Kwaya Kuu ya Mt.Yosefu Kanisa Kuu la Mt.Yosefu - Dar es salaam Wimbo - Nitakushukuru katika Kusanyiko Kubwa Mtunzi - Hilary Bwagidi Albamu - Ukuu wa Mungu
Пікірлер: 78
@mwemeziponsian47952 ай бұрын
Wimbo mzuri saana,mbarikiwe
@JugoMedia4 жыл бұрын
Safi sana. Mnatubariki sana kwa nyimbo hizi. Mungu awabarikizaidi na zaidi
@DrMalenge2 ай бұрын
Mbarikiwe sana mnatuinjilisha🙏🏻
@kevooshowina28674 жыл бұрын
Organist katulia sana.kacheza kitakatifu sana..Big up sana kwa mziki mtakatifu
@hortpeter563011 ай бұрын
Milima na mabonde nitapita fadhilì zàķo kwang ni nyingu sana
@user-wc2gd3mq9f Жыл бұрын
Hongereni kwa wimbo mzuri
@LeahMahizi20 күн бұрын
Amina
@felisterligwa4 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏 Hongereni sana na sana kwa nyimbo nzuri,mavazi,kucheza kwa nidhamu ya kikatoliki,inshort everything is on point.Mungu azidi kuwadumisheni kwaya yenu idumu daima dawamu
@saintjosephcathedralchoird37694 жыл бұрын
Amina
@marykhayega94688 күн бұрын
❤
@kaimbe11 ай бұрын
<a href="#" class="seekto" data-time="71">1:11</a> Huu mwondoko👍😄 Wanakwaya ni watu wanao enjoy sana
@josephadolph6054 жыл бұрын
Asee mko vizuri sana kwa kihaya tunasema mligee muno asanteni sana kwa kutuinjilisha kwa njia ya uimbaji
@saintjosephcathedralchoird37694 жыл бұрын
Ahsante Sana kaka Uzidi kubarikiwa
@agrippinawakiriro24325 ай бұрын
Powerful praise
@danielmwambashi3386 Жыл бұрын
You made my day
@Arati896Ай бұрын
❤❤
@africaneyetv4673 жыл бұрын
Wimbo mtamu sana mbarikiwe mnastahili kutembea Kenya mshiriki nasi kwa misa takatifu
@saintjosephcathedralchoird37693 жыл бұрын
Ahsante sana, Hakika tunaratiba ya kuja huko 2021 Tutawasiliana
@alphonsemundala61513 жыл бұрын
Mzuri iyo tangazo ya kumsifu Bwana Mungu kwa wema wake, kumbe kunyiko Kubwa ni juu kumsifu Bwana. Baba Mungu awabariki wote. Ibarikiwe pia vipaji yenu itoe zaidi matunda haya mema. Asanti sana. Alphonse Marie !
@saintjosephcathedralchoird37693 жыл бұрын
Amen
@beatusidama62334 жыл бұрын
Dolcissimo
@fedrickmalamso8483 Жыл бұрын
Nitakusifu kati ya watu wengi naipenda sana hi nyimbo
@tomorwa62984 жыл бұрын
Hakika hiyo wimbo inanibariki sana
@deogratiuskahigi47384 жыл бұрын
Naomba kujua aliyecheza kinanda katika wimbo huu,
@kevooshowina28674 жыл бұрын
Nahisi anaitwa Santino.
@davmapchannel8322 жыл бұрын
Paschal Gunganamtwa Mhangamkali
@valentinomaganga69104 жыл бұрын
Mungu awape baraka zake tele kwa kazi hii nzuri sana. Mnatubariki sana.
@silasnjenje75214 жыл бұрын
Nimefurahi mlivyosimamia maghani ya kikatoliki! Hamjaweka nyimbo/melody za kilokole.Big up sana! Naipata wapi album hii!
@rosaliamarcel35882 жыл бұрын
Hongera sana! Wimbo mbona pambe💪🙌
@butungo13 жыл бұрын
Kumbe mliimba ninyi!? Nimeusikiliza wimbo huu kila wakati na sijaishiwa raha kuusikiliza tena na tena. Mmeushoot vizuri sana -comparatively
@saintjosephcathedralchoird37693 жыл бұрын
Ndiyo Mkuu, Tunamshukuru Mungu Na ahsante kwa kufuatilia na maoni pia
@samwela.kasamalo21133 жыл бұрын
Hongera mno, hongera pia kwa mwl. Hilary bwagidi
@aidanvincent7084 жыл бұрын
Ni kazi nzuri🙏🏿🙏🏿🙏🏿 Mungu awabariki daima.
@charlesmcharo6664 жыл бұрын
mmetisha sana hongereni sana wapendwa katika kristu
@spicarkilapilo4 жыл бұрын
Safi
@cyrusnduati45954 жыл бұрын
Nimeishi kutamani Kuona Huu Wimbo Mbarikiwe Sana Kwa Kazi Nzuri
@saintjosephcathedralchoird37694 жыл бұрын
Ahsante sana
@cyrusnduati45954 жыл бұрын
Asante Mbarikiwe
@kassianjoseph3383 Жыл бұрын
Kwaya yangu nawapenda sana Mungu awabariki na nawatakia utume mwema.
@aidankilapilo96384 жыл бұрын
Hizi ndio nyimbo bhana... Wimbo uimbe, au uusikie uhisi hali y utakatifu sio uanze kufikiria huwenda ni midundo ya Club Bilicanas 😀
@albertmaneno4 жыл бұрын
Kazi nzuri
@saintjosephcathedralchoird37694 жыл бұрын
Ahsante Sana kaka Albert
@olexanderj.69693 жыл бұрын
Kwaya nyingi zimeuimba wimbo huu lakini kwaya hii imepita zote. Hongereni wenzangu.
@evancebartlomeo25063 жыл бұрын
Verry good singers
@charitynjoki62493 жыл бұрын
My best choir enjoying from limuru, kiambu, kenya limuru ni sehemu iliyo na baridi kali Sana hapa kenya
@danielmatemu96984 жыл бұрын
Utunzi mzuri sana. Mmeimba vizuri. Kazi nzuri
@saintjosephcathedralchoird37694 жыл бұрын
Ahsante Sana, tumshukuru Mungu kwa mema haya
@TheresiaCharles-ys9iy Жыл бұрын
Hongereni Sana kwa wimbo mzurii
@lynniecharliey364 Жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️✨✨🖐️🖐️ Mungu awalinde sanaaaaa
@joshuasarutwe43543 жыл бұрын
STUDIO YA KISASA SANA ,HIGH TECHNOLOGY ,SAFI SANA
@salomemhalule52132 жыл бұрын
Hongereni sana na Mungu zidi kuimarisha utume huu
@user-bl6ws9zf4s10 ай бұрын
Hongereni kwaya inaimba vzr sana
@raphaelngoy16802 жыл бұрын
Tu mshukuru mungu wetu na vietu vyote
@emilianamchomvu18613 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana vigelegele na pongezi kwenu ila sifa kwa Mungu juu mbinguni
@stevenfumbi95662 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana nabarikiwa mno
@agathangeleshi30164 жыл бұрын
Very nice
@rosaliamarcel3588 Жыл бұрын
Safi sana. Mbarikiwe❤
@paschalinaismail65232 жыл бұрын
This is my best song ever! I will always watch it!
@norbethkisogole66293 жыл бұрын
Tuyaishi ujumbe mzuri
@thomasmsechu47843 жыл бұрын
Nimeusikis huu wimbo kule singida kupitia JUGO MEDIA nikawa nautafuta Original yake leo nimeupata kweli nimeupenda sana chaneli yenu nilikua sjaipata asanten kwakutuburudisha na kutuinjilisha barikiweni sana
@saintjosephcathedralchoird37693 жыл бұрын
Ahsante sana Sasa tumeanza kuandaa nyimbo za kwaresima Tegemea mazuri kwa ajili ya sifa na utukufu wa Mungu
Hongereni sana nahitaj kupata audio yake naipataje?
@saintjosephcathedralchoird37693 жыл бұрын
Kwa Sasa inapatikana hapa kanisani St.Joseph Cathedral DSM Kama uko mbali tuwasiliane 0621884078
@catherinerugalema55633 жыл бұрын
0746617223
@herbertfaustine44253 жыл бұрын
@@catherinerugalema5563 ulishaipata audio yake
@felisterligwa4 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏 Hongereni sana na sana kwa nyimbo nzuri,mavazi,kucheza kwa nidhamu ya kikatoliki,inshort everything is on point.Mungu azidi kuwadumisheni kwaya yenu idumu daima dawamu