Bonyeza neno SUBSCRIBE kisha bonyeza alama ya kengele ili uwe wamwanzo kupata video zetu mpya
Пікірлер: 149
@rashid3562 Жыл бұрын
Uyo Muhammad bachu mnafik San kuwani nae makini sna
@musabahaliou-lo9xe23 күн бұрын
Wailaka! Mche mungu
@ElsieMunezero2 ай бұрын
Manshallah tabarak allah nafurai saan uislam ni raaha
@user-ou2og1ze9d4 ай бұрын
Amin huu ndio uislam hongereni sana mashekhe tushikamane
@suleali49152 жыл бұрын
Nimefurahi sana shekh Muhammad ila ningependa ukutane na shekh izudin ili muondoe tofauti zenu
@ruqiyanasir71412 жыл бұрын
Mashaa Allah hivi ndivo alivo tufundisha kipezichetu waislam tuwe pamoja namtu akikoseya akubali kurekebishwa kukoseya siyo mtototu na hata mtumzima anakoseya kurekebishana niwajibu Allah azidi kutuongoza tuzidi kusamaheyana Allah awalinde na shaar za wabaya ilimupate kutuongoza katika njiya zakher Amin ❤❤❤💯
@hajjmohd36022 жыл бұрын
Alhamdulillah , , nimeipenda sna hii ALLAH akupeni mafungamano mazuri katika kupendana kwen na akupen hojja za kuwashinda wale wanaoichukia dini ya Allah
@SmilingArchery-mt9ok4 ай бұрын
Allah ndie mjuzi tupendane kwaajili yaallah
@chabunu33672 жыл бұрын
Allah akuhifadhi Mohamed bachu umefafanua vizuri sana na kwa hikma ya Hali ya juu
@nurdinibakari22832 жыл бұрын
Mohammadi Bacho umeanza kuwa na busara ktk kuelimisha.Allaah akuzidishiye.
@feisalfarsy65622 жыл бұрын
Mashallah sheikh Muhammad bachu nafrah sana kukuona allah akubarik ww na sisi Allah akbar
@johntay88132 жыл бұрын
Mashaallah nimefurahi kuwaona walimu wa midahalo yani kumuona kaka yangu said kinyogole nimefurahi nawapendeni kwa ajili ya Allah
@chabunu33672 жыл бұрын
Sheikh Mohammed bachu wanafanana na sheikh shafi Allah ajaliye nyonyo zenu zipendane mapenzi ya Allah
@shabanihassan86782 жыл бұрын
Alhamdulillah allah akupe umri mrefu Muhammed Nassor bachu
@saidswalehe29072 жыл бұрын
Maa Shaa Allah hakika uislam ni raha Kabisa Allah atujaalie pepo ya firdaus Áaaamiiin
@salmajumanne3634 Жыл бұрын
Allahuma amin
@amaroo12202 жыл бұрын
Natoa shukran kwenu nyote ndugu zangu ma Shekhe wangu. الله يسهل في أموركم كلها
@ahmedmanhalf39902 жыл бұрын
Mashallah sheikh maneno mazuri ila kama ulivosema binadamu sio kamili... hakuna وقال الذين أُتوا العلم والإيمان.... hamna neno imani sheikh katika surah qasas aya ya 80. Allah akubarik akuzidishie elmu na fahamu njem inshallah.
@issaissah88322 жыл бұрын
Daaah laha Sanaa mtoto wa bachu amefata njia ya mzee wake Allah amu ifazi kijana wetu in shallah
@tumajunior60802 жыл бұрын
Mashallah Nawapenda nyote wahadhiri wangu kakazangu Allah awazidishie ilmu zaidi tufaidike
@user-pj8ed9kn6g2 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah nawapenda wote kwa ajili ya Allah Mwenyezi Mungu wafanyie wepesi masheikhe wote amin🤲🤲🌹🌹
@br.shillleea.k49462 жыл бұрын
Shkh Muhammad Bachu... Wallah! Nakupenda kwaajil ya Allah. Na nyote kwa ujumla.
@saidgawawa8519 Жыл бұрын
MashAllah..! Wallahy nimefrahi sana kuwaona Hawa masheikh wetu Tena vijana wenzetu kuwa pamoja ..Tena katika harakati zao kuufundisha uislamu na dini.Allah awape umbri mrefu wenye barka telee...awape afya Bora wazidi kutuelimisha sisi jamii....Allah barik!
@suzanramadhan42312 жыл бұрын
Allah awajalie afya njema na umri mrefu tuzidi kunufaika na elimu Yao amiin
@ramadhanishaibu77882 жыл бұрын
Maa shaa Allah nami binafsi nmefurah sanaa shkh muhammad
@ummesaniyah2 жыл бұрын
... I love sheikh wangu Shafi, sheikh Bachu na kinyogoli...ma shaa Allah... It takes a courage for a man to admit mistakes in public... Only real man (arRijaal) can do that... Barakallah fiikum...wajazakumullah khairan
@selemanichambo29442 жыл бұрын
Mashehe zetu mmefanya jambo zuri sana kukutana na kuondoa tofauti zenu wote mko vizuri
@mwechizumbabaraka7082 жыл бұрын
Nmefurah sana kuona Masheikh zetu wanakumbatiana kwaajil ya ALLAH
@amyassyassin790910 ай бұрын
Nawapenda kwa ajili ya Allaah. Allaah Amuhifadhi Sheikh Said Juma Kinyogoli mda mrefu hatupati vitu vyake. Allaah Amtie nguvu na subra Sheikh Muhammad Bachu asichoke kuwanyoosha masufi
@mwinshehenassib48532 жыл бұрын
MashaAllah. Hakika ndugu yetu sheikh muhammad nassor umefanya jambo zuri sana. Allah akuhifadhi wewe, sisi na wazee wetu waliotangulia mbele ya haqi.
@mohamedhaji22002 жыл бұрын
Allah amrehemu Mzee wako Sheikh Bachu, ametuachia msomi na muhadhiri mzuri wa dini, kisima cha elimu wallahi
@HijaSaid-xd7fg8 ай бұрын
Sheikh bachu Allah akupe heri, ila kuwa makini hii, dini yetu tulie pewa na Allah, watu wamejificha ktk dini, ila hawako na Allah wala Mtume,
@saudahassan6667 Жыл бұрын
Masheikh wetu allah awalinde awajaalie kher dunian na akhera inshaallaha
@nakundwamkubwe78232 жыл бұрын
Mashallah Allah atuwekee Mashekhe wetu ni Almasi kwetu waislamu.
@ndikumanaallymugisha2 жыл бұрын
MashaAllah 🙏🙏
@judieyasmiin9789 Жыл бұрын
Mashallah 🕋🕋
@khadijaallykhadijaally Жыл бұрын
Mashaallah raha sana Mashekh wetu kukutana kamaivo
@salehjuma39262 жыл бұрын
Masha allah nuru alla nuru
@ngundejkassim32522 жыл бұрын
maa shaa Allah
@mrishobhaya8965 Жыл бұрын
Kwa akika nimefurahi Sana kuasikia Shekhee Masawe Shekhee Said Shekhee Mohamed bachu Shekhee shafii Hikima kubwa mnayo Allah awazidishie kheri nyingi
@br.shillleea.k49462 жыл бұрын
Allah akulipe kheri katika jitihada zako na wote mujitahidiina ktk dini (njia) ya Allah.
@nooroman25352 жыл бұрын
MashaAllah Mashelhk tupopamoja
@mwantumjaff25892 жыл бұрын
Mashaallah!! Yaan mi nafurah sana nikiwaona,,kinyogoli, shafi, sulle, mazinge baba lao, ALLAH AWAWEKE WALLAH NAWAPENDA KWA AJILI ALLAH
@mussamgonola39832 жыл бұрын
Allah Akbar 🙏 baba lao Mazinge
@rehemamahmood Жыл бұрын
Maashallah Allah akulipe kila LA kheir
@adilhabib89882 жыл бұрын
Maa shaa allah mashekh kwa kukubaliana na shekh mwenzenu Nassor Bachu
@nahlakhaleel85732 жыл бұрын
Maasha Allah. Tabarakallah sheikh Muhammad Bachu
@sidrasidra86162 жыл бұрын
Masha Allah sheikh wangu nakupenda kwaajili ya Allah
@YahyaYahya-vp2pp2 жыл бұрын
Mualm wang muhammad
@habibaly53222 жыл бұрын
MashaAlla
@mtemi2 жыл бұрын
Maa shaa Allah Tabarakal Llah
@abyazeliud92712 жыл бұрын
Wallahi raha sana
@rokiroki18252 жыл бұрын
Walaykum salam Warahmatullah Wabarakatuh
@mshengeli24492 жыл бұрын
Maashaallah jazakumLLAHU khayra
@abdulrahmansalim9773 Жыл бұрын
MA SHAA ALLAH
@lacroquetalacroqueta68132 жыл бұрын
MashaaAllah hii imeleta mapenzi sana, inshaaAllah mashekhe zetu muendelee kushikamana hivyo hivyo nakupendana. Fajazakumullahu khairan
@duniawadunia48242 жыл бұрын
Masha"Allah
@salhacker77282 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@kassimali5112 жыл бұрын
Maash-Allah. Inatia moyo sana
@uthmanihimbawe52442 жыл бұрын
Maasha Allah
@hassanmpwepwe38262 жыл бұрын
Mashaallaah Allah awape umli mlefu mashekh we2 na a2pe mwisho mwema inshaallah
@othmanalnabhany32082 жыл бұрын
Mashallah Sheikh Muhammad bin Nassor na wenzako Mola akulipeni kheri insha Allah lkn pia tunakuombeni sisi maamuma wenu au wanafunzi wenu mnapoona kuna sheikh mwenzenu kateleza musiweke raddi hadharani ila tafutaneni kwa busara na hekma ili kuelekezana ktk khayrat na mapenzi juu ya dini yetu si vizuri kupeana vijembe masheikh kwani hawa makafiri hufurahi wanapoona masheikh wanahitilafiana na kukosoana hadharani Insha Allah Mola atupe mapenzi soote waislam na masheikh zetu
@azizisulay60052 жыл бұрын
Umeongea vizur Mashallah
@faridmbarouk2401 Жыл бұрын
Happy umenifurahisha sana hivi ndivyo dini inatak
@hassanawadh61302 жыл бұрын
Uislamu unahitaji matabiligh اللهم ثبت قلوبنا على دينك
@bongomix75662 жыл бұрын
Matabligh ni kina nani kaka
@abdulswamdenyambuka19022 жыл бұрын
Hakuna shehe hapo
@ibrahimjuma102 жыл бұрын
@@abdulswamdenyambuka1902 nenda wewe bc
@abdulswamdenyambuka19022 жыл бұрын
@@ibrahimjuma10 wap??
@jamaliramadhan51672 жыл бұрын
Hakika waislamu woote Nindugu suluhisheni baina ya ndugu zenu Allah Awaongoze na Muwe na ikhras katka hilo ishallah.
@ngundejkassim32522 жыл бұрын
una hekma nyingi sannnah maa shaa Allah, unajua kujishusha
Man'shallah ma sheihk wetu hii ndo dini sio kulumbana tuna waomba mtu samehe na sisi waumini wenu kwa matusi tulitoa kwenu ma sheihk wetu tuna wapenda sana
@muuhjunior3139 Жыл бұрын
Shekh mi naomba Kama uko dar nikimaliza masomo yangu nijiunge na darsa yako inshallah
@saudahassan66672 жыл бұрын
Waaaleikum salam warahmatulah wabarakatu
@husseinabdul79482 жыл бұрын
Allahamdurillah jaazakallahkhery
@saidkipalo44272 жыл бұрын
Uislam kwa kweli ni Raha Sana hakika hii ndio dini ya haki mbele ya MWENYEZI MUNGU
@mwinshehenassib48532 жыл бұрын
Hakika
@selemanealmasse62762 жыл бұрын
Sheikh Muhammad apo umepatia kama kila siku. Shiekh Said juma yuko fire sana.
@ukweliwauislamu95902 жыл бұрын
Masha Allah
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Maashallah tabarakallah
@ahmednurdin192810 ай бұрын
bachu kasome sheikh said anakusubiri ukamjibu
@khdigahk42462 жыл бұрын
Tunawategemea mnatupa raha wallah Allah akuwekeni
@chabunu33672 жыл бұрын
Kinyogolee kinyogolee ukipanda juu ya jukwaa makafiri roho zishawapasuka wallah tena
@saumsaid57172 жыл бұрын
Mm nimwanamke wa kiisilaam natoa posa kwa shekhe kiogolee