No video

VUNJA BEI AVUNJA UKIMYA KUHUSU NIFFER KWA MARA YA KWANZA / AFUNGUKA KUMSAMEHE

  Рет қаралды 142,378

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

VUNJA BEI AVUNJA UKIMYA KUHUSU NIFFER KWA MARA YA KWANZA / AFUNGUKA KUMSAMEHE
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 154
@dottohami
@dottohami Жыл бұрын
Huyu kaka hata hajisikii kabisa masha Allha 😘🔥
@tiffanyakramJr822
@tiffanyakramJr822 Жыл бұрын
Kama ni kweli mhe joketi amezalia hapa, salute kwake👮‍♀️.. Jamaa kapoa we muache adange ila Umejua kuchagua🤓🤓
@sudymgeni701
@sudymgeni701 Жыл бұрын
Uzuri wa jamaa ajisikii kabisa kabisa.yuko kawaida sana.mungu akuongoze mkaka
@yumnaaa4057
@yumnaaa4057 Жыл бұрын
Love you vunja bei🥰
@aminihamisi3551
@aminihamisi3551 Жыл бұрын
Huyu jamaa ni genius sana
@khayraa7374
@khayraa7374 Жыл бұрын
Rich and humble 🙏🏽♥️ thats why he keeps growing.
@rosekaiza2716
@rosekaiza2716 Жыл бұрын
Yaani huyu vunja bei yuko vizur sana yaani kapoa hana kelele anajibu kutokana na maswali anayoulizwa wala hajimwambafai yupo kama muha wa kigoma!
@sistermery4581
@sistermery4581 Жыл бұрын
Kaka uyu ni genius sanaaa i love youuu
@lareineminah1353
@lareineminah1353 Жыл бұрын
Wema ame ingiya kwenye familiya na ku unganisha watu Ndo sifa ya mwanamke 😍😘
@kysredy6498
@kysredy6498 Жыл бұрын
lla vujabei bhana 🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌 ana kicheko cha KIBOSS sana 👌👌❤️❤️❤️❤️
@neemamkemae2580
@neemamkemae2580 Жыл бұрын
Ni boss ndio pesa anayo ana xhida gn
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Saana yaan hatumii nguvu😅😅
@kysredy6498
@kysredy6498 Жыл бұрын
@@salomewandya7257 👌🤣
@milleniumkibasa8773
@milleniumkibasa8773 Жыл бұрын
This is so intelligent I appreciate so much
@victoriakajembe7716
@victoriakajembe7716 Жыл бұрын
Very gentle nakupataje Fred nipate ushaur wa kibiashara
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 Жыл бұрын
Mmmm
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Saaafi saana Fred amemkubali Chimama👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🥰😍😍😍
@lareineminah1353
@lareineminah1353 Жыл бұрын
"Ninatakiwa niwe kwenye kushukuru" we vunjabei😍😍😍
@godfreykanelela9139
@godfreykanelela9139 Жыл бұрын
Very intelligent man
@fatufatu5754
@fatufatu5754 Жыл бұрын
Binafsi namkubali sana Fred , nataman uwe tuu joket uache yote Kwan maisha ndo haya haya tuu kaa bana na DC wetu mm napenda mkiwa pamoja
@gracejoseph9451
@gracejoseph9451 Жыл бұрын
Nakukubali sana kibiashara Kaka ww na mond mnajua kupambana
@josehpJunio
@josehpJunio Жыл бұрын
😡😡😡😡😡😡
@Siti_maroneit
@Siti_maroneit Жыл бұрын
Kajibu kisomi sanaaa.woow
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
Kheee Matunda ashakua yule dada jamani nyie mapenzi haya 😂😂😂🙌🏻
@sophiamfikwa7340
@sophiamfikwa7340 Жыл бұрын
Bos kama bos ...vizur sana
@lloveyoutanzania5315
@lloveyoutanzania5315 Жыл бұрын
Hili jamaa linaonekana lina madigrii kwa sana
@nanziamsifuni8090
@nanziamsifuni8090 Жыл бұрын
Asante kutuletea duka zuri.
@sabrakimaso3547
@sabrakimaso3547 Жыл бұрын
Good
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
Angekuwa kaka yangu huyu ningechota sana madini kwake
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Жыл бұрын
Tunajivunia natunashukuru Mungu kwakweli
@peterdavid4230
@peterdavid4230 Жыл бұрын
umazaliwa kupambana na kumcha Mungu na kupata mahalifa acha ushoga
@ramamrutu4914
@ramamrutu4914 Жыл бұрын
Tuache unafiki this man ni zaidi ya mo kwa vijana wanaotafuta maisha ana madini kwa entrepreneur
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
@@ramamrutu4914 hujakosea kk wenye chuki hawaelew
@margaretlyimo2215
@margaretlyimo2215 Жыл бұрын
I like it
@lucykristensen7145
@lucykristensen7145 Жыл бұрын
Mtangazaji sauti kali sana
@maimunaulotu2075
@maimunaulotu2075 Жыл бұрын
Mpk anakera
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Huyu mwamba ninahamu Sana kuonana naye ili angalau nipate hata Kijiko kimoja cha Madini ya upambanaji hasa kutafuta pesa. VUNJA BEI
@mkundukunuks
@mkundukunuks Жыл бұрын
Ahhh
@mkundukunuks
@mkundukunuks Жыл бұрын
Utafirwa wewe
@meshakinelisoni1176
@meshakinelisoni1176 Жыл бұрын
Jiamini umezaliwa kushinda ..kumcha Mungu ni chanzo chamahalifa
@tayk4745
@tayk4745 Жыл бұрын
Nenda kidimbwi utamkuta
@pozclever854
@pozclever854 Жыл бұрын
👍👍👍👍
@lightnessmsangi3148
@lightnessmsangi3148 Жыл бұрын
Yaaaani pesa haina kelele Jamaa yuko simple sana
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 Жыл бұрын
Nataman siku moja uwe Rais wa Tanzania kaka yaan husikii wala nin 🥰🥰
@rehemabenedict7966
@rehemabenedict7966 Жыл бұрын
acha ujinga wewe 😂
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 Жыл бұрын
Nitaacha nikikua🤣🤣🤣🤣🤣
@hollymore4904
@hollymore4904 Жыл бұрын
Nkajua Mikono ya alliya imeshika mic🤣
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Жыл бұрын
Ccm ni Yanga achana nao afu huendani nao ishi na Chadema bro
@alicenice1711
@alicenice1711 Жыл бұрын
Mawazo yaki kolo tuu
@shukranitv2971
@shukranitv2971 Жыл бұрын
Msomi ni msomi tu fredy huwa hakwep swali anajibu nicee
@travellertraveller4505
@travellertraveller4505 Жыл бұрын
Tyrese
@salimakuyela7813
@salimakuyela7813 Жыл бұрын
Vunjabei na niffa Tena situmekubaliana fungal mwaka harmonize na kajala 🤣
@wennceslausmushi2356
@wennceslausmushi2356 Жыл бұрын
Huyu kaka ana akili sanà
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Sawa fred
@zuenampandeni3347
@zuenampandeni3347 Жыл бұрын
kusamehe ni jambo zuri
@salimmdule405
@salimmdule405 Жыл бұрын
As a group😂😂 wamesamehewa
@suleymanmakiwa1651
@suleymanmakiwa1651 Жыл бұрын
Wote kwa pamoja kwa umoja wao wamepata msamaha
@hawashaweji3469
@hawashaweji3469 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@mkamajames2786
@mkamajames2786 Жыл бұрын
Mtangazaji anamikono yakike kweli😁
@rukaiya86
@rukaiya86 Жыл бұрын
Wewe nae mchunguzi😂😂😂😂😂
@kysredy6498
@kysredy6498 Жыл бұрын
​@@rukaiya86 🤣🤣🤣🤣
@hatwabiswalehe262
@hatwabiswalehe262 Жыл бұрын
😀😀😀
@khadijeegundumu4651
@khadijeegundumu4651 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 kwakwer
@zena6203
@zena6203 Жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀
@mwanzashinyanga8060
@mwanzashinyanga8060 Жыл бұрын
nakukubari mwamba
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
👏👏👏
@fredrickyjames3689
@fredrickyjames3689 Жыл бұрын
kaka njoo kwenye beti kaka kama una bahati ya kushinda maana mikeka huku so poa yan njoo utupe tips
@janethdavidsanga5999
@janethdavidsanga5999 Жыл бұрын
Uzuri wetu wakinga tunasambaza upendo hatunaga vinyongo
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 Жыл бұрын
Hivi na king msukuma nae si ni dokta eee
@heriethmichael6138
@heriethmichael6138 Жыл бұрын
Mashem noma sana
@officialthekillertzbaddest8315
@officialthekillertzbaddest8315 10 ай бұрын
Ok vunjabei
@mariamusaulo4429
@mariamusaulo4429 Жыл бұрын
Vunja bei ana akili kubwa
@MaaneML
@MaaneML Жыл бұрын
Whozu ni ndugu wa Fred Vunjabei? Wa kuzaliwa tumbo Moja? Maana Whozu hiyo rangi ya ngozi sijui ndiyo ya mama au Baba.
@zuhurafaustine6934
@zuhurafaustine6934 Жыл бұрын
Hapana ni mdogo wake frank knows
@morismontego3241
@morismontego3241 Жыл бұрын
Whozu n mdg wa rafiki yk vunja Bei apo anaitwa Frank kwons
@blackpanther4825
@blackpanther4825 Жыл бұрын
Hawana undugu
@teddyndungurusabnu4792
@teddyndungurusabnu4792 Жыл бұрын
hahaha no whozu anakaka yake nae ni mfanya biashara mkubwa na nimarafiki wakubwa na fred so whozu anamuita fred kaka kupitia kaka yake huyo wa damu
@saradaniel4579
@saradaniel4579 Жыл бұрын
Fred 💎💎💎💎
@iddymbuma2856
@iddymbuma2856 Жыл бұрын
Sisi tunasapoti had mwisho
@homesaickofficial7407
@homesaickofficial7407 Жыл бұрын
Sema jamaa yupo sirious iv ayupo kweny chama kweli cha freemason mana mmmmh 😁🙆‍♂️🤭
@elieneapalangyo6938
@elieneapalangyo6938 Жыл бұрын
Sasa kama hapo amejichubuwa huko mwonza alikuwaje
@adamally6
@adamally6 Жыл бұрын
😀😀
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Mbona hajaongea vibaya,,Tunda amemtukana bure huyu kaka
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 Жыл бұрын
Nilishawai kumuona muwembe yanga huyu fred na team yake ya to much money wakikwenye gari sema namkubali sana
@saeedmassoud256
@saeedmassoud256 Жыл бұрын
Mzawadie nduku bas 😁
@lucynelsonmungure1719
@lucynelsonmungure1719 Жыл бұрын
Vunjabei si mtu wa madrama ila mnamlazimisha kuwa mtu wa madrama kwa kuokota umbea kwake...ila ni mtu anaeweza kuwakabili waandishi wa habari kwa majibu yake ya mkato
@Luscious6826
@Luscious6826 Жыл бұрын
🤣🤣 as a team wamesamehewa
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
👍🙌📌
@roberttagaya9098
@roberttagaya9098 Жыл бұрын
Mwanaume gani anakuwa na mikono ya kike hivi?
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
najiuliza watu walio toka kimaisha kwanini wanakimbilia Chama cha mapinduzi nasivyama vingine? jibu nimepata nalo ni moja tu (ubinafsi
@musason1680
@musason1680 Жыл бұрын
Bado hujapata jibu n kuwa karb na watu wenye nguvu ili kulinda mali zao
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
@@musason1680 jibu ni hilo... watanzania wana ubinafsi sana kwamba kwasababu wao tayari wameshatoka kimaishana, basi wanaona hakuna sababu ya kuwasemea watanzania wengine wenye hari ya chini ambao ni wengi.ndomana kila mtu akitoboa jambo la kwanza ni kulipia kadi ya ccm
@shadrackmohamedi8765
@shadrackmohamedi8765 Жыл бұрын
Ubinafsi si Sana. Kikubwa wanajitengenezea ulinzi wa mambo yao. Ukiwa chama pinzani, ni rahisi kupotea ktk kila utachokifanya.
@frankrobertkomba2318
@frankrobertkomba2318 Жыл бұрын
Ramadhan hii watu wanakimbilia kule ndo kwenye usalama wa biashara hadi mali zao maana viongozi na watu wanyazifa za juu ni rahisi kuwasiliana nao endapo mtu utapata changamoto.
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Жыл бұрын
Mapenzi ya MITANDAONI,NINYAUNGO KABISAAA! Mnawaharibu saana VIJANA WA LEO HIZO zenu ni FILM sio mspenzi 👀
@naymar8823
@naymar8823 Жыл бұрын
🤣🤣🤣 mashem Shem🙌🙌
@tunuwarsam1762
@tunuwarsam1762 Жыл бұрын
Mashemshem😂😂😂😂🙌
@deusmallya3384
@deusmallya3384 Жыл бұрын
👊👊👊👊👊
@deusmallya3384
@deusmallya3384 Жыл бұрын
Huyu mwamba namkubali sana
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 Жыл бұрын
mpambano uendelee🤣🤣🤣🤣
@browndebora2195
@browndebora2195 Жыл бұрын
mtu msomi hutamjua tu hata anavyoongea.
@ommylee2497
@ommylee2497 Жыл бұрын
Mwinjaku jeevsio mdomo😂😂😂😂
@robertabel6984
@robertabel6984 Жыл бұрын
Kwakweli hata anavyoandika tu utamjua huyu sio msomi
@zena6203
@zena6203 Жыл бұрын
Sweety heart Fredi nakupenda sana sauti muonekano wako rangi yako lakini sura mmhhhhhhh no comment huna kabisa ila mengine ilove it
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 Жыл бұрын
Ukitaka sura utakesha sana
@zena6203
@zena6203 Жыл бұрын
@@safiyatheonlything7848 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 Жыл бұрын
Kama sura umba wako
@zena6203
@zena6203 Жыл бұрын
@@jazeerajuma5014oyanimesema sura sijasema mbaya wala nzuri kwani shida ipowapi
@robertabel6984
@robertabel6984 Жыл бұрын
Kinacholiwa ni chini sio uso mi naona sawa tu jamani au vipi wadau
@emmanuelmeena6542
@emmanuelmeena6542 Жыл бұрын
🥴🥴
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Жыл бұрын
Bonge la interview
@salumtanganyika9551
@salumtanganyika9551 Жыл бұрын
😝
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@elieneapalangyo6938
@elieneapalangyo6938 Жыл бұрын
Angalia mikono yake amejichubuwa
@kysredy6498
@kysredy6498 Жыл бұрын
Langi yapesa hiyo 👌😍
@theresiabartholomeo5783
@theresiabartholomeo5783 Жыл бұрын
Duh.... Sasa kajichubua na usoni mweusi😂
@sixmundleonard2135
@sixmundleonard2135 Жыл бұрын
Hujui nyamaza
@TravellersTv1
@TravellersTv1 Жыл бұрын
Kajichubuaje mikono sura asijichubue wabongo bana khaaa
@raniakhan5463
@raniakhan5463 Жыл бұрын
Tafuta pesa acha shobo .kujichubua pia ni dalili ya utajiri .bila pesa huwezi
@theresasimba7372
@theresasimba7372 Жыл бұрын
Good
@angelwilliam3471
@angelwilliam3471 Жыл бұрын
Good
NILILALA NA FRED VUNJABEI / SIONGEI NA GIGY /MONI ALINITESA
20:04
Wasafi Media
Рет қаралды 112 М.
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
00:19
Wian
Рет қаралды 37 МЛН
Cute kitty gadgets 💛
00:24
TheSoul Music Family
Рет қаралды 15 МЛН
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 84 МЛН
Please Help Barry Choose His Real Son
00:23
Garri Creative
Рет қаралды 23 МЛН
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
00:19
Wian
Рет қаралды 37 МЛН