhoji kabisa
@hiland255fundi5
@hiland255fundi5 3 жыл бұрын
Umalaya shida kwel mtoto wa watu unajing'atA sana, Dunia iko mbio mno
@speroachpaulsen
@speroachpaulsen 3 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️❤️
@bashirusalehenandoro3128
@bashirusalehenandoro3128 3 жыл бұрын
Fred aisee amewakula sana hawa wadada 😂😀😃
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 жыл бұрын
Si wanapenda pesa wataliwa2
@saidramadhan5396
@saidramadhan5396 3 жыл бұрын
Kwastaili hii amewala mnoo😅😅😅
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 жыл бұрын
@@saidramadhan5396 sana 🤣🤣🤣
@bashirusalehenandoro3128
@bashirusalehenandoro3128 3 жыл бұрын
Na mwamba simu moja tu anapitisha piza analipa kod ya miez 3 alafu mbele huko utajitegemea
@dfinafriga9863
@dfinafriga9863 3 жыл бұрын
Nipesatu🤣😂
@aprow2059
@aprow2059 Жыл бұрын
Malaya tu wategemezi
@lovelylee7296
@lovelylee7296 3 жыл бұрын
Haha
@isackmaturo7331
@isackmaturo7331 3 жыл бұрын
Kwahyo ulikua unasoma huku umeolewa namaanisha ulikua unatoka kwa mume unaenda shule
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 2 жыл бұрын
Inawezekana
@wivinaanatory7813
@wivinaanatory7813 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@jacksongidion2767
@jacksongidion2767 3 жыл бұрын
Y
@jacksongidion2767
@jacksongidion2767 3 жыл бұрын
Atawamaliza Frid vunja bei
@allyshamte1802
@allyshamte1802 3 жыл бұрын
Vimeo tu hivi! Tamaa mbele umauti nyuma, pumbavu zao.
@fettyobah7855
@fettyobah7855 3 жыл бұрын
Nilikua skupend we dda bt nw nimekuelewa, unaakili San
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 3 жыл бұрын
Pumbavu tupu
@juniorjoseph7044
@juniorjoseph7044 3 жыл бұрын
muongo
@nishaabias5694
@nishaabias5694 3 жыл бұрын
I am mnyama mkali😂
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 2 жыл бұрын
😀😀😀
@nyandabukombe9291
@nyandabukombe9291 3 жыл бұрын
Mkukuje huku tulane
@kapeljjkapeljj5407
@kapeljjkapeljj5407 3 жыл бұрын
Disgusting
@jorgettemwajuma5428
@jorgettemwajuma5428 3 жыл бұрын
Nice
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 19 МЛН
wow so cute 🥰
00:20
dednahype
Рет қаралды 30 МЛН
Секрет фокусника! #shorts
00:15
Роман Magic
Рет қаралды 36 МЛН
小丑把天使丢游泳池里#short #angel #clown
00:15
Super Beauty team
Рет қаралды 47 МЛН
WAWILI WATIWA MBARONI KWA MAUAJI SINGIDA.
4:47
CALES TV
Рет қаралды 1,1 М.
SIKIA RAIS ALIVYOMSIFIA MAKONDA ARUSHA
33:35
Tbr24 Media
Рет қаралды 553
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 19 МЛН